#breakingnews

Wafanyabiashara zaidi ya 800 wanaodai majina yao hayamo kwenye orodha ya watakaorejea katika Soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam, wamekusanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja kujiandikisha, kisha wakaandamana kwenda ofisi za CCM kulalamika.
Wafanyabiashara hao ni miongoni mwa waliohamishiwa kwenye masoko mbalimbali baada ya kuungua Soko la Kariakoo, kupisha ukarabati na ujenzi wa jingo jipya la ghorofa sita.
Soko la Karialoo liliungua Julai 2021 na kuteketeza mali karibu zote za wafanyabiashara.
Kutokana na hilo, Serikali ilitoa zaidi ya Sh28 bilioni kwa ajili ya kulikarabati na kujenga soko hilo dogo.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj

Пікірлер: 46

  • @salama1113
    @salama111319 күн бұрын

    Make kwanza ncheke😂😂😂😂😂watu wanaanza kupambania haki zao sasa

  • @user-eh5fw5gj4c
    @user-eh5fw5gj4c19 күн бұрын

    Ila mimi ni mjinga eti napendai kuona watu wamevurugwa hivi oyooooo

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k19 күн бұрын

    Ssamia,pole sana,mwaka huu unayo kazi.Vijana mliowasomesha na kisha mkawanyima ajira,sasa wameamua kujiari kwa njia ya maandamano.Ondoa Chalamila awafuate wasanii wenzie akina wema na Steve huko Korea.

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko19 күн бұрын

    Kenya

  • @MonicaBeni
    @MonicaBeni19 күн бұрын

    Tuwe tunapeana taarifa kua siku flani tunakiamsha jamani... Sasa ninyi mnakiamsha pekeenu mbona mnakuwa wachoyo ivo jamani? Me nawatamani sana hawa viongozi yani nawatamani kama nyama yakuchoma.

  • @gazzomaster9462

    @gazzomaster9462

    19 күн бұрын

    Nakuaminia na ulivo mtata utawaonesha Kenya kua wao pale walikua wanacheza

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k19 күн бұрын

    Mnaumiza watu na kodi kedekede,kumbe pesa yenyewe mnawapa akina makinda wanafanya siasa za kitoto,wanagwa pesa ovyo.Mkuu wa mkoa anasema kila arusi alipia Ukumbi.Jmn ,kweli huyo anajitmbua?Chalamila ndiyo kabisa !!Fukuzilia mbali wanatuletea umagufuli nani ana shida staili hiyo .Serikali inakumbatia vibaka, mara huyu anabaka,mara huyu analawiti.

  • @albertbunyinyiga7581

    @albertbunyinyiga7581

    19 күн бұрын

    Sasa hapo magufuli amefikaje jieshimu huyo mtu mwache apumzike

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka899119 күн бұрын

    Nafurahia sana hii Hali ili watu wawe na akili na ufahamu. Mkiambiwa ccm siyo hamuelewi

  • @TarimoMangi
    @TarimoMangi19 күн бұрын

    Naamini WATANZANIA kuna siku moja tu wataja amka kama kenya, Na hiyo siku haipo mbali.😅😅😅😅😅😅

  • @YassinRajabu

    @YassinRajabu

    19 күн бұрын

    mkileta mambo ya kenya mtagongwa kwa mujbu wa shelia

  • @MirajiMbolile

    @MirajiMbolile

    19 күн бұрын

    Hakuna mtu ataishi milele hapa duniani . Watauwa watagonga wangapi ?​@@YassinRajabu

  • @TarimoMangi

    @TarimoMangi

    19 күн бұрын

    Wewe mshanba kweli mzee...

  • @TarimoMangi

    @TarimoMangi

    19 күн бұрын

    Tena WACHAGA ndo watakua wakwanza kuwasha moto kwenye hii nchi maana wale walisha amkaga zaman sanaa kabla ya watanzania wengine. na nyie mnao jifanya serikali mtaonyeshwa kwamba nyie ni mavi kunuka tu.

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo626319 күн бұрын

    Vyombo husika wameshindwa kujua kiini cha migomo hii badala yake wanasingizia masuala ya ushawishi wa kisiasa. Watu wanachodai ni haki!

  • @emmanueljoseph3815
    @emmanueljoseph381519 күн бұрын

    kazi ipoo

  • @augustinemainde
    @augustinemainde19 күн бұрын

    Acheni ujinga Kama hawataki kufanya biashara na sisi tunayataka maeno hayo tufanye biashara

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti530319 күн бұрын

    MagenZ wa Kariakoo sio

  • @YassinRajabu
    @YassinRajabu19 күн бұрын

    tunajua nyumayenu kunawana siasa lakini tambueni amani nibola kuliko soko ccm oyee oyeeeeee kidumu chamapinduzi kidumuuu

  • @bcozhenry2698

    @bcozhenry2698

    19 күн бұрын

    Tunatambua nyuma yako Kuna wezi wa jasho la wananchi, tambua amani ya kuibiana ni ushenzi..! Haki yetu Oyeeeeee!

  • @mabondolawrence1812

    @mabondolawrence1812

    19 күн бұрын

    Kidimuuuuuuuuuuuuuuu

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k19 күн бұрын

    Ushauri.Yule DC wa Temeke mpe huu mmoa.Chalamila mpe mtaji akalime nyanya Iringa kwao.DC Magoti mpe mkoa Arusha.Makonda ukikosa pa kumpele mpeleke kizuizi panamfaa.

  • @GodfreyOsward

    @GodfreyOsward

    19 күн бұрын

    Shida sio viongozi, fursa iliyoko kariokkoo,haikidhi mahitaji ya raia. Ukumbuke kufunga na kufungua soko uwezekano wa kuondoana kutakotakana kunyanganyana fursa.

  • @majutoomari7445
    @majutoomari744519 күн бұрын

    Duh huu mwaka ni shida,

  • @magesagambajr3546
    @magesagambajr354619 күн бұрын

    Hii lini mbona Leo nilikuwa hapa crdb vijana sijaona huu umati

  • @ANRAHIMKADUMA
    @ANRAHIMKADUMA19 күн бұрын

    Kulikoni tena akariakoo

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray27719 күн бұрын

    Sie tupo na furaha za kiiiiiiiii na chama

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k19 күн бұрын

    Unatishaje watu kariakoo.Unakalia uchawa.mwaka mtachmba wima.

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd19 күн бұрын

    Nani kama mama

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd19 күн бұрын

    ngoja tafuneni chuma icho magufuli hayupo acha manyangau watukomeshe😊

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni899719 күн бұрын

    WATENDAJI OMBENI USHAURI,HILI SI JAMBO LA PHD.

  • @IsraelMjita
    @IsraelMjita19 күн бұрын

    Something wrong

  • @nasramohd9924
    @nasramohd992419 күн бұрын

    Mim kiushaur serekali wajarib kuwasikiz hawa watu nin wanatk ili kazi iendeleee hapa pana tatz kw hawa raiya sio wabaya bali kuna kitu serekal inahis Hakipo saw kw hawa watu ndio inahaki ya kubalidili kile kilichokuw hakipo saw lakini busara itumike zaidi kw mstakabali wa pande zote mbili

  • @HajiSimba-mq7tp
    @HajiSimba-mq7tp19 күн бұрын

    Je hawa wote ni wafanya biashara?au ndio sisi tuofuta msafara wa mamba

  • @YassinRajabu
    @YassinRajabu19 күн бұрын

    nyie Kenge mnavuluga Amani mnajifanya wakenya ee mta gongwa kwa mujbu wa Shelia

  • @YustaMfugale

    @YustaMfugale

    19 күн бұрын

    Sorry nadhan ni haki kuandamana kwa amani ,,,bila kuvuruga aman ya nchi ,,ila Kam ikitokea vurugu basi serikari inawajibu wa kuwajibika

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    19 күн бұрын

    Hao si watoto si wajinga na si wahuni. Kuna jambo hapo

  • @NashoniKibuga
    @NashoniKibuga19 күн бұрын

    Waleta fujo

  • @NashoniKibuga
    @NashoniKibuga19 күн бұрын

    Wapigwe hao

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa33119 күн бұрын

    Wanashinikizwa na wanasiasa,

  • @meryshekoloa961

    @meryshekoloa961

    19 күн бұрын

    Hapana tumetoka sokoni kupisha ukarabati baada ya ajari ya moto sasa hivi hawataki kuturudisha wameuza vizimba kwa watu wao

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa517919 күн бұрын

    mnataka haki gani nyie kenge

  • @GodfreyOsward

    @GodfreyOsward

    19 күн бұрын

    Hawa ni Raia sio kenge, sehemu muhimu ya maisha imeguswa. Bila ya watu kula wakashiba ni wabaya kuliko kenge. Swali ukishiba jiulize jirani au ndugu yako kashiba ili nawe ushibe kwa amani yako

  • @user-we5px7gp2r
    @user-we5px7gp2r19 күн бұрын

    Viongozi dalili hizi sio nzuri hata kidogo tuyamalize mapema haya.Challamila ana kosa gani kwa mnao mshambulia? Namuona kama kijana mmoja anayejitahidi kadri ya uwezo aliojaliwa na Mungu.

  • @meryshekoloa961

    @meryshekoloa961

    19 күн бұрын

    Mmmhhh pole

Келесі