GAUNI LA BIBI HARUSI LAWAKA MOTO UKUMBINI DAR, GARI LAO HUMMER LAGONGA
Siku ya harusi kikawaida wengi wetu huwa ni siku ya furaha lakini inapotokea visa vyenye mshikemshike huwa inatibua kabisa furaha hiyo, AyoTV leo inakuletea hizi dakika 7 za simulizi ya harusi ambayo moto ulishika kwenye gauni la Bibi Harusi wakati wakiingia ukumbini ambapo pamoja na kwamba pia siku hiyo ilionekana kuwa na vimikosi baada ya gari la Maharusi hao kuligonga gari jingine kabla ya kuingia ukumbini, haikuwapunguzia Maharusi hao furaha yao kwa namna yoyote ile....
Пікірлер: 429
Unapo kua na shughuli muwe mnatoa sadaka. Sadaka inakinga shari nyingi zinazo tokea.
@johannesishengoma1232
2 жыл бұрын
We umejuaje kuwa hawakutoa sadaka?
@chrissjoel7752
2 жыл бұрын
Sadaka gani unaisemea wewe? 🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒
@mariamhavile8849
2 жыл бұрын
Huwezi andaa sherehe bila kutoa sadaka kanisani au Kuna sadaka nyingine?
@shifaaal-baity4503
2 жыл бұрын
👍🏻👍🏻
@shifaaal-baity4503
2 жыл бұрын
@@johannesishengoma1232 yeye katoa ushauri..tu. Sisi waislamu tunaamini sadaka ni muhim sana
It's scary Ila GaraB speaks about it Kama Ni kitu kidogo kabisa; hii Ni attitude nzuri Sana ya ku-face changamoto yoyote in life.
Du hongera sana dada kwa ndoa nzuri na pole kwa misukosuko
Pole sana Dada Mshukuru Mungu wenda furaha yako ingegeuka kuwa majonz makubwa,, Mungu mwemaaa
Mbwembwe hizi, mtaja ua watoto wa watu, hakuna cha shetani wala nini, hivo vimoto mloweka hapo cjui mnaviitaje alivipitia karibu vikanasa kwenye shela.
@neemamohammed7359
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@user-ms8kn6xo9q
2 жыл бұрын
@@neemamohammed7359 🤣🤣🤣🤣
@nahimanamayassa8305
2 жыл бұрын
Ndio
@virendavictoria5174
2 жыл бұрын
Wewe ndio umenena yaan kitu kikitokea waafrika sie tunakimbiliaga kwenye imani za ajabu wkt hapo its obvious
@vampire9464
2 жыл бұрын
Kweli kabisa dada nilitaka kuandika hivo wabongo ushamba umetuzid sijui hivo vimoto vya nini kwenye harusi daaahhh
This is very dangerous uwii fireworks🙆♀️🙆♀️Ningeliaaaaa
Kwa jinsi watz tulivyo teyari wamehusisha na imani za kishirikina.tuaitoke nje ya simulizi tuliyopewa na washiriki wa hiyo sherehe.
wanatakiwa waombe sn hii ndoa
Mhmmm ndiyo Tanzania bhana hatari saana
Ashukuriwe Mungu Kwa kuwaepusha na hayo mabaya yoye
@nasraabdallah850
2 жыл бұрын
Amiin
@shufaahassan3122
2 жыл бұрын
Amin
@annastaziajohn8295
2 жыл бұрын
Amen🙏
huyo bi harusi mungu anampenda sana unapo muomba mungu akupe kitu fulani naye anakuja anakuonyesha upendo kuliko kile unamuitisha ahsante sana muumba wetu Amen🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺
Pitia nyimbo kali hapa Ammy t ft addah ni noma sana
Ishar mbaya kabisaaa daaah pole Sana jaman hmmm
Jaman
Mungu anakupenda dada shukuru sana Mungu,kwakukuepusha nahuo moto
Tunamshukuru Mungu akuungua m2 na shetani alishindwa ila uchawi tuu
Harusi za mbwembwe nyingi Nakujionesha kua Hela zipo Zina nuksi sana utakuta kakodi ilo gauni na Gari pia, Pole Yao wamejifunza kitu apo
@elviraramadhan3900
2 жыл бұрын
Hizi ni Hila Hujazipata tuu hizo hela, Kwan ww ukiwa nazo huwezi Kodi gauni hela hiyo🤣 Tz mna chuki za ajabu
@nasrahassanabioll6559
2 жыл бұрын
@@elviraramadhan3900 Tulioolewa bila shughuli yoyote kimya kimya na bado tukapigwa majuju tukaugua nusu ya kufa chuki tu zinakuwaga kwann aolewe fulani!! huwa hawaionei wivu ile sherehe bali ni ile ndoa inayopitishwa ndiyo wanayoifanyia hila kibao binaadam ss wengine hatar sana
@elviraramadhan3900
2 жыл бұрын
@@nasrahassanabioll6559 yaan sijui inakaaje hii kwa watanzania 🤣 mtu mwenyewe hamjui Ila Sasa chuki kama za mama wa kambo🙌
@fusotanzania8174
2 жыл бұрын
acha wivu wew
@shabanandrea9131
2 жыл бұрын
Roho mbaya tu ukizeeka nahisi utakuwa mchawi wewe ,
Eh mshakuwa mastar
Mmmh! Jamani...pole bi harusi
Duuuh pole yk
X wa huyu bwana harusi anahusika wallah. Khaaaaaaaaa 🙌🙌🙌 yaan gari lipate ajali, mara gauni lishike Moto ukumbuni loh🙌 uchawi upo
@OmanOman-sm6dv
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂nimecheka
DUU HIYO NI NGUMU SANA, MR BOB SOSY AKA KATIA WA ARUSHA MURIETI JIRANI KABISA NA MHESHIWA GAMBO
Nice
Daah polee ilaa mungu yupoo na wew
Halaf nilikodisha sasa. Na mwenyewe hataki lingine anataka lilelike
@elviraramadhan3900
2 жыл бұрын
Kama kaweza kulikod bas hela anazo
@officialbntrasool5223
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
Nimecheka huyo aliyelewa kabla ya sendoff 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
MAMOTO HAYO SASA YANINI KUMBINI!!!!!?? JIFUNZENI.
@jumamayunga5853
2 жыл бұрын
🤣🤣😂😂😂 cjui ya nn mi nawashangaa sana
@faidhamyovela179
2 жыл бұрын
Huyo mpambaj atakuwa na lake jambooooo asa moto og ukumbin wa nn angeungua je
@naimaofficial33
2 жыл бұрын
Mashaalah
@tamimtours6934
2 жыл бұрын
@@naimaofficial33 Naima Hujambo?
@leokamil6284
2 жыл бұрын
Haswa hizo ni cheche ni hatari alafu wameweka karibu uku wanajua shela ni pana na refu wameyataka wenyewe
Imeisha iyoooo na ndo isha fungu na shereee kimenukiswa x pole hahahahhahahaa
Wabongo mnapenda harusi adi gauni linawaka moto
Hahahahaaha hao waliolewa ndo wamenichekeshaaa
Sio vizuri wakati wa sherehe ukubini bi arusi kuvaa shela au gahuni. Shela ni ya kanisani tu.
@vailetheanyambilile9749
2 жыл бұрын
Kabisaaa
@daudinyello4033
2 жыл бұрын
kanisa letu popote unavaa
pole sana kwa maharusi
Mmh sio ishara nzuri hiyo,
Banda la wakala linauzwa Ukubwa futi 5 kwa 6 Nila chuma (hard metal) Limepigwa red oxide plus rangi Lipo daresalaam kigamboni Bei 600,000/= Maongezi yapo
@waytvtz2549
2 жыл бұрын
Ingelikuwa Arusha nalihitaji
Poleni sana jamani
Hujatoa wee bhnaaa mbona tunamuona mshikaji mwingine
Nyieeeeeee 🙌😭uchawi huu khaaaa 🙏
@fettyabiola1389
2 жыл бұрын
Mmmmmmmm acha uswahili kitu kawaida unaona apo na macho yako, uchawi uwo kwio😁😁
@neemadickson9526
2 жыл бұрын
@@fettyabiola1389 🙆🙆🙆🙆ndo nimeangalia mwanzo mwisho ushwahili gani sasa unasema
@fettyabiola1389
2 жыл бұрын
@@neemadickson9526 kwakuwa uyo mc kasema walipata ajali , we ajali ya uchawi unaujua, hashuo walizonazo kwenye gari umegonga tu gari la mtu , na uyo fire works ni fire kama jina lake moto unawaka na nguo tena shela neti na satin tupu ile unataka isiwake, kavaa mahmeli au nayo pia si mbele ya moto , firework za birth day cake humuunguza mtu sikwambii zile za sherehe, hakuna uchawi pale punguza imani izo
@neemadickson9526
2 жыл бұрын
@@fettyabiola1389 sawa nilikuwa sijawatch vzr dear ndomaana ila nimeshaelewa🤝
@jacksonmathayo6510
2 жыл бұрын
@@neemadickson9526 😂
Duh!!:Anasa vs Husda
Dah! Hii ajar niliiona mbez beach ya chinii hummer nyeupe... Dah! Nowmaaa
Mmeyataka wenyewe huo moto wanini humo ndani fundisho hata kwa wengine ila poleni
@elviraramadhan3900
2 жыл бұрын
Hii n roho mbaya Huo moto ni sehem ya sherehe tuu
Mungu akuinue sana mc nowachache sana wanaojua kuwa hizi ni hila za shetani
@NimuFx
2 жыл бұрын
MC Mtu wa Mungu sana. Abalikiwe sana. Shetani ni mjinga sana ujuwe
Mc GaraB garakubwaaaaaa❤❤❤❤👌
Hapo mwanamke alieahidiwa kuolewa kafanya yake baada ya kuona katoswa hataree sana
Kwahiyo na hiyo habari?
Hahaha aiseee yaduniani ahera hayapo
Pole Sana kwa misuko suko na umuombe Sana Mungu
Na shera Kama imekodiwa mmmh italipwa,, polen
Hizo ni dalili mbaya,Kuna wanadamu wabaya washafanya Mambo yao hapo
@mwanamisakulembwa1147
2 жыл бұрын
Ni hasad na ayni ....
@kiehbhzh7044
2 жыл бұрын
mambo.haya yapo tz pekee
@kiehbhzh7044
2 жыл бұрын
kama mlikodi ilo gauni mriripe sasa
@khadijaomari9344
2 жыл бұрын
mh
@adamfundikira1620
2 жыл бұрын
@@kiehbhzh7044 hahahaha angeungua tako bwana harusi asingeonja tunda
Mungu bariki nakusimamia ndoa maana shetani yupo kazini
😂😂😂 kaz ipo unasherekea uku unanuka moshi😂😂😂
Maombi yanini wakati nyie mlijichanganya kwan hamjui maana ya fire works? Yan kila kitu shetan na uchaw africa amken achen fikra pitofu
@tatubadi9010
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@gloryidelya9899
2 жыл бұрын
Maombi Nimuhimu Wakati wote
@brigidmua2548
2 жыл бұрын
Fire works bomb zenyewe
Tatizo mbwembwe nyingi punguzeni ria mungu hapendi
Dalili za kiama hizo ajali za moto zimekuwa nyingi Sana huu mwaka Allah atujalie mwisho mwema inshaallah
Kila siku nasema hii sio nzuri. Hata birthday za watoto mue makini. Mimi niko ulaya lakini vitu kama hivi wanaangalia safety kwanza ila kwetu wanaiga tuu hawafikiri
@ruuh5149
2 жыл бұрын
Sn yn wanapend sn kuiga hw
@angelageofrey9756
2 жыл бұрын
Ilikua bahati mbaya
@damariszuckschwert9489
2 жыл бұрын
Yashaunguza wengi sana
@chrissjoel7752
2 жыл бұрын
Kwahiyo ungetoa ushauri tu bila kusema kama upo ulaya tusingeelewa 🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒
@fridamapunda5079
2 жыл бұрын
Niunganishe nije ulaya mwaya maana uku Tanzania hakueleweki
Wabongo washamba sana hivo vimoto vya party mnaweka kwenye harusi daaahhh mbwembwee vimezidi matokeo ndio hayo
Mmmh........yatakayo Jiri baada ya miaka miwl MTUJuze
Duhhhh pole
Hizi decorations ziwe zinaangalia aina ya nguo anayovaa maharusi jaman.sa fire works zinawekwa karibu karibu wakat bi harusi kavaa gauni la cinderela??hapa hakuna cha uchawi ni kosa la event planner au mpambaji.Alitakiwa alipe fidia kwa hili
@leokamil6284
2 жыл бұрын
Kweli kosa ni lao wenyewe
Anachomeka na bado anapiga disco tu? Ni ulevi au nini???
Achen kutuchora nyie hizi kiki tu za mtandao mlikua mshajipanga kwa hilo 😂
Meno ya gara😋😋😋
God was in control
Tunako elekea tutaungana tu ktk ndoa zetu za MKEKA🤣 We unadhani ndoa yako itaizidi ile ya MBILIABERI aliyo fungia angani!? Na je? Ilidumu !!? Acheni ulimbukeni ktk ndoa,,,safari ni ndefu ! Bado hujaamka usiku saa 7 ukakuta MTOTO kachemka MWILI na unatakiwa uamke umpeleke hospitali !!!!(Acheni tamthilia )
Matukio kama haya yananogesha shughuli na ukumbusho pia kujulikana wapi habari zingeandikwa kama sio moto,kuna aliempiga Rais kiatu ila hadi leo anakumbukwa na ana jina watu wana mbinu huenda tukio lilipangwa ili habar itrend
@nasliasuleiman6954
2 жыл бұрын
Bdo mnaendelea kuchaza wakatimshaona hamuelewi
Gara B wewe ni nomaaa
Mmmm hatari
@othumanlorenzo260
2 жыл бұрын
Bana kin
Bora ww ulikumbuk Mungu kwanz ila Pole kwa bb harus
Oyooo
😂😂😂😂Usikute X wake ndo alitoa wazo la moto😂😂
@dufandaqueen1617
2 жыл бұрын
Wallah 🤣 🤣 🤣 🤣
@pauloregina2878
2 жыл бұрын
Hagahaaaaaaaaaa
@ngoshathedon2215
2 жыл бұрын
🤣😂😂itakuwa
@liliankessy1255
2 жыл бұрын
Hahahaha..itakua kweli afu ukizngatia wafipa hataree...
Polen sana
Hizo ni ishara mbaya wasali sana
Huyo bibi harusi kuna kitu alifanya 😂😂😂😂 🏃♂️
@nasrahassanabioll6559
2 жыл бұрын
😂kitu gani hicho tuambie na ss jaman tukijue
@shebbynzengula6993
2 жыл бұрын
@@nasrahassanabioll6559 itakuwa kaiba mwanaume wa mtu huyo 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂Inafurahisha aki
Full video ya gauni la Bibi harisi likiungua kzread.info/dash/bejne/qoNntZmfcpuukc4.html
Mm naomb kuuliza hiv huyu gara B analipwa bei gani jamani maana nampenda anajua kunogesha
Wahenga hawakukosea waliposema kuchamba kwingi lazima uondoke na kipande cha nnya!!!
Hatariiii sanaaaa
Aya ni majanga jamani
Duuuh hiyo kali.
Makubwaaaa 🤔🤔🤔
Husda iyo
Dah asee 😪
Subhannallah, mtihani kwakweli very bad 😢😏
@mariahyera3737
2 жыл бұрын
Shetani alijiinua alitaka kufanya uharibifu. Tunamshukuru sana Mungu kwa uweza wake.
Ni tukio la kusikitisha ila GaraB ananichekesha🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Haibu Naona mm😀😀😀😀😀
Shetani mnamsingizia bwana; Uzembe wa hali ya juu...Ebu Watanzania tuwe responsible na na makosa yetu! The planning was horrible 😕
@childrengospelmissiontanza1474
2 жыл бұрын
Kwa kweli yaan huyu Shetani nae anatushangaa sana
@GloriousRestorationTV
2 жыл бұрын
Nyie hamwelewi, hakuna ubaya usiotoka kwa ibilisi, na everything is planned in the Spiritual realm.....no coincidence
@glorytoGod639
2 жыл бұрын
Ni uzembe tu ulifanyika ile moto ulikuwa njiani sana
@joycekisamo4896
2 жыл бұрын
@@GloriousRestorationTV Let me save my breath....it will be a wastage of my time and intelligence to dispute your statement. Sad 😔
Na mimi nimecheka km wenzangu wasio na ndoa 😄😄😄😄😄😄😄😄
*NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI NAAMINI MTAUPENDA 🔥🎶🙏🙏🎶🔥*
Ila MC acha uongo unavyosimulia na picha ni tofauti kabisa mana unajifanya wewe umehusika kwenye msaada lakini huonekani ukitoa msaada huo kwenye ule mripuko 😂😂😂
Dah!
Uyo atakua ex wake kasababisha hayo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@aminayusuph2627
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@hassanhancha1413
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂✌👐
@asfarsham9037
2 жыл бұрын
Lol umenchekesha kama mazuri
@tatubadi9010
2 жыл бұрын
🤣🤣
Hao inabid wasali sana kama mwanzo tu accident kabla ya haruc mmh
Haya ndoo umeazima sasa sijui inakuwaje.
Sasa bibi harusi unalewa ukumbini jamani 🤣🤣
@nasrahassanabioll6559
2 жыл бұрын
Ma MC wanaona mambo nyieeee😀😀
@dottohamisi9844
2 жыл бұрын
@@nasrahassanabioll6559 mm naona ningekauka kucheka 🤣
@joycehaule9717
2 жыл бұрын
Hakulewa bana
wacheni jealous kwani kuonavmwenzenu kaolewa dio nyinyi munabebwa tu . hapo akipata mume ndio pakusherehekea hasa wengi wanaitafuta chance km hiyo hawakujaaliwa wanaishiwa kufugwa . km ni moto kuweko ukumbini ni jumla ya mapambo na hawakuanza wao hiyo ni ajali km nyengine . kuna maharusi wanaanguka nakufa juu ya mastage mutasema wameyataka ? kwa vile kashapata mume angekaa kwake ? wacha wafurahiye siku yao na km nguo kuungua ni binaadamu wenye hasada km humu wamo wenye choyo na vijicho , wacheni hayo km nyinyi mumeshindwa kuyafanya uwezo haupo yeye anayamudu
@wamoroboy8963
2 жыл бұрын
Shida sio uwezo na wewe kuwa mwelewa kwani wangapi wenye uwezo na kila siku wanafunga ndoa ukumbini bila kuweka atli kama hiz,
@kiri5807
2 жыл бұрын
@@wamoroboy8963 hawana uwezo hao wenye uwezo wanaonekana . hakuna mwenye uwezo akafanya arusi asisherehekee. arusi ni jambo pekee .
Pole jamani daaah
Dah
Mhhh dalili mbaya Sana hiyo wanatakiwa waombe Sana Sana . inaonesha ndoa yao mhhhhhhhh
Ndoa hiyo gundu tupu 😅😅😅🤣
Kuna rafiki yangu mmoja siku ya harusi yake alikunywa mzinga mmoja wa whisky lakini yeye ni mlevi toka zamani
@selinamwikali4181
2 жыл бұрын
Hahaha 😂😀
@user-ms8kn6xo9q
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@happynelson1136
2 жыл бұрын
@@user-ms8kn6xo9q na mimi nakunywa pombe lakini ni bia tu tena hapa kwetu weekend ndiyo inaanza leo nimekunywa bia kazaa naogopa kunywa bia nyingi sababu huwa nikinywa sana nawapigia simu polisi nawaambia kuna mtu anagonga mlangoni na polisi wamekuja nyumbani mara nyingi hawajaona mtu hapa naishi Ulaya
@bahatiagape7121
2 жыл бұрын
Sasa unatakaje km alikunywa?yy ni mlev wa pombe.wewe je ni mlevi wa nini??
@happynelson1136
2 жыл бұрын
@@bahatiagape7121 mimi ni mnywaji wa pombe lakini sio mlevi na nakunywa bia tu sigusi pombe kali pia nakunywa nyumbani tu sio kwenye baa wala sehemu yenye watu wengi na sijawahi kupata ajali yeyote nikiwa nimekunywa bia na bia inanifanya niwe na hamu ya kula vyakula vitamu