JE! ULIDANGANYWA HISTORIA YA ZANZIBAR- MANGAPWANI?
Katika muendelezo wa kuendelea kukujulisha kuhusu historia ya Zanzibar na watu wake, mwandishi wetu amekutana na BI Nasra Mohammed ambae ni mtafiti na mwandishi wa zamani, mwenyeji wa eneo la mangapwani ambae ana historia kubwa ya eneo hilo.
Eneo hilo linajulikana kwa historia nyingi moja ikiwa ni chumba ambacho kinadaiwa kilitumika kama maficho ya watumwa, Bi nasra anaeleza Kwa nini chumba hicho kilijengwa.. ungana nasi
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu
Пікірлер: 128
Shukran Ktv tz ONLINE HAKIKA HII NI FAHARI YETU HODI ZENJIBAR
Masha Allah. Asante sana Bi Na. Nafsi yangu nilikuwa siamini hio historia ya kuwa walikuwa wanafugwa watumwa humo. Lkn sikuwa najua ilikuwa ni sehemu nini. Wengi wanapenda kutoa historia ya kueneza chuki na ubaya bila kuangalia kuwa wengi wetu wazanzibari tuna pande zote mbili za watumwa na za mabwana.
Makes a lot of sense. Those blaming Arabs for slavery esoecially European missionaries and rulers and their Christian followers,should stop telling lies
Haya asanteni KTV TZ ONLINE
Mie nipo nawee mtangazaji alhamdulilah upo vizuri sana bibiye.
Ahsante bi NASRA kwa kutujuza
Mashaallah
Fanyeni tuipate iyo historia ilokuwemo kwwnye CD anayosema bi NAa kisha chengnie mmetubania iyo mangapwani hamkutuonyesga vizuri. Asanteni
Ahsante bi mkubwa,wahenga twawaheshimu sana.
Nipewe no za huyo mama nimfte kwake inaonekana anayajua mengi huyo ntmni ungekuwa mma angu wwe ningefaidi mengi kutka kwako👌👌👌👌👌👌👌
ASSALAAMU ALEYKUM MASHALLAH I LOVE 🇿🇦 ZANZIBAR AND PEOPLE OF ZANZIBAR THE ARE TOO KINDNESS ❤️ 💖 ♥️ 💗 💜 MY ALLAH ALWAYS MAKE THEM HAPPY 😊 😃 😀 😄 😁 🤣
Uondoukweli nautabakia kua ukweli asante bi naaa
Mashaallah binassra historia ya kusisimua
❤❤❤
Sheria imebadilisha ukweli mpaka mashuleni watoto wanasomeshwa uongo na historia ya zanzibar ,ukweli unafichwa ,zanzibar nchi ya barka
wakati zipo shule znz 2012 chuini secondary school tulienda wanafunzi na walimu kujionea history ya watumwa kote tumesha ingia kutizam
❤zanzibar
Mangapwani ni nyumbani na hy mzee ni babu yangu mzee Hamed Allah amraham
@dhiabmohammed4238
5 жыл бұрын
Amin
@fadhilaramadan5143
4 жыл бұрын
Amina inshallah
Zanzibar na oman nimoja kama nimungano bora ungekua oman na Zanzibar nibora zaidi kwasbb waoman wanaahistoria yao oman nilazima watakua nahuruma na upendo wenyewe waomna wanasema kua Zanzibar ninyumbani
@heartnsanya1182
4 жыл бұрын
Tatizo wavivu oman oman mnapenda vya bule
Chechei wadau jmni mmi Zanzibar nyumbani lkin wallah manga pwani cpajui hta kukovipi itbidi niwe mtalii nitalii kila saham mskunduchi.nungwi nisehm nying mmicizifahmu kiwengwa hdi aybu kusema ivo zanzbar kisiwa chenye history bungi dah inatosha jmni mna nitmlza majina .
@ukhtyrahma.3922
5 жыл бұрын
@S Sur pole sana mpz itabidi ufanye ziara ya kutembea na ukitaka kampany naweza kukupa inshaAllah ucjali.
@ssur5797
5 жыл бұрын
@@ukhtyrahma.3922 kweli ishllh tuwombe uhai na uzima nikirudi kwetu nitkutfuta kwani nko mbali na TANZANIA😗😗😗
@ukhtyrahma.3922
5 жыл бұрын
@S Sur inshaAllah ucjali
@fatmahmwinyi4061
5 жыл бұрын
Uninambie na mm nije nipo dar nipate wenyejiii
@ukhtyrahma.3922
5 жыл бұрын
Fatmah Mwinyi inshaAllah msijali nyie njooni tu hasara miguu yenu na nauli zenu.
Upo vizur bii naah mashallah endelea kutujuza na mengine😍
❤ zenji
Duh! Historia nzuri lakini ya kusikitisha😔. Mola atusitiri
😗😚😍🤞
Ukitaka kuwafuragisha waznz we ye chuki, waam ie kuwa waarabu ndio waliokiwa wafanya biashara ya watumwa, rena wanafurahi sana. Kheri za waarabu hawapendi kuzosikia,ikiwemo lugha,dini,mavazi,ustaarabu, majengo,mabarabara nk
Ktv hongereni lakini udadisi ni muhimu katika kutoa habary sahihi na historia haibadiliki mamb ya nasabu sawa lkni alisema kuwa chimbuko la huyooo ni mahodary na alimpa mikoba gani...... ¿
Huyu alojenga cave akija mbagala harud😊
Historia tamu iyo jamani
samahani Ktv ile ilikuwa zaima tv niliposema hiyo historia ya uongo
Kweli behle mtihani hadi Leo me nipo uku wanakusifia behle kwavibwengo 😂😂😂
Historia ya Zanzibar inafichwa hata maskuli hawagusi zaidi nikusema Waarabu walitesa wazee watu.
Mangapwani ndo nymbani kwetu huko najisifia sana home sweety home
@challabeel578
5 жыл бұрын
H0m sweat h0m
MashaAllah
@ssur5797
5 жыл бұрын
Ukhty Rahma Ilo jengo linatisha dah hatari
@ukhtyrahma.3922
5 жыл бұрын
S Sur hahaha ucjali nitakukamata mkono twend pa1
@ssur5797
5 жыл бұрын
@@ukhtyrahma.3922 shukrani mydear
@ukhtyrahma.3922
5 жыл бұрын
S Sur Afuwan my dear.
historia ya znz ni kubwa mnoo ipo historia nzur na mbaya pia. hakuna shm ina historia nzur 2pu. allah atustiri na atuekee mahala pe2 znz .. m.naomba historia ya oman na znz kwa ujumla jinc ilvyo hapo mwanzo.. kuna wa2 hawaamin waznz walio wngi hasa wazee wao wote wametoka nchi za kiarab ..
@hassanmfaume4522
2 жыл бұрын
Kwahiyo hakuwa na waafrika hapo znz
Baadhi ya maandiko ya vitabu vingi vya kihistoria vinatujuza kwamba watumwa walipitishwa hpo kwa muda mfupi sana ili waweze kuteremshwa kwenye Bandari ambapo tyr majahaz yapo kwa kuwachukuwa
Hii history or story
Binasra nimeshajihika sana na maelezo yako naomba telephone number yako
So history inaishia kwako bi naa🤭 Woow
Kwahio ni kweli Warab wa Oman ndio walioleta majin visiwani Zanzibar!
@yahyaibrahim6934
4 жыл бұрын
Majini wapo tangu enzi za nabiii suleiman
@tecnof1232
4 жыл бұрын
Majini ni viumbe km ww, wapo kila mahali
kwamimi nashkuru histy ya nchi yangu naijua kwamaana mama mkuu wangu amefariki akiwa namiaka 100nazaidi miaka 14 iliopita nababu yangu wa kwanza yupo hai na anamiaka 97 kwasasa
vijana wa kitumwa hawawezi kutoa historia ya znz
wapige chini wanaanza hujuma ili muonekane mnakwama baada ya mzee kuondoka
Watu waliopewa dhamana ya kuenzi historia Idara ya Makumbusho na Mambo ya kale mnatuelezaje juu ya mabadiliko hya ya historia iliyokwisha enea dunia nzima?why hya mabadiliko yaelezwe wakat huu?tunahitaji muongozo kutoka kwenu
Mbona sauti haitoki
Watu wenye chuki na waarabu na waislam hawapendi kusikia haya
Kuhusu majini znz kuwepo kwanza A majini wapi enzi tangu visiwa vya zanzibar haviishi watu ninamaana tangu enzi za nabii suleiman nyuma nyuma halaf majini wengi wanaish visiwani na inamaana kwamba visiwa viko Bahraini namajini wengi wanaishi Bahraini tangu enzi
@khatibally4880
3 жыл бұрын
Re
Tulidanganywa wakati tupo Chuo Nukuu ila sisi wengine v ichwa vyetu vipo vizuri
na cha kufurahisha niwatu waingeaji
Inafichwa eti lakini ikiwa kama hivi si tutafahamu
kiukweli historia ya znz inajulikana nawazanzibar wenyewe nashangaa wanakuja watu ambao hata mama wababu zao hawakuzaliwa hapa stori yakweli wataneipata wapi ndio maana wanaongopa kama lugha yao
😲Sioni vizuri wacha nitanue mijicho
@ukhtyrahma.3922
5 жыл бұрын
zayyati yusufu pole san
@zayyatiyussuf9566
5 жыл бұрын
@@ukhtyrahma.3922 hahaha nisha chungulia nilikua Sioni vizuri😞
@ukhtyrahma.3922
5 жыл бұрын
zayyati yusufu njoo uchukue glass
@zayyatiyussuf9566
5 жыл бұрын
@@ukhtyrahma.3922 🤓🖒apo vipi?
@ukhtyrahma.3922
5 жыл бұрын
zayyati yusufu apo saw.
Sasa km suria vp alikuwa shekhe
Naogopa 😂
@adilhbzanzbaryetu4307
3 жыл бұрын
ww
niliwaambia yule KTV na wapeni wenzetu wa KTV kuwa huyu kijana ni muongo aliotoa hadithi ya mwangapwani. historia ya watumwa yote ipo kwa waengereza na watumwa walikuwa wanafichwa makanisani. lakini watumwa na wakiristo wenzao wakishirikiana na waengereza historia ya znz wakaibadilisha kama biblia. hapa kule kisiwa cha changuu kilikuwa ni kisiwa cha kufichia watumwa.. hata mpaka Leo znz watumwa wapo kutoka bara wakiona wanatoroka kwao zamani mtumwa kukimbia kwenda kwao hawezi. historia imepinda pinda.
@pastoryconrad7313
4 жыл бұрын
Uongo
@dullahmfaume964
4 жыл бұрын
Stupid
@tatukhatibu317
4 жыл бұрын
Belgie boys utumwa upò na wenyewe waarabu na yule mdada hawezi kusema kweli kwasababu waarabu tunawapenda sana
Watu zanzibar wanatiwa chuki na uongo waarabu wabaya katika zanzibar hao waarabu wamechangaya na waafrica na fisiemu ni chuki tu wakionayo
sham acha matusi sisi waungwana matusi kwetu haramu
Zanzibar history yake ni utata tu
History ya ukweli ya Zanzibar imeamza mwaka 1964 mpaka sasa hivi huko nyuma hatujui chochote.
@nassorsharifu9837
4 жыл бұрын
Wee wa kuja ndio mnaojaribu kuipindindisha historia ili kujenga chuki miongoni mwa wazanzibari asilia. Angalia unajaribu kuwaaminisha watu kuwa waznzibari hawaijui historia yao
@saeedqaseem7423
3 жыл бұрын
Hujui wewe ambae historia yako kuhusu Zanzibar imeanzia baada ya hayo mapinduzi...... inaonekana huna ujualo kakojoe ukalale
@ladislausngoyinde4384
3 жыл бұрын
@@nassorsharifu9837 kama yeye wakuja, je hao waarabu nao vp, au ndo wenyeji
@khalfansuleiman6206
3 жыл бұрын
USILOLIJUA NI USIKU WA KIZA NYAMAZA KIMYA
@Muba3304
3 жыл бұрын
Tatzo lako unaitwa pastory huwez jua mambo ya said wa moh'md we ukae kimya mzigua mtumwa
storia ya ukwel ya Zanzibar haisemwi
@rashdhamdun
4 жыл бұрын
Haisemwi kivip
Mangapwani " wamanga wapo pwani"
@tecnof1232
4 жыл бұрын
Anasema mwangaza, lete hoja!
Faki tu fuck!! Ukweli uko wapi?
@111dudi
5 жыл бұрын
Of course u dont want to admit
@111dudi
5 жыл бұрын
That's the difference between civilised and non civilised ppl. Non civilised ppl use a abusive language
@tecnof1232
4 жыл бұрын
They hide the truth for their self benefit
@hamadali5062
3 жыл бұрын
Of course you will say that because you're name suzan patricks. Hii historiya ya zanzibar na warabu kuuza watumwa ni history iliyoletwa na British na nyerere ili kuiponda dini ya kiislamu na kuitawala nchi ya zanzibar kwa hoja za kiongo.
Uongo mtupu
Suria hakuna Hata siku 1 Enzi za Mtume Muhammad Walikuwa,Warabu wana teka watumwa na kutembea nao kwa nguvu Watu walikuwa wafichwa huko tena chumba hicho ni ngome ya majin ndio Warabu walivyo tufanya kutudhalilisha Watu weusi,
Nawish ningekuepo izo zama 😎😎😣
@sulleyalriyamiy
5 жыл бұрын
Mkubwa
@mwagilomasukuzi5464
5 жыл бұрын
Nilivyosikia mie kulikuwa na mtemi wa kabila la kizigua akiitwa mhelamwana alikimbilia znz kupitia saadan akafikia mahali hapo na kupaita manga ya pwani kwa maana alitokea sehemu iitwayo manga iliopo wilaya ya handeni mko a wa tanga
@danielx8
3 жыл бұрын
Viringo walikuwa wengi during that time
@Muba3304
3 жыл бұрын
Ila ungekua ushakua kibudu🙄