HANS POPE AMTOLEA UVIVU MANARA, AMEKATAA MSHAHARA WA MILIONI 4, KAPEWA MILIONI 10 NA GSM

Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC Zacharia Hans Pope amemua kujitokeza na kujibu madai ya Msemaji wa Simba SC Haji Manara juu ya kulipwa Laki 7 huku akiwa anafanya kazi Simba SC bila ya kuwa na mkataba kwa muda mrefu.

Пікірлер: 97

  • @sniper93999
    @sniper939993 жыл бұрын

    Manara welcome GSM and welcom YANGA AFRICAN

  • @Ambagaye
    @Ambagaye3 жыл бұрын

    Hivi huyu ndiye Captain Zakaria Hanspope aliyetaka kumwua Mwalimu Nyerere?

  • @joelkahuya6719
    @joelkahuya67193 жыл бұрын

    Haya sasa uliyataka hayo yote manara bora ungekaa na viongoz wenzio kuliko kuweka public tayar ugali uko hatian, Mungu akusimamie usamehewe lkn ujifunze kuwa na akiba ya maneno.

  • @ambrosmtupili4668

    @ambrosmtupili4668

    3 жыл бұрын

    Tunamlipa bei gani, kama club..!?

  • @emmanueljoseph2576

    @emmanueljoseph2576

    3 жыл бұрын

    Kabisa ndg

  • @mudighurayra

    @mudighurayra

    3 жыл бұрын

    Manara sio mgonjwa ww kukataa M4 wana mfunga kiujanja kama wana tka asifanye kazi nyngne wamfungishe na mkataba wa kibiashara apo matajiri wana mpiga chnga yy asha stka, alaf wame litia kwenye timu

  • @abuubakari4092
    @abuubakari40923 жыл бұрын

    Wewe mzee vp haji Hana kosa uyo mwanamke anamnyanyasa mweziwe

  • @richardjoseph393
    @richardjoseph3933 жыл бұрын

    Kazi ya mzee Mpili tushaanza kuiona😂😂

  • @k2komedian855
    @k2komedian8553 жыл бұрын

    Asante jesus

  • @alexsalum7824
    @alexsalum78243 жыл бұрын

    Mzimwi wa mzee Mpili unawatafuna!

  • @michaelndendya403
    @michaelndendya4033 жыл бұрын

    Majizi ya simba

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia86133 жыл бұрын

    Kweli MAADILI hana.! Hawa ndiyo wale wanaoweka Mambo ya chumbani kwenye Mtandao . Nilikuwa Namkubali kweli HAJI,kumbe siyo.!?

  • @mashirimathias6006
    @mashirimathias60063 жыл бұрын

    Mzee umeongea kwa busara kubwa Sana

  • @mudighurayra

    @mudighurayra

    3 жыл бұрын

    Hna busara moja mkataba wana mfunga ili asifanye kazi na matajiri wngine, ss wampe na mkataba mwengine kwa ajili hio ya kibiashara, coz MO na Simba ni vtu 2 tofaut

  • @saknajumapili8282
    @saknajumapili82823 жыл бұрын

    Kinanani xaxa,muulizen kwnn ataki kuxain mktba

  • @sweetbertrwiza5982
    @sweetbertrwiza59823 жыл бұрын

    Imekula kwenu

  • @ahmedjuma9614
    @ahmedjuma96142 жыл бұрын

    Utampaje mkataba wa kumfunga asifanye kaz kwngine apoapo manara simamia

  • @Mohamedkasim2
    @Mohamedkasim23 жыл бұрын

    Wanaocheza ni wachezaji na wpo kimya

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda77693 жыл бұрын

    Manara tabia zake ni zakipuuzi sana hata hao wakani GSM waishi nae kwa machale. Ni wa majivuno kitu ambacho ni kibaya sana kwenye maisha. Mara amewadharau waandishi leo boss wake..hii ss basi

  • @chesadennis254
    @chesadennis2543 жыл бұрын

    Kutoka Kenya mtuachieni Manara wetu jamani. Ila hapo aliniangusha. Manara amefanya kazi kubwa sana kuliko wasemaji hata wa Serekali kwa maana Government Spokesmen. Lifuteni, kaeni chini na kazi iendelee bila mtu kutoka Simba

  • @philbertmgaza5434
    @philbertmgaza54343 жыл бұрын

    Hans acha woga haji siyo mchezaji

  • @daslamonline4665
    @daslamonline46653 жыл бұрын

    Kwani mpira vita utani wa jadi kuna muda tuna shiriki na watani wetu wamuache bana.

  • @marymanoni5536
    @marymanoni55363 жыл бұрын

    Ako ka dada co gonzo akooo mmm hakuna kitu

  • @yessecharles3155
    @yessecharles31553 жыл бұрын

    Mpuuzi aondoke tuu aisee yeye sio mkubwa kuliko SIMBA AONDOKE TUU

  • @barakastephano9658
    @barakastephano96582 жыл бұрын

    nimekuerewa

  • @sarllemmtunze405
    @sarllemmtunze4053 жыл бұрын

    Bado sijaamini Kama Manara ni akili zake binafsi kwakweli kulitibua wakati sio Kama huu.Yaani Manara hajui kuwa clips zake za negative zitaleta taaharuki ndani ya Simba katika kipindi huchi ambacho simba wanajiaandaa kulipa kisasi kwa mtani wake?

  • @jubilatemanase9050
    @jubilatemanase90503 жыл бұрын

    Mnafuga uozo wa nn huo!!?

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat63523 жыл бұрын

    Kwa ufupi tu Manara kajawa sifa sana. Amekuwa akiropoka sana akijisema yeye ni msemaji wa kimataifa. Atambue hana shule ya mpira isipokuwa anakelele tu. Maadili hana. Angekuwa Uingereza angekuwa ameshakula umeme KITAMBO.

  • @ramadhanmohamed1712

    @ramadhanmohamed1712

    3 жыл бұрын

    Chiz wew rudi shule

  • @barakastephano9658

    @barakastephano9658

    2 жыл бұрын

    chizi niwewe mwenyewe

  • @veronicasamson7121
    @veronicasamson71213 жыл бұрын

    KWELI KABISA.. SIO SAHIHI KUONGEA MANENO MITANDAONI.

  • @allynassoro2080
    @allynassoro20803 жыл бұрын

    Manara anazingua sana

  • @mudighurayra

    @mudighurayra

    3 жыл бұрын

    Watu wasio na akili wataliona hilo ulilo liona ww ila manara ana jitambua sana, tatz la apo ni wafanya biashara sio Simba, peleleza zaidi labda una weza kuona ndani

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele3 жыл бұрын

    Simba ikifungwa ni Manara

  • @sultannassor4868
    @sultannassor48683 жыл бұрын

    cmepec kama tunavyo fikiria

  • @marcominja8850
    @marcominja88503 жыл бұрын

    Manara msanii sana, anavurunda afu anakimbilia kwenye media kupata huruma ya public.

  • @mohamedsalum8933
    @mohamedsalum89333 жыл бұрын

    Brand kubwa km nyinyi mnashindwaje kumsainisha mtu mkataba? Mnaishi Vp na mtu bila mkataba? Mngekua na mkataba Sahizi mngekua mshamfilisi. Inashangaza sana this kind of failure to anticipate. Kwa kampuni kubwa km hyo kukosa mkataba ni aibu sio hta mismanagement.

  • @festongoy8654
    @festongoy86543 жыл бұрын

    😂yan manara na zile kelele zako zote kumbe unalipwaga laki saba bhana hahahaha

  • @hassaniamiri6491
    @hassaniamiri64913 жыл бұрын

    Haji sio fala wewe

  • @rajabuchina4093
    @rajabuchina40933 жыл бұрын

    Nimemuelewa pope

  • @witneskilinda5034
    @witneskilinda50343 жыл бұрын

    haji cjajua kiburi alichonacho kinatoka wapi!?? yeye aondoke tu, simba ni kubwa kuliko haji, hata akiondoka simba itaendelea kuwepo

  • @salehalzakwani3283
    @salehalzakwani32833 жыл бұрын

    Manara kaji tuma Sana haki yake sio mshahara team damu

  • @shafiuyorogwe7375

    @shafiuyorogwe7375

    3 жыл бұрын

    Wee mzee vipi huo unaitwa Uhuru wa kujieleza sasa Kama anafanyiwa ujinga asiseme

  • @madukaj.j.6999

    @madukaj.j.6999

    3 жыл бұрын

    @@shafiuyorogwe7375 Sasa ndo unaropoka kiasi cha kijinga kiasi hiki? Kwani taratibu za organization zinatatuliwa mitandaoni?

  • @shanimashaka8071

    @shanimashaka8071

    3 жыл бұрын

    Kiukwel nyinyi mikia mmevulugwa uyo manala Kila siku yanga kuisema lelo kaisema Simba povu linawatoka

  • @alawiali3475

    @alawiali3475

    3 жыл бұрын

    Uhuru wa kujieleza anao lkn sio public coz yeye ni mmoja wa viongozi wa simba alitakiwa akajieleze ktk kikao na mabosi wake wa simba

  • @mudighurayra

    @mudighurayra

    3 жыл бұрын

    @@alawiali3475 ila alisha anza kuchafuliwa pblic so wacha aeleze tyu watu wajue kinacho endelea

  • @selemanichiga5828
    @selemanichiga58283 жыл бұрын

    Goal 1 la Zawadi Mauya la tarehe 3 ndio limeleta haya tunayo yaona !!!...

  • @isackemmanuel5820
    @isackemmanuel58203 жыл бұрын

    Kuongea kote uko kumbe lak7 to

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna20583 жыл бұрын

    Sema kimeumana

  • @marymanoni5536
    @marymanoni55363 жыл бұрын

    Afu ww mzeeee Kama sio kazuri mbona ww unamshauli kwenye mtandao

  • @veronicasamson7121

    @veronicasamson7121

    3 жыл бұрын

    Anamshauri BUSARA.

  • @magembesittaa2327

    @magembesittaa2327

    3 жыл бұрын

    Anazingua uyo mzee nae c angemfuata prvte

  • @ahmedjuma9614
    @ahmedjuma96142 жыл бұрын

    Acha uongo pope

  • @suleimanabdillah7490
    @suleimanabdillah74903 жыл бұрын

    Ndio kawaida rangi hizi nishida,kuchanganyika,nadhani mwisho wa siku wenye pesa ndio watakaotawala nawenine kubaki washangiliaji

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight29573 жыл бұрын

    Sema nini huyu jamaa wanamuonea wivu tu. anapigwa vita na watangazaji, wachambuzi na waandishi wa habari za Michezo na sasa hivi VIONGOZI wake, YOTE hiyo SHAURI tu amekua MAARUFU zaidi yao !!! Ni wivu tu UNAWASUMBUA ndo tatizo la WATANZANIA !!! Shida sasa Inakuja huyo tayari ni kipenzi cha MASHABIKI wa SIMBASCTZ 🦁🦁🦁🦁🦁 Sijui uwaletee nani watamuelewa !!

  • @lazarombogo2824
    @lazarombogo28243 жыл бұрын

    Unamtetea huyo mwanamke huyo mwana mke ni mshenzi2 mnamonea manara

  • @kajiratv5978
    @kajiratv59783 жыл бұрын

    Mbinu ya kututoa kwenye tozo hizo

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa2373 жыл бұрын

    Manara ni kama malaya hivi, Anataka kotekote. Anashindwa kujua kua ki-biashara na kimapenzi haiwezekani kabisa. Aamue moja, GSM AU MO. Uto au Ssc.

  • @mudighurayra

    @mudighurayra

    3 жыл бұрын

    Jielewe manara hayuko kwa ajili ya MO yko kwa ajili ya Simba so, kama manara ana kutana na GSM na AZAM ni kibiashara, wao wampe mkataba simba, thn wampe mkataba wao wa kibiashara kwamba asifanye kazi na watu wengine, sio wana taka kutumia mwanya wa timu kwa ajili ya kumkandamiza

  • @magembesittaa2327

    @magembesittaa2327

    3 жыл бұрын

    Manara anajielewa achana na mabwege hao twende gsm kwenye pesa

  • @habibamohamedi714
    @habibamohamedi7143 жыл бұрын

    Ametukela mashabiki

  • @rashidiwaiti6686
    @rashidiwaiti66863 жыл бұрын

    Nyiee woteni mahawaraa mo mnajioeleka

  • @peterhano8706
    @peterhano87063 жыл бұрын

    Hana chake huyo asepe2

  • @humoudmohammad3125
    @humoudmohammad31253 жыл бұрын

    .

  • @mwesigepaulo283
    @mwesigepaulo2833 жыл бұрын

    Manala tumuwache

  • @selector728

    @selector728

    3 жыл бұрын

    Manara sio manala🚮🚮

  • @mudighurayra

    @mudighurayra

    3 жыл бұрын

    Jielewe kwanza wewe na ujifundishe kuandika

  • @salimsuleiman6969
    @salimsuleiman69693 жыл бұрын

    Hii yote tozo ndio imeleta hizi mamboz ,

  • @mohamedhaji2200

    @mohamedhaji2200

    3 жыл бұрын

    Tatizo tozooo

  • @isabelsimonemajoumbe2363
    @isabelsimonemajoumbe23633 жыл бұрын

    Mwache aende tu atuachie Simba yetu

  • @pendocoster4170
    @pendocoster41703 жыл бұрын

    Haihusian harus nahivyo vt ww Ni mtumzima usiongee vt Kama hivyo ina maana mlitaka yanga wasimuung mkono? Looo mna kaz sana

  • @hassaniamiri6491
    @hassaniamiri64913 жыл бұрын

    Wewe mzee acha ufala weweee, haji ni mwanaume mwenzako usimkandie kihivyo, acha ujinga nimekumaindi sana wewe mzee!

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed69613 жыл бұрын

    Wote nyinyi ni wwnafiki tu.Subirini tarehe 25 kule kigoma mvunje viti na kisha muivunje timu yenu

  • @amrimapate8979
    @amrimapate89793 жыл бұрын

    Aondokehuyo ndumilakuwili anakurahukunahuku

  • @mudighurayra

    @mudighurayra

    3 жыл бұрын

    Jiongeze kidgo kwanza

  • @magembesittaa2327

    @magembesittaa2327

    3 жыл бұрын

    Yupo sawa c anasaka pesa

  • @michaelkisesa9743
    @michaelkisesa97433 жыл бұрын

    Mnatakiwa mmsikirize mnyonge mnyongen hako yake mpeni sio mnamtetea babra

  • @samuelmdota8452

    @samuelmdota8452

    3 жыл бұрын

    Umeelewa kwamba alikataa kusaini mkataba wa milioni nne?

  • @mudighurayra

    @mudighurayra

    3 жыл бұрын

    @@samuelmdota8452 mkataba maelwano na mtu una takiwa mkataba uupitie vzr ili usi kufunge yy ashaona utamfunga ndio mana aka kataa

  • @florentinvitus9749
    @florentinvitus97493 жыл бұрын

    Sasa mnatuambia sisi tufanyeje?

  • @emmanueljoseph2576

    @emmanueljoseph2576

    3 жыл бұрын

    Umeitwa kusikiliza Mbona shobo

  • @danielmasanja6314
    @danielmasanja63143 жыл бұрын

    Mjinga sana manara

  • @mwinyikadhi2870
    @mwinyikadhi28703 жыл бұрын

    Mzee Mpili anafanya yake naa bado YAJAYO YANAFURAHISHA

  • @shafiuyorogwe7375
    @shafiuyorogwe73753 жыл бұрын

    Sema kimeumana tu wewe mzee na yanga wanapiga pale pale kwenye mshono

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka84693 жыл бұрын

    Waarabu wa Simba mnatuboaaa

  • @sniper93999
    @sniper939993 жыл бұрын

    Ww mzee acheni ubaguzi punda ww

  • @diwinpatrick4535

    @diwinpatrick4535

    2 жыл бұрын

    We hamna kitu

  • @amirikoshuma3039
    @amirikoshuma30393 жыл бұрын

    Manara achana na Simba ile ni ya waarabu na wahindi na warabu

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo71003 жыл бұрын

    We mzee nawe unachuki na manala au unataka posho kwahuyo mwanamke manala sio chizi kunakitu kweli kimemkela

  • @selector728

    @selector728

    3 жыл бұрын

    Manara sio manala ,Kimemkera sio kimemkela🚮🚮

  • @ichicarodan6931

    @ichicarodan6931

    3 жыл бұрын

    @@selector728 😅😅

  • @selector728

    @selector728

    3 жыл бұрын

    @@ichicarodan6931 mrembo😋😋

  • @jambo3751

    @jambo3751

    3 жыл бұрын

    BAKITA kumbe wamo humu wanakagua wanaochafua KISWAHILI?!😄😄😄😄

  • @mwinyikadhi2870

    @mwinyikadhi2870

    3 жыл бұрын

    😀😀eti bakita

  • @jumahassan273
    @jumahassan2733 жыл бұрын

    Unafikir haji mpumbavu asahini ili akose kupiga madili yake nje ya simba ahahahhhhh mnachekesha

Келесі