VIGEZO VYA KUJUA WATU SAHIHI - JOEL NANAUKA

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 131

  • @stanleyandrea5153
    @stanleyandrea515310 ай бұрын

    Kabla sijamkalibisha mtu kuwa rafiki angu. Nahakikisha kutofungua milango xana. So binadam ni watu wa kuwa nao mkini sana . AHSANTE 🙏 nazidi kuwa imala

  • @enosmwangondaofficial8589
    @enosmwangondaofficial858911 ай бұрын

    Nimejifunza kitu,nimeumizwa sana na ukaribu wa urafiki kwa kufungua milango ya ndani kabisa ya moyo wangu pasipo kujiuliza au kufahamu mambo haya ambayo Brother umeyafundisha hapo.Sasa moyo umepona na amani nimeipata.Asanteh sana ubarikiwe kwa somo zuri

  • @prisilajohn2002
    @prisilajohn2002 Жыл бұрын

    Ni kweli kabisa na tukizingatia haya ni rahisi kupata rafiki sahihi na kujiepusha na migogoro kwa kutokukaa na watu wasio sahihi.

  • @user-ni5tc4rq6j
    @user-ni5tc4rq6j Жыл бұрын

    Kweli kanisa mafundisho unayofundisha tukiyashika na kuyatenea kazi yatatusaidia sana

  • @ramadhankwilasa2371
    @ramadhankwilasa2371 Жыл бұрын

    Ahsante kaka

  • @AshaKachapuka
    @AshaKachapuka2 ай бұрын

    Nilikuwa nafanya biashara bila kujua ndio mana nilikuwa siendei ahsante kaka mafunzo mazuri nitajiunga na kikundi chako

  • @BinifaceDominick
    @BinifaceDominick12 күн бұрын

    Mim nipo na rafiki yngu mmoja yeye anapenda sanaa kudidimiza kifedha. Pia mim nina hasira sanaa naitaji nibadilike nisiwe hvi napenda sanaa ila njia ndio sijuh nifanyeje

  • @OtavinaMsigala-xx5bl
    @OtavinaMsigala-xx5bl11 ай бұрын

    Yaani Niko ivo kama umeniona

  • @user-gd8lw7vk4d
    @user-gd8lw7vk4d4 ай бұрын

    Hii nzuri pia nilipitia kumchunguza mtu niliemueka karibu❤

  • @annmulu934
    @annmulu934 Жыл бұрын

    Asante sana kaka J kwa kutuelimisha mambo ya muhimu katika maisha tunoyoishi Mungu hawe pamoja nawe

  • @nurdininanjota4056
    @nurdininanjota4056 Жыл бұрын

    Ushauri mzuri brother unazidi kutujenga akili Mungu awe karibu na wewe 🇹🇿🙏.

  • @joelnanauka

    @joelnanauka

    Жыл бұрын

    Ameen nashukuru sana

  • @salumhamis4735

    @salumhamis4735

    10 ай бұрын

    @@joelnanauka Broooh UNAJUA hunaa bayaah

  • @mbanga6759

    @mbanga6759

    10 ай бұрын

    @@joelnanauka Kaka mume wangu ananiuliza Sana nimekua mtu wakuliya Sana namaumivu Mali mpaka kidua kinawaka Moto nielekeze nifanye Nini kupona hili tatizo kwani mpaka BP IPO juu mda mlefu haishuki

  • @mbanga6759

    @mbanga6759

    10 ай бұрын

    @@joelnanauka nisaidie Kaka ntakufa

  • @happynescostat7420

    @happynescostat7420

    9 ай бұрын

    @@mbanga6759 Usiruhusu mtu yeyote akuvunje moyo,kwani ulikuja duniani kwa Ajili take? Jipe moyo na achana nae,

  • @user-em6rw3vi5d
    @user-em6rw3vi5d8 ай бұрын

    Brother nilitapeliwa pesa mingi.na watu niliowaingiza moyoni na kuniharibia kazini so niko makini sana kupitia somo hili sitafanya makosa tena hiyo imeenda.thanks brother Joe tunapona.be blessed

  • @user-iq1pd5rc4o
    @user-iq1pd5rc4o8 ай бұрын

    Asante Cana boro nitaanza kuyafuata ambayo umetufunxa

  • @monicakauky8914
    @monicakauky89142 ай бұрын

    Ndiyo nimeshawahi kukutana na mtu nikamweka karibu lakini baadae alibadilika,niliumia Sana ila naomba Mungu anisaidie niwe nachunguza kwanza marafiki.

  • @irenemchome8965
    @irenemchome8965 Жыл бұрын

    Kweli kabisa watu wanaumia sana,kukuta mtu hayuko kama alivyotarajia

  • @BrasiusJackson-db9no
    @BrasiusJackson-db9no5 ай бұрын

    Dah hii imenikutana kuna mtu akiwa na kitu huwa anajifanya yupo busy sana ila akiishiwa ndo anajifanya kuwa karbu nami😢😢

  • @ImperialHotel-nc6pb
    @ImperialHotel-nc6pb3 ай бұрын

    Wa kwanza Leo nipen likes zangu

  • @SameJunior-xi1lw
    @SameJunior-xi1lw Жыл бұрын

    Ad leo sina rafiki sababu nawauliza malengo yako kwenye maisha yako vip Kama ujibu wewe n mwana mambo powa tu na sio rafiki ang naishi upweke saana nakosa mshirika ktk ndoto zangu😢

  • @adofullmuvi5758
    @adofullmuvi575810 ай бұрын

    Uko vizuli mm naita chakula Cha mandeleo nilifata ushauli wako nimefanikiwa sana ile mada ya heshima ya feza❤

  • @esthernambeye4540
    @esthernambeye4540 Жыл бұрын

    Exactly kaka ni wengi muno walio nifanyia hivyo sina ata hamu nikahisi km mungu hayuko nami

  • @faudhiaGombaeka-kf7oe
    @faudhiaGombaeka-kf7oe9 ай бұрын

    Sijutii mada zako bro

  • @AbubakariLigi
    @AbubakariLigi2 ай бұрын

    Nikweli brother Joel nanauka hata mimi nimeshapitia namna ya ivyo nanilipata maumivu makalisana kwakusababishiwa na watu wangu wakalibu

  • @salumnamjupa-sy6cm
    @salumnamjupa-sy6cm6 ай бұрын

    Thanks uncle j...i will always swim in your helpful advices

  • @salmazwallo5920
    @salmazwallo5920 Жыл бұрын

    Asateee sana kaka napendaa sana mafunzo yako mungu akubalikii

  • @annamungure4335
    @annamungure4335 Жыл бұрын

    Mungu akubariki,nilishakuwa kwenye mahusiano alafu sikuchunguza kati ya hayo mambo 4

  • @davidmlela3807
    @davidmlela38078 ай бұрын

    Mi nilishawahi kukutana na rafiki wa hivyo na nikaumia.kweli kaka huo ni ukweli

  • @user-lo6us4ko2l
    @user-lo6us4ko2l9 ай бұрын

    Big up!!

  • @user-lw6pp9qs6o
    @user-lw6pp9qs6o Жыл бұрын

    Ni ushauri mzuri kakangu. Mm nishatendwa na mwanadada mmoja nilie ona ni mshirika wangu katika mafanikio yangu na yeye

  • @MsombaAlpha
    @MsombaAlpha Жыл бұрын

    Daaaaah! MUNGU azidi kukupa maisha marefu ili tuendelee kukifaidi hicho ambacho MUNGU ameweka kwako🙏🙏

  • @AYUBMWANGOKA
    @AYUBMWANGOKA Жыл бұрын

    It's facts imenitesa sana up to This moment sijapata majibu nimeishia kumuachia Mungu Your a great leader

  • @daudmsigwa4860
    @daudmsigwa486011 ай бұрын

    Barikiwa kaka

  • @RuthMomanyi-bh3ez
    @RuthMomanyi-bh3ez11 ай бұрын

    Oh thanks a lesson learned

  • @user-nr3qt8dk4i
    @user-nr3qt8dk4i11 ай бұрын

    Asante Kwa maarifa.

  • @stevenmatheo7134
    @stevenmatheo713410 ай бұрын

    Ni Kweli kaka nakubaliana na ww, hakika najifunza mengi kutoka kwako be blessed sana.

  • @baboudeira9249
    @baboudeira9249 Жыл бұрын

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙌

  • @user-mv9fl4xs2f
    @user-mv9fl4xs2fАй бұрын

    Friends nilikuwa nao na tumeishi mda mrefu sana but suddenly wamebadilika ni tofaut na nilivyowazoea

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 Жыл бұрын

    Be blessed J, your doing a great job. Asante sana

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Жыл бұрын

    Amina

  • @farajamtifu4155
    @farajamtifu4155 Жыл бұрын

    Yaani mungu akubariki sana, kuna watu niliwasimulia magumu yangu mwisho wake wakaanza kuyatumia hayohayo kuniumiza,

  • @teklakibamtura2534

    @teklakibamtura2534

    Жыл бұрын

    Pole sana

  • @Msambyamashingwe
    @Msambyamashingwe Жыл бұрын

    Fact ❤🎉

  • @mossesezekiel7862
    @mossesezekiel7862 Жыл бұрын

    Ahsante kwa mafundisho mweshimiwa!!!👍👍👏👏👏

  • @simionyona9122
    @simionyona912210 ай бұрын

    Ni kweli,nimewahi kutana nao sio mara moja 😊

  • @mwakalukwafredy1990
    @mwakalukwafredy1990 Жыл бұрын

    Darasa langu ni channel Yako kaka Joel Nanauka tangu nianze kukufutilia huku hakika nimeona thamani ya maarifa Yako. Yamenisaidia pakubwa sana

  • @AdventJulius
    @AdventJulius6 ай бұрын

    Kweli kaka ni kuwa makini Mimi mwenyewe nishakutana na hao marafiki

  • @ambore610
    @ambore610 Жыл бұрын

    Hii imenikuta sana mwalimu,nashukuru sana kwa mafundisho haya,sasa najua pakuanzia

  • @teklakibamtura2534
    @teklakibamtura2534 Жыл бұрын

    Asante sana kaka Jo unachozungumza ni kweli namba 4 ilinitenganisha na mtu namshukuru Mungu sana

  • @fredyelisha2686
    @fredyelisha2686 Жыл бұрын

    Kaka joeli asante sana 😊😊😊 tufundishe zaidi

  • @gerraldgready8051
    @gerraldgready8051 Жыл бұрын

    Asante sana kaka Joel nanauka somo zuri sana

  • @user-cv9mx1uj3i
    @user-cv9mx1uj3i Жыл бұрын

    Asante bro Joël yani iyi dunia hayiishi mafunzo.

  • @ramanycore
    @ramanycore10 ай бұрын

    Great point,,,,

  • @Kabod-Bantu-Black-Pantera
    @Kabod-Bantu-Black-Pantera Жыл бұрын

    Asante sana mentor

  • @listonereuben4450
    @listonereuben4450 Жыл бұрын

    Nmepata kitu kizuri kwenye somo la leo,,,, thanks much my teacher of life

  • @user-pu8zk6du1o
    @user-pu8zk6du1o10 ай бұрын

    Live brother I am under stand you

  • @emmanuelmkanyege1921
    @emmanuelmkanyege1921 Жыл бұрын

    Asante sana kwa somo zuri

  • @kelvinkasamya4361
    @kelvinkasamya4361 Жыл бұрын

    Goods things to know very appreciated 👍

  • @manfredmasiko4444
    @manfredmasiko4444 Жыл бұрын

    Aisee, nimeshajutia sana, Ahsante sana kaka Joel, sitarudia makosa

  • @user-rh6fb2tx9r
    @user-rh6fb2tx9r Жыл бұрын

    Da nikweli kabisa na Hadi leo nimepoteza mwelekeo,. Na kupoteza vitu vingi ambapo inanigharimu na sijaweza kurudi Tena maisha yangu .kweli nilazima kutafakari kwanza

  • @MaadamNihan-sn9qn
    @MaadamNihan-sn9qn Жыл бұрын

    Kweli kaka mungu akubaliki sana unatufunza mengi❤❤❤❤

  • @user-hl5op9yp8w
    @user-hl5op9yp8w Жыл бұрын

    Be blessed 🙏I learned something

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Жыл бұрын

    Barikiwa zaidi kaka @Joel hakina unabariki wengi Mungu azidi kukubariki nakuzidi

  • @user-nz3sd6tc3k
    @user-nz3sd6tc3k Жыл бұрын

    Asante kaka Joel kwa mafunzo unayotupatia Mungu akubariki

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 Жыл бұрын

    Kabisaa nilifanyaga ujinga huu Ila kwa Sasa siwezi umenielimisha

  • @erickathanas
    @erickathanas Жыл бұрын

    Thanks bro unatujenga vijana 🎉

  • @user-dm5gi8uu7z
    @user-dm5gi8uu7z Жыл бұрын

    Nilikuwa na mtu wangu nampenda sana lakini akaniumiza vibaya sana

  • @salmakiti1517
    @salmakiti1517 Жыл бұрын

    Asante kwa ushauri wako

  • @sumucalikamula2827
    @sumucalikamula282710 ай бұрын

    nishaipenda mrembo mwenye apendi mpira wa Miguu kama mimi.

  • @saidjecha-mi5bh
    @saidjecha-mi5bh Жыл бұрын

    Nimekuelewa brother, nitalifanyia kazi

  • @josephmichael9555
    @josephmichael9555 Жыл бұрын

    Hakika mkuu sijawai kujutia kusikiliza ushauli wako wa youtube na vitabu vyako hakika najiona kabisa yule wa Jana sio wa leo balikiwa Sana

  • @ramadhanalmashamza3458
    @ramadhanalmashamza3458 Жыл бұрын

    Asante sana brother ubarikiwe siku zote

  • @L2L-TZ
    @L2L-TZ Жыл бұрын

    Purpose is the function for what we're designed for. Joe is fulfilling his reason for why he was created for. God blessed you. I'm a professional therapist and life coach but each day I used to watch over and over your videos

  • @rizikimwaikugile6040

    @rizikimwaikugile6040

    8 ай бұрын

    True.

  • @tebeswiper2307
    @tebeswiper230711 ай бұрын

    Ubarikiwe Joel 👊✊

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Жыл бұрын

    Asante nazid kujifunza 🙏

  • @jenithandyetabula3805
    @jenithandyetabula3805 Жыл бұрын

    Nazidi kujifunza mengi kwako kaka, na Mungu akubariki

  • @user-nw8pq8vt8o
    @user-nw8pq8vt8o Жыл бұрын

    Thanks for good talk. Am duly impressed

  • @timothykengere2535
    @timothykengere2535 Жыл бұрын

    Shukrani 📚📚📚

  • @lucymwanyika5608
    @lucymwanyika5608 Жыл бұрын

    Amina sana🔥

  • @sixberthcostantini9290
    @sixberthcostantini929010 ай бұрын

    Unachokiongea nichakweli na kimenitokea mara kadhaa namuamini rafiki kwa haraka nakumpa siri za maisha yangu kumbe amekuja kwa lengo latekeleza alichodhamiria kukifanya Ila huwez kumjuwa anavyokuja kwasababu anajiweka karibu sana had inafikia hatua unamuamini

  • @lucymwanyika5608
    @lucymwanyika5608 Жыл бұрын

    Amina sana 🔥

  • @AshaKachapuka
    @AshaKachapuka2 ай бұрын

    Nilimpata mtuhuyo

  • @haidaryart
    @haidaryart Жыл бұрын

    Wengi sana nishakuwa nao karibu kwa style hio

  • @salmamasood2524
    @salmamasood2524 Жыл бұрын

    Habarkaka Joel nashkuru kwa ushauri kwakweli kuna mtu unakuta k

  • @user-yt5ns2ek8u
    @user-yt5ns2ek8u Жыл бұрын

    Thank you j I learn more from you

  • @johnmganga5107
    @johnmganga5107 Жыл бұрын

    Hii ni kweli kabisa

  • @tonytyson1019
    @tonytyson1019 Жыл бұрын

    Wakati naendelea kusikiliza nikawa kumbuka aina 4 za maadui katika topic iliyopita nazidi kuimarika💪 shukrani sir

  • @joelnanauka

    @joelnanauka

    Жыл бұрын

    Ni kweli kabisaaa

  • @jamilaabdul5481
    @jamilaabdul5481 Жыл бұрын

    Asante kaka nazid kuelimika

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Жыл бұрын

    Asante sana

  • @rachelraphael1355
    @rachelraphael135510 ай бұрын

    Kwakweli umenisaidia niliruhusu watu ambao sio sahihi kuingia kwenye maisha yangu

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Жыл бұрын

    Ahsante brother

  • @user-rm3xd3dn4t
    @user-rm3xd3dn4t Жыл бұрын

    Asante sana kaka kwa mafundisho yako mazuri watu wengi tunajiingiza katika marafiki wabaya pasipo kujiuliza mungu awe nawe ili uzidi kutupatia maarifa?

  • @gosaizaka1495
    @gosaizaka14959 ай бұрын

    Blessed bro you tourched me

  • @abdulkharimsaidy5323
    @abdulkharimsaidy5323 Жыл бұрын

    Ubarikiwe

  • @Elnathatz9749
    @Elnathatz9749 Жыл бұрын

    Naomba kujua kwanini mtu anakuwa unakupinga kila unachoongea au kila unachokifanya kwake wewe unakosea yaan huwezi kufanya kitu kikawa right kwake jamani hili jambo linaniumiza hata nikijaribu kukaa kimya bado namkosea ni kwanini lakini 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 NAOMBA MSAADA 😢😢😢😢😢

  • @muudabest4057

    @muudabest4057

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂hii kwel kabisa

  • @hidayakisensi2747

    @hidayakisensi2747

    Жыл бұрын

    Ana roho mbaya hapend kufanikiwa yupo kukukandamiza Ili usijiamini.

  • @user-xf6od8qj9r
    @user-xf6od8qj9r9 ай бұрын

    Asante sana bro. Mi binafsi unanijenga sana kupitia video zako.

  • @user-jt5co9oc1j
    @user-jt5co9oc1j10 ай бұрын

    Asante

  • @reganimushi8062
    @reganimushi8062 Жыл бұрын

    Umefungua akili zangu ✊

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    Yes sir 🌹

  • @Janetijaneeh7465
    @Janetijaneeh7465 Жыл бұрын

    Ujumbe umefika baba

  • @lightnessmamuya3893
    @lightnessmamuya389311 күн бұрын

    ❤❤❤

  • @julianalaly2095
    @julianalaly2095 Жыл бұрын

    Thanks

  • @BinifaceDominick
    @BinifaceDominick12 күн бұрын

    Pia nitumie nin kwa wingi ilinnipunguze hasira