Asiyejua ngeli hajui Kiswahili,heko sana Walla bin Wallah
@jibabealhadjy16377 жыл бұрын
Nafurahi ustadh guru wallah bin wallah kwa kusisitiza kwa kutunzwa kwa kiswahili kwani wengine huidharau hii lugha kwa kujiongelea mambo ya sio ongelewa
@ErimaEric5 жыл бұрын
Safi sana. Leo nime onja utamu wa Lugha fasaha
@Mwituyi9 жыл бұрын
The best teacher in the country
@umbopaday5 жыл бұрын
Guru Neno LA kihindi cha Punjabi maana yake mkuu WA dini ya masinga singa. Mfano guru Nana
@mshihirimweusi79865 жыл бұрын
Kiswahili hakina udhaifu wa maneno, tunapojaribu kutunga misamiati tuangalie zaidi lahaja za kiswahili.
@AllyHilal7 жыл бұрын
Bidii yako naikubali. Ahsante Ustadh Walla bin Walla
@kipkuruinicholas71307 жыл бұрын
kaka jos tafadhali tutangazie kambumbu banaaaaaa! mashabiki tunaumia
@cynthiaadika79815 жыл бұрын
Hongera kwa kazi kuntu! Naomba Mola Akupe umri.
@MwalimuRichardMwangi.72024 жыл бұрын
Guru kongole .....Maaaasneeeno hayo
@martowawesh17698 жыл бұрын
hongera ustadhi walla
@swotchege31602 жыл бұрын
Makala mazuri sana...hiki kipenda kilikwenda wapi katika runinga?
@aggreyokulo17558 жыл бұрын
Heko guru,nami nimemakinika vyema kutokana na kazi zako..
@lobaalfred12204 жыл бұрын
Galacha wa kiswahili ambaye mimi hutamani kukutana naye ana mnato jinsi anavyozungumza na kuwastadiwa kiswahili.
@vincentokiyah48063 жыл бұрын
Hongera sana Guru.. mwanafunzi wako milele
@mwanaahagostine23574 жыл бұрын
Nakubali kiswahili kitamu
@icon7615 жыл бұрын
Mjuzi
@MwalimuRichardMwangi.72024 жыл бұрын
Nimefurahi sana kwa ajili ya guru
@melimeli923211 жыл бұрын
Kaka hujambo ,asante kwa kutufunza lugha hii ya kiswahili.Nikitafakari mwaka wa 2005 katika kipindi cha ukarabati wa lugha mafunzo yako pamoja na ya mwalimu Walla yalinifanya nielewe kiswahili sana, mungu awabariki na awapatie nguvu ya kuenedeleza kiswahili.
@simonphabiano90504 ай бұрын
Safi sana Mwalimu
@festusmuia500611 ай бұрын
Mwandishi wa vitabu mufti,,,bwana ulinisaidia sana katika somo la kiswahili
@evansodikor23433 жыл бұрын
hongera zidi kutuelimisha
@Blackisbuty511 жыл бұрын
Tafadhali KBC 'upload' video vya jamvi la lugha hasa natafuta ya mwaka uliyopita desemba wa wanaume wawili walimu, jina la mwisho nadhani lilikuwa ni Njoku
@leahmunji8781 Жыл бұрын
Kiswahili lugha tamu ikitumika kwa ufasaha ...kiswahili kitukuzwe.
@jackowuor401611 жыл бұрын
aise kaka mbona wakenya hawana hulka ya kusoma vitabu vya kiswahili
@AhmedOmar-no1ci4 жыл бұрын
Na ogopa kujikashifu nikiandika maoni yangu. Lugha ya mtaa haina thamani tunyamaze tu.
@Okwash19 жыл бұрын
Huyu Guru Wallah Bin Wallah ni mjaluo. Luos can speak swahili.
@MichaelTonga1014 ай бұрын
❤
@mugokiberenge88183 жыл бұрын
Kipindi wapi tena?
@jamboaerobicsandfitness20005 жыл бұрын
Fasaha ni kiswahili? Kiswahili cha uguja kimetatiana na kiarabu..
@abubakarrahim84827 жыл бұрын
sisi huku somalia tunawaangalia munavo kichafua lugha ya kiswahili lakini tunaomba ishuke amani somalia naona kutakuwa na mapambano na mijadala ya lugha hii ilivo chafuka kiwango hichi.
@davidngwesa
4 жыл бұрын
Somalia Kiswahili kinazunguzwa wapi? Naomba kuelewa kama hautajali!!
@AhmedOmar-no1ci
4 жыл бұрын
umewahi kusikia Galka’yo? Huko ndipo uvumbuzi mpya unaendelea hivi sasa.
@abubakarrahim8482
4 жыл бұрын
@@davidngwesa suala lako nimeliona leo lakini huenda ukapata majibu yangu. Kiswahili chimbuko lake lilianzia huku kwetu somalia hadi sasa tupo hata kama ni minority tribes.kuanzia mogadisho,Barawa. kismaiyu, na visiwani- koyama, chula, chovae , mdowa, kudai, Burkavo, Raskiamboni mpakani baina ya somali na kenya hizi ni sehemu utapata kiswahili kiki zungumzwa hadi leo.
@abubakarrahim8482
4 жыл бұрын
@ShutterDe DON hujakosea kuwa nimbajuni ama Wambalazi abao kwa jina lengine wanaitwa Wabarawa. Lakini wabantu wamepotza lugha yao ya kizugua wengi wanaongea kisomali japo kuna wengine kidogo wanaongea lugha ya kizuguwa. Huku somalia wanaitwa jareer ama wagosha a.k.a Bantu. Majina walio bandikizwa na wasomali.
@abubakarrahim8482
4 жыл бұрын
@@davidngwesa kiswahili kinaongwa sehemu nyingi sana japo sisi somalia ni minorities lakini lugha yetu bado tumeidhabiti. Kuanzia mogadisho, Barawa, kismaiyu, na visiwani -mchooni, Koyama, Fuma, chula, mdowa, Chovaye, Burkavo, na Raskiamboni mpakani kenya na somalia.na ukija kwa nduguzetu wabajuni wa kenya kuanzia Ishakani Pate, chundwa, faza, na visiwa vengine mpaka lamu na wengine wanateremka mpaka mombasa ufuo mzima. hawa ni ndugu zetu tulogawanyika sababu ya mipaka waloweka wakoloni.
@Mwituyi9 жыл бұрын
You are good for nothing brother. Wallah Bin Wallah ni mwalimu wa walimu na Tanzania hamna mwalimu kama yeye.
@maryanmahad6615
6 жыл бұрын
Ooh Stephen mukangai !
@hamadamaani2516
4 жыл бұрын
Je uchunguzi huo ulifanywa na nani huku ndo kumejaa ufanisi na utendeti Wa lugha
@ramyali6347
2 жыл бұрын
Unasema nini wewe na Wallah bin Wallah amesomea Tanzania?? Shukuru Tanzania imesomesha huyo hadi kuwa Gwiji.
@felixmakinda7689
17 күн бұрын
@@ramyali6347Mimi ni Mkenya lakini nimeshangaa Sana kauli yake. TZ ina waalimu wengi Sana waliotukuza Sisi Wakenya Kiswahili. Said A. Mohammad, Shaaban Robert, John Simbamwene, Euphrase Kezilahabi na wengine wengi Tu.
@asilclub7 жыл бұрын
ASATE SANA MWALIM GURU NATAMANI UTUFAHAMISHE LUGHA YETU YA KISWAHILI INAYO TAFOUTI NA WASWAHILI WA WASOMALI NA WARABU WA OMANI (HAYO MANDISHI NI LUGHA GANI ???KISWAHILI AU KIARABU ???)KWA KIARABU ( احسنت صنيعا معلم جوروا أتمنى ان تفهمنا لغتنا لها من تفاوت من سواحلية الصومال و عرب عمان ) SASA NIMEANDIKA KWANZA KWA KISWAHILI NA NIMEDIKA KWA KIARABU NANI AL KUAWA AMEKUJA KWANZA QURAAN TUKUFU KWA KIARABU AU KISAWAHILI ?????? KISAWAHILI NI LUGHA IMEZALIWA KUTOKA KIARABU KWANI VIDEO HI YAKO ZAIDI YA NUSU MANEMO YAKO NI LUGHA YA KIARABU ASANTE SANA
Пікірлер: 56
Asiyejua ngeli hajui Kiswahili,heko sana Walla bin Wallah
Nafurahi ustadh guru wallah bin wallah kwa kusisitiza kwa kutunzwa kwa kiswahili kwani wengine huidharau hii lugha kwa kujiongelea mambo ya sio ongelewa
Safi sana. Leo nime onja utamu wa Lugha fasaha
The best teacher in the country
Guru Neno LA kihindi cha Punjabi maana yake mkuu WA dini ya masinga singa. Mfano guru Nana
Kiswahili hakina udhaifu wa maneno, tunapojaribu kutunga misamiati tuangalie zaidi lahaja za kiswahili.
Bidii yako naikubali. Ahsante Ustadh Walla bin Walla
kaka jos tafadhali tutangazie kambumbu banaaaaaa! mashabiki tunaumia
Hongera kwa kazi kuntu! Naomba Mola Akupe umri.
Guru kongole .....Maaaasneeeno hayo
hongera ustadhi walla
Makala mazuri sana...hiki kipenda kilikwenda wapi katika runinga?
Heko guru,nami nimemakinika vyema kutokana na kazi zako..
Galacha wa kiswahili ambaye mimi hutamani kukutana naye ana mnato jinsi anavyozungumza na kuwastadiwa kiswahili.
Hongera sana Guru.. mwanafunzi wako milele
Nakubali kiswahili kitamu
Mjuzi
Nimefurahi sana kwa ajili ya guru
Kaka hujambo ,asante kwa kutufunza lugha hii ya kiswahili.Nikitafakari mwaka wa 2005 katika kipindi cha ukarabati wa lugha mafunzo yako pamoja na ya mwalimu Walla yalinifanya nielewe kiswahili sana, mungu awabariki na awapatie nguvu ya kuenedeleza kiswahili.
Safi sana Mwalimu
Mwandishi wa vitabu mufti,,,bwana ulinisaidia sana katika somo la kiswahili
hongera zidi kutuelimisha
Tafadhali KBC 'upload' video vya jamvi la lugha hasa natafuta ya mwaka uliyopita desemba wa wanaume wawili walimu, jina la mwisho nadhani lilikuwa ni Njoku
Kiswahili lugha tamu ikitumika kwa ufasaha ...kiswahili kitukuzwe.
aise kaka mbona wakenya hawana hulka ya kusoma vitabu vya kiswahili
Na ogopa kujikashifu nikiandika maoni yangu. Lugha ya mtaa haina thamani tunyamaze tu.
Huyu Guru Wallah Bin Wallah ni mjaluo. Luos can speak swahili.
❤
Kipindi wapi tena?
Fasaha ni kiswahili? Kiswahili cha uguja kimetatiana na kiarabu..
sisi huku somalia tunawaangalia munavo kichafua lugha ya kiswahili lakini tunaomba ishuke amani somalia naona kutakuwa na mapambano na mijadala ya lugha hii ilivo chafuka kiwango hichi.
@davidngwesa
4 жыл бұрын
Somalia Kiswahili kinazunguzwa wapi? Naomba kuelewa kama hautajali!!
@AhmedOmar-no1ci
4 жыл бұрын
umewahi kusikia Galka’yo? Huko ndipo uvumbuzi mpya unaendelea hivi sasa.
@abubakarrahim8482
4 жыл бұрын
@@davidngwesa suala lako nimeliona leo lakini huenda ukapata majibu yangu. Kiswahili chimbuko lake lilianzia huku kwetu somalia hadi sasa tupo hata kama ni minority tribes.kuanzia mogadisho,Barawa. kismaiyu, na visiwani- koyama, chula, chovae , mdowa, kudai, Burkavo, Raskiamboni mpakani baina ya somali na kenya hizi ni sehemu utapata kiswahili kiki zungumzwa hadi leo.
@abubakarrahim8482
4 жыл бұрын
@ShutterDe DON hujakosea kuwa nimbajuni ama Wambalazi abao kwa jina lengine wanaitwa Wabarawa. Lakini wabantu wamepotza lugha yao ya kizugua wengi wanaongea kisomali japo kuna wengine kidogo wanaongea lugha ya kizuguwa. Huku somalia wanaitwa jareer ama wagosha a.k.a Bantu. Majina walio bandikizwa na wasomali.
@abubakarrahim8482
4 жыл бұрын
@@davidngwesa kiswahili kinaongwa sehemu nyingi sana japo sisi somalia ni minorities lakini lugha yetu bado tumeidhabiti. Kuanzia mogadisho, Barawa, kismaiyu, na visiwani -mchooni, Koyama, Fuma, chula, mdowa, Chovaye, Burkavo, na Raskiamboni mpakani kenya na somalia.na ukija kwa nduguzetu wabajuni wa kenya kuanzia Ishakani Pate, chundwa, faza, na visiwa vengine mpaka lamu na wengine wanateremka mpaka mombasa ufuo mzima. hawa ni ndugu zetu tulogawanyika sababu ya mipaka waloweka wakoloni.
You are good for nothing brother. Wallah Bin Wallah ni mwalimu wa walimu na Tanzania hamna mwalimu kama yeye.
@maryanmahad6615
6 жыл бұрын
Ooh Stephen mukangai !
@hamadamaani2516
4 жыл бұрын
Je uchunguzi huo ulifanywa na nani huku ndo kumejaa ufanisi na utendeti Wa lugha
@ramyali6347
2 жыл бұрын
Unasema nini wewe na Wallah bin Wallah amesomea Tanzania?? Shukuru Tanzania imesomesha huyo hadi kuwa Gwiji.
@felixmakinda7689
17 күн бұрын
@@ramyali6347Mimi ni Mkenya lakini nimeshangaa Sana kauli yake. TZ ina waalimu wengi Sana waliotukuza Sisi Wakenya Kiswahili. Said A. Mohammad, Shaaban Robert, John Simbamwene, Euphrase Kezilahabi na wengine wengi Tu.
ASATE SANA MWALIM GURU NATAMANI UTUFAHAMISHE LUGHA YETU YA KISWAHILI INAYO TAFOUTI NA WASWAHILI WA WASOMALI NA WARABU WA OMANI (HAYO MANDISHI NI LUGHA GANI ???KISWAHILI AU KIARABU ???)KWA KIARABU ( احسنت صنيعا معلم جوروا أتمنى ان تفهمنا لغتنا لها من تفاوت من سواحلية الصومال و عرب عمان ) SASA NIMEANDIKA KWANZA KWA KISWAHILI NA NIMEDIKA KWA KIARABU NANI AL KUAWA AMEKUJA KWANZA QURAAN TUKUFU KWA KIARABU AU KISAWAHILI ?????? KISAWAHILI NI LUGHA IMEZALIWA KUTOKA KIARABU KWANI VIDEO HI YAKO ZAIDI YA NUSU MANEMO YAKO NI LUGHA YA KIARABU ASANTE SANA