Asante san broo Mungu akubariki sana somo zuri sana najifunza vitu vingi sana kupitia wewe Broo Mungu akubariki sana.. nakufatilia kila siku❤️🔥🙏🔥🔥🔥
@erikalutevele836210 ай бұрын
Neema ya Mungu ikutoshe umekuwa msaada sana kwangu najiamini mpaka najishangaa
@jenithandyetabula380510 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka, binafsi kila somo lako linanijenga pakubwa mno, Mungu akutunze
@issabakari191610 ай бұрын
Dah we jamaa ubarikiwe tu
@sadysalim921210 ай бұрын
Safi sana brother Joel Nanauka kwa elim kubwa unayotupatia mungu akubariki sana.
@brackskinyozi32802 ай бұрын
Somo zuri Sana coach Joel..,...shukurani🙏🙏
@venturebown698310 ай бұрын
Maono Imani kwa MUNGU Marafik wanajitoa kwako Mmtu anakuamin uwezo wako🎉 thanks 👍 Bro
@user-ue1qu5cj8t5 ай бұрын
Kitabu sh ngapi
@ShabaniBukuru-vw4px4 ай бұрын
Mungu akubaliki sana
@herongwikwi102110 ай бұрын
💯
@ISDORICHAVALA3 ай бұрын
Sahihi sana teacher wangu umeeleweka
@happynescostat742010 ай бұрын
Asante na ongera Sana kwa SoMo,Ila kwa Sasa marafiki wa kweli awapo wengi tunakuwa nao kwa muda mfupi wanatubadilikia,
@hussenmohamed464910 ай бұрын
Nakubali sana mafunzo yako usinichoke kwa kukufatilia
@emanuelavaleriani86465 ай бұрын
Wao so nice
@eliamartine472010 ай бұрын
Ni kweli kabisa kati ya kitu nacho chunga na kumuomba Mungu ni kutokupoteza imani kwake
@neemalessian950810 ай бұрын
Kaka Joel tunaomba English Sub.... Be blessed abundantly 🙏🏾
@HeriethSylvester-dm3nb10 ай бұрын
Ahsante kaka Joel 🙏
@Musaibrahimu10 ай бұрын
.SOMO NZURI SANA KAKA ONGERA SANA BROO NIMEFURAHI SANA. NA NINAPATA VITU VINGI SANA KWAKO.🎉🎉🎉
@mariamponera638610 ай бұрын
amiin
@mohammedrashid290610 ай бұрын
Kazi kazi
@husnahassan33449 ай бұрын
Asante sana bro japo hatuonani ila moyoni upo na siwezi kukupoteza najifunza mengi kutoka kwako Mungu akubariki sana🙏
@mohammedrashid29065 ай бұрын
Shukran
@user-wk5do3ss8o10 ай бұрын
Kweli kabisa....nasubiri Mambo mazuri
@fundivigaetzchannel189910 ай бұрын
Ahsante sana ubarikiwe zaidi ulivyo sasa Ahsante sana ♥️♥️♥️♥️🥂 by ERADIUS OSCAR from Mwanza nyegezi
@nehemiahndalawa672010 ай бұрын
Amen May our Almighty living Father bless you abundantly 🙏
@sigfredngereza798710 ай бұрын
Barkiwe sana kaka Joel
@user-cz1sz9uu6d8 ай бұрын
hasa kabisa nigependa kupata vitabu vyako
@gracesilayo767010 ай бұрын
Mbona kila napotaman kifanya jambo moyo unasita Kaka Joel nahitaji msaada 😌
@African51110 ай бұрын
Aiseee me napenda nikuite Prof Nanauka.
@lenardelinazi708610 ай бұрын
Somo nzur
@salimiddy170410 ай бұрын
Nimekuelewa sana ,
@timothykengere253510 ай бұрын
Shukrani🎉
@faudhiasalum727910 ай бұрын
😢😢Ahsante sana
@danchibomnyama546110 ай бұрын
Asante sana kaka Joel nanauka kwa elimu unayotupa
@user-ml6ro6lo6o10 ай бұрын
Ubarikiwe kaka
@HaniyaKisingo10 ай бұрын
Yajayo yanafurahisha asante sana mwalimu 🎉
@yomamausafi113710 ай бұрын
MUNGU akubrk san
@Usawa_phonetech10 ай бұрын
Niko na challenge
@niriacatering17210 ай бұрын
Asante sana
@abdiabdi851310 ай бұрын
Nice work
@josepherlaurent692510 ай бұрын
Asante sana zidi kubarikiwa
@LopenySaitabau10 ай бұрын
Thanks brother
@ummkolthumkoalthum327110 ай бұрын
💟
@JosmanJoshua-pr2vi10 ай бұрын
Asante sana kaka napenda niwe na hicho kitabu nipo Mwanza
@joasitz955910 ай бұрын
Thank you so much kaka, be blessed 🙌
@AishaOman-qz7tn10 ай бұрын
Thank you kaka
@asmahozza846810 ай бұрын
Thanks
@omaralikombo83687 ай бұрын
Kitabu cha timiza malengo yako nakitaka vipi nitakipata
@mwajumabinwa60410 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@shabanlusan68905 ай бұрын
hapo kwenye marafiki sijakuelewa kabisa
@user-je9lf6ny6d10 ай бұрын
Braza Jo,nitajuaje nimeitwa kufanya Nini!?
@MwanaishaHemed-xi6rj10 ай бұрын
Asante sana somo zuri
@mohammedrashid2906
10 ай бұрын
Ipo sawa
@abdiabdi851310 ай бұрын
🎉
@aggy_cakeandbites10 ай бұрын
Ubarikiwe kwa somo zuri kaka. Kitabu cha timiza malengo yako ni sh ngapi?
@samwelishilabhi600510 ай бұрын
2:22
@baboudeira924910 ай бұрын
🇧🇮🇧🇮
@gabrielbyamungu316810 ай бұрын
good work
@joelnanauka
10 ай бұрын
Thank you! Cheers!
@nassoromussa242310 ай бұрын
Yaani hapo nimependa Kitabu cha TIMIZA MALENGO YAKO kipo pembeni.....nashauri watanzania wanaopenda kutimiza/kufanikisha mipango/malengo yao wakisome hicho kitabu hawatajutia! Binafsi nimesoma vitabu vya waandishi wengi lkn nakiri Kitabu hiki ni cha aina yake; Kinaweza kubadilisha mitazamo yako yote ya kushindwa na kuamini ktk kuwezekana, kitafanya ujiamini, ujitambue, kitakupa njia/mbinu ya kuendea changamoto yako yoyote ya kimaisha, utatambua kwamba mafanikio yako ni wajibu wako kivitendo na utaacha kulalamikia watu/ndugu/serikali kwa ufupi ni Kitabu kinachofumbua ubongo wa mtu ktk kujitambua lkn pia kuweza kukabiliana na vikwazo/changamoto mbalimbali za maisha kwa uwezo wa Mungu.
@eminenceboy838610 ай бұрын
Kitabu hicho shilling ngapi?
@elishajackson455110 ай бұрын
Sorry Kaka hiki kitabu Cha timiza malengo yako ni Bei gani na naweza kuja kununua wapi Mimi nipo madale dsm
@isikesamike
10 ай бұрын
Ukifika stand ya daladala ya Mnazimmoja huwezi kikosa. Pia Mwenge kwa wauza vitabu - hope ni around Tsh 15k - 20k.
@joelnanauka
10 ай бұрын
15,000/- Wasiliana na namba ya Bookshop 0762 31 21 71 utakipata
Пікірлер: 65
Somo zuri sana kaka. Shukrani and keep moving!!!
Asante san broo Mungu akubariki sana somo zuri sana najifunza vitu vingi sana kupitia wewe Broo Mungu akubariki sana.. nakufatilia kila siku❤️🔥🙏🔥🔥🔥
Neema ya Mungu ikutoshe umekuwa msaada sana kwangu najiamini mpaka najishangaa
Ubarikiwe sana kaka, binafsi kila somo lako linanijenga pakubwa mno, Mungu akutunze
Dah we jamaa ubarikiwe tu
Safi sana brother Joel Nanauka kwa elim kubwa unayotupatia mungu akubariki sana.
Somo zuri Sana coach Joel..,...shukurani🙏🙏
Maono Imani kwa MUNGU Marafik wanajitoa kwako Mmtu anakuamin uwezo wako🎉 thanks 👍 Bro
Kitabu sh ngapi
Mungu akubaliki sana
💯
Sahihi sana teacher wangu umeeleweka
Asante na ongera Sana kwa SoMo,Ila kwa Sasa marafiki wa kweli awapo wengi tunakuwa nao kwa muda mfupi wanatubadilikia,
Nakubali sana mafunzo yako usinichoke kwa kukufatilia
Wao so nice
Ni kweli kabisa kati ya kitu nacho chunga na kumuomba Mungu ni kutokupoteza imani kwake
Kaka Joel tunaomba English Sub.... Be blessed abundantly 🙏🏾
Ahsante kaka Joel 🙏
.SOMO NZURI SANA KAKA ONGERA SANA BROO NIMEFURAHI SANA. NA NINAPATA VITU VINGI SANA KWAKO.🎉🎉🎉
amiin
Kazi kazi
Asante sana bro japo hatuonani ila moyoni upo na siwezi kukupoteza najifunza mengi kutoka kwako Mungu akubariki sana🙏
Shukran
Kweli kabisa....nasubiri Mambo mazuri
Ahsante sana ubarikiwe zaidi ulivyo sasa Ahsante sana ♥️♥️♥️♥️🥂 by ERADIUS OSCAR from Mwanza nyegezi
Amen May our Almighty living Father bless you abundantly 🙏
Barkiwe sana kaka Joel
hasa kabisa nigependa kupata vitabu vyako
Mbona kila napotaman kifanya jambo moyo unasita Kaka Joel nahitaji msaada 😌
Aiseee me napenda nikuite Prof Nanauka.
Somo nzur
Nimekuelewa sana ,
Shukrani🎉
😢😢Ahsante sana
Asante sana kaka Joel nanauka kwa elimu unayotupa
Ubarikiwe kaka
Yajayo yanafurahisha asante sana mwalimu 🎉
MUNGU akubrk san
Niko na challenge
Asante sana
Nice work
Asante sana zidi kubarikiwa
Thanks brother
💟
Asante sana kaka napenda niwe na hicho kitabu nipo Mwanza
Thank you so much kaka, be blessed 🙌
Thank you kaka
Thanks
Kitabu cha timiza malengo yako nakitaka vipi nitakipata
❤❤❤❤❤
hapo kwenye marafiki sijakuelewa kabisa
Braza Jo,nitajuaje nimeitwa kufanya Nini!?
Asante sana somo zuri
@mohammedrashid2906
10 ай бұрын
Ipo sawa
🎉
Ubarikiwe kwa somo zuri kaka. Kitabu cha timiza malengo yako ni sh ngapi?
2:22
🇧🇮🇧🇮
good work
@joelnanauka
10 ай бұрын
Thank you! Cheers!
Yaani hapo nimependa Kitabu cha TIMIZA MALENGO YAKO kipo pembeni.....nashauri watanzania wanaopenda kutimiza/kufanikisha mipango/malengo yao wakisome hicho kitabu hawatajutia! Binafsi nimesoma vitabu vya waandishi wengi lkn nakiri Kitabu hiki ni cha aina yake; Kinaweza kubadilisha mitazamo yako yote ya kushindwa na kuamini ktk kuwezekana, kitafanya ujiamini, ujitambue, kitakupa njia/mbinu ya kuendea changamoto yako yoyote ya kimaisha, utatambua kwamba mafanikio yako ni wajibu wako kivitendo na utaacha kulalamikia watu/ndugu/serikali kwa ufupi ni Kitabu kinachofumbua ubongo wa mtu ktk kujitambua lkn pia kuweza kukabiliana na vikwazo/changamoto mbalimbali za maisha kwa uwezo wa Mungu.
Kitabu hicho shilling ngapi?
Sorry Kaka hiki kitabu Cha timiza malengo yako ni Bei gani na naweza kuja kununua wapi Mimi nipo madale dsm
@isikesamike
10 ай бұрын
Ukifika stand ya daladala ya Mnazimmoja huwezi kikosa. Pia Mwenge kwa wauza vitabu - hope ni around Tsh 15k - 20k.
@joelnanauka
10 ай бұрын
15,000/- Wasiliana na namba ya Bookshop 0762 31 21 71 utakipata