HISTORIA YA MJI WA DARAJANI ZANZIBAR

Пікірлер: 19

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid58645 жыл бұрын

    Ahsante sana kwa kweli nimefaidika sana kujua historia ya nchi yetu

  • @masoudrashid8381
    @masoudrashid83815 жыл бұрын

    Kama inakuumiza kweli Zanzibar usisahau kugonga like

  • @salummkubwa
    @salummkubwa5 жыл бұрын

    Shukran kipindi kizuri nafikiri kingelipendeza zaidi wakati mahojiano yakiendelea kutupia historical photos za hilo daraja na palivyokua na yanayohusu hapo ili tupate picha ya uhalisia wake

  • @ibrahimsheha215
    @ibrahimsheha2155 жыл бұрын

    Subkh nalaa

  • @massoudsultan6149
    @massoudsultan61492 жыл бұрын

    Allwaahumma ghfirlahu warhamhu waskanahu fi Janna mzee also dhulumiwa na majahil

  • @ammarruwehy
    @ammarruwehy Жыл бұрын

    Hongereni sana kwa kipindi kizuri hiki, lkn ingependeza sana tungepata Picha au hata video za katukio hayo au hata watu wanaotajwa.

  • @badrujuma4368
    @badrujuma43685 жыл бұрын

    Shekhe salmin kipindi kizuri sanaaaaa

  • @lipymuscat4779

    @lipymuscat4779

    5 жыл бұрын

    Kipindi kizur sana ..ukisikiliza unahis raha wallah...zanzibar njema atakae aje

  • @hammerQ954
    @hammerQ9545 жыл бұрын

    Kipindi kizur sana mtafute tena huyu mzee

  • @jumamohd5420
    @jumamohd54204 жыл бұрын

    Je hilo daraja halina kumbukumbu zake za picha angalau tujue limejengwa vipi

  • @masoudrashid8381
    @masoudrashid83815 жыл бұрын

    Maa sha Allah shukran maalim salmin pmj na babu yetu mzee sudi uwe unamtafuta sana Hugo mzee wetu ili atufahamishe zaidi wajukuu zake shukran maalim salmin. Shukran mzee sudi .shukran AL Fatah maa sha Allah

  • @saydbarakismailiya1515
    @saydbarakismailiya15155 жыл бұрын

    Asante sana kwa historia nzuri ya nchi yangu pendwa

  • @makamevuai6132

    @makamevuai6132

    5 жыл бұрын

    TUPENI NA HISTORIA YA KISIWA NDUWI

  • @mwajumaali4866
    @mwajumaali48665 жыл бұрын

    masha allah

  • @lipymuscat4779
    @lipymuscat47795 жыл бұрын

    Waarabu wamefanya na mambo mazuri😘 tuwashukuru...sio kuwasema kuhusu utumwa tuu

  • @rahmaawadh6744

    @rahmaawadh6744

    5 жыл бұрын

    walijifanyia wenyewe sio kwa ajili ya waafrika mbona ngambu hawakuijenga waliiwacha na vibanda vya makuti na udongo

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi51045 жыл бұрын

    Leo tunaambiwa tulipe maji

  • @ludacrissrangiyabank3737
    @ludacrissrangiyabank37375 жыл бұрын

    Uo mto ulikua una upana gani na ulijengewa pembeni ,na pembezoni mwake mlikuwa hamna miti na kuendea malindi uliishia wp na watu walikuwa wanaruhusika kuogolea na kima chake kwenda chini kina urefu gani?

  • @issaabdallaissa1473
    @issaabdallaissa14734 жыл бұрын

    Mbn tuliambia ni 1905 ndio sultan alifukia mto au siko na kufukiwa kwa mto kipi kilifuata kwanza

Келесі