Habari na karibu katika channel yetu!
Kupitia channel hii utaweza kupata habari mbalimbali zinazohusiana na Wizara ya Ujenzi
Pia unaweza kutufuatilia kwenye kurasa zetu za mitandao mingine ya kijamii ili kupata taarifa zetu:
Instagram, Facebook, Twitter @WizarayaUj
Bila kusahau kwenye WEBSITE yetu ya Wizara ya Ujenzi
Пікірлер
Hogera jpm hukoulipo
Mama watendaji wa serikali hawapo serious kabisa na kazi zao wala hawana uchungu kabisa na miundo mbinu yetu na mengineyo mengi mama ukiangalia jiji la daresalaam mfano mdogo tuu mafuniko ya mashimo yaliokuwa barabarani wameiba mfano pale soko la kisutu kuendea city mall zaidi ya miaka 5 liko wazi pale klabu ya yangu pale kutokea daraja la kigamboni watendaji kila siku wanapita au mpaka msikie watu wamekufa hapo ndio muanze kujitokeza na amri na nguvu za soda mama hawa watendaji hawakuungi mkono kabisa wanakula kodi zetu tuu mama mchengerwa na bashungwa hivi mpo kweli fatilieni haya maeneo mujiongeze muwe wabunifu mama anapambana kila kona sasa kuna faida gani ya kuwapa hayo majukumu jamani kuna sehemu squatter mfano mdogo tuu hapo magomeni makuti kila leo watu wananunua wanajenga mbaya zaidi wanaendelea kufata ramani zilezile za squatter wanajenga sasa hamuoni kuwa badae mtaanza kulipa gharama zisizokuwa na Tija baadhi ya watendaji sio waaminifu wanachora michoro wanahalalisha na kutoa hati nendeni hapo magomeni makuti mkaangalie watu wanavyojenga wanavyotaka kwa kutumia pesa zao
I am your sister from Yemen, and by Allah I only spoke out of hunger and distress. My mother, my brothers, and I lessons and tears. We are in a situation that only God knows about. God is sufficient for us, and He is the best disposer of affairs for those who brought us to this situation. By Allah Almighty, I did not write this appeal out of distress and distress. Poverty, O world, they have felt it So, I hope for you. By Allah Almighty, Lord of the Great Throne, he ate what I had in the house. By Allah, my brothers, he is my brothers by sitting in the house. Who has no food? By God, we are in a very difficult situation. We have 4 people entering the house, and my father has died, and there is no one who can depend on us and who lives in it.We live in a rented house because we cannot pay the rent we owe. '''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''' ''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''' ''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''' ''''''''''''' My brother, my first words are: I swear to God that I will not lie to you or deceive you. I am a Yemeni girl displaced from the war. My family and I live in a rented house in Al-Shahrab 20,000 Yemenis among us, and now we owe 60,000 for 3 months. The owner of the house is one of the people who does not have mercy, by God, my brother. He comes every day, insulting us, talking about us, and moving from the house to the street because we were unable to pay him the rent. The neighbors saw us crying and came back.They came back to talk to the neighbors and we were given the weekend. So we made him swear by God. He will take us out into the street. Have mercy on him and us. Our country is due to this war and we do not find food for our day, and my brothers and I live in a difficult life. Our father died, may God have mercy on him, and we have no one in this world who was with us in these harsh circumstances. My younger brothers went out into the street and saw...The neighbors eat and stand at their door in order to give them bread even if they break it. By God, to whom belongs the dominion of the heavens and the earth, they closed the door and expelled them and came back crying. They are dying of hunger. No one has mercy on them and a holiday is returned. I have made a living, and now if one of us helps us with a kilo of flour, I swear to God, I am dying of hunger. My brother, I am an alien to God. Then, I ask you to help me for the sake of God. I ask you, by God, to love goodness and to help me, even if you can, by messaging me on WhatsApp.On this number 00967716649494 and ask for the name of my card and send it and do not be late and may God reward you with all the best, my brothers Sagar, see how they are and help us and save us before they throw us out in the street, you will be lost or we will die of hunger. My family and I ask you, by God, if you are able to help us, do not be late and may God reward you well..`/--~«««~-♡~♡~♡~~•~•~♡~♡~♡~♡~♡~~♡♡♡;~،~~.،: ~:~¡~¡~¡،~;:I.i.i.i..i.ii𝖊≋𝖊𝖊~≋𝖊.. i.I.|-◖'˹˛˹˛˹˛˹˛˹˹˛˹˛˹`˛.;!.|i,] ;;;&&&&&🎉🎉🎉😢
I am your sister from Yemen, and by Allah I only spoke out of hunger and distress. My mother, my brothers, and I lessons and tears. We are in a situation that only God knows about. God is sufficient for us, and He is the best disposer of affairs for those who brought us to this situation. By Allah Almighty, I did not write this appeal out of distress and distress. Poverty, O world, they have felt it So, I hope for you. By Allah Almighty, Lord of the Great Throne, he ate what I had in the house. By Allah, my brothers, he is my brothers by sitting in the house. Who has no food? By God, we are in a very difficult situation. We have 4 people entering the house, and my father has died, and there is no one who can depend on us and who lives in it.We live in a rented house because we cannot pay the rent we owe. '''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''' ''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''' ''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''' ''''''''''''' My brother, my first words are: I swear to God that I will not lie to you or deceive you. I am a Yemeni girl displaced from the war. My family and I live in a rented house in Al-Shahrab 20,000 Yemenis among us, and now we owe 60,000 for 3 months. The owner of the house is one of the people who does not have mercy, by God, my brother. He comes every day, insulting us, talking about us, and moving from the house to the street because we were unable to pay him the rent. The neighbors saw us crying and came back.They came back to talk to the neighbors and we were given the weekend. So we made him swear by God. He will take us out into the street. Have mercy on him and us. Our country is due to this war and we do not find food for our day, and my brothers and I live in a difficult life. Our father died, may God have mercy on him, and we have no one in this world who was with us in these harsh circumstances. My younger brothers went out into the street and saw...The neighbors eat and stand at their door in order to give them bread even if they break it. By God, to whom belongs the dominion of the heavens and the earth, they closed the door and expelled them and came back crying. They are dying of hunger. No one has mercy on them and a holiday is returned. I have made a living, and now if one of us helps us with a kilo of flour, I swear to God, I am dying of hunger. My brother, I am an alien to God. Then, I ask you to help me for the sake of God. I ask you, by God, to love goodness and to help me, even if you can, by messaging me on WhatsApp.On this number 00967716649494 and ask for the name of my card and send it and do not be late and may God reward you with all the best, my brothers Sagar, see how they are and help us and save us before they throw us out in the street, you will be lost or we will die of hunger. My family and I ask you, by God, if you are able to help us, do not be late and may God reward you well..`/--~«««~-♡~♡~♡~~•~•~♡~♡~♡~♡~♡~♡♡♡~~~: ~:~¡~¡~¡~;I.i.i.i..i.i.. i.I.|-◖˹˛˹˛˹˛˛˹˛˹˛˹˛˹˛˹˹˛˹˛˹˛˹˛˹˛˹˛˹˛˹˛˹˛˹˛˹˛˹˛˹˛˹˛˹˛˹˛˹˛˹˛˹˛˹˛''˹˹˛˹˛˹˛˹˹˛.;!|]😢🎉🎉
Mambo mengine yanahitaji matambiko ya watu.
Mnamtukuza rais mno,toa pongezi kwa WaTz wanaolipa kodi mtakua mnawatia moyo
Safiiiii
Hapo ndo mnapoharibu, kila kitu rais, imeshakuwa kila anayesimama kuongea kwenye kitu chochote lazma aseme mama samia! Inakera acheni
HUO UPIGAJI BARABARA GAN. UDONGO MTUPU
Hongereni Wizara na Dk. Samia kwa kazi nzuri nchi nzima. Kigoma Sasa inafunguka
Huo ni upigaji..... barabara haiko vzr kabisa
Waziri, samahani janga limetokea, lakini quality(umahili) wa hiyo barabara ni mbaya sana.
ki ukweli ukiitembela Hii Tanzania Utajionea ni kwa kiasi gani Serikali yetu imechapa kazi katika miundo mbinu ya Barabara na miundo mbinu mengine ya usafirishaji, Najivunia sana kulipa kodi na natangaza Rasmi kuwa nina wivu sana na Kodi yangu na pia niipongeze Serikali yangu katika hilo Hongera Mama Samia na timu yako. Ila mama Tunakuomba sisi wakazi wa Dar es Salaama tunaopitia Barabara ya (Kilwa Road) Eneo la kuanzia pale kwenye KILIMA CHA KOKOTO HADI DARAJA LA MTO MZINGA Kiukweli linapunguza sana nguvu kazi ya Taifa kwani ajali pale ni kila wiki utasikia watu wamekufa au wameumia na si uzembe wa madereva kwani ni ngumu madereva wetu woto wawe wazembe ni imani yangu kuwa Miundo mbinu ya pale sio rafiki Nakuomba Mama tulinde wananchi wako kwa hilo kwani Kila siku iendayo kwa mungu ukitoka nyumbani na kurudi kwa kupita eneo lile unahisi tu sijui leo mimi au mwenzengu hapa Nakuomba Mama usikie kilio hiki kwa ajili ya manufaa ya Taifa kwa ujumla kwani Barabara ile pia ni very Strategic kwa uchumi wa nchi yetu na mikoa ya kusini kwa ujumla. AHSANTE
Tuonyesheni na majengo syo runway kila siku
na sisi wa Arusha tunaomba ujenzi wa kituo cha mabasi cha mkoa
Mama salute mia moja
Majengo yako wapi Na je yamefikia asilimia ngapi ???
uwezo wa kujenga airport ya kisasa sidhani kama kuna akili iliyobakia zaidi ya iliyotangulia mbele ya haki
Hizo kilomita 51 toka enzi za Kikwete mpaka Sasa Hazijatekelezwa. Bila kumpata makamu wa Raisi kutoka kigoma, ingekuwa mpaka Kiama.
Na mjenge majengo ya kizaza kabisa kuliko yote ambaye yako African mashariki na kati ,kwa Kodi zetu tukioona kitu chenye hadhi hutulalamiki sisi ,bali tutapongeza,kama vile walifanya sgr kila kitu ni Cha dhamana kabisa na Cha heshima, good job serekali yetu ,Tano tena
Enyi wizara ya ujenzi mbona taarifa hii haijakamilika. Hizo 60% ni pamoja na jengo la abiria au ni njia ya kurukia ndege peke yake? Hii picha haionyeshi jengo/majengo ya abiria kwa sababu huko ndo kuna kazi zaidi na gharama zaidi kuliko hiyo njia ya kurukua ndege mlionyesha. Toeni taarifa sahihi na zilikamilika tafadhali.
Airport ni njia ya kuruka ndege na parking ya ndege,terminal building inachukua % chache tu katika asilimia kwa ujumla
Anaye sema mama hafanyi kazi je hii ni nini?
Majengo ya abilia yawe mazuri zaidi kuliko ya Kenya
Kwanini tujishindanishe nao kwani... Tuseme yawe mazuri zaidi ya nchi zilizoendelea na siyo Kenya.. Kenya ni ndugu zetu jmn . Pole kama nimekuelewa vibaya.
Yan kila vku mnatuonesha run way tu kwaiyo majengo hakun kitu
😂😂😂
Usigawe kwenu tuu gawa nchi nzima
Usigawe kwenu tuu gawa nchi nzima
Usigawe kwenu tuu gawa nchi nzima
Usigawe kwenu tuu gawa nchi nzima
Huyu jamaa anaubaguzi anagawa mitungi kwao tuu
@tanroad hakikishen wakandarasi wa kigen wakijenga wajenge kama kwao sio waandishi washauri washaur
mungu ibariki tanzania pesa kama hizo zitumike kujenga na miji yetu
Jaman kilosa mme tusahau sana hasa bara bara ya kilosa -mikumi
Jaman kilosa mme tusahau sana hasa bara bara ya kilosa -mikum
Mkotaratibu sana kweli 2025 mtakuwa mmekabidhi mradi wa barabara
Mcheki vizuri kila vifaa zinazo toka nje kwa ujengo huo hadwa france namuombeni asante sana
Kwa Nini mama asiwezi ????si mwana funzi wa marehemu ???yalale Salama hapo alipo. Jpm
Hongereni lakini macho yenu yawe wazi kabsaaa kuhusu hio kampuni Yaki faransa roho zao mbaa hawapendi maendeleo kwa nchi za afrika ipo tarehi mbaa katika aéroport ya mwalimu nyerere kwa ujengo wakwanza mwaka 80 zaidi ambao mfaransa ndo aliijenga nini lilotea ???? kafuteni document mtaelea uhuni wa ufaransa
"VIVAA...TZ..VIVAA"...
Rasta na vumbi by by🎉🎉👏👏👏👏💪💪🇹🇿🇹🇿
Bora muanze maana kama nimbi tumekula sana
Hajjj kavuma
Hajjj kavuma
Tumesaulika sana kilosa hasa hii barabara ya kilosa mikumi
Hongera
Mama kwenye moyo safi mungu akulinde na akujaalie afya njema amiin amiin amiin
Jpm +mama🙏🙏🙏🙏🙏
hamna is maana awam ya samia miaka 4 yote unahangaika na kadaraja kamoja kukamalizia tu magu miaka 5 kajenga miundo mbinu mingi sana mahospital walayani na kukarabat air port zote bwawa is nyerere barabara za chini na juu umeme vijijini ikulu dodoma mastend ya magari mikoa yote nahuku dunia ikiwa imesimama kwa corona na aliacha baadhi ya miradi imebaki kidogo kuisha ila hadi leo unanengua nayo tu hovyo unakopa kilasiku matillion ya pesa mnayagawana kwa kisingizio cha kumalizia miradi wakat magu aliacha miradi yote unapesa zake imetengwa mmezipeleka ?
Hongera mama samia Chapa kazi utuachie alama Kiongozi bora ndio fahari ytu
Safi sana mama
Mimi naiyomba serikali hao wakandarasi wazawa mnapo wapa kazi mjue uwezo na vifaa vya ujenzi kama wanavyo na vibali vinavyo julikana serikali wasiwe feki na kampuni zingine chunguzwe