EPUKA MAFANIKIO YA HARAKA - JOEL NANAUKA

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 83

  • @water_music40
    @water_music409 ай бұрын

    kama mimi wakati mwingine naonyesha uwezo wangu kuvutia fursa nyingine kumbe kwa wengine nawakela wananiona me mjuaji. najikuta nainua vita ambayo sijawahi hifikilia mpaka najiuliza mimi ni raisi au mbunge au nani. maana hyo vita ingemfaa mtu mashuhuri na maarufu, najikuta nimeivaa mimi. SOMO LAKO ZURI SANA KAKA naendelea kujifunza kupata chakula cha ubongo. Hii video imenigusa sana.... UBARIKIWE

  • @dijohbanks4312

    @dijohbanks4312

    8 ай бұрын

    kaka hapo umenigusa sana nimeona kumbe unapo onyesha uwezo wako kwa watu ndipo unaongeza na idadi ya maadui

  • @franciscamoshi7671
    @franciscamoshi76713 ай бұрын

    Unaweza sana my son.Zidi kusaidia hiki kizazi.Ubarikiwe sana.

  • @succeslifeeducation9868
    @succeslifeeducation98689 ай бұрын

    Brother hiyo ya hasara ya kwanza umezungumzia vizur sana daah😢😢😢😢

  • @GoodluckMakona-jz5ob
    @GoodluckMakona-jz5ob9 ай бұрын

    Ni keep kabisa,mungu akubariki

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije27699 ай бұрын

    Yana umiza sana nilisha wahi kupambana nayo umenikumbusha maumivu.

  • @user-gy1lb9fo2b
    @user-gy1lb9fo2b9 ай бұрын

    Umenifurahisha usiishi maisha wale ambao wangekusaidia wanaomba msaada kwako

  • @ussiussi3413
    @ussiussi34139 ай бұрын

    Ahsante kwa masomo mwalimu.

  • @succeslifeeducation9868
    @succeslifeeducation98689 ай бұрын

    Daah yan KAKA umeongea point kubwa sana

  • @mchattachattanoga7795
    @mchattachattanoga77959 ай бұрын

    Akika nilikuwa gizani mungu akuongezee umri mrefu kaka yetu

  • @user-iq1pd5rc4o
    @user-iq1pd5rc4o9 ай бұрын

    Thank you brother joel

  • @user-yb6vc3yq5s
    @user-yb6vc3yq5s9 ай бұрын

    Kazi nzuri naezaje kupata vitabu viako

  • @robinsonrespicius2713
    @robinsonrespicius27139 ай бұрын

    Thanks for taking your time to prepare this wonderful Clip, But mafanikio ni mafanikio Kaka Joel yawe ya haraka au ya mchakato , sometimes Opportunity comes just once ukitafakar MHUBIRI 9:11 , ITS ALL ABOUT TIME AND CHANCE Ila unavyo yamanage hayo mafanikio yako hapo ndipo Mr Joel Ninakubaliana nawewe

  • @tzmagaladiah5680
    @tzmagaladiah56804 ай бұрын

    Asante nime kifunza kuti apa wakati natoka kwenye duka nilikuwa na fanya part time na kufungua langu nijioana naweza kila kitu bila ata msaada wa alie kuwa boss wangu lakin kadri nilivyo kuwa na zidi kufahamika ndio nilivyo zidi kupoteza mtaji ila kupitia speach zako nimeanza tena kunyanyuka asante sana ❤

  • @joelngeleja5467
    @joelngeleja54679 ай бұрын

    Silence is a power i like that.

  • @user-on7cj1dn7n
    @user-on7cj1dn7n5 ай бұрын

    Kaka vitabu vyako vinapatikanaje mimi niko zanzibar

  • @jamesdonasian9954
    @jamesdonasian99544 ай бұрын

    Asante Sana somo zuri

  • @TsidkenuTsidkenu-ep1yd
    @TsidkenuTsidkenu-ep1yd7 ай бұрын

    Asante sana mwl Joël Nami Nina pitiya hiyo kwasababu yaku onekana lkn Nina kamata mpango yaku kuwa silence😮

  • @wodeemma-pf9ug
    @wodeemma-pf9ug9 ай бұрын

    asnte sanaa mheshimiwa joel uko na elimu ambayo ata kijana ambae mindset yake ime athiriwa kiasi kikubwa kwa kiasi chake anabadilika asaneh sana broo mungu akubless

  • @GanstaNiga
    @GanstaNiga9 ай бұрын

    Asante sana kwa darasa lako umenifanya nijiamini sana mungu akubariki🤲

  • @evansmayuro8038
    @evansmayuro80388 ай бұрын

    Hii nimeipenda

  • @InosentSilaa-jm5oe
    @InosentSilaa-jm5oe9 ай бұрын

    Kaka Joel nashindwa kusema ww ni mtu wa namna Gani naona kuseme mungu asikupungukie maarifa🎉

  • @hakizimanagerome9274
    @hakizimanagerome92749 ай бұрын

    Joel I love you , Joel I love you mdda mwingine nasikia uoga wakutaja jina lako

  • @danchibomnyama5461
    @danchibomnyama54619 ай бұрын

    Asante san kaka Joel umenifungua akili daaah mungu akubariki sana

  • @HeriethSylvester-dm3nb
    @HeriethSylvester-dm3nb9 ай бұрын

    Ahsante kaka hii hata kwenye maisha ya kawaida mtu anaishi tofauti na level yke mpk cku akishikwa hajui nani amuendee kwa ajili ya msaada ni hatar

  • @robertjisandu56
    @robertjisandu569 ай бұрын

    Yes is true

  • @goodluckmringo2265
    @goodluckmringo22659 ай бұрын

    Nimefanikiwa kupanda kwa kasi na kupotea kwa kasi pia. Cku famham hata vita zilitokea wap Nimejifunza sana

  • @twahasuleiman-lo9vl
    @twahasuleiman-lo9vl9 ай бұрын

    Mr Nanauka, Thanksgiving, 😢😢❤❤❤

  • @Udindigwa
    @Udindigwa9 ай бұрын

    Hakika Yani

  • @Yonzomc01
    @Yonzomc015 ай бұрын

    Hasante 🙏

  • @eliamalila3106
    @eliamalila31069 ай бұрын

    Njia nne fedha ziliko jificha 1,idear 2,kwenye matatizo,,3,kipaji,4,network,Kuna wazo ninalo ila namna Gani naweza NJ ikatoa woga na kuanzisha Hilo wazo

  • @Olomy907
    @Olomy9079 ай бұрын

    Somo limeeleweka mheshimiwa brkw sana

  • @magrethjohn4929
    @magrethjohn49299 ай бұрын

    Thanks uncle joel Mungu akupe wepesi kwenye kaz zako

  • @vitrahbongz9420
    @vitrahbongz94209 ай бұрын

    Ukweli mtupu

  • @FELISTERPETER-jf9jv
    @FELISTERPETER-jf9jv9 ай бұрын

    Asante Sana Joel nimejifunza Mambo mengi sana kupitia kwako

  • @zubedajumanne8819
    @zubedajumanne88199 ай бұрын

    Shukran kwa Somo Zuri,kaka Joel 🙏

  • @johnfabian-xg3sq
    @johnfabian-xg3sq9 ай бұрын

    Asante sana broo

  • @user-zr8fu9fl8k
    @user-zr8fu9fl8k9 ай бұрын

    Asante MUNGU ambaye amekutuma wewe leo kunusuru hatua zangu na kunipa subira, Mungu akutunze sana mwalimu wangu.

  • @lilianmolel9965
    @lilianmolel99659 ай бұрын

    Nijitaidi nielewe somo hili lakini sijaelewa hili somo kabisa

  • @user-uj7dt8br3z
    @user-uj7dt8br3z9 ай бұрын

    Kaka j nakuelewa sana yaan Toka nimeanza kukufuatilia kiukweli na barikiwa

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius95269 ай бұрын

    Barikiwa zaidi kaka Joel

  • @saumuyahaya8959
    @saumuyahaya89599 ай бұрын

    Yaani nakukubali sana hiyo tabia inawatu wengi na hawaendi mbali

  • @challengesinthewild4193
    @challengesinthewild41939 ай бұрын

    Content imejitosheleza👏... Asanteee sana

  • @mgangamjita8657
    @mgangamjita86579 ай бұрын

    Nimekuelewa sana mwanazuoni

  • @vitarismujuni6889
    @vitarismujuni68899 ай бұрын

    Awamu hiyapo wanajipandisha sana

  • @mahambagislain9618
    @mahambagislain96189 ай бұрын

    Asante kwa onyo ✍️🇨🇩

  • @josephpartson6053
    @josephpartson60539 ай бұрын

    Thanks mentor

  • @damaridaudi9785
    @damaridaudi97859 ай бұрын

    amina amina asante sana

  • @julianmadosh2951
    @julianmadosh29519 ай бұрын

    Asante sana kaka nakuelewa sana

  • @ahz6907
    @ahz69079 ай бұрын

    Be blessed bro

  • @194summer
    @194summer9 ай бұрын

    Sure my mentor

  • @user-qk1th5mb6z
    @user-qk1th5mb6z9 ай бұрын

    Kweli kabisa,nimekuelewa mheshimiwa

  • @Patrick-rf6ro
    @Patrick-rf6ro9 ай бұрын

    Ubarikiwe Sana

  • @user-ef2om7ep1z
    @user-ef2om7ep1z9 ай бұрын

    Ubarikiwe sana

  • @user-vz8it8bt1b
    @user-vz8it8bt1b9 ай бұрын

    Dah cjui ata niseme nini Mr @joelnanauka but mungu akupe mda mrefu

  • @hdjirungakashililika7538
    @hdjirungakashililika75389 ай бұрын

    Asante kwa darasa huru,❤ 10:06

  • @justinebaada9079
    @justinebaada90799 ай бұрын

    Nakuelewa sana kaka

  • @AYUBMWANGOKA
    @AYUBMWANGOKA9 ай бұрын

    Fantastic

  • @venancezumba202
    @venancezumba2029 ай бұрын

    Uko vizur

  • @moneyfollowme737
    @moneyfollowme7379 ай бұрын

    Thanks bro

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj9 ай бұрын

    Asante sana

  • @brightdaudi2908
    @brightdaudi29089 ай бұрын

    Excellent

  • @hijakuyu8738
    @hijakuyu87389 ай бұрын

    👍

  • @prospersanga7942
    @prospersanga79429 ай бұрын

    Real 💯

  • @ebenezeryngajilo-luvonike7741
    @ebenezeryngajilo-luvonike77419 ай бұрын

    Asantee umenigusa

  • @abdlhaleem8380
    @abdlhaleem83809 ай бұрын

    2000 generation 🗿

  • @yunussani3871
    @yunussani38719 ай бұрын

    You never disappoint... thanks for the knowledge.

  • @user-fv7mi7qx9j
    @user-fv7mi7qx9j9 ай бұрын

    Asante

  • @januarybayo6216
    @januarybayo62169 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @albertchales9459
    @albertchales94599 ай бұрын

    nikwiri kabisa

  • @user-kt1ts1db4b
    @user-kt1ts1db4b9 ай бұрын

    Umenielimisha zaidi ya kuingia darasanii😂😂

  • @emmanuelmalele1439
    @emmanuelmalele14399 ай бұрын

    3:27❤️

  • @richardkirongo4835
    @richardkirongo48359 ай бұрын

    Ni rais sana kuelewa kwa kile ulichoongea na ni ngumu sana kuelewa (Umeongea zaidi KIROHO) na nimekuelewa zaidi Kaka

  • @yonasamweli1420
    @yonasamweli14209 ай бұрын

    Kaka naomba siku utusaidia kuusu usimamizi wa mirad kwasabab wengi tunatamani kufungua mirad nakuajir watu watusimamie lakin binafsi naogopa kuibiw kwasababu tu nilisikia kinamtu aliajir mtu akakimbia na bizaa, yan inshort tu naomba unifundishe namna gani naweza kusimamia ntakaye mwajil

  • @FrolaJoram-eg1ng
    @FrolaJoram-eg1ng9 ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari76489 ай бұрын

    Nikweli kwa unachokisema

  • @geofreysimon6421
    @geofreysimon64219 ай бұрын

    Hii imeenda

  • @beatriceresiato3308

    @beatriceresiato3308

    9 ай бұрын

    Yer

  • @fredrickmkorongo

    @fredrickmkorongo

    9 ай бұрын

    ubarikiwe kwa kaz nzuri

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand5669 ай бұрын

    Ndiyo maana mafanikio ukiyapata ghafla yanaondoka ghafla

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum72799 ай бұрын

    ✍️✍️✍️✌️

  • @deniesdmn2126
    @deniesdmn21268 ай бұрын

    @Chief godlove 😂