"KILA ALIEFANYA NAE MAPENZI ALIMUUA NA KUPANDA MTI JUU YAKE"
Baada ya kua na habari tofauti kuhusiana na kisa halisi cha chanzo cha miti mingi iliyopo bungi kuhusishwa navitendo vya mauwaji. Leo tumekuletea Historia ya ukweli.
*baadhi ya picha zimetumika ili kuonesha uhalisia wa historia hii
#Tanzania #Zanzibar #KtvTzOnline
Music Credit: OurMusicBox (Jay Man)
Track Name: "When Good Prevails"
Music By: Jay Man @ ourmusicbox.com/
Official "OurMusicBox" KZread Channel: kzread.info
License for commercial use: Creative Commons Attribution 4.0 International (CC BY 4.0) creativecommons.org/licenses/...
Music promoted by NCM goo.gl/fh3rEJ
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
-~-~~-~~~-~~-~-
Please watch: "VISA VYA KUSISIMUA | MAKALA | HABARI | VIPINDI MBALI MBALI | HAPA HAPA KTV TZ ONLINE"
kzread.info/dash/bejne/hqeqx7Smec2pc7g.html
-~-~~-~~~-~~-~- #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu
Пікірлер: 256
This story is interesting.. i wish to hear more of Zanzibar History.
@rajabuseif7713
5 жыл бұрын
Golden Sparrow hi
@humuodkindi4926
2 жыл бұрын
This is a biggest lie a myth dramatized for tourist cash, no difference from the myth of 10 heads on each pillar of Bait Al Ajaib and Caravan Serai of Bagamoyo. The Government should stop this shameful lie.
Subhanallah .acheni ujinga ,kujenga chuki baina ya watu.munabeba dhima nzito mbele ya Mungu.Munamsingizia mwanamke mwema maovu .chukueni zambi ila mujue kuwa kuna siku ya malipo mutasimamishwa mbele ya Mungu na mutowe ushahidi wenu.
Kama Waipenda Zanzibar gonga like yako hapa
@fawzyoalbahry4420
5 жыл бұрын
waongo mnaficha ukweli kwa uzushi
@faizasaid8262
5 жыл бұрын
😍
@abdulljalilu471
5 жыл бұрын
@@faizasaid8262 nkpend ww
@faizasaid8262
5 жыл бұрын
Abdull Jalilu ,😍
@abdulljalilu471
5 жыл бұрын
@@faizasaid8262 0712918658 plz
Kama umeskia miembe imejengwa gonga like
@lipymuscat4779
5 жыл бұрын
Hahahahaha
@amnemkubwa7353
5 жыл бұрын
😄😄🤣😂😃.. jmn binaadam anakosea,, no body is perfect
@watchme1558
5 жыл бұрын
+Amne Mkubwa hi mamy. from Maungani zanzibar
@peace-8400
5 жыл бұрын
Gonga hapa Hugo Singh utoto
@jamesmayunga5802
5 жыл бұрын
Mbaruok Salum ilijengwa na wazungu
Kama hujaelewa historia hii gonga like twende sawa
Presenter wngu wa KTv tz onlne umedamshi😍😍😘😘😗😗🤗😗😗❤🔥🔥
Umeeleza historia vizuri sana angalau watu tumefaidika na histori hii...!
@jumayahya2661
3 жыл бұрын
Historia ya uongo hiyo kwani ulikuepo au umehadithiwa?
Ningeomba kukufaham ww mwana habar Bi Sadia,a very good story
Mtangazaji love u
Mashaallah dada angu mtangAzaj nmekupenda bure
mi na mtangazaji tu mashallaaaa
Mashallah mtangazaji ni mrembo jamani😘
Masha allah mtangazaji nataka nije kuomba mungu hakika masha allah
Zanzibar yetu 7hamdulillah
Miembe imepandwa tokea mwaka 1876 ya zanzibar ya Bi Hole historia mzuri sana
wacheni kuchukuwa dhambi nyiye ogoponi mungu wenu nyiye. Mnampaliliya pepo mwenzinu na mnajichocheleya moto.
@shammusfredy4158
5 жыл бұрын
Wacha unafiki wee panya
@shammusfredy4158
5 жыл бұрын
Khola Al Mahrizi wewe una umri gani mpaka umjue huyo bi khole, na kama alikua na historia ya uhuni Basi kwanza muhuni ni mama yako , shenzi weee/ nyinyi
@AhmedZahor
3 ай бұрын
Ujinga Ushamba Chuki zimewajaa mtu anasema Uongo wala haoni Tabu anasingizia Maiti Uongo anajibebesha dhima Mbele ya Mbele ya Alla
assalam alykum mtangazaji mie hayo ya bikhole hata sinayo nakutizama weye tu mashallah
Bungi kwa B! Hole ..mkoa was kusini Unguja.safi k TV tz online kw kufatilia history ya maeneo mbali mbali..
@fawzyoalbahry4420
5 жыл бұрын
waongo wakubwa
Sadia Rashid, you are killing me!
Mashallah mtangazaji mzuri na sauti yake pia!
Sehemu ninayo iogopa zanzibar ni hapa aisee ukipita usiku panatisha hatar waoga wenzangu hapa s mchezo
@mwanaidiramadhan3919
5 жыл бұрын
Halafu panatisha kwa ajali za gari
@alhaji6094
4 жыл бұрын
Na kwa ajali ndio balaa na kuna kijimskiti ktk
Wee mdada umenibamba Ile mbaya, ungekuwa karibu nadhani ningekuoa
Historia ya znz wanapenda kuzungumza uongo,wao kupotosha tu
Historia nzuri ila mtangazaji umeteka hisia zangu nakupenda sana
Mashallah
Stori za juha... Ikiwa vichwa vimepandiwa miembe...miili yao sasa Imeenda wapi..??? Tuupeni jawabu....
@chiefmahucha6847
5 жыл бұрын
Mbona mtaalam wa makumbusho keshakujibu kuwa "habari za vichwa kufukiwa miembeni ni uongo" sasa wataka majawabu gani..?
Nipo mchina mwanzo hapa, kama vip nije nichimbe huo mwembe mmoja tuhakikishe kama ni kweli kunavichwa vya watu hapo
Si wachimbue mihembe chini ili wahakikishe sio kuongea tu nanyi watu wenyewe ni wa miaka hii tu chimbua mihembe mmoja au miwili ili muhaKiki tujue
@chiefmahucha6847
5 жыл бұрын
Usiseme "mihembe" sema "miembe" tafdhali
@sniperboy7098
4 жыл бұрын
Kachimbue wewe
Dda sadia shkran kwa trfa ..npe nmb
Weee astahafiru Allah miembe imejengwa hahahaaha
@amnemkubwa7353
5 жыл бұрын
Hakuna mkamilifu😏😏
@mashaali4127
5 жыл бұрын
Ahmeid young 2 mwenyewe meshangaa natafuta matofali ya kujenga miembe.
@aishaqasim2679
5 жыл бұрын
me nimecheka mpk bac 😀😀😀😀😀👌
Ambae hajaelewa maana ya "pishi" gonga likes za kutosha hapa...
History in danger if anybody given mic ! The need of full documentation for historical facts...true version to be collected, kept and dissipated for outsiders. This not only for Bihole but all historical areas. Otherwise distortion will make facts fly with the winds of Zanzibar.
Kuprove wapige radiation camera . Wajuwe kuna mafuvu ya watu . Maana fuvu aiozi . Watumie technologia ya excavation . Tuache kuchosha akili someti ni kushikwa maskio tu. Hakuna vichwa hapo
Nimekupenda kiukweli
Kama ulidhania kama mimi kwamba bihole ni jini gonga like.
Huyu mdada mzuri kweli daahhh ktv Kama huyu Dada hajaolewa mm namtaka
Bungi. The way to ma home!
Ok
Saw.mwandishi hongra na pishi ya bihole
Stori za maskani tu.
Historia ya zanzibar imejaa uwongo hasa inapotajwa waarabu
Kichwa cha habari haifai, ni upotoshaji.
kama hujaelewa kama mm gonga like
Mie siangalii bihole naangalia uzur wa mtangazaji
Uongo mtupu hizi historia so ya kweli.
@abdillahmohammed6853
5 жыл бұрын
Hajusam Hemed muongo ww vutu
Uzushi mtupu, bait al ajaib ina mafuvu, miembe ya Bungi ina mafuvu, Caravan Serai ya Bagamoyo ina mafuvu. Uongo usiokuwa na kifuniko
Jaman miembe inajengwaaaa duuuuhh 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
kweli sio uongo guys true story
1876 ni mwaka wa kutishaa ndoa. Kuzaliwa. Uongozi. Umakini muhimu editor
Wacheni uongo....Allah anawaona tafteni watu wanaojua historia na wapo ....we muembe unajengwa? Ng'oeni miembe iyo mufanye science research kupata ukweli dhambi mnayomsingizia Allah anawaona....
jamani uyu mtangazaji ni mzur kwakwel ningempata yan ningekua nashinda na boksa tuuu ......duuu we mzur mamiii
Mie binafsi natamani nipande miti ya matunda ktk pembezoni na Kati Kati ya barabara kwenye mabustani nioteshe miti ya matunda znz nzima ili mwananchi asikae na njaa hata mda mchache. Pengine hio ndo ilikuwa fikra ya huyo Alie otesha maembe.
@mtumwasamaki6911
5 жыл бұрын
bado atakua na hatia ya kuwafanya wenzie watumwa Allah aalam na M/Mungu amsemehe
Jambo zuri mnasema wamefanya wazungu Na kila baya wamefanya waarabu wacheni chuki zenu kwa kuzulia watu wema Mtajibu hoja siku ya siku
Wallah mtangazaji maashallah cjui ntakupata vp... Plzzz
@immtm4930
5 жыл бұрын
nishamuwahi hahahaha
@abuuzahbeka7062
5 жыл бұрын
Acha how mtu wangu
Kungefufuliwa mti mmoja tukahakiki
Vipofu wakiwaongoza vipofu wenzao katika kupandikiza chuki ya historia ya uongo. Haingii akilini kabisa Kwa mwenye akili hata ya popo nundu.
Oningi, yaani onyo
Hitoria mzuri sana lkn mletaji Wetu mm umenivutia sana
Wewe mzee acha uongo mbwa we
Mtangazaji sadia rashid uko bomba sana una mvuto tabasam Kali dah
Khaaaaa
Hiyo history ni muendelezo wa uongo na upotoshaji kuhusu historia ya Zanzibar
@dhiabmohammed4238
5 жыл бұрын
Kabisa hata haielekei kwa kutaka nini
@fahimchhotu5989
5 жыл бұрын
Toa yako
@w4058
2 жыл бұрын
Waongo wakubwa nyote mnatakiwa mkatwe vichwa kwa uzushi wenu Subhanallah mnasingizia maiti uwongo mtakwendwa kujibu kwenye mahakama ya Allah
Dah namic sn home 😭
mhhhh hatar...
@fawzyoalbahry4420
5 жыл бұрын
Hakuna ukoloni ulokata watu vichwa hasa huo wakati wa kiislam
@fawzyoalbahry4420
5 жыл бұрын
+Fawzyo Albahry muungo we nyamaza
Bi haula alikufa bikra, historia potofu. Miti ilipandwa na. Mturuki. Hakuna vichwa Apo msitudanganye
huyo dada anayehoji mzuri kweli.
laahaulaa jamani miembe ime jengwa na wazungu...haya hebu waite wajenge minazi hapa tule dafu
Mnafiki mmoja wewewewe Hasbunallah Waniimal Wakiil muwongo looo
Kuna siku nilivyopita bungi nmeihisabu imefika 800 na still haikwisha😄🏃♀️..
@aishakhamis2996
5 жыл бұрын
Amne Mkubwa mhhh kweli?
@amnemkubwa7353
5 жыл бұрын
@@aishakhamis2996 offcourse yes 🤣😂😂😂🏃♀️🏃♀️
@aishakhamis2996
5 жыл бұрын
Amne Mkubwa wow, congratulation" mtoto mzur, nimekupenda uko na adabu na heshima pia" mm nipo kenya but ni mzanzibar kwetu kwahani kwa ali msha andika number yako ili nikija nikuletee zawadi❤❤❤ love you so much.....
@aishakhamis2996
5 жыл бұрын
Amne Mkubwa na asante kwa kunijibu vizur....
@amnemkubwa7353
5 жыл бұрын
@@aishakhamis2996 Thnks babee❤🔥🙌.. lkn umu huwez kuandk namba kla mutu ikaona
maoni yangu mtandao wa airtel kiukweli huu mtandao unayumba sana kutoa uduma ya intaneti na vocha wanauza basi wabadili MB kua dakika kulilo kutufanya watanzania niwashamba wa uduma hii waziri yupo wanini
Uongo mtupu tena uongo wa hatari historia za kweli mnazipuiza baadae mnatangza historia za uongo za kiadui na chuki
Huyo mwanamme Sayuri Yake km mwanamme kazika wanaume wangapi
Yaani zuwenii mambo yanaingia akilini mwanamke gani huyoo anoweza kutembea na wanaume wengi kiasi ichoo 😂😂 yaani mijitu mingine hata usema uwongoo haijui mbwaa nyiee
Kumsingizia mtu uongo ni kujidhulumu nafsi yako na utamlipa kwa dhulma hio Yeye ameshatangulia na nyinyi mtafuata Basi endeleeni kukaririshwa oungo na kuutangaza
Kama kweli dig up the mango trees its not rocket science
Hey sadiya umeolewa ?? Maan nimependezw naw
HAPA KUNA HISTORY ILIOPIGISHWA NA UONGO
Acheni uongoo
@rayasuleiman7869
4 жыл бұрын
Hawa waongo kabisa Kisha na hawa ktv wameishiwa
Muache unafiki mnabeba juukumu someni historiya ya ukweli
Mbn mm nlioiskia ni tofauti, hemu fatilie ktv online kwa ghassan thn utaion mtuletee kit kipya.. au muoanishe n hii..
Pishi ni aina ya mkebe hua hutumiwa kama kipimo cha ratili au kilo zamani Pishi moja ni sawa na kilo moja au mbili kwa wakati huu... Waweza ni follow Instagram Capitano Anguria, Facebook Badi Kipini mobile number +97470905724,+254729919398
Acheni uongo nyinyi
sidhani kama alimshinda mtangazaji Kwa urembo
@nureyna629
5 жыл бұрын
😂😂😂
@mwanaeidizenji8264
5 жыл бұрын
Heeee
@mwanaeidizenji8264
5 жыл бұрын
Masakhul nur uko wapi wewe
@mwanaeidizenji8264
5 жыл бұрын
Michenzani kule kwa ali dai au
@mwanaeidizenji8264
5 жыл бұрын
Mie niko Al suweiq rusha namba zako nitie kwenye wasap
Pishi ya mbao isojaa ndio ipi anae jua atueleweshe jamani 🤔
@Pedeshee01
5 жыл бұрын
Ahlam very nice. ukhty njoo nitakuelewesha❤️
Mengi ya historia zetu zinatiwa chumvi, uongo na chuki, mfano hiyo miembe imepandwa na mtaalam kutoka Uturuki hapana kichwa chochote hapo cha mtu alieuliwa, na sio mapenzi bali ni zinaa, mapenzi moyoni, tusitupetupe kiswahili
ni miti tu imepandwa na mtu msipotoshe jamii
@abdulrazakamohdamour850
5 жыл бұрын
Sawa ni vyema ww ukatuelewesha basi
@alihamad6046
5 жыл бұрын
Mm namwangalia huyu mwandish mashallah historia naijua Babu kajitahid kw kumalizia bikhalee alifarik ujerumani
@michakazojet1146
5 жыл бұрын
TUELEZE HUYO MTU ALOPANDA MAANA NIMEISHI ZANZIBAR MPKA NAKARIBIA UZEEE MIAKA40 SASA HUY MTU NIMEMJUA KUPIIA HAPA SSA TUAMBIE NA HUYO WA KWAKO
@sideblack1923
5 жыл бұрын
filis mpangala hey?
@omarynassor6313
5 жыл бұрын
Uo
hamuoni ata hayaa
Hizo ni hadithi za alfu lela ulela. Ni uzushi
@mwanaidiramadhan3919
5 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
Pole mtangazaji ukiambiwa na wewe jambie sasa bi Knole alitembea na wanaume wangapi na hao wanaume walikua wanajua wanakwenda kufa na wanakwenda haya na kule beitt al jaib hila nguzo kumezikwa mtu
Hii story n kama ya ukweli kabisa,Ju hata kenya mombasa ilikuwa ikisemekana miembe n majini,Ama eti huezi pita usiku miembeni so yaeza kuwa ukweli
Miembe B.khole ameikuta kwa sababu yeye amerithi shamba kutoka kwa baba yake.
KWA KIPINDI HIKI HATA HIVYO VICHWA VINGEONEKANA
I wish bi khole angelikua hai yaani dail jioni naenda bungi kula embe tu
kabla ya kujadili story yenyewe PISHI MAANA YAKE NN? maana naona hadI kisura mtangazaji alikuwa anacheka kusikia neno PISHI
@robinsonmaleo37
5 жыл бұрын
Ni kitu kilichokaa kama kikombe hivi, kina mshikilio mrefu na hutengenezwa kwa bati. Ni vigumu sana kukijua kama umezaliwa 2000
@abdallahhosen9001
5 жыл бұрын
Eti
Acheni uwongo nyot ata ayo unayo sema huna uhakika nayo kwenda zenu uko
Maluuuni mmojaa weee ! Hata aibuu huoniii kuzulia wanawake wemaa uchafu wa zinaaa je angelikuwa ni mamaako ungejiskiaje maneno hayoo mbwaa mweusi weee ! Zote ni chukii izooo kutukana waarabu lakini malizote za warabu mumezipaniaa mbwaa nyie
Hizo habari zote ni uongo
Ing'olewe Miembe ni mikongwe hatarishi kwa jamii hasa kipindi cha Mvua na upepo husababisha ajali pia hukatika matawi Mimi binafsi nishashughudia ajali.
Mtangazaji mrembo nae
uongo ww miembe mingi hiyo kuua anaweza lakin kwa lika muembe kichwa waongo sana
@zainabkhatib6509
5 жыл бұрын
Hadithi za paukwa pakawa huu ni uwongo mtupu
@mbarakhassan9820
5 жыл бұрын
Nyumbani in bungi Ila mbona naskia miembe walipanda wareno
@destiny4life439
5 жыл бұрын
+mbarak hassan hahaaha mm kwetu mtende cjui kwa hilo