SEHEMU WALIPOKUA WANAFICHWA WATU NA KUUZWA KIMAGENDO!- MANGAPWANI ZANZIBAR

Mangapwani- Sehemu amabayo ina historia kubwa, moja kati ya sifa zake ni hiki kilichomo katika video hii
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Mangapwani #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
HIstoria ya Zanzibar- Sadia Rashid #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu

Пікірлер: 54

  • @mudathiralbaalawy4819
    @mudathiralbaalawy48195 жыл бұрын

    Tip tip hakuenda Congo kwa kuchukua watumwa alikwenda kupeleka maendeleo na kueneza uislamu na alikuwa anaitwa فاتح الكونغو

  • @martialmandela187

    @martialmandela187

    5 жыл бұрын

    akhuy mwambie huyu khasfuu mkubwa hajui ktu iksha anawaambia watu ungo

  • @iddykhamis4349

    @iddykhamis4349

    5 жыл бұрын

    Ww hu

  • @mashallahasentekwaukumbush2238
    @mashallahasentekwaukumbush22385 жыл бұрын

    Hizo sio historia za kweli ni uongo m2pu waeabu ndio walioteswa na karume na alipokua muarab zanzibar w2 wake walikua na maisha mazur sana lkn karume na kimbele mbele chake ndio hadi leo tupo hapa shida tupu

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf95665 жыл бұрын

    Shukran Ktv tz online hakika hii ni fahari yetu

  • @ukhtyrahma.3922
    @ukhtyrahma.39225 жыл бұрын

    Subhanallah mtihan duuuh bora ulivokwisha uwo utumwa.

  • @mudathiralbaalawy4819
    @mudathiralbaalawy48195 жыл бұрын

    Na waarabu walikua hawafanyi biashara ya utumwa.. Wazungu ndo walikua wakichukua watumwa tusomeni historia sahihi.. Wazungu wameigeuza historia kwa kuuchafua uislamu

  • @belgieboys9867

    @belgieboys9867

    5 жыл бұрын

    kaka watumwa na wakiristo wao ndio waliobadilisha historia

  • @elizayongolo5943

    @elizayongolo5943

    5 жыл бұрын

    belgiem football kids kwa nini mnapega kuingiza wa christo kila ich ili tumiwa nawatu wanao wamiliki do mana nyiye waarabu wali waunza na france 🇫🇷 ika unza congo pia do gisi ilivyo

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime57175 жыл бұрын

    Znz ni njema

  • @tamussaonlinetv47
    @tamussaonlinetv475 жыл бұрын

    Ktv tz online hakika hii nifahari yetu.....kam umeikubali historiaa hii weka like yako hapa tujuwaneee👏👏

  • @mbenimbweniothomani5131

    @mbenimbweniothomani5131

    5 жыл бұрын

    naipenda histori

  • @ishaq9925
    @ishaq99255 жыл бұрын

    walabu Mungu Ana waonaa

  • @IbrahimMohammed-xi2ix
    @IbrahimMohammed-xi2ix5 жыл бұрын

    Ingelikua kweli waarabu wakifanya hiyo Biashara basi Arabuni kungekua na Waafrika wengi km ilivo nchi za America na Ulaya Na hebu tuonesheni picha sahihi sio za kuchora

  • @elizayongolo5943

    @elizayongolo5943

    5 жыл бұрын

    Mwarabu awenzi kuweka mtu mweusi kwao tena do watu wabaya hali ya juu

  • @user-xl3xy6db2g

    @user-xl3xy6db2g

    29 күн бұрын

    Wao waliuza watumwa sio kununua watumwa Amerika wao waliwanunua watumwa,..sijui utakua umeelewa maana sijui waarabu wamewapa nini nyinyi watumwa wakileo...

  • @jumamachano7329
    @jumamachano73295 жыл бұрын

    Hahaaaa karibuni kwetu fujoni uongo mtupu uyu muulizeni mikutano ya ccm tu storia sio mambo yake

  • @SA-xj8hc
    @SA-xj8hc5 жыл бұрын

    At least kasema watumwa walitoka nje ya Zanzibar .

  • @rahmasalum7107
    @rahmasalum71074 жыл бұрын

    Sifkirii kama huu ni ukweli kama hujui bac usieleze kitu cha uwongo

  • @sponsor7882
    @sponsor78825 жыл бұрын

    WARAABU SIO WATU WAZIRI.

  • @kulilyhassankulily521
    @kulilyhassankulily5215 жыл бұрын

    Dah noum Sana yaani

  • @mussahassan1779

    @mussahassan1779

    5 жыл бұрын

    Bint Rashid tunakupata vizuri sana nikiwa Holland au Nedhalland

  • @mansouryussuf348

    @mansouryussuf348

    5 жыл бұрын

    Uongo

  • @kulilyhassankulily521

    @kulilyhassankulily521

    5 жыл бұрын

    Mansour Yussuf kwa nn

  • @mtumwasamaki6911

    @mtumwasamaki6911

    5 жыл бұрын

    Biashara ya utumwa ilikua haram katika uislam, biashara ya pombe pia haram. Biashara ya Pombe Waislam wanafanya bila ya kujali rangi wala kabila zao wala nchi wanazotoka. kwa utumwa ilikua ni mfumo kwa wakati uo lkn kama muislam alifanya been ashara iyo, bila ya kujali kabila wala rangi, wafanya biashara iyo walitenda dhambi.

  • @jumamohamed4527
    @jumamohamed45275 жыл бұрын

    waliwapeleka wapi na huko kufanya nini Na je huko bado asili ipo

  • @mussahp2115

    @mussahp2115

    2 жыл бұрын

    Mangapwani asili yake ni tanga eneo manga wilaya ya handeni palitikea kiongozi wa kabila la wazigua aitwae mhelamwana akaenda znz kukimbia vita na wajerumani akashuka mahali asipopafahamu jinale ndo wakapaita manga ya pwani

  • @tausilifestyle795
    @tausilifestyle7955 жыл бұрын

    Natamani kwenda zanzibar kuna vivutio vya utaliii

  • @innocentamani1453

    @innocentamani1453

    5 жыл бұрын

    Tausi Tausi karibu

  • @salmondabdallah7124

    @salmondabdallah7124

    5 жыл бұрын

    tausi beauty tausi beauty karbu unakarbishwa sasa

  • @amnemkubwa7353
    @amnemkubwa73535 жыл бұрын

    Jamani hamna majini umo lkn😂😄😁

  • @aliibrahimhaji1244
    @aliibrahimhaji12445 жыл бұрын

    Historia ya uongo hiyo saivi vijana wengi wanajua ukweli nionesheni picha ya kupiga ya muarabu ana mtumwa sio ya kuchora.

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz71585 жыл бұрын

    Historia za darasa la saba izo mjomba acha kutudanganya bwana

  • @belgieboys9867
    @belgieboys98675 жыл бұрын

    watumwa na kizazi chao cha kitumwa historia ya znz wameifanya kama bibli5

  • @SA-xj8hc
    @SA-xj8hc5 жыл бұрын

    Tafteni shughuli mfanye sio kulalamika tu , hivi sasa muko huru mumefanya kipi cha maana.

  • @SA-xj8hc
    @SA-xj8hc5 жыл бұрын

    “ Slave chamber” totally lies. Kijengo kidogo kweli watumwa wangapi wengeingia humo ? Eti limejengwa na Mfalme ?!

  • @iddibama6819
    @iddibama68195 жыл бұрын

    sio kweli bhana tusipotoshane kupata historia kutoka kwa vijana kwa kweli ni uwongo mtupu pili hana hoja za msingi ikiwa eneo hilo limejengwa specific kwa lengo la kufanya ni maficho ya watumwa basi mbona ni dogo wala halitoshi.. kwa makadirio hilo eneo ni la kuweka watu kumi na sio Zaidi .. sasa icho chumba gani bhana kama kipo kwa misingi hio .. tatu ni kwanini linajionyesha hivo vipaa vyake ikiwa kama ni maficho ya watumwa ..ilipaswa hata kipaa kisionekane .. tuambizane ukweli kwenye hayo kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kukubaliana na hayo.. na kama mnyavyosema kuna joto na mambo mengine unafikiri hao watumwa wangeliweza kudumu humu kwa siku tatu hizo.

  • @sisterhala3916
    @sisterhala39165 жыл бұрын

    kalibu zazibar kisiwa cha kahafuhu chena upendo

  • @abditz8377

    @abditz8377

    5 жыл бұрын

    Kiswahili kigumu kweli...!

  • @saumuhassan6365

    @saumuhassan6365

    5 жыл бұрын

    @@abditz8377 😂😂😂😂

  • @shamsahaji6202

    @shamsahaji6202

    5 жыл бұрын

    @@abditz8377 😀😀😀😀😂😂😃😃😃

  • @amnemkubwa7353

    @amnemkubwa7353

    5 жыл бұрын

    @@abditz8377 😂😂🤣🤣😄😄😁😁

  • @dhiabmohammed4238

    @dhiabmohammed4238

    5 жыл бұрын

    Usitake mambo

  • @abdulrahmansalim1809
    @abdulrahmansalim18095 жыл бұрын

    Muongo mnafik wewe umeona watu weusi wenyewe wakifanya na wareno bustard.

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan63655 жыл бұрын

    Ukifuatilia hawa waarab walivyotufanya Unaweza kuwaekea chuki.

  • @sadakhamis1261

    @sadakhamis1261

    5 жыл бұрын

    Umeonaee.. Waarab ni wa shenzi saana

  • @allyally9915

    @allyally9915

    5 жыл бұрын

    hebu wewe usiamini historia ya uongo mwambieni akuonesheni picha ya ukweli sio ya kuchora UONGO HUYO

  • @alisaalis9218

    @alisaalis9218

    5 жыл бұрын

    Ally Ally c uongo hata kenya wako wengi sana mombasa;warabu wa Oman

  • @dhiabmohammed4238

    @dhiabmohammed4238

    5 жыл бұрын

    Mshenzi ww

  • @dhiabmohammed4238

    @dhiabmohammed4238

    5 жыл бұрын

    Wewe umefanywa nini mama yako na bibi yako na maa mkuu wako kafanywa nini

  • @belgieboys9867
    @belgieboys98675 жыл бұрын

    huyu jamaa asili yake ni mtumwa. historia yake anaipinda kama biblia. anasema tu mkunazini mshenzi huyu hasemi makanisani mkunazini. wala hasemi huyo tiptip alikuwa anatumwa na nani? hao mabaharia walikuwa wakitumwa na hao waengereza. wewe unaotoa historia hii asili yako mtumwa ndio unawatetea waenereza NA historia nyengine mukawapa wakiristo mkunazini

  • @mourenedayness3739
    @mourenedayness37395 жыл бұрын

    Kuna mtu kafanaa na nyani kama umemwona gonga like

  • @mourenedayness3739
    @mourenedayness37395 жыл бұрын

    Kuna mtu kafanaa na nyani kama umemwona gonga like

Келесі