BARABARA YA MALAGARASI - UVINZA KUKAMILIKA MACHI 2025, UJENZI WAKE NI WAFIKA ZAIDI YA ASILIMIA 50%
Naibu Waziri wa Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya amemuagiza mkandarasi STECOL anayejenga barabara ya Malagarasi - Ilunde - Uvinza (Km 51.1) kwa kiwango cha lami kuhakikisha anakamilisha ujenzi wa barabara hiyo ifikapo Machi 28, 2025.
Kasekenya ametoa agizo hilo mkoani Kigoma, Juni 14, 2024 ambapo pamoja na mambo mengine amesisitiza mkandarasi huyo kujipanga na kukamilisha mradi huo kwa wakati kwani mpaka sasa hakuna changamoto yeyote inayokabili mradi huo ikiwemo masuala ya fedha wala vifaa kwa mkandarasi.
Пікірлер: 7
Hiyo ndio habari tunazo zitaka
Tumekuwlewa waziri wetu.
Hiyo Barabara ni tambalale Ila kumekuwa na makusudi kutokamilika kitu cha ajabu pesa inatoka hivi nini au mchezo wakula Hera bila kazi ni aibu sanaa
HEE HII BARABARA BADO TU😢
Habari tunazozipenda ndio hizi
@modestwenceslaus9
24 күн бұрын
Sahihi kabisa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂