Author 6 Books on AMAZON | MBA | Speaker I
Preacher John 15:16 |
MC I Trainer - 0757464874 -
Copy and Paste the Link Below to get my Amazon Books; www.amazon.com/s?i=stripbooks&rh=p_27%3AJoramu+Nkumbi&s=relevancerank&text=Joramu+Nkumbi&ref=dp_byline_sr_book_1
MD: AYLF and PLO Lumumba Foundation TZ
SUBSCRIBE ON MY KZread
kzread.info/dron/GeTo_GQdqi6Z21987wAQIg.html
Пікірлер
Ndiyo❤
❤Ndivyo
Hongera mlumbi hakika ulumbi kila pahala
Safi
Hongera sana mtanzania mwetu kwa kutuhabalisha
Ama kweli kutembea kwingi kuona mengi. Shukrani Kaka.
Nakubaliana nawe fika.
Kuongezea na ulumbi wa uandishi, Suti imeweza kaka.
#swahiliworldwide
Hongera mbuji mweza.Wewe ni mlumbi😊
Hongera sana mwamba.
Ndugu yangu unakimanya Kiswahili. Unatumia maneno ya kikombo ama kweli mambo kujipa. Napenda mkururo wa fikira kwa hivyo nakupa mkono wa tahania kwa kutupasha habari za mbali bila kujali wala kubali 😊
Safi
👏👏👏👏 Kongole sana Kaka....hua watuelimisha sana
Kupeleka mkono kinywani imekua muhali😂
Mtangazaji ana akili za kilevi. Ana taka kuonekana anajua anacho kieleza mtu kabla haja eleza . Sizipendi hizi tabia maana ni tabia za walevi siyo za watu timamu
Asante mlumbi
Hongera Sana Mweshimiwa Serera
I see you at the top 🎉
hali shwari kweli Pacific ndugu Joram
Good
Busara na kiswahili sadifu kabisa
Very smart. Sasa know why wanapewa politician. Ndo maama hii nchi uongo mwingi.
Joramu, wewe kweli ni gwiji timilifu wa lugha hii adhimu. Tafadhali ningependa uje Kenya uhimize wananchi, kuwatia moyo watumie Kiswahili kwenye mbinu zote maishani mwao. Kiswahili sasa kimelimbikizwa sana na msamiati wa mitindo ya kisasa kama vile akili mnemba na kadhalika. Kweli Mungu amebariki lugha hii yetu.
Amen
Amen
Natamani nipate namba yako ya simu 🎉❤❤🎉😂
Mda wa nn ww
Shukran sana kaka
Kaka Joram tunapataje vitabu vyako tafadhali
Shukrani mwalimu
Usichanganye lugha, ikiwa unazungumza kiswahili kiwe hivyo...English iwe English
Congratulations to you brother 🎉👏🙏
Hongera sana kaka Jorum❤🎉🎉
Hongera sana kaka Jorum❤🎉🎉
Hongera sana kaka Jorum❤🎉🎉
Hongera sana kaka Jorum❤❤🎉🎉
Hongera sana kaka Jorum❤❤🎉🎉
Hongera sana kaka Jorum
Sawa Raia mwema
Ulumbi kila Pahala
Nafurahia sana unavyo mtanguliza Mungu barikiwa sana
Nimekutumia ujumbe whatspp kaka ujanijibu
Kaka, wewe ni mtu potential kuwahi kuzaliwa nchini kwetu, Mungu akutunze uishi sana
Du! hatari
Unaweza kumbariki mtoto wangu?
Youth Leadership Forum ya 2024, itafanyika lini na wapi @Joram....Natamani kuwepo
Kongole sana kaka Hakika tunayeyuka huku tukiweweseka kiwendawazimu(The ecstacy of critical thinking) #farmersofthiughts
Ahsante sana akraba yetu
Safi Sana Joramu MUNGU BABA wa Mbinguni Akubariki Sana Amen
Kaka napenda kusoma vitabu Ila tatzo vyakiswahili