SEHEMU WALIPOKUA WANAFICHWA WATU NA KUUZWA KIMAGENDO!- MANGAPWANI ZANZIBAR
Mangapwani- Sehemu amabayo ina historia kubwa, moja kati ya sifa zake ni hiki kilichomo katika video hii
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Mangapwani #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
HIstoria ya Zanzibar- Sadia Rashid #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu
Пікірлер: 54
Tip tip hakuenda Congo kwa kuchukua watumwa alikwenda kupeleka maendeleo na kueneza uislamu na alikuwa anaitwa فاتح الكونغو
@martialmandela187
5 жыл бұрын
akhuy mwambie huyu khasfuu mkubwa hajui ktu iksha anawaambia watu ungo
@iddykhamis4349
5 жыл бұрын
Ww hu
Hizo sio historia za kweli ni uongo m2pu waeabu ndio walioteswa na karume na alipokua muarab zanzibar w2 wake walikua na maisha mazur sana lkn karume na kimbele mbele chake ndio hadi leo tupo hapa shida tupu
Shukran Ktv tz online hakika hii ni fahari yetu
Subhanallah mtihan duuuh bora ulivokwisha uwo utumwa.
Na waarabu walikua hawafanyi biashara ya utumwa.. Wazungu ndo walikua wakichukua watumwa tusomeni historia sahihi.. Wazungu wameigeuza historia kwa kuuchafua uislamu
@belgieboys9867
5 жыл бұрын
kaka watumwa na wakiristo wao ndio waliobadilisha historia
@elizayongolo5943
5 жыл бұрын
belgiem football kids kwa nini mnapega kuingiza wa christo kila ich ili tumiwa nawatu wanao wamiliki do mana nyiye waarabu wali waunza na france 🇫🇷 ika unza congo pia do gisi ilivyo
Znz ni njema
Ktv tz online hakika hii nifahari yetu.....kam umeikubali historiaa hii weka like yako hapa tujuwaneee👏👏
@mbenimbweniothomani5131
5 жыл бұрын
naipenda histori
walabu Mungu Ana waonaa
Ingelikua kweli waarabu wakifanya hiyo Biashara basi Arabuni kungekua na Waafrika wengi km ilivo nchi za America na Ulaya Na hebu tuonesheni picha sahihi sio za kuchora
@elizayongolo5943
5 жыл бұрын
Mwarabu awenzi kuweka mtu mweusi kwao tena do watu wabaya hali ya juu
@user-xl3xy6db2g
29 күн бұрын
Wao waliuza watumwa sio kununua watumwa Amerika wao waliwanunua watumwa,..sijui utakua umeelewa maana sijui waarabu wamewapa nini nyinyi watumwa wakileo...
Hahaaaa karibuni kwetu fujoni uongo mtupu uyu muulizeni mikutano ya ccm tu storia sio mambo yake
At least kasema watumwa walitoka nje ya Zanzibar .
Sifkirii kama huu ni ukweli kama hujui bac usieleze kitu cha uwongo
WARAABU SIO WATU WAZIRI.
Dah noum Sana yaani
@mussahassan1779
5 жыл бұрын
Bint Rashid tunakupata vizuri sana nikiwa Holland au Nedhalland
@mansouryussuf348
5 жыл бұрын
Uongo
@kulilyhassankulily521
5 жыл бұрын
Mansour Yussuf kwa nn
@mtumwasamaki6911
5 жыл бұрын
Biashara ya utumwa ilikua haram katika uislam, biashara ya pombe pia haram. Biashara ya Pombe Waislam wanafanya bila ya kujali rangi wala kabila zao wala nchi wanazotoka. kwa utumwa ilikua ni mfumo kwa wakati uo lkn kama muislam alifanya been ashara iyo, bila ya kujali kabila wala rangi, wafanya biashara iyo walitenda dhambi.
waliwapeleka wapi na huko kufanya nini Na je huko bado asili ipo
@mussahp2115
2 жыл бұрын
Mangapwani asili yake ni tanga eneo manga wilaya ya handeni palitikea kiongozi wa kabila la wazigua aitwae mhelamwana akaenda znz kukimbia vita na wajerumani akashuka mahali asipopafahamu jinale ndo wakapaita manga ya pwani
Natamani kwenda zanzibar kuna vivutio vya utaliii
@innocentamani1453
5 жыл бұрын
Tausi Tausi karibu
@salmondabdallah7124
5 жыл бұрын
tausi beauty tausi beauty karbu unakarbishwa sasa
Jamani hamna majini umo lkn😂😄😁
Historia ya uongo hiyo saivi vijana wengi wanajua ukweli nionesheni picha ya kupiga ya muarabu ana mtumwa sio ya kuchora.
Historia za darasa la saba izo mjomba acha kutudanganya bwana
watumwa na kizazi chao cha kitumwa historia ya znz wameifanya kama bibli5
Tafteni shughuli mfanye sio kulalamika tu , hivi sasa muko huru mumefanya kipi cha maana.
“ Slave chamber” totally lies. Kijengo kidogo kweli watumwa wangapi wengeingia humo ? Eti limejengwa na Mfalme ?!
sio kweli bhana tusipotoshane kupata historia kutoka kwa vijana kwa kweli ni uwongo mtupu pili hana hoja za msingi ikiwa eneo hilo limejengwa specific kwa lengo la kufanya ni maficho ya watumwa basi mbona ni dogo wala halitoshi.. kwa makadirio hilo eneo ni la kuweka watu kumi na sio Zaidi .. sasa icho chumba gani bhana kama kipo kwa misingi hio .. tatu ni kwanini linajionyesha hivo vipaa vyake ikiwa kama ni maficho ya watumwa ..ilipaswa hata kipaa kisionekane .. tuambizane ukweli kwenye hayo kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kukubaliana na hayo.. na kama mnyavyosema kuna joto na mambo mengine unafikiri hao watumwa wangeliweza kudumu humu kwa siku tatu hizo.
kalibu zazibar kisiwa cha kahafuhu chena upendo
@abditz8377
5 жыл бұрын
Kiswahili kigumu kweli...!
@saumuhassan6365
5 жыл бұрын
@@abditz8377 😂😂😂😂
@shamsahaji6202
5 жыл бұрын
@@abditz8377 😀😀😀😀😂😂😃😃😃
@amnemkubwa7353
5 жыл бұрын
@@abditz8377 😂😂🤣🤣😄😄😁😁
@dhiabmohammed4238
5 жыл бұрын
Usitake mambo
Muongo mnafik wewe umeona watu weusi wenyewe wakifanya na wareno bustard.
Ukifuatilia hawa waarab walivyotufanya Unaweza kuwaekea chuki.
@sadakhamis1261
5 жыл бұрын
Umeonaee.. Waarab ni wa shenzi saana
@allyally9915
5 жыл бұрын
hebu wewe usiamini historia ya uongo mwambieni akuonesheni picha ya ukweli sio ya kuchora UONGO HUYO
@alisaalis9218
5 жыл бұрын
Ally Ally c uongo hata kenya wako wengi sana mombasa;warabu wa Oman
@dhiabmohammed4238
5 жыл бұрын
Mshenzi ww
@dhiabmohammed4238
5 жыл бұрын
Wewe umefanywa nini mama yako na bibi yako na maa mkuu wako kafanywa nini
huyu jamaa asili yake ni mtumwa. historia yake anaipinda kama biblia. anasema tu mkunazini mshenzi huyu hasemi makanisani mkunazini. wala hasemi huyo tiptip alikuwa anatumwa na nani? hao mabaharia walikuwa wakitumwa na hao waengereza. wewe unaotoa historia hii asili yako mtumwa ndio unawatetea waenereza NA historia nyengine mukawapa wakiristo mkunazini
Kuna mtu kafanaa na nyani kama umemwona gonga like
Kuna mtu kafanaa na nyani kama umemwona gonga like