"KILA ALIEFANYA NAE MAPENZI ALIMUUA NA KUPANDA MTI JUU YAKE"

Baada ya kua na habari tofauti kuhusiana na kisa halisi cha chanzo cha miti mingi iliyopo bungi kuhusishwa navitendo vya mauwaji. Leo tumekuletea Historia ya ukweli.
*baadhi ya picha zimetumika ili kuonesha uhalisia wa historia hii
#Tanzania #Zanzibar #KtvTzOnline
Music Credit: OurMusicBox (Jay Man)
Track Name: "When Good Prevails"
Music By: Jay Man @ ourmusicbox.com/
Official "OurMusicBox" KZread Channel: kzread.info
License for commercial use: Creative Commons Attribution 4.0 International (CC BY 4.0) creativecommons.org/licenses/...
Music promoted by NCM goo.gl/fh3rEJ
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
-~-~~-~~~-~~-~-
Please watch: "VISA VYA KUSISIMUA | MAKALA | HABARI | VIPINDI MBALI MBALI | HAPA HAPA KTV TZ ONLINE"
kzread.info/dash/bejne/hqeqx7Smec2pc7g.html
-~-~~-~~~-~~-~- #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu

Пікірлер: 256

  • @goldensparrow1507
    @goldensparrow15075 жыл бұрын

    This story is interesting.. i wish to hear more of Zanzibar History.

  • @rajabuseif7713

    @rajabuseif7713

    5 жыл бұрын

    Golden Sparrow hi

  • @humuodkindi4926

    @humuodkindi4926

    2 жыл бұрын

    This is a biggest lie a myth dramatized for tourist cash, no difference from the myth of 10 heads on each pillar of Bait Al Ajaib and Caravan Serai of Bagamoyo. The Government should stop this shameful lie.

  • @mohdahmed5389
    @mohdahmed53892 жыл бұрын

    Subhanallah .acheni ujinga ,kujenga chuki baina ya watu.munabeba dhima nzito mbele ya Mungu.Munamsingizia mwanamke mwema maovu .chukueni zambi ila mujue kuwa kuna siku ya malipo mutasimamishwa mbele ya Mungu na mutowe ushahidi wenu.

  • @iddirajabu965
    @iddirajabu9655 жыл бұрын

    Kama Waipenda Zanzibar gonga like yako hapa

  • @fawzyoalbahry4420

    @fawzyoalbahry4420

    5 жыл бұрын

    waongo mnaficha ukweli kwa uzushi

  • @faizasaid8262

    @faizasaid8262

    5 жыл бұрын

    😍

  • @abdulljalilu471

    @abdulljalilu471

    5 жыл бұрын

    @@faizasaid8262 nkpend ww

  • @faizasaid8262

    @faizasaid8262

    5 жыл бұрын

    Abdull Jalilu ,😍

  • @abdulljalilu471

    @abdulljalilu471

    5 жыл бұрын

    @@faizasaid8262 0712918658 plz

  • @salummbaruok9408
    @salummbaruok94085 жыл бұрын

    Kama umeskia miembe imejengwa gonga like

  • @lipymuscat4779

    @lipymuscat4779

    5 жыл бұрын

    Hahahahaha

  • @amnemkubwa7353

    @amnemkubwa7353

    5 жыл бұрын

    😄😄🤣😂😃.. jmn binaadam anakosea,, no body is perfect

  • @watchme1558

    @watchme1558

    5 жыл бұрын

    +Amne Mkubwa hi mamy. from Maungani zanzibar

  • @peace-8400

    @peace-8400

    5 жыл бұрын

    Gonga hapa Hugo Singh utoto

  • @jamesmayunga5802

    @jamesmayunga5802

    5 жыл бұрын

    Mbaruok Salum ilijengwa na wazungu

  • @zajosjohn2232
    @zajosjohn22325 жыл бұрын

    Kama hujaelewa historia hii gonga like twende sawa

  • @amnemkubwa7353
    @amnemkubwa73535 жыл бұрын

    Presenter wngu wa KTv tz onlne umedamshi😍😍😘😘😗😗🤗😗😗❤🔥🔥

  • @abdallahrunwa1886
    @abdallahrunwa18865 жыл бұрын

    Umeeleza historia vizuri sana angalau watu tumefaidika na histori hii...!

  • @jumayahya2661

    @jumayahya2661

    3 жыл бұрын

    Historia ya uongo hiyo kwani ulikuepo au umehadithiwa?

  • @mtelezihalisi5074
    @mtelezihalisi50745 жыл бұрын

    Ningeomba kukufaham ww mwana habar Bi Sadia,a very good story

  • @faizsaleh3709
    @faizsaleh37094 жыл бұрын

    Mtangazaji love u

  • @hamzaseleman5604
    @hamzaseleman56045 жыл бұрын

    Mashaallah dada angu mtangAzaj nmekupenda bure

  • @suleiboy5230
    @suleiboy52305 жыл бұрын

    mi na mtangazaji tu mashallaaaa

  • @zamizozamy5528
    @zamizozamy55284 жыл бұрын

    Mashallah mtangazaji ni mrembo jamani😘

  • @abdulhamidy8920
    @abdulhamidy89205 жыл бұрын

    Masha allah mtangazaji nataka nije kuomba mungu hakika masha allah

  • @parisz
    @parisz5 жыл бұрын

    Zanzibar yetu 7hamdulillah

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano71655 жыл бұрын

    Miembe imepandwa tokea mwaka 1876 ya zanzibar ya Bi Hole historia mzuri sana

  • @kholaalmahrizi8525
    @kholaalmahrizi85255 жыл бұрын

    wacheni kuchukuwa dhambi nyiye ogoponi mungu wenu nyiye. Mnampaliliya pepo mwenzinu na mnajichocheleya moto.

  • @shammusfredy4158

    @shammusfredy4158

    5 жыл бұрын

    Wacha unafiki wee panya

  • @shammusfredy4158

    @shammusfredy4158

    5 жыл бұрын

    Khola Al Mahrizi wewe una umri gani mpaka umjue huyo bi khole, na kama alikua na historia ya uhuni Basi kwanza muhuni ni mama yako , shenzi weee/ nyinyi

  • @AhmedZahor

    @AhmedZahor

    3 ай бұрын

    Ujinga Ushamba Chuki zimewajaa mtu anasema Uongo wala haoni Tabu anasingizia Maiti Uongo anajibebesha dhima Mbele ya Mbele ya Alla

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis82982 жыл бұрын

    assalam alykum mtangazaji mie hayo ya bikhole hata sinayo nakutizama weye tu mashallah

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung24105 жыл бұрын

    Bungi kwa B! Hole ..mkoa was kusini Unguja.safi k TV tz online kw kufatilia history ya maeneo mbali mbali..

  • @fawzyoalbahry4420

    @fawzyoalbahry4420

    5 жыл бұрын

    waongo wakubwa

  • @matitu_jr5035
    @matitu_jr50355 жыл бұрын

    Sadia Rashid, you are killing me!

  • @barrysulty1756
    @barrysulty17565 жыл бұрын

    Mashallah mtangazaji mzuri na sauti yake pia!

  • @muusmart2015
    @muusmart20155 жыл бұрын

    Sehemu ninayo iogopa zanzibar ni hapa aisee ukipita usiku panatisha hatar waoga wenzangu hapa s mchezo

  • @mwanaidiramadhan3919

    @mwanaidiramadhan3919

    5 жыл бұрын

    Halafu panatisha kwa ajali za gari

  • @alhaji6094

    @alhaji6094

    4 жыл бұрын

    Na kwa ajali ndio balaa na kuna kijimskiti ktk

  • @chrispinjohn144
    @chrispinjohn1445 жыл бұрын

    Wee mdada umenibamba Ile mbaya, ungekuwa karibu nadhani ningekuoa

  • @mohamed.hassani9917
    @mohamed.hassani99175 жыл бұрын

    Historia ya znz wanapenda kuzungumza uongo,wao kupotosha tu

  • @alawiali3475
    @alawiali34753 жыл бұрын

    Historia nzuri ila mtangazaji umeteka hisia zangu nakupenda sana

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar56125 жыл бұрын

    Mashallah

  • @ghardayaguarrara268
    @ghardayaguarrara2685 жыл бұрын

    Stori za juha... Ikiwa vichwa vimepandiwa miembe...miili yao sasa Imeenda wapi..??? Tuupeni jawabu....

  • @chiefmahucha6847

    @chiefmahucha6847

    5 жыл бұрын

    Mbona mtaalam wa makumbusho keshakujibu kuwa "habari za vichwa kufukiwa miembeni ni uongo" sasa wataka majawabu gani..?

  • @emmanuelmasoko1013
    @emmanuelmasoko10135 жыл бұрын

    Nipo mchina mwanzo hapa, kama vip nije nichimbe huo mwembe mmoja tuhakikishe kama ni kweli kunavichwa vya watu hapo

  • @anuaryally6177
    @anuaryally61775 жыл бұрын

    Si wachimbue mihembe chini ili wahakikishe sio kuongea tu nanyi watu wenyewe ni wa miaka hii tu chimbua mihembe mmoja au miwili ili muhaKiki tujue

  • @chiefmahucha6847

    @chiefmahucha6847

    5 жыл бұрын

    Usiseme "mihembe" sema "miembe" tafdhali

  • @sniperboy7098

    @sniperboy7098

    4 жыл бұрын

    Kachimbue wewe

  • @fatumarajabu810
    @fatumarajabu8105 жыл бұрын

    Dda sadia shkran kwa trfa ..npe nmb

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung24105 жыл бұрын

    Weee astahafiru Allah miembe imejengwa hahahaaha

  • @amnemkubwa7353

    @amnemkubwa7353

    5 жыл бұрын

    Hakuna mkamilifu😏😏

  • @mashaali4127

    @mashaali4127

    5 жыл бұрын

    Ahmeid young 2 mwenyewe meshangaa natafuta matofali ya kujenga miembe.

  • @aishaqasim2679

    @aishaqasim2679

    5 жыл бұрын

    me nimecheka mpk bac 😀😀😀😀😀👌

  • @chiefmahucha6847
    @chiefmahucha68475 жыл бұрын

    Ambae hajaelewa maana ya "pishi" gonga likes za kutosha hapa...

  • @bajomba2010
    @bajomba20105 жыл бұрын

    History in danger if anybody given mic ! The need of full documentation for historical facts...true version to be collected, kept and dissipated for outsiders. This not only for Bihole but all historical areas. Otherwise distortion will make facts fly with the winds of Zanzibar.

  • @obugobaraka141
    @obugobaraka1415 жыл бұрын

    Kuprove wapige radiation camera . Wajuwe kuna mafuvu ya watu . Maana fuvu aiozi . Watumie technologia ya excavation . Tuache kuchosha akili someti ni kushikwa maskio tu. Hakuna vichwa hapo

  • @omaryadamn4560
    @omaryadamn45605 жыл бұрын

    Nimekupenda kiukweli

  • @Better_Planet
    @Better_Planet5 жыл бұрын

    Kama ulidhania kama mimi kwamba bihole ni jini gonga like.

  • @princeganji2779
    @princeganji27795 жыл бұрын

    Huyu mdada mzuri kweli daahhh ktv Kama huyu Dada hajaolewa mm namtaka

  • @greatiq8234
    @greatiq82345 жыл бұрын

    Bungi. The way to ma home!

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid290611 ай бұрын

    Ok

  • @abdulrazakamohdamour850
    @abdulrazakamohdamour8505 жыл бұрын

    Saw.mwandishi hongra na pishi ya bihole

  • @zanzibarsmzenji
    @zanzibarsmzenji5 жыл бұрын

    Stori za maskani tu.

  • @salimali8586
    @salimali85862 жыл бұрын

    Historia ya zanzibar imejaa uwongo hasa inapotajwa waarabu

  • @sabraham5308
    @sabraham53085 жыл бұрын

    Kichwa cha habari haifai, ni upotoshaji.

  • @aliyhamim1683
    @aliyhamim16835 жыл бұрын

    kama hujaelewa kama mm gonga like

  • @husseinomary4466
    @husseinomary44665 жыл бұрын

    Mie siangalii bihole naangalia uzur wa mtangazaji

  • @hajusamhemed2949
    @hajusamhemed29495 жыл бұрын

    Uongo mtupu hizi historia so ya kweli.

  • @abdillahmohammed6853

    @abdillahmohammed6853

    5 жыл бұрын

    Hajusam Hemed muongo ww vutu

  • @humuodkindi4926
    @humuodkindi49262 жыл бұрын

    Uzushi mtupu, bait al ajaib ina mafuvu, miembe ya Bungi ina mafuvu, Caravan Serai ya Bagamoyo ina mafuvu. Uongo usiokuwa na kifuniko

  • @queengee988
    @queengee9885 жыл бұрын

    Jaman miembe inajengwaaaa duuuuhh 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @Aayatkhan-uq7vl
    @Aayatkhan-uq7vl5 жыл бұрын

    kweli sio uongo guys true story

  • @chummaulid7115
    @chummaulid7115 Жыл бұрын

    1876 ni mwaka wa kutishaa ndoa. Kuzaliwa. Uongozi. Umakini muhimu editor

  • @saeedqaseem7423
    @saeedqaseem74233 жыл бұрын

    Wacheni uongo....Allah anawaona tafteni watu wanaojua historia na wapo ....we muembe unajengwa? Ng'oeni miembe iyo mufanye science research kupata ukweli dhambi mnayomsingizia Allah anawaona....

  • @amilymawazo8929
    @amilymawazo89295 жыл бұрын

    jamani uyu mtangazaji ni mzur kwakwel ningempata yan ningekua nashinda na boksa tuuu ......duuu we mzur mamiii

  • @hassanturky7511
    @hassanturky75115 жыл бұрын

    Mie binafsi natamani nipande miti ya matunda ktk pembezoni na Kati Kati ya barabara kwenye mabustani nioteshe miti ya matunda znz nzima ili mwananchi asikae na njaa hata mda mchache. Pengine hio ndo ilikuwa fikra ya huyo Alie otesha maembe.

  • @mtumwasamaki6911

    @mtumwasamaki6911

    5 жыл бұрын

    bado atakua na hatia ya kuwafanya wenzie watumwa Allah aalam na M/Mungu amsemehe

  • @user-vj6qs8sv8i
    @user-vj6qs8sv8i6 ай бұрын

    Jambo zuri mnasema wamefanya wazungu Na kila baya wamefanya waarabu wacheni chuki zenu kwa kuzulia watu wema Mtajibu hoja siku ya siku

  • @abuuzahbeka7062
    @abuuzahbeka70625 жыл бұрын

    Wallah mtangazaji maashallah cjui ntakupata vp... Plzzz

  • @immtm4930

    @immtm4930

    5 жыл бұрын

    nishamuwahi hahahaha

  • @abuuzahbeka7062

    @abuuzahbeka7062

    5 жыл бұрын

    Acha how mtu wangu

  • @bakarisakawa6979
    @bakarisakawa69792 жыл бұрын

    Kungefufuliwa mti mmoja tukahakiki

  • @seanmurray6516
    @seanmurray65162 жыл бұрын

    Vipofu wakiwaongoza vipofu wenzao katika kupandikiza chuki ya historia ya uongo. Haingii akilini kabisa Kwa mwenye akili hata ya popo nundu.

  • @faridazahoro6466
    @faridazahoro64665 жыл бұрын

    Oningi, yaani onyo

  • @bakariabdalla237
    @bakariabdalla2373 жыл бұрын

    Hitoria mzuri sana lkn mletaji Wetu mm umenivutia sana

  • @abunufilaabunufila2152
    @abunufilaabunufila21522 жыл бұрын

    Wewe mzee acha uongo mbwa we

  • @omaryadamn4560
    @omaryadamn45605 жыл бұрын

    Mtangazaji sadia rashid uko bomba sana una mvuto tabasam Kali dah

  • @aminamohd604
    @aminamohd6045 жыл бұрын

    Khaaaaa

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib2235 жыл бұрын

    Hiyo history ni muendelezo wa uongo na upotoshaji kuhusu historia ya Zanzibar

  • @dhiabmohammed4238

    @dhiabmohammed4238

    5 жыл бұрын

    Kabisa hata haielekei kwa kutaka nini

  • @fahimchhotu5989

    @fahimchhotu5989

    5 жыл бұрын

    Toa yako

  • @w4058

    @w4058

    2 жыл бұрын

    Waongo wakubwa nyote mnatakiwa mkatwe vichwa kwa uzushi wenu Subhanallah mnasingizia maiti uwongo mtakwendwa kujibu kwenye mahakama ya Allah

  • @yussufally8668
    @yussufally86684 жыл бұрын

    Dah namic sn home 😭

  • @aishakhamis2996
    @aishakhamis29965 жыл бұрын

    mhhhh hatar...

  • @fawzyoalbahry4420

    @fawzyoalbahry4420

    5 жыл бұрын

    Hakuna ukoloni ulokata watu vichwa hasa huo wakati wa kiislam

  • @fawzyoalbahry4420

    @fawzyoalbahry4420

    5 жыл бұрын

    +Fawzyo Albahry muungo we nyamaza

  • @hakimhakim9631
    @hakimhakim9631 Жыл бұрын

    Bi haula alikufa bikra, historia potofu. Miti ilipandwa na. Mturuki. Hakuna vichwa Apo msitudanganye

  • @kuchimillionaire6683
    @kuchimillionaire66835 жыл бұрын

    huyo dada anayehoji mzuri kweli.

  • @hemedmsella6496
    @hemedmsella64965 жыл бұрын

    laahaulaa jamani miembe ime jengwa na wazungu...haya hebu waite wajenge minazi hapa tule dafu

  • @w4058
    @w40582 жыл бұрын

    Mnafiki mmoja wewewewe Hasbunallah Waniimal Wakiil muwongo looo

  • @amnemkubwa7353
    @amnemkubwa73535 жыл бұрын

    Kuna siku nilivyopita bungi nmeihisabu imefika 800 na still haikwisha😄🏃‍♀️..

  • @aishakhamis2996

    @aishakhamis2996

    5 жыл бұрын

    Amne Mkubwa mhhh kweli?

  • @amnemkubwa7353

    @amnemkubwa7353

    5 жыл бұрын

    @@aishakhamis2996 offcourse yes 🤣😂😂😂🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @aishakhamis2996

    @aishakhamis2996

    5 жыл бұрын

    Amne Mkubwa wow, congratulation" mtoto mzur, nimekupenda uko na adabu na heshima pia" mm nipo kenya but ni mzanzibar kwetu kwahani kwa ali msha andika number yako ili nikija nikuletee zawadi❤❤❤ love you so much.....

  • @aishakhamis2996

    @aishakhamis2996

    5 жыл бұрын

    Amne Mkubwa na asante kwa kunijibu vizur....

  • @amnemkubwa7353

    @amnemkubwa7353

    5 жыл бұрын

    @@aishakhamis2996 Thnks babee❤🔥🙌.. lkn umu huwez kuandk namba kla mutu ikaona

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu77545 жыл бұрын

    maoni yangu mtandao wa airtel kiukweli huu mtandao unayumba sana kutoa uduma ya intaneti na vocha wanauza basi wabadili MB kua dakika kulilo kutufanya watanzania niwashamba wa uduma hii waziri yupo wanini

  • @mohdmohd2550
    @mohdmohd2550 Жыл бұрын

    Uongo mtupu tena uongo wa hatari historia za kweli mnazipuiza baadae mnatangza historia za uongo za kiadui na chuki

  • @jarsjam8894
    @jarsjam88945 жыл бұрын

    Huyo mwanamme Sayuri Yake km mwanamme kazika wanaume wangapi

  • @user-cu8xc5yl9x
    @user-cu8xc5yl9x9 ай бұрын

    Yaani zuwenii mambo yanaingia akilini mwanamke gani huyoo anoweza kutembea na wanaume wengi kiasi ichoo 😂😂 yaani mijitu mingine hata usema uwongoo haijui mbwaa nyiee

  • @abdullahamed9826
    @abdullahamed98262 жыл бұрын

    Kumsingizia mtu uongo ni kujidhulumu nafsi yako na utamlipa kwa dhulma hio Yeye ameshatangulia na nyinyi mtafuata Basi endeleeni kukaririshwa oungo na kuutangaza

  • @bintf4345
    @bintf43458 ай бұрын

    Kama kweli dig up the mango trees its not rocket science

  • @dihombatv1480
    @dihombatv14805 жыл бұрын

    Hey sadiya umeolewa ?? Maan nimependezw naw

  • @thanisaid5096
    @thanisaid50962 жыл бұрын

    HAPA KUNA HISTORY ILIOPIGISHWA NA UONGO

  • @idrisasalum8013
    @idrisasalum80135 жыл бұрын

    Acheni uongoo

  • @rayasuleiman7869

    @rayasuleiman7869

    4 жыл бұрын

    Hawa waongo kabisa Kisha na hawa ktv wameishiwa

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi51043 жыл бұрын

    Muache unafiki mnabeba juukumu someni historiya ya ukweli

  • @haidarsalum9228
    @haidarsalum9228 Жыл бұрын

    Mbn mm nlioiskia ni tofauti, hemu fatilie ktv online kwa ghassan thn utaion mtuletee kit kipya.. au muoanishe n hii..

  • @badikipini6846
    @badikipini68465 жыл бұрын

    Pishi ni aina ya mkebe hua hutumiwa kama kipimo cha ratili au kilo zamani Pishi moja ni sawa na kilo moja au mbili kwa wakati huu... Waweza ni follow Instagram Capitano Anguria, Facebook Badi Kipini mobile number +97470905724,+254729919398

  • @smilevideocreatorsznz
    @smilevideocreatorsznz Жыл бұрын

    Acheni uongo nyinyi

  • @supumoto6819
    @supumoto68195 жыл бұрын

    sidhani kama alimshinda mtangazaji Kwa urembo

  • @nureyna629

    @nureyna629

    5 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @mwanaeidizenji8264

    @mwanaeidizenji8264

    5 жыл бұрын

    Heeee

  • @mwanaeidizenji8264

    @mwanaeidizenji8264

    5 жыл бұрын

    Masakhul nur uko wapi wewe

  • @mwanaeidizenji8264

    @mwanaeidizenji8264

    5 жыл бұрын

    Michenzani kule kwa ali dai au

  • @mwanaeidizenji8264

    @mwanaeidizenji8264

    5 жыл бұрын

    Mie niko Al suweiq rusha namba zako nitie kwenye wasap

  • @ahlamverynice.3605
    @ahlamverynice.36055 жыл бұрын

    Pishi ya mbao isojaa ndio ipi anae jua atueleweshe jamani 🤔

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    5 жыл бұрын

    Ahlam very nice. ukhty njoo nitakuelewesha❤️

  • @ilyaaswambi1622
    @ilyaaswambi16222 жыл бұрын

    Mengi ya historia zetu zinatiwa chumvi, uongo na chuki, mfano hiyo miembe imepandwa na mtaalam kutoka Uturuki hapana kichwa chochote hapo cha mtu alieuliwa, na sio mapenzi bali ni zinaa, mapenzi moyoni, tusitupetupe kiswahili

  • @filismpangala8142
    @filismpangala81425 жыл бұрын

    ni miti tu imepandwa na mtu msipotoshe jamii

  • @abdulrazakamohdamour850

    @abdulrazakamohdamour850

    5 жыл бұрын

    Sawa ni vyema ww ukatuelewesha basi

  • @alihamad6046

    @alihamad6046

    5 жыл бұрын

    Mm namwangalia huyu mwandish mashallah historia naijua Babu kajitahid kw kumalizia bikhalee alifarik ujerumani

  • @michakazojet1146

    @michakazojet1146

    5 жыл бұрын

    TUELEZE HUYO MTU ALOPANDA MAANA NIMEISHI ZANZIBAR MPKA NAKARIBIA UZEEE MIAKA40 SASA HUY MTU NIMEMJUA KUPIIA HAPA SSA TUAMBIE NA HUYO WA KWAKO

  • @sideblack1923

    @sideblack1923

    5 жыл бұрын

    filis mpangala hey?

  • @omarynassor6313

    @omarynassor6313

    5 жыл бұрын

    Uo

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender27475 жыл бұрын

    hamuoni ata hayaa

  • @suleimansaid7486
    @suleimansaid74865 жыл бұрын

    Hizo ni hadithi za alfu lela ulela. Ni uzushi

  • @mwanaidiramadhan3919

    @mwanaidiramadhan3919

    5 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀

  • @zendopkop2310
    @zendopkop23103 жыл бұрын

    Pole mtangazaji ukiambiwa na wewe jambie sasa bi Knole alitembea na wanaume wangapi na hao wanaume walikua wanajua wanakwenda kufa na wanakwenda haya na kule beitt al jaib hila nguzo kumezikwa mtu

  • @alisaalis9218
    @alisaalis92185 жыл бұрын

    Hii story n kama ya ukweli kabisa,Ju hata kenya mombasa ilikuwa ikisemekana miembe n majini,Ama eti huezi pita usiku miembeni so yaeza kuwa ukweli

  • @captainabdul4906
    @captainabdul49064 жыл бұрын

    Miembe B.khole ameikuta kwa sababu yeye amerithi shamba kutoka kwa baba yake.

  • @thanisaid5096
    @thanisaid50962 жыл бұрын

    KWA KIPINDI HIKI HATA HIVYO VICHWA VINGEONEKANA

  • @donpablo2651
    @donpablo26515 жыл бұрын

    I wish bi khole angelikua hai yaani dail jioni naenda bungi kula embe tu

  • @sebastiansulubesto3133
    @sebastiansulubesto31335 жыл бұрын

    kabla ya kujadili story yenyewe PISHI MAANA YAKE NN? maana naona hadI kisura mtangazaji alikuwa anacheka kusikia neno PISHI

  • @robinsonmaleo37

    @robinsonmaleo37

    5 жыл бұрын

    Ni kitu kilichokaa kama kikombe hivi, kina mshikilio mrefu na hutengenezwa kwa bati. Ni vigumu sana kukijua kama umezaliwa 2000

  • @abdallahhosen9001

    @abdallahhosen9001

    5 жыл бұрын

    Eti

  • @mwakahassan8742
    @mwakahassan87425 жыл бұрын

    Acheni uwongo nyot ata ayo unayo sema huna uhakika nayo kwenda zenu uko

  • @user-cu8xc5yl9x
    @user-cu8xc5yl9x9 ай бұрын

    Maluuuni mmojaa weee ! Hata aibuu huoniii kuzulia wanawake wemaa uchafu wa zinaaa je angelikuwa ni mamaako ungejiskiaje maneno hayoo mbwaa mweusi weee ! Zote ni chukii izooo kutukana waarabu lakini malizote za warabu mumezipaniaa mbwaa nyie

  • @abubakarabdulrazak5348
    @abubakarabdulrazak53485 жыл бұрын

    Hizo habari zote ni uongo

  • @suleimanmazrui6942
    @suleimanmazrui69425 жыл бұрын

    Ing'olewe Miembe ni mikongwe hatarishi kwa jamii hasa kipindi cha Mvua na upepo husababisha ajali pia hukatika matawi Mimi binafsi nishashughudia ajali.

  • @mohamedjuma423
    @mohamedjuma4235 жыл бұрын

    Mtangazaji mrembo nae

  • @destiny4life439
    @destiny4life4395 жыл бұрын

    uongo ww miembe mingi hiyo kuua anaweza lakin kwa lika muembe kichwa waongo sana

  • @zainabkhatib6509

    @zainabkhatib6509

    5 жыл бұрын

    Hadithi za paukwa pakawa huu ni uwongo mtupu

  • @mbarakhassan9820

    @mbarakhassan9820

    5 жыл бұрын

    Nyumbani in bungi Ila mbona naskia miembe walipanda wareno

  • @destiny4life439

    @destiny4life439

    5 жыл бұрын

    +mbarak hassan hahaaha mm kwetu mtende cjui kwa hilo

Келесі