JORAMU NKUMBI: Fundi wa KISWAHILI aliyesoma Hisabati Chuo Kikuu, aliambiwa atakuwa mwanga wa dunia

Ойын-сауық

Kutana na Joramu Nkumbi, Msomi wa Hesabu na Masuala ya Biashara ambaye amejikita katika uzungumzaji wa #Kiswahili na mwandishi wa vitabu

Пікірлер: 78

  • @elimelamerii2342
    @elimelamerii2342 Жыл бұрын

    I come to like if not to love this guy... Unajua mambo mpaka unavutia. Nimevutiwa nawe.

  • @adammaina5612
    @adammaina56125 ай бұрын

    Young man, I speak the glory of God upon you. Tanzanians, this young man will be your president and he will transform your country.

  • @rissasyallymfaume5522
    @rissasyallymfaume5522 Жыл бұрын

    Joram Nkumbi nimehamasiki sana kwa juhudi yako ya mufunua kawa la tamu ya lugha ya kiswahili.Mazungumuzo ya leo TBC 1 ni funzo adhimu hasa kwa wana habari kwenye runinga na radio waonyeshe umahiri wa kuzungumza. Kwa kweli nao wengi wao bado dhaifu.

  • @ghelimafilemon9653
    @ghelimafilemon9653 Жыл бұрын

    Hongera mnyaturu kwa maarifa hayo. Utuletee na historia ya kabila la Oromo nchini Ethiopia wanaokisiwa ni ndugu wa wanyaturu/Warimi.

  • @silverman6930
    @silverman6930 Жыл бұрын

    This dude is a genius I love him ❤️💖💖💖🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿

  • @bradtunya5056
    @bradtunya5056 Жыл бұрын

    This guy is trending in Kenya now

  • @albertlucaskoisha7353
    @albertlucaskoisha73537 ай бұрын

    Unapanda ufahamu sana mwalimu kwetu asante

  • @GeorgeSimbeye
    @GeorgeSimbeye Жыл бұрын

    This guy is a genius a true salty of the earth and light of the world 🙌

  • @bahatij1

    @bahatij1

    Жыл бұрын

    Yeah, i feel the same.

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 Жыл бұрын

    Hii ni kitu nzuri Sana na imenikosha kuwajulisha watu kuwa si lazima uwe msomi wa chuo kwa fani flani kujua mambo

  • @mohammedmasoud6198
    @mohammedmasoud6198 Жыл бұрын

    Habari ya kazi kaka sky nimependa sana kipindi chako na mahojiano uliyo (ulio) yafanya na kaka JORAMU ila kuna vitu ambavo(ambavyo) haviko sawa katika mfumo wa lugha ya kiswahili kupitiya(kupitia) kile alichokisema kaka JORAMU, Kwamfano : matumizi ya neno ndio alipolitumiya (alipolitumia) kwenye ziwa kwakusema lile ndio ziwa hii kimsingi haiko sawa na kwauwelewa wangu. Namengi na mengineyo. LAKINI NAPENDA HARAKATI ZAKE ZA KUFUATILIYA LUGHA YA KISWAHILI. Ahsante sana

  • @blackwarrior-animations593
    @blackwarrior-animations593 Жыл бұрын

    This Guy Is a Version of Nyerere+Magufuli.....I guess ni Raisi huyu wa Baadae In Sha Allah Leader = Reader

  • @isikesamike

    @isikesamike

    Жыл бұрын

    I second you. A true leader and is going to be a legend.

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    Жыл бұрын

    Unataka watu wamuhusudu bure mtu hajawahi kuwa hata katibu kata unataka mtu awe Rais😅😅😅

  • @fulgencentahomvukiye4531
    @fulgencentahomvukiye4531 Жыл бұрын

    Hey SNS! Naomba nipate kitabu kimojawapo ya vitabu vya huyu Mnyaturu = Hicho cha Kiswahili Mufti Asante!

  • @shenamtukufu1224
    @shenamtukufu1224 Жыл бұрын

    Nampenda sana huyu big rai

  • @yahayamjenga1996
    @yahayamjenga1996 Жыл бұрын

    Matumizi sahihi ya bundle langu

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu2116 Жыл бұрын

    Sky umenikosha Sana kumleta huyu jamaa, HONGERA

  • @mtwaracity9254
    @mtwaracity9254 Жыл бұрын

    This dude got old soul bro i mean he's genius 😊

  • @hamisiseph8312
    @hamisiseph8312 Жыл бұрын

    Nimeipenda

  • @tumaindobeli7137
    @tumaindobeli71375 ай бұрын

    Great mind..

  • @petermangowi
    @petermangowi Жыл бұрын

    Mwigulu Mchemba angalia huyu kama hatakuwa mwanao basi atakuwa ndugu yako sana.

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Жыл бұрын

    Katika vipindi vizuri Toka kwako kuhoji hii ni namba moja kwangu kwa mwaka huu

  • @allynguvumali4741
    @allynguvumali4741 Жыл бұрын

    Ana lafudh kama nyerere kwa mbali sana sio ndugu kweli

  • @ShimboPastory
    @ShimboPastory Жыл бұрын

    Heshima yako kaka Joram

  • @arsenalzanzibar2413
    @arsenalzanzibar2413 Жыл бұрын

    Kwa ss wanzanzibar na watu wa pwani hususani watu wa visiwa vya Pemba tunamuelewa vzr xn Joram anapoongea Kiswahili chenyewe

  • @maryaika9645
    @maryaika9645 Жыл бұрын

    Thinking tank Smarty dude

  • @byaombealoys5967
    @byaombealoys5967 Жыл бұрын

    Mm nimkongo naishi marekani nimefuatilia sana uyo ndugu yetu hapo tena kijana mwenzetu kiukweli ameniamasisha sana,,, ila naom ba mtufanyie nasi soft copy ili walioko nje ya tz tupate vitabu vyake, ninaamu sana yakusoma ivyo vitabu vyake. Please tunaomba.

  • @Bensonfrank25
    @Bensonfrank25 Жыл бұрын

    Kid pronounce words very correctly man. 🙌🔥

  • @iddikimia4951
    @iddikimia4951 Жыл бұрын

    Safi sana na mm nitaweka kidinini🤣🤣🤣

  • @joramunkumbi
    @joramunkumbi Жыл бұрын

    ASANTENI SANA

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Жыл бұрын

    Huyu jamaa kichwaa ana kitu kikubwa Sana atabadilisha maarifa

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 Жыл бұрын

    kweli kod ni nying sana kweli mazingira ya sio rafiki sana sana ukiwa wakala wa fedha kila mwezi kod ukiwa unapata Mfano voda 30000 halotel 20000 tigo 15000 jumla 65000 kila tujiulize kweli tutafika acha kod ya mwaka na lesen apo umetoka tu chuo lakn kweli kuwa watu kwenye inch yetu

  • @BGHaule
    @BGHaule Жыл бұрын

    Wanyaturu ukikaa nao karibu ndio unawaelewa,wana ugenous Fulani,hata wanawake wa kinyaturu ukikaa nao utatambua ni wanawake wa pekee

  • @marcoemanuel6892
    @marcoemanuel6892 Жыл бұрын

    Hongera sana

  • @mastaplan
    @mastaplan Жыл бұрын

    Huyu jamaa anamdini sana high IQ

  • @joramunkumbi
    @joramunkumbi Жыл бұрын

    JORAMU NKUMBI

  • @Raya171
    @Raya171 Жыл бұрын

    Wow big up

  • @jimmyx8412
    @jimmyx8412 Жыл бұрын

    Dah moyo wangu umepata mtimbwiliko Sana

  • @rockyvlogs2214

    @rockyvlogs2214

    Жыл бұрын

    Sawa 😂😂

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu2116 Жыл бұрын

    Hiyo ya mfano wa mto kuingiza maji tu bila kutoa nimeelewa Sana, nimejifunza jambo kubwa Sana

  • @reinhardkisiya1991
    @reinhardkisiya1991 Жыл бұрын

    Wars of inspiration

  • @johnrogath1066
    @johnrogath1066 Жыл бұрын

    Super genius

  • @marcoemanuel6892
    @marcoemanuel6892 Жыл бұрын

    Hata kingereza ana sound noma sana

  • @rockyvlogs2214

    @rockyvlogs2214

    Жыл бұрын

    Nihatar sana

  • @divinegospelministry8628
    @divinegospelministry8628 Жыл бұрын

    Nahitaji hicho kitabu. Naitwa Alex dominic kutoka Michigan.

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 Жыл бұрын

    JAMAA MTAM HUYU.!!!!

  • @abelmirwatu544
    @abelmirwatu544 Жыл бұрын

    Tunaomba tumsikie zaidi huyu jamaa.

  • @yessecharles3155
    @yessecharles3155 Жыл бұрын

    Bro sky mpe kipindi hata cha dakika 15 atufundishe kiswahili bro

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Жыл бұрын

    Huyu ni mjuzi wa mambo

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Жыл бұрын

    Nchi yetu bwana tabu sana vijana wapo mtaani wengi mno na hakuna kazi

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Жыл бұрын

    GDP ya Tanzania ni dola bilioni 61. Si ya tano. Tumepitwa na Nigeria, Misri, Afrika Kusini, Algeria, Morocco, Ethiopia, Kenya, Sudan na Ghana imetupita mwaka jana. Just for a record.

  • @haggaiandagile6232

    @haggaiandagile6232

    Жыл бұрын

    Ni ya tisa , GDP nominal 77 billion usd

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Жыл бұрын

    Hata kwa wazungu Wana tatizo la ajira

  • @selemanishabani126
    @selemanishabani126 Жыл бұрын

    Tunavipataje hivyo vitabu kiongozi

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Жыл бұрын

    Huyu jamaa anaweza kuja kuwa mtu mkubwa nchini

  • @kingmsanya3524

    @kingmsanya3524

    Жыл бұрын

    Naunga mkono

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 Жыл бұрын

    Hiki Kichwa kimesimama

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 Жыл бұрын

    uyu jamaa shule ipo ya kutoshaa.... ✔✔✔

  • @rjb31
    @rjb31 Жыл бұрын

    Ananivunja mbavu Akicheka 🤣🤣🤣🤣😂😂

  • @nevermind4789
    @nevermind4789 Жыл бұрын

    Nipo kama Nimepigwa dafrao rovurovu

  • @unjuinkuganda1991
    @unjuinkuganda1991 Жыл бұрын

    S I N G I D A N I KING'

  • @narumbahanje9393
    @narumbahanje9393 Жыл бұрын

    Mnyaturu 😀 kumbee

  • @treyvissy9854

    @treyvissy9854

    Жыл бұрын

    Home boy kabisa huyu

  • @seifjuma3471

    @seifjuma3471

    Жыл бұрын

    Nimtanzania😀akoding tu Mwalimu Nyerere

  • @venancemartin6734
    @venancemartin6734 Жыл бұрын

    Kwenye mpira amezngua

  • @josealbertoblasse2520
    @josealbertoblasse2520 Жыл бұрын

    Unajua mondelan Moçambique yee good

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Жыл бұрын

    Wabadu wakatabahu fakir ...

  • @ramadhanirakoze
    @ramadhanirakoze Жыл бұрын

    Huyu bwana mbona anafanana na Nelson Mandela

  • @joramunkumbi
    @joramunkumbi Жыл бұрын

    NIPO HAPA NDUGU YENU - ASANTENI SANA KWA KUNITIA MOYO

  • @thomaskiponda6079

    @thomaskiponda6079

    Жыл бұрын

    HONGERA SANA LEO NIMEKUTANA NA WEWE PALE MLIMANI CITY NIKIWA NA BODABODA KAMA UNAKUMBUKA NIMEFURAHI SANA MAANA NIMEONGEA NA WEWE KABISA SAFI SANA JORAM NKUMBI NAKUPENDA SANA.

  • @venantchami960

    @venantchami960

    11 күн бұрын

    BIG MAN, SEE YOU SOON

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️

  • @khizralghawy9489
    @khizralghawy9489 Жыл бұрын

    Kama isiishe

  • @ibba8082
    @ibba8082 Жыл бұрын

    Wa Lweba Fizi D R Congo,Vitabu Vinapatikanaje ?

  • @catherinekingori9018
    @catherinekingori9018 Жыл бұрын

    Nahiji hiki kitabu

Келесі