kama mimi wakati mwingine naonyesha uwezo wangu kuvutia fursa nyingine kumbe kwa wengine nawakela wananiona me mjuaji. najikuta nainua vita ambayo sijawahi hifikilia mpaka najiuliza mimi ni raisi au mbunge au nani. maana hyo vita ingemfaa mtu mashuhuri na maarufu, najikuta nimeivaa mimi. SOMO LAKO ZURI SANA KAKA naendelea kujifunza kupata chakula cha ubongo. Hii video imenigusa sana.... UBARIKIWE
@dijohbanks4312
8 ай бұрын
kaka hapo umenigusa sana nimeona kumbe unapo onyesha uwezo wako kwa watu ndipo unaongeza na idadi ya maadui
@franciscamoshi76713 ай бұрын
Unaweza sana my son.Zidi kusaidia hiki kizazi.Ubarikiwe sana.
@succeslifeeducation98689 ай бұрын
Brother hiyo ya hasara ya kwanza umezungumzia vizur sana daah😢😢😢😢
@GoodluckMakona-jz5ob9 ай бұрын
Ni keep kabisa,mungu akubariki
@abrahammwambije27699 ай бұрын
Yana umiza sana nilisha wahi kupambana nayo umenikumbusha maumivu.
@user-gy1lb9fo2b9 ай бұрын
Umenifurahisha usiishi maisha wale ambao wangekusaidia wanaomba msaada kwako
@ussiussi34139 ай бұрын
Ahsante kwa masomo mwalimu.
@succeslifeeducation98689 ай бұрын
Daah yan KAKA umeongea point kubwa sana
@mchattachattanoga77959 ай бұрын
Akika nilikuwa gizani mungu akuongezee umri mrefu kaka yetu
@user-iq1pd5rc4o9 ай бұрын
Thank you brother joel
@user-yb6vc3yq5s9 ай бұрын
Kazi nzuri naezaje kupata vitabu viako
@robinsonrespicius27139 ай бұрын
Thanks for taking your time to prepare this wonderful Clip, But mafanikio ni mafanikio Kaka Joel yawe ya haraka au ya mchakato , sometimes Opportunity comes just once ukitafakar MHUBIRI 9:11 , ITS ALL ABOUT TIME AND CHANCE Ila unavyo yamanage hayo mafanikio yako hapo ndipo Mr Joel Ninakubaliana nawewe
@tzmagaladiah56804 ай бұрын
Asante nime kifunza kuti apa wakati natoka kwenye duka nilikuwa na fanya part time na kufungua langu nijioana naweza kila kitu bila ata msaada wa alie kuwa boss wangu lakin kadri nilivyo kuwa na zidi kufahamika ndio nilivyo zidi kupoteza mtaji ila kupitia speach zako nimeanza tena kunyanyuka asante sana ❤
@joelngeleja54679 ай бұрын
Silence is a power i like that.
@user-on7cj1dn7n5 ай бұрын
Kaka vitabu vyako vinapatikanaje mimi niko zanzibar
@jamesdonasian99544 ай бұрын
Asante Sana somo zuri
@TsidkenuTsidkenu-ep1yd7 ай бұрын
Asante sana mwl Joël Nami Nina pitiya hiyo kwasababu yaku onekana lkn Nina kamata mpango yaku kuwa silence😮
@wodeemma-pf9ug9 ай бұрын
asnte sanaa mheshimiwa joel uko na elimu ambayo ata kijana ambae mindset yake ime athiriwa kiasi kikubwa kwa kiasi chake anabadilika asaneh sana broo mungu akubless
@GanstaNiga9 ай бұрын
Asante sana kwa darasa lako umenifanya nijiamini sana mungu akubariki🤲
@evansmayuro80388 ай бұрын
Hii nimeipenda
@InosentSilaa-jm5oe9 ай бұрын
Kaka Joel nashindwa kusema ww ni mtu wa namna Gani naona kuseme mungu asikupungukie maarifa🎉
@hakizimanagerome92749 ай бұрын
Joel I love you , Joel I love you mdda mwingine nasikia uoga wakutaja jina lako
@danchibomnyama54619 ай бұрын
Asante san kaka Joel umenifungua akili daaah mungu akubariki sana
@HeriethSylvester-dm3nb9 ай бұрын
Ahsante kaka hii hata kwenye maisha ya kawaida mtu anaishi tofauti na level yke mpk cku akishikwa hajui nani amuendee kwa ajili ya msaada ni hatar
@robertjisandu569 ай бұрын
Yes is true
@goodluckmringo22659 ай бұрын
Nimefanikiwa kupanda kwa kasi na kupotea kwa kasi pia. Cku famham hata vita zilitokea wap Nimejifunza sana
@twahasuleiman-lo9vl9 ай бұрын
Mr Nanauka, Thanksgiving, 😢😢❤❤❤
@Udindigwa9 ай бұрын
Hakika Yani
@Yonzomc015 ай бұрын
Hasante 🙏
@eliamalila31069 ай бұрын
Njia nne fedha ziliko jificha 1,idear 2,kwenye matatizo,,3,kipaji,4,network,Kuna wazo ninalo ila namna Gani naweza NJ ikatoa woga na kuanzisha Hilo wazo
@Olomy9079 ай бұрын
Somo limeeleweka mheshimiwa brkw sana
@magrethjohn49299 ай бұрын
Thanks uncle joel Mungu akupe wepesi kwenye kaz zako
@vitrahbongz94209 ай бұрын
Ukweli mtupu
@FELISTERPETER-jf9jv9 ай бұрын
Asante Sana Joel nimejifunza Mambo mengi sana kupitia kwako
@zubedajumanne88199 ай бұрын
Shukran kwa Somo Zuri,kaka Joel 🙏
@johnfabian-xg3sq9 ай бұрын
Asante sana broo
@user-zr8fu9fl8k9 ай бұрын
Asante MUNGU ambaye amekutuma wewe leo kunusuru hatua zangu na kunipa subira, Mungu akutunze sana mwalimu wangu.
@lilianmolel99659 ай бұрын
Nijitaidi nielewe somo hili lakini sijaelewa hili somo kabisa
@user-uj7dt8br3z9 ай бұрын
Kaka j nakuelewa sana yaan Toka nimeanza kukufuatilia kiukweli na barikiwa
@shukranjulius95269 ай бұрын
Barikiwa zaidi kaka Joel
@saumuyahaya89599 ай бұрын
Yaani nakukubali sana hiyo tabia inawatu wengi na hawaendi mbali
@challengesinthewild41939 ай бұрын
Content imejitosheleza👏... Asanteee sana
@mgangamjita86579 ай бұрын
Nimekuelewa sana mwanazuoni
@vitarismujuni68899 ай бұрын
Awamu hiyapo wanajipandisha sana
@mahambagislain96189 ай бұрын
Asante kwa onyo ✍️🇨🇩
@josephpartson60539 ай бұрын
Thanks mentor
@damaridaudi97859 ай бұрын
amina amina asante sana
@julianmadosh29519 ай бұрын
Asante sana kaka nakuelewa sana
@ahz69079 ай бұрын
Be blessed bro
@194summer9 ай бұрын
Sure my mentor
@user-qk1th5mb6z9 ай бұрын
Kweli kabisa,nimekuelewa mheshimiwa
@Patrick-rf6ro9 ай бұрын
Ubarikiwe Sana
@user-ef2om7ep1z9 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@user-vz8it8bt1b9 ай бұрын
Dah cjui ata niseme nini Mr @joelnanauka but mungu akupe mda mrefu
@hdjirungakashililika75389 ай бұрын
Asante kwa darasa huru,❤ 10:06
@justinebaada90799 ай бұрын
Nakuelewa sana kaka
@AYUBMWANGOKA9 ай бұрын
Fantastic
@venancezumba2029 ай бұрын
Uko vizur
@moneyfollowme7379 ай бұрын
Thanks bro
@MwanaishaHemed-xi6rj9 ай бұрын
Asante sana
@brightdaudi29089 ай бұрын
Excellent
@hijakuyu87389 ай бұрын
👍
@prospersanga79429 ай бұрын
Real 💯
@ebenezeryngajilo-luvonike77419 ай бұрын
Asantee umenigusa
@abdlhaleem83809 ай бұрын
2000 generation 🗿
@yunussani38719 ай бұрын
You never disappoint... thanks for the knowledge.
@user-fv7mi7qx9j9 ай бұрын
Asante
@januarybayo62169 ай бұрын
❤❤❤
@albertchales94599 ай бұрын
nikwiri kabisa
@user-kt1ts1db4b9 ай бұрын
Umenielimisha zaidi ya kuingia darasanii😂😂
@emmanuelmalele14399 ай бұрын
3:27❤️
@richardkirongo48359 ай бұрын
Ni rais sana kuelewa kwa kile ulichoongea na ni ngumu sana kuelewa (Umeongea zaidi KIROHO) na nimekuelewa zaidi Kaka
@yonasamweli14209 ай бұрын
Kaka naomba siku utusaidia kuusu usimamizi wa mirad kwasabab wengi tunatamani kufungua mirad nakuajir watu watusimamie lakin binafsi naogopa kuibiw kwasababu tu nilisikia kinamtu aliajir mtu akakimbia na bizaa, yan inshort tu naomba unifundishe namna gani naweza kusimamia ntakaye mwajil
@FrolaJoram-eg1ng9 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@bernadetachari76489 ай бұрын
Nikweli kwa unachokisema
@geofreysimon64219 ай бұрын
Hii imeenda
@beatriceresiato3308
9 ай бұрын
Yer
@fredrickmkorongo
9 ай бұрын
ubarikiwe kwa kaz nzuri
@bonifaceferdinand5669 ай бұрын
Ndiyo maana mafanikio ukiyapata ghafla yanaondoka ghafla
Пікірлер: 83
kama mimi wakati mwingine naonyesha uwezo wangu kuvutia fursa nyingine kumbe kwa wengine nawakela wananiona me mjuaji. najikuta nainua vita ambayo sijawahi hifikilia mpaka najiuliza mimi ni raisi au mbunge au nani. maana hyo vita ingemfaa mtu mashuhuri na maarufu, najikuta nimeivaa mimi. SOMO LAKO ZURI SANA KAKA naendelea kujifunza kupata chakula cha ubongo. Hii video imenigusa sana.... UBARIKIWE
@dijohbanks4312
8 ай бұрын
kaka hapo umenigusa sana nimeona kumbe unapo onyesha uwezo wako kwa watu ndipo unaongeza na idadi ya maadui
Unaweza sana my son.Zidi kusaidia hiki kizazi.Ubarikiwe sana.
Brother hiyo ya hasara ya kwanza umezungumzia vizur sana daah😢😢😢😢
Ni keep kabisa,mungu akubariki
Yana umiza sana nilisha wahi kupambana nayo umenikumbusha maumivu.
Umenifurahisha usiishi maisha wale ambao wangekusaidia wanaomba msaada kwako
Ahsante kwa masomo mwalimu.
Daah yan KAKA umeongea point kubwa sana
Akika nilikuwa gizani mungu akuongezee umri mrefu kaka yetu
Thank you brother joel
Kazi nzuri naezaje kupata vitabu viako
Thanks for taking your time to prepare this wonderful Clip, But mafanikio ni mafanikio Kaka Joel yawe ya haraka au ya mchakato , sometimes Opportunity comes just once ukitafakar MHUBIRI 9:11 , ITS ALL ABOUT TIME AND CHANCE Ila unavyo yamanage hayo mafanikio yako hapo ndipo Mr Joel Ninakubaliana nawewe
Asante nime kifunza kuti apa wakati natoka kwenye duka nilikuwa na fanya part time na kufungua langu nijioana naweza kila kitu bila ata msaada wa alie kuwa boss wangu lakin kadri nilivyo kuwa na zidi kufahamika ndio nilivyo zidi kupoteza mtaji ila kupitia speach zako nimeanza tena kunyanyuka asante sana ❤
Silence is a power i like that.
Kaka vitabu vyako vinapatikanaje mimi niko zanzibar
Asante Sana somo zuri
Asante sana mwl Joël Nami Nina pitiya hiyo kwasababu yaku onekana lkn Nina kamata mpango yaku kuwa silence😮
asnte sanaa mheshimiwa joel uko na elimu ambayo ata kijana ambae mindset yake ime athiriwa kiasi kikubwa kwa kiasi chake anabadilika asaneh sana broo mungu akubless
Asante sana kwa darasa lako umenifanya nijiamini sana mungu akubariki🤲
Hii nimeipenda
Kaka Joel nashindwa kusema ww ni mtu wa namna Gani naona kuseme mungu asikupungukie maarifa🎉
Joel I love you , Joel I love you mdda mwingine nasikia uoga wakutaja jina lako
Asante san kaka Joel umenifungua akili daaah mungu akubariki sana
Ahsante kaka hii hata kwenye maisha ya kawaida mtu anaishi tofauti na level yke mpk cku akishikwa hajui nani amuendee kwa ajili ya msaada ni hatar
Yes is true
Nimefanikiwa kupanda kwa kasi na kupotea kwa kasi pia. Cku famham hata vita zilitokea wap Nimejifunza sana
Mr Nanauka, Thanksgiving, 😢😢❤❤❤
Hakika Yani
Hasante 🙏
Njia nne fedha ziliko jificha 1,idear 2,kwenye matatizo,,3,kipaji,4,network,Kuna wazo ninalo ila namna Gani naweza NJ ikatoa woga na kuanzisha Hilo wazo
Somo limeeleweka mheshimiwa brkw sana
Thanks uncle joel Mungu akupe wepesi kwenye kaz zako
Ukweli mtupu
Asante Sana Joel nimejifunza Mambo mengi sana kupitia kwako
Shukran kwa Somo Zuri,kaka Joel 🙏
Asante sana broo
Asante MUNGU ambaye amekutuma wewe leo kunusuru hatua zangu na kunipa subira, Mungu akutunze sana mwalimu wangu.
Nijitaidi nielewe somo hili lakini sijaelewa hili somo kabisa
Kaka j nakuelewa sana yaan Toka nimeanza kukufuatilia kiukweli na barikiwa
Barikiwa zaidi kaka Joel
Yaani nakukubali sana hiyo tabia inawatu wengi na hawaendi mbali
Content imejitosheleza👏... Asanteee sana
Nimekuelewa sana mwanazuoni
Awamu hiyapo wanajipandisha sana
Asante kwa onyo ✍️🇨🇩
Thanks mentor
amina amina asante sana
Asante sana kaka nakuelewa sana
Be blessed bro
Sure my mentor
Kweli kabisa,nimekuelewa mheshimiwa
Ubarikiwe Sana
Ubarikiwe sana
Dah cjui ata niseme nini Mr @joelnanauka but mungu akupe mda mrefu
Asante kwa darasa huru,❤ 10:06
Nakuelewa sana kaka
Fantastic
Uko vizur
Thanks bro
Asante sana
Excellent
👍
Real 💯
Asantee umenigusa
2000 generation 🗿
You never disappoint... thanks for the knowledge.
Asante
❤❤❤
nikwiri kabisa
Umenielimisha zaidi ya kuingia darasanii😂😂
3:27❤️
Ni rais sana kuelewa kwa kile ulichoongea na ni ngumu sana kuelewa (Umeongea zaidi KIROHO) na nimekuelewa zaidi Kaka
Kaka naomba siku utusaidia kuusu usimamizi wa mirad kwasabab wengi tunatamani kufungua mirad nakuajir watu watusimamie lakin binafsi naogopa kuibiw kwasababu tu nilisikia kinamtu aliajir mtu akakimbia na bizaa, yan inshort tu naomba unifundishe namna gani naweza kusimamia ntakaye mwajil
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nikweli kwa unachokisema
Hii imeenda
@beatriceresiato3308
9 ай бұрын
Yer
@fredrickmkorongo
9 ай бұрын
ubarikiwe kwa kaz nzuri
Ndiyo maana mafanikio ukiyapata ghafla yanaondoka ghafla
✍️✍️✍️✌️
@Chief godlove 😂