Ahsante sana kwa kweli nimefaidika sana kujua historia ya nchi yetu
@masoudrashid83815 жыл бұрын
Kama inakuumiza kweli Zanzibar usisahau kugonga like
@salummkubwa5 жыл бұрын
Shukran kipindi kizuri nafikiri kingelipendeza zaidi wakati mahojiano yakiendelea kutupia historical photos za hilo daraja na palivyokua na yanayohusu hapo ili tupate picha ya uhalisia wake
@ibrahimsheha2155 жыл бұрын
Subkh nalaa
@massoudsultan61492 жыл бұрын
Allwaahumma ghfirlahu warhamhu waskanahu fi Janna mzee also dhulumiwa na majahil
@ammarruwehy Жыл бұрын
Hongereni sana kwa kipindi kizuri hiki, lkn ingependeza sana tungepata Picha au hata video za katukio hayo au hata watu wanaotajwa.
@badrujuma43685 жыл бұрын
Shekhe salmin kipindi kizuri sanaaaaa
@lipymuscat4779
5 жыл бұрын
Kipindi kizur sana ..ukisikiliza unahis raha wallah...zanzibar njema atakae aje
@hammerQ9545 жыл бұрын
Kipindi kizur sana mtafute tena huyu mzee
@jumamohd54204 жыл бұрын
Je hilo daraja halina kumbukumbu zake za picha angalau tujue limejengwa vipi
@masoudrashid83815 жыл бұрын
Maa sha Allah shukran maalim salmin pmj na babu yetu mzee sudi uwe unamtafuta sana Hugo mzee wetu ili atufahamishe zaidi wajukuu zake shukran maalim salmin. Shukran mzee sudi .shukran AL Fatah maa sha Allah
@saydbarakismailiya15155 жыл бұрын
Asante sana kwa historia nzuri ya nchi yangu pendwa
@makamevuai6132
5 жыл бұрын
TUPENI NA HISTORIA YA KISIWA NDUWI
@mwajumaali48665 жыл бұрын
masha allah
@lipymuscat47795 жыл бұрын
Waarabu wamefanya na mambo mazuri😘 tuwashukuru...sio kuwasema kuhusu utumwa tuu
@rahmaawadh6744
5 жыл бұрын
walijifanyia wenyewe sio kwa ajili ya waafrika mbona ngambu hawakuijenga waliiwacha na vibanda vya makuti na udongo
@mwatumsaidi51045 жыл бұрын
Leo tunaambiwa tulipe maji
@ludacrissrangiyabank37375 жыл бұрын
Uo mto ulikua una upana gani na ulijengewa pembeni ,na pembezoni mwake mlikuwa hamna miti na kuendea malindi uliishia wp na watu walikuwa wanaruhusika kuogolea na kima chake kwenda chini kina urefu gani?
@issaabdallaissa14734 жыл бұрын
Mbn tuliambia ni 1905 ndio sultan alifukia mto au siko na kufukiwa kwa mto kipi kilifuata kwanza
Пікірлер: 19
Ahsante sana kwa kweli nimefaidika sana kujua historia ya nchi yetu
Kama inakuumiza kweli Zanzibar usisahau kugonga like
Shukran kipindi kizuri nafikiri kingelipendeza zaidi wakati mahojiano yakiendelea kutupia historical photos za hilo daraja na palivyokua na yanayohusu hapo ili tupate picha ya uhalisia wake
Subkh nalaa
Allwaahumma ghfirlahu warhamhu waskanahu fi Janna mzee also dhulumiwa na majahil
Hongereni sana kwa kipindi kizuri hiki, lkn ingependeza sana tungepata Picha au hata video za katukio hayo au hata watu wanaotajwa.
Shekhe salmin kipindi kizuri sanaaaaa
@lipymuscat4779
5 жыл бұрын
Kipindi kizur sana ..ukisikiliza unahis raha wallah...zanzibar njema atakae aje
Kipindi kizur sana mtafute tena huyu mzee
Je hilo daraja halina kumbukumbu zake za picha angalau tujue limejengwa vipi
Maa sha Allah shukran maalim salmin pmj na babu yetu mzee sudi uwe unamtafuta sana Hugo mzee wetu ili atufahamishe zaidi wajukuu zake shukran maalim salmin. Shukran mzee sudi .shukran AL Fatah maa sha Allah
Asante sana kwa historia nzuri ya nchi yangu pendwa
@makamevuai6132
5 жыл бұрын
TUPENI NA HISTORIA YA KISIWA NDUWI
masha allah
Waarabu wamefanya na mambo mazuri😘 tuwashukuru...sio kuwasema kuhusu utumwa tuu
@rahmaawadh6744
5 жыл бұрын
walijifanyia wenyewe sio kwa ajili ya waafrika mbona ngambu hawakuijenga waliiwacha na vibanda vya makuti na udongo
Leo tunaambiwa tulipe maji
Uo mto ulikua una upana gani na ulijengewa pembeni ,na pembezoni mwake mlikuwa hamna miti na kuendea malindi uliishia wp na watu walikuwa wanaruhusika kuogolea na kima chake kwenda chini kina urefu gani?
Mbn tuliambia ni 1905 ndio sultan alifukia mto au siko na kufukiwa kwa mto kipi kilifuata kwanza