HANS POPE AMTOLEA UVIVU MANARA, AMEKATAA MSHAHARA WA MILIONI 4, KAPEWA MILIONI 10 NA GSM
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC Zacharia Hans Pope amemua kujitokeza na kujibu madai ya Msemaji wa Simba SC Haji Manara juu ya kulipwa Laki 7 huku akiwa anafanya kazi Simba SC bila ya kuwa na mkataba kwa muda mrefu.
Пікірлер: 97
Manara welcome GSM and welcom YANGA AFRICAN
Hivi huyu ndiye Captain Zakaria Hanspope aliyetaka kumwua Mwalimu Nyerere?
Haya sasa uliyataka hayo yote manara bora ungekaa na viongoz wenzio kuliko kuweka public tayar ugali uko hatian, Mungu akusimamie usamehewe lkn ujifunze kuwa na akiba ya maneno.
@ambrosmtupili4668
3 жыл бұрын
Tunamlipa bei gani, kama club..!?
@emmanueljoseph2576
3 жыл бұрын
Kabisa ndg
@mudighurayra
3 жыл бұрын
Manara sio mgonjwa ww kukataa M4 wana mfunga kiujanja kama wana tka asifanye kazi nyngne wamfungishe na mkataba wa kibiashara apo matajiri wana mpiga chnga yy asha stka, alaf wame litia kwenye timu
Wewe mzee vp haji Hana kosa uyo mwanamke anamnyanyasa mweziwe
Kazi ya mzee Mpili tushaanza kuiona😂😂
Asante jesus
Mzimwi wa mzee Mpili unawatafuna!
Majizi ya simba
Kweli MAADILI hana.! Hawa ndiyo wale wanaoweka Mambo ya chumbani kwenye Mtandao . Nilikuwa Namkubali kweli HAJI,kumbe siyo.!?
Mzee umeongea kwa busara kubwa Sana
@mudighurayra
3 жыл бұрын
Hna busara moja mkataba wana mfunga ili asifanye kazi na matajiri wngine, ss wampe na mkataba mwengine kwa ajili hio ya kibiashara, coz MO na Simba ni vtu 2 tofaut
Kinanani xaxa,muulizen kwnn ataki kuxain mktba
Imekula kwenu
Utampaje mkataba wa kumfunga asifanye kaz kwngine apoapo manara simamia
Wanaocheza ni wachezaji na wpo kimya
Manara tabia zake ni zakipuuzi sana hata hao wakani GSM waishi nae kwa machale. Ni wa majivuno kitu ambacho ni kibaya sana kwenye maisha. Mara amewadharau waandishi leo boss wake..hii ss basi
Kutoka Kenya mtuachieni Manara wetu jamani. Ila hapo aliniangusha. Manara amefanya kazi kubwa sana kuliko wasemaji hata wa Serekali kwa maana Government Spokesmen. Lifuteni, kaeni chini na kazi iendelee bila mtu kutoka Simba
Hans acha woga haji siyo mchezaji
Kwani mpira vita utani wa jadi kuna muda tuna shiriki na watani wetu wamuache bana.
Ako ka dada co gonzo akooo mmm hakuna kitu
Mpuuzi aondoke tuu aisee yeye sio mkubwa kuliko SIMBA AONDOKE TUU
nimekuerewa
Bado sijaamini Kama Manara ni akili zake binafsi kwakweli kulitibua wakati sio Kama huu.Yaani Manara hajui kuwa clips zake za negative zitaleta taaharuki ndani ya Simba katika kipindi huchi ambacho simba wanajiaandaa kulipa kisasi kwa mtani wake?
Mnafuga uozo wa nn huo!!?
Kwa ufupi tu Manara kajawa sifa sana. Amekuwa akiropoka sana akijisema yeye ni msemaji wa kimataifa. Atambue hana shule ya mpira isipokuwa anakelele tu. Maadili hana. Angekuwa Uingereza angekuwa ameshakula umeme KITAMBO.
@ramadhanmohamed1712
3 жыл бұрын
Chiz wew rudi shule
@barakastephano9658
2 жыл бұрын
chizi niwewe mwenyewe
KWELI KABISA.. SIO SAHIHI KUONGEA MANENO MITANDAONI.
Manara anazingua sana
@mudighurayra
3 жыл бұрын
Watu wasio na akili wataliona hilo ulilo liona ww ila manara ana jitambua sana, tatz la apo ni wafanya biashara sio Simba, peleleza zaidi labda una weza kuona ndani
Simba ikifungwa ni Manara
cmepec kama tunavyo fikiria
Manara msanii sana, anavurunda afu anakimbilia kwenye media kupata huruma ya public.
Brand kubwa km nyinyi mnashindwaje kumsainisha mtu mkataba? Mnaishi Vp na mtu bila mkataba? Mngekua na mkataba Sahizi mngekua mshamfilisi. Inashangaza sana this kind of failure to anticipate. Kwa kampuni kubwa km hyo kukosa mkataba ni aibu sio hta mismanagement.
😂yan manara na zile kelele zako zote kumbe unalipwaga laki saba bhana hahahaha
Haji sio fala wewe
Nimemuelewa pope
haji cjajua kiburi alichonacho kinatoka wapi!?? yeye aondoke tu, simba ni kubwa kuliko haji, hata akiondoka simba itaendelea kuwepo
Manara kaji tuma Sana haki yake sio mshahara team damu
@shafiuyorogwe7375
3 жыл бұрын
Wee mzee vipi huo unaitwa Uhuru wa kujieleza sasa Kama anafanyiwa ujinga asiseme
@madukaj.j.6999
3 жыл бұрын
@@shafiuyorogwe7375 Sasa ndo unaropoka kiasi cha kijinga kiasi hiki? Kwani taratibu za organization zinatatuliwa mitandaoni?
@shanimashaka8071
3 жыл бұрын
Kiukwel nyinyi mikia mmevulugwa uyo manala Kila siku yanga kuisema lelo kaisema Simba povu linawatoka
@alawiali3475
3 жыл бұрын
Uhuru wa kujieleza anao lkn sio public coz yeye ni mmoja wa viongozi wa simba alitakiwa akajieleze ktk kikao na mabosi wake wa simba
@mudighurayra
3 жыл бұрын
@@alawiali3475 ila alisha anza kuchafuliwa pblic so wacha aeleze tyu watu wajue kinacho endelea
Goal 1 la Zawadi Mauya la tarehe 3 ndio limeleta haya tunayo yaona !!!...
Kuongea kote uko kumbe lak7 to
Sema kimeumana
Afu ww mzeeee Kama sio kazuri mbona ww unamshauli kwenye mtandao
@veronicasamson7121
3 жыл бұрын
Anamshauri BUSARA.
@magembesittaa2327
3 жыл бұрын
Anazingua uyo mzee nae c angemfuata prvte
Acha uongo pope
Ndio kawaida rangi hizi nishida,kuchanganyika,nadhani mwisho wa siku wenye pesa ndio watakaotawala nawenine kubaki washangiliaji
Sema nini huyu jamaa wanamuonea wivu tu. anapigwa vita na watangazaji, wachambuzi na waandishi wa habari za Michezo na sasa hivi VIONGOZI wake, YOTE hiyo SHAURI tu amekua MAARUFU zaidi yao !!! Ni wivu tu UNAWASUMBUA ndo tatizo la WATANZANIA !!! Shida sasa Inakuja huyo tayari ni kipenzi cha MASHABIKI wa SIMBASCTZ 🦁🦁🦁🦁🦁 Sijui uwaletee nani watamuelewa !!
Unamtetea huyo mwanamke huyo mwana mke ni mshenzi2 mnamonea manara
Mbinu ya kututoa kwenye tozo hizo
Manara ni kama malaya hivi, Anataka kotekote. Anashindwa kujua kua ki-biashara na kimapenzi haiwezekani kabisa. Aamue moja, GSM AU MO. Uto au Ssc.
@mudighurayra
3 жыл бұрын
Jielewe manara hayuko kwa ajili ya MO yko kwa ajili ya Simba so, kama manara ana kutana na GSM na AZAM ni kibiashara, wao wampe mkataba simba, thn wampe mkataba wao wa kibiashara kwamba asifanye kazi na watu wengine, sio wana taka kutumia mwanya wa timu kwa ajili ya kumkandamiza
@magembesittaa2327
3 жыл бұрын
Manara anajielewa achana na mabwege hao twende gsm kwenye pesa
Ametukela mashabiki
Nyiee woteni mahawaraa mo mnajioeleka
Hana chake huyo asepe2
.
Manala tumuwache
@selector728
3 жыл бұрын
Manara sio manala🚮🚮
@mudighurayra
3 жыл бұрын
Jielewe kwanza wewe na ujifundishe kuandika
Hii yote tozo ndio imeleta hizi mamboz ,
@mohamedhaji2200
3 жыл бұрын
Tatizo tozooo
Mwache aende tu atuachie Simba yetu
Haihusian harus nahivyo vt ww Ni mtumzima usiongee vt Kama hivyo ina maana mlitaka yanga wasimuung mkono? Looo mna kaz sana
Wewe mzee acha ufala weweee, haji ni mwanaume mwenzako usimkandie kihivyo, acha ujinga nimekumaindi sana wewe mzee!
Wote nyinyi ni wwnafiki tu.Subirini tarehe 25 kule kigoma mvunje viti na kisha muivunje timu yenu
Aondokehuyo ndumilakuwili anakurahukunahuku
@mudighurayra
3 жыл бұрын
Jiongeze kidgo kwanza
@magembesittaa2327
3 жыл бұрын
Yupo sawa c anasaka pesa
Mnatakiwa mmsikirize mnyonge mnyongen hako yake mpeni sio mnamtetea babra
@samuelmdota8452
3 жыл бұрын
Umeelewa kwamba alikataa kusaini mkataba wa milioni nne?
@mudighurayra
3 жыл бұрын
@@samuelmdota8452 mkataba maelwano na mtu una takiwa mkataba uupitie vzr ili usi kufunge yy ashaona utamfunga ndio mana aka kataa
Sasa mnatuambia sisi tufanyeje?
@emmanueljoseph2576
3 жыл бұрын
Umeitwa kusikiliza Mbona shobo
Mjinga sana manara
Mzee Mpili anafanya yake naa bado YAJAYO YANAFURAHISHA
Sema kimeumana tu wewe mzee na yanga wanapiga pale pale kwenye mshono
Waarabu wa Simba mnatuboaaa
Ww mzee acheni ubaguzi punda ww
@diwinpatrick4535
2 жыл бұрын
We hamna kitu
Manara achana na Simba ile ni ya waarabu na wahindi na warabu
We mzee nawe unachuki na manala au unataka posho kwahuyo mwanamke manala sio chizi kunakitu kweli kimemkela
@selector728
3 жыл бұрын
Manara sio manala ,Kimemkera sio kimemkela🚮🚮
@ichicarodan6931
3 жыл бұрын
@@selector728 😅😅
@selector728
3 жыл бұрын
@@ichicarodan6931 mrembo😋😋
@jambo3751
3 жыл бұрын
BAKITA kumbe wamo humu wanakagua wanaochafua KISWAHILI?!😄😄😄😄
@mwinyikadhi2870
3 жыл бұрын
😀😀eti bakita
Unafikir haji mpumbavu asahini ili akose kupiga madili yake nje ya simba ahahahhhhh mnachekesha