KUKAMATWA KWA WAFANYABIASHA KARIAKOO JESHI LA POLISI LAONYWA, "ACHENI KUTUMIA UBABE"
#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Пікірлер: 41
Nchi haina Uhuru wa wananchi katika nchi yao, sheria za KIDIKTETA zinatumika.
Huyu mtu ni tatizo hafai kuwakilisha wafanyabiashara anatumika
Mnatakiwa pia kuwaelimisha watanzania haki yao ya kutokutoa maelezo yoyote wakiwa chini ulinzi wa polisi kama hawana wakili au shahidi atakayeshuhudia mahojiano hayo ili kuzuia polisi kuwabambikia maneno ya uongo
Serikali ya KiDIKTETA mtu ananunua kitu dukani akitoka nje anakamatwa.
Changamoto kubwa sana
Ccm na samia wahuni kabisa acheni utoto guys it will cost u one day
Jichanganyeni tu mkiamini ubabe unasaidia kwa kila kitu,iko siku watu watahamia popote mulipo,watu wanachoka jamani, na vizazi vinabarika
Safi sana kwa uamuzi muzuri wa Wafanya Biashara, from Cedar Rapids Iowa state USA.
@majaliwabwitonde6900
Ай бұрын
Safi sana for what?Na huko Iowa yamefungwa? Ujinga mtupu
@januarysungura8119
Ай бұрын
@@majaliwabwitonde6900 kafungue la kwako ili uwape ulaji mafisadi
Manji alihama nchi, ndiyo, Chalamila unapata nini?
Kufunga na kufungua duka ni uamuzi wa mwenyeduka vinginevyo ni ajabu na udikteta
Masawe uache jaja ukaja kua kama Mzee lukuvi umeona Kenya wa Tanzania walelo siyo wale wa kina nape janwary wa na dhalau umoja ni nguvu police Hawa wajiandae
Kutumia nguvu hakuwezi kuleta suluhisho la kudumu.unamkamata anaetetea haki ili iweje?
Hapa mumefanya jambo jema maana mitaji ni yenu musinyanyaswe na kundi la watu wachache
Ok hiyo mjinga ni usama wataifa amemuza lweimamo na amekuja hakusema huyo tufe nae kabisa Wana biashara Gani elasto akifa amani itapatikana kumbe hao wengine na mwenyekiti ni sawa na nape
Polisi hawafanyi kitu bila maagizo na maelekezo. Kumbukeni kauli ya alichokisema mkuu wa mkoa alipokutana na wafanya biashara kuhusu yaliyomkuta mfanyabiashara Manji mpaka akahama nchini!
Ndio upumbavu wao huo
Kwani laisi hajui
Kwani ataki mama aonge na wafanyabiashara
Sasa nguvu Sasa sio sikivu tena
We'we ni msaliti wa wenzako
Mnatuona hujitambui kilasiku?
Inawezekana huyu Massawe ni snitch. Atakuwa kawachoma wenzake. Ukomwangalia haaminiki
Na wewe masawe,kwa nini usijulishe wafanya biashara mapema kuhusu kukamatwa kwake? Ili wakatwe wote pamoja na nyie, ikuwezekana nchi nzima wenye maduka , hapo hamkuwa vizuri bwana masawe!
kwa nini walikubsli kwenda wakiwa hawajakamilika?
Massawe, wewe na wenzako mlipaswa kulitaka jeshi la polisi kumwachia Erasto Rweimamu, ndipo mkutane na serikali, kitendo cha wewe na wenzio kukutana na serikali ili hali mwenzenu anashikiliwa ni USALITI. sidhani hata Leo kama wafanya biashara watakusikiliza, nikushauri tu kwamba kabla ya kupanga kukutana na wafanya biashara hakikisha Erasto na wenzake umeshikiza polisi wawaachie mbele yako ndipo muende kuongea na wenzenu.
Hiyondo selayatazania mtuakisema ukwele kata
Kwani police ndio waajiri wa huyo jamaa kwamba hilo duka lina ubia napolice mambo ya kihuni hapo watampakesi maana hawashindwi
@omaryjudasymwanga7172
Ай бұрын
Watu wameitwa na waziri police mnahusikaje
@omaryjudasymwanga7172
Ай бұрын
Biashara nizao na maamuzi niyao kama serikali haioni faida yao wanakusanya mahali ambapo hawakutawanya yani hapa hawana tofauti na mtu analazimisha kukamua mnyama ambaye hana ndama mambo ya hovyo sana police wa Tanzania nao kunasaa wamekua kero wanakurupuka kipitiliza duka nilake hakwenda kuzuia wengine kufungua ila hali inajionyesha wanakamuliwa na serikali kupitiliza wangefanyaje wakubali kuumia ili waitwe waadilifu maana ya biashara ni uone faida sasa kama hakuna kitu hiyo ni biashara au ni sawa na kibarua usiyejua malipo yako yanatoka kwa nani ilihali unafanya kazi tena ya kufa na kupona jioni mauzo anakuja mtu na V8 anakupa control number unaweka hela huko wee uazime mpaka nauli yakwenda kwako utakua na ubobgo wa binadamu au ubongo wa ngurue acheni uonevu inazidi mtawafanya wajinga waamke
Serikali mwachieni , mnajitafutia matatizo makubwa zaidi.
@KaburuKimath-eu5nf
Ай бұрын
Mungu ibariki tanzania
Mi nilitaka nishangae media hii ya chadema iache kuzungumzia issue hii ya kariakoo ningeona ajabu
@mgm412
Ай бұрын
Chadema inahusikaje hapo ww boyaa
@georgekimasaofficial1629
Ай бұрын
Kwani hii habari imeripotiwa na chanel hii tu
@WamburaMaseke
Ай бұрын
We matako nini unataka kutuunganisha na Mambo ya kisiasa ? We mbwa kabisa
@GodfreyOsward
Ай бұрын
Chadema ni ndugu zako, mama, baba, mtoto. Shangazi. Katiba yetu inatoa mwanya wa kuwepo kwa vyama vingi.
@solomonjackson3827
Ай бұрын
Sio hoja kaa pembeni