VIDEO: RAIS SAMIA ATUA MPANDA, AKAGUA JENGO LA ABIRIA KIWANJA CHA NDEGE, TAZAMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua jengo la abiria katika Kiwanja cha Ndege Mpanda mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege huo mkoani Katavi ikiwa ni sehemu ya ziara yake aliyoianza leo tarehe 12 Julai, 2024.

Пікірлер: 12

  • @user-in7ud5gj7c
    @user-in7ud5gj7c23 күн бұрын

    Waoo uwanja wetu huo tumechungia sana mbuzi hapo miaka hiyo ya tisini kwenye hako kajengo kazamani kulikuwa na bonge ya mwembe sitasahau wakati sumaye kaja mpanda mwaka 1998 sisi vijana wa chipukizi tulimlaki na kumvisha skafu hapo hapo uwanjani kisha tukamsindikiza hadi ikulu kawajense Kiukweli nimepakumbuka sana mpanda

  • @vedastonestory1886
    @vedastonestory188623 күн бұрын

    Karibuni Katavi hasa Halmashari ya Wilaya Mpimbwe

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs23 күн бұрын

    Mama uyooooooooo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🎎🎎🎎🎎🎎🎎🎎

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita299523 күн бұрын

    Viwanja mnajenga vizuri ila kwa upande wa majengo ni sifuri airport majengo yake yanakuwa vijengo vifupi yani yanazidiwa na stand

  • @peterjohnson167
    @peterjohnson16723 күн бұрын

    Duh kweli kabisa Mungu ni mwema watanzania tunzeni tunu from my God mama Samia Suluhu Hassan mitano tena

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu211622 күн бұрын

    7:57, mmeona huyo kiongozi alivyopanguliwa upande wa kutembea😂😂, kumbe Hadi upande wa kutembea ukiwa RAIS unachaguliwa

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l23 күн бұрын

    Hongera rais wetu kwa kufika katavi

  • @jumashedafa
    @jumashedafa23 күн бұрын

    Mama unajitahid kusave pesa kupitia shirika letu ila walioko chin wanaiba mno...tunaomb udhibit kwanz na kuwalipisha wanao tia taifa hasara kuliko kuweka kodi mpya kila cku kwa wananchi wengin waje wale tu..shughulikia ripoti CAG

  • @idrissamohamed1100
    @idrissamohamed110023 күн бұрын

    Hongera

  • @theodoltheophil7858
    @theodoltheophil785822 күн бұрын

    Hao watu wote wanaenda kumpokea rais jamani, usalama upo wapi!!!! Mbona kundi kubwa sana.

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs23 күн бұрын

    Mama njoo nauku rukwa utumbue wa2 wameanza mazoea wanatengeneza balabla za rami azina viwango mwezi 2 matuta yanakua yametoka rami gani uku wee njoo wa2 wanatafuna pesa ze2 buleble uku😪

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    23 күн бұрын

    ​@@robertphilip385bimkubwa wako katumbuliwa na nani?!

Келесі