GAUNI LA BIBI HARUSI LAWAKA MOTO UKUMBINI DAR, GARI LAO HUMMER LAGONGA

Siku ya harusi kikawaida wengi wetu huwa ni siku ya furaha lakini inapotokea visa vyenye mshikemshike huwa inatibua kabisa furaha hiyo, AyoTV leo inakuletea hizi dakika 7 za simulizi ya harusi ambayo moto ulishika kwenye gauni la Bibi Harusi wakati wakiingia ukumbini ambapo pamoja na kwamba pia siku hiyo ilionekana kuwa na vimikosi baada ya gari la Maharusi hao kuligonga gari jingine kabla ya kuingia ukumbini, haikuwapunguzia Maharusi hao furaha yao kwa namna yoyote ile....

Пікірлер: 429

  • @hassinaalharthi5984
    @hassinaalharthi59842 жыл бұрын

    Unapo kua na shughuli muwe mnatoa sadaka. Sadaka inakinga shari nyingi zinazo tokea.

  • @johannesishengoma1232

    @johannesishengoma1232

    2 жыл бұрын

    We umejuaje kuwa hawakutoa sadaka?

  • @chrissjoel7752

    @chrissjoel7752

    2 жыл бұрын

    Sadaka gani unaisemea wewe? 🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒

  • @mariamhavile8849

    @mariamhavile8849

    2 жыл бұрын

    Huwezi andaa sherehe bila kutoa sadaka kanisani au Kuna sadaka nyingine?

  • @shifaaal-baity4503

    @shifaaal-baity4503

    2 жыл бұрын

    👍🏻👍🏻

  • @shifaaal-baity4503

    @shifaaal-baity4503

    2 жыл бұрын

    @@johannesishengoma1232 yeye katoa ushauri..tu. Sisi waislamu tunaamini sadaka ni muhim sana

  • @evankya1955
    @evankya19552 жыл бұрын

    It's scary Ila GaraB speaks about it Kama Ni kitu kidogo kabisa; hii Ni attitude nzuri Sana ya ku-face changamoto yoyote in life.

  • @dianajoseph6673
    @dianajoseph66732 жыл бұрын

    Du hongera sana dada kwa ndoa nzuri na pole kwa misukosuko

  • @alexlyamsema4984
    @alexlyamsema49842 жыл бұрын

    Pole sana Dada Mshukuru Mungu wenda furaha yako ingegeuka kuwa majonz makubwa,, Mungu mwemaaa

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara54802 жыл бұрын

    Mbwembwe hizi, mtaja ua watoto wa watu, hakuna cha shetani wala nini, hivo vimoto mloweka hapo cjui mnaviitaje alivipitia karibu vikanasa kwenye shela.

  • @neemamohammed7359

    @neemamohammed7359

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @user-ms8kn6xo9q

    @user-ms8kn6xo9q

    2 жыл бұрын

    @@neemamohammed7359 🤣🤣🤣🤣

  • @nahimanamayassa8305

    @nahimanamayassa8305

    2 жыл бұрын

    Ndio

  • @virendavictoria5174

    @virendavictoria5174

    2 жыл бұрын

    Wewe ndio umenena yaan kitu kikitokea waafrika sie tunakimbiliaga kwenye imani za ajabu wkt hapo its obvious

  • @vampire9464

    @vampire9464

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa dada nilitaka kuandika hivo wabongo ushamba umetuzid sijui hivo vimoto vya nini kwenye harusi daaahhh

  • @joanngatulile4687
    @joanngatulile46872 жыл бұрын

    This is very dangerous uwii fireworks🙆‍♀️🙆‍♀️Ningeliaaaaa

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi13082 жыл бұрын

    Kwa jinsi watz tulivyo teyari wamehusisha na imani za kishirikina.tuaitoke nje ya simulizi tuliyopewa na washiriki wa hiyo sherehe.

  • @oliviaambrose2907
    @oliviaambrose29072 жыл бұрын

    wanatakiwa waombe sn hii ndoa

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho81382 жыл бұрын

    Mhmmm ndiyo Tanzania bhana hatari saana

  • @clarajapheth8804
    @clarajapheth88042 жыл бұрын

    Ashukuriwe Mungu Kwa kuwaepusha na hayo mabaya yoye

  • @nasraabdallah850

    @nasraabdallah850

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @shufaahassan3122

    @shufaahassan3122

    2 жыл бұрын

    Amin

  • @annastaziajohn8295

    @annastaziajohn8295

    2 жыл бұрын

    Amen🙏

  • @judithmelvinealuchio8968
    @judithmelvinealuchio89682 жыл бұрын

    huyo bi harusi mungu anampenda sana unapo muomba mungu akupe kitu fulani naye anakuja anakuonyesha upendo kuliko kile unamuitisha ahsante sana muumba wetu Amen🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺

  • @ammyt9952
    @ammyt99522 жыл бұрын

    Pitia nyimbo kali hapa Ammy t ft addah ni noma sana

  • @aoman5214
    @aoman52142 жыл бұрын

    Ishar mbaya kabisaaa daaah pole Sana jaman hmmm

  • @vivianvivian8585
    @vivianvivian85852 жыл бұрын

    Jaman

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus62982 жыл бұрын

    Mungu anakupenda dada shukuru sana Mungu,kwakukuepusha nahuo moto

  • @robinahumphrey9725
    @robinahumphrey97252 жыл бұрын

    Tunamshukuru Mungu akuungua m2 na shetani alishindwa ila uchawi tuu

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b2 жыл бұрын

    Harusi za mbwembwe nyingi Nakujionesha kua Hela zipo Zina nuksi sana utakuta kakodi ilo gauni na Gari pia, Pole Yao wamejifunza kitu apo

  • @elviraramadhan3900

    @elviraramadhan3900

    2 жыл бұрын

    Hizi ni Hila Hujazipata tuu hizo hela, Kwan ww ukiwa nazo huwezi Kodi gauni hela hiyo🤣 Tz mna chuki za ajabu

  • @nasrahassanabioll6559

    @nasrahassanabioll6559

    2 жыл бұрын

    @@elviraramadhan3900 Tulioolewa bila shughuli yoyote kimya kimya na bado tukapigwa majuju tukaugua nusu ya kufa chuki tu zinakuwaga kwann aolewe fulani!! huwa hawaionei wivu ile sherehe bali ni ile ndoa inayopitishwa ndiyo wanayoifanyia hila kibao binaadam ss wengine hatar sana

  • @elviraramadhan3900

    @elviraramadhan3900

    2 жыл бұрын

    @@nasrahassanabioll6559 yaan sijui inakaaje hii kwa watanzania 🤣 mtu mwenyewe hamjui Ila Sasa chuki kama za mama wa kambo🙌

  • @fusotanzania8174

    @fusotanzania8174

    2 жыл бұрын

    acha wivu wew

  • @shabanandrea9131

    @shabanandrea9131

    2 жыл бұрын

    Roho mbaya tu ukizeeka nahisi utakuwa mchawi wewe ,

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz78502 жыл бұрын

    Eh mshakuwa mastar

  • @mariachuri7123
    @mariachuri71232 жыл бұрын

    Mmmh! Jamani...pole bi harusi

  • @khadijahali4837
    @khadijahali48372 жыл бұрын

    Duuuh pole yk

  • @monicaalute3143
    @monicaalute31432 жыл бұрын

    X wa huyu bwana harusi anahusika wallah. Khaaaaaaaaa 🙌🙌🙌 yaan gari lipate ajali, mara gauni lishike Moto ukumbuni loh🙌 uchawi upo

  • @OmanOman-sm6dv

    @OmanOman-sm6dv

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂nimecheka

  • @victorkivuyo6126
    @victorkivuyo61262 жыл бұрын

    DUU HIYO NI NGUMU SANA, MR BOB SOSY AKA KATIA WA ARUSHA MURIETI JIRANI KABISA NA MHESHIWA GAMBO

  • @hilalikiba2214
    @hilalikiba22142 жыл бұрын

    Nice

  • @beancamsuya1493
    @beancamsuya14932 жыл бұрын

    Daah polee ilaa mungu yupoo na wew

  • @joramkimario6174
    @joramkimario61742 жыл бұрын

    Halaf nilikodisha sasa. Na mwenyewe hataki lingine anataka lilelike

  • @elviraramadhan3900

    @elviraramadhan3900

    2 жыл бұрын

    Kama kaweza kulikod bas hela anazo

  • @officialbntrasool5223

    @officialbntrasool5223

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @marytemba883
    @marytemba8832 жыл бұрын

    Nimecheka huyo aliyelewa kabla ya sendoff 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @tamimtours6934
    @tamimtours69342 жыл бұрын

    MAMOTO HAYO SASA YANINI KUMBINI!!!!!?? JIFUNZENI.

  • @jumamayunga5853

    @jumamayunga5853

    2 жыл бұрын

    🤣🤣😂😂😂 cjui ya nn mi nawashangaa sana

  • @faidhamyovela179

    @faidhamyovela179

    2 жыл бұрын

    Huyo mpambaj atakuwa na lake jambooooo asa moto og ukumbin wa nn angeungua je

  • @naimaofficial33

    @naimaofficial33

    2 жыл бұрын

    Mashaalah

  • @tamimtours6934

    @tamimtours6934

    2 жыл бұрын

    @@naimaofficial33 Naima Hujambo?

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    2 жыл бұрын

    Haswa hizo ni cheche ni hatari alafu wameweka karibu uku wanajua shela ni pana na refu wameyataka wenyewe

  • @elinahjoseph3085
    @elinahjoseph30852 жыл бұрын

    Imeisha iyoooo na ndo isha fungu na shereee kimenukiswa x pole hahahahhahahaa

  • @chapter2719
    @chapter27192 жыл бұрын

    Wabongo mnapenda harusi adi gauni linawaka moto

  • @dorisfabian4776
    @dorisfabian47762 жыл бұрын

    Hahahahaaha hao waliolewa ndo wamenichekeshaaa

  • @frederickloongableu-goude
    @frederickloongableu-goude2 жыл бұрын

    Sio vizuri wakati wa sherehe ukubini bi arusi kuvaa shela au gahuni. Shela ni ya kanisani tu.

  • @vailetheanyambilile9749

    @vailetheanyambilile9749

    2 жыл бұрын

    Kabisaaa

  • @daudinyello4033

    @daudinyello4033

    2 жыл бұрын

    kanisa letu popote unavaa

  • @Dina-py8js
    @Dina-py8js2 жыл бұрын

    pole sana kwa maharusi

  • @hamadiselemani1110
    @hamadiselemani11102 жыл бұрын

    Mmh sio ishara nzuri hiyo,

  • @gkely2618
    @gkely26182 жыл бұрын

    Banda la wakala linauzwa Ukubwa futi 5 kwa 6 Nila chuma (hard metal) Limepigwa red oxide plus rangi Lipo daresalaam kigamboni Bei 600,000/= Maongezi yapo

  • @waytvtz2549

    @waytvtz2549

    2 жыл бұрын

    Ingelikuwa Arusha nalihitaji

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi98442 жыл бұрын

    Poleni sana jamani

  • @rebeccajeremiah4883
    @rebeccajeremiah48832 жыл бұрын

    Hujatoa wee bhnaaa mbona tunamuona mshikaji mwingine

  • @neemadickson9526
    @neemadickson95262 жыл бұрын

    Nyieeeeeee 🙌😭uchawi huu khaaaa 🙏

  • @fettyabiola1389

    @fettyabiola1389

    2 жыл бұрын

    Mmmmmmmm acha uswahili kitu kawaida unaona apo na macho yako, uchawi uwo kwio😁😁

  • @neemadickson9526

    @neemadickson9526

    2 жыл бұрын

    @@fettyabiola1389 🙆🙆🙆🙆ndo nimeangalia mwanzo mwisho ushwahili gani sasa unasema

  • @fettyabiola1389

    @fettyabiola1389

    2 жыл бұрын

    @@neemadickson9526 kwakuwa uyo mc kasema walipata ajali , we ajali ya uchawi unaujua, hashuo walizonazo kwenye gari umegonga tu gari la mtu , na uyo fire works ni fire kama jina lake moto unawaka na nguo tena shela neti na satin tupu ile unataka isiwake, kavaa mahmeli au nayo pia si mbele ya moto , firework za birth day cake humuunguza mtu sikwambii zile za sherehe, hakuna uchawi pale punguza imani izo

  • @neemadickson9526

    @neemadickson9526

    2 жыл бұрын

    @@fettyabiola1389 sawa nilikuwa sijawatch vzr dear ndomaana ila nimeshaelewa🤝

  • @jacksonmathayo6510

    @jacksonmathayo6510

    2 жыл бұрын

    @@neemadickson9526 😂

  • @mweyoms5548
    @mweyoms55482 жыл бұрын

    Duh!!:Anasa vs Husda

  • @druumarley2159
    @druumarley21592 жыл бұрын

    Dah! Hii ajar niliiona mbez beach ya chinii hummer nyeupe... Dah! Nowmaaa

  • @mariamhamisi598
    @mariamhamisi5982 жыл бұрын

    Mmeyataka wenyewe huo moto wanini humo ndani fundisho hata kwa wengine ila poleni

  • @elviraramadhan3900

    @elviraramadhan3900

    2 жыл бұрын

    Hii n roho mbaya Huo moto ni sehem ya sherehe tuu

  • @dorcasfaith5050
    @dorcasfaith50502 жыл бұрын

    Mungu akuinue sana mc nowachache sana wanaojua kuwa hizi ni hila za shetani

  • @NimuFx

    @NimuFx

    2 жыл бұрын

    MC Mtu wa Mungu sana. Abalikiwe sana. Shetani ni mjinga sana ujuwe

  • @zuhuzuli.5150
    @zuhuzuli.51502 жыл бұрын

    Mc GaraB garakubwaaaaaa❤❤❤❤👌

  • @enickosanga4921
    @enickosanga49212 жыл бұрын

    Hapo mwanamke alieahidiwa kuolewa kafanya yake baada ya kuona katoswa hataree sana

  • @abdallahamir9234
    @abdallahamir92342 жыл бұрын

    Kwahiyo na hiyo habari?

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule53122 жыл бұрын

    Hahaha aiseee yaduniani ahera hayapo

  • @fraviansweetberty8819
    @fraviansweetberty88192 жыл бұрын

    Pole Sana kwa misuko suko na umuombe Sana Mungu

  • @rahmanassoro1759
    @rahmanassoro17592 жыл бұрын

    Na shera Kama imekodiwa mmmh italipwa,, polen

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo53062 жыл бұрын

    Hizo ni dalili mbaya,Kuna wanadamu wabaya washafanya Mambo yao hapo

  • @mwanamisakulembwa1147

    @mwanamisakulembwa1147

    2 жыл бұрын

    Ni hasad na ayni ....

  • @kiehbhzh7044

    @kiehbhzh7044

    2 жыл бұрын

    mambo.haya yapo tz pekee

  • @kiehbhzh7044

    @kiehbhzh7044

    2 жыл бұрын

    kama mlikodi ilo gauni mriripe sasa

  • @khadijaomari9344

    @khadijaomari9344

    2 жыл бұрын

    mh

  • @adamfundikira1620

    @adamfundikira1620

    2 жыл бұрын

    @@kiehbhzh7044 hahahaha angeungua tako bwana harusi asingeonja tunda

  • @jacklineurassa6006
    @jacklineurassa60062 жыл бұрын

    Mungu bariki nakusimamia ndoa maana shetani yupo kazini

  • @juniormgema2524
    @juniormgema25242 жыл бұрын

    😂😂😂 kaz ipo unasherekea uku unanuka moshi😂😂😂

  • @larickmtui2852
    @larickmtui28522 жыл бұрын

    Maombi yanini wakati nyie mlijichanganya kwan hamjui maana ya fire works? Yan kila kitu shetan na uchaw africa amken achen fikra pitofu

  • @tatubadi9010

    @tatubadi9010

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @gloryidelya9899

    @gloryidelya9899

    2 жыл бұрын

    Maombi Nimuhimu Wakati wote

  • @brigidmua2548

    @brigidmua2548

    2 жыл бұрын

    Fire works bomb zenyewe

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea50832 жыл бұрын

    Tatizo mbwembwe nyingi punguzeni ria mungu hapendi

  • @sithymohammed3191
    @sithymohammed31912 жыл бұрын

    Dalili za kiama hizo ajali za moto zimekuwa nyingi Sana huu mwaka Allah atujalie mwisho mwema inshaallah

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf2 жыл бұрын

    Kila siku nasema hii sio nzuri. Hata birthday za watoto mue makini. Mimi niko ulaya lakini vitu kama hivi wanaangalia safety kwanza ila kwetu wanaiga tuu hawafikiri

  • @ruuh5149

    @ruuh5149

    2 жыл бұрын

    Sn yn wanapend sn kuiga hw

  • @angelageofrey9756

    @angelageofrey9756

    2 жыл бұрын

    Ilikua bahati mbaya

  • @damariszuckschwert9489

    @damariszuckschwert9489

    2 жыл бұрын

    Yashaunguza wengi sana

  • @chrissjoel7752

    @chrissjoel7752

    2 жыл бұрын

    Kwahiyo ungetoa ushauri tu bila kusema kama upo ulaya tusingeelewa 🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒

  • @fridamapunda5079

    @fridamapunda5079

    2 жыл бұрын

    Niunganishe nije ulaya mwaya maana uku Tanzania hakueleweki

  • @vampire9464
    @vampire94642 жыл бұрын

    Wabongo washamba sana hivo vimoto vya party mnaweka kwenye harusi daaahhh mbwembwee vimezidi matokeo ndio hayo

  • @lavieestbelle3263
    @lavieestbelle32632 жыл бұрын

    Mmmh........yatakayo Jiri baada ya miaka miwl MTUJuze

  • @naamohamed1042
    @naamohamed10422 жыл бұрын

    Duhhhh pole

  • @tramyspinkiebee3536
    @tramyspinkiebee35362 жыл бұрын

    Hizi decorations ziwe zinaangalia aina ya nguo anayovaa maharusi jaman.sa fire works zinawekwa karibu karibu wakat bi harusi kavaa gauni la cinderela??hapa hakuna cha uchawi ni kosa la event planner au mpambaji.Alitakiwa alipe fidia kwa hili

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    2 жыл бұрын

    Kweli kosa ni lao wenyewe

  • @ruthwatson3057
    @ruthwatson30572 жыл бұрын

    Anachomeka na bado anapiga disco tu? Ni ulevi au nini???

  • @naomymmarymmary5047
    @naomymmarymmary50472 жыл бұрын

    Achen kutuchora nyie hizi kiki tu za mtandao mlikua mshajipanga kwa hilo 😂

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela1792 жыл бұрын

    Meno ya gara😋😋😋

  • @doreenkahunde3186
    @doreenkahunde31862 жыл бұрын

    God was in control

  • @jeshilamtu863
    @jeshilamtu8632 жыл бұрын

    Tunako elekea tutaungana tu ktk ndoa zetu za MKEKA🤣 We unadhani ndoa yako itaizidi ile ya MBILIABERI aliyo fungia angani!? Na je? Ilidumu !!? Acheni ulimbukeni ktk ndoa,,,safari ni ndefu ! Bado hujaamka usiku saa 7 ukakuta MTOTO kachemka MWILI na unatakiwa uamke umpeleke hospitali !!!!(Acheni tamthilia )

  • @emmanueltuppa5459
    @emmanueltuppa54592 жыл бұрын

    Matukio kama haya yananogesha shughuli na ukumbusho pia kujulikana wapi habari zingeandikwa kama sio moto,kuna aliempiga Rais kiatu ila hadi leo anakumbukwa na ana jina watu wana mbinu huenda tukio lilipangwa ili habar itrend

  • @nasliasuleiman6954

    @nasliasuleiman6954

    2 жыл бұрын

    Bdo mnaendelea kuchaza wakatimshaona hamuelewi

  • @polytarimo324
    @polytarimo3242 жыл бұрын

    Gara B wewe ni nomaaa

  • @mariellerashidi4649
    @mariellerashidi46492 жыл бұрын

    Mmmm hatari

  • @othumanlorenzo260

    @othumanlorenzo260

    2 жыл бұрын

    Bana kin

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya74752 жыл бұрын

    Bora ww ulikumbuk Mungu kwanz ila Pole kwa bb harus

  • @mustaphareua2370
    @mustaphareua23702 жыл бұрын

    Oyooo

  • @treshazgodfather9219
    @treshazgodfather92192 жыл бұрын

    😂😂😂😂Usikute X wake ndo alitoa wazo la moto😂😂

  • @dufandaqueen1617

    @dufandaqueen1617

    2 жыл бұрын

    Wallah 🤣 🤣 🤣 🤣

  • @pauloregina2878

    @pauloregina2878

    2 жыл бұрын

    Hagahaaaaaaaaaa

  • @ngoshathedon2215

    @ngoshathedon2215

    2 жыл бұрын

    🤣😂😂itakuwa

  • @liliankessy1255

    @liliankessy1255

    2 жыл бұрын

    Hahahaha..itakua kweli afu ukizngatia wafipa hataree...

  • @tatubadi9010
    @tatubadi90102 жыл бұрын

    Polen sana

  • @mercypeter162
    @mercypeter1622 жыл бұрын

    Hizo ni ishara mbaya wasali sana

  • @shebbynzengula6993
    @shebbynzengula69932 жыл бұрын

    Huyo bibi harusi kuna kitu alifanya 😂😂😂😂 🏃‍♂️

  • @nasrahassanabioll6559

    @nasrahassanabioll6559

    2 жыл бұрын

    😂kitu gani hicho tuambie na ss jaman tukijue

  • @shebbynzengula6993

    @shebbynzengula6993

    2 жыл бұрын

    @@nasrahassanabioll6559 itakuwa kaiba mwanaume wa mtu huyo 😂😂😂

  • @mamafatuma138
    @mamafatuma1382 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂Inafurahisha aki

  • @diamondplatnumz1377
    @diamondplatnumz13772 жыл бұрын

    Full video ya gauni la Bibi harisi likiungua kzread.info/dash/bejne/qoNntZmfcpuukc4.html

  • @hadijaabdrahamani5089
    @hadijaabdrahamani50892 жыл бұрын

    Mm naomb kuuliza hiv huyu gara B analipwa bei gani jamani maana nampenda anajua kunogesha

  • @makitandungu2604
    @makitandungu26042 жыл бұрын

    Wahenga hawakukosea waliposema kuchamba kwingi lazima uondoke na kipande cha nnya!!!

  • @barakatrassi3903
    @barakatrassi39032 жыл бұрын

    Hatariiii sanaaaa

  • @alicenice1711
    @alicenice17112 жыл бұрын

    Aya ni majanga jamani

  • @fredricksamson8095
    @fredricksamson80952 жыл бұрын

    Duuuh hiyo kali.

  • @MS.independent8934
    @MS.independent89342 жыл бұрын

    Makubwaaaa 🤔🤔🤔

  • @hkk2450
    @hkk24502 жыл бұрын

    Husda iyo

  • @siasteven135
    @siasteven1352 жыл бұрын

    Dah asee 😪

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Subhannallah, mtihani kwakweli very bad 😢😏

  • @mariahyera3737

    @mariahyera3737

    2 жыл бұрын

    Shetani alijiinua alitaka kufanya uharibifu. Tunamshukuru sana Mungu kwa uweza wake.

  • @helenmasele1943
    @helenmasele19432 жыл бұрын

    Ni tukio la kusikitisha ila GaraB ananichekesha🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @camillahamis1069
    @camillahamis10692 жыл бұрын

    Haibu Naona mm😀😀😀😀😀

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo48962 жыл бұрын

    Shetani mnamsingizia bwana; Uzembe wa hali ya juu...Ebu Watanzania tuwe responsible na na makosa yetu! The planning was horrible 😕

  • @childrengospelmissiontanza1474

    @childrengospelmissiontanza1474

    2 жыл бұрын

    Kwa kweli yaan huyu Shetani nae anatushangaa sana

  • @GloriousRestorationTV

    @GloriousRestorationTV

    2 жыл бұрын

    Nyie hamwelewi, hakuna ubaya usiotoka kwa ibilisi, na everything is planned in the Spiritual realm.....no coincidence

  • @glorytoGod639

    @glorytoGod639

    2 жыл бұрын

    Ni uzembe tu ulifanyika ile moto ulikuwa njiani sana

  • @joycekisamo4896

    @joycekisamo4896

    2 жыл бұрын

    @@GloriousRestorationTV Let me save my breath....it will be a wastage of my time and intelligence to dispute your statement. Sad 😔

  • @gracejonh4022
    @gracejonh40222 жыл бұрын

    Na mimi nimecheka km wenzangu wasio na ndoa 😄😄😄😄😄😄😄😄

  • @Emmamusiccmb
    @Emmamusiccmb2 жыл бұрын

    *NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI NAAMINI MTAUPENDA 🔥🎶🙏🙏🎶🔥*

  • @moodychanday9220
    @moodychanday92202 жыл бұрын

    Ila MC acha uongo unavyosimulia na picha ni tofauti kabisa mana unajifanya wewe umehusika kwenye msaada lakini huonekani ukitoa msaada huo kwenye ule mripuko 😂😂😂

  • @peninakilanga4349
    @peninakilanga43492 жыл бұрын

    Dah!

  • @princess-uf5ux
    @princess-uf5ux2 жыл бұрын

    Uyo atakua ex wake kasababisha hayo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @aminayusuph2627

    @aminayusuph2627

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @hassanhancha1413

    @hassanhancha1413

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂✌👐

  • @asfarsham9037

    @asfarsham9037

    2 жыл бұрын

    Lol umenchekesha kama mazuri

  • @tatubadi9010

    @tatubadi9010

    2 жыл бұрын

    🤣🤣

  • @ephraziachristopher1271
    @ephraziachristopher12712 жыл бұрын

    Hao inabid wasali sana kama mwanzo tu accident kabla ya haruc mmh

  • @nuratkalinga581
    @nuratkalinga5812 жыл бұрын

    Haya ndoo umeazima sasa sijui inakuwaje.

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi98442 жыл бұрын

    Sasa bibi harusi unalewa ukumbini jamani 🤣🤣

  • @nasrahassanabioll6559

    @nasrahassanabioll6559

    2 жыл бұрын

    Ma MC wanaona mambo nyieeee😀😀

  • @dottohamisi9844

    @dottohamisi9844

    2 жыл бұрын

    @@nasrahassanabioll6559 mm naona ningekauka kucheka 🤣

  • @joycehaule9717

    @joycehaule9717

    2 жыл бұрын

    Hakulewa bana

  • @kiri5807
    @kiri58072 жыл бұрын

    wacheni jealous kwani kuonavmwenzenu kaolewa dio nyinyi munabebwa tu . hapo akipata mume ndio pakusherehekea hasa wengi wanaitafuta chance km hiyo hawakujaaliwa wanaishiwa kufugwa . km ni moto kuweko ukumbini ni jumla ya mapambo na hawakuanza wao hiyo ni ajali km nyengine . kuna maharusi wanaanguka nakufa juu ya mastage mutasema wameyataka ? kwa vile kashapata mume angekaa kwake ? wacha wafurahiye siku yao na km nguo kuungua ni binaadamu wenye hasada km humu wamo wenye choyo na vijicho , wacheni hayo km nyinyi mumeshindwa kuyafanya uwezo haupo yeye anayamudu

  • @wamoroboy8963

    @wamoroboy8963

    2 жыл бұрын

    Shida sio uwezo na wewe kuwa mwelewa kwani wangapi wenye uwezo na kila siku wanafunga ndoa ukumbini bila kuweka atli kama hiz,

  • @kiri5807

    @kiri5807

    2 жыл бұрын

    @@wamoroboy8963 hawana uwezo hao wenye uwezo wanaonekana . hakuna mwenye uwezo akafanya arusi asisherehekee. arusi ni jambo pekee .

  • @sumamwaipopo8598
    @sumamwaipopo85982 жыл бұрын

    Pole jamani daaah

  • @najuf8021
    @najuf80212 жыл бұрын

    Dah

  • @kwampalangetv5511
    @kwampalangetv55112 жыл бұрын

    Mhhh dalili mbaya Sana hiyo wanatakiwa waombe Sana Sana . inaonesha ndoa yao mhhhhhhhh

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74912 жыл бұрын

    Ndoa hiyo gundu tupu 😅😅😅🤣

  • @happynelson1136
    @happynelson11362 жыл бұрын

    Kuna rafiki yangu mmoja siku ya harusi yake alikunywa mzinga mmoja wa whisky lakini yeye ni mlevi toka zamani

  • @selinamwikali4181

    @selinamwikali4181

    2 жыл бұрын

    Hahaha 😂😀

  • @user-ms8kn6xo9q

    @user-ms8kn6xo9q

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @happynelson1136

    @happynelson1136

    2 жыл бұрын

    @@user-ms8kn6xo9q na mimi nakunywa pombe lakini ni bia tu tena hapa kwetu weekend ndiyo inaanza leo nimekunywa bia kazaa naogopa kunywa bia nyingi sababu huwa nikinywa sana nawapigia simu polisi nawaambia kuna mtu anagonga mlangoni na polisi wamekuja nyumbani mara nyingi hawajaona mtu hapa naishi Ulaya

  • @bahatiagape7121

    @bahatiagape7121

    2 жыл бұрын

    Sasa unatakaje km alikunywa?yy ni mlev wa pombe.wewe je ni mlevi wa nini??

  • @happynelson1136

    @happynelson1136

    2 жыл бұрын

    @@bahatiagape7121 mimi ni mnywaji wa pombe lakini sio mlevi na nakunywa bia tu sigusi pombe kali pia nakunywa nyumbani tu sio kwenye baa wala sehemu yenye watu wengi na sijawahi kupata ajali yeyote nikiwa nimekunywa bia na bia inanifanya niwe na hamu ya kula vyakula vitamu

Келесі