Joram anajua sana alishatufundisha kuhusu historia ya hayati mwl Julius nyerere tokea amezaliwa mpk umauti ulivyomkuta tukiwa secondary
@upendowakwelinaamani10602 жыл бұрын
Nimejifunza ya kwamba ulimi ni kibaka mkubwa saana alieshindikana hiyo ni kweli kabisa na nikajifunza ya uwepo ni unatumika kwa muumba jala jalali na kwa binaadam unatumia neno kuwepo kwako asante kwa kujifunza haya hakika kiswahili ni lugha tamu sana
@baizoboy17192 жыл бұрын
Umeenda zako kuomba KAZI dakika ya mwisho mara paaaa! Unafanyiwa interview na huyu msela.. natoroka mie🏃
@magorimagori9264
Жыл бұрын
Hahaaaaaahahahaaaaaaaa
@yessecharles3155
Жыл бұрын
🤣😁🤣🤣
@simontamba1285
Жыл бұрын
Umenifanya nife naona
@simontamba1285
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@allymohamed4065
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@janetcharo15432 жыл бұрын
My Kenyan🇰🇪 swahili is broken and not fluent lol. Much love to Tanzanian swahili ❤❤
@ronald_terer
2 жыл бұрын
acha hizo bana
@hassanmfaume4522
Жыл бұрын
Kaelezea ukweli😅😅😅
@mirajimtaturu459 Жыл бұрын
Hongera Sana Comrade Jorum Nkumbi wewe ni hazina ya nchi .
@EliyacostantinoPius2 жыл бұрын
My classmate my neighbourhood..Friend indeed.Singida
@hopelicious2 жыл бұрын
Am proud of you brother Joram. Much love.
@fadhilahassan2455 Жыл бұрын
Hongera ndugu, unaongea kiswahili kizuri maneno mazuri yana bashasha sana. Kwa mbaali unafanana na mwigulu .
@boniphacelusato
Жыл бұрын
Wote ni Wanasingida
@rashidissa5794
Жыл бұрын
Kwani huyu Jamaa ni mtoto au ndugu wa Mwigulu Nchemba? Mbona nafanana kwa sura na sauti? Pia Msingidani?
@mwigakatumpula5695 Жыл бұрын
Hapo kwenye matumizi mazuri ya ulimi umenikosha sana mtaalamu 👏👏👏👏👏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😄
@sheilaporomoka8079 Жыл бұрын
Tumesali wote jumapili hii TAG AREA D DODOMA. IBADA YA KWANZA
@ninsiimaalfred2643 Жыл бұрын
Mie ni kijulanga mpenzi na shabiki wa lugha akrama ya kiswahili, huyu bwana namsharifu popote pale alipo. Maneno yake matamu yanirovya rovurovu na kunitebweresha tebwere huku nikijiona nyumbani na kuzidi kutabaruku naye kila uchao. Mwenyenzi Jalia ambaye twasujudia kila kunapokucha amjalie saada na sudi katika hii sayari ya tatu 🙏
@bintik2311
Жыл бұрын
Ndugu hii amjalie Saada na Sudi watoto? Au Kuna maana nyingine ?hebu nijuze maana kiswahili nimejua kina mengi.
#kingmusic ebu yaweke kwenye nyimbo ili yakae milele, maana nikiwaomba hili #wcb, kesho mwanangu atasoma matusi ao yasio kheri. 🇺🇸
@maryjoseph73062 жыл бұрын
Huyu mwamba akitongoza demu hachomoki🤣😂😎😎
@gracejulius3966
Жыл бұрын
Haaaàhaaaaaa
@AbuBakar-fu9ov2 жыл бұрын
Joram good language clear swahili 🤗🤗🤗
@zaudatmakula34542 жыл бұрын
Kijana wa singida katishaa Sanaa munyampaa huyu
@newking64972 жыл бұрын
My classmate at Mwenge Catholic University 👏🏽👏🏽👏🏽😍😍
@BONGOINMOTION
2 жыл бұрын
Mwaka gani
@alexmmbaga4412 жыл бұрын
Huyu barubaru anatusaidia waja chochole kutondoa utondozi wa kuzungumza shelabela
@walinaziontime7300 Жыл бұрын
Kiswahili tunajua lakini huyo anatumia misamiati ile uliyo dadavuliwa ila wengine tunatumia kile kilicho Dada vuliwa kiufupi yeye yupo sawa na sisi tupo sawa pia🙏🙏🙏 brother yupo vizuri great 👍
@Tukolive2 жыл бұрын
Sounds Like Nyerere Somehow 🙄One Love Brother #SnS Mpeni Time Huyo Jamaa Hata Mara 1 Kwa Wiki, Hope tutajifunza Mengi #Elimu Haina Mwisho#Swahili To The World 🗺
@chiefnumborecords4819 Жыл бұрын
Joram Mimi ni chifu nipo huku morogoro nimekuelewa sana pia nimependa falsafa zako ni Nzuri sana hakika wewe ni mswahili aswaa hongera sana Mimi ninakuita Dactari Joram mswhili
@edwardedwardbuberwa3701 Жыл бұрын
Kijana anajua hakika tulidhan bingwa wa misemo ni Mrisho Mpoto kwa kizazi kipya kumbe wapo vijana barubaru kama huyu wana sifa lukuki za kumwaga ngeli na ngali rahaja na misamiati lukuki hakika twaelekea kuzuri
@jameskahamba40232 жыл бұрын
Huyu jamaa ukikaa nae huwezi nuna, anaoneka nimcheshi sana
@baloziubalozini50742 жыл бұрын
Huku Joram, kule Oni sigala Wasikilizaji itabidi kila mmoja wao awe na kamusi 😂
@mohamedbinfadhil1396 Жыл бұрын
Huyu mdigo maneno yake yanamaana sana Asante sana ndugu
@Memphisblue228222 жыл бұрын
For all of u outsiders who dont understand this guy I wanna say ama swahili speaker and I dont understand a word he is sayin koz his swahilli is of literature
@saidizuberiissa72862 жыл бұрын
Hakika hiki nichuma afu kinaonekana kina soma sana vitabu
@simontamba1285 Жыл бұрын
African Language its so beautifully
@stephenmasha86232 жыл бұрын
Waaaaah... kama kweli sijui kiswahili huyu jamaa kanifunza
@mathewdyzymaleyafrica9128
2 жыл бұрын
wapwani twazijua semo hizoo ,bara kidogo muksheri
@edwardpeter8569 Жыл бұрын
Talented Joram go great bro
@KIMSwahili2 жыл бұрын
Hakika humejawa ,, endendea kubalizi kiswahili kweli hadimu na hadhimu
@deogratiasshija5897 Жыл бұрын
Safi sana ..saafi.
@dayana5513story2 жыл бұрын
Mimi nimependa kicheko tuuu 🙌🙌🙌
@hassanlamata2312 Жыл бұрын
Hongera sana kaka nimekubali asee
@zamdaomanizamdaomani31722 жыл бұрын
Hongeraa mnyampa Nkumbi
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Mashallah, kiswahili FASAHA
@apostlejoshuakuhanda5524 Жыл бұрын
Nami nitiririke maneno mithili ya maji mtoni, kweli, nimebarikiwa na hazina ya maanani itokayo kinywani mwa ndugu yetu JORAM...
@tumainkitundu1015
Жыл бұрын
Kongole
@mrboogie255-dr2kh2 жыл бұрын
Like him... he's really fund wa kiswahili
@benmbwele
Жыл бұрын
Huyu ni Mbuji huyu.
@simonphabiano90504 ай бұрын
Joram anaongea kwa Utononoti uliotukuka kwelikweli.🎉❤
@shenamtukufu1224 Жыл бұрын
Asante kaka
@jemjay1011 Жыл бұрын
Hiyo ni Shang ya tz kwetu Kenya 🇰🇪 sisi husema nakulombotove
@thelonewolf44292 жыл бұрын
Duuh hatari lugha yangu ya taifa mie mkongo
@maryaika9645
2 жыл бұрын
Kama hivyo Mir masai
@lewakhamis35382 жыл бұрын
Anaongea kama watu wa Mombasa Wallahi...
@emmanuelmagova39302 жыл бұрын
😄😄hakika nimejua sijui🙌🏻
@Mzayanine2 жыл бұрын
Poet speakin
@blackjack33562 жыл бұрын
Kweli anajua
@benmbwele Жыл бұрын
Vijulanga wengi wanakasumba za kikoloni....wamejawa na ufukufuku na mangungumbaro ambayo huleta songombiingo katika mijadala. Ahsante kwa matumizi mazuri ya gayagaya za waswahili na ukumbusho wa msemo wa "Zani halina hazina ni ukuba wa mbeleni".
@benedictbuberwa3943 Жыл бұрын
Safi sana..
@ilynpayne74912 жыл бұрын
Haahah jamaa ana sauti nzuri sana
@emanuelmbondo45982 жыл бұрын
Baada ya kumsikiliza Joram na kiswahili chake! Je tuendelee na mpango wa Kiswahili kutumika kama lugha ya interview alafu mwendesha interview awe Joram?!😂😂😂
@UMMAHWASATIYYAH
2 жыл бұрын
Kwanza ongea neno interview kwa Kiswahili 😂
@ellymakongo656
Жыл бұрын
@@UMMAHWASATIYYAH mtimbwiriko🤣🤣🤣
@aminakipande5645
Жыл бұрын
@@UMMAHWASATIYYAH 😀🤣🤣
@goblessjrtz5464
Жыл бұрын
Uswahili ndio interview
@simontamba1285 Жыл бұрын
Much love swahili lg
@wilsonchishomi10832 жыл бұрын
Jamaa anafanana na wazulu
@BONGOINMOTION
2 жыл бұрын
Acha uwongo bna
@maryaika96452 жыл бұрын
Special craft
@kekiplus1andonly2 жыл бұрын
Mtimbwiriko 🎉🎉🎊👌🤣🤣🤣🤣🤣
@ameirzapy13182 жыл бұрын
Kama nyerere fulani ivi, anakuja halafu anakataa
@africanproudly40042 жыл бұрын
Kuna muda naonaga tusibishane kiswahili anakijua zaid nani Kiswahili ni kigumu 🤣🤣
@maryamtan682
2 жыл бұрын
Sana tena Sana. Ndo maana ht sekondali unaambiwa sm gumu ni kiswahili, maana kumegawanyika mno.
@ramyali6347
2 жыл бұрын
Kutojua misamiati aliyotumia hakumfanyi mtu hajui kisw. Lugha ni ufasaha siyo ukubwa wa misamiati.
@franciskyombo9394
2 жыл бұрын
@@ramyali6347 jamaa anajua ira kaka umeongea point unakuta mfano neno moja la kingereza lina maana zaidi ya mbili ukijua maana moja ukashindwa maana nyingine ndo hujui kingereza.
@ramyali6347
2 жыл бұрын
@@franciskyombo9394 hakumfanyi hajui kiingereza. Maana hata kwenye kiingereza kuna maneno hayatumiwi na watu wakawaida ila waandishi wa vitabu tu kwaajili ya kupamba kazi zao. Na waingereza wenyewe siyo kwamba wanayajua maneno yote. Siyo kweli. Na hayo aliyotumia huyo jamaa mengi hutumika kwenye mashairi na mingine yanamepatiwa maana zake nyingine mfano Shelabela watu wanatumia-- "Ovyo/mambo ya ovyo ama yasiyoleta maana . Ila moja tu hili mtimbwiriko linatumika sana tu visiwani kwenye harusi na rudia kwenye nyimbo ya zuchu Litawachoma ametumia "timbwiritimbwiri mpaka mapamazuko " siyo kama hayajulikani ila hayatumiwi tu.
@mwlhumphreysamwel99302 жыл бұрын
Kweli huyu ndugu amejaliwa kuongea vema lakin nimebarikiwa sana sana na kicheko chake
@mwlhumphreysamwel9930
2 жыл бұрын
Amini kuwa umebarikiwa sana kwa hekima na busara za maneno you are good my bro
@noberthugho25552 жыл бұрын
"Fikra mkururo"😂
@messaabbas7392 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣si amenichekesha hataree jamanii 🙆
@hadijagere2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣eti mtimbwiriko
@juliuswacira97085 ай бұрын
Unachangamsha sana kwa ulumbi wako!
@saidizuberiissa72862 жыл бұрын
Kiswahili chapwani khaswa hichi ndo mambo zetuu sie watuu watanga, mombasa, hadi zanzibar
@asyashariffu7717
2 жыл бұрын
Ukisema Hadi zanzibara..unamaanish Zanzibar ni ya mwisho kw kiswahil kuliko Tanga na Mombasa ...kuwa na adabu na zanzibar ww ipe heshima yake kweny kiswahil Tanzania na Dunia mzima
Wa Tanganyika neno kudra, Sikudhamiria, hidaya, siha njema wao pia wanaona maneno mapya😂
@gabrielbahat91072 жыл бұрын
Ash! Huyu jamaa kiboko kweli kweli
@dylankanyubi3700 Жыл бұрын
Kongole ndugu 👏🏿
@elizabethjohn71772 жыл бұрын
Umetufuza lkn kikubwa nime cheka sana 🤣🤣🤣🤣
@saidizuberiissa72862 жыл бұрын
Anaakili sana huyu jamaa! naweza mpataje
@josamwilliam4105
2 жыл бұрын
Nunua kamusi ya Kiswahili usome
@hisanmwakijungu10
Жыл бұрын
Utampata msununu
@nicholauslwena31892 жыл бұрын
Jamaa mwamba kabisa......
@kalengashoppingcenter11082 жыл бұрын
Apa Leo sky umetuweza, haswa ukijua kuzungumza kiswahili tena kwa Waswahili
@DARAJANI_TV Жыл бұрын
😂😂😂 furaha furifuri
@bernardmasangula9358 Жыл бұрын
aweeeee🤣
@idrisatv55402 жыл бұрын
Kiswahili cha kawaida sana kikubwa jamaa anatohoa kwenye kiarabu arafu anachanganya na tungo za mashahili
@ramyali6347
2 жыл бұрын
Kama uandishi wako ndiyo huu basi hicho alichozungumza siyo kisw cha kawaida kwako, na maneno ya kiarabu yapo zamani hayo hakuna alilotohoa hata moja.
@jumahamis227
2 жыл бұрын
Kama umesoma lugha au fasihi kila lugha huwaga inakopa maneno toka lugha nyingine mfano kiingereza chenyewe kimekopa maneno Mengi tu toka kwenye kijerumani, kifaransa na kigiriki, pia hata kiarabu nacho kimekopa maneno toka lugha nyingine mfano lugha ya kiebrania, kiajemi na lugha nyingine za mashariki mwa kati. Kwahyo ni kawaida lugha yoyote kuwa na maneno ya lugha nyingine kutokana na mafungamano mbali mbali kama biashara na kijamii kwa jumla, Mfano uhusiano wa miaka na miaka baina ya oman, Iran na pwani ya afrika mashariki umeathiri Kiswahili kuwa na asilimia 32 ya maneno ya kiarabu na kiajemi kidogo kwa kuwa hawakuwa wengi sana.
@jumamofu9573
2 жыл бұрын
Wivu
@hmanyinja2 жыл бұрын
mnyiramba ajuye kiswahil
@saidizuberiissa72862 жыл бұрын
Dah!! fundi huyu
@iammichaellukindo2 жыл бұрын
Usongombwingo na ufukufuku, nitamletea mandungumbwaro aseee. Ntamueka chini kirago cha ukuba wa mbeleni.
@montana32592 жыл бұрын
..raha kumskiliza
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌️.
@ahmadgrujic92972 жыл бұрын
Mbona kama anaongea kiswahili cha Zanzibar
@kabwelasutiviraka4765 Жыл бұрын
Daah huu ugumu wa maisha mwaka huu tutaona mengi kila mtu anajaribu kutoka , bibi tozo njoo huku uone watoto zako wanajaribu kutoka
@aminakipande5645
Жыл бұрын
😀😀😀
@abdulkadir87772 жыл бұрын
Nikweli najua sijui 🤭
@emmalyanga3726 Жыл бұрын
Hehehe nayeyuka nikiweweseka kiwendawazimu hehehe
@jacksongidion51702 жыл бұрын
6
@paschalaxwesso6844 Жыл бұрын
Hapa me kiswahili sijui
@victorsailos2580 Жыл бұрын
Umenena ingawa si mneni wa waneni ila umenena, nayeyuka nikiweweseka kiwendawazimu😂😂😂😂
@MILLY-TEC2 жыл бұрын
Hahahaha NAYAYUKA HUKU NIKIWEWESEKA KIWENDAWAZIMU
@mwanatumuali22382 жыл бұрын
Bila hata kuchanganya ndimi
@hydroreese82942 жыл бұрын
Updated version ya mpoto hii apa 🙌🏿🤨
@signalboy4260
Жыл бұрын
Super Update kabisa
@yeyemkulu8743 Жыл бұрын
Kiswahili ni kitamu sana
@shaabanramadhan6770 Жыл бұрын
Aaaah hyu mwamba anakijua kiswahili haswa sijawahi kuona kiswahili kitamu km hiki
@boniphacelusato Жыл бұрын
Nilikuwa nafikiri najua kiswahili lakini baada ya kumsikiliza Joramu Nkumbi nikagundua kuwa kiswahili changu ni hovyo kabisa. Siku hizi namfuatilia sana ili kuongeza misamiati, misemo na Nahau za kiswahili
@najifa2012 Жыл бұрын
Very blessed voice
@deus8629 Жыл бұрын
This guy is Mathematician by professional but accidentally amejikuta ni mswahili fasaha 👌🏾
@marwawilliam3648
Жыл бұрын
Ok... by proffesion.
@saidizuberiissa72862 жыл бұрын
Naweza mpataje
@saidizuberiissa72862 жыл бұрын
Atajiuwa huyu jamaaa kiswahili safi chatia raha harafu kuna kicheko ndani yake!! samahani wana nzengo nawezaje mpata huyu jamaaa
@newking6497
2 жыл бұрын
He is my classmate
@hukuUJERUMANI2 жыл бұрын
Bingwa wa lugha
@josphinedarani62032 жыл бұрын
Kiswahili kitukuzwe kwenye mtu ambae alikua kipofu na wenye macho anamanisha vunaeza kua umepewa akili na ukawa huzitumii
@johnmwandu21162 жыл бұрын
Kifupi kiswahili bado nadaiwa misamiati mingi Sana ya kiswahili
@ramyali6347
2 жыл бұрын
Lugha ni ufasaha siyo misamiati. Kama unaweza kuandika na kuzungumza bila kusita hakuna unachodaiwa. Hayo maneno hakuna anayetumia bali watunzi tu; hususani wa diwani.
Пікірлер: 231
Joram anajua sana alishatufundisha kuhusu historia ya hayati mwl Julius nyerere tokea amezaliwa mpk umauti ulivyomkuta tukiwa secondary
Nimejifunza ya kwamba ulimi ni kibaka mkubwa saana alieshindikana hiyo ni kweli kabisa na nikajifunza ya uwepo ni unatumika kwa muumba jala jalali na kwa binaadam unatumia neno kuwepo kwako asante kwa kujifunza haya hakika kiswahili ni lugha tamu sana
Umeenda zako kuomba KAZI dakika ya mwisho mara paaaa! Unafanyiwa interview na huyu msela.. natoroka mie🏃
@magorimagori9264
Жыл бұрын
Hahaaaaaahahahaaaaaaaa
@yessecharles3155
Жыл бұрын
🤣😁🤣🤣
@simontamba1285
Жыл бұрын
Umenifanya nife naona
@simontamba1285
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@allymohamed4065
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
My Kenyan🇰🇪 swahili is broken and not fluent lol. Much love to Tanzanian swahili ❤❤
@ronald_terer
2 жыл бұрын
acha hizo bana
@hassanmfaume4522
Жыл бұрын
Kaelezea ukweli😅😅😅
Hongera Sana Comrade Jorum Nkumbi wewe ni hazina ya nchi .
My classmate my neighbourhood..Friend indeed.Singida
Am proud of you brother Joram. Much love.
Hongera ndugu, unaongea kiswahili kizuri maneno mazuri yana bashasha sana. Kwa mbaali unafanana na mwigulu .
@boniphacelusato
Жыл бұрын
Wote ni Wanasingida
@rashidissa5794
Жыл бұрын
Kwani huyu Jamaa ni mtoto au ndugu wa Mwigulu Nchemba? Mbona nafanana kwa sura na sauti? Pia Msingidani?
Hapo kwenye matumizi mazuri ya ulimi umenikosha sana mtaalamu 👏👏👏👏👏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😄
Tumesali wote jumapili hii TAG AREA D DODOMA. IBADA YA KWANZA
Mie ni kijulanga mpenzi na shabiki wa lugha akrama ya kiswahili, huyu bwana namsharifu popote pale alipo. Maneno yake matamu yanirovya rovurovu na kunitebweresha tebwere huku nikijiona nyumbani na kuzidi kutabaruku naye kila uchao. Mwenyenzi Jalia ambaye twasujudia kila kunapokucha amjalie saada na sudi katika hii sayari ya tatu 🙏
@bintik2311
Жыл бұрын
Ndugu hii amjalie Saada na Sudi watoto? Au Kuna maana nyingine ?hebu nijuze maana kiswahili nimejua kina mengi.
@tumainkitundu1015
Жыл бұрын
Hahaha! Kijulanga mwenzangu umenena ulumbi Mororo sana! Naam tukuze kiswahili chetu tuache kuongea kiswahili shelabela. Nayeyuka
@tumainkitundu1015
Жыл бұрын
@@bintik2311 sudi ni bahati njema, heri, najaribu
@titokipkosgei3325
Жыл бұрын
❤
#kingmusic ebu yaweke kwenye nyimbo ili yakae milele, maana nikiwaomba hili #wcb, kesho mwanangu atasoma matusi ao yasio kheri. 🇺🇸
Huyu mwamba akitongoza demu hachomoki🤣😂😎😎
@gracejulius3966
Жыл бұрын
Haaaàhaaaaaa
Joram good language clear swahili 🤗🤗🤗
Kijana wa singida katishaa Sanaa munyampaa huyu
My classmate at Mwenge Catholic University 👏🏽👏🏽👏🏽😍😍
@BONGOINMOTION
2 жыл бұрын
Mwaka gani
Huyu barubaru anatusaidia waja chochole kutondoa utondozi wa kuzungumza shelabela
Kiswahili tunajua lakini huyo anatumia misamiati ile uliyo dadavuliwa ila wengine tunatumia kile kilicho Dada vuliwa kiufupi yeye yupo sawa na sisi tupo sawa pia🙏🙏🙏 brother yupo vizuri great 👍
Sounds Like Nyerere Somehow 🙄One Love Brother #SnS Mpeni Time Huyo Jamaa Hata Mara 1 Kwa Wiki, Hope tutajifunza Mengi #Elimu Haina Mwisho#Swahili To The World 🗺
Joram Mimi ni chifu nipo huku morogoro nimekuelewa sana pia nimependa falsafa zako ni Nzuri sana hakika wewe ni mswahili aswaa hongera sana Mimi ninakuita Dactari Joram mswhili
Kijana anajua hakika tulidhan bingwa wa misemo ni Mrisho Mpoto kwa kizazi kipya kumbe wapo vijana barubaru kama huyu wana sifa lukuki za kumwaga ngeli na ngali rahaja na misamiati lukuki hakika twaelekea kuzuri
Huyu jamaa ukikaa nae huwezi nuna, anaoneka nimcheshi sana
Huku Joram, kule Oni sigala Wasikilizaji itabidi kila mmoja wao awe na kamusi 😂
Huyu mdigo maneno yake yanamaana sana Asante sana ndugu
For all of u outsiders who dont understand this guy I wanna say ama swahili speaker and I dont understand a word he is sayin koz his swahilli is of literature
Hakika hiki nichuma afu kinaonekana kina soma sana vitabu
African Language its so beautifully
Waaaaah... kama kweli sijui kiswahili huyu jamaa kanifunza
@mathewdyzymaleyafrica9128
2 жыл бұрын
wapwani twazijua semo hizoo ,bara kidogo muksheri
Talented Joram go great bro
Hakika humejawa ,, endendea kubalizi kiswahili kweli hadimu na hadhimu
Safi sana ..saafi.
Mimi nimependa kicheko tuuu 🙌🙌🙌
Hongera sana kaka nimekubali asee
Hongeraa mnyampa Nkumbi
Mashallah, kiswahili FASAHA
Nami nitiririke maneno mithili ya maji mtoni, kweli, nimebarikiwa na hazina ya maanani itokayo kinywani mwa ndugu yetu JORAM...
@tumainkitundu1015
Жыл бұрын
Kongole
Like him... he's really fund wa kiswahili
@benmbwele
Жыл бұрын
Huyu ni Mbuji huyu.
Joram anaongea kwa Utononoti uliotukuka kwelikweli.🎉❤
Asante kaka
Hiyo ni Shang ya tz kwetu Kenya 🇰🇪 sisi husema nakulombotove
Duuh hatari lugha yangu ya taifa mie mkongo
@maryaika9645
2 жыл бұрын
Kama hivyo Mir masai
Anaongea kama watu wa Mombasa Wallahi...
😄😄hakika nimejua sijui🙌🏻
Poet speakin
Kweli anajua
Vijulanga wengi wanakasumba za kikoloni....wamejawa na ufukufuku na mangungumbaro ambayo huleta songombiingo katika mijadala. Ahsante kwa matumizi mazuri ya gayagaya za waswahili na ukumbusho wa msemo wa "Zani halina hazina ni ukuba wa mbeleni".
Safi sana..
Haahah jamaa ana sauti nzuri sana
Baada ya kumsikiliza Joram na kiswahili chake! Je tuendelee na mpango wa Kiswahili kutumika kama lugha ya interview alafu mwendesha interview awe Joram?!😂😂😂
@UMMAHWASATIYYAH
2 жыл бұрын
Kwanza ongea neno interview kwa Kiswahili 😂
@ellymakongo656
Жыл бұрын
@@UMMAHWASATIYYAH mtimbwiriko🤣🤣🤣
@aminakipande5645
Жыл бұрын
@@UMMAHWASATIYYAH 😀🤣🤣
@goblessjrtz5464
Жыл бұрын
Uswahili ndio interview
Much love swahili lg
Jamaa anafanana na wazulu
@BONGOINMOTION
2 жыл бұрын
Acha uwongo bna
Special craft
Mtimbwiriko 🎉🎉🎊👌🤣🤣🤣🤣🤣
Kama nyerere fulani ivi, anakuja halafu anakataa
Kuna muda naonaga tusibishane kiswahili anakijua zaid nani Kiswahili ni kigumu 🤣🤣
@maryamtan682
2 жыл бұрын
Sana tena Sana. Ndo maana ht sekondali unaambiwa sm gumu ni kiswahili, maana kumegawanyika mno.
@ramyali6347
2 жыл бұрын
Kutojua misamiati aliyotumia hakumfanyi mtu hajui kisw. Lugha ni ufasaha siyo ukubwa wa misamiati.
@franciskyombo9394
2 жыл бұрын
@@ramyali6347 jamaa anajua ira kaka umeongea point unakuta mfano neno moja la kingereza lina maana zaidi ya mbili ukijua maana moja ukashindwa maana nyingine ndo hujui kingereza.
@ramyali6347
2 жыл бұрын
@@franciskyombo9394 hakumfanyi hajui kiingereza. Maana hata kwenye kiingereza kuna maneno hayatumiwi na watu wakawaida ila waandishi wa vitabu tu kwaajili ya kupamba kazi zao. Na waingereza wenyewe siyo kwamba wanayajua maneno yote. Siyo kweli. Na hayo aliyotumia huyo jamaa mengi hutumika kwenye mashairi na mingine yanamepatiwa maana zake nyingine mfano Shelabela watu wanatumia-- "Ovyo/mambo ya ovyo ama yasiyoleta maana . Ila moja tu hili mtimbwiriko linatumika sana tu visiwani kwenye harusi na rudia kwenye nyimbo ya zuchu Litawachoma ametumia "timbwiritimbwiri mpaka mapamazuko " siyo kama hayajulikani ila hayatumiwi tu.
Kweli huyu ndugu amejaliwa kuongea vema lakin nimebarikiwa sana sana na kicheko chake
@mwlhumphreysamwel9930
2 жыл бұрын
Amini kuwa umebarikiwa sana kwa hekima na busara za maneno you are good my bro
"Fikra mkururo"😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣si amenichekesha hataree jamanii 🙆
🤣🤣🤣🤣🤣eti mtimbwiriko
Unachangamsha sana kwa ulumbi wako!
Kiswahili chapwani khaswa hichi ndo mambo zetuu sie watuu watanga, mombasa, hadi zanzibar
@asyashariffu7717
2 жыл бұрын
Ukisema Hadi zanzibara..unamaanish Zanzibar ni ya mwisho kw kiswahil kuliko Tanga na Mombasa ...kuwa na adabu na zanzibar ww ipe heshima yake kweny kiswahil Tanzania na Dunia mzima
@UMMAHWASATIYYAH
2 жыл бұрын
Mambo zetu?! Kiswahili kwisha kufeli mpk hp 😂
Yuko vizuri 😂😂
Uko sawa tatizo ni haya mangungumbalo
SGD to the world
Daah😀 huyu mwamba ni tajiri wa misamiati🤣
Hamna kitu apo mwambieni huyo jamaa aje zanzibar
@hanirashuwesu4239
2 жыл бұрын
😂😂😂we waweza ,mtu akifanya jambo zuri akaonekana mpongeze choyo yatokea wap
@priska4310
Жыл бұрын
Wa Tanganyika neno kudra, Sikudhamiria, hidaya, siha njema wao pia wanaona maneno mapya😂
Ash! Huyu jamaa kiboko kweli kweli
Kongole ndugu 👏🏿
Umetufuza lkn kikubwa nime cheka sana 🤣🤣🤣🤣
Anaakili sana huyu jamaa! naweza mpataje
@josamwilliam4105
2 жыл бұрын
Nunua kamusi ya Kiswahili usome
@hisanmwakijungu10
Жыл бұрын
Utampata msununu
Jamaa mwamba kabisa......
Apa Leo sky umetuweza, haswa ukijua kuzungumza kiswahili tena kwa Waswahili
😂😂😂 furaha furifuri
aweeeee🤣
Kiswahili cha kawaida sana kikubwa jamaa anatohoa kwenye kiarabu arafu anachanganya na tungo za mashahili
@ramyali6347
2 жыл бұрын
Kama uandishi wako ndiyo huu basi hicho alichozungumza siyo kisw cha kawaida kwako, na maneno ya kiarabu yapo zamani hayo hakuna alilotohoa hata moja.
@jumahamis227
2 жыл бұрын
Kama umesoma lugha au fasihi kila lugha huwaga inakopa maneno toka lugha nyingine mfano kiingereza chenyewe kimekopa maneno Mengi tu toka kwenye kijerumani, kifaransa na kigiriki, pia hata kiarabu nacho kimekopa maneno toka lugha nyingine mfano lugha ya kiebrania, kiajemi na lugha nyingine za mashariki mwa kati. Kwahyo ni kawaida lugha yoyote kuwa na maneno ya lugha nyingine kutokana na mafungamano mbali mbali kama biashara na kijamii kwa jumla, Mfano uhusiano wa miaka na miaka baina ya oman, Iran na pwani ya afrika mashariki umeathiri Kiswahili kuwa na asilimia 32 ya maneno ya kiarabu na kiajemi kidogo kwa kuwa hawakuwa wengi sana.
@jumamofu9573
2 жыл бұрын
Wivu
mnyiramba ajuye kiswahil
Dah!! fundi huyu
Usongombwingo na ufukufuku, nitamletea mandungumbwaro aseee. Ntamueka chini kirago cha ukuba wa mbeleni.
..raha kumskiliza
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌️.
Mbona kama anaongea kiswahili cha Zanzibar
Daah huu ugumu wa maisha mwaka huu tutaona mengi kila mtu anajaribu kutoka , bibi tozo njoo huku uone watoto zako wanajaribu kutoka
@aminakipande5645
Жыл бұрын
😀😀😀
Nikweli najua sijui 🤭
Hehehe nayeyuka nikiweweseka kiwendawazimu hehehe
6
Hapa me kiswahili sijui
Umenena ingawa si mneni wa waneni ila umenena, nayeyuka nikiweweseka kiwendawazimu😂😂😂😂
Hahahaha NAYAYUKA HUKU NIKIWEWESEKA KIWENDAWAZIMU
Bila hata kuchanganya ndimi
Updated version ya mpoto hii apa 🙌🏿🤨
@signalboy4260
Жыл бұрын
Super Update kabisa
Kiswahili ni kitamu sana
Aaaah hyu mwamba anakijua kiswahili haswa sijawahi kuona kiswahili kitamu km hiki
Nilikuwa nafikiri najua kiswahili lakini baada ya kumsikiliza Joramu Nkumbi nikagundua kuwa kiswahili changu ni hovyo kabisa. Siku hizi namfuatilia sana ili kuongeza misamiati, misemo na Nahau za kiswahili
Very blessed voice
This guy is Mathematician by professional but accidentally amejikuta ni mswahili fasaha 👌🏾
@marwawilliam3648
Жыл бұрын
Ok... by proffesion.
Naweza mpataje
Atajiuwa huyu jamaaa kiswahili safi chatia raha harafu kuna kicheko ndani yake!! samahani wana nzengo nawezaje mpata huyu jamaaa
@newking6497
2 жыл бұрын
He is my classmate
Bingwa wa lugha
Kiswahili kitukuzwe kwenye mtu ambae alikua kipofu na wenye macho anamanisha vunaeza kua umepewa akili na ukawa huzitumii
Kifupi kiswahili bado nadaiwa misamiati mingi Sana ya kiswahili
@ramyali6347
2 жыл бұрын
Lugha ni ufasaha siyo misamiati. Kama unaweza kuandika na kuzungumza bila kusita hakuna unachodaiwa. Hayo maneno hakuna anayetumia bali watunzi tu; hususani wa diwani.