JORAMU NKUMBI: Fundi wa KISWAHILI hujawahi kuona, MISAMIATI hii aliyoishusha imetuvunja mbavu hapa
Ойын-сауық
Kutana na Joramu Nkumbi, Msomi wa Hesabu na Masuala ya Biashara ambaye amejikita katika uzungumzaji wa #Kiswahili fasaha. Utapenda anavyocheza na lugha
Пікірлер: 315
This guy yuko vizuri pia kwenye math alinifundisha secondary he used to call himself "THE NEXT BILLIONAIRE"😊
@Mr_Yussuf_as_well
Жыл бұрын
Amesoma degree ya math na statististics
@ronaldissack4955
Жыл бұрын
Umefundishwa na mtu mbuji kabisa WA Kiswahili mwl Joram nkumbi
@josephkaale6472
Жыл бұрын
@@ronaldissack4955 Mlumbi
@mrsmile5425
Жыл бұрын
Ni raha sana vile anacheka kiswahili ni lugha ya amani
Naona hadi mtangazaji kajisahau kumuuliza kuhusu vitabu,huyu mtu ni hazina kabisa yani ✊✊✊ kiukweli ni jambo jema sana kujifunza lugha hii kiufasaha
Moja ya interview bora ✍️🙏
Aaah bwana. Kijana huyu ni mbobezi wa kiswahili haswa. Atafika mbali sana maana kawekeza muda wake katika jambo hili la lugha. Hongera sana kwako Jorum
Maashallah maashallah maashallah, kwa kweli kiswahili ni kiyamu mnooooooo. Hongera Sana kijana mwenzetu🙏🙏🙏🙏
Najikuta nacheka kwa sauti kila nikimuangalia mbuji wa kiswahili🤣🤣🤣 this is best interview ever
Nimempenda bure huyu kaka🥰🥰🥰🥰
Daah nataman kuwa Yeye uyu jamaa ni Genius 💪💪💪
@successconcious703
Жыл бұрын
Be yourself boy
Safi sana Jorum..
Sauti na umri wake tofauti 😉 mpeni kipindi I admire him 🙌
@maryamtan682
Жыл бұрын
Kumbe na wewe mwenzangu umeona
@winfordmwangonda5375
Жыл бұрын
Kabisa umri wake haviendani na ufahamu wake kwenye kiswahili, kwangu mimi huyu ni Profesa wa kiswahili
Yupo vizuri sana huyu kijana,nampenda sana
Huyu jamaaa ni mathematian mkali Sana Joram nkumbi bravo bravo
Thands down. Kiswahili kili nipa tabu sana shule. Niki pata C nilikua na shangilia balaa sana. This guy deserves a credit.
Nilipoona clips zake Mara ya kwanza nilipenda jinsi anavyoongea na hata akipewa kipindi cha kufanya maojiano anafaa kabisa keep moving brother
🇰🇪🇰🇪 kiswahili kumbe kinapendeza😍
Hongera Rafiki yangu Ubarikiwe sana
Nakubali mwamba lugha anaimudu kinoma 🙌
Kijana nimekuhini sana.Wewe ni miongoni mwa hazina za vijana wa nchi yetu katika ukinga wa lugha yetu ya kiswahili.
@pauldeogratius4722
7 ай бұрын
Pl ..l..... O Lllllllp
Yuko Vizuri sana na mimi nimevutiwa sana usemi wake.Haborongi katika kusema
hujawahi kukosea bwana sky...🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Huyu mtu ni hodar wa kiswahili kwelikweli ni vizuri wasani wetu wakamtimia kwa tafisida ili kupunguza ukali wa maneno wanayoyatumia.
My first time to comment Well i really enjoyed a lot
Shukran mwalimu
Kidume cha shoka elimu kubwa hadi degree ya mathematics lakin bado hakuna ammmm ammm you no what!!!big up bro
Huyu jamaa amefanya nijue kumbe sijui kiswahili 🙌🏾🤦🏽♂️
@manwoka4078
Жыл бұрын
Unajua kiswahili ndugu, kiswahili cha huyu jamaa huwezi fanya mawasiliano na jamii nani anatumia hayo maneno na nahau zake. Lugha ni kwa mawasiliano kama hueleweki kwa lugha inayotumika na jamii inayokuzunguruka hapo Dhima ya lugha hua haipo
Hapo Tangasisi-Tanga Ndio Sehemu alipo Zaliwa Marehemu Shaban Robert Mtaalamu wa Kiswahili East Africa
Joram hatari sana hongera sana Mr Joram
nafikiri huyu jamaa na awamajamaa waliotengeneza hii game ya swahiliwordcross(niliipatia playstore) ni kitu kimoja aki nimekua nikiicheza karibia wiki mbili ila kufikia level ya 50 tu imenichomoa. Watu makni wanaotuonesha njia, nimeipenda sana hii interview
safi sana, nashauri uandae vipindi vya Kiswahili ukitumia ubao na kalamu ili kizazi hiki tupate faida zaidi ya kufahamu maneo ya Kiswahili kwa ufasaha.Ahsante
Kutepwereshwa nasio kutebwereshwa Mashallah au masharaf
Naitwa Chiche Benson Rukumba. Natoka hapa Uganda. Ndugu Nkumbi nanipendeza sana. Lazima nijifunze lugha ya Kiswahili😀. Just trying! But the truth is I really love Kiswahili.
Wow! Just wow! Anafurahisha na kufundisha kwa pamoja
Nimeipenda sana hii interview anatumia kipindi gani niwe mfatiliaji wake
Interview nzuri Sana,nimerudia na kurudia utamu wake uko palepale
Congo 🇨🇩 swahili and kenya 🇰🇪
Apa mwisho kasema jambo kubwa sana. Kuwafunza watoto kujieleza
Hongera kwake nimependa sana
Nimempenda Joram Mkumbi. Sikuwahi kumsikia kabla. Anafurahisha kwa kicheko chake na hazina ya kiswahili. Bahati mbaya ni mtaalamu wa hesabu na nadhani na masuala ya masoko yaani marketing. Sina uhakika kama ameokoka, angependeza zaidi.
@flomaje1J
11 ай бұрын
Ameokoka tena sana. Angalia interview yake alipokuwa Marekani
Jamaa Yuko vizuri kuna misemo mingi nimejifunza kwake..
Hii interview itanifaa sanaaaa......🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jamaa amenifurahisha sana ..
Naona Fredrick bundala kafurahi Sana Kwa mahojiano na mbuji WA Kiswahili Joramu nkumbi
Asante sana kwa video hii!! Najifunza Kiswahili sasa. Sikuelewa video nzima, lakini naweza kuelewa maneno machache :)
Nitajamala kumjuwa ndugu Joran amenirovia rovurovu uyu ni mbuji wa kiswahili
Maasha Allah ni vizuri kweli watu wajifunze kuzungumza kiswahili kwa sababu sasa lugha ni maneno ya ovyo hata sijui yanatokea wapi.
@jumahassan273
Жыл бұрын
Njoo tanga ujifunze Swahili kama joram
Mimi ni mwenye asili ya kiarabu ila hakika nasikia furaha sana kwa lugha fasaha yenye kuupa burdani mtima wangu.Ama zama hizi kiswahili kimepotea,( KISWAHILI NI LUGHA YA TAIFA ,WATANZANIA SOTE TUNAJIVUNIA.. KWANZA WALIMU WANALOJUKUM KUBWA,KUTUFUNDISHA LUGHA YA TAIFA.
Mama samia please help this kid for he can be a surpotive fellow in broadcasting our natural resources.
@josephkaale6472
Жыл бұрын
Rudia tena kwa Kiswahili
@andrewnyasuru2917
Жыл бұрын
Mama samia naomba umsaidie huyu mtoto maana anaweza kuwa kutusaidia katika kutangaza maliasili zetu.
@minortone8571
Жыл бұрын
@@andrewnyasuru2917 sawa
Kusikiliza sio vizuri kama kusoma. Watu wengi hawajui nini hawajui. Yatupasa tuwe walumbi. Vinginevyo tutakuwa vipofu wakati tuna macho.
Tuondokane na mtindo wa kiswahili kama ilivyo kwenye nyimbo za Diamondi.
Namuon mwigulu huyu hapa halafu anakataa mh. Hajui kiswahili vzuri
Sky huyu jamaa naomba apewe muda hapo kwenye TV yenu aweze kutufunza lugha ya kiswahili
hili ni somo kwa waandishi wa habari, wawe wanavunja vunja maneno sio kila muda kutumia kiingereza
Aliyesikia athari za lugha ya asili ya joram agonge like hapa. Mzanaki huyu wa kinyariri 🤣🤣🤣
Veeerrryyyyyy confident
Hongereni sana
Nimependa.
Hahaha safi sana kazi nzuri
The guy has made my day
❤❤❤❤❤
Huyu kijana angefaa akasome degree ya kiswahili (kama utaratibu tu wa kielimu, maana kwangu mimi huyu bwana ni Prof tayari). Ni hazina ya taifa kwanye lughaa yetu
Safi sana....kaka
Maashallah
Yuko vichuri ❤❤
Nilidhan najua kiswahili ila wew kaka hodari sana👌👌👌....."*ukonavi* ni malipo, zawadi au fidia awewayo mtu baada ya kazi fulani😍❤️❤️umenikosha sana kaka sky 👍
@calvinpaul2171
Жыл бұрын
Love u
@neemamsemwa3044
Жыл бұрын
Hongera Sana kaka Nina mtoto wa darasa la nne anapenda sana Kiswahili naomba mawasiliano tafadhali
Jama ni noma sana 🙄🤔🔥🔥
Kijulanga mmoja aje hapa
Awesome
Kwa kweli lugha ya kiswahili ni lugha nzuri saana ukiongea vizuri. Mimi pia napenda mtu anae zungumza kiswahili vizuri. Cku hizi wengi kwenye L wanaweka R. Na kwenye R wanaweka L. Wanatuharibia lugha.
@bekabakari7394
Жыл бұрын
Lafidhi zao huko walikutoka Makabila yao nivigumu ra na la Hawajui zinawekwa wapi
Highly intellectual 🇬🇧🇬🇧🇬🇧
@mariayoeni6657
Жыл бұрын
Hi
Namkubali sana
Ghulamu, Banati, Dhukuriya zote hizi asili yake yake Arabic wow
Hii ni kichwa kabisa .. intellectual mind
@jacobmsigwa383
Жыл бұрын
Yaani huku duniani kuna matobo mengi sana ya fursa za kutobolea...jamaa ni fundi kwelikweli
@jacobmsigwa383
Жыл бұрын
Apatikane msanii mmoja atunge wimbo wenye uswahili mwingi kama huu
huyu jamaa anafikra mkururo na ALLAH kajaalia HIDAYA maashaalah...
@deejeydaev
Жыл бұрын
Kiswahili ni kigumu asee
Vizuri sana ila kigumu 😍😃😃😃😃
Nakumbuka pale shuleni tukiandika insha- Sherehe ilikuwa imefana, na mahuluki lukuki.
Ana saut ya utangazaji mashaAllah
@khizralghawy9489
Жыл бұрын
Ni mc
Jamaa anaongea vzr sana
Jamaa anacheka tu aiseee kiswahili 🚶♂️
Napenda unavocheka na unavoongea Mr Joram
@nicokabonge197
Жыл бұрын
Dah!! Jamaa anatufungua sana....ila Vijana wa hovyooo tunafatilia mahusiano mapya ya wema sepetu na ........masanja🙄🙄🙄🙄
Mtu anajua kiasi hicho ila ataonekana hafai kwa kushindwa kufaulu shule😁😁😁,tubadilike.
@mwanajafari7794
Жыл бұрын
Hatari Sana!
Ukonavi ni mimba - ila Leo nmecheka sana leo tumefungwa na yanga ila hii clip imerejesha tabasam letu
@barakakusa7606
Жыл бұрын
Mim pia nipo huku kujifariji🤔🤔🤔
Hakika haya ni mahojiano yaliyo tukuka, na bora zaid . Bila shaka naweza sema mahijiano haya yatabaki kuwa ktk safu ya juu kabisa
Hatari
Nash Mc njoo uku umuome mswahili
WATU WA MUZIKI WATANGAZE LUGHA YA KISWAHILI KWA UFASAHA. MAANA WANASIKILIZWA NA WATU WENGI NNJE NA NDANI YA TANZANIA 🇹🇿
@bekabakari7394
Жыл бұрын
Kweli bro pamoja na Waandishi wa habari Wte lugha hawajui lafidhi zao mbaya Kutokana na makabila wanayotoka Ramadhani kwao lamazani
Kwa hakika ni tajamala kumhoji mbuji, jagina, akiwa bado kijulanga kabisa ni furaha kama ya bibi harusi anapopewa ukonavi.
@shylockjai.8615
Жыл бұрын
Umenipotrza
@minortone8571
Жыл бұрын
Bulbul
@dullywa9973
Жыл бұрын
doh😁😁
@emmanuelmussa2643
Жыл бұрын
Kijulanga😂😂
@dicksonkilupa2258
Жыл бұрын
Jamani mimi nahama nchi maana siambui chochote hapo
geneous
khaaa Kiswahili ni kigumu asee
interview moja misamiati buruji kutoka kwa mbujii
nimemsikiliza uyo jamaa duh kiswahili kumbe cjui ase
Mm nahisi selikali ingewekeza kwa huyu brother..ingefaa, pia km ingewezekana ingeandaliawa movi yenye maudhuiya kiswali km hiki
Tupende vya kwetu sk Leo naona ume furahi Sana kwenye maada ya leo
Wadigo oyeeeeee maana joram anajivunia kujifunza kufundishwa kiswahili na wadigo
@babanabil...1247
Жыл бұрын
Sawa kabisa barobaro wafunzwa ni azee enhu
Daah hakika kijana ni mzalendo qa aina yake
Kumbe lugha ya Kirundi kama kibantu inatumiya Maneno mengi ya Kiswahili Fasaha😢 Gutamara=Tajamala Umupagasi=Mpagasi uMurama=Mrama na mengine tu kayataja ..mana yake hiyo iyo 😊😊👍🏽🎩
Kazi kuntu zaidi naomba mnisaidie niweze kutagusana Na ndugu Nkumbi tafadhali ,,mimi pia ni mwandishi ila Sina mwelekezi
To be continued
Kwa sisi watu wa tanga ndio maneno yetu njoo uku ujifunze kama joram
Hapo jambo la msingi ni kuwa lugha hubadilika kutokana na wakati na mahtaji. Hayo maneno mengi ni ya zaman yaliyotumika kipind cha biashara na waarabu na wa-Asia. Kwa hyo ugumu ni kuwa lugha ni tajr maneno ni mengi ya zaman hayatumik. Lugha ya sasa ni ya teknolojia na ya zaman ni ya analojia
Joram , kiswahili chako hakika kina mashiko na mnato uso mfano.