Joramu Nkumbi - "Kwaheri Ndugu Magufuli" Part 1

Hayati Dr. John Pombe Magufuli Alikuwa Mzalendo Kindakindaki

Пікірлер: 37

  • @muftimutahi3143
    @muftimutahi3143 Жыл бұрын

    Maisha ni safari kaka. Licha ya mawimbi, chamchela na kimbunga za maisha ninaona unaacha ghubari la baraka kwa kizazi kijacho. Heko na hongera kaka

  • @bryfrancis7879
    @bryfrancis7879 Жыл бұрын

    Advice kidogo....ukimuuliza mtu swali.. akiwa anajibu Muache aeleze mpaka pale atakapomaliza,lakini ukiwa unaingilia katikati ta Maongezi unatukosesha vitu Mwandishi

  • @mubasalu8470

    @mubasalu8470

    Жыл бұрын

    Si wanawaiga wadhunguuu ....

  • @hawagondwe2114
    @hawagondwe2114 Жыл бұрын

    huyu mtu anaakili nyingi serikali imtumie vizuri

  • @bryfrancis7879
    @bryfrancis7879 Жыл бұрын

    Mtangazaji unatukosesha uhondo....unamkatisha Mr.Joramu kabla hajamaliza kuongea au kufafanua.....very unprofessional.

  • @V24hrs
    @V24hrs Жыл бұрын

    Huyu jamaa yupo vizuri sana.

  • @sammyoskarmkemwa794
    @sammyoskarmkemwa7943 жыл бұрын

    true advocate of pan africanisms

  • @mubasalu8470
    @mubasalu8470 Жыл бұрын

    Ndugu wa kwangu nikujuze kitu...unapoongelea watu wakubwa wa Tanzania jua unawaongelea kivipi..Tafuta historia za ukweli na si za uongo Jitaahidi kwa hilo..inshaallah utafanikiwa aaamiiin

  • @mzalenshanjaa3349
    @mzalenshanjaa3349 Жыл бұрын

    MUNGU ni wajabu tena ni wajawabu akika Toka nimekuona mtandao nimejifunza kitu✍️✅

  • @mbwanabaruti7496
    @mbwanabaruti7496 Жыл бұрын

    Muandishi ametukosesha Radha ya mahojiano ,anaongea yenye zaidi kulikoni anamuhojinafikiri hajui kama hajui. Joramu ana Madini

  • @nicholauslwena3189
    @nicholauslwena3189 Жыл бұрын

    Mtangazaji huyu sijui yupoje anaongea yeye anaingilia mtiririko musharafu wa bwana joram

  • @abdulikaku5080
    @abdulikaku50802 жыл бұрын

    I appreciate you brother

  • @sumaiyabakary2692
    @sumaiyabakary2692 Жыл бұрын

    Nakupenda sana naomba ukiwa na mama karib mgusie kuhus tozo inatumalza

  • @naseebdominick8621

    @naseebdominick8621

    10 ай бұрын

    Kuhusu hayo mmmhhh

  • @nicholauslwena3189
    @nicholauslwena3189 Жыл бұрын

    Muache mtu atondoe utondozi vizuri......unaingilia sn maongez mtangazaji.....unafeli sn joram angekuwa hayupo makini ungemtoa kwenye mtiririko

  • @jimmyx8412
    @jimmyx8412 Жыл бұрын

    Sound like JK nyerere kwa mbaali

  • @nelsonmgaya1490
    @nelsonmgaya1490 Жыл бұрын

    Huyu mtangazaji anaiaibisha TBC

  • @stevenezekiel5670
    @stevenezekiel5670 Жыл бұрын

    Unajua sana

  • @InnocentAndrew
    @InnocentAndrew11 ай бұрын

    Good

  • @daudimazengo7772
    @daudimazengo7772 Жыл бұрын

    Hongera Sana Joram

  • @maryaika9645
    @maryaika9645 Жыл бұрын

    Kijana hodari Mwalimu Julius Nyerere and Magufuli wamezaa kwelikweli

  • @allymbaruku3868
    @allymbaruku3868 Жыл бұрын

    😇

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️

  • @mzalenshanjaa3349
    @mzalenshanjaa3349 Жыл бұрын

    ✅✍️

  • @abuujibriltv5233
    @abuujibriltv52339 күн бұрын

    Mtangazaji ana akili za kilevi. Ana taka kuonekana anajua anacho kieleza mtu kabla haja eleza . Sizipendi hizi tabia maana ni tabia za walevi siyo za watu timamu

  • @KIMSwahili
    @KIMSwahili2 жыл бұрын

    Utuli umfaata mpenda huturi tutaonana kabla ya macheo

  • @hisanmwakijungu10

    @hisanmwakijungu10

    Жыл бұрын

    Ubabashasha umejumika USIO na utepe utepe hadhir

  • @MwlGano
    @MwlGano Жыл бұрын

    Joram Kuna unyerere flani hivi nauona kwako. Kuongea na namna unajib maswal

  • @alexlingwendu6780

    @alexlingwendu6780

    Жыл бұрын

    100%sure

  • @bestantony7917
    @bestantony7917 Жыл бұрын

    Mtangazaji anazingua

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Жыл бұрын

    Huyo anolewe mpka 3040 apewe nafasi iq kubwa sana

  • @benmbwele

    @benmbwele

    Жыл бұрын

    2035 atafaa

  • @farhatfatma12
    @farhatfatma129 ай бұрын

    Kwanini huyu muuliza maswali anaingilia kati kati ya mzungumzaji.

  • @farhatfatma12

    @farhatfatma12

    5 ай бұрын

    Hilo ni tatizo maarufu kwa Tanzania. Waandishi hawajui kazi zao

  • @Mushidebb
    @Mushidebb5 ай бұрын

    Mwandishi unaongea sana uwe una nyamaza kid9go tusikie kila kitu

  • @joejoshua7791
    @joejoshua7791 Жыл бұрын

    Akishajiunga na CCM tu ,akili zinapotea

  • @D.P.O

    @D.P.O

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa