BREAKING NEWS MGOMO WA WAFANYA BIASHARA WA DARAJANI SOUK MKUU WA WILIYA MJINI AINGILIA KATI
Karibu VOP TV TZ kupata habari mbali mbali kwa uharaka na uhakika.
Kupata taarifa zetu SUBSCRIBE na kisha bonyeza alama ya kengele.
Je? Una maoni yoyote kuhusu taarifa hii tuandikie sasa kupitia comment.
#vop_news #zanzibar
Пікірлер: 111
Kazi nzuri
@voptvtz9226
6 ай бұрын
Asante sana
Ccm ni walaji
Pole sana ndio zenji
Tahfifu yaa Allah
Dhulma haidumu ndio kwanza ngoma inaanza
Jusa kawaamsha watu💯💪💪💪
Mheshimiwa Allah atakulipa kheri kubwa hapa Dunia na akhera mkuu
LAKINI MH. ISMAIL JUSSA ALIYASEMA HAYO
Nammi naomba like yangu😅
@nadyasalim7956
11 ай бұрын
chukuwa habibi❤
Hapo Kuna wafanyabiashara wadogowadogo kupitia huu mgomo wanataka kuweka meza zao njian, kkoo serikali ilichelewa kuwadhibit wamachinga pale barabaran tangu mwanzo saiv imekua ngumu kuwaondoa,
Huyo msaraka anajifanya kama hayajuw😂😂😂😂kichwa km dufu
ASANTE MH WETU MSARAKA ALLAH AKUWEKE NA RC WETU NA RAISI WETU CCM OYEEE
Anaesema watu warejeshe cjui ccm inaweza kuendesha Mungu siku moja awape mitihani kama hii mtaelewa kwann watu wanalalamika
Afadhali mkuu wa wilaya umeweka sawa tatizo lao hivyo ndivyo inavyotakiwa ,good job ,,
@rajabmsinzia1715
11 ай бұрын
Mnatengenezewa maisha ya kistaarabu ila bado mna maisha yenu ya kukariri
Waswahili bna apoukipta hakuna watu wengi lkn kunamgomo naona watu tele 😂😂😂😂😂😂
Hongera wafanyabiashara gomeni mpaka serikali dhalimu iondoke. Ije serikali ya watu wa ZANZIBAR.
@rajabmsinzia1715
11 ай бұрын
Nje haiwezekani kuweka biashara haiwezekani wacheni kuharibu mji ,mbona mna mambo ya kizamani nyinyi Some wapemba?kama hamtaki si murudi Machomanne na chakechake huo ah
Hii nchi Zulma tupuuuuuu mtihani😢
Wacha Uwongo Zanzibar hakuna Democracy chaguzi zote mnapindua matokeo.
Napenda uyu Msaraka
wana siasa hawa
Awo fafanya biashara wanafurahia iyo fursa ya kuweka biahara chini kwa sababu wanawakodisha watu wengine
Tuendelee kuwapa mitano tena.. watatugaia fulana za kijani bure
raisi anahusika nchi imekua mbaya dhulma dhulma baasi
Uyo mkuu wa wilaya a anaongea kama kweli akifika kwa mapapasi weziwe hasemi ayo
Sasa unaweka biashara nnje uwo mlango umekodi wa kazigani?
Serikali hii mbwa anahuruma kuliko wao
CCM ondokeni madarakani yamewazidi Bara mmeunza Bandari na Zanzibar masoko 😂😂😂
Mungefunga kama watu wadaar kariokoo kule
Hiyo ni siasa hamna kitu hapo mnadanganvwa na msakara
Wekeni mfumo mzuri wa kibiashara na bara kama zamani znz soko lake kubwa ni bara
Ya Dsm mwaachie wa Dsm 😂
Yote ni uzembe wa kutokua na katiba mpya katiba ilio kuepo MSO kitu so mtu nisawa mbwaa Kwa hiyo wewe mzanzibari kwanini unapiga kelele utakuabwaa Koko
Mwinyi anatuharibia.nchiyetu .nayy.. upuuzi kbs kwaza milango wenyewe Haina maana yyt.
@MnyamwezMnyamwez-vx1wb
11 ай бұрын
Hebu jiheshimu we.
@rajabmsinzia1715
11 ай бұрын
Milango haina maana yeyeto ila bado mmeing'ang'ania Msiokuwa na fadhila nyinyi
@cath-ef7wd
11 ай бұрын
@@rajabmsinzia1715hicho cha kufadhili ni kipi kwani tumepewa bure hiyo milango una chuki binafsi na choyo kimekushika ww utakufa mdomo juu ww
@rajabmsinzia1715
11 ай бұрын
@@cath-ef7wd Hizo sifa ulizozi zijumuisha hapo zote ndio zenu hakuna asielijua hilo hata baadhi yenu wanalijua ,Na hata kama mmekodi ila kodi zina taratibu zake mmeambiwa msipange biashara zenu nje ya milango yenu sasa kwanini hamuwezi kufuata utaratibu mliowekewa?kama hamuwezi rudisheni milango ya watu mpewe pesa zenu maana kuna watu wengi tu wanaitaka na wapo tayari kufuata hizo taratibu....Wacheni siasa nyinyi
CCM mbele kwa mbele
mwinyi serekali yako iyo unaiyona umevaa ngua isio kua yako angalia utendaji wako wananchi wanavyo teseka na kulalamika amakweli ule msemo wa watu unaosema kiatu nikilekile kimebadilika soli2 hawajakosea
CCM OYEEEE!!!!
Nimeingiza zadia imepata like na views
Dawa yso ipo jikoni 2025 msiwape nafasi mabunju hao
Uyo mkuu wa wilaya ndio anasababisha ayo
Duuuh
IPO wpi hiyo nchi ya demokrasia ww mbwa
Ccm na Andazi nani zaidi?
RASHID MSARKA OYEEEEE
Kuwa w ugumu wa maisha sio leo tu
ATI akifa haozi jamn watu wanamaneno
Waengereza Zamani walikuwa wanamsemo kama "wape watu wanachokitaka" waachiwe wafanye wanavotaka na hixo.kodi zilizosalia zifutwe mpaka mwakanu mwez wa sita ndio.kodi ianze kama kodi kwa serikali kufidia kero..... na Ushauri uaijir wa vikosi tafuteni wasomi wenye taaluma mambo yataenda Sawa ila Hawa form 4 waliofeli form two watasababisha tabu Sna
@harizhamad8260
11 ай бұрын
Hili la vikos sio kwel dunian kote hakuna sijawah kuskia" Unataka kusema yoyote ambae hakufika level ya form six na chuo wasipate kuajiriwa huu utakua no ubaguzi mkubwa wa kiajira na kimaendeleo. Labda nikwambie msomi ana umuhimu wake na mjinga pia ana umuhimu wake inategemea wapi na muda gan anahitajika👌
Ushauri wangu serikali chukuweni ushuruwenu uongozi wakabidhini wafanyabiashara wenyewe
@rajabmsinzia1715
11 ай бұрын
Huo uongozi wao wakiachiwa ndio watapanga nguo mpaka kwenye barabara unawajua hao unawasika
haan rais hap
hiyo haikubaliki inakuwa aje mpange nje mzigo?kama hamuwezi rudisheni milango watakuja wanaoweza
@cath-ef7wd
11 ай бұрын
Wanaoweza ni nani fala wewe
@rajabmsinzia1715
11 ай бұрын
@@cath-ef7wd Nyinyi rudisheni milango hiyo uone kama itakuwa haifunguliwi mnataka kuleta siasa hapa ,wakati watu wanataka kuifanya nchi yenye sura yake ya kuwa kivutio still mnaleta mambo ya Madungu na Mtambwe hapa ,hapo Unguja penye watu wastaarabu mnapofika Unguja muwe na ustaarabu wa wenyewe na sio kujifanya mnajua zaidi ya wenyewe Unguja yao.
Afadhali
Toka kuzuiliwa gar za shamba kuingia darajani kweli biashara imeshuka pale
@rajabmsinzia1715
11 ай бұрын
Yaani bado una mawazo ya kizamani yaani bado unataka mji kuwa kama soko kusiwe na mpangalio amka wewe kijana
@cath-ef7wd
11 ай бұрын
@@rajabmsinzia1715pana mji hapa ww.mji unaujua ww
OMBENI DUA VITA VYA URUSI NA UKRAINE VIENDELEE MPAKA VITA VITAPAKAE ULIMWENGU MZIMA
@hamadfaki2503
11 ай бұрын
Halafu iweje
Bx hy
Nyinyi chekeni furahini ila uyo ndio anasababisha yote ayo
@shadyahamad3724
11 ай бұрын
Anawapuliza ikisha anazunguka kuwatafuna😅
Saizi naona watu wamelimika sana akuna kubabaishwa
Hapo ni mjini inakuwa aje muweke mavitu yenu nje wakati una mlango wa duka?wacheni ushamba huo tembeeni muuone miji ya nchi zinazoendelea ushamba tu
@hamicpina1151
11 ай бұрын
Mji gani wew Zanzibar Kuna mji nitajue mji mkuu bx
@rajabmsinzia1715
11 ай бұрын
@@hamicpina1151 Mji wa Zanzibari ni darajani hapo ndipo hata watalii hutolewa mashamba na kuletwa hapo ili waone mji wa Zanzibari na biashara za mjini ila tatizo lenu Some wapemba mnaharibu mji kwa siasa zenu matherfanta...nina imani hapo wangekuwa watu wa Unguja watupu wallah mji ungekua bora zaidi maana Watu waunguja wanaelewa na wanajua thamani ya umaridadi sio nyinyi mmetoka vichakani huko machomanne sijui misaili na kangagani mnataka kuchafua mji.
😂😂😂😂😂😂😂😂
MAPINDUZIIIIIIIIIIIIIIIIII
Ccm maskani hamna hela kupanga maduka hayo. Kaeni tu mgoje kuiba kura baas. Wapemba ndio wanaume washoka mkitaka msitake.
Huyu hafai hata kidogo kuwa mkuu wa wilaya ,unawaruhusu wafanya biashara waweke vitu vyao nj3 inshort unataka mji uwe mchafu sasa angalia mameza yatakayopangwa barabarani kisha mtu atakwambia nipo mbele ya duka langu ,msimamo mmoja tu anotaka aendelee kuwepo kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa na serikali ,na asiweza kufuata basi arudishe mlango Watu wengi wanahitaji hiyo milango haina kuwabembeleza watu wasiokuwa na nia nzuri
@yussuffadhil4522
11 ай бұрын
manispaa wanataka usasa lkn wao wenyewe bdo
@yussuffadhil4522
11 ай бұрын
asnt mkuu w mkoa
@rajabmsinzia1715
11 ай бұрын
@@yussuffadhil4522 Bado washamba yaani wanatengenezewa mazingira bora ya kufanya biashara yaaani hata mteja anapotaka kununua kitu awe huru wakuchagua duka alitakalo na kuzama ndani na hata linapotokea janga iwe rahisi ila bado wana ushamba mwingi wa kutaka kupanga bidhaa zao nje ya maduka yaani some wapemba kustaarabika bado sana wanatia aibu
@cath-ef7wd
11 ай бұрын
@@rajabmsinzia1715msenge wewe wapemba wamekukosea nn fala wewe.unachuki binafsi fala ww
@rajabmsinzia1715
11 ай бұрын
@@cath-ef7wd Watu wa Unguja hawana aina hiyo ya maisha yenu maisha ya chuki ubaguzi na roho mbaya,maana hayo maduka hapo asilimia 95 ni nyinyi ,masoko asilimia 95 ni nyinyi na bado mnamsema vibaya anaekufanyieni hayo kama sio chuki na roho mbaya ni nini?
Na nyie fateni sheria milanqo mumepanqa fuatenibutaratibu uliowekwa
@user-ki4sg8yz9j
11 ай бұрын
Koma wee kwani wako giningi hao hata wafate tu. Mbona maskani hamjakaa hapo
@mussakiziyzi408
11 ай бұрын
@@user-ki4sg8yz9j Dah ! Umenijibu kw hasira sana ila sawa Nimekoma 🙏
@w4058
11 ай бұрын
Akome akome khasa mpumbavu huyo maana mjinga huelimishwa lakini mpumbavu jambo analijuwa kanatenda ja ukaidi
@w4058
11 ай бұрын
Wanakufanyieni makusudi muwacha hiyo milango wachukuwe wawape Watanganyika wao ndio wanaotaka wawajaze tu CCM manyangau hao
@rajabmsinzia1715
11 ай бұрын
Mijitu inaleta siasa kwenye mambo ya serious ,hao ni baadhi ya Wapemba tu wanaotaka kumtoa kwenye reli Mr President
Kama hamtaki tokeni WANA CCM wataendesha hayo maduka ,nahakuna ZANZIBA NCHI nimali ya BARA, NA WANA ccm waliomo serikalini KWISHA,Mtaisoma namba !!!
@user-ki4sg8yz9j
11 ай бұрын
Mkafirwe huko shenzi nyie. Kwenu tanganyika ukoo
@nabillkhamis8188
11 ай бұрын
Ww sio mzalendo ww ni mtwana
@hamicpina1151
11 ай бұрын
Zanzibar ni ya Tanganyika tutakodi ccm wenyewe
@aishaaisharagp9381
11 ай бұрын
Ww Acha usenge huo Zanzibar niyawazanxibari wenyewe cio ya Tanganyika mkundu wababaako ndio wawatanganyika mshenzi ww
@JabirHaji-vj2nf
11 ай бұрын
Msenge wewe mbwa kwenu tanganyika nchi so ya kwenu hii
Wallah ni dhulma tupu maskini Lasima siku ya mwisho iwepo tu hakuna jinsi.