Unadhani unajua Kiswahili? Subiri kwanza hadi umsikilize fundi huyu, Joram Nkumbi, utajua hujui!

Ойын-сауық

Пікірлер: 231

  • @pabloomakaveli5635
    @pabloomakaveli56352 жыл бұрын

    Joram anajua sana alishatufundisha kuhusu historia ya hayati mwl Julius nyerere tokea amezaliwa mpk umauti ulivyomkuta tukiwa secondary

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani10602 жыл бұрын

    Nimejifunza ya kwamba ulimi ni kibaka mkubwa saana alieshindikana hiyo ni kweli kabisa na nikajifunza ya uwepo ni unatumika kwa muumba jala jalali na kwa binaadam unatumia neno kuwepo kwako asante kwa kujifunza haya hakika kiswahili ni lugha tamu sana

  • @baizoboy1719
    @baizoboy17192 жыл бұрын

    Umeenda zako kuomba KAZI dakika ya mwisho mara paaaa! Unafanyiwa interview na huyu msela.. natoroka mie🏃

  • @magorimagori9264

    @magorimagori9264

    Жыл бұрын

    Hahaaaaaahahahaaaaaaaa

  • @yessecharles3155

    @yessecharles3155

    Жыл бұрын

    🤣😁🤣🤣

  • @simontamba1285

    @simontamba1285

    Жыл бұрын

    Umenifanya nife naona

  • @simontamba1285

    @simontamba1285

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @allymohamed4065

    @allymohamed4065

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @janetcharo1543
    @janetcharo15432 жыл бұрын

    My Kenyan🇰🇪 swahili is broken and not fluent lol. Much love to Tanzanian swahili ❤❤

  • @ronald_terer

    @ronald_terer

    2 жыл бұрын

    acha hizo bana

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    Жыл бұрын

    Kaelezea ukweli😅😅😅

  • @mirajimtaturu459
    @mirajimtaturu459 Жыл бұрын

    Hongera Sana Comrade Jorum Nkumbi wewe ni hazina ya nchi .

  • @EliyacostantinoPius
    @EliyacostantinoPius2 жыл бұрын

    My classmate my neighbourhood..Friend indeed.Singida

  • @hopelicious
    @hopelicious2 жыл бұрын

    Am proud of you brother Joram. Much love.

  • @fadhilahassan2455
    @fadhilahassan2455 Жыл бұрын

    Hongera ndugu, unaongea kiswahili kizuri maneno mazuri yana bashasha sana. Kwa mbaali unafanana na mwigulu .

  • @boniphacelusato

    @boniphacelusato

    Жыл бұрын

    Wote ni Wanasingida

  • @rashidissa5794

    @rashidissa5794

    Жыл бұрын

    Kwani huyu Jamaa ni mtoto au ndugu wa Mwigulu Nchemba? Mbona nafanana kwa sura na sauti? Pia Msingidani?

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 Жыл бұрын

    Hapo kwenye matumizi mazuri ya ulimi umenikosha sana mtaalamu 👏👏👏👏👏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😄

  • @sheilaporomoka8079
    @sheilaporomoka8079 Жыл бұрын

    Tumesali wote jumapili hii TAG AREA D DODOMA. IBADA YA KWANZA

  • @ninsiimaalfred2643
    @ninsiimaalfred2643 Жыл бұрын

    Mie ni kijulanga mpenzi na shabiki wa lugha akrama ya kiswahili, huyu bwana namsharifu popote pale alipo. Maneno yake matamu yanirovya rovurovu na kunitebweresha tebwere huku nikijiona nyumbani na kuzidi kutabaruku naye kila uchao. Mwenyenzi Jalia ambaye twasujudia kila kunapokucha amjalie saada na sudi katika hii sayari ya tatu 🙏

  • @bintik2311

    @bintik2311

    Жыл бұрын

    Ndugu hii amjalie Saada na Sudi watoto? Au Kuna maana nyingine ?hebu nijuze maana kiswahili nimejua kina mengi.

  • @tumainkitundu1015

    @tumainkitundu1015

    Жыл бұрын

    Hahaha! Kijulanga mwenzangu umenena ulumbi Mororo sana! Naam tukuze kiswahili chetu tuache kuongea kiswahili shelabela. Nayeyuka

  • @tumainkitundu1015

    @tumainkitundu1015

    Жыл бұрын

    @@bintik2311 sudi ni bahati njema, heri, najaribu

  • @titokipkosgei3325

    @titokipkosgei3325

    Жыл бұрын

  • @benhamza5649
    @benhamza56492 жыл бұрын

    #kingmusic ebu yaweke kwenye nyimbo ili yakae milele, maana nikiwaomba hili #wcb, kesho mwanangu atasoma matusi ao yasio kheri. 🇺🇸

  • @maryjoseph7306
    @maryjoseph73062 жыл бұрын

    Huyu mwamba akitongoza demu hachomoki🤣😂😎😎

  • @gracejulius3966

    @gracejulius3966

    Жыл бұрын

    Haaaàhaaaaaa

  • @AbuBakar-fu9ov
    @AbuBakar-fu9ov2 жыл бұрын

    Joram good language clear swahili 🤗🤗🤗

  • @zaudatmakula3454
    @zaudatmakula34542 жыл бұрын

    Kijana wa singida katishaa Sanaa munyampaa huyu

  • @newking6497
    @newking64972 жыл бұрын

    My classmate at Mwenge Catholic University 👏🏽👏🏽👏🏽😍😍

  • @BONGOINMOTION

    @BONGOINMOTION

    2 жыл бұрын

    Mwaka gani

  • @alexmmbaga441
    @alexmmbaga4412 жыл бұрын

    Huyu barubaru anatusaidia waja chochole kutondoa utondozi wa kuzungumza shelabela

  • @walinaziontime7300
    @walinaziontime7300 Жыл бұрын

    Kiswahili tunajua lakini huyo anatumia misamiati ile uliyo dadavuliwa ila wengine tunatumia kile kilicho Dada vuliwa kiufupi yeye yupo sawa na sisi tupo sawa pia🙏🙏🙏 brother yupo vizuri great 👍

  • @Tukolive
    @Tukolive2 жыл бұрын

    Sounds Like Nyerere Somehow 🙄One Love Brother #SnS Mpeni Time Huyo Jamaa Hata Mara 1 Kwa Wiki, Hope tutajifunza Mengi #Elimu Haina Mwisho#Swahili To The World 🗺

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 Жыл бұрын

    Joram Mimi ni chifu nipo huku morogoro nimekuelewa sana pia nimependa falsafa zako ni Nzuri sana hakika wewe ni mswahili aswaa hongera sana Mimi ninakuita Dactari Joram mswhili

  • @edwardedwardbuberwa3701
    @edwardedwardbuberwa3701 Жыл бұрын

    Kijana anajua hakika tulidhan bingwa wa misemo ni Mrisho Mpoto kwa kizazi kipya kumbe wapo vijana barubaru kama huyu wana sifa lukuki za kumwaga ngeli na ngali rahaja na misamiati lukuki hakika twaelekea kuzuri

  • @jameskahamba4023
    @jameskahamba40232 жыл бұрын

    Huyu jamaa ukikaa nae huwezi nuna, anaoneka nimcheshi sana

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini50742 жыл бұрын

    Huku Joram, kule Oni sigala Wasikilizaji itabidi kila mmoja wao awe na kamusi 😂

  • @mohamedbinfadhil1396
    @mohamedbinfadhil1396 Жыл бұрын

    Huyu mdigo maneno yake yanamaana sana Asante sana ndugu

  • @Memphisblue22822
    @Memphisblue228222 жыл бұрын

    For all of u outsiders who dont understand this guy I wanna say ama swahili speaker and I dont understand a word he is sayin koz his swahilli is of literature

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa72862 жыл бұрын

    Hakika hiki nichuma afu kinaonekana kina soma sana vitabu

  • @simontamba1285
    @simontamba1285 Жыл бұрын

    African Language its so beautifully

  • @stephenmasha8623
    @stephenmasha86232 жыл бұрын

    Waaaaah... kama kweli sijui kiswahili huyu jamaa kanifunza

  • @mathewdyzymaleyafrica9128

    @mathewdyzymaleyafrica9128

    2 жыл бұрын

    wapwani twazijua semo hizoo ,bara kidogo muksheri

  • @edwardpeter8569
    @edwardpeter8569 Жыл бұрын

    Talented Joram go great bro

  • @KIMSwahili
    @KIMSwahili2 жыл бұрын

    Hakika humejawa ,, endendea kubalizi kiswahili kweli hadimu na hadhimu

  • @deogratiasshija5897
    @deogratiasshija5897 Жыл бұрын

    Safi sana ..saafi.

  • @dayana5513story
    @dayana5513story2 жыл бұрын

    Mimi nimependa kicheko tuuu 🙌🙌🙌

  • @hassanlamata2312
    @hassanlamata2312 Жыл бұрын

    Hongera sana kaka nimekubali asee

  • @zamdaomanizamdaomani3172
    @zamdaomanizamdaomani31722 жыл бұрын

    Hongeraa mnyampa Nkumbi

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Mashallah, kiswahili FASAHA

  • @apostlejoshuakuhanda5524
    @apostlejoshuakuhanda5524 Жыл бұрын

    Nami nitiririke maneno mithili ya maji mtoni, kweli, nimebarikiwa na hazina ya maanani itokayo kinywani mwa ndugu yetu JORAM...

  • @tumainkitundu1015

    @tumainkitundu1015

    Жыл бұрын

    Kongole

  • @mrboogie255-dr2kh
    @mrboogie255-dr2kh2 жыл бұрын

    Like him... he's really fund wa kiswahili

  • @benmbwele

    @benmbwele

    Жыл бұрын

    Huyu ni Mbuji huyu.

  • @simonphabiano9050
    @simonphabiano90504 ай бұрын

    Joram anaongea kwa Utononoti uliotukuka kwelikweli.🎉❤

  • @shenamtukufu1224
    @shenamtukufu1224 Жыл бұрын

    Asante kaka

  • @jemjay1011
    @jemjay1011 Жыл бұрын

    Hiyo ni Shang ya tz kwetu Kenya 🇰🇪 sisi husema nakulombotove

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf44292 жыл бұрын

    Duuh hatari lugha yangu ya taifa mie mkongo

  • @maryaika9645

    @maryaika9645

    2 жыл бұрын

    Kama hivyo Mir masai

  • @lewakhamis3538
    @lewakhamis35382 жыл бұрын

    Anaongea kama watu wa Mombasa Wallahi...

  • @emmanuelmagova3930
    @emmanuelmagova39302 жыл бұрын

    😄😄hakika nimejua sijui🙌🏻

  • @Mzayanine
    @Mzayanine2 жыл бұрын

    Poet speakin

  • @blackjack3356
    @blackjack33562 жыл бұрын

    Kweli anajua

  • @benmbwele
    @benmbwele Жыл бұрын

    Vijulanga wengi wanakasumba za kikoloni....wamejawa na ufukufuku na mangungumbaro ambayo huleta songombiingo katika mijadala. Ahsante kwa matumizi mazuri ya gayagaya za waswahili na ukumbusho wa msemo wa "Zani halina hazina ni ukuba wa mbeleni".

  • @benedictbuberwa3943
    @benedictbuberwa3943 Жыл бұрын

    Safi sana..

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74912 жыл бұрын

    Haahah jamaa ana sauti nzuri sana

  • @emanuelmbondo4598
    @emanuelmbondo45982 жыл бұрын

    Baada ya kumsikiliza Joram na kiswahili chake! Je tuendelee na mpango wa Kiswahili kutumika kama lugha ya interview alafu mwendesha interview awe Joram?!😂😂😂

  • @UMMAHWASATIYYAH

    @UMMAHWASATIYYAH

    2 жыл бұрын

    Kwanza ongea neno interview kwa Kiswahili 😂

  • @ellymakongo656

    @ellymakongo656

    Жыл бұрын

    @@UMMAHWASATIYYAH mtimbwiriko🤣🤣🤣

  • @aminakipande5645

    @aminakipande5645

    Жыл бұрын

    @@UMMAHWASATIYYAH 😀🤣🤣

  • @goblessjrtz5464

    @goblessjrtz5464

    Жыл бұрын

    Uswahili ndio interview

  • @simontamba1285
    @simontamba1285 Жыл бұрын

    Much love swahili lg

  • @wilsonchishomi1083
    @wilsonchishomi10832 жыл бұрын

    Jamaa anafanana na wazulu

  • @BONGOINMOTION

    @BONGOINMOTION

    2 жыл бұрын

    Acha uwongo bna

  • @maryaika9645
    @maryaika96452 жыл бұрын

    Special craft

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly2 жыл бұрын

    Mtimbwiriko 🎉🎉🎊👌🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy13182 жыл бұрын

    Kama nyerere fulani ivi, anakuja halafu anakataa

  • @africanproudly4004
    @africanproudly40042 жыл бұрын

    Kuna muda naonaga tusibishane kiswahili anakijua zaid nani Kiswahili ni kigumu 🤣🤣

  • @maryamtan682

    @maryamtan682

    2 жыл бұрын

    Sana tena Sana. Ndo maana ht sekondali unaambiwa sm gumu ni kiswahili, maana kumegawanyika mno.

  • @ramyali6347

    @ramyali6347

    2 жыл бұрын

    Kutojua misamiati aliyotumia hakumfanyi mtu hajui kisw. Lugha ni ufasaha siyo ukubwa wa misamiati.

  • @franciskyombo9394

    @franciskyombo9394

    2 жыл бұрын

    @@ramyali6347 jamaa anajua ira kaka umeongea point unakuta mfano neno moja la kingereza lina maana zaidi ya mbili ukijua maana moja ukashindwa maana nyingine ndo hujui kingereza.

  • @ramyali6347

    @ramyali6347

    2 жыл бұрын

    @@franciskyombo9394 hakumfanyi hajui kiingereza. Maana hata kwenye kiingereza kuna maneno hayatumiwi na watu wakawaida ila waandishi wa vitabu tu kwaajili ya kupamba kazi zao. Na waingereza wenyewe siyo kwamba wanayajua maneno yote. Siyo kweli. Na hayo aliyotumia huyo jamaa mengi hutumika kwenye mashairi na mingine yanamepatiwa maana zake nyingine mfano Shelabela watu wanatumia-- "Ovyo/mambo ya ovyo ama yasiyoleta maana . Ila moja tu hili mtimbwiriko linatumika sana tu visiwani kwenye harusi na rudia kwenye nyimbo ya zuchu Litawachoma ametumia "timbwiritimbwiri mpaka mapamazuko " siyo kama hayajulikani ila hayatumiwi tu.

  • @mwlhumphreysamwel9930
    @mwlhumphreysamwel99302 жыл бұрын

    Kweli huyu ndugu amejaliwa kuongea vema lakin nimebarikiwa sana sana na kicheko chake

  • @mwlhumphreysamwel9930

    @mwlhumphreysamwel9930

    2 жыл бұрын

    Amini kuwa umebarikiwa sana kwa hekima na busara za maneno you are good my bro

  • @noberthugho2555
    @noberthugho25552 жыл бұрын

    "Fikra mkururo"😂

  • @messaabbas739
    @messaabbas7392 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣si amenichekesha hataree jamanii 🙆

  • @hadijagere
    @hadijagere2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣eti mtimbwiriko

  • @juliuswacira9708
    @juliuswacira97085 ай бұрын

    Unachangamsha sana kwa ulumbi wako!

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa72862 жыл бұрын

    Kiswahili chapwani khaswa hichi ndo mambo zetuu sie watuu watanga, mombasa, hadi zanzibar

  • @asyashariffu7717

    @asyashariffu7717

    2 жыл бұрын

    Ukisema Hadi zanzibara..unamaanish Zanzibar ni ya mwisho kw kiswahil kuliko Tanga na Mombasa ...kuwa na adabu na zanzibar ww ipe heshima yake kweny kiswahil Tanzania na Dunia mzima

  • @UMMAHWASATIYYAH

    @UMMAHWASATIYYAH

    2 жыл бұрын

    Mambo zetu?! Kiswahili kwisha kufeli mpk hp 😂

  • @patrickmsuguri
    @patrickmsuguri2 жыл бұрын

    Yuko vizuri 😂😂

  • @uwezotv
    @uwezotv2 жыл бұрын

    Uko sawa tatizo ni haya mangungumbalo

  • @nadula7390
    @nadula73902 жыл бұрын

    SGD to the world

  • @comics3437
    @comics34372 жыл бұрын

    Daah😀 huyu mwamba ni tajiri wa misamiati🤣

  • @adinani1574
    @adinani15742 жыл бұрын

    Hamna kitu apo mwambieni huyo jamaa aje zanzibar

  • @hanirashuwesu4239

    @hanirashuwesu4239

    2 жыл бұрын

    😂😂😂we waweza ,mtu akifanya jambo zuri akaonekana mpongeze choyo yatokea wap

  • @priska4310

    @priska4310

    Жыл бұрын

    Wa Tanganyika neno kudra, Sikudhamiria, hidaya, siha njema wao pia wanaona maneno mapya😂

  • @gabrielbahat9107
    @gabrielbahat91072 жыл бұрын

    Ash! Huyu jamaa kiboko kweli kweli

  • @dylankanyubi3700
    @dylankanyubi3700 Жыл бұрын

    Kongole ndugu 👏🏿

  • @elizabethjohn7177
    @elizabethjohn71772 жыл бұрын

    Umetufuza lkn kikubwa nime cheka sana 🤣🤣🤣🤣

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa72862 жыл бұрын

    Anaakili sana huyu jamaa! naweza mpataje

  • @josamwilliam4105

    @josamwilliam4105

    2 жыл бұрын

    Nunua kamusi ya Kiswahili usome

  • @hisanmwakijungu10

    @hisanmwakijungu10

    Жыл бұрын

    Utampata msununu

  • @nicholauslwena3189
    @nicholauslwena31892 жыл бұрын

    Jamaa mwamba kabisa......

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter11082 жыл бұрын

    Apa Leo sky umetuweza, haswa ukijua kuzungumza kiswahili tena kwa Waswahili

  • @DARAJANI_TV
    @DARAJANI_TV Жыл бұрын

    😂😂😂 furaha furifuri

  • @bernardmasangula9358
    @bernardmasangula9358 Жыл бұрын

    aweeeee🤣

  • @idrisatv5540
    @idrisatv55402 жыл бұрын

    Kiswahili cha kawaida sana kikubwa jamaa anatohoa kwenye kiarabu arafu anachanganya na tungo za mashahili

  • @ramyali6347

    @ramyali6347

    2 жыл бұрын

    Kama uandishi wako ndiyo huu basi hicho alichozungumza siyo kisw cha kawaida kwako, na maneno ya kiarabu yapo zamani hayo hakuna alilotohoa hata moja.

  • @jumahamis227

    @jumahamis227

    2 жыл бұрын

    Kama umesoma lugha au fasihi kila lugha huwaga inakopa maneno toka lugha nyingine mfano kiingereza chenyewe kimekopa maneno Mengi tu toka kwenye kijerumani, kifaransa na kigiriki, pia hata kiarabu nacho kimekopa maneno toka lugha nyingine mfano lugha ya kiebrania, kiajemi na lugha nyingine za mashariki mwa kati. Kwahyo ni kawaida lugha yoyote kuwa na maneno ya lugha nyingine kutokana na mafungamano mbali mbali kama biashara na kijamii kwa jumla, Mfano uhusiano wa miaka na miaka baina ya oman, Iran na pwani ya afrika mashariki umeathiri Kiswahili kuwa na asilimia 32 ya maneno ya kiarabu na kiajemi kidogo kwa kuwa hawakuwa wengi sana.

  • @jumamofu9573

    @jumamofu9573

    2 жыл бұрын

    Wivu

  • @hmanyinja
    @hmanyinja2 жыл бұрын

    mnyiramba ajuye kiswahil

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa72862 жыл бұрын

    Dah!! fundi huyu

  • @iammichaellukindo
    @iammichaellukindo2 жыл бұрын

    Usongombwingo na ufukufuku, nitamletea mandungumbwaro aseee. Ntamueka chini kirago cha ukuba wa mbeleni.

  • @montana3259
    @montana32592 жыл бұрын

    ..raha kumskiliza

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything2 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌️.

  • @ahmadgrujic9297
    @ahmadgrujic92972 жыл бұрын

    Mbona kama anaongea kiswahili cha Zanzibar

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Жыл бұрын

    Daah huu ugumu wa maisha mwaka huu tutaona mengi kila mtu anajaribu kutoka , bibi tozo njoo huku uone watoto zako wanajaribu kutoka

  • @aminakipande5645

    @aminakipande5645

    Жыл бұрын

    😀😀😀

  • @abdulkadir8777
    @abdulkadir87772 жыл бұрын

    Nikweli najua sijui 🤭

  • @emmalyanga3726
    @emmalyanga3726 Жыл бұрын

    Hehehe nayeyuka nikiweweseka kiwendawazimu hehehe

  • @jacksongidion5170
    @jacksongidion51702 жыл бұрын

    6

  • @paschalaxwesso6844
    @paschalaxwesso6844 Жыл бұрын

    Hapa me kiswahili sijui

  • @victorsailos2580
    @victorsailos2580 Жыл бұрын

    Umenena ingawa si mneni wa waneni ila umenena, nayeyuka nikiweweseka kiwendawazimu😂😂😂😂

  • @MILLY-TEC
    @MILLY-TEC2 жыл бұрын

    Hahahaha NAYAYUKA HUKU NIKIWEWESEKA KIWENDAWAZIMU

  • @mwanatumuali2238
    @mwanatumuali22382 жыл бұрын

    Bila hata kuchanganya ndimi

  • @hydroreese8294
    @hydroreese82942 жыл бұрын

    Updated version ya mpoto hii apa 🙌🏿🤨

  • @signalboy4260

    @signalboy4260

    Жыл бұрын

    Super Update kabisa

  • @yeyemkulu8743
    @yeyemkulu8743 Жыл бұрын

    Kiswahili ni kitamu sana

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 Жыл бұрын

    Aaaah hyu mwamba anakijua kiswahili haswa sijawahi kuona kiswahili kitamu km hiki

  • @boniphacelusato
    @boniphacelusato Жыл бұрын

    Nilikuwa nafikiri najua kiswahili lakini baada ya kumsikiliza Joramu Nkumbi nikagundua kuwa kiswahili changu ni hovyo kabisa. Siku hizi namfuatilia sana ili kuongeza misamiati, misemo na Nahau za kiswahili

  • @najifa2012
    @najifa2012 Жыл бұрын

    Very blessed voice

  • @deus8629
    @deus8629 Жыл бұрын

    This guy is Mathematician by professional but accidentally amejikuta ni mswahili fasaha 👌🏾

  • @marwawilliam3648

    @marwawilliam3648

    Жыл бұрын

    Ok... by proffesion.

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa72862 жыл бұрын

    Naweza mpataje

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa72862 жыл бұрын

    Atajiuwa huyu jamaaa kiswahili safi chatia raha harafu kuna kicheko ndani yake!! samahani wana nzengo nawezaje mpata huyu jamaaa

  • @newking6497

    @newking6497

    2 жыл бұрын

    He is my classmate

  • @hukuUJERUMANI
    @hukuUJERUMANI2 жыл бұрын

    Bingwa wa lugha

  • @josphinedarani6203
    @josphinedarani62032 жыл бұрын

    Kiswahili kitukuzwe kwenye mtu ambae alikua kipofu na wenye macho anamanisha vunaeza kua umepewa akili na ukawa huzitumii

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu21162 жыл бұрын

    Kifupi kiswahili bado nadaiwa misamiati mingi Sana ya kiswahili

  • @ramyali6347

    @ramyali6347

    2 жыл бұрын

    Lugha ni ufasaha siyo misamiati. Kama unaweza kuandika na kuzungumza bila kusita hakuna unachodaiwa. Hayo maneno hakuna anayetumia bali watunzi tu; hususani wa diwani.

Келесі