Cheche za Sugu katika mkutano wa hadhara Mbeya
Mbunge wa zamani wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' akitangaza kuanza kampeni ya Kata na mtaa kwa mtaa baada ya uzinduzi wa mikutano ya hadhara uliofanyika katika viwanja vya Ruanda Nzovwe jijini Mbeya.
Пікірлер: 8
Jembe Uyo
Ila kuvumbi kipo
Upuuzi mtupu
@rosemichael4765
Жыл бұрын
Kama alivyokuwa mpuuzi babaako sio
@allymusira2153
Жыл бұрын
@@rosemichael4765 matusi ya nini sasa
Yaan kipande hiki hujakitendea haki kbs wewe Camera man hata kuonyesha shangwe la wananchi hata kdg umeona watazamaji watafaidi au sio😏
Mbowe, hivi kweli uko serious? Unaongea mambo ya majimbo miaka hii? Mambo tuliyoyazika miaka ya 1950s? Hapana! Hebu tuletee sera zingine. Jenga badala ya kubomoa.
@obedilaizer4325
Жыл бұрын
Mliyazika wapi serikali ya majimbo ni zaidi ya kila kitu