VITU MUHIMU AMBAVYO HUTAKIWI KUVIPOTEZA - JOEL NANAUKA

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 65

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork10 ай бұрын

    Somo zuri sana kaka. Shukrani and keep moving!!!

  • @frankmsangi
    @frankmsangi10 ай бұрын

    Asante san broo Mungu akubariki sana somo zuri sana najifunza vitu vingi sana kupitia wewe Broo Mungu akubariki sana.. nakufatilia kila siku❤️🔥🙏🔥🔥🔥

  • @erikalutevele8362
    @erikalutevele836210 ай бұрын

    Neema ya Mungu ikutoshe umekuwa msaada sana kwangu najiamini mpaka najishangaa

  • @jenithandyetabula3805
    @jenithandyetabula380510 ай бұрын

    Ubarikiwe sana kaka, binafsi kila somo lako linanijenga pakubwa mno, Mungu akutunze

  • @issabakari1916
    @issabakari191610 ай бұрын

    Dah we jamaa ubarikiwe tu

  • @sadysalim9212
    @sadysalim921210 ай бұрын

    Safi sana brother Joel Nanauka kwa elim kubwa unayotupatia mungu akubariki sana.

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi32802 ай бұрын

    Somo zuri Sana coach Joel..,...shukurani🙏🙏

  • @venturebown6983
    @venturebown698310 ай бұрын

    Maono Imani kwa MUNGU Marafik wanajitoa kwako Mmtu anakuamin uwezo wako🎉 thanks 👍 Bro

  • @user-ue1qu5cj8t
    @user-ue1qu5cj8t5 ай бұрын

    Kitabu sh ngapi

  • @ShabaniBukuru-vw4px
    @ShabaniBukuru-vw4px4 ай бұрын

    Mungu akubaliki sana

  • @herongwikwi1021
    @herongwikwi102110 ай бұрын

    💯

  • @ISDORICHAVALA
    @ISDORICHAVALA3 ай бұрын

    Sahihi sana teacher wangu umeeleweka

  • @happynescostat7420
    @happynescostat742010 ай бұрын

    Asante na ongera Sana kwa SoMo,Ila kwa Sasa marafiki wa kweli awapo wengi tunakuwa nao kwa muda mfupi wanatubadilikia,

  • @hussenmohamed4649
    @hussenmohamed464910 ай бұрын

    Nakubali sana mafunzo yako usinichoke kwa kukufatilia

  • @emanuelavaleriani8646
    @emanuelavaleriani86465 ай бұрын

    Wao so nice

  • @eliamartine4720
    @eliamartine472010 ай бұрын

    Ni kweli kabisa kati ya kitu nacho chunga na kumuomba Mungu ni kutokupoteza imani kwake

  • @neemalessian9508
    @neemalessian950810 ай бұрын

    Kaka Joel tunaomba English Sub.... Be blessed abundantly 🙏🏾

  • @HeriethSylvester-dm3nb
    @HeriethSylvester-dm3nb10 ай бұрын

    Ahsante kaka Joel 🙏

  • @Musaibrahimu
    @Musaibrahimu10 ай бұрын

    .SOMO NZURI SANA KAKA ONGERA SANA BROO NIMEFURAHI SANA. NA NINAPATA VITU VINGI SANA KWAKO.🎉🎉🎉

  • @mariamponera6386
    @mariamponera638610 ай бұрын

    amiin

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid290610 ай бұрын

    Kazi kazi

  • @husnahassan3344
    @husnahassan33449 ай бұрын

    Asante sana bro japo hatuonani ila moyoni upo na siwezi kukupoteza najifunza mengi kutoka kwako Mungu akubariki sana🙏

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid29065 ай бұрын

    Shukran

  • @user-wk5do3ss8o
    @user-wk5do3ss8o10 ай бұрын

    Kweli kabisa....nasubiri Mambo mazuri

  • @fundivigaetzchannel1899
    @fundivigaetzchannel189910 ай бұрын

    Ahsante sana ubarikiwe zaidi ulivyo sasa Ahsante sana ♥️♥️♥️♥️🥂 by ERADIUS OSCAR from Mwanza nyegezi

  • @nehemiahndalawa6720
    @nehemiahndalawa672010 ай бұрын

    Amen May our Almighty living Father bless you abundantly 🙏

  • @sigfredngereza7987
    @sigfredngereza798710 ай бұрын

    Barkiwe sana kaka Joel

  • @user-cz1sz9uu6d
    @user-cz1sz9uu6d8 ай бұрын

    hasa kabisa nigependa kupata vitabu vyako

  • @gracesilayo7670
    @gracesilayo767010 ай бұрын

    Mbona kila napotaman kifanya jambo moyo unasita Kaka Joel nahitaji msaada 😌

  • @African511
    @African51110 ай бұрын

    Aiseee me napenda nikuite Prof Nanauka.

  • @lenardelinazi7086
    @lenardelinazi708610 ай бұрын

    Somo nzur

  • @salimiddy1704
    @salimiddy170410 ай бұрын

    Nimekuelewa sana ,

  • @timothykengere2535
    @timothykengere253510 ай бұрын

    Shukrani🎉

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum727910 ай бұрын

    😢😢Ahsante sana

  • @danchibomnyama5461
    @danchibomnyama546110 ай бұрын

    Asante sana kaka Joel nanauka kwa elimu unayotupa

  • @user-ml6ro6lo6o
    @user-ml6ro6lo6o10 ай бұрын

    Ubarikiwe kaka

  • @HaniyaKisingo
    @HaniyaKisingo10 ай бұрын

    Yajayo yanafurahisha asante sana mwalimu 🎉

  • @yomamausafi1137
    @yomamausafi113710 ай бұрын

    MUNGU akubrk san

  • @Usawa_phonetech
    @Usawa_phonetech10 ай бұрын

    Niko na challenge

  • @niriacatering172
    @niriacatering17210 ай бұрын

    Asante sana

  • @abdiabdi8513
    @abdiabdi851310 ай бұрын

    Nice work

  • @josepherlaurent6925
    @josepherlaurent692510 ай бұрын

    Asante sana zidi kubarikiwa

  • @LopenySaitabau
    @LopenySaitabau10 ай бұрын

    Thanks brother

  • @ummkolthumkoalthum3271
    @ummkolthumkoalthum327110 ай бұрын

    💟

  • @JosmanJoshua-pr2vi
    @JosmanJoshua-pr2vi10 ай бұрын

    Asante sana kaka napenda niwe na hicho kitabu nipo Mwanza

  • @joasitz9559
    @joasitz955910 ай бұрын

    Thank you so much kaka, be blessed 🙌

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn10 ай бұрын

    Thank you kaka

  • @asmahozza8468
    @asmahozza846810 ай бұрын

    Thanks

  • @omaralikombo8368
    @omaralikombo83687 ай бұрын

    Kitabu cha timiza malengo yako nakitaka vipi nitakipata

  • @mwajumabinwa604
    @mwajumabinwa60410 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @shabanlusan6890
    @shabanlusan68905 ай бұрын

    hapo kwenye marafiki sijakuelewa kabisa

  • @user-je9lf6ny6d
    @user-je9lf6ny6d10 ай бұрын

    Braza Jo,nitajuaje nimeitwa kufanya Nini!?

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj10 ай бұрын

    Asante sana somo zuri

  • @mohammedrashid2906

    @mohammedrashid2906

    10 ай бұрын

    Ipo sawa

  • @abdiabdi8513
    @abdiabdi851310 ай бұрын

    🎉

  • @aggy_cakeandbites
    @aggy_cakeandbites10 ай бұрын

    Ubarikiwe kwa somo zuri kaka. Kitabu cha timiza malengo yako ni sh ngapi?

  • @samwelishilabhi6005
    @samwelishilabhi600510 ай бұрын

    2:22

  • @baboudeira9249
    @baboudeira924910 ай бұрын

    🇧🇮🇧🇮

  • @gabrielbyamungu3168
    @gabrielbyamungu316810 ай бұрын

    good work

  • @joelnanauka

    @joelnanauka

    10 ай бұрын

    Thank you! Cheers!

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa242310 ай бұрын

    Yaani hapo nimependa Kitabu cha TIMIZA MALENGO YAKO kipo pembeni.....nashauri watanzania wanaopenda kutimiza/kufanikisha mipango/malengo yao wakisome hicho kitabu hawatajutia! Binafsi nimesoma vitabu vya waandishi wengi lkn nakiri Kitabu hiki ni cha aina yake; Kinaweza kubadilisha mitazamo yako yote ya kushindwa na kuamini ktk kuwezekana, kitafanya ujiamini, ujitambue, kitakupa njia/mbinu ya kuendea changamoto yako yoyote ya kimaisha, utatambua kwamba mafanikio yako ni wajibu wako kivitendo na utaacha kulalamikia watu/ndugu/serikali kwa ufupi ni Kitabu kinachofumbua ubongo wa mtu ktk kujitambua lkn pia kuweza kukabiliana na vikwazo/changamoto mbalimbali za maisha kwa uwezo wa Mungu.

  • @eminenceboy8386
    @eminenceboy838610 ай бұрын

    Kitabu hicho shilling ngapi?

  • @elishajackson4551
    @elishajackson455110 ай бұрын

    Sorry Kaka hiki kitabu Cha timiza malengo yako ni Bei gani na naweza kuja kununua wapi Mimi nipo madale dsm

  • @isikesamike

    @isikesamike

    10 ай бұрын

    Ukifika stand ya daladala ya Mnazimmoja huwezi kikosa. Pia Mwenge kwa wauza vitabu - hope ni around Tsh 15k - 20k.

  • @joelnanauka

    @joelnanauka

    10 ай бұрын

    15,000/- Wasiliana na namba ya Bookshop 0762 31 21 71 utakipata