Kabla sijamkalibisha mtu kuwa rafiki angu. Nahakikisha kutofungua milango xana. So binadam ni watu wa kuwa nao mkini sana . AHSANTE 🙏 nazidi kuwa imala
@enosmwangondaofficial858911 ай бұрын
Nimejifunza kitu,nimeumizwa sana na ukaribu wa urafiki kwa kufungua milango ya ndani kabisa ya moyo wangu pasipo kujiuliza au kufahamu mambo haya ambayo Brother umeyafundisha hapo.Sasa moyo umepona na amani nimeipata.Asanteh sana ubarikiwe kwa somo zuri
@prisilajohn2002 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa na tukizingatia haya ni rahisi kupata rafiki sahihi na kujiepusha na migogoro kwa kutokukaa na watu wasio sahihi.
@user-ni5tc4rq6j Жыл бұрын
Kweli kanisa mafundisho unayofundisha tukiyashika na kuyatenea kazi yatatusaidia sana
@ramadhankwilasa2371 Жыл бұрын
Ahsante kaka
@AshaKachapuka2 ай бұрын
Nilikuwa nafanya biashara bila kujua ndio mana nilikuwa siendei ahsante kaka mafunzo mazuri nitajiunga na kikundi chako
@BinifaceDominick12 күн бұрын
Mim nipo na rafiki yngu mmoja yeye anapenda sanaa kudidimiza kifedha. Pia mim nina hasira sanaa naitaji nibadilike nisiwe hvi napenda sanaa ila njia ndio sijuh nifanyeje
@OtavinaMsigala-xx5bl11 ай бұрын
Yaani Niko ivo kama umeniona
@user-gd8lw7vk4d4 ай бұрын
Hii nzuri pia nilipitia kumchunguza mtu niliemueka karibu❤
@annmulu934 Жыл бұрын
Asante sana kaka J kwa kutuelimisha mambo ya muhimu katika maisha tunoyoishi Mungu hawe pamoja nawe
@nurdininanjota4056 Жыл бұрын
Ushauri mzuri brother unazidi kutujenga akili Mungu awe karibu na wewe 🇹🇿🙏.
@joelnanauka
Жыл бұрын
Ameen nashukuru sana
@salumhamis4735
10 ай бұрын
@@joelnanauka Broooh UNAJUA hunaa bayaah
@mbanga6759
10 ай бұрын
@@joelnanauka Kaka mume wangu ananiuliza Sana nimekua mtu wakuliya Sana namaumivu Mali mpaka kidua kinawaka Moto nielekeze nifanye Nini kupona hili tatizo kwani mpaka BP IPO juu mda mlefu haishuki
@mbanga6759
10 ай бұрын
@@joelnanauka nisaidie Kaka ntakufa
@happynescostat7420
9 ай бұрын
@@mbanga6759 Usiruhusu mtu yeyote akuvunje moyo,kwani ulikuja duniani kwa Ajili take? Jipe moyo na achana nae,
@user-em6rw3vi5d8 ай бұрын
Brother nilitapeliwa pesa mingi.na watu niliowaingiza moyoni na kuniharibia kazini so niko makini sana kupitia somo hili sitafanya makosa tena hiyo imeenda.thanks brother Joe tunapona.be blessed
@user-iq1pd5rc4o8 ай бұрын
Asante Cana boro nitaanza kuyafuata ambayo umetufunxa
@monicakauky89142 ай бұрын
Ndiyo nimeshawahi kukutana na mtu nikamweka karibu lakini baadae alibadilika,niliumia Sana ila naomba Mungu anisaidie niwe nachunguza kwanza marafiki.
@irenemchome8965 Жыл бұрын
Kweli kabisa watu wanaumia sana,kukuta mtu hayuko kama alivyotarajia
@BrasiusJackson-db9no5 ай бұрын
Dah hii imenikutana kuna mtu akiwa na kitu huwa anajifanya yupo busy sana ila akiishiwa ndo anajifanya kuwa karbu nami😢😢
@ImperialHotel-nc6pb3 ай бұрын
Wa kwanza Leo nipen likes zangu
@SameJunior-xi1lw Жыл бұрын
Ad leo sina rafiki sababu nawauliza malengo yako kwenye maisha yako vip Kama ujibu wewe n mwana mambo powa tu na sio rafiki ang naishi upweke saana nakosa mshirika ktk ndoto zangu😢
@adofullmuvi575810 ай бұрын
Uko vizuli mm naita chakula Cha mandeleo nilifata ushauli wako nimefanikiwa sana ile mada ya heshima ya feza❤
@esthernambeye4540 Жыл бұрын
Exactly kaka ni wengi muno walio nifanyia hivyo sina ata hamu nikahisi km mungu hayuko nami
@faudhiaGombaeka-kf7oe9 ай бұрын
Sijutii mada zako bro
@AbubakariLigi2 ай бұрын
Nikweli brother Joel nanauka hata mimi nimeshapitia namna ya ivyo nanilipata maumivu makalisana kwakusababishiwa na watu wangu wakalibu
@salumnamjupa-sy6cm6 ай бұрын
Thanks uncle j...i will always swim in your helpful advices
@salmazwallo5920 Жыл бұрын
Asateee sana kaka napendaa sana mafunzo yako mungu akubalikii
@annamungure4335 Жыл бұрын
Mungu akubariki,nilishakuwa kwenye mahusiano alafu sikuchunguza kati ya hayo mambo 4
@davidmlela38078 ай бұрын
Mi nilishawahi kukutana na rafiki wa hivyo na nikaumia.kweli kaka huo ni ukweli
@user-lo6us4ko2l9 ай бұрын
Big up!!
@user-lw6pp9qs6o Жыл бұрын
Ni ushauri mzuri kakangu. Mm nishatendwa na mwanadada mmoja nilie ona ni mshirika wangu katika mafanikio yangu na yeye
@MsombaAlpha Жыл бұрын
Daaaaah! MUNGU azidi kukupa maisha marefu ili tuendelee kukifaidi hicho ambacho MUNGU ameweka kwako🙏🙏
@AYUBMWANGOKA Жыл бұрын
It's facts imenitesa sana up to This moment sijapata majibu nimeishia kumuachia Mungu Your a great leader
@daudmsigwa486011 ай бұрын
Barikiwa kaka
@RuthMomanyi-bh3ez11 ай бұрын
Oh thanks a lesson learned
@user-nr3qt8dk4i11 ай бұрын
Asante Kwa maarifa.
@stevenmatheo713410 ай бұрын
Ni Kweli kaka nakubaliana na ww, hakika najifunza mengi kutoka kwako be blessed sana.
@baboudeira9249 Жыл бұрын
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙌
@user-mv9fl4xs2fАй бұрын
Friends nilikuwa nao na tumeishi mda mrefu sana but suddenly wamebadilika ni tofaut na nilivyowazoea
@joasitz9559 Жыл бұрын
Be blessed J, your doing a great job. Asante sana
@Udindigwa Жыл бұрын
Amina
@farajamtifu4155 Жыл бұрын
Yaani mungu akubariki sana, kuna watu niliwasimulia magumu yangu mwisho wake wakaanza kuyatumia hayohayo kuniumiza,
@teklakibamtura2534
Жыл бұрын
Pole sana
@Msambyamashingwe Жыл бұрын
Fact ❤🎉
@mossesezekiel7862 Жыл бұрын
Ahsante kwa mafundisho mweshimiwa!!!👍👍👏👏👏
@simionyona912210 ай бұрын
Ni kweli,nimewahi kutana nao sio mara moja 😊
@mwakalukwafredy1990 Жыл бұрын
Darasa langu ni channel Yako kaka Joel Nanauka tangu nianze kukufutilia huku hakika nimeona thamani ya maarifa Yako. Yamenisaidia pakubwa sana
@AdventJulius6 ай бұрын
Kweli kaka ni kuwa makini Mimi mwenyewe nishakutana na hao marafiki
@ambore610 Жыл бұрын
Hii imenikuta sana mwalimu,nashukuru sana kwa mafundisho haya,sasa najua pakuanzia
@teklakibamtura2534 Жыл бұрын
Asante sana kaka Jo unachozungumza ni kweli namba 4 ilinitenganisha na mtu namshukuru Mungu sana
@fredyelisha2686 Жыл бұрын
Kaka joeli asante sana 😊😊😊 tufundishe zaidi
@gerraldgready8051 Жыл бұрын
Asante sana kaka Joel nanauka somo zuri sana
@user-cv9mx1uj3i Жыл бұрын
Asante bro Joël yani iyi dunia hayiishi mafunzo.
@ramanycore10 ай бұрын
Great point,,,,
@Kabod-Bantu-Black-Pantera Жыл бұрын
Asante sana mentor
@listonereuben4450 Жыл бұрын
Nmepata kitu kizuri kwenye somo la leo,,,, thanks much my teacher of life
@user-pu8zk6du1o10 ай бұрын
Live brother I am under stand you
@emmanuelmkanyege1921 Жыл бұрын
Asante sana kwa somo zuri
@kelvinkasamya4361 Жыл бұрын
Goods things to know very appreciated 👍
@manfredmasiko4444 Жыл бұрын
Aisee, nimeshajutia sana, Ahsante sana kaka Joel, sitarudia makosa
@user-rh6fb2tx9r Жыл бұрын
Da nikweli kabisa na Hadi leo nimepoteza mwelekeo,. Na kupoteza vitu vingi ambapo inanigharimu na sijaweza kurudi Tena maisha yangu .kweli nilazima kutafakari kwanza
@MaadamNihan-sn9qn Жыл бұрын
Kweli kaka mungu akubaliki sana unatufunza mengi❤❤❤❤
@user-hl5op9yp8w Жыл бұрын
Be blessed 🙏I learned something
@shukranjulius9526 Жыл бұрын
Barikiwa zaidi kaka @Joel hakina unabariki wengi Mungu azidi kukubariki nakuzidi
@user-nz3sd6tc3k Жыл бұрын
Asante kaka Joel kwa mafunzo unayotupatia Mungu akubariki
@nolimittvonline6822 Жыл бұрын
Kabisaa nilifanyaga ujinga huu Ila kwa Sasa siwezi umenielimisha
@erickathanas Жыл бұрын
Thanks bro unatujenga vijana 🎉
@user-dm5gi8uu7z Жыл бұрын
Nilikuwa na mtu wangu nampenda sana lakini akaniumiza vibaya sana
@salmakiti1517 Жыл бұрын
Asante kwa ushauri wako
@sumucalikamula282710 ай бұрын
nishaipenda mrembo mwenye apendi mpira wa Miguu kama mimi.
@saidjecha-mi5bh Жыл бұрын
Nimekuelewa brother, nitalifanyia kazi
@josephmichael9555 Жыл бұрын
Hakika mkuu sijawai kujutia kusikiliza ushauli wako wa youtube na vitabu vyako hakika najiona kabisa yule wa Jana sio wa leo balikiwa Sana
@ramadhanalmashamza3458 Жыл бұрын
Asante sana brother ubarikiwe siku zote
@L2L-TZ Жыл бұрын
Purpose is the function for what we're designed for. Joe is fulfilling his reason for why he was created for. God blessed you. I'm a professional therapist and life coach but each day I used to watch over and over your videos
@rizikimwaikugile6040
8 ай бұрын
True.
@tebeswiper230711 ай бұрын
Ubarikiwe Joel 👊✊
@maryamconstantine2232 Жыл бұрын
Asante nazid kujifunza 🙏
@jenithandyetabula3805 Жыл бұрын
Nazidi kujifunza mengi kwako kaka, na Mungu akubariki
@user-nw8pq8vt8o Жыл бұрын
Thanks for good talk. Am duly impressed
@timothykengere2535 Жыл бұрын
Shukrani 📚📚📚
@lucymwanyika5608 Жыл бұрын
Amina sana🔥
@sixberthcostantini929010 ай бұрын
Unachokiongea nichakweli na kimenitokea mara kadhaa namuamini rafiki kwa haraka nakumpa siri za maisha yangu kumbe amekuja kwa lengo latekeleza alichodhamiria kukifanya Ila huwez kumjuwa anavyokuja kwasababu anajiweka karibu sana had inafikia hatua unamuamini
@lucymwanyika5608 Жыл бұрын
Amina sana 🔥
@AshaKachapuka2 ай бұрын
Nilimpata mtuhuyo
@haidaryart Жыл бұрын
Wengi sana nishakuwa nao karibu kwa style hio
@salmamasood2524 Жыл бұрын
Habarkaka Joel nashkuru kwa ushauri kwakweli kuna mtu unakuta k
@user-yt5ns2ek8u Жыл бұрын
Thank you j I learn more from you
@johnmganga5107 Жыл бұрын
Hii ni kweli kabisa
@tonytyson1019 Жыл бұрын
Wakati naendelea kusikiliza nikawa kumbuka aina 4 za maadui katika topic iliyopita nazidi kuimarika💪 shukrani sir
@joelnanauka
Жыл бұрын
Ni kweli kabisaaa
@jamilaabdul5481 Жыл бұрын
Asante kaka nazid kuelimika
@MwanaishaHemed-xi6rj Жыл бұрын
Asante sana
@rachelraphael135510 ай бұрын
Kwakweli umenisaidia niliruhusu watu ambao sio sahihi kuingia kwenye maisha yangu
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Ahsante brother
@user-rm3xd3dn4t Жыл бұрын
Asante sana kaka kwa mafundisho yako mazuri watu wengi tunajiingiza katika marafiki wabaya pasipo kujiuliza mungu awe nawe ili uzidi kutupatia maarifa?
@gosaizaka14959 ай бұрын
Blessed bro you tourched me
@abdulkharimsaidy5323 Жыл бұрын
Ubarikiwe
@Elnathatz9749 Жыл бұрын
Naomba kujua kwanini mtu anakuwa unakupinga kila unachoongea au kila unachokifanya kwake wewe unakosea yaan huwezi kufanya kitu kikawa right kwake jamani hili jambo linaniumiza hata nikijaribu kukaa kimya bado namkosea ni kwanini lakini 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 NAOMBA MSAADA 😢😢😢😢😢
@muudabest4057
Жыл бұрын
😂😂😂😂hii kwel kabisa
@hidayakisensi2747
Жыл бұрын
Ana roho mbaya hapend kufanikiwa yupo kukukandamiza Ili usijiamini.
@user-xf6od8qj9r9 ай бұрын
Asante sana bro. Mi binafsi unanijenga sana kupitia video zako.
Пікірлер: 131
Kabla sijamkalibisha mtu kuwa rafiki angu. Nahakikisha kutofungua milango xana. So binadam ni watu wa kuwa nao mkini sana . AHSANTE 🙏 nazidi kuwa imala
Nimejifunza kitu,nimeumizwa sana na ukaribu wa urafiki kwa kufungua milango ya ndani kabisa ya moyo wangu pasipo kujiuliza au kufahamu mambo haya ambayo Brother umeyafundisha hapo.Sasa moyo umepona na amani nimeipata.Asanteh sana ubarikiwe kwa somo zuri
Ni kweli kabisa na tukizingatia haya ni rahisi kupata rafiki sahihi na kujiepusha na migogoro kwa kutokukaa na watu wasio sahihi.
Kweli kanisa mafundisho unayofundisha tukiyashika na kuyatenea kazi yatatusaidia sana
Ahsante kaka
Nilikuwa nafanya biashara bila kujua ndio mana nilikuwa siendei ahsante kaka mafunzo mazuri nitajiunga na kikundi chako
Mim nipo na rafiki yngu mmoja yeye anapenda sanaa kudidimiza kifedha. Pia mim nina hasira sanaa naitaji nibadilike nisiwe hvi napenda sanaa ila njia ndio sijuh nifanyeje
Yaani Niko ivo kama umeniona
Hii nzuri pia nilipitia kumchunguza mtu niliemueka karibu❤
Asante sana kaka J kwa kutuelimisha mambo ya muhimu katika maisha tunoyoishi Mungu hawe pamoja nawe
Ushauri mzuri brother unazidi kutujenga akili Mungu awe karibu na wewe 🇹🇿🙏.
@joelnanauka
Жыл бұрын
Ameen nashukuru sana
@salumhamis4735
10 ай бұрын
@@joelnanauka Broooh UNAJUA hunaa bayaah
@mbanga6759
10 ай бұрын
@@joelnanauka Kaka mume wangu ananiuliza Sana nimekua mtu wakuliya Sana namaumivu Mali mpaka kidua kinawaka Moto nielekeze nifanye Nini kupona hili tatizo kwani mpaka BP IPO juu mda mlefu haishuki
@mbanga6759
10 ай бұрын
@@joelnanauka nisaidie Kaka ntakufa
@happynescostat7420
9 ай бұрын
@@mbanga6759 Usiruhusu mtu yeyote akuvunje moyo,kwani ulikuja duniani kwa Ajili take? Jipe moyo na achana nae,
Brother nilitapeliwa pesa mingi.na watu niliowaingiza moyoni na kuniharibia kazini so niko makini sana kupitia somo hili sitafanya makosa tena hiyo imeenda.thanks brother Joe tunapona.be blessed
Asante Cana boro nitaanza kuyafuata ambayo umetufunxa
Ndiyo nimeshawahi kukutana na mtu nikamweka karibu lakini baadae alibadilika,niliumia Sana ila naomba Mungu anisaidie niwe nachunguza kwanza marafiki.
Kweli kabisa watu wanaumia sana,kukuta mtu hayuko kama alivyotarajia
Dah hii imenikutana kuna mtu akiwa na kitu huwa anajifanya yupo busy sana ila akiishiwa ndo anajifanya kuwa karbu nami😢😢
Wa kwanza Leo nipen likes zangu
Ad leo sina rafiki sababu nawauliza malengo yako kwenye maisha yako vip Kama ujibu wewe n mwana mambo powa tu na sio rafiki ang naishi upweke saana nakosa mshirika ktk ndoto zangu😢
Uko vizuli mm naita chakula Cha mandeleo nilifata ushauli wako nimefanikiwa sana ile mada ya heshima ya feza❤
Exactly kaka ni wengi muno walio nifanyia hivyo sina ata hamu nikahisi km mungu hayuko nami
Sijutii mada zako bro
Nikweli brother Joel nanauka hata mimi nimeshapitia namna ya ivyo nanilipata maumivu makalisana kwakusababishiwa na watu wangu wakalibu
Thanks uncle j...i will always swim in your helpful advices
Asateee sana kaka napendaa sana mafunzo yako mungu akubalikii
Mungu akubariki,nilishakuwa kwenye mahusiano alafu sikuchunguza kati ya hayo mambo 4
Mi nilishawahi kukutana na rafiki wa hivyo na nikaumia.kweli kaka huo ni ukweli
Big up!!
Ni ushauri mzuri kakangu. Mm nishatendwa na mwanadada mmoja nilie ona ni mshirika wangu katika mafanikio yangu na yeye
Daaaaah! MUNGU azidi kukupa maisha marefu ili tuendelee kukifaidi hicho ambacho MUNGU ameweka kwako🙏🙏
It's facts imenitesa sana up to This moment sijapata majibu nimeishia kumuachia Mungu Your a great leader
Barikiwa kaka
Oh thanks a lesson learned
Asante Kwa maarifa.
Ni Kweli kaka nakubaliana na ww, hakika najifunza mengi kutoka kwako be blessed sana.
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙌
Friends nilikuwa nao na tumeishi mda mrefu sana but suddenly wamebadilika ni tofaut na nilivyowazoea
Be blessed J, your doing a great job. Asante sana
Amina
Yaani mungu akubariki sana, kuna watu niliwasimulia magumu yangu mwisho wake wakaanza kuyatumia hayohayo kuniumiza,
@teklakibamtura2534
Жыл бұрын
Pole sana
Fact ❤🎉
Ahsante kwa mafundisho mweshimiwa!!!👍👍👏👏👏
Ni kweli,nimewahi kutana nao sio mara moja 😊
Darasa langu ni channel Yako kaka Joel Nanauka tangu nianze kukufutilia huku hakika nimeona thamani ya maarifa Yako. Yamenisaidia pakubwa sana
Kweli kaka ni kuwa makini Mimi mwenyewe nishakutana na hao marafiki
Hii imenikuta sana mwalimu,nashukuru sana kwa mafundisho haya,sasa najua pakuanzia
Asante sana kaka Jo unachozungumza ni kweli namba 4 ilinitenganisha na mtu namshukuru Mungu sana
Kaka joeli asante sana 😊😊😊 tufundishe zaidi
Asante sana kaka Joel nanauka somo zuri sana
Asante bro Joël yani iyi dunia hayiishi mafunzo.
Great point,,,,
Asante sana mentor
Nmepata kitu kizuri kwenye somo la leo,,,, thanks much my teacher of life
Live brother I am under stand you
Asante sana kwa somo zuri
Goods things to know very appreciated 👍
Aisee, nimeshajutia sana, Ahsante sana kaka Joel, sitarudia makosa
Da nikweli kabisa na Hadi leo nimepoteza mwelekeo,. Na kupoteza vitu vingi ambapo inanigharimu na sijaweza kurudi Tena maisha yangu .kweli nilazima kutafakari kwanza
Kweli kaka mungu akubaliki sana unatufunza mengi❤❤❤❤
Be blessed 🙏I learned something
Barikiwa zaidi kaka @Joel hakina unabariki wengi Mungu azidi kukubariki nakuzidi
Asante kaka Joel kwa mafunzo unayotupatia Mungu akubariki
Kabisaa nilifanyaga ujinga huu Ila kwa Sasa siwezi umenielimisha
Thanks bro unatujenga vijana 🎉
Nilikuwa na mtu wangu nampenda sana lakini akaniumiza vibaya sana
Asante kwa ushauri wako
nishaipenda mrembo mwenye apendi mpira wa Miguu kama mimi.
Nimekuelewa brother, nitalifanyia kazi
Hakika mkuu sijawai kujutia kusikiliza ushauli wako wa youtube na vitabu vyako hakika najiona kabisa yule wa Jana sio wa leo balikiwa Sana
Asante sana brother ubarikiwe siku zote
Purpose is the function for what we're designed for. Joe is fulfilling his reason for why he was created for. God blessed you. I'm a professional therapist and life coach but each day I used to watch over and over your videos
@rizikimwaikugile6040
8 ай бұрын
True.
Ubarikiwe Joel 👊✊
Asante nazid kujifunza 🙏
Nazidi kujifunza mengi kwako kaka, na Mungu akubariki
Thanks for good talk. Am duly impressed
Shukrani 📚📚📚
Amina sana🔥
Unachokiongea nichakweli na kimenitokea mara kadhaa namuamini rafiki kwa haraka nakumpa siri za maisha yangu kumbe amekuja kwa lengo latekeleza alichodhamiria kukifanya Ila huwez kumjuwa anavyokuja kwasababu anajiweka karibu sana had inafikia hatua unamuamini
Amina sana 🔥
Nilimpata mtuhuyo
Wengi sana nishakuwa nao karibu kwa style hio
Habarkaka Joel nashkuru kwa ushauri kwakweli kuna mtu unakuta k
Thank you j I learn more from you
Hii ni kweli kabisa
Wakati naendelea kusikiliza nikawa kumbuka aina 4 za maadui katika topic iliyopita nazidi kuimarika💪 shukrani sir
@joelnanauka
Жыл бұрын
Ni kweli kabisaaa
Asante kaka nazid kuelimika
Asante sana
Kwakweli umenisaidia niliruhusu watu ambao sio sahihi kuingia kwenye maisha yangu
Ahsante brother
Asante sana kaka kwa mafundisho yako mazuri watu wengi tunajiingiza katika marafiki wabaya pasipo kujiuliza mungu awe nawe ili uzidi kutupatia maarifa?
Blessed bro you tourched me
Ubarikiwe
Naomba kujua kwanini mtu anakuwa unakupinga kila unachoongea au kila unachokifanya kwake wewe unakosea yaan huwezi kufanya kitu kikawa right kwake jamani hili jambo linaniumiza hata nikijaribu kukaa kimya bado namkosea ni kwanini lakini 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 NAOMBA MSAADA 😢😢😢😢😢
@muudabest4057
Жыл бұрын
😂😂😂😂hii kwel kabisa
@hidayakisensi2747
Жыл бұрын
Ana roho mbaya hapend kufanikiwa yupo kukukandamiza Ili usijiamini.
Asante sana bro. Mi binafsi unanijenga sana kupitia video zako.
Asante
Umefungua akili zangu ✊
Yes sir 🌹
Ujumbe umefika baba
❤❤❤
Thanks
Pia nitumie nin kwa wingi ilinnipunguze hasira