Huyu mzee hatosahau alichofanyiwa na Rais Magufuli mbele za watu

Ойын-сауық

Пікірлер: 110

  • @aminaabdi8078
    @aminaabdi80785 жыл бұрын

    Ata ukistaafu me nataman maisha yako yote ungeiongoza Tanzania bcoz c dhani kama atatokea kama wew Raisi magufuli mungu akubariki jaman muaminifu mwenye kupenda maendeleo...

  • @AliM-di8dz
    @AliM-di8dz5 жыл бұрын

    Love you so much magufuli jembe tunajivunia asnt kwa uzalendo.

  • @marcondokeji8982
    @marcondokeji89825 жыл бұрын

    Magufuli nakupenda bure mzee

  • @farajimtoi9238
    @farajimtoi92385 жыл бұрын

    Hongera sana Rais wetu JPM, ningependa kusikia kuwa kuna mpango wa kujengwa kiwanja kikubwa cha ndege Dodoma kama kile cha DIA na JNIA. Hii itasaidia kukuza utalii kwani watalii wakitua nchini watakua wako karibu kwenda kwenye kila kivutio nchini kuliko hivi sasa wanakua wako karibu na baadhi ya vivutio na vingine vinakua mbali.

  • @mcshukuru_mrb8088

    @mcshukuru_mrb8088

    5 жыл бұрын

    mbona upo na eneo limeisha patikana watu wamehamishwa tayari kule Dodoma eneo lilotengwa ni kubwa mnoo na utajengwa uwanja wa kisasa mno

  • @amneymtullah148
    @amneymtullah1485 жыл бұрын

    Dezidel sinahaja tena ya Ku koment nagonga like tuuu kwako bas

  • @thuvakonde2584
    @thuvakonde25845 жыл бұрын

    Mzee mapunda mwaka umemuishia vzr

  • @antonymathias8219
    @antonymathias82195 жыл бұрын

    Mungu ambariki sana huyo baba

  • @eliuskivuyo6521
    @eliuskivuyo65215 жыл бұрын

    hongera sana rais wangu

  • @angelusilljujalijuja9852
    @angelusilljujalijuja98525 жыл бұрын

    HONGERA MH JPM NA MZALENDO MAPUNDA TUSONGE MBELE

  • @nicitegetseetienne6921
    @nicitegetseetienne69213 күн бұрын

    Emungu tumehomba angekuwepo burundi ingekua👍🇹🇿🇧🇮😂

  • @frankmpinga3295
    @frankmpinga32955 жыл бұрын

    Mungu akulinde my president

  • @josephmsanga6751
    @josephmsanga67515 жыл бұрын

    Hayupo Tena Atakaye kuwa JPM Tanzania! Nashauri tu! Maisha yake Amalizie kwenye Urais Tanzania.Asante Mungu!

  • @salmadalaquimane5303

    @salmadalaquimane5303

    5 жыл бұрын

    Wallah nakuunga mkono maana huyu akitoka watakuja yale kama ya mwanzo

  • @feiz3180

    @feiz3180

    5 жыл бұрын

    Musilolijua litawasumbua.

  • @drgeofreymdede3952
    @drgeofreymdede39525 жыл бұрын

    Hongera sana rais Magufuli am proud of you kwa kweli. Hongera mzee Mapunda kwa uzalendo. Lakini nimpongeze mheshimiwa rais kwa kutambua wazalendo wa nchi hii. Sis vijana wa leo tuna hitaji kujifunza sana kwenye uzalendo huu. Sasa hivi taifa uzalendo umepungua sana. Asante rais Magufuli

  • @jaypollyjackson3520
    @jaypollyjackson35205 жыл бұрын

    Asanti sana wanasemaga fanya vizuli ujiendeye baraka zako utazikuta mbele asantu sana

  • @abdallahahmed8728

    @abdallahahmed8728

    5 жыл бұрын

    mwenyezimungu yupo n.a. watu wenye imani ya kweli.

  • @hamismabula5813
    @hamismabula58135 жыл бұрын

    Hongera sana Mzee Mapunda, hongera Rais JPM kwa kumkumbuka huyo mzee. Mungu awabariki!

  • @dezidellaurian4533
    @dezidellaurian45335 жыл бұрын

    Tumuunge mkono rais wetu, tuungane kuwakabili wenye nguvu.

  • @feiz3180

    @feiz3180

    5 жыл бұрын

    Majuto mjukuuu

  • @samwellwiza5339
    @samwellwiza53395 жыл бұрын

    Kuwakumbuka watu ni jambo muhimu sana

  • @veronicascottmollel7897

    @veronicascottmollel7897

    5 жыл бұрын

    Kweli kabis tuwe na shukrani. Hongera JPM

  • @SaleheRashidi
    @SaleheRashidiАй бұрын

    Ulisema tutakukumbuka uku sio kukumbuka tu bali tunajuta

  • @lucassabida5471
    @lucassabida54715 жыл бұрын

    Story ya huyó mzee niliwahi kuisikia siku nyingi mpaka ikataka kunitoa chozi

  • @mohamedkhamis1241

    @mohamedkhamis1241

    5 жыл бұрын

    Lucas Sabida km unayo n2mie 0776597812

  • @Kathren-ed7xb
    @Kathren-ed7xb5 жыл бұрын

    Mungu akubariki rais wetu

  • @kingofkings7525
    @kingofkings75255 жыл бұрын

    Wema akiba, Wema hauhozi

  • @samsonmagesa3959
    @samsonmagesa39595 жыл бұрын

    Ongera sana Rais huyo Mzee Mapunda Alikuwa Amesaulika kabisa Bila wewe hata Watanzania wasingemjua

  • @lulushambazuri4861
    @lulushambazuri48615 жыл бұрын

    Nakupenda magufuli MUNGUBABA akulinde milele

  • @lasteckmmary9741
    @lasteckmmary97415 жыл бұрын

    nikitu gani kitakacho nichenga na ccm, zaidi ya kifoo

  • @kingofkings7525
    @kingofkings75255 жыл бұрын

    Magu we Bora sana.

  • @suleimanmazrui6942

    @suleimanmazrui6942

    5 жыл бұрын

    Mzee Mapunda hongera Sanaa kwa uzalendo.

  • @suleimanmazrui6942

    @suleimanmazrui6942

    5 жыл бұрын

    Mapunda oyee.

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5siАй бұрын

    Hongera Mapunda❤❤❤❤❤

  • @hamadyjumaaa8810
    @hamadyjumaaa88105 жыл бұрын

    WWE unao mkashifu rais ni fara tu tena mpiga dili ww

  • @salmadalaquimane5303

    @salmadalaquimane5303

    5 жыл бұрын

    Tena ni senge anafokonyolewa rais afanye nn mlidhe Kila k2 kupinga2

  • @frankkobelo787
    @frankkobelo7875 жыл бұрын

    Ongera baba

  • @charlesfrancis9438
    @charlesfrancis94385 жыл бұрын

    Hongera sana raisi Magufuli kwa juhudi zako katika kuchochea maendeleo ya Tanzania na Mwenyezi MUNGU akujalie afya njema ili uweze kutimiza majukumu yako vizuri.

  • @user-rl3ou5rg4p
    @user-rl3ou5rg4p19 күн бұрын

    2024

  • @anodanorbert1803
    @anodanorbert18035 жыл бұрын

    Mzee wa Tanzanite, mzee madaraja Eng mfugale, mzee wa kutorosha ndege captain Mapunda, asante rais

  • @mohamadngwale4147
    @mohamadngwale41475 жыл бұрын

    Wakati mwingine... Moyo unampendaga tu.. Rais... Magu..... Natamani.. Siku moja.. Nimuone ata live sija wahi kumuona

  • @amneymtullah148

    @amneymtullah148

    5 жыл бұрын

    Mohamad Ngwale maskini pole

  • @innocentthomas2325
    @innocentthomas23255 жыл бұрын

    baba kweri unapambana kweri nami naamini

  • @ajabamosi9037

    @ajabamosi9037

    5 жыл бұрын

    Jaman kama huyu rais akishindwa kufika tunapotarajia naomba wazalendo wote tusimlaumu katu nia yake nadhani so mbaya bali ni njema,

  • @moseskayan3705
    @moseskayan37055 жыл бұрын

    Sijamchagua magu lakini nimetamani sasa aongose miaka 20

  • @athumanimakorongo254
    @athumanimakorongo2545 жыл бұрын

    mh rais amefanya jambo la msingi na lakuigwa

  • @antonymathias8219
    @antonymathias82195 жыл бұрын

    Love you so much baba yetu mpendwa

  • @mathiasmb4967
    @mathiasmb49675 жыл бұрын

    Nini ni mkongomani, walakini na mupenda huyu raisi saaana,Mungu akubariki Tanzania kwa kupata Raisi huyu.

  • @jameshaule6862
    @jameshaule68625 жыл бұрын

    Hii nimeipenda sana safi sana Raisi wetu Makufuli

  • @josephmalisa3432
    @josephmalisa34325 жыл бұрын

    Hongera sana kuwaenzi watu wa chini na wazalendo lakini hizi pesa anazogawa si za wananchi na hazitoi mfukoni kwake?

  • @jeninunu9177
    @jeninunu91775 жыл бұрын

    Vlva JPM Mungu akulinde I like you

  • @peterrobert5688
    @peterrobert56885 жыл бұрын

    Mtu anayetumikia watu mambo mema kwa moyo wake na yuko tayari kufa kwa ajiri yao, anaufunuo wa Mungu. Watu leo imeandikwa siku za mwisho watapenda pesa, hawatawapenda wakwa. Rais yuko sawa ametumwa mtu aliyetumwa hudharauliwa au watu hawaamini, maoni yangu watu huwa wanamwamini MTU anye wajali kwenye shida na maisha yao hata kama ni mkali kwa uzembe wao.

  • @antonymathias8219
    @antonymathias82195 жыл бұрын

    Somuch magufuli wewe ni baba wawote

  • @Vuvuzelaz1
    @Vuvuzelaz15 жыл бұрын

    I love Mapunda effects nimempenda huyu baba natamani nimuone

  • @flightclubtanzania1638

    @flightclubtanzania1638

    5 жыл бұрын

    ukimuona utampa nini?

  • @jacobmagori9790
    @jacobmagori97905 жыл бұрын

    That's my president💪

  • @piuspanga864
    @piuspanga864 Жыл бұрын

    Alikuwa hana nauli

  • @edgerperes5950
    @edgerperes59505 жыл бұрын

    Jamaa kafanya maendeleo mengi tz kwa nd a mfupi miaka 5 haijaisha kakamilisha mambo kibao

  • @feiz3180

    @feiz3180

    5 жыл бұрын

    Njaa na umasikini umezidi.

  • @hassankurwa464
    @hassankurwa464 Жыл бұрын

    Wana propaganda hivi hawaoni aibu? JPM anamkaribisha balozi huku mijitu inasema hakuwa na mahusiano na mataifa😢😢

  • @linusrohomoja8856
    @linusrohomoja88565 жыл бұрын

    eti akapande za jeshi ha ha ha ha ha ha respect my president

  • @singidaboy1586
    @singidaboy15865 жыл бұрын

    Thank mapunda

  • @muarabuemanueluongozihauwe6238
    @muarabuemanueluongozihauwe62385 жыл бұрын

    Tanzania ilipata rais kwerikweri tanzania inabadirika tumsapoti .nilikua sijaona maajabu haya.

  • @munfatchichi2874
    @munfatchichi28745 жыл бұрын

    Nice rais

  • @happykipeya8516
    @happykipeya85165 жыл бұрын

    Mzee magu shikamoo 💪

  • @issavenanc1133
    @issavenanc11335 жыл бұрын

    tukiwa kama mapunda na Magufuli, tutafika mbali mapema ajabu

  • @aminajuma6924
    @aminajuma69245 жыл бұрын

    Mapunda umekula sikukuu vizuri

  • @peterjohn1969
    @peterjohn19695 жыл бұрын

    anastaili yote uliyo mfanyia japomdamlefu uamungu asau

  • @godwinmariki2812
    @godwinmariki28125 жыл бұрын

    TUMUUNGE MKONO RAIS HUYU WA WATANZANIA

  • @loyaltey6407
    @loyaltey64075 жыл бұрын

    Hii sanatuu

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
    @yahyamajidyahyahilalal-har87625 жыл бұрын

    Uzalendo kwanza

  • @gracetitus9963
    @gracetitus99635 жыл бұрын

    CAPTAIN MAPUNDA SIYE ALYEITORISHA NDEGE KUTOKA KENYA. WAZIRI AMEMPOTOSHA RAIS. ALIYEITOROSHA NDEGE NI CAPT. MAKINDA. TUSIIBADILISHE HISTORIA. MAPUNDA RUDISHA PESA NA USEME UKWELI.

  • @edmondthomas3321

    @edmondthomas3321

    5 жыл бұрын

    Issue ni "uzalendo", na issue ni kuenzi kitendo kilichofanywa kwa niaba ya nchi! Kama kuna sintofahamu ya nani hasa alifanya kitendo hiki cha kishujaa, ni jambo rahisi tu! Weka wazi kwa kumwandikia barua rais... Ninaamini hoja yako itamfikia! Kuanza kutoa amri huku kwenye youtube, ni kujichelewesha!

  • @tonyfredy8975
    @tonyfredy89755 жыл бұрын

    Hongera rais,but hakuna uzalendo km kuthamini,utu wa mtu mmoja,akina tundulisu wako hospitality,tundulisu in zaidi ya ndege,akina aquilina wamekufa kwa ajili ya uzalendo wa mkurugenzi mmoja ambae alikataa kutoa,vyeti na kusababisha kifo,ninani anaweza kumuumba aquilina,ila ndege inatengenezwa.kutekwa watu,na uovu km huo unapoteza uzalendo.

  • @neemannko2040

    @neemannko2040

    5 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @iddyamri2629

    @iddyamri2629

    5 жыл бұрын

    Tony Fredy we mpinzan! tundu lisu ni nan

  • @Influvesselstz

    @Influvesselstz

    5 жыл бұрын

    hakuna kitu kisicho na dosari... ata ingekuwaje

  • @feiz3180
    @feiz31805 жыл бұрын

    Hakuna uzalendo kutoka CCM. Munauwa upinzani na kusambaratisha upinzani halafu eti uzalendo. Wewe binafsi ni mtu wa chuki na kudhalilisha wafanya biashara etc. halafu unaongelea uzalendo. Ndege sio kipimo cha uzalendo.

  • @edmondthomas3321

    @edmondthomas3321

    5 жыл бұрын

    Feiz... be serious bhana... nani anaua upinzani? Kwanza sidhani jina "upinzani" ni muafaka! Ningependa kuwaita vyama "kinzani" ikimaanisha vyenye itikadi tofauti na kilichopo madarakani! Tatizo HAKUNA hata chama kimoja kinachoweza kujitanabaisha kama chama "mbadala"! Huwa ninamheshimu mhe. Zitto kwa jinsi anavyotendea haki baadhi ya hoja anazojaribu kuzijenga... Laiti angejikita kwenye kutengeneza mfumo wa chama kinachofikiria na kujenga hoja kama anavyofanya yeye... tatizo mkuu wetu huyu kama vile yupo busy kujijengea kiti cha enzi, kuliko kujenga chama chenye nguvu! Hivi vikundi vya kupinga kila kitu na vyenye kujitangazia kazi ya 1./ Kuhakikisha waTanzania eti wanachukia serikali iliyopo madarakani, na 2./ Kuhakikisha nchi haitawaliki.... Hivyo navyo unaviita vyama mbadala? ...labda jina "upinzani" unaviathiri.

  • @feiz3180

    @feiz3180

    5 жыл бұрын

    @@edmondthomas3321 kiswahili lugha nyepesi sana. KINZANI maaana yake nini???.. Chama hiki ni chama cha kiimla. Cha ambacho kinafuata sera za kikomunisti ya uchina. Chama kisicho wafiki jitihada za watu binafsi wanaoleta maendeleo kwa wenziwao. Mimi kama mzanzibari siwezi kuthamini chama na viongozi wake kwa udhalalishaji waliotufanyia .. Zanzibar hamna CCM. Walioko ni wasaka tonge na KURA 2015 CCM walipigwa kama mbwa koko. Hata Sefu Ali Iddi alikosa jimbo ndio Kikwete akaleta jeshi na Magufuli akatimiza uchafuzi uliotokea kwetu. Unafikiri sisi tunataka muungano???. Sisi tumechoka kutawaliwa ,,,,,,

  • @edmondthomas3321

    @edmondthomas3321

    5 жыл бұрын

    @@feiz3180 ....Duh.... Basi sawa!

  • @pastorm.e.mwakalonge7020
    @pastorm.e.mwakalonge70205 жыл бұрын

    duh million kumi ok sawa tunaendelea kubana matuzi na tunauunga mkono

  • @petromasolwa6666

    @petromasolwa6666

    5 жыл бұрын

    Hongera Mr President

  • @salmadalaquimane5303

    @salmadalaquimane5303

    5 жыл бұрын

    Ongera mjomba magu

  • @man.lule.585

    @man.lule.585

    5 жыл бұрын

    Rais ana posho nyingi za kuweza kugawa hadi milioni 100. Mbona Lowasa alitoa bilioni 3. ukawa amezitoaga wapi?

  • @davidkaguru9511
    @davidkaguru95115 жыл бұрын

    mshahara wa raisi ni milioni tisa.kwa mwezi huu tu keshatoa milioni 40 hizi pesa anazipata wapi?

  • @yonamahigu4655

    @yonamahigu4655

    5 жыл бұрын

    Ufikri wako umeishia hapo tu kwan miez yote huwa anatoa hizo pesa na unahisi rais hana mfuko ofic yake?

  • @salmadalaquimane5303

    @salmadalaquimane5303

    5 жыл бұрын

    Fala wwe

  • @eliyakapaya5858

    @eliyakapaya5858

    5 жыл бұрын

    Kwahiyo unatakaje

  • @mariammpapa9017

    @mariammpapa9017

    5 жыл бұрын

    jalb matumiz mkuu mbona unagawa vijicent hovyohovyo

  • @mainepraygod3142

    @mainepraygod3142

    5 жыл бұрын

    Rais ana mandate na pesa yote ya serikali...so usiulize sana kaitoa wapi

  • @ayubnsajigwa1037
    @ayubnsajigwa10375 жыл бұрын

    Alichofanya sio uzalendo ni uharifu kama uharifu mwingine shirika likivunjika zina taratibu zake za kugawana mali sio kufanya kihuni kama Alichofanya huyu Mzee alivunja sheria kama wengine wanaochukua mali za umma

  • @edmondthomas3321

    @edmondthomas3321

    5 жыл бұрын

    Ayub Nsajigwa inaelekea HUJUI kilichotokea wakati EAC inavunjika! Unajua kikichotokea? Unajua mchezo ulivyochezwa? Ni heri utafute kujua historia ya kilichotokea, kabla ya kuja na theories hapa! Si hekima kujaribu kutumia nadharia (theory) kwenye mazingira ambayo uhalisia HAURUHUSU utekelezaji wa nadharia hiyo! Alichofanya Captain Mapunda kwenye mazingira yale, kilikuwa kitendo cha kishujaa!

  • @chescomnyangali8601

    @chescomnyangali8601

    5 жыл бұрын

    @@edmondthomas3321 NI KWELI KABISA HUYU JAMAA HAJUI TULICHOFANYIWA KIPINDI HICHO

  • @salmadalaquimane5303

    @salmadalaquimane5303

    5 жыл бұрын

    Una lopoka 2 ata ujui unacho kiongea fala wwe

  • @mrgwahula5026

    @mrgwahula5026

    5 жыл бұрын

    Ndege zilizobaki ziligawanywaje?

  • @makameabdalla8928

    @makameabdalla8928

    5 жыл бұрын

    Hasidi huwa hana sababu. Kuna hasidi mmoja alikuwa na jirani yake alikuwa hampendi. Yule hasidi akapata bahati ya kutakiwa kuchagua lolote atakalopenda afanye ila kwa sharti kwamba kwa kile atakachofanyiwa jirani yake atapatiwa mara mbili zaidi mfano hasidi akitaka apewe shilingi milioni 20 yule hasidi apewe milioni 40. Hasidi alikubali hilo sharti. Akaambiwa atamke kile anachopenda kufanyiwa hasidi yule akasema atolewe jicho moja akijuwa kuwa jirani yake atatolewa macho mawili. Inaonekana miongoni mwetu watanzania tumo wenye moyo wa huyu hasidi. Mazuri yote haya anayoyasimamia mpendwa Rais Magufuli wapo hawaridhishwi nayo na kuyatafutia sababu ya kuyatia kasoro eti anatumia pesa atakavyo bila kupata kibali cha bunge kama ni chombo cha kuidhinisha matumizi yote ya serikali. Wakulima wa korosho wanaotaka kupunjwa na wafanyabiashara wasiojali nguvu za wakulima na Rais alipoliamuru JWTZ kuratibu ununuzi wanasiasa wamefyatuka eti anatumia jeshi vibaya. Kumbe kisa ni kuzibiwa mirija yao ya kuwanyonya wakulima. Magufuli amebana watendaji wasio waadilifu na waaminifu waliokuwa wakila mamilioni ya shilingi kwa wafanyakazi hewa. Wamebanwa imekuwa noma. Wafanyakazi waliokuwa wakipata stahiki wasizostahili kwa vyeti bandia wamefanyiwa uhakiki imekuwa nongwa. Magufuli amerejesha kwa kiasi kikubwa nidhamu katika utumishi wa Umma akipiga vita rushwa ubadhirifu wizi na uzembe tunamnunia. Hivi sisi watanzania tukoje hasa tunataka nini. Awamu zilizopita wapinzani waliyapigia kelele sana mambo hayo. Leo yanatetekelezwa kwa vitendo wanakuja juu eti CCM imekopi na kuiba sera zao. Nilidhani watampongeza badala ya kumlaumu na kumbughudhi. Upinzani huu wa kinafiki hautatufikisha mahali pazuri na unaweza kuviza na kudumaza maendeleo yetu. Napenda sana upinzani lkn wenye kuleta tija. Magufuli ni binaadamu na si malaika wala Mtume na sifa ya ubinadamu hakuna mkamilifu. Sikatai ana mapungufu yake ya ki ubinadamu ambayo kila mmoja wetu anayo. Lakini katika suala la uongozi wa nchi tangu ameingia madarakani miaka mitatu sasa yuko vizuri. Tuungane kumuunga mkono na kwa pale anapokosea tumshauri na kukosoa kwa hekima busara na si kwa lugha safihi na matusi. Tukumbuke kuwa ufalme wa duniani anayetoa ni mfalme wa viumbe vyote yaani Mwenyezi Mungu yeye akitaka uwe utakuwa na asipotaka huwi utamaliza waganga na waganguzi na kuchanjwa chale za kila aina hadi za matakoni lkn katu huwi madhali Allah hajataka uwe. Hongera Rais Magufuli kwa yote mazuri uyafanyayo kwetu watanzania ukikumbuka Zanzibar ni sehemu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mamlaka ulionao ubuni na ufikirie miradi mikubwa itakayoiwezesha Zbar nayo kunufaika na Muungano huu ambao wapinzani wanatumia changamoto zilizopo kutaka kuuvunja Muungano huu kama unavyowaona na kuwasikia viongozi walionufaika na Muungano huu lkn leo miaka 55 eti hakuna lolote lillofanyika maneno hayo yanakuja leo wakiwa hawana madaraka serikalini. Mungu tuepushe na majanga na maafa pamoja na shari za za mahasidi mafatanii na waovu wanaoitazamaTanzania yetu kwa jicho la husuda. Mungu Ibariki Tanzania na watu wake

  • @emmanuelmgana6906
    @emmanuelmgana69065 жыл бұрын

    Hongera sana mkuu wangu na yupo shujaa kama huyo wakati wa vita vya uganda

  • @domitilazakaria7171
    @domitilazakaria71715 жыл бұрын

    Nampenda sana rais wangu Jpm

  • @johnrimoy370
    @johnrimoy3705 жыл бұрын

    angekuwa mwenyekiti wa board ya wakuregenzi wa NEW ATCL

Келесі