Hayati Dr. John Pombe Magufuli Alikuwa Mzalendo Kindakindaki
Жүктеу.....
Пікірлер: 37
@muftimutahi3143 Жыл бұрын
Maisha ni safari kaka. Licha ya mawimbi, chamchela na kimbunga za maisha ninaona unaacha ghubari la baraka kwa kizazi kijacho. Heko na hongera kaka
@bryfrancis7879 Жыл бұрын
Advice kidogo....ukimuuliza mtu swali.. akiwa anajibu Muache aeleze mpaka pale atakapomaliza,lakini ukiwa unaingilia katikati ta Maongezi unatukosesha vitu Mwandishi
@mubasalu8470
Жыл бұрын
Si wanawaiga wadhunguuu ....
@hawagondwe2114 Жыл бұрын
huyu mtu anaakili nyingi serikali imtumie vizuri
@bryfrancis7879 Жыл бұрын
Mtangazaji unatukosesha uhondo....unamkatisha Mr.Joramu kabla hajamaliza kuongea au kufafanua.....very unprofessional.
@V24hrs Жыл бұрын
Huyu jamaa yupo vizuri sana.
@sammyoskarmkemwa7943 жыл бұрын
true advocate of pan africanisms
@mubasalu8470 Жыл бұрын
Ndugu wa kwangu nikujuze kitu...unapoongelea watu wakubwa wa Tanzania jua unawaongelea kivipi..Tafuta historia za ukweli na si za uongo Jitaahidi kwa hilo..inshaallah utafanikiwa aaamiiin
@mzalenshanjaa3349 Жыл бұрын
MUNGU ni wajabu tena ni wajawabu akika Toka nimekuona mtandao nimejifunza kitu✍️✅
@mbwanabaruti7496 Жыл бұрын
Muandishi ametukosesha Radha ya mahojiano ,anaongea yenye zaidi kulikoni anamuhojinafikiri hajui kama hajui. Joramu ana Madini
@nicholauslwena3189 Жыл бұрын
Mtangazaji huyu sijui yupoje anaongea yeye anaingilia mtiririko musharafu wa bwana joram
@abdulikaku50802 жыл бұрын
I appreciate you brother
@sumaiyabakary2692 Жыл бұрын
Nakupenda sana naomba ukiwa na mama karib mgusie kuhus tozo inatumalza
@naseebdominick8621
10 ай бұрын
Kuhusu hayo mmmhhh
@nicholauslwena3189 Жыл бұрын
Muache mtu atondoe utondozi vizuri......unaingilia sn maongez mtangazaji.....unafeli sn joram angekuwa hayupo makini ungemtoa kwenye mtiririko
@jimmyx8412 Жыл бұрын
Sound like JK nyerere kwa mbaali
@nelsonmgaya1490 Жыл бұрын
Huyu mtangazaji anaiaibisha TBC
@stevenezekiel5670 Жыл бұрын
Unajua sana
@InnocentAndrew11 ай бұрын
Good
@daudimazengo7772 Жыл бұрын
Hongera Sana Joram
@maryaika9645 Жыл бұрын
Kijana hodari Mwalimu Julius Nyerere and Magufuli wamezaa kwelikweli
@allymbaruku3868 Жыл бұрын
😇
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️
@mzalenshanjaa3349 Жыл бұрын
✅✍️
@abuujibriltv52339 күн бұрын
Mtangazaji ana akili za kilevi. Ana taka kuonekana anajua anacho kieleza mtu kabla haja eleza . Sizipendi hizi tabia maana ni tabia za walevi siyo za watu timamu
@KIMSwahili2 жыл бұрын
Utuli umfaata mpenda huturi tutaonana kabla ya macheo
@hisanmwakijungu10
Жыл бұрын
Ubabashasha umejumika USIO na utepe utepe hadhir
@MwlGano Жыл бұрын
Joram Kuna unyerere flani hivi nauona kwako. Kuongea na namna unajib maswal
@alexlingwendu6780
Жыл бұрын
100%sure
@bestantony7917 Жыл бұрын
Mtangazaji anazingua
@richardhosea8827 Жыл бұрын
Huyo anolewe mpka 3040 apewe nafasi iq kubwa sana
@benmbwele
Жыл бұрын
2035 atafaa
@farhatfatma129 ай бұрын
Kwanini huyu muuliza maswali anaingilia kati kati ya mzungumzaji.
@farhatfatma12
5 ай бұрын
Hilo ni tatizo maarufu kwa Tanzania. Waandishi hawajui kazi zao
@Mushidebb5 ай бұрын
Mwandishi unaongea sana uwe una nyamaza kid9go tusikie kila kitu
Пікірлер: 37
Maisha ni safari kaka. Licha ya mawimbi, chamchela na kimbunga za maisha ninaona unaacha ghubari la baraka kwa kizazi kijacho. Heko na hongera kaka
Advice kidogo....ukimuuliza mtu swali.. akiwa anajibu Muache aeleze mpaka pale atakapomaliza,lakini ukiwa unaingilia katikati ta Maongezi unatukosesha vitu Mwandishi
@mubasalu8470
Жыл бұрын
Si wanawaiga wadhunguuu ....
huyu mtu anaakili nyingi serikali imtumie vizuri
Mtangazaji unatukosesha uhondo....unamkatisha Mr.Joramu kabla hajamaliza kuongea au kufafanua.....very unprofessional.
Huyu jamaa yupo vizuri sana.
true advocate of pan africanisms
Ndugu wa kwangu nikujuze kitu...unapoongelea watu wakubwa wa Tanzania jua unawaongelea kivipi..Tafuta historia za ukweli na si za uongo Jitaahidi kwa hilo..inshaallah utafanikiwa aaamiiin
MUNGU ni wajabu tena ni wajawabu akika Toka nimekuona mtandao nimejifunza kitu✍️✅
Muandishi ametukosesha Radha ya mahojiano ,anaongea yenye zaidi kulikoni anamuhojinafikiri hajui kama hajui. Joramu ana Madini
Mtangazaji huyu sijui yupoje anaongea yeye anaingilia mtiririko musharafu wa bwana joram
I appreciate you brother
Nakupenda sana naomba ukiwa na mama karib mgusie kuhus tozo inatumalza
@naseebdominick8621
10 ай бұрын
Kuhusu hayo mmmhhh
Muache mtu atondoe utondozi vizuri......unaingilia sn maongez mtangazaji.....unafeli sn joram angekuwa hayupo makini ungemtoa kwenye mtiririko
Sound like JK nyerere kwa mbaali
Huyu mtangazaji anaiaibisha TBC
Unajua sana
Good
Hongera Sana Joram
Kijana hodari Mwalimu Julius Nyerere and Magufuli wamezaa kwelikweli
😇
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️
✅✍️
Mtangazaji ana akili za kilevi. Ana taka kuonekana anajua anacho kieleza mtu kabla haja eleza . Sizipendi hizi tabia maana ni tabia za walevi siyo za watu timamu
Utuli umfaata mpenda huturi tutaonana kabla ya macheo
@hisanmwakijungu10
Жыл бұрын
Ubabashasha umejumika USIO na utepe utepe hadhir
Joram Kuna unyerere flani hivi nauona kwako. Kuongea na namna unajib maswal
@alexlingwendu6780
Жыл бұрын
100%sure
Mtangazaji anazingua
Huyo anolewe mpka 3040 apewe nafasi iq kubwa sana
@benmbwele
Жыл бұрын
2035 atafaa
Kwanini huyu muuliza maswali anaingilia kati kati ya mzungumzaji.
@farhatfatma12
5 ай бұрын
Hilo ni tatizo maarufu kwa Tanzania. Waandishi hawajui kazi zao
Mwandishi unaongea sana uwe una nyamaza kid9go tusikie kila kitu
Akishajiunga na CCM tu ,akili zinapotea
@D.P.O
Жыл бұрын
Kweli kabisa