JORAMU NKUMBI: Fundi wa KISWAHILI hujawahi kuona, MISAMIATI hii aliyoishusha imetuvunja mbavu hapa

Ойын-сауық

Kutana na Joramu Nkumbi, Msomi wa Hesabu na Masuala ya Biashara ambaye amejikita katika uzungumzaji wa #Kiswahili fasaha. Utapenda anavyocheza na lugha

Пікірлер: 315

  • @kimranely1984
    @kimranely1984 Жыл бұрын

    This guy yuko vizuri pia kwenye math alinifundisha secondary he used to call himself "THE NEXT BILLIONAIRE"😊

  • @Mr_Yussuf_as_well

    @Mr_Yussuf_as_well

    Жыл бұрын

    Amesoma degree ya math na statististics

  • @ronaldissack4955

    @ronaldissack4955

    Жыл бұрын

    Umefundishwa na mtu mbuji kabisa WA Kiswahili mwl Joram nkumbi

  • @josephkaale6472

    @josephkaale6472

    Жыл бұрын

    @@ronaldissack4955 Mlumbi

  • @mrsmile5425

    @mrsmile5425

    Жыл бұрын

    Ni raha sana vile anacheka kiswahili ni lugha ya amani

  • @babphonc5794
    @babphonc5794 Жыл бұрын

    Naona hadi mtangazaji kajisahau kumuuliza kuhusu vitabu,huyu mtu ni hazina kabisa yani ✊✊✊ kiukweli ni jambo jema sana kujifunza lugha hii kiufasaha

  • @roybazigu765
    @roybazigu765 Жыл бұрын

    Moja ya interview bora ✍️🙏

  • @masellemaziku1096
    @masellemaziku1096 Жыл бұрын

    Aaah bwana. Kijana huyu ni mbobezi wa kiswahili haswa. Atafika mbali sana maana kawekeza muda wake katika jambo hili la lugha. Hongera sana kwako Jorum

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr Жыл бұрын

    Maashallah maashallah maashallah, kwa kweli kiswahili ni kiyamu mnooooooo. Hongera Sana kijana mwenzetu🙏🙏🙏🙏

  • @newrace5544
    @newrace5544 Жыл бұрын

    Najikuta nacheka kwa sauti kila nikimuangalia mbuji wa kiswahili🤣🤣🤣 this is best interview ever

  • @abukarosman2565
    @abukarosman2565 Жыл бұрын

    Nimempenda bure huyu kaka🥰🥰🥰🥰

  • @crisndembwele4016
    @crisndembwele4016 Жыл бұрын

    Daah nataman kuwa Yeye uyu jamaa ni Genius 💪💪💪

  • @successconcious703

    @successconcious703

    Жыл бұрын

    Be yourself boy

  • @nuruhaule
    @nuruhaule23 күн бұрын

    Safi sana Jorum..

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Жыл бұрын

    Sauti na umri wake tofauti 😉 mpeni kipindi I admire him 🙌

  • @maryamtan682

    @maryamtan682

    Жыл бұрын

    Kumbe na wewe mwenzangu umeona

  • @winfordmwangonda5375

    @winfordmwangonda5375

    Жыл бұрын

    Kabisa umri wake haviendani na ufahamu wake kwenye kiswahili, kwangu mimi huyu ni Profesa wa kiswahili

  • @fatmamsindi4612
    @fatmamsindi46122 ай бұрын

    Yupo vizuri sana huyu kijana,nampenda sana

  • @chenganjerry5273
    @chenganjerry5273 Жыл бұрын

    Huyu jamaaa ni mathematian mkali Sana Joram nkumbi bravo bravo

  • @Bbwaoy
    @Bbwaoy Жыл бұрын

    Thands down. Kiswahili kili nipa tabu sana shule. Niki pata C nilikua na shangilia balaa sana. This guy deserves a credit.

  • @robertempire9542
    @robertempire9542 Жыл бұрын

    Nilipoona clips zake Mara ya kwanza nilipenda jinsi anavyoongea na hata akipewa kipindi cha kufanya maojiano anafaa kabisa keep moving brother

  • @jumapjuma3020
    @jumapjuma3020 Жыл бұрын

    🇰🇪🇰🇪 kiswahili kumbe kinapendeza😍

  • @carolinekalume934
    @carolinekalume934 Жыл бұрын

    Hongera Rafiki yangu Ubarikiwe sana

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Жыл бұрын

    Nakubali mwamba lugha anaimudu kinoma 🙌

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri7757 Жыл бұрын

    Kijana nimekuhini sana.Wewe ni miongoni mwa hazina za vijana wa nchi yetu katika ukinga wa lugha yetu ya kiswahili.

  • @pauldeogratius4722

    @pauldeogratius4722

    7 ай бұрын

    Pl ..l..... O Lllllllp

  • @29WavesTV
    @29WavesTV Жыл бұрын

    Yuko Vizuri sana na mimi nimevutiwa sana usemi wake.Haborongi katika kusema

  • @hatbtalveson6581
    @hatbtalveson6581 Жыл бұрын

    hujawahi kukosea bwana sky...🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @deusntobi1450
    @deusntobi1450 Жыл бұрын

    Huyu mtu ni hodar wa kiswahili kwelikweli ni vizuri wasani wetu wakamtimia kwa tafisida ili kupunguza ukali wa maneno wanayoyatumia.

  • @lizzy_ways
    @lizzy_ways Жыл бұрын

    My first time to comment Well i really enjoyed a lot

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe293917 күн бұрын

    Shukran mwalimu

  • @tumainikomba9008
    @tumainikomba9008 Жыл бұрын

    Kidume cha shoka elimu kubwa hadi degree ya mathematics lakin bado hakuna ammmm ammm you no what!!!big up bro

  • @afyatips
    @afyatips Жыл бұрын

    Huyu jamaa amefanya nijue kumbe sijui kiswahili 🙌🏾🤦🏽‍♂️

  • @manwoka4078

    @manwoka4078

    Жыл бұрын

    Unajua kiswahili ndugu, kiswahili cha huyu jamaa huwezi fanya mawasiliano na jamii nani anatumia hayo maneno na nahau zake. Lugha ni kwa mawasiliano kama hueleweki kwa lugha inayotumika na jamii inayokuzunguruka hapo Dhima ya lugha hua haipo

  • @albiz3946
    @albiz3946 Жыл бұрын

    Hapo Tangasisi-Tanga Ndio Sehemu alipo Zaliwa Marehemu Shaban Robert Mtaalamu wa Kiswahili East Africa

  • @AbuBakar-fu9ov
    @AbuBakar-fu9ov Жыл бұрын

    Joram hatari sana hongera sana Mr Joram

  • @InstructITWise
    @InstructITWise Жыл бұрын

    nafikiri huyu jamaa na awamajamaa waliotengeneza hii game ya swahiliwordcross(niliipatia playstore) ni kitu kimoja aki nimekua nikiicheza karibia wiki mbili ila kufikia level ya 50 tu imenichomoa. Watu makni wanaotuonesha njia, nimeipenda sana hii interview

  • @aahasaidi1977
    @aahasaidi1977 Жыл бұрын

    safi sana, nashauri uandae vipindi vya Kiswahili ukitumia ubao na kalamu ili kizazi hiki tupate faida zaidi ya kufahamu maneo ya Kiswahili kwa ufasaha.Ahsante

  • @alisalum2023
    @alisalum2023 Жыл бұрын

    Kutepwereshwa nasio kutebwereshwa Mashallah au masharaf

  • @chicherickybenson1070
    @chicherickybenson1070 Жыл бұрын

    Naitwa Chiche Benson Rukumba. Natoka hapa Uganda. Ndugu Nkumbi nanipendeza sana. Lazima nijifunze lugha ya Kiswahili😀. Just trying! But the truth is I really love Kiswahili.

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita Жыл бұрын

    Wow! Just wow! Anafurahisha na kufundisha kwa pamoja

  • @gabrielgaby2265
    @gabrielgaby2265 Жыл бұрын

    Nimeipenda sana hii interview anatumia kipindi gani niwe mfatiliaji wake

  • @ronaldissack4955
    @ronaldissack4955 Жыл бұрын

    Interview nzuri Sana,nimerudia na kurudia utamu wake uko palepale

  • @mmungaramazani4016
    @mmungaramazani4016 Жыл бұрын

    Congo 🇨🇩 swahili and kenya 🇰🇪

  • @dullahmihuri
    @dullahmihuri Жыл бұрын

    Apa mwisho kasema jambo kubwa sana. Kuwafunza watoto kujieleza

  • @gemgsp7104
    @gemgsp7104 Жыл бұрын

    Hongera kwake nimependa sana

  • @earnestmwangombola672
    @earnestmwangombola672 Жыл бұрын

    Nimempenda Joram Mkumbi. Sikuwahi kumsikia kabla. Anafurahisha kwa kicheko chake na hazina ya kiswahili. Bahati mbaya ni mtaalamu wa hesabu na nadhani na masuala ya masoko yaani marketing. Sina uhakika kama ameokoka, angependeza zaidi.

  • @flomaje1J

    @flomaje1J

    11 ай бұрын

    Ameokoka tena sana. Angalia interview yake alipokuwa Marekani

  • @simbadume1694
    @simbadume1694 Жыл бұрын

    Jamaa Yuko vizuri kuna misemo mingi nimejifunza kwake..

  • @stephenmalilo9833
    @stephenmalilo9833 Жыл бұрын

    Hii interview itanifaa sanaaaa......🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @benedictbuberwa3943
    @benedictbuberwa3943 Жыл бұрын

    Jamaa amenifurahisha sana ..

  • @ronaldissack4955
    @ronaldissack4955 Жыл бұрын

    Naona Fredrick bundala kafurahi Sana Kwa mahojiano na mbuji WA Kiswahili Joramu nkumbi

  • @indiraconnolly2889
    @indiraconnolly28892 ай бұрын

    Asante sana kwa video hii!! Najifunza Kiswahili sasa. Sikuelewa video nzima, lakini naweza kuelewa maneno machache :)

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 Жыл бұрын

    Nitajamala kumjuwa ndugu Joran amenirovia rovurovu uyu ni mbuji wa kiswahili

  • @fathiyaalmazrui816
    @fathiyaalmazrui816 Жыл бұрын

    Maasha Allah ni vizuri kweli watu wajifunze kuzungumza kiswahili kwa sababu sasa lugha ni maneno ya ovyo hata sijui yanatokea wapi.

  • @jumahassan273

    @jumahassan273

    Жыл бұрын

    Njoo tanga ujifunze Swahili kama joram

  • @AshouHumaid
    @AshouHumaid8 ай бұрын

    Mimi ni mwenye asili ya kiarabu ila hakika nasikia furaha sana kwa lugha fasaha yenye kuupa burdani mtima wangu.Ama zama hizi kiswahili kimepotea,( KISWAHILI NI LUGHA YA TAIFA ,WATANZANIA SOTE TUNAJIVUNIA.. KWANZA WALIMU WANALOJUKUM KUBWA,KUTUFUNDISHA LUGHA YA TAIFA.

  • @minortone8571
    @minortone8571 Жыл бұрын

    Mama samia please help this kid for he can be a surpotive fellow in broadcasting our natural resources.

  • @josephkaale6472

    @josephkaale6472

    Жыл бұрын

    Rudia tena kwa Kiswahili

  • @andrewnyasuru2917

    @andrewnyasuru2917

    Жыл бұрын

    Mama samia naomba umsaidie huyu mtoto maana anaweza kuwa kutusaidia katika kutangaza maliasili zetu.

  • @minortone8571

    @minortone8571

    Жыл бұрын

    @@andrewnyasuru2917 sawa

  • @benmbwele
    @benmbwele Жыл бұрын

    Kusikiliza sio vizuri kama kusoma. Watu wengi hawajui nini hawajui. Yatupasa tuwe walumbi. Vinginevyo tutakuwa vipofu wakati tuna macho.

  • @johnkiimbila6799
    @johnkiimbila6799 Жыл бұрын

    Tuondokane na mtindo wa kiswahili kama ilivyo kwenye nyimbo za Diamondi.

  • @hashimumwinyi2239
    @hashimumwinyi2239 Жыл бұрын

    Namuon mwigulu huyu hapa halafu anakataa mh. Hajui kiswahili vzuri

  • @jamil1547
    @jamil1547 Жыл бұрын

    Sky huyu jamaa naomba apewe muda hapo kwenye TV yenu aweze kutufunza lugha ya kiswahili

  • @andrewnyasuru2917
    @andrewnyasuru2917 Жыл бұрын

    hili ni somo kwa waandishi wa habari, wawe wanavunja vunja maneno sio kila muda kutumia kiingereza

  • @samakisamaki3226
    @samakisamaki3226 Жыл бұрын

    Aliyesikia athari za lugha ya asili ya joram agonge like hapa. Mzanaki huyu wa kinyariri 🤣🤣🤣

  • @deejeydaev
    @deejeydaev Жыл бұрын

    Veeerrryyyyyy confident

  • @lissahkisamba8843
    @lissahkisamba8843 Жыл бұрын

    Hongereni sana

  • @papadimayo1chanel.747
    @papadimayo1chanel.747 Жыл бұрын

    Nimependa.

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 Жыл бұрын

    Hahaha safi sana kazi nzuri

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 Жыл бұрын

    The guy has made my day

  • @user-xb2pi9gp9j
    @user-xb2pi9gp9jАй бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @winfordmwangonda5375
    @winfordmwangonda5375 Жыл бұрын

    Huyu kijana angefaa akasome degree ya kiswahili (kama utaratibu tu wa kielimu, maana kwangu mimi huyu bwana ni Prof tayari). Ni hazina ya taifa kwanye lughaa yetu

  • @nicokabonge197
    @nicokabonge197 Жыл бұрын

    Safi sana....kaka

  • @fatmamsindi4612
    @fatmamsindi4612Ай бұрын

    Maashallah

  • @godfreykarata3710
    @godfreykarata37109 ай бұрын

    Yuko vichuri ❤❤

  • @beatricefrankngalubutu1448
    @beatricefrankngalubutu1448 Жыл бұрын

    Nilidhan najua kiswahili ila wew kaka hodari sana👌👌👌....."*ukonavi* ni malipo, zawadi au fidia awewayo mtu baada ya kazi fulani😍❤️❤️umenikosha sana kaka sky 👍

  • @calvinpaul2171

    @calvinpaul2171

    Жыл бұрын

    Love u

  • @neemamsemwa3044

    @neemamsemwa3044

    Жыл бұрын

    Hongera Sana kaka Nina mtoto wa darasa la nne anapenda sana Kiswahili naomba mawasiliano tafadhali

  • @ngarathecomedian5743
    @ngarathecomedian5743 Жыл бұрын

    Jama ni noma sana 🙄🤔🔥🔥

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258Ай бұрын

    Kijulanga mmoja aje hapa

  • @moseskwabhi4992
    @moseskwabhi4992 Жыл бұрын

    Awesome

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 Жыл бұрын

    Kwa kweli lugha ya kiswahili ni lugha nzuri saana ukiongea vizuri. Mimi pia napenda mtu anae zungumza kiswahili vizuri. Cku hizi wengi kwenye L wanaweka R. Na kwenye R wanaweka L. Wanatuharibia lugha.

  • @bekabakari7394

    @bekabakari7394

    Жыл бұрын

    Lafidhi zao huko walikutoka Makabila yao nivigumu ra na la Hawajui zinawekwa wapi

  • @silverman6930
    @silverman6930 Жыл бұрын

    Highly intellectual 🇬🇧🇬🇧🇬🇧

  • @mariayoeni6657

    @mariayoeni6657

    Жыл бұрын

    Hi

  • @moganfred6473
    @moganfred6473 Жыл бұрын

    Namkubali sana

  • @alhaithamiy_
    @alhaithamiy_ Жыл бұрын

    Ghulamu, Banati, Dhukuriya zote hizi asili yake yake Arabic wow

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Жыл бұрын

    Hii ni kichwa kabisa .. intellectual mind

  • @jacobmsigwa383

    @jacobmsigwa383

    Жыл бұрын

    Yaani huku duniani kuna matobo mengi sana ya fursa za kutobolea...jamaa ni fundi kwelikweli

  • @jacobmsigwa383

    @jacobmsigwa383

    Жыл бұрын

    Apatikane msanii mmoja atunge wimbo wenye uswahili mwingi kama huu

  • @hatbtalveson6581
    @hatbtalveson6581 Жыл бұрын

    huyu jamaa anafikra mkururo na ALLAH kajaalia HIDAYA maashaalah...

  • @deejeydaev

    @deejeydaev

    Жыл бұрын

    Kiswahili ni kigumu asee

  • @mwaminindayishimiye4434
    @mwaminindayishimiye4434 Жыл бұрын

    Vizuri sana ila kigumu 😍😃😃😃😃

  • @AfroMedic
    @AfroMedic Жыл бұрын

    Nakumbuka pale shuleni tukiandika insha- Sherehe ilikuwa imefana, na mahuluki lukuki.

  • @dullahmihuri
    @dullahmihuri Жыл бұрын

    Ana saut ya utangazaji mashaAllah

  • @khizralghawy9489

    @khizralghawy9489

    Жыл бұрын

    Ni mc

  • @selemanishabani126
    @selemanishabani126 Жыл бұрын

    Jamaa anaongea vzr sana

  • @silasjacob9132
    @silasjacob9132 Жыл бұрын

    Jamaa anacheka tu aiseee kiswahili 🚶‍♂️

  • @orthospeedafrica5335
    @orthospeedafrica5335 Жыл бұрын

    Napenda unavocheka na unavoongea Mr Joram

  • @nicokabonge197

    @nicokabonge197

    Жыл бұрын

    Dah!! Jamaa anatufungua sana....ila Vijana wa hovyooo tunafatilia mahusiano mapya ya wema sepetu na ........masanja🙄🙄🙄🙄

  • @davidngomeni2608
    @davidngomeni2608 Жыл бұрын

    Mtu anajua kiasi hicho ila ataonekana hafai kwa kushindwa kufaulu shule😁😁😁,tubadilike.

  • @mwanajafari7794

    @mwanajafari7794

    Жыл бұрын

    Hatari Sana!

  • @juvenclemence1490
    @juvenclemence1490 Жыл бұрын

    Ukonavi ni mimba - ila Leo nmecheka sana leo tumefungwa na yanga ila hii clip imerejesha tabasam letu

  • @barakakusa7606

    @barakakusa7606

    Жыл бұрын

    Mim pia nipo huku kujifariji🤔🤔🤔

  • @dinocastico8495
    @dinocastico8495 Жыл бұрын

    Hakika haya ni mahojiano yaliyo tukuka, na bora zaid . Bila shaka naweza sema mahijiano haya yatabaki kuwa ktk safu ya juu kabisa

  • @eliakusiluka2390
    @eliakusiluka2390 Жыл бұрын

    Hatari

  • @mosesmahinya9654
    @mosesmahinya9654 Жыл бұрын

    Nash Mc njoo uku umuome mswahili

  • @sdeshnjwetr6707
    @sdeshnjwetr6707 Жыл бұрын

    WATU WA MUZIKI WATANGAZE LUGHA YA KISWAHILI KWA UFASAHA. MAANA WANASIKILIZWA NA WATU WENGI NNJE NA NDANI YA TANZANIA 🇹🇿

  • @bekabakari7394

    @bekabakari7394

    Жыл бұрын

    Kweli bro pamoja na Waandishi wa habari Wte lugha hawajui lafidhi zao mbaya Kutokana na makabila wanayotoka Ramadhani kwao lamazani

  • @dottanzania771
    @dottanzania771 Жыл бұрын

    Kwa hakika ni tajamala kumhoji mbuji, jagina, akiwa bado kijulanga kabisa ni furaha kama ya bibi harusi anapopewa ukonavi.

  • @shylockjai.8615

    @shylockjai.8615

    Жыл бұрын

    Umenipotrza

  • @minortone8571

    @minortone8571

    Жыл бұрын

    Bulbul

  • @dullywa9973

    @dullywa9973

    Жыл бұрын

    doh😁😁

  • @emmanuelmussa2643

    @emmanuelmussa2643

    Жыл бұрын

    Kijulanga😂😂

  • @dicksonkilupa2258

    @dicksonkilupa2258

    Жыл бұрын

    Jamani mimi nahama nchi maana siambui chochote hapo

  • @hilaryfabian1484
    @hilaryfabian1484 Жыл бұрын

    geneous

  • @deejeydaev
    @deejeydaev Жыл бұрын

    khaaa Kiswahili ni kigumu asee

  • @princemimi2090
    @princemimi20902 ай бұрын

    interview moja misamiati buruji kutoka kwa mbujii

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 Жыл бұрын

    nimemsikiliza uyo jamaa duh kiswahili kumbe cjui ase

  • @abdillahchikota4303
    @abdillahchikota4303Ай бұрын

    Mm nahisi selikali ingewekeza kwa huyu brother..ingefaa, pia km ingewezekana ingeandaliawa movi yenye maudhuiya kiswali km hiki

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Жыл бұрын

    Tupende vya kwetu sk Leo naona ume furahi Sana kwenye maada ya leo

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 Жыл бұрын

    Wadigo oyeeeeee maana joram anajivunia kujifunza kufundishwa kiswahili na wadigo

  • @babanabil...1247

    @babanabil...1247

    Жыл бұрын

    Sawa kabisa barobaro wafunzwa ni azee enhu

  • @jabilmusa7569
    @jabilmusa7569 Жыл бұрын

    Daah hakika kijana ni mzalendo qa aina yake

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 Жыл бұрын

    Kumbe lugha ya Kirundi kama kibantu inatumiya Maneno mengi ya Kiswahili Fasaha😢 Gutamara=Tajamala Umupagasi=Mpagasi uMurama=Mrama na mengine tu kayataja ..mana yake hiyo iyo 😊😊👍🏽🎩

  • @onlineshow123
    @onlineshow1239 ай бұрын

    Kazi kuntu zaidi naomba mnisaidie niweze kutagusana Na ndugu Nkumbi tafadhali ,,mimi pia ni mwandishi ila Sina mwelekezi

  • @espererancesudi7600
    @espererancesudi7600 Жыл бұрын

    To be continued

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 Жыл бұрын

    Kwa sisi watu wa tanga ndio maneno yetu njoo uku ujifunze kama joram

  • @herijaphet
    @herijaphet9 ай бұрын

    Hapo jambo la msingi ni kuwa lugha hubadilika kutokana na wakati na mahtaji. Hayo maneno mengi ni ya zaman yaliyotumika kipind cha biashara na waarabu na wa-Asia. Kwa hyo ugumu ni kuwa lugha ni tajr maneno ni mengi ya zaman hayatumik. Lugha ya sasa ni ya teknolojia na ya zaman ni ya analojia

  • @kennedysalanomashairi7187
    @kennedysalanomashairi71879 ай бұрын

    Joram , kiswahili chako hakika kina mashiko na mnato uso mfano.

Келесі