JAMVI LA LUGHA :UFASAHA WA KISWAHILI

GURU WALLAH BIN WALLAH NA KAKA JOYOOS

Пікірлер: 56

  • @user-hu2uw9hy1f
    @user-hu2uw9hy1fАй бұрын

    Asiyejua ngeli hajui Kiswahili,heko sana Walla bin Wallah

  • @jibabealhadjy1637
    @jibabealhadjy16377 жыл бұрын

    Nafurahi ustadh guru wallah bin wallah kwa kusisitiza kwa kutunzwa kwa kiswahili kwani wengine huidharau hii lugha kwa kujiongelea mambo ya sio ongelewa

  • @ErimaEric
    @ErimaEric5 жыл бұрын

    Safi sana. Leo nime onja utamu wa Lugha fasaha

  • @Mwituyi
    @Mwituyi9 жыл бұрын

    The best teacher in the country

  • @umbopaday
    @umbopaday5 жыл бұрын

    Guru Neno LA kihindi cha Punjabi maana yake mkuu WA dini ya masinga singa. Mfano guru Nana

  • @mshihirimweusi7986
    @mshihirimweusi79865 жыл бұрын

    Kiswahili hakina udhaifu wa maneno, tunapojaribu kutunga misamiati tuangalie zaidi lahaja za kiswahili.

  • @AllyHilal
    @AllyHilal7 жыл бұрын

    Bidii yako naikubali. Ahsante Ustadh Walla bin Walla

  • @kipkuruinicholas7130
    @kipkuruinicholas71307 жыл бұрын

    kaka jos tafadhali tutangazie kambumbu banaaaaaa! mashabiki tunaumia

  • @cynthiaadika7981
    @cynthiaadika79815 жыл бұрын

    Hongera kwa kazi kuntu! Naomba Mola Akupe umri.

  • @MwalimuRichardMwangi.7202
    @MwalimuRichardMwangi.72024 жыл бұрын

    Guru kongole .....Maaaasneeeno hayo

  • @martowawesh1769
    @martowawesh17698 жыл бұрын

    hongera ustadhi walla

  • @swotchege3160
    @swotchege31602 жыл бұрын

    Makala mazuri sana...hiki kipenda kilikwenda wapi katika runinga?

  • @aggreyokulo1755
    @aggreyokulo17558 жыл бұрын

    Heko guru,nami nimemakinika vyema kutokana na kazi zako..

  • @lobaalfred1220
    @lobaalfred12204 жыл бұрын

    Galacha wa kiswahili ambaye mimi hutamani kukutana naye ana mnato jinsi anavyozungumza na kuwastadiwa kiswahili.

  • @vincentokiyah4806
    @vincentokiyah48063 жыл бұрын

    Hongera sana Guru.. mwanafunzi wako milele

  • @mwanaahagostine2357
    @mwanaahagostine23574 жыл бұрын

    Nakubali kiswahili kitamu

  • @icon761
    @icon7615 жыл бұрын

    Mjuzi

  • @MwalimuRichardMwangi.7202
    @MwalimuRichardMwangi.72024 жыл бұрын

    Nimefurahi sana kwa ajili ya guru

  • @melimeli9232
    @melimeli923211 жыл бұрын

    Kaka hujambo ,asante kwa kutufunza lugha hii ya kiswahili.Nikitafakari mwaka wa 2005 katika kipindi cha ukarabati wa lugha mafunzo yako pamoja na ya mwalimu Walla yalinifanya nielewe kiswahili sana, mungu awabariki na awapatie nguvu ya kuenedeleza kiswahili.

  • @simonphabiano9050
    @simonphabiano90504 ай бұрын

    Safi sana Mwalimu

  • @festusmuia5006
    @festusmuia500611 ай бұрын

    Mwandishi wa vitabu mufti,,,bwana ulinisaidia sana katika somo la kiswahili

  • @evansodikor2343
    @evansodikor23433 жыл бұрын

    hongera zidi kutuelimisha

  • @Blackisbuty5
    @Blackisbuty511 жыл бұрын

    Tafadhali KBC 'upload' video vya jamvi la lugha hasa natafuta ya mwaka uliyopita desemba wa wanaume wawili walimu, jina la mwisho nadhani lilikuwa ni Njoku

  • @leahmunji8781
    @leahmunji8781 Жыл бұрын

    Kiswahili lugha tamu ikitumika kwa ufasaha ...kiswahili kitukuzwe.

  • @jackowuor4016
    @jackowuor401611 жыл бұрын

    aise kaka mbona wakenya hawana hulka ya kusoma vitabu vya kiswahili

  • @AhmedOmar-no1ci
    @AhmedOmar-no1ci4 жыл бұрын

    Na ogopa kujikashifu nikiandika maoni yangu. Lugha ya mtaa haina thamani tunyamaze tu.

  • @Okwash1
    @Okwash19 жыл бұрын

    Huyu Guru Wallah Bin Wallah ni mjaluo. Luos can speak swahili.

  • @MichaelTonga101
    @MichaelTonga1014 ай бұрын

  • @mugokiberenge8818
    @mugokiberenge88183 жыл бұрын

    Kipindi wapi tena?

  • @jamboaerobicsandfitness2000
    @jamboaerobicsandfitness20005 жыл бұрын

    Fasaha ni kiswahili? Kiswahili cha uguja kimetatiana na kiarabu..

  • @abubakarrahim8482
    @abubakarrahim84827 жыл бұрын

    sisi huku somalia tunawaangalia munavo kichafua lugha ya kiswahili lakini tunaomba ishuke amani somalia naona kutakuwa na mapambano na mijadala ya lugha hii ilivo chafuka kiwango hichi.

  • @davidngwesa

    @davidngwesa

    4 жыл бұрын

    Somalia Kiswahili kinazunguzwa wapi? Naomba kuelewa kama hautajali!!

  • @AhmedOmar-no1ci

    @AhmedOmar-no1ci

    4 жыл бұрын

    umewahi kusikia Galka’yo? Huko ndipo uvumbuzi mpya unaendelea hivi sasa.

  • @abubakarrahim8482

    @abubakarrahim8482

    4 жыл бұрын

    @@davidngwesa suala lako nimeliona leo lakini huenda ukapata majibu yangu. Kiswahili chimbuko lake lilianzia huku kwetu somalia hadi sasa tupo hata kama ni minority tribes.kuanzia mogadisho,Barawa. kismaiyu, na visiwani- koyama, chula, chovae , mdowa, kudai, Burkavo, Raskiamboni mpakani baina ya somali na kenya hizi ni sehemu utapata kiswahili kiki zungumzwa hadi leo.

  • @abubakarrahim8482

    @abubakarrahim8482

    4 жыл бұрын

    @ShutterDe DON hujakosea kuwa nimbajuni ama Wambalazi abao kwa jina lengine wanaitwa Wabarawa. Lakini wabantu wamepotza lugha yao ya kizugua wengi wanaongea kisomali japo kuna wengine kidogo wanaongea lugha ya kizuguwa. Huku somalia wanaitwa jareer ama wagosha a.k.a Bantu. Majina walio bandikizwa na wasomali.

  • @abubakarrahim8482

    @abubakarrahim8482

    4 жыл бұрын

    @@davidngwesa kiswahili kinaongwa sehemu nyingi sana japo sisi somalia ni minorities lakini lugha yetu bado tumeidhabiti. Kuanzia mogadisho, Barawa, kismaiyu, na visiwani -mchooni, Koyama, Fuma, chula, mdowa, Chovaye, Burkavo, na Raskiamboni mpakani kenya na somalia.na ukija kwa nduguzetu wabajuni wa kenya kuanzia Ishakani Pate, chundwa, faza, na visiwa vengine mpaka lamu na wengine wanateremka mpaka mombasa ufuo mzima. hawa ni ndugu zetu tulogawanyika sababu ya mipaka waloweka wakoloni.

  • @Mwituyi
    @Mwituyi9 жыл бұрын

    You are good for nothing brother. Wallah Bin Wallah ni mwalimu wa walimu na Tanzania hamna mwalimu kama yeye.

  • @maryanmahad6615

    @maryanmahad6615

    6 жыл бұрын

    Ooh Stephen mukangai !

  • @hamadamaani2516

    @hamadamaani2516

    4 жыл бұрын

    Je uchunguzi huo ulifanywa na nani huku ndo kumejaa ufanisi na utendeti Wa lugha

  • @ramyali6347

    @ramyali6347

    2 жыл бұрын

    Unasema nini wewe na Wallah bin Wallah amesomea Tanzania?? Shukuru Tanzania imesomesha huyo hadi kuwa Gwiji.

  • @felixmakinda7689

    @felixmakinda7689

    17 күн бұрын

    ​​@@ramyali6347Mimi ni Mkenya lakini nimeshangaa Sana kauli yake. TZ ina waalimu wengi Sana waliotukuza Sisi Wakenya Kiswahili. Said A. Mohammad, Shaaban Robert, John Simbamwene, Euphrase Kezilahabi na wengine wengi Tu.

  • @asilclub
    @asilclub7 жыл бұрын

    ASATE SANA MWALIM GURU NATAMANI UTUFAHAMISHE LUGHA YETU YA KISWAHILI INAYO TAFOUTI NA WASWAHILI WA WASOMALI NA WARABU WA OMANI (HAYO MANDISHI NI LUGHA GANI ???KISWAHILI AU KIARABU ???)KWA KIARABU ( احسنت صنيعا معلم جوروا أتمنى ان تفهمنا لغتنا لها من تفاوت من سواحلية الصومال و عرب عمان ) SASA NIMEANDIKA KWANZA KWA KISWAHILI NA NIMEDIKA KWA KIARABU NANI AL KUAWA AMEKUJA KWANZA QURAAN TUKUFU KWA KIARABU AU KISAWAHILI ?????? KISAWAHILI NI LUGHA IMEZALIWA KUTOKA KIARABU KWANI VIDEO HI YAKO ZAIDI YA NUSU MANEMO YAKO NI LUGHA YA KIARABU ASANTE SANA