JE! ULIDANGANYWA HISTORIA YA ZANZIBAR- MANGAPWANI?

Katika muendelezo wa kuendelea kukujulisha kuhusu historia ya Zanzibar na watu wake, mwandishi wetu amekutana na BI Nasra Mohammed ambae ni mtafiti na mwandishi wa zamani, mwenyeji wa eneo la mangapwani ambae ana historia kubwa ya eneo hilo.
Eneo hilo linajulikana kwa historia nyingi moja ikiwa ni chumba ambacho kinadaiwa kilitumika kama maficho ya watumwa, Bi nasra anaeleza Kwa nini chumba hicho kilijengwa.. ungana nasi
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu

Пікірлер: 128

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf95665 жыл бұрын

    Shukran Ktv tz ONLINE HAKIKA HII NI FAHARI YETU HODI ZENJIBAR

  • @muthannajuma6896
    @muthannajuma68963 жыл бұрын

    Masha Allah. Asante sana Bi Na. Nafsi yangu nilikuwa siamini hio historia ya kuwa walikuwa wanafugwa watumwa humo. Lkn sikuwa najua ilikuwa ni sehemu nini. Wengi wanapenda kutoa historia ya kueneza chuki na ubaya bila kuangalia kuwa wengi wetu wazanzibari tuna pande zote mbili za watumwa na za mabwana.

  • @111dudi
    @111dudi5 жыл бұрын

    Makes a lot of sense. Those blaming Arabs for slavery esoecially European missionaries and rulers and their Christian followers,should stop telling lies

  • @asiaa5196
    @asiaa51965 жыл бұрын

    Haya asanteni KTV TZ ONLINE

  • @issaali1321
    @issaali13214 жыл бұрын

    Mie nipo nawee mtangazaji alhamdulilah upo vizuri sana bibiye.

  • @allysaid6742
    @allysaid67425 жыл бұрын

    Ahsante bi NASRA kwa kutujuza

  • @galayagalaya48
    @galayagalaya485 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @abuuhamzasuleiman7005
    @abuuhamzasuleiman70054 жыл бұрын

    Fanyeni tuipate iyo historia ilokuwemo kwwnye CD anayosema bi NAa kisha chengnie mmetubania iyo mangapwani hamkutuonyesga vizuri. Asanteni

  • @ashuashu3843
    @ashuashu38435 жыл бұрын

    Ahsante bi mkubwa,wahenga twawaheshimu sana.

  • @ssur5797
    @ssur57975 жыл бұрын

    Nipewe no za huyo mama nimfte kwake inaonekana anayajua mengi huyo ntmni ungekuwa mma angu wwe ningefaidi mengi kutka kwako👌👌👌👌👌👌👌

  • @chinaboyzanzibar5328
    @chinaboyzanzibar5328 Жыл бұрын

    ASSALAAMU ALEYKUM MASHALLAH I LOVE 🇿🇦 ZANZIBAR AND PEOPLE OF ZANZIBAR THE ARE TOO KINDNESS ❤️ 💖 ♥️ 💗 💜 MY ALLAH ALWAYS MAKE THEM HAPPY 😊 😃 😀 😄 😁 🤣

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud81384 жыл бұрын

    Uondoukweli nautabakia kua ukweli asante bi naaa

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor30813 жыл бұрын

    Mashaallah binassra historia ya kusisimua

  • @hakunamatataznz5508
    @hakunamatataznz5508 Жыл бұрын

    ❤❤❤

  • @suheilsuheil8780
    @suheilsuheil87804 жыл бұрын

    Sheria imebadilisha ukweli mpaka mashuleni watoto wanasomeshwa uongo na historia ya zanzibar ,ukweli unafichwa ,zanzibar nchi ya barka

  • @Queen-te3lz
    @Queen-te3lz4 жыл бұрын

    wakati zipo shule znz 2012 chuini secondary school tulienda wanafunzi na walimu kujionea history ya watumwa kote tumesha ingia kutizam

  • @hammerQ954
    @hammerQ9545 жыл бұрын

    ❤zanzibar

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif62165 жыл бұрын

    Mangapwani ni nyumbani na hy mzee ni babu yangu mzee Hamed Allah amraham

  • @dhiabmohammed4238

    @dhiabmohammed4238

    5 жыл бұрын

    Amin

  • @fadhilaramadan5143

    @fadhilaramadan5143

    4 жыл бұрын

    Amina inshallah

  • @yahyaibrahim6934
    @yahyaibrahim69344 жыл бұрын

    Zanzibar na oman nimoja kama nimungano bora ungekua oman na Zanzibar nibora zaidi kwasbb waoman wanaahistoria yao oman nilazima watakua nahuruma na upendo wenyewe waomna wanasema kua Zanzibar ninyumbani

  • @heartnsanya1182

    @heartnsanya1182

    4 жыл бұрын

    Tatizo wavivu oman oman mnapenda vya bule

  • @ssur5797
    @ssur57975 жыл бұрын

    Chechei wadau jmni mmi Zanzibar nyumbani lkin wallah manga pwani cpajui hta kukovipi itbidi niwe mtalii nitalii kila saham mskunduchi.nungwi nisehm nying mmicizifahmu kiwengwa hdi aybu kusema ivo zanzbar kisiwa chenye history bungi dah inatosha jmni mna nitmlza majina .

  • @ukhtyrahma.3922

    @ukhtyrahma.3922

    5 жыл бұрын

    @S Sur pole sana mpz itabidi ufanye ziara ya kutembea na ukitaka kampany naweza kukupa inshaAllah ucjali.

  • @ssur5797

    @ssur5797

    5 жыл бұрын

    @@ukhtyrahma.3922 kweli ishllh tuwombe uhai na uzima nikirudi kwetu nitkutfuta kwani nko mbali na TANZANIA😗😗😗

  • @ukhtyrahma.3922

    @ukhtyrahma.3922

    5 жыл бұрын

    @S Sur inshaAllah ucjali

  • @fatmahmwinyi4061

    @fatmahmwinyi4061

    5 жыл бұрын

    Uninambie na mm nije nipo dar nipate wenyejiii

  • @ukhtyrahma.3922

    @ukhtyrahma.3922

    5 жыл бұрын

    Fatmah Mwinyi inshaAllah msijali nyie njooni tu hasara miguu yenu na nauli zenu.

  • @abdulrahmanrajab4369
    @abdulrahmanrajab43694 жыл бұрын

    Upo vizur bii naah mashallah endelea kutujuza na mengine😍

  • @2nukhamis447
    @2nukhamis4474 жыл бұрын

    ❤ zenji

  • @shammoha5297
    @shammoha52975 жыл бұрын

    Duh! Historia nzuri lakini ya kusikitisha😔. Mola atusitiri

  • @abdulrahmanrajab4369
    @abdulrahmanrajab43694 жыл бұрын

    😗😚😍🤞

  • @111dudi
    @111dudi2 ай бұрын

    Ukitaka kuwafuragisha waznz we ye chuki, waam ie kuwa waarabu ndio waliokiwa wafanya biashara ya watumwa, rena wanafurahi sana. Kheri za waarabu hawapendi kuzosikia,ikiwemo lugha,dini,mavazi,ustaarabu, majengo,mabarabara nk

  • @abdul-razakamour5136
    @abdul-razakamour51365 жыл бұрын

    Ktv hongereni lakini udadisi ni muhimu katika kutoa habary sahihi na historia haibadiliki mamb ya nasabu sawa lkni alisema kuwa chimbuko la huyooo ni mahodary na alimpa mikoba gani...... ¿

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p2 ай бұрын

    Huyu alojenga cave akija mbagala harud😊

  • @aishasaid5702
    @aishasaid57025 жыл бұрын

    Historia tamu iyo jamani

  • @belgieboys9867
    @belgieboys98675 жыл бұрын

    samahani Ktv ile ilikuwa zaima tv niliposema hiyo historia ya uongo

  • @yahyaibrahim6934
    @yahyaibrahim69344 жыл бұрын

    Kweli behle mtihani hadi Leo me nipo uku wanakusifia behle kwavibwengo 😂😂😂

  • @samo5315
    @samo53153 жыл бұрын

    Historia ya Zanzibar inafichwa hata maskuli hawagusi zaidi nikusema Waarabu walitesa wazee watu.

  • @saydbarakismailiya1515
    @saydbarakismailiya15155 жыл бұрын

    Mangapwani ndo nymbani kwetu huko najisifia sana home sweety home

  • @challabeel578

    @challabeel578

    5 жыл бұрын

    H0m sweat h0m

  • @ukhtyrahma.3922
    @ukhtyrahma.39225 жыл бұрын

    MashaAllah

  • @ssur5797

    @ssur5797

    5 жыл бұрын

    Ukhty Rahma Ilo jengo linatisha dah hatari

  • @ukhtyrahma.3922

    @ukhtyrahma.3922

    5 жыл бұрын

    S Sur hahaha ucjali nitakukamata mkono twend pa1

  • @ssur5797

    @ssur5797

    5 жыл бұрын

    @@ukhtyrahma.3922 shukrani mydear

  • @ukhtyrahma.3922

    @ukhtyrahma.3922

    5 жыл бұрын

    S Sur Afuwan my dear.

  • @anniyahfacebeat8937
    @anniyahfacebeat89375 жыл бұрын

    historia ya znz ni kubwa mnoo ipo historia nzur na mbaya pia. hakuna shm ina historia nzur 2pu. allah atustiri na atuekee mahala pe2 znz .. m.naomba historia ya oman na znz kwa ujumla jinc ilvyo hapo mwanzo.. kuna wa2 hawaamin waznz walio wngi hasa wazee wao wote wametoka nchi za kiarab ..

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    2 жыл бұрын

    Kwahiyo hakuwa na waafrika hapo znz

  • @ameirameir4930
    @ameirameir49305 жыл бұрын

    Baadhi ya maandiko ya vitabu vingi vya kihistoria vinatujuza kwamba watumwa walipitishwa hpo kwa muda mfupi sana ili waweze kuteremshwa kwenye Bandari ambapo tyr majahaz yapo kwa kuwachukuwa

  • @danielx8
    @danielx83 жыл бұрын

    Hii history or story

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor30813 жыл бұрын

    Binasra nimeshajihika sana na maelezo yako naomba telephone number yako

  • @dr.ajeyfemed5895
    @dr.ajeyfemed58954 жыл бұрын

    So history inaishia kwako bi naa🤭 Woow

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu5 жыл бұрын

    Kwahio ni kweli Warab wa Oman ndio walioleta majin visiwani Zanzibar!

  • @yahyaibrahim6934

    @yahyaibrahim6934

    4 жыл бұрын

    Majini wapo tangu enzi za nabiii suleiman

  • @tecnof1232

    @tecnof1232

    4 жыл бұрын

    Majini ni viumbe km ww, wapo kila mahali

  • @maubarak9831
    @maubarak98315 жыл бұрын

    kwamimi nashkuru histy ya nchi yangu naijua kwamaana mama mkuu wangu amefariki akiwa namiaka 100nazaidi miaka 14 iliopita nababu yangu wa kwanza yupo hai na anamiaka 97 kwasasa

  • @belgieboys9867
    @belgieboys98675 жыл бұрын

    vijana wa kitumwa hawawezi kutoa historia ya znz

  • @fadhilikawambwa5159
    @fadhilikawambwa51593 жыл бұрын

    wapige chini wanaanza hujuma ili muonekane mnakwama baada ya mzee kuondoka

  • @ameirameir4930
    @ameirameir49305 жыл бұрын

    Watu waliopewa dhamana ya kuenzi historia Idara ya Makumbusho na Mambo ya kale mnatuelezaje juu ya mabadiliko hya ya historia iliyokwisha enea dunia nzima?why hya mabadiliko yaelezwe wakat huu?tunahitaji muongozo kutoka kwenu

  • @salmajadi3695
    @salmajadi36955 жыл бұрын

    Mbona sauti haitoki

  • @111dudi
    @111dudi Жыл бұрын

    Watu wenye chuki na waarabu na waislam hawapendi kusikia haya

  • @yahyaibrahim6934
    @yahyaibrahim69344 жыл бұрын

    Kuhusu majini znz kuwepo kwanza A majini wapi enzi tangu visiwa vya zanzibar haviishi watu ninamaana tangu enzi za nabii suleiman nyuma nyuma halaf majini wengi wanaish visiwani na inamaana kwamba visiwa viko Bahraini namajini wengi wanaishi Bahraini tangu enzi

  • @khatibally4880

    @khatibally4880

    3 жыл бұрын

    Re

  • @ausihaji2398
    @ausihaji23985 жыл бұрын

    Tulidanganywa wakati tupo Chuo Nukuu ila sisi wengine v ichwa vyetu vipo vizuri

  • @maubarak9831
    @maubarak98315 жыл бұрын

    na cha kufurahisha niwatu waingeaji

  • @khamisjuma9340
    @khamisjuma93403 жыл бұрын

    Inafichwa eti lakini ikiwa kama hivi si tutafahamu

  • @maubarak9831
    @maubarak98315 жыл бұрын

    kiukweli historia ya znz inajulikana nawazanzibar wenyewe nashangaa wanakuja watu ambao hata mama wababu zao hawakuzaliwa hapa stori yakweli wataneipata wapi ndio maana wanaongopa kama lugha yao

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf95665 жыл бұрын

    😲Sioni vizuri wacha nitanue mijicho

  • @ukhtyrahma.3922

    @ukhtyrahma.3922

    5 жыл бұрын

    zayyati yusufu pole san

  • @zayyatiyussuf9566

    @zayyatiyussuf9566

    5 жыл бұрын

    @@ukhtyrahma.3922 hahaha nisha chungulia nilikua Sioni vizuri😞

  • @ukhtyrahma.3922

    @ukhtyrahma.3922

    5 жыл бұрын

    zayyati yusufu njoo uchukue glass

  • @zayyatiyussuf9566

    @zayyatiyussuf9566

    5 жыл бұрын

    @@ukhtyrahma.3922 🤓🖒apo vipi?

  • @ukhtyrahma.3922

    @ukhtyrahma.3922

    5 жыл бұрын

    zayyati yusufu apo saw.

  • @issaabdallaissa1473
    @issaabdallaissa14734 жыл бұрын

    Sasa km suria vp alikuwa shekhe

  • @khayratsalim8576
    @khayratsalim85765 жыл бұрын

    Naogopa 😂

  • @adilhbzanzbaryetu4307

    @adilhbzanzbaryetu4307

    3 жыл бұрын

    ww

  • @belgieboys9867
    @belgieboys98675 жыл бұрын

    niliwaambia yule KTV na wapeni wenzetu wa KTV kuwa huyu kijana ni muongo aliotoa hadithi ya mwangapwani. historia ya watumwa yote ipo kwa waengereza na watumwa walikuwa wanafichwa makanisani. lakini watumwa na wakiristo wenzao wakishirikiana na waengereza historia ya znz wakaibadilisha kama biblia. hapa kule kisiwa cha changuu kilikuwa ni kisiwa cha kufichia watumwa.. hata mpaka Leo znz watumwa wapo kutoka bara wakiona wanatoroka kwao zamani mtumwa kukimbia kwenda kwao hawezi. historia imepinda pinda.

  • @pastoryconrad7313

    @pastoryconrad7313

    4 жыл бұрын

    Uongo

  • @dullahmfaume964

    @dullahmfaume964

    4 жыл бұрын

    Stupid

  • @tatukhatibu317

    @tatukhatibu317

    4 жыл бұрын

    Belgie boys utumwa upò na wenyewe waarabu na yule mdada hawezi kusema kweli kwasababu waarabu tunawapenda sana

  • @rafaelmarquez9396
    @rafaelmarquez939611 ай бұрын

    Watu zanzibar wanatiwa chuki na uongo waarabu wabaya katika zanzibar hao waarabu wamechangaya na waafrica na fisiemu ni chuki tu wakionayo

  • @maubarak9831
    @maubarak98315 жыл бұрын

    sham acha matusi sisi waungwana matusi kwetu haramu

  • @rashidseif6103
    @rashidseif61035 жыл бұрын

    Zanzibar history yake ni utata tu

  • @pastoryconrad7313
    @pastoryconrad73134 жыл бұрын

    History ya ukweli ya Zanzibar imeamza mwaka 1964 mpaka sasa hivi huko nyuma hatujui chochote.

  • @nassorsharifu9837

    @nassorsharifu9837

    4 жыл бұрын

    Wee wa kuja ndio mnaojaribu kuipindindisha historia ili kujenga chuki miongoni mwa wazanzibari asilia. Angalia unajaribu kuwaaminisha watu kuwa waznzibari hawaijui historia yao

  • @saeedqaseem7423

    @saeedqaseem7423

    3 жыл бұрын

    Hujui wewe ambae historia yako kuhusu Zanzibar imeanzia baada ya hayo mapinduzi...... inaonekana huna ujualo kakojoe ukalale

  • @ladislausngoyinde4384

    @ladislausngoyinde4384

    3 жыл бұрын

    @@nassorsharifu9837 kama yeye wakuja, je hao waarabu nao vp, au ndo wenyeji

  • @khalfansuleiman6206

    @khalfansuleiman6206

    3 жыл бұрын

    USILOLIJUA NI USIKU WA KIZA NYAMAZA KIMYA

  • @Muba3304

    @Muba3304

    3 жыл бұрын

    Tatzo lako unaitwa pastory huwez jua mambo ya said wa moh'md we ukae kimya mzigua mtumwa

  • @dulakess8928
    @dulakess89285 жыл бұрын

    storia ya ukwel ya Zanzibar haisemwi

  • @rashdhamdun

    @rashdhamdun

    4 жыл бұрын

    Haisemwi kivip

  • @ameirameir4930
    @ameirameir49305 жыл бұрын

    Mangapwani " wamanga wapo pwani"

  • @tecnof1232

    @tecnof1232

    4 жыл бұрын

    Anasema mwangaza, lete hoja!

  • @suzanapatricks4512
    @suzanapatricks45125 жыл бұрын

    Faki tu fuck!! Ukweli uko wapi?

  • @111dudi

    @111dudi

    5 жыл бұрын

    Of course u dont want to admit

  • @111dudi

    @111dudi

    5 жыл бұрын

    That's the difference between civilised and non civilised ppl. Non civilised ppl use a abusive language

  • @tecnof1232

    @tecnof1232

    4 жыл бұрын

    They hide the truth for their self benefit

  • @hamadali5062

    @hamadali5062

    3 жыл бұрын

    Of course you will say that because you're name suzan patricks. Hii historiya ya zanzibar na warabu kuuza watumwa ni history iliyoletwa na British na nyerere ili kuiponda dini ya kiislamu na kuitawala nchi ya zanzibar kwa hoja za kiongo.

  • @ladislausngoyinde4384
    @ladislausngoyinde43843 жыл бұрын

    Uongo mtupu

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Жыл бұрын

    Suria hakuna Hata siku 1 Enzi za Mtume Muhammad Walikuwa,Warabu wana teka watumwa na kutembea nao kwa nguvu Watu walikuwa wafichwa huko tena chumba hicho ni ngome ya majin ndio Warabu walivyo tufanya kutudhalilisha Watu weusi,

  • @amnemkubwa7353
    @amnemkubwa73535 жыл бұрын

    Nawish ningekuepo izo zama 😎😎😣

  • @sulleyalriyamiy

    @sulleyalriyamiy

    5 жыл бұрын

    Mkubwa

  • @mwagilomasukuzi5464

    @mwagilomasukuzi5464

    5 жыл бұрын

    Nilivyosikia mie kulikuwa na mtemi wa kabila la kizigua akiitwa mhelamwana alikimbilia znz kupitia saadan akafikia mahali hapo na kupaita manga ya pwani kwa maana alitokea sehemu iitwayo manga iliopo wilaya ya handeni mko a wa tanga

  • @danielx8

    @danielx8

    3 жыл бұрын

    Viringo walikuwa wengi during that time

  • @Muba3304

    @Muba3304

    3 жыл бұрын

    Ila ungekua ushakua kibudu🙄

Келесі