Joel huna baya hata kma kunawakati hatu comment ila amini tuna appliciate keep it up
@joelnanauka
Жыл бұрын
Shukrani sana🙏🙏
@nazandele555310 ай бұрын
MUNGU wetu wa Mbingu Azidi kukujalia Afya njema siku zote Life couch
@nurdininanjota4056 Жыл бұрын
Brother ubarikiwe TANZANIA one🇹🇿🙏.
@user-gv4pc9if2u2 ай бұрын
Uko vizuri kaka yetu
@bonemwaminifu3935 Жыл бұрын
Najifunza sana na unanisaidia sana
@salumali30687 ай бұрын
Nakufuatilia sana kaka nikiwa kwenye kisiwa cha karafuu pemba
@fundivigaetzchannel1899 Жыл бұрын
Ahsante sana Kaka JOEL NANAUKA ubarikiwe sana mahana najifunza kwako 🙏🙏 by Eradius Oscar from Mwanza nyegezi
@joelnanauka
Жыл бұрын
Safi sanaa
@EllyDema4 күн бұрын
Asante yaani kila siku unanifunza nazidi kujiona wa pekeee
@anesansibert2968 Жыл бұрын
Asante brother kwa vipindi vizuri
@mwajabuhoza9919 Жыл бұрын
Expertisim, Communication, consistency and trust. Thanks bro❤
@bathelomeomsafiri735611 ай бұрын
Consistence Trusted
@blaisenkanira5300 Жыл бұрын
Eneo la uwaminifu zaidi
@delvinmoraa4883 Жыл бұрын
Be blessed watching you always from Kenya am growing Tru your encouragement or advice or teachings be blessed 🙏
@MosesFikiriIbrahimuАй бұрын
AMEN ❤❤❤
@mohamedngota8535 Жыл бұрын
Every time nikiingia kwenye page ako napata kitu kipya bless up joel
@dafrosasaturuminmarandu109511 ай бұрын
Okay, noted brother Joel .. Mungu akulinde sana na kukutunza uweze kuishi katika kusudi la Mungu na kulitimiza wewe na familia yako.. UBARIKIWE
@nazandele555310 ай бұрын
Asantee sana life coach , natamani nizidi kujiimarisha kwenye ushawishi wa kuaminiwa
@hellenismail4351 Жыл бұрын
My Brother Joel Nanauka....m nakufurahia sanaaaaa ....My all time best speaker and development coach .... Ur the best💯💯💯💯
@happynescostat7420 Жыл бұрын
Ni kweli ukiwa na kitu tofauti utafatwa tu ata ukiwa uchocholoni:Ni Kama tunavyokupenda wewe bila kukujua'watoti wangu wote nyumbani wanamjua Joel kuwa Ni mshauli wangu:Barikiwa'
@jacoboumoja676 Жыл бұрын
Asante Kaka unatujenga kifikra
@gracialmsambazi Жыл бұрын
nataka nijenge uashawish ktk ujuzi wangu
@housemanagmentfinishing115111 ай бұрын
Hakika unatufunza vitu vingi sana mungu akubariki sana
@stanleyandrea515311 ай бұрын
Kaka umepewa karama ya kufundisha watu... Ukiongea ww nakuelewa na naamini sana uwezo wako .kama Kuna mahali unachangamoto mungu atakusaidia.
@ZindunaAthuman-zn1fz6 ай бұрын
Kaka ujumbe mzuri sana ila tunapataje vitabu vyako
@Udindigwa Жыл бұрын
Ujumbe Mzuri SANA
@giftmwamba601 Жыл бұрын
Ubarikiwe kaka najifunza vingi kwako
@deogratiustimoth4070 Жыл бұрын
Umeni fundisha kitu kipya kabisa nashukuru mno nitafanya mazoezi ya kutengeneza kuaminiwa ahsante sana
@erickathanas Жыл бұрын
Asante kwa ujumbe mzuri kaka
@eliudbeyanga85758 ай бұрын
Consistency bro
@songolomeshake6206 Жыл бұрын
Kaka joel Mungu akupe maisha brother
@MTEULETVONLINE9 ай бұрын
Mimi nataka kujenga uwezo wangu na ninaona wewe NI mwalimu MWENYE talanta hiyo. Nisaidie kupata masomo yako.
@alphamalenda8452 Жыл бұрын
Consistence, thank you so much
@teacher_dory Жыл бұрын
Nashukuru sana Kaka Joel 😊
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Ahsante brother
@timothykengere2535 Жыл бұрын
Shukrani 📚📚
@halimaramadhani979 Жыл бұрын
It's stunning, thank for reminiscing us magnificent thing
@abuhaydatomar8607 Жыл бұрын
Absolutely right, thanks bro be blessed
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Awesome thank you 💖
@Elishanabagingisemvayle-ob4cmАй бұрын
Naitaji kuwa mkweli na kufanya vitu kwa mwendelezo bila kukoma
@rajabkahindi3389 Жыл бұрын
Legend
@happynesslyanga6856 Жыл бұрын
Asante sana,
@FatmaSalum-gq1mb Жыл бұрын
😊😊Nimeelewa somo
@janetfrancis7180 Жыл бұрын
Asante kk
@user-wm7og8vc7e7 ай бұрын
Kujenga mahusiano na watu pamoja na pamoja na uwezo
@bestcakes7098 Жыл бұрын
Asante sana
@Francsimba64 Жыл бұрын
Thanks teacher
@awamkhalid5361 Жыл бұрын
Adding value to others is the best thing
@werxosaely637 Жыл бұрын
kwaupande wangu Naon vyote naitajika Kua navyo ili kukamilika kweny ushawish kaka Asante kaka kwa mafunzo yako
@neemashirima6121 Жыл бұрын
❤❤ shukrani
@johnbanda6601 Жыл бұрын
Asante sana bro joel, umenipa mwanga, kumbe bn kuna mambo madogo tunachulia poa.
@abdlhaleem8380 Жыл бұрын
Ngulii 🔥 💪💪💪💪🥂🥂the pure Goat 🐐
@papaasimon Жыл бұрын
Mungu akupe umri mlefu kaka
@mapilitv6 ай бұрын
Nikweli kaka
@dieudonnekayobera933 Жыл бұрын
FROM BURUNDI! ASANTE SANA, MIMI NAPENDA KUSOMA NENO LA MUNGU, UWA NAPATA MSADA SANA KWAKUPATA MAWAZO FULANI TAFAUTI NA WENGINE, AO MUNGU ANAKUINGINZA KWENYE JAMBO FULANI KWENYE KITU UNAFANYA, ILI UJIFUNZE JAMBO. BADAE INAKUWA USHUHUDA KWA WENGINE . INASAIDIA SANA KWENYE MAISHA YANGU
@abrahammwambije2769 Жыл бұрын
Kwakweli kwa Elimu yako Nina fanikiwa sana mungu akutunze ufike mbali zaidi ya hapo ili namimi nifanikiwe za kupigia wewe Nina kusubilia Sumbawanga.
@joelnanauka
Жыл бұрын
Ameen Abraham, ahsante sana
@twahasuleiman-lo9vl Жыл бұрын
Am your Fam😂😂😂🎉🎉🎉❤❤❤
@samikasongwere9163 Жыл бұрын
KU aminika brother
@deaconlutta1706 Жыл бұрын
Kwa upande wa trust
@motivationaccount2836 Жыл бұрын
Aisee Eneo la kujenga zaidi ni watu kuniamini
@user-uw9tn8uz7d11 ай бұрын
thus true
@mapilitv6 ай бұрын
❤
@farajamsepele3507 Жыл бұрын
🙏🙏
@becamrindoko Жыл бұрын
💥💥💥
@FaridaJisena-kz9my Жыл бұрын
Kwa upande wa ushawishi na mahusiano
@ascokhan Жыл бұрын
katika eneo lakwanza
@nemestesha778411 ай бұрын
📌
@chrisslemah37093 ай бұрын
kaka nashkuru kwa somo lako kwa mimi naona niongeze nguv kwenye eneo la relation ship
@baboudeira9249 Жыл бұрын
🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@sanggroupofcompanylimited. Жыл бұрын
SEE YOU AT THE TOP
@Jasmine-xg3eh Жыл бұрын
Kufanya jambo kwa muendelezo
@housemanagmentfinishing115111 ай бұрын
Nahitaji kuaminika
@rebeccanghwasa7387 Жыл бұрын
Mi nina ushawishi mkubwa hasa katika kazi na kiroho ila kuna wakati siko consistency
@baloziwawalemavu1146
7 ай бұрын
Ongeza consistency 🙏🙏
@sostenesemmanuel633911 ай бұрын
Me nataka kuwa mc Bora nini nizingatie
@moulybecca7466 Жыл бұрын
Nawezaje kujenga consinstence yangu? Na nawezaje kujijengea expactation yangu doctor?
@baloziwawalemavu1146
7 ай бұрын
Kile unachokifanya kifanye Kila siku bila kuacha hata kama hujapata matokeo mazuri kwenye hicho ufanyacho🙏
@mwanaimaabdallah7825 Жыл бұрын
Mm ni mfanyabiashara wa Network marketing jee nifanye nn ili niwe na ushawishi zaid na kuaminika pia Mr.Joel Nanauka?
@js-mi6xt
11 ай бұрын
UBORA
@patriciamakunge543210 ай бұрын
Natamani kujenga ushawishi lakini changamoto Bado sijiamini
Пікірлер: 88
Joel huna baya hata kma kunawakati hatu comment ila amini tuna appliciate keep it up
@joelnanauka
Жыл бұрын
Shukrani sana🙏🙏
MUNGU wetu wa Mbingu Azidi kukujalia Afya njema siku zote Life couch
Brother ubarikiwe TANZANIA one🇹🇿🙏.
Uko vizuri kaka yetu
Najifunza sana na unanisaidia sana
Nakufuatilia sana kaka nikiwa kwenye kisiwa cha karafuu pemba
Ahsante sana Kaka JOEL NANAUKA ubarikiwe sana mahana najifunza kwako 🙏🙏 by Eradius Oscar from Mwanza nyegezi
@joelnanauka
Жыл бұрын
Safi sanaa
Asante yaani kila siku unanifunza nazidi kujiona wa pekeee
Asante brother kwa vipindi vizuri
Expertisim, Communication, consistency and trust. Thanks bro❤
Consistence Trusted
Eneo la uwaminifu zaidi
Be blessed watching you always from Kenya am growing Tru your encouragement or advice or teachings be blessed 🙏
AMEN ❤❤❤
Every time nikiingia kwenye page ako napata kitu kipya bless up joel
Okay, noted brother Joel .. Mungu akulinde sana na kukutunza uweze kuishi katika kusudi la Mungu na kulitimiza wewe na familia yako.. UBARIKIWE
Asantee sana life coach , natamani nizidi kujiimarisha kwenye ushawishi wa kuaminiwa
My Brother Joel Nanauka....m nakufurahia sanaaaaa ....My all time best speaker and development coach .... Ur the best💯💯💯💯
Ni kweli ukiwa na kitu tofauti utafatwa tu ata ukiwa uchocholoni:Ni Kama tunavyokupenda wewe bila kukujua'watoti wangu wote nyumbani wanamjua Joel kuwa Ni mshauli wangu:Barikiwa'
Asante Kaka unatujenga kifikra
nataka nijenge uashawish ktk ujuzi wangu
Hakika unatufunza vitu vingi sana mungu akubariki sana
Kaka umepewa karama ya kufundisha watu... Ukiongea ww nakuelewa na naamini sana uwezo wako .kama Kuna mahali unachangamoto mungu atakusaidia.
Kaka ujumbe mzuri sana ila tunapataje vitabu vyako
Ujumbe Mzuri SANA
Ubarikiwe kaka najifunza vingi kwako
Umeni fundisha kitu kipya kabisa nashukuru mno nitafanya mazoezi ya kutengeneza kuaminiwa ahsante sana
Asante kwa ujumbe mzuri kaka
Consistency bro
Kaka joel Mungu akupe maisha brother
Mimi nataka kujenga uwezo wangu na ninaona wewe NI mwalimu MWENYE talanta hiyo. Nisaidie kupata masomo yako.
Consistence, thank you so much
Nashukuru sana Kaka Joel 😊
Ahsante brother
Shukrani 📚📚
It's stunning, thank for reminiscing us magnificent thing
Absolutely right, thanks bro be blessed
Awesome thank you 💖
Naitaji kuwa mkweli na kufanya vitu kwa mwendelezo bila kukoma
Legend
Asante sana,
😊😊Nimeelewa somo
Asante kk
Kujenga mahusiano na watu pamoja na pamoja na uwezo
Asante sana
Thanks teacher
Adding value to others is the best thing
kwaupande wangu Naon vyote naitajika Kua navyo ili kukamilika kweny ushawish kaka Asante kaka kwa mafunzo yako
❤❤ shukrani
Asante sana bro joel, umenipa mwanga, kumbe bn kuna mambo madogo tunachulia poa.
Ngulii 🔥 💪💪💪💪🥂🥂the pure Goat 🐐
Mungu akupe umri mlefu kaka
Nikweli kaka
FROM BURUNDI! ASANTE SANA, MIMI NAPENDA KUSOMA NENO LA MUNGU, UWA NAPATA MSADA SANA KWAKUPATA MAWAZO FULANI TAFAUTI NA WENGINE, AO MUNGU ANAKUINGINZA KWENYE JAMBO FULANI KWENYE KITU UNAFANYA, ILI UJIFUNZE JAMBO. BADAE INAKUWA USHUHUDA KWA WENGINE . INASAIDIA SANA KWENYE MAISHA YANGU
Kwakweli kwa Elimu yako Nina fanikiwa sana mungu akutunze ufike mbali zaidi ya hapo ili namimi nifanikiwe za kupigia wewe Nina kusubilia Sumbawanga.
@joelnanauka
Жыл бұрын
Ameen Abraham, ahsante sana
Am your Fam😂😂😂🎉🎉🎉❤❤❤
KU aminika brother
Kwa upande wa trust
Aisee Eneo la kujenga zaidi ni watu kuniamini
thus true
❤
🙏🙏
💥💥💥
Kwa upande wa ushawishi na mahusiano
katika eneo lakwanza
📌
kaka nashkuru kwa somo lako kwa mimi naona niongeze nguv kwenye eneo la relation ship
🇧🇮🇧🇮🇧🇮
SEE YOU AT THE TOP
Kufanya jambo kwa muendelezo
Nahitaji kuaminika
Mi nina ushawishi mkubwa hasa katika kazi na kiroho ila kuna wakati siko consistency
@baloziwawalemavu1146
7 ай бұрын
Ongeza consistency 🙏🙏
Me nataka kuwa mc Bora nini nizingatie
Nawezaje kujenga consinstence yangu? Na nawezaje kujijengea expactation yangu doctor?
@baloziwawalemavu1146
7 ай бұрын
Kile unachokifanya kifanye Kila siku bila kuacha hata kama hujapata matokeo mazuri kwenye hicho ufanyacho🙏
Mm ni mfanyabiashara wa Network marketing jee nifanye nn ili niwe na ushawishi zaid na kuaminika pia Mr.Joel Nanauka?
@js-mi6xt
11 ай бұрын
UBORA
Natamani kujenga ushawishi lakini changamoto Bado sijiamini
@baloziwawalemavu1146
7 ай бұрын
Anza kujiamini ndugu yangu 🙏
kaka wewe basitu wewe una tupe nda kwakweli
Mimi nanufaka Sana na masomo hiya
Asante sana
🙏🙏