MWIGULU AKUTANA NA KICHWA KIBOVU, SIKUOGOPI, LEO NAKUCHANA
Жүктеу.....
Пікірлер: 220
@danielmollel8225 Жыл бұрын
Daah!! Mh. Waziri mkuu Mungu akupe nguvu uendelee kupata maoni ya makundi mbalimbali nchini!! Naomba pia urudi kwenye kero inaowakabili wafanyakazi nchini
@elibarikimacha5534 Жыл бұрын
Nilikosaga imani na mama alipomchagua Mwigulu waziri.
@Mobmob2013
Жыл бұрын
Mimi niliwaza mambo mengi sana alipomchagua mwigulu. Hafai kuwa waziri angeenda kuwa balozi huko Zimbabwe Kama kubebana ndo sababu
@JustineMathias-wj7bd
Жыл бұрын
@@Mobmob2013 au akawe balozi afghanistan ingependeza😅
@hamiduhamisi2371
Жыл бұрын
@@JustineMathias-wj7bd 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jareengeorge5478 Жыл бұрын
Napenda waziri mkuu aje kua Raisi.namuombea kwa Mungu.
@marandoruzali1946 Жыл бұрын
Basi huyo kajidhihirisha moja kwa moja hafai akiendelea kuwepo wakati raia hawamtaki itakuwa kuna sehemu inampa jeuri
@basilisamsaka8469 Жыл бұрын
Yaani wananchi wanamawazo mazuri sana
@TrezooDeo
Жыл бұрын
Mam
@tonyi6807 Жыл бұрын
mandevu umeongea kama Mjomba WA taifa ....
@tegoswadakta8996 Жыл бұрын
Hongera bro umeongea kaka, mashuka Uganda nafuu kuliko kwenye bahari
@nelsonnyamle Жыл бұрын
Mheshimiwa waziri mkuu pole Kwa usumbufu unaopata kupitia uzembe wa watu walioko chini yako.Ila kama mtanzania nachukizwa sana na wizi unaofanywa na viongozi wetu wasiyotutakia mema watanzania wenzao hata siye tunapenda kutembelea hayo magari mazuri.Mtupende watanzania kama mzipendavyo familia zenu Asante baba angu mungu akupe afya njema
@gorgonusshayo920
Жыл бұрын
Majaliwa hana shida . mdomo unaruhusu saut kutoka baada ya ulimi kutamka maneno. 🙏😎
@gorgonusshayo920
Жыл бұрын
Ila majaliwa anapaswa kuwa raisi maana hana uongozi wa picha ila anauongoz uliotukuka, NAMMPNDA SANA SEMA WAPO WANAOMZUIA . NAPENDEKEZA AWE RAIS KTK AWAM IJAYO🥰🥰🥰😘😘😘😘😘😘😘
@simonndunguru1629 Жыл бұрын
Mwigulu kutunza Heshima yake ajiudhuru. Hata Raia hawamtaki Wabunge wanamsema Sasa ni Heshima kweli?
@w4058 Жыл бұрын
Mwigulu kama muuangwana ajiuzulu
@emmanuelmkamba1964 Жыл бұрын
Mwiguru hafai kabisa hata majibu yake bungeni machafu sana
@meshacknyandongo577 Жыл бұрын
Mwiguru avue hio scafu ya Tanzania anajidai ni mzalendo kumbe Hana uzalendo wowote
@anithawidambe7543 Жыл бұрын
WAZIRI MKUU SAFI SANA VIONGOZI WAKIAMBIWA UKWELI WANACHUKIA.
@HeriethJoram-rb7ce Жыл бұрын
Kuna watu sio viongoz ila ni vichwaaa
@luisojr3480
Жыл бұрын
Sana kuna watu mwenyezi Mungu kawapa tu kipawa.
@user-rd6mo1zb6g Жыл бұрын
Anabembelezwa na mamaake ngoja akutakane na vichwa vibovu..Magufuli angekuepo uyo mwingulu angekua keshakosa kaz
@mumukinga8327
Жыл бұрын
si aliondolewa mama kamrudisha hafai hata kuweka bondi
@NicolausBundala-kb8hx
Жыл бұрын
Kwanza alishamtemaga kitambo kwenye uongiz wake
@komumbughuni8301 Жыл бұрын
Ni kweli tatizo sio sheria ni kanuni zinazotungwa na wahusika kwa faida yao zaidi, hivi risit ya sh 2000 kosa lake ni ml 4 hapo kuna uhalisia, kwa nini isiwe 20% ya hiyo
@michaelmtale-fi9ze Жыл бұрын
Wafanya biashara wapo vzr sana waziri kuu wasaidie hawa wafanyabiashara
@jeremiahmakoye6340 Жыл бұрын
Mhe. Waziri mkuu Majaliwa, nakuombea afya njema na uongozi uliotukuka. Ipo siku yes nakuombea uwe kiongozi mkuu wa inchi yangu Tanzani. Unacho kitu kikubwa kwa ajili ya Tanzania.
@maneuverseniorkgbbrothers1217 Жыл бұрын
madevu akili kubwa sana yani anawachana huku anawaita ndugu mh!na ukweli mtupu wao wakipewa biashara haichukui round!
@radiusrutta7804 Жыл бұрын
Mmetuwakilisha vyema mungu awasaide
@salinjabalele-er8vr Жыл бұрын
😂😂😂kiukwel Banda halina hadhi ya kukaa waziri kabisa jamaa hajakosea
@jacobmaganga3354 Жыл бұрын
waziri anayesikiliza wanyonge...❤️
@user-pk1vw8ny4g Жыл бұрын
Brother Bernard kamaliza kila kitu😅😅
@user-ic6js4sc8u Жыл бұрын
Daaaah huyu Kaka kibokooo🙏✋
@isaacphilemon5599 Жыл бұрын
Waziri mkuu anatamani kutoa maamuzi magumu kama ya JPM ya papo kwa papo lakini anakumbuka ambaye yupo juu yake kwa sasa siyo sawa Magu,anaamua kukaa kimya na kuumia na kulilia moyoni,😭😭
@hellenprosper4738
Жыл бұрын
Kabisa yaani hadi amebadilika usoni alivyokasirika
@user-dk7kt4mz3w
Жыл бұрын
Hakika
@danielmollel8225 Жыл бұрын
Ila Mungu akupe maisha marefu na ikiwezekana uje kuwa raisi wa nchi hii, kwa hekima yako naamini mambo mengi yatakwenda vizuri
@malkavoice2570
Жыл бұрын
We unadhani atatekeleza hata kimoja hapo basi. Hapo anawapoza akisha wapa kisogo imeisha hyo na watu biashara wataendelea nazo hivyo hivyo we subiria utaona.
@nunikayuni3945
Жыл бұрын
Watu wajinga kweli wazili mkuu nikiongozi mnashinda munampongeza kwalipi achukuwemamzi ndiyo mpongeze mnapongeza sauti siyo vitendo
@juliussilvestar8988
Жыл бұрын
Mal ka voice majaliwa yupo serious hasaaaa na mambo ya msingi
@rosemarysulle9288 Жыл бұрын
Ila mwiguli ni shida
@bwilumarigo Жыл бұрын
Mwambie mwiguru bila kumumunya maneno arisha zoea wizi
@LekokoLaisa Жыл бұрын
Ala kk we salamu kuwagu we nime furahia sana lakini viongozi hawa hawapo maswali ambayo ww unasema enda taratibu usije kuwa anakulaumu iii chama chadema awesekani useme ukweli ukisema lakini nifisuri sana ukisema kwamba sirikali anamana asante sana
@jeangodelo5349 Жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌nimekupenda bure kaka umeongea point ❤️❤️
@NellyWaKidato Жыл бұрын
Aisee Yaani Itafika Muda Hii Nchi Viongozi Watakuja Kupigwa Kama Mbuzi We Subiri tu
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Duuh Majaliwa tunategemea utusaidie sisi viumbe wa Mungu. Tumekua km popo ndani ya nchi yetu jmn. Mungu mtie nguvu huyu baba atuhurumie waja wako atufanyie wepesi wa kuacha kufanya kazi bure
@salahsalahallympika679 Жыл бұрын
Safi sana mwambie uyo 😂😂😂😂😂
@kabulukimati
Жыл бұрын
T.r.a.ifunje.yote.na.isukwe.upya
@vwctvtanzania Жыл бұрын
Mwigulu tumia hekima ondokatu baki na ubunge watu hatuna Imani nawewe hata kidogo,
@pastorb.alaurent1006 Жыл бұрын
@Kweli kiongozi ni jalala Mwingulu aspo elewa bc tena
@januarymbunda8472 Жыл бұрын
Wasemaji wote nimewapata vzry hongereni sanaa
@BarakaJoseph-by9di Жыл бұрын
Hii nchi kwa sasa ivi hatuna wabunge matatizo yote hayo ilitakiwa wabunge wafikishe coz kwa sababu hatuna wabunge tufikishe wenyewe
@msafiriomary893 Жыл бұрын
TRA HUWA WANAKUWA NA WIVU akiangaria mafanikio yako HUWA hawapendi sababu yeye Hana,
@melkizedeckmushi5433 Жыл бұрын
Watu wana akili sana wanaamua tu kukaa kimya
@vwctvtanzania Жыл бұрын
Hapo wakurugenzi wafanyiwe marekebisho haraka,
@ngasikajoel9576 Жыл бұрын
People got knowledge but they are despised...God help this country
@naomisanga6980 Жыл бұрын
Kuna watu niwafanya biashara na wana akili balaa yani kweli kabisa kaka kila mtu anasema mimi nasomesha mtoto ili awe Tra maana wana kula hela za bule
@valenakomba9218 Жыл бұрын
ASANTEEE, KAKA KWA KUSEMA UKWELI. MSEMA KWELI NI MENZI WA MINGUU.
@aliyageorge6794
Жыл бұрын
Msema kweli ni mpenzi wa mungu kweli kabisa!
@masturasudi7394 Жыл бұрын
Safi sana
@mohamedngotwike7969 Жыл бұрын
Iv mh rais alitumia kigezo gn kumpa uwazir uyu mwigulu au vibendera vya inch anavyo vaa
@martinmsigwa9066 Жыл бұрын
Mungu atusaidie sana 🥹
@salcle9702 Жыл бұрын
Eric shigongo awe waziri wa fedha.mwigulu hafai kazi kucheka cheka
@habibumussa7712 Жыл бұрын
Wambie brother nikweli
@user-cx2qx5fc3w Жыл бұрын
Waziri mkuu wabane hao majizi wanakula jasho la wanyonge
@JuliusMathew-df7ct Жыл бұрын
Hiyo wizara haiwezi bora atafutwe mtu mwenye vision kubwa kuweza kuondoa sheria zinazokandamiza wafanyabiashara.
@princekarani7836 Жыл бұрын
Mmemsikia jamaa uyo,hana mpango wakumrithisha mwanae biashara tena ila anamsomesha ili aingie T.R.A ili achote izo pesa au kama akijaaliwa akapata cheo kikubwa basi asaidie kubadirisha sheria zenye kuleta kero kwa wafanyabiashara
@samwelimwalindu3735 Жыл бұрын
Uko sahihi biashala ukiimulika Sana nitatizo kitu lisiti umekuwa miladi yawatu
@GeorgeBenard-ue2gh Жыл бұрын
Point kubwa
@gabonmaseru2686 Жыл бұрын
Waziri Mkuu ni kiongozi wa wanyonye na mpenda haki , Natamani awe mkuu wa nchi ili maumivu yapungue kwa raia wanyonge
@vaxminja9053 Жыл бұрын
Eti kengere 😂 mtangaji jitahidi kujifunza matamshi
@frankmwafifi6712 Жыл бұрын
Fact tupu
@user-yq4uh7gv7f9 ай бұрын
Wajichunguze
@JustineMathias-wj7bd Жыл бұрын
kama wez wanachomwa moto kumbuken na kuchoma akina mwiguru
@valenakomba9218 Жыл бұрын
KWENDA SHULE MBALI, NA AKILI YA UNUNIFU MBALI.
@neziajoseph9726 Жыл бұрын
Tena kwa huyo anaejiita kajenjere huyo kaka kanifurahisha sana, wanajikuta sijui Nani wakija kudai ela ya takataka ,yani wanataka ulipe ela kubwa wakati huzalishi takataka zinazolingana na ela wanayodai wakati biashara yenyew wakati mwingine huuzi wao wakija wanataka ela kubwa na taka huzalishi mfano mm nauza mitungi ya gesi tu haya hiyo mitungi inazalisha takataka gani
@jonamnyone8014 Жыл бұрын
Mbona wakati wa mzee baba hawa TRA, NIDA, MUNICIPAL walikuwa wamenyooka. Waziri mkuu ongeza ukali
@faustinombilinyi9809
Жыл бұрын
Wale NI wateule warais hawez kufanya chochote pale wakurugenz wote mawaziri wote niwateule wa rais hawez kuwa mkali ndugu yangu Ila angekuwa rais angewanyoosha vizuri an
@w4058 Жыл бұрын
Kusema Kweli mnanyanyasika sana na mtanyanyanyasika zaid ondoweni CCM madarakani hawakujalini kabisa nyie mtapiga kelele usiku na mchana 2025 badilikeni na wapinzani nao wakizinguwa wapakane
@suzanamwangingo2995 Жыл бұрын
Wazili mkuu anamoyo sana naatawasadia tu wafanyabiashala
@ramak.9587 Жыл бұрын
Acheni kulia lia endeleeni kuja kenya ndio china yenu
@mussakiziyzi408 Жыл бұрын
Mnapomlaum wazir wa fedha mnakosea sana Kodi na korokoro nyenqine zote ni mfumo na matakwa ya serikali Ila kidaqaa tu ndio kinamshukia mchemba
@SilvesterRaphael-xb6it Жыл бұрын
Mwigulu ni kipenz cha wazur hawafi mnampigia kiziwi kengere jamaa hatoki pale mpaka awamu ya mama iishe niko pale mtaniambia
@petertabitha287
Жыл бұрын
😅😅😅😅
@nyasijoseph-bt7xw Жыл бұрын
Kwanini TRA tuu jmn...Duuuh wabadilike sisi wote wa TZ
@mako331 Жыл бұрын
Hii nchi watu wanahasira sana na serikali, na sababu kubwa ni viongozi wapiga dili kila kona, tusipoangalia itakuja kulipuka siku moja, na serikali haitaweza kuzuia hasira hii
@yovithaobed9954
Жыл бұрын
Hiyo siku unakuja watu wanazidi kuwa majasiri Kama huyo brother hapa...bila shaka wanavyizidi kuwakanfamiza wananchi Basi ipo siku watawasha Moto na hakutakuwa mtu wa kuuzima Mana wakati utakuwa umefika Tena watu hawataigipa kifo tena. Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki viongozi wote, Mungu uwabariki wananchi wote. Amina
@ibrahimshilinde6129 Жыл бұрын
Dua la kuku halimpati Mwewe
@senyagwadickson9084 Жыл бұрын
Hilo tatizo la mgomo wa kaliakoo angekuwepo mwamba JPM hao wote wanalalamikia siku hiyo hiyo wangefikuzwa hasa huyo Mwizi mwigulu na huyo mkuu wa TRA na huyo mama waziri wa biashara yupo hapo kama picha tu ( team Msoga hiyo ndiyo inayowatesa watanzania )
@bahatituyayine5037 Жыл бұрын
Sawa kabisa
@arthalesha5825 Жыл бұрын
Madevu ana akili sana
@patrickjustus6930
Жыл бұрын
Jamaa safi sana
@mzanjenoreen399
Жыл бұрын
Kinyama
@yusuphswai6851 Жыл бұрын
Mambo nimazur san yanayoongelew lakin akuna ata moja linalofanyiw kazi
@mjunicharles1198 Жыл бұрын
Huyi ndo mume Sasa 🤣🤣🤣
@w4058 Жыл бұрын
MMungu akusaidieni
@Salvador-mj8rk Жыл бұрын
Indeed
@NyandaYohana Жыл бұрын
Angalia Banda walilo kaliaaa
@SimonBundala-ul3mb Жыл бұрын
Safisana kwakuwasilisha hojo hii mausus .huo niukweli mtupu
@user-cj6fd9cw4i Жыл бұрын
❤
@user-yp7nv3mg4b Жыл бұрын
Watanzania wamefunguka
@rayanndizeyes3161 Жыл бұрын
asha wenye pesa zao waongeye ukweli bila aho izo sheria zitatungwa wapi??munapo watesa ivyo😈😈😈mashetani
Ccm ilishashindwa kazi iyo iko wazi lakini kuitoa madarakani ni ngumu sababu wazee na akina mama ni kama wamelogezeaa hiki chama ata usemee mpompompoo hawaelewi!
@vanessajames2192 Жыл бұрын
Hatakiwi kua Waziri huyu Mwigulu kwasabab anaowatumikia hawamtaki yupo hapo kwaajili ya nani?
@malembobulongo38569 ай бұрын
Hatuna waziri WA fedha hapo
@Wanaharakati Жыл бұрын
Mhhhhhhhhhhh
@emanuelsamson-hq2jv Жыл бұрын
Tenahao watu ND niwapumbavu san yan😢😢😢
@lukaszakaria8404 Жыл бұрын
Kwann,mwiguru atutese hivyo samia tumbua huyo
@DavidMbwilo-qk1bz Жыл бұрын
Mh Rais tuondolee mwigulu atufai
@mercypeter162 Жыл бұрын
Muigulu mwenyewe anadharau anacheka tu yaani kilio hichi cha wananchi kwajili ya mwigulu alitapita bure kamwe.
Пікірлер: 220
Daah!! Mh. Waziri mkuu Mungu akupe nguvu uendelee kupata maoni ya makundi mbalimbali nchini!! Naomba pia urudi kwenye kero inaowakabili wafanyakazi nchini
Nilikosaga imani na mama alipomchagua Mwigulu waziri.
@Mobmob2013
Жыл бұрын
Mimi niliwaza mambo mengi sana alipomchagua mwigulu. Hafai kuwa waziri angeenda kuwa balozi huko Zimbabwe Kama kubebana ndo sababu
@JustineMathias-wj7bd
Жыл бұрын
@@Mobmob2013 au akawe balozi afghanistan ingependeza😅
@hamiduhamisi2371
Жыл бұрын
@@JustineMathias-wj7bd 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Napenda waziri mkuu aje kua Raisi.namuombea kwa Mungu.
Basi huyo kajidhihirisha moja kwa moja hafai akiendelea kuwepo wakati raia hawamtaki itakuwa kuna sehemu inampa jeuri
Yaani wananchi wanamawazo mazuri sana
@TrezooDeo
Жыл бұрын
Mam
mandevu umeongea kama Mjomba WA taifa ....
Hongera bro umeongea kaka, mashuka Uganda nafuu kuliko kwenye bahari
Mheshimiwa waziri mkuu pole Kwa usumbufu unaopata kupitia uzembe wa watu walioko chini yako.Ila kama mtanzania nachukizwa sana na wizi unaofanywa na viongozi wetu wasiyotutakia mema watanzania wenzao hata siye tunapenda kutembelea hayo magari mazuri.Mtupende watanzania kama mzipendavyo familia zenu Asante baba angu mungu akupe afya njema
@gorgonusshayo920
Жыл бұрын
Majaliwa hana shida . mdomo unaruhusu saut kutoka baada ya ulimi kutamka maneno. 🙏😎
@gorgonusshayo920
Жыл бұрын
Ila majaliwa anapaswa kuwa raisi maana hana uongozi wa picha ila anauongoz uliotukuka, NAMMPNDA SANA SEMA WAPO WANAOMZUIA . NAPENDEKEZA AWE RAIS KTK AWAM IJAYO🥰🥰🥰😘😘😘😘😘😘😘
Mwigulu kutunza Heshima yake ajiudhuru. Hata Raia hawamtaki Wabunge wanamsema Sasa ni Heshima kweli?
Mwigulu kama muuangwana ajiuzulu
Mwiguru hafai kabisa hata majibu yake bungeni machafu sana
Mwiguru avue hio scafu ya Tanzania anajidai ni mzalendo kumbe Hana uzalendo wowote
WAZIRI MKUU SAFI SANA VIONGOZI WAKIAMBIWA UKWELI WANACHUKIA.
Kuna watu sio viongoz ila ni vichwaaa
@luisojr3480
Жыл бұрын
Sana kuna watu mwenyezi Mungu kawapa tu kipawa.
Anabembelezwa na mamaake ngoja akutakane na vichwa vibovu..Magufuli angekuepo uyo mwingulu angekua keshakosa kaz
@mumukinga8327
Жыл бұрын
si aliondolewa mama kamrudisha hafai hata kuweka bondi
@NicolausBundala-kb8hx
Жыл бұрын
Kwanza alishamtemaga kitambo kwenye uongiz wake
Ni kweli tatizo sio sheria ni kanuni zinazotungwa na wahusika kwa faida yao zaidi, hivi risit ya sh 2000 kosa lake ni ml 4 hapo kuna uhalisia, kwa nini isiwe 20% ya hiyo
Wafanya biashara wapo vzr sana waziri kuu wasaidie hawa wafanyabiashara
Mhe. Waziri mkuu Majaliwa, nakuombea afya njema na uongozi uliotukuka. Ipo siku yes nakuombea uwe kiongozi mkuu wa inchi yangu Tanzani. Unacho kitu kikubwa kwa ajili ya Tanzania.
madevu akili kubwa sana yani anawachana huku anawaita ndugu mh!na ukweli mtupu wao wakipewa biashara haichukui round!
Mmetuwakilisha vyema mungu awasaide
😂😂😂kiukwel Banda halina hadhi ya kukaa waziri kabisa jamaa hajakosea
waziri anayesikiliza wanyonge...❤️
Brother Bernard kamaliza kila kitu😅😅
Daaaah huyu Kaka kibokooo🙏✋
Waziri mkuu anatamani kutoa maamuzi magumu kama ya JPM ya papo kwa papo lakini anakumbuka ambaye yupo juu yake kwa sasa siyo sawa Magu,anaamua kukaa kimya na kuumia na kulilia moyoni,😭😭
@hellenprosper4738
Жыл бұрын
Kabisa yaani hadi amebadilika usoni alivyokasirika
@user-dk7kt4mz3w
Жыл бұрын
Hakika
Ila Mungu akupe maisha marefu na ikiwezekana uje kuwa raisi wa nchi hii, kwa hekima yako naamini mambo mengi yatakwenda vizuri
@malkavoice2570
Жыл бұрын
We unadhani atatekeleza hata kimoja hapo basi. Hapo anawapoza akisha wapa kisogo imeisha hyo na watu biashara wataendelea nazo hivyo hivyo we subiria utaona.
@nunikayuni3945
Жыл бұрын
Watu wajinga kweli wazili mkuu nikiongozi mnashinda munampongeza kwalipi achukuwemamzi ndiyo mpongeze mnapongeza sauti siyo vitendo
@juliussilvestar8988
Жыл бұрын
Mal ka voice majaliwa yupo serious hasaaaa na mambo ya msingi
Ila mwiguli ni shida
Mwambie mwiguru bila kumumunya maneno arisha zoea wizi
Ala kk we salamu kuwagu we nime furahia sana lakini viongozi hawa hawapo maswali ambayo ww unasema enda taratibu usije kuwa anakulaumu iii chama chadema awesekani useme ukweli ukisema lakini nifisuri sana ukisema kwamba sirikali anamana asante sana
🙌🙌🙌🙌nimekupenda bure kaka umeongea point ❤️❤️
Aisee Yaani Itafika Muda Hii Nchi Viongozi Watakuja Kupigwa Kama Mbuzi We Subiri tu
Duuh Majaliwa tunategemea utusaidie sisi viumbe wa Mungu. Tumekua km popo ndani ya nchi yetu jmn. Mungu mtie nguvu huyu baba atuhurumie waja wako atufanyie wepesi wa kuacha kufanya kazi bure
Safi sana mwambie uyo 😂😂😂😂😂
@kabulukimati
Жыл бұрын
T.r.a.ifunje.yote.na.isukwe.upya
Mwigulu tumia hekima ondokatu baki na ubunge watu hatuna Imani nawewe hata kidogo,
@Kweli kiongozi ni jalala Mwingulu aspo elewa bc tena
Wasemaji wote nimewapata vzry hongereni sanaa
Hii nchi kwa sasa ivi hatuna wabunge matatizo yote hayo ilitakiwa wabunge wafikishe coz kwa sababu hatuna wabunge tufikishe wenyewe
TRA HUWA WANAKUWA NA WIVU akiangaria mafanikio yako HUWA hawapendi sababu yeye Hana,
Watu wana akili sana wanaamua tu kukaa kimya
Hapo wakurugenzi wafanyiwe marekebisho haraka,
People got knowledge but they are despised...God help this country
Kuna watu niwafanya biashara na wana akili balaa yani kweli kabisa kaka kila mtu anasema mimi nasomesha mtoto ili awe Tra maana wana kula hela za bule
ASANTEEE, KAKA KWA KUSEMA UKWELI. MSEMA KWELI NI MENZI WA MINGUU.
@aliyageorge6794
Жыл бұрын
Msema kweli ni mpenzi wa mungu kweli kabisa!
Safi sana
Iv mh rais alitumia kigezo gn kumpa uwazir uyu mwigulu au vibendera vya inch anavyo vaa
Mungu atusaidie sana 🥹
Eric shigongo awe waziri wa fedha.mwigulu hafai kazi kucheka cheka
Wambie brother nikweli
Waziri mkuu wabane hao majizi wanakula jasho la wanyonge
Hiyo wizara haiwezi bora atafutwe mtu mwenye vision kubwa kuweza kuondoa sheria zinazokandamiza wafanyabiashara.
Mmemsikia jamaa uyo,hana mpango wakumrithisha mwanae biashara tena ila anamsomesha ili aingie T.R.A ili achote izo pesa au kama akijaaliwa akapata cheo kikubwa basi asaidie kubadirisha sheria zenye kuleta kero kwa wafanyabiashara
Uko sahihi biashala ukiimulika Sana nitatizo kitu lisiti umekuwa miladi yawatu
Point kubwa
Waziri Mkuu ni kiongozi wa wanyonye na mpenda haki , Natamani awe mkuu wa nchi ili maumivu yapungue kwa raia wanyonge
Eti kengere 😂 mtangaji jitahidi kujifunza matamshi
Fact tupu
Wajichunguze
kama wez wanachomwa moto kumbuken na kuchoma akina mwiguru
KWENDA SHULE MBALI, NA AKILI YA UNUNIFU MBALI.
Tena kwa huyo anaejiita kajenjere huyo kaka kanifurahisha sana, wanajikuta sijui Nani wakija kudai ela ya takataka ,yani wanataka ulipe ela kubwa wakati huzalishi takataka zinazolingana na ela wanayodai wakati biashara yenyew wakati mwingine huuzi wao wakija wanataka ela kubwa na taka huzalishi mfano mm nauza mitungi ya gesi tu haya hiyo mitungi inazalisha takataka gani
Mbona wakati wa mzee baba hawa TRA, NIDA, MUNICIPAL walikuwa wamenyooka. Waziri mkuu ongeza ukali
@faustinombilinyi9809
Жыл бұрын
Wale NI wateule warais hawez kufanya chochote pale wakurugenz wote mawaziri wote niwateule wa rais hawez kuwa mkali ndugu yangu Ila angekuwa rais angewanyoosha vizuri an
Kusema Kweli mnanyanyasika sana na mtanyanyanyasika zaid ondoweni CCM madarakani hawakujalini kabisa nyie mtapiga kelele usiku na mchana 2025 badilikeni na wapinzani nao wakizinguwa wapakane
Wazili mkuu anamoyo sana naatawasadia tu wafanyabiashala
Acheni kulia lia endeleeni kuja kenya ndio china yenu
Mnapomlaum wazir wa fedha mnakosea sana Kodi na korokoro nyenqine zote ni mfumo na matakwa ya serikali Ila kidaqaa tu ndio kinamshukia mchemba
Mwigulu ni kipenz cha wazur hawafi mnampigia kiziwi kengere jamaa hatoki pale mpaka awamu ya mama iishe niko pale mtaniambia
@petertabitha287
Жыл бұрын
😅😅😅😅
Kwanini TRA tuu jmn...Duuuh wabadilike sisi wote wa TZ
Hii nchi watu wanahasira sana na serikali, na sababu kubwa ni viongozi wapiga dili kila kona, tusipoangalia itakuja kulipuka siku moja, na serikali haitaweza kuzuia hasira hii
@yovithaobed9954
Жыл бұрын
Hiyo siku unakuja watu wanazidi kuwa majasiri Kama huyo brother hapa...bila shaka wanavyizidi kuwakanfamiza wananchi Basi ipo siku watawasha Moto na hakutakuwa mtu wa kuuzima Mana wakati utakuwa umefika Tena watu hawataigipa kifo tena. Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki viongozi wote, Mungu uwabariki wananchi wote. Amina
Dua la kuku halimpati Mwewe
Hilo tatizo la mgomo wa kaliakoo angekuwepo mwamba JPM hao wote wanalalamikia siku hiyo hiyo wangefikuzwa hasa huyo Mwizi mwigulu na huyo mkuu wa TRA na huyo mama waziri wa biashara yupo hapo kama picha tu ( team Msoga hiyo ndiyo inayowatesa watanzania )
Sawa kabisa
Madevu ana akili sana
@patrickjustus6930
Жыл бұрын
Jamaa safi sana
@mzanjenoreen399
Жыл бұрын
Kinyama
Mambo nimazur san yanayoongelew lakin akuna ata moja linalofanyiw kazi
Huyi ndo mume Sasa 🤣🤣🤣
MMungu akusaidieni
Indeed
Angalia Banda walilo kaliaaa
Safisana kwakuwasilisha hojo hii mausus .huo niukweli mtupu
❤
Watanzania wamefunguka
asha wenye pesa zao waongeye ukweli bila aho izo sheria zitatungwa wapi??munapo watesa ivyo😈😈😈mashetani
Msipo Kua makin opo Siku wa tz 2tachefukwa
Dahhh. Hapo. Umesema. Ukwelii. Sannaaa. Maaana. Serekali. Hii. Instunana. Sanna
Madevu kaongea vizurii😂
Kweli kabisa
Mwenye sura ya herahera kazi hunayo
Fukuzeni huyo mtuuu jamani nchi inazingua sana...
Jamaa kavunja 4 hana shida.
😊
Ccm ilishashindwa kazi iyo iko wazi lakini kuitoa madarakani ni ngumu sababu wazee na akina mama ni kama wamelogezeaa hiki chama ata usemee mpompompoo hawaelewi!
Hatakiwi kua Waziri huyu Mwigulu kwasabab anaowatumikia hawamtaki yupo hapo kwaajili ya nani?
Hatuna waziri WA fedha hapo
Mhhhhhhhhhhh
Tenahao watu ND niwapumbavu san yan😢😢😢
Kwann,mwiguru atutese hivyo samia tumbua huyo
Mh Rais tuondolee mwigulu atufai
Muigulu mwenyewe anadharau anacheka tu yaani kilio hichi cha wananchi kwajili ya mwigulu alitapita bure kamwe.
Kweli kabisa siku zinakuja
Muwambiwe, muwambie
Saway kabissaaa❤
@athumanihassani7208
Жыл бұрын
Waziri mkuu uko vizuri saana