KUKAMATWA KWA WAFANYABIASHA KARIAKOO JESHI LA POLISI LAONYWA, "ACHENI KUTUMIA UBABE"

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 41

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641Ай бұрын

    Nchi haina Uhuru wa wananchi katika nchi yao, sheria za KIDIKTETA zinatumika.

  • @anaelnanyaro3634
    @anaelnanyaro3634Ай бұрын

    Huyu mtu ni tatizo hafai kuwakilisha wafanyabiashara anatumika

  • @bertinkimati2674
    @bertinkimati2674Ай бұрын

    Mnatakiwa pia kuwaelimisha watanzania haki yao ya kutokutoa maelezo yoyote wakiwa chini ulinzi wa polisi kama hawana wakili au shahidi atakayeshuhudia mahojiano hayo ili kuzuia polisi kuwabambikia maneno ya uongo

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641Ай бұрын

    Serikali ya KiDIKTETA mtu ananunua kitu dukani akitoka nje anakamatwa.

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206Ай бұрын

    Changamoto kubwa sana

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1oАй бұрын

    Ccm na samia wahuni kabisa acheni utoto guys it will cost u one day

  • @chrissamani7921
    @chrissamani7921Ай бұрын

    Jichanganyeni tu mkiamini ubabe unasaidia kwa kila kitu,iko siku watu watahamia popote mulipo,watu wanachoka jamani, na vizazi vinabarika

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17Ай бұрын

    Safi sana kwa uamuzi muzuri wa Wafanya Biashara, from Cedar Rapids Iowa state USA.

  • @majaliwabwitonde6900

    @majaliwabwitonde6900

    Ай бұрын

    Safi sana for what?Na huko Iowa yamefungwa? Ujinga mtupu

  • @januarysungura8119

    @januarysungura8119

    Ай бұрын

    @@majaliwabwitonde6900 kafungue la kwako ili uwape ulaji mafisadi

  • @ndiditheodore8272
    @ndiditheodore8272Ай бұрын

    Manji alihama nchi, ndiyo, Chalamila unapata nini?

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566Ай бұрын

    Kufunga na kufungua duka ni uamuzi wa mwenyeduka vinginevyo ni ajabu na udikteta

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bАй бұрын

    Masawe uache jaja ukaja kua kama Mzee lukuvi umeona Kenya wa Tanzania walelo siyo wale wa kina nape janwary wa na dhalau umoja ni nguvu police Hawa wajiandae

  • @geraldmihimbo1542
    @geraldmihimbo1542Ай бұрын

    Kutumia nguvu hakuwezi kuleta suluhisho la kudumu.unamkamata anaetetea haki ili iweje?

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yqАй бұрын

    Hapa mumefanya jambo jema maana mitaji ni yenu musinyanyaswe na kundi la watu wachache

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bАй бұрын

    Ok hiyo mjinga ni usama wataifa amemuza lweimamo na amekuja hakusema huyo tufe nae kabisa Wana biashara Gani elasto akifa amani itapatikana kumbe hao wengine na mwenyekiti ni sawa na nape

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263Ай бұрын

    Polisi hawafanyi kitu bila maagizo na maelekezo. Kumbukeni kauli ya alichokisema mkuu wa mkoa alipokutana na wafanya biashara kuhusu yaliyomkuta mfanyabiashara Manji mpaka akahama nchini!

  • @abubacarsobo8981
    @abubacarsobo8981Ай бұрын

    Ndio upumbavu wao huo

  • @SostenesMabala-tt8pt
    @SostenesMabala-tt8ptАй бұрын

    Kwani laisi hajui

  • @thomasmichaellukumai-ny7se
    @thomasmichaellukumai-ny7seАй бұрын

    Kwani ataki mama aonge na wafanyabiashara

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eqАй бұрын

    Sasa nguvu Sasa sio sikivu tena

  • @thomasmichaellukumai-ny7se
    @thomasmichaellukumai-ny7seАй бұрын

    We'we ni msaliti wa wenzako

  • @SostenesMabala-tt8pt
    @SostenesMabala-tt8ptАй бұрын

    Mnatuona hujitambui kilasiku?

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64Ай бұрын

    Inawezekana huyu Massawe ni snitch. Atakuwa kawachoma wenzake. Ukomwangalia haaminiki

  • @chrissamani7921
    @chrissamani7921Ай бұрын

    Na wewe masawe,kwa nini usijulishe wafanya biashara mapema kuhusu kukamatwa kwake? Ili wakatwe wote pamoja na nyie, ikuwezekana nchi nzima wenye maduka , hapo hamkuwa vizuri bwana masawe!

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915Ай бұрын

    kwa nini walikubsli kwenda wakiwa hawajakamilika?

  • @EliaoniTerry
    @EliaoniTerryАй бұрын

    Massawe, wewe na wenzako mlipaswa kulitaka jeshi la polisi kumwachia Erasto Rweimamu, ndipo mkutane na serikali, kitendo cha wewe na wenzio kukutana na serikali ili hali mwenzenu anashikiliwa ni USALITI. sidhani hata Leo kama wafanya biashara watakusikiliza, nikushauri tu kwamba kabla ya kupanga kukutana na wafanya biashara hakikisha Erasto na wenzake umeshikiza polisi wawaachie mbele yako ndipo muende kuongea na wenzenu.

  • @user-pk9yr4go8p
    @user-pk9yr4go8pАй бұрын

    Hiyondo selayatazania mtuakisema ukwele kata

  • @omaryjudasymwanga7172
    @omaryjudasymwanga7172Ай бұрын

    Kwani police ndio waajiri wa huyo jamaa kwamba hilo duka lina ubia napolice mambo ya kihuni hapo watampakesi maana hawashindwi

  • @omaryjudasymwanga7172

    @omaryjudasymwanga7172

    Ай бұрын

    Watu wameitwa na waziri police mnahusikaje

  • @omaryjudasymwanga7172

    @omaryjudasymwanga7172

    Ай бұрын

    Biashara nizao na maamuzi niyao kama serikali haioni faida yao wanakusanya mahali ambapo hawakutawanya yani hapa hawana tofauti na mtu analazimisha kukamua mnyama ambaye hana ndama mambo ya hovyo sana police wa Tanzania nao kunasaa wamekua kero wanakurupuka kipitiliza duka nilake hakwenda kuzuia wengine kufungua ila hali inajionyesha wanakamuliwa na serikali kupitiliza wangefanyaje wakubali kuumia ili waitwe waadilifu maana ya biashara ni uone faida sasa kama hakuna kitu hiyo ni biashara au ni sawa na kibarua usiyejua malipo yako yanatoka kwa nani ilihali unafanya kazi tena ya kufa na kupona jioni mauzo anakuja mtu na V8 anakupa control number unaweka hela huko wee uazime mpaka nauli yakwenda kwako utakua na ubobgo wa binadamu au ubongo wa ngurue acheni uonevu inazidi mtawafanya wajinga waamke

  • @maryhando227
    @maryhando227Ай бұрын

    Serikali mwachieni , mnajitafutia matatizo makubwa zaidi.

  • @KaburuKimath-eu5nf

    @KaburuKimath-eu5nf

    Ай бұрын

    Mungu ibariki tanzania

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qwАй бұрын

    Mi nilitaka nishangae media hii ya chadema iache kuzungumzia issue hii ya kariakoo ningeona ajabu

  • @mgm412

    @mgm412

    Ай бұрын

    Chadema inahusikaje hapo ww boyaa

  • @georgekimasaofficial1629

    @georgekimasaofficial1629

    Ай бұрын

    Kwani hii habari imeripotiwa na chanel hii tu

  • @WamburaMaseke

    @WamburaMaseke

    Ай бұрын

    We matako nini unataka kutuunganisha na Mambo ya kisiasa ? We mbwa kabisa

  • @GodfreyOsward

    @GodfreyOsward

    Ай бұрын

    Chadema ni ndugu zako, mama, baba, mtoto. Shangazi. Katiba yetu inatoa mwanya wa kuwepo kwa vyama vingi.

  • @solomonjackson3827

    @solomonjackson3827

    Ай бұрын

    Sio hoja kaa pembeni

Келесі