MGOMO wa KARIAKOO, WAFANYABIASHARA WAFUNGUKA "KODI IMEKUWA KUBWA SANA, BIDHAA ZIMEPANDA BEI"

Ойын-сауық

Пікірлер: 46

  • @isamony58
    @isamony58Ай бұрын

    Chalamiya anajifanya mkali ajuwi kama wezake wanaumiya asilete ujingaa hapo mishavu ilee

  • @AbrahBuraheze
    @AbrahBurahezeАй бұрын

    pameanza kuchangamka sasa baada ya muarabu kushika bandariii😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gsАй бұрын

    Basi selikali iwe inatutafutia mitaji itupatie alafu kodi wanapandixhe wanavyo taka nyoko xana nyoooooooo😢😢😢😢

  • @oyay2821
    @oyay2821Ай бұрын

    African winter is spreading in East Africa

  • @RamadhaniMadanga-ne7jk
    @RamadhaniMadanga-ne7jkАй бұрын

    Yaani Tanzania hii bado sana

  • @user-vg7gh6df9w
    @user-vg7gh6df9wАй бұрын

    Chalamila usitumie mabavu hayajengi, wasikilizeni wafanyabiashara wana hoja.

  • @kelvinsanga1517
    @kelvinsanga1517Ай бұрын

    Duuuuuuuuuu Aya maisha noma sana

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bАй бұрын

    Funga maduka uzieni inje basi sindio charamila amesema owote tuwe machinga tusilipe Kodi chalamila alifauluje kukali au

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644Ай бұрын

    Tuliwambia msiiuze bandari mkatuona wapuuza sasa pambaneni na hizo kodi

  • @DjamalDjazir
    @DjamalDjazirАй бұрын

    Umeongea fact sana kaka

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159Ай бұрын

    Yule mashavu analeta mzaha kwenye masuala sensitive

  • @fauzishabani2622

    @fauzishabani2622

    Ай бұрын

    Biashara ni ngumu chungu naniTamu wakati mwingine

  • @alitomitre4191
    @alitomitre4191Ай бұрын

    We legeza macho tu 😂😂😂

  • @dismashaule1631
    @dismashaule1631Ай бұрын

    Aiseeee nchi ya kwetu lakin wanafaidika viongozi ndo mana kina Chalamila ni kupiga porojo tu

  • @user-cd2np5by6g
    @user-cd2np5by6gАй бұрын

    Ata ikinyesha mvua c mnasema anaupiga mwingi

  • @babuummary7723
    @babuummary7723Ай бұрын

    Serikali ijiangalie sana

  • @AbsalumSanga
    @AbsalumSangaАй бұрын

    Maisha magumu sana

  • @JonathanMatembo
    @JonathanMatemboАй бұрын

    Mnaangaika kumtafuta mchawi,adui namba moja wa watanzania woote ni chama chakavu cha CCM na family zao,bola ukimwi kuliko CCM kuwepo Tanzania,bandari imeuzwa watanzania tutateseka sana.

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140Ай бұрын

    Kwaza huyu mama nchi hii imemshinda SI ajiuzulu apate heshima kuliko kung,Ang,Ania vtu ambavyo haviwez

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847Ай бұрын

    🙏🏽🥺

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491Ай бұрын

    Kazi ya chawa kusifia viongozi hawa angalii nani anae teswa na hawa viongoz

  • @AbrahBuraheze
    @AbrahBurahezeАй бұрын

    sasa kwa nin kachalamila kanakuwa kakali kasisikile wafanya biashara kakatatuwa hiyo changamoto baadala ya kufoka foka

  • @imallya6513
    @imallya6513Ай бұрын

    Vilevile wageni kuwa hutu kufungua maduka kila kama sisi wazawa na kufanya biashar kama sisi wazawa inatuondoa wazawa kweny mfumo kabisaa hakuna ushindan

  • @coolsinare8824
    @coolsinare8824Ай бұрын

    ila aisee serikali inabidi ifanye jambo kodi haziwezi kuwa hivi..nchi inaanguka hii nainaonekana viongozi hamjali kabisaaaa

  • @joowzeyboyjoowzee4474
    @joowzeyboyjoowzee4474Ай бұрын

    So sad

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidhАй бұрын

    Mama amesema bandarini kunatakiwa kuongezeka kodi

  • @BarakerZeonlist
    @BarakerZeonlistАй бұрын

    kashauza bandari

  • @oswardmsigwa5728
    @oswardmsigwa5728Ай бұрын

    Hii ndo serikali mnayosema ya mitano tena

  • @geofreykasinda1895
    @geofreykasinda1895Ай бұрын

    Wanainchi wanalipa Kodi alafu majizi yanaiba mabilioni ya walipa Kodi, na serikari inabariki wezi na inawalinda , Kodi itumike ipasavyo kumechoka na lipoti za CIG Kila siku wizi na serikari haipiki atua

  • @mussakasela1937
    @mussakasela1937Ай бұрын

    😂😂😂 mtanyoka nyoko nyie,

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bАй бұрын

    Chawa huyo mama achane na machawa aongeye na vijana jeshishi wasomi wafutwe machinga na jina Hilo lisisikike unapangaje watu balala? Wajengeye masolo siyo kuweka chini

  • @nomoboy152
    @nomoboy152Ай бұрын

    Ety chanzo Cha mgomo ni vyama vya siasa 😂😂😂 ila Tanzania

  • @user-oh8ig2cy9q
    @user-oh8ig2cy9qАй бұрын

    Watu wanachoka

  • @user-lc3xd4vt2u
    @user-lc3xd4vt2uАй бұрын

    Bunge la mchongo Kila sku maamuzi wanayo amua yanakuwa sum Kwa raia

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidhАй бұрын

    Mbona wakat wa makonda sjaskia wafanya biashara kugoma

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwokoАй бұрын

    Kura zenu hoooooeee

  • @coolsinare8824
    @coolsinare8824Ай бұрын

    sina maana yakupigia chama chochote kifua ila CCM aisee mnaharibu mbayaaaa huo mgomo ni jambo dogo sana kulinganisha na kero nyingiiiii zilizo kwa wananchi..acheni kudharau wa Tanzania kwani watawafanya nini..ishini kwenye ilani yenu ya chama..

  • @JonathanMatembo
    @JonathanMatemboАй бұрын

    Bandari imeuzwa mtakoma

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953Ай бұрын

    Hili Jiji aje makonda huyu mlevi chalamila haliwezi kelele nyingi

  • @mussakasela1937

    @mussakasela1937

    Ай бұрын

    👏👏

  • @abdull_hafidh

    @abdull_hafidh

    Ай бұрын

    Exact

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159Ай бұрын

    Waarabu wameongeza kodi bandarini mara mia tujitahid tuwaondoe. Vinginevyo watataliza

  • @zully756

    @zully756

    Ай бұрын

    Tatizo jamaa zako wananunua magari ya kifahari kwa kodi zetu

  • @RenatusMatungwa

    @RenatusMatungwa

    Ай бұрын

    Wakati watu wanapiga kelele kuhusu kubinafsishwa hiyo bandari mliwaita wachochezi tulieni dawa iwaingie

Келесі