ACT Wazalendo: Kariakoo ni Kitovu cha Biashara, Serikali Iache Mara Moja Kodi za Dhulma

Waziri Mkuu Kivuli, Ndugu Isihaka Mchinjita Amefanya Ziara ya Kuwatembelea Wafanyabiashara Karikaoo Kusikiliza Kero Zao Pamoja na Kuwaunga Mkono Katika Kupigania Haki Zao. Ziara Hiyo imefanyika Juni 24 2024 Kufuatia Mgomo wa Wafanyabiashara Hao.
#taifalawote #maslahiyawote

Пікірлер: 22

  • @devangandhl2255
    @devangandhl2255Ай бұрын

    Act mmeongea vizuri.to the point.viongozi wetu tunamategemeo nanyi

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rnАй бұрын

    My friend serikali inapokuwa haina fedha, ni mtumwa wa waarabu, wazungu, wachina nk. kama matokeo ya sera "asante bwana wangu kwa kunipa mikopo" usitegemee intervation ya raisi! Nyie ACT Wazalendo ndo inatakiwa mfanye intervation kwa kuja na sera mpya, bunifu na endelevu kama nilivokusikia baadhi ya mapendekezo yako. Huku unaishutumu serikali imefeli hapohapo unaishauri ifanye intervation! Kikwetu "u are talking hypocracy." Nimekushangaa sana bwana mhe. wa ACT Wazalemdo!

  • @user-ob4ez4ku6z
    @user-ob4ez4ku6zАй бұрын

    Safi kabisa umeongea mzee na umesomeka big up

  • @user-gy5gu1mn4x
    @user-gy5gu1mn4xАй бұрын

    Kweli babisa ✌️❤️

  • @mchungajimpigauzitv5703
    @mchungajimpigauzitv5703Ай бұрын

    Mungu

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803Ай бұрын

    WE'LL SAID ACT

  • @BGmElectronics
    @BGmElectronicsАй бұрын

    100% umetisha kama cyo siasa pia

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9zАй бұрын

    Hii nchi Mara soko liungue Mara makodi yasioisha,bungeni mkiambiwa ukweli mnafukuza wasema kweli,asilimia tisini na tisa chama moja mnafukuzana wenyewe, wangekua wapimzani ingekuaje?,Nani kama Mpina?.

  • @RabihuHussein
    @RabihuHusseinАй бұрын

    Mmeona hapo ndo goli la mkono eh🤣🤣🤣

  • @salyali7807
    @salyali7807Ай бұрын

    Mchinjita you are the best 1🔥🔥🔥

  • @edmondraymond52
    @edmondraymond52Ай бұрын

    WA

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188Ай бұрын

    Mwigulu ndio tatizo anatamaa sana hapendi watu wengine wishing vizuri mama mtoe huyo waziri wa fedha huyo ndio shida

  • @birianination7097

    @birianination7097

    Ай бұрын

    Tuwe makini, kwani kinacho endelea

  • @ngusawales2039
    @ngusawales2039Ай бұрын

    Hawa jamaa sjawahi kuwaamin hata kidogo

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641Ай бұрын

    Wafanyabiashara wanalipa KODI wakitoa mzigo bandarini wakiuza wanalipa VAT, sasa hawa wafanyakazi wa serikali wakomeshwe kunyanyasa wafanyabiashara. Kenya watu wamegoma TAX za serikali, wananchi ni masikini. Wakubwa wa serikali wanaishi na familia zao maisha mazuri ya Ufahari kwa kodi za wananchi.

  • @dulasele-ud8cw
    @dulasele-ud8cwАй бұрын

    Aibu kubwa nchi

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685Ай бұрын

    Tatizo mama anajifanya chura ila atambue kirusi chote ni mwiguru na mkumbo huyu bibi Amtimue mwiguru hana ubunifu

  • @user-bq4tk6yq2q
    @user-bq4tk6yq2qАй бұрын

    Ubavu hakuna nani atasimama kama Jpm awatoe wasio kendal na mama

  • @dulasele-ud8cw
    @dulasele-ud8cwАй бұрын

    Umeongea vitu vitamu nusu niliee

  • @user-bq4tk6yq2q
    @user-bq4tk6yq2qАй бұрын

    Wanao dharau maagizo ya rais wawekwe pembeni na kuwaweka wanokwenda naye

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944Ай бұрын

    Jawa Wanasiasa ndio wana ole ya Chockochoko kwenye Biashara za Watu. Hawafai kuingilia mambo ya Watu yasiyowahusu.

  • @ezekielkiduge8730

    @ezekielkiduge8730

    Ай бұрын

    Huna jipya uchawa unakusumbua

Келесі