HUYU NDIYE BABU ANAYEWASHANGAZA WAZUNGU ZANZIBAR; ANAISHI NA KOMBA ANAOENDA KUWACHUKUA MISITUNI
Ойын-сауық
HUYU NDIYE BABU ANAYEWASHANGAZA WAZUNGU ZANZIBAR; ANAISHI NA KOMBA ANAOENDA KUWACHUKUA MISITUNI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 50
Mshahara mzuri kwa huyu jamaa angalia shingo yake hongera wasafi
MASHA ALLAH HONGERA SANA
Adela yuko bize na Ubuyu tu! ha ha
Adela kubwa kwake ni kuuliza kama Babu ana mke !!! Loooh! Wanawake bwana !!!
@marlonstudios4408
Жыл бұрын
😂😂
Babu komba hongera sana
Msishangae sana ni kweli mzee anaongea vizuli maana wazungu hupenda kuishi na viumbe vyote vilivyoumbwa na mungu watu wote wa rangi ya kizungu huishi na kila kiumbe ila sisi waafrika huchukia viumbe vingine vilivyo tofauti na binaadamu na ndomaana chuki nyingi kwetu sisi kwa sisi kwakuwa tunachukia kuishi vizuli na viumbe vingine vya mwenyezi mungu
nime penda uyu mzeee safi mpka bs🙌🙌
Sauti yake kama yule mzee wa mjegeja za kichwa
@mamalamama7010
Жыл бұрын
Hata sura mwili amefanana nae
@edwarddavid8076
Жыл бұрын
@@mamalamama7010 ndio, hahaa😃😃 kumbe nawee umeona
@mamalamama7010
Жыл бұрын
@@edwarddavid8076 Ndio
@omarcarlos4595
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa usishangae ni anko wake
@husseinnuru7544
Ай бұрын
Nikweli kabisa mungu amlehem
Ao viumbe walevi kumshinda mkude na okra😂😂😂
Wooow Amazing 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
zbc ipo.haijawahi.kuonesha mambo.kama haya
@sahimm4767
Жыл бұрын
Wasubiri mwinyi kafungua maskani ndio waende
komba mzee wa gambe
Sio Mzee wa Mjegeje Huyu 👉👉👉
Hongera
❤❤❤❤❤❤❤
Muandishi ni sie tu huku wafrica baadhi tuna waogopa wadudu upoo mzungu usikulize unaogopa hawaogopi awoo
Legend
Vizurisana
Hao ukiwapa pombe imejaa ndoo kubwa wanafuta ndani ya DK 10 tu 😂😂😂😂
😂😂😂😂 uyu nd bab kombaaa
Babu komba
Lemur - King Julien 😄
Anajiamini
Duh
Acheni ushamba nyinyi waandishi sio kila mtu mweupe ni mzungu, basi na mm ni mzungu
@blackpanther4825
Жыл бұрын
Kanidhalilisha kweli huyu mhaya..hajui mzungu na asiye mzungu. Huyo dada ni mfilipino siyo mzungu
Umwaaya
Are you don’t fear 😂
@aloyceiluminata3650
Жыл бұрын
Aibuuu hiii 😄😄
@sospetersalvatory3499
Жыл бұрын
😂😂😁
👹👹👹👹👹👹👹
kusema uongo zambi kafanana nao
@leaapolo976
Жыл бұрын
Dah😄
Komba kwa kiingereza anaitwa aje?
@shaninjenje5004
Жыл бұрын
Google
@patrickndichu3905
Жыл бұрын
@@shaninjenje5004 kumbe anaitwa Google🤣🤣🤣
@binsururu
Жыл бұрын
Bush baby
@gibsonjosephat6352
Жыл бұрын
Anaitwa Captain.
@patrickndichu3905
Жыл бұрын
@@gibsonjosephat6352 Umenoa..anaitwa bushbaby.
Awa wadudu wanakelele jmniiiiiiiiii 🤣🤣🤣🙌🙌🙌 Usiku utaskia kwaaaaa kwaaaaaaaa kwaaaaaaaa kwaaaaaaaa kwaaaaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌