Na mjenge majengo ya kizaza kabisa kuliko yote ambaye yako African mashariki na kati ,kwa Kodi zetu tukioona kitu chenye hadhi hutulalamiki sisi ,bali tutapongeza,kama vile walifanya sgr kila kitu ni Cha dhamana kabisa na Cha heshima, good job serekali yetu ,Tano tena
@karimkinwary466813 күн бұрын
Majengo yako wapi Na je yamefikia asilimia ngapi ???
@kelvincharles726313 күн бұрын
Tuonyesheni na majengo syo runway kila siku
@Kim19onlinetv14 күн бұрын
Anaye sema mama hafanyi kazi je hii ni nini?
@user-ne4lv6wn9y14 күн бұрын
Majengo ya abilia yawe mazuri zaidi kuliko ya Kenya
@dastanjonas2253
14 күн бұрын
Kwanini tujishindanishe nao kwani... Tuseme yawe mazuri zaidi ya nchi zilizoendelea na siyo Kenya.. Kenya ni ndugu zetu jmn . Pole kama nimekuelewa vibaya.
@jumashedafa
14 күн бұрын
Yan kila vku mnatuonesha run way tu kwaiyo majengo hakun kitu
@hoseastephen4508
14 күн бұрын
😂😂😂
@kwisa489913 күн бұрын
uwezo wa kujenga airport ya kisasa sidhani kama kuna akili iliyobakia zaidi ya iliyotangulia mbele ya haki
@samsonmwijage186914 күн бұрын
Enyi wizara ya ujenzi mbona taarifa hii haijakamilika. Hizo 60% ni pamoja na jengo la abiria au ni njia ya kurukia ndege peke yake? Hii picha haionyeshi jengo/majengo ya abiria kwa sababu huko ndo kuna kazi zaidi na gharama zaidi kuliko hiyo njia ya kurukua ndege mlionyesha. Toeni taarifa sahihi na zilikamilika tafadhali.
@elinamilyatuu7337
13 күн бұрын
Airport ni njia ya kuruka ndege na parking ya ndege,terminal building inachukua % chache tu katika asilimia kwa ujumla
@ngaimedia13 күн бұрын
na sisi wa Arusha tunaomba ujenzi wa kituo cha mabasi cha mkoa
Пікірлер: 12
Na mjenge majengo ya kizaza kabisa kuliko yote ambaye yako African mashariki na kati ,kwa Kodi zetu tukioona kitu chenye hadhi hutulalamiki sisi ,bali tutapongeza,kama vile walifanya sgr kila kitu ni Cha dhamana kabisa na Cha heshima, good job serekali yetu ,Tano tena
Majengo yako wapi Na je yamefikia asilimia ngapi ???
Tuonyesheni na majengo syo runway kila siku
Anaye sema mama hafanyi kazi je hii ni nini?
Majengo ya abilia yawe mazuri zaidi kuliko ya Kenya
@dastanjonas2253
14 күн бұрын
Kwanini tujishindanishe nao kwani... Tuseme yawe mazuri zaidi ya nchi zilizoendelea na siyo Kenya.. Kenya ni ndugu zetu jmn . Pole kama nimekuelewa vibaya.
@jumashedafa
14 күн бұрын
Yan kila vku mnatuonesha run way tu kwaiyo majengo hakun kitu
@hoseastephen4508
14 күн бұрын
😂😂😂
uwezo wa kujenga airport ya kisasa sidhani kama kuna akili iliyobakia zaidi ya iliyotangulia mbele ya haki
Enyi wizara ya ujenzi mbona taarifa hii haijakamilika. Hizo 60% ni pamoja na jengo la abiria au ni njia ya kurukia ndege peke yake? Hii picha haionyeshi jengo/majengo ya abiria kwa sababu huko ndo kuna kazi zaidi na gharama zaidi kuliko hiyo njia ya kurukua ndege mlionyesha. Toeni taarifa sahihi na zilikamilika tafadhali.
@elinamilyatuu7337
13 күн бұрын
Airport ni njia ya kuruka ndege na parking ya ndege,terminal building inachukua % chache tu katika asilimia kwa ujumla
na sisi wa Arusha tunaomba ujenzi wa kituo cha mabasi cha mkoa