Chalamiya anajifanya mkali ajuwi kama wezake wanaumiya asilete ujingaa hapo mishavu ilee
@AbrahBurahezeАй бұрын
pameanza kuchangamka sasa baada ya muarabu kushika bandariii😂😂😂😂😂😂😂😂
@remidusmwanandenje-yy5gsАй бұрын
Basi selikali iwe inatutafutia mitaji itupatie alafu kodi wanapandixhe wanavyo taka nyoko xana nyoooooooo😢😢😢😢
@oyay2821Ай бұрын
African winter is spreading in East Africa
@RamadhaniMadanga-ne7jkАй бұрын
Yaani Tanzania hii bado sana
@user-vg7gh6df9wАй бұрын
Chalamila usitumie mabavu hayajengi, wasikilizeni wafanyabiashara wana hoja.
@kelvinsanga1517Ай бұрын
Duuuuuuuuuu Aya maisha noma sana
@user-sw7tf1ob1bАй бұрын
Funga maduka uzieni inje basi sindio charamila amesema owote tuwe machinga tusilipe Kodi chalamila alifauluje kukali au
@noeljacob9644Ай бұрын
Tuliwambia msiiuze bandari mkatuona wapuuza sasa pambaneni na hizo kodi
@DjamalDjazirАй бұрын
Umeongea fact sana kaka
@rebekakulwa6159Ай бұрын
Yule mashavu analeta mzaha kwenye masuala sensitive
@fauzishabani2622
Ай бұрын
Biashara ni ngumu chungu naniTamu wakati mwingine
@alitomitre4191Ай бұрын
We legeza macho tu 😂😂😂
@dismashaule1631Ай бұрын
Aiseeee nchi ya kwetu lakin wanafaidika viongozi ndo mana kina Chalamila ni kupiga porojo tu
@user-cd2np5by6gАй бұрын
Ata ikinyesha mvua c mnasema anaupiga mwingi
@babuummary7723Ай бұрын
Serikali ijiangalie sana
@AbsalumSangaАй бұрын
Maisha magumu sana
@JonathanMatemboАй бұрын
Mnaangaika kumtafuta mchawi,adui namba moja wa watanzania woote ni chama chakavu cha CCM na family zao,bola ukimwi kuliko CCM kuwepo Tanzania,bandari imeuzwa watanzania tutateseka sana.
@ponsianomnyaru9140Ай бұрын
Kwaza huyu mama nchi hii imemshinda SI ajiuzulu apate heshima kuliko kung,Ang,Ania vtu ambavyo haviwez
@fardoshnassor7847Ай бұрын
🙏🏽🥺
@ilynpayne7491Ай бұрын
Kazi ya chawa kusifia viongozi hawa angalii nani anae teswa na hawa viongoz
@AbrahBurahezeАй бұрын
sasa kwa nin kachalamila kanakuwa kakali kasisikile wafanya biashara kakatatuwa hiyo changamoto baadala ya kufoka foka
@imallya6513Ай бұрын
Vilevile wageni kuwa hutu kufungua maduka kila kama sisi wazawa na kufanya biashar kama sisi wazawa inatuondoa wazawa kweny mfumo kabisaa hakuna ushindan
@coolsinare8824Ай бұрын
ila aisee serikali inabidi ifanye jambo kodi haziwezi kuwa hivi..nchi inaanguka hii nainaonekana viongozi hamjali kabisaaaa
@joowzeyboyjoowzee4474Ай бұрын
So sad
@abdull_hafidhАй бұрын
Mama amesema bandarini kunatakiwa kuongezeka kodi
@BarakerZeonlistАй бұрын
kashauza bandari
@oswardmsigwa5728Ай бұрын
Hii ndo serikali mnayosema ya mitano tena
@geofreykasinda1895Ай бұрын
Wanainchi wanalipa Kodi alafu majizi yanaiba mabilioni ya walipa Kodi, na serikari inabariki wezi na inawalinda , Kodi itumike ipasavyo kumechoka na lipoti za CIG Kila siku wizi na serikari haipiki atua
@mussakasela1937Ай бұрын
😂😂😂 mtanyoka nyoko nyie,
@user-sw7tf1ob1bАй бұрын
Chawa huyo mama achane na machawa aongeye na vijana jeshishi wasomi wafutwe machinga na jina Hilo lisisikike unapangaje watu balala? Wajengeye masolo siyo kuweka chini
@nomoboy152Ай бұрын
Ety chanzo Cha mgomo ni vyama vya siasa 😂😂😂 ila Tanzania
@user-oh8ig2cy9qАй бұрын
Watu wanachoka
@user-lc3xd4vt2uАй бұрын
Bunge la mchongo Kila sku maamuzi wanayo amua yanakuwa sum Kwa raia
@abdull_hafidhАй бұрын
Mbona wakat wa makonda sjaskia wafanya biashara kugoma
@MusaOgwokoАй бұрын
Kura zenu hoooooeee
@coolsinare8824Ай бұрын
sina maana yakupigia chama chochote kifua ila CCM aisee mnaharibu mbayaaaa huo mgomo ni jambo dogo sana kulinganisha na kero nyingiiiii zilizo kwa wananchi..acheni kudharau wa Tanzania kwani watawafanya nini..ishini kwenye ilani yenu ya chama..
@JonathanMatemboАй бұрын
Bandari imeuzwa mtakoma
@shijandobehe4953Ай бұрын
Hili Jiji aje makonda huyu mlevi chalamila haliwezi kelele nyingi
@mussakasela1937
Ай бұрын
👏👏
@abdull_hafidh
Ай бұрын
Exact
@rebekakulwa6159Ай бұрын
Waarabu wameongeza kodi bandarini mara mia tujitahid tuwaondoe. Vinginevyo watataliza
@zully756
Ай бұрын
Tatizo jamaa zako wananunua magari ya kifahari kwa kodi zetu
@RenatusMatungwa
Ай бұрын
Wakati watu wanapiga kelele kuhusu kubinafsishwa hiyo bandari mliwaita wachochezi tulieni dawa iwaingie
Пікірлер: 46
Chalamiya anajifanya mkali ajuwi kama wezake wanaumiya asilete ujingaa hapo mishavu ilee
pameanza kuchangamka sasa baada ya muarabu kushika bandariii😂😂😂😂😂😂😂😂
Basi selikali iwe inatutafutia mitaji itupatie alafu kodi wanapandixhe wanavyo taka nyoko xana nyoooooooo😢😢😢😢
African winter is spreading in East Africa
Yaani Tanzania hii bado sana
Chalamila usitumie mabavu hayajengi, wasikilizeni wafanyabiashara wana hoja.
Duuuuuuuuuu Aya maisha noma sana
Funga maduka uzieni inje basi sindio charamila amesema owote tuwe machinga tusilipe Kodi chalamila alifauluje kukali au
Tuliwambia msiiuze bandari mkatuona wapuuza sasa pambaneni na hizo kodi
Umeongea fact sana kaka
Yule mashavu analeta mzaha kwenye masuala sensitive
@fauzishabani2622
Ай бұрын
Biashara ni ngumu chungu naniTamu wakati mwingine
We legeza macho tu 😂😂😂
Aiseeee nchi ya kwetu lakin wanafaidika viongozi ndo mana kina Chalamila ni kupiga porojo tu
Ata ikinyesha mvua c mnasema anaupiga mwingi
Serikali ijiangalie sana
Maisha magumu sana
Mnaangaika kumtafuta mchawi,adui namba moja wa watanzania woote ni chama chakavu cha CCM na family zao,bola ukimwi kuliko CCM kuwepo Tanzania,bandari imeuzwa watanzania tutateseka sana.
Kwaza huyu mama nchi hii imemshinda SI ajiuzulu apate heshima kuliko kung,Ang,Ania vtu ambavyo haviwez
🙏🏽🥺
Kazi ya chawa kusifia viongozi hawa angalii nani anae teswa na hawa viongoz
sasa kwa nin kachalamila kanakuwa kakali kasisikile wafanya biashara kakatatuwa hiyo changamoto baadala ya kufoka foka
Vilevile wageni kuwa hutu kufungua maduka kila kama sisi wazawa na kufanya biashar kama sisi wazawa inatuondoa wazawa kweny mfumo kabisaa hakuna ushindan
ila aisee serikali inabidi ifanye jambo kodi haziwezi kuwa hivi..nchi inaanguka hii nainaonekana viongozi hamjali kabisaaaa
So sad
Mama amesema bandarini kunatakiwa kuongezeka kodi
kashauza bandari
Hii ndo serikali mnayosema ya mitano tena
Wanainchi wanalipa Kodi alafu majizi yanaiba mabilioni ya walipa Kodi, na serikari inabariki wezi na inawalinda , Kodi itumike ipasavyo kumechoka na lipoti za CIG Kila siku wizi na serikari haipiki atua
😂😂😂 mtanyoka nyoko nyie,
Chawa huyo mama achane na machawa aongeye na vijana jeshishi wasomi wafutwe machinga na jina Hilo lisisikike unapangaje watu balala? Wajengeye masolo siyo kuweka chini
Ety chanzo Cha mgomo ni vyama vya siasa 😂😂😂 ila Tanzania
Watu wanachoka
Bunge la mchongo Kila sku maamuzi wanayo amua yanakuwa sum Kwa raia
Mbona wakat wa makonda sjaskia wafanya biashara kugoma
Kura zenu hoooooeee
sina maana yakupigia chama chochote kifua ila CCM aisee mnaharibu mbayaaaa huo mgomo ni jambo dogo sana kulinganisha na kero nyingiiiii zilizo kwa wananchi..acheni kudharau wa Tanzania kwani watawafanya nini..ishini kwenye ilani yenu ya chama..
Bandari imeuzwa mtakoma
Hili Jiji aje makonda huyu mlevi chalamila haliwezi kelele nyingi
@mussakasela1937
Ай бұрын
👏👏
@abdull_hafidh
Ай бұрын
Exact
Waarabu wameongeza kodi bandarini mara mia tujitahid tuwaondoe. Vinginevyo watataliza
@zully756
Ай бұрын
Tatizo jamaa zako wananunua magari ya kifahari kwa kodi zetu
@RenatusMatungwa
Ай бұрын
Wakati watu wanapiga kelele kuhusu kubinafsishwa hiyo bandari mliwaita wachochezi tulieni dawa iwaingie