Cheche za Sugu katika mkutano wa hadhara Mbeya

Mbunge wa zamani wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' akitangaza kuanza kampeni ya Kata na mtaa kwa mtaa baada ya uzinduzi wa mikutano ya hadhara uliofanyika katika viwanja vya Ruanda Nzovwe jijini Mbeya.

Пікірлер: 8

  • @daudsuday
    @daudsuday Жыл бұрын

    Jembe Uyo

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 Жыл бұрын

    Ila kuvumbi kipo

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 Жыл бұрын

    Upuuzi mtupu

  • @rosemichael4765

    @rosemichael4765

    Жыл бұрын

    Kama alivyokuwa mpuuzi babaako sio

  • @allymusira2153

    @allymusira2153

    Жыл бұрын

    @@rosemichael4765 matusi ya nini sasa

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Жыл бұрын

    Yaan kipande hiki hujakitendea haki kbs wewe Camera man hata kuonyesha shangwe la wananchi hata kdg umeona watazamaji watafaidi au sio😏

  • @elifariji
    @elifariji Жыл бұрын

    Mbowe, hivi kweli uko serious? Unaongea mambo ya majimbo miaka hii? Mambo tuliyoyazika miaka ya 1950s? Hapana! Hebu tuletee sera zingine. Jenga badala ya kubomoa.

  • @obedilaizer4325

    @obedilaizer4325

    Жыл бұрын

    Mliyazika wapi serikali ya majimbo ni zaidi ya kila kitu

Келесі