SHK.MSABBAH ATOA HISTORIA NZITO YA MIPAKA YA ZANZIBAR NA TANGANYIKA KWA WAKATI ULIOPITA

#riyadhTvZnz #zanzibar

Пікірлер: 21

  • @salimbinshaks1385
    @salimbinshaks1385Ай бұрын

    somo mm nakuelewa sana nasina elimu nahiji nipapate elimu kutokatoka kwako salim juma ali nipo zanzibar naomaba namba yako shekhe wngu allah akuweke tupate elimu

  • @wahidisalim6776
    @wahidisalim6776 Жыл бұрын

    Msabahah nakupenda kwaajili ya allah

  • @ibrahimnassorali3360
    @ibrahimnassorali3360 Жыл бұрын

    Allah ajaalie kwako umri mref wenye manufaa kwako na uislam

  • @chonghoswe6255
    @chonghoswe6255 Жыл бұрын

    Pambana mungu akupe nguvu usipumzke had peponiiii

  • @dullah5733
    @dullah5733 Жыл бұрын

    Masha Allah

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Жыл бұрын

    Hakika sheirkh msabah ukifundisha na kukwepa mabishano utaheshimika

  • @targhib_tv
    @targhib_tv Жыл бұрын

    Riyadh tv kuandika Surat Ankabut:33 imekuwa shida

  • @feisal6592
    @feisal6592 Жыл бұрын

    Jee bachuu kutoka Zanzibar badoakona ugomvi wao na ma shekh wenzake or akona hoiaa malumu

  • @mohdkhamiskhamis1565
    @mohdkhamiskhamis1565 Жыл бұрын

    Ahsant shehe

  • @kherimakame212
    @kherimakame21210 ай бұрын

    ndio kafuga kucha sie tulosoma kwake tunajua kucha anafug kwasababu gan na nywele anafuga kwasabab gan

  • @sababusiosababu9919
    @sababusiosababu9919 Жыл бұрын

    huyu kichwani ana mambo mengi hafai kusomesha darsa ; hasa za watu wachanga kwani ana fikra nyingi kichwani mchanganyiko na bahati mbaya yeye mwenyewe hana uwezo wa kuchuja aliyo yabeba kichwani ,

  • @shahabdallah9407

    @shahabdallah9407

    4 ай бұрын

    Kaa ww ufundishe

  • @chonghoswe6255
    @chonghoswe6255 Жыл бұрын

    Usichoke shekhe letu jembe tunakuombea afya siha

  • @zuhurashabani365
    @zuhurashabani365 Жыл бұрын

    Samahani nimeona kama shekh kafuga kucha?? Au macho yangu

  • @chonghoswe6255

    @chonghoswe6255

    Жыл бұрын

    Urembo

  • @chonghoswe6255

    @chonghoswe6255

    Жыл бұрын

    Ulikua upo ktk darsaaa! Au ndio ktk mapungfu yenu t

  • @zuhurashabani365

    @zuhurashabani365

    Жыл бұрын

    Nimeuliza tu kwani huenda nikaelimishwa juu y nilicho kiona na nikaongeza elmu zaid

  • @zuhurashabani365

    @zuhurashabani365

    Жыл бұрын

    Nisikwamba nilifata mapunguf no ingekua ivo bad hata nisinge hangaika kumsikiliza shekh wetu

  • @chonghoswe6255

    @chonghoswe6255

    Жыл бұрын

    @@zuhurashabani365 usijal mwana darsa mwenztu tuendelee kutafta ilimu mpaka mwna ndani

Келесі