Kwamba inakuweje, nyiioosha tu. Litugia imelaalaa kwa.hiyo MTUMISHI. 😊
@user-gw4vv5uh9z3 ай бұрын
Kazi kweli kweli 😂😂😂 kanisa la mwisho
@neemamarko1763 ай бұрын
Amen
@yusuphmbilinyi39133 ай бұрын
Amina asiye kuelewa wewe hana Roho kabisa ubarikiwe
@judicatendengerio-ndossi15833 ай бұрын
Kama Mungu anamtaka yeye basi itakuwa maana siyo kwa uwezo wake. Gods will is Gods bill
@latifuelias50893 ай бұрын
Balikiwasaana mtumishi
@stevesungura67893 ай бұрын
Please Go talk to him face to face
@joshuajohn26683 ай бұрын
Mimi Naona hapo Kuna MAKONDA na GWAJIMA
@hezekiamhapa73953 ай бұрын
Mtumishi uko sahihi sema tu ukweli huenda ukaokoa taifa
@ramadhaniathumani10253 ай бұрын
Gwajima anasubiri eti chama kumpitisha kugombea ndio maana hata nabii alipomuita akawa mgumu!ndio maana na wewe umeonyeshwa uzembe wake!! Barikiwa mtumishi!!
@user-mn7zq7cd5t3 ай бұрын
Mch. Waache watoke tu
@nestorygilbert61703 ай бұрын
Alipo sema nabii wa Unyakuo TV kumuita akampe yampasayo wakasema anatafuta kk leo unabii unajirudia Mungu hajipingi yeye ametulia na watumishi wake kazi kutukana manabii wanao tumwa na Mungu kwao wanataka waende wenyewe ubinafsi ngoja tusubiri kama akiendelea na kiburi kama huo urais ataupata Yan hakuna wajinga kama viongozi wetu wa makanisa ubinafsi umewajaa ngoja shetani azid kutawala nchi ss tumelala na ubinafsi Mbinguni tutapasikia kwa mwendo huu 😭😭😭😭 inaumiza sana kwa mabaya tunayo yaona huko mbele
@jimushijoseph2408
3 ай бұрын
Watumishi mmnaotoa comments, tusihukumu , WEWE SEMA TU MAPENZI YA MUMGU YATIMIE.SI VIZURI KUMWAMBIA MTUMISHI WA MUNGU HANA ROHO WA MUNGU . DR JOSEPH MUSHI
@user-mn7zq7cd5t3 ай бұрын
Kuna nabii alisema Gwajima atakuwa rais
@user-gw4vv5uh9z
3 ай бұрын
Wengi ni Matatizo
@naomikangangi4480
3 ай бұрын
Mi Niko Kenya ila nilimhona akiwa rais wa tz na ni three years ago
@MiriamAbdallah
3 ай бұрын
@@naomikangangi4480😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣😂🤣😂🤣😂😅😆👽✌️
@davidmagesa67733 ай бұрын
Tafuta kwanza Hekima
@johansenf.mrengimrengi70503 ай бұрын
Ndugu Unaitaji kurudi kwenye Maombi tena! Mungu akusaidie tena Juu ya Tafsiri ya "John na Kanisa" Umechemka sana! Unatumia Misisimuko na Si Roho wa Mungu amekuongoza ni Tamaa zako tu! Mungu tusaidie kwa Kutuepusha na Watumishi wa Namna hii!???
@@hudumayakristo Msaada wa Kwanza ni kutubu, juu ya Misisimuko ambayo inakufanya ukosee, pili, Tafuta maana ya Neno, ' Kanisa' Tatu Tafuta Maana ya John km Mtu, Tahadhali : km Hujui Tofauti ya Fundisho sahihi na Fundisho Potofu, Utazidi kuchemka, Hosea 4: 6 - Watu wanaangamizwa kwa Kukosa Maarifa! Swali la Kujiuliza, Wapi tupate Maarifa sahihi!!??
@hudumayakristo
3 ай бұрын
@@johansenf.mrengimrengi7050 duh..Sasa ndugu yetu badala utupe majibu unatupa tena maswali. Ila tunakutakia baraka na MAONI yako nimeyachukua
Пікірлер: 25
Eeehh Yesu Mpe nguvu mtumishi wako, mlinde
😅😂😅 Wanaimba Kaseti Acha iendelee Kunyesha Tuoñe Panapovuja "
Umechanganyikiwa
Kwamba inakuweje, nyiioosha tu. Litugia imelaalaa kwa.hiyo MTUMISHI. 😊
Kazi kweli kweli 😂😂😂 kanisa la mwisho
Amen
Amina asiye kuelewa wewe hana Roho kabisa ubarikiwe
Kama Mungu anamtaka yeye basi itakuwa maana siyo kwa uwezo wake. Gods will is Gods bill
Balikiwasaana mtumishi
Please Go talk to him face to face
Mimi Naona hapo Kuna MAKONDA na GWAJIMA
Mtumishi uko sahihi sema tu ukweli huenda ukaokoa taifa
Gwajima anasubiri eti chama kumpitisha kugombea ndio maana hata nabii alipomuita akawa mgumu!ndio maana na wewe umeonyeshwa uzembe wake!! Barikiwa mtumishi!!
Mch. Waache watoke tu
Alipo sema nabii wa Unyakuo TV kumuita akampe yampasayo wakasema anatafuta kk leo unabii unajirudia Mungu hajipingi yeye ametulia na watumishi wake kazi kutukana manabii wanao tumwa na Mungu kwao wanataka waende wenyewe ubinafsi ngoja tusubiri kama akiendelea na kiburi kama huo urais ataupata Yan hakuna wajinga kama viongozi wetu wa makanisa ubinafsi umewajaa ngoja shetani azid kutawala nchi ss tumelala na ubinafsi Mbinguni tutapasikia kwa mwendo huu 😭😭😭😭 inaumiza sana kwa mabaya tunayo yaona huko mbele
@jimushijoseph2408
3 ай бұрын
Watumishi mmnaotoa comments, tusihukumu , WEWE SEMA TU MAPENZI YA MUMGU YATIMIE.SI VIZURI KUMWAMBIA MTUMISHI WA MUNGU HANA ROHO WA MUNGU . DR JOSEPH MUSHI
Kuna nabii alisema Gwajima atakuwa rais
@user-gw4vv5uh9z
3 ай бұрын
Wengi ni Matatizo
@naomikangangi4480
3 ай бұрын
Mi Niko Kenya ila nilimhona akiwa rais wa tz na ni three years ago
@MiriamAbdallah
3 ай бұрын
@@naomikangangi4480😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣😂🤣😂🤣😂😅😆👽✌️
Tafuta kwanza Hekima
Ndugu Unaitaji kurudi kwenye Maombi tena! Mungu akusaidie tena Juu ya Tafsiri ya "John na Kanisa" Umechemka sana! Unatumia Misisimuko na Si Roho wa Mungu amekuongoza ni Tamaa zako tu! Mungu tusaidie kwa Kutuepusha na Watumishi wa Namna hii!???
@hudumayakristo
3 ай бұрын
Acha shutuma tupe jibu lenye msaada wewe ulie elewa
@johansenf.mrengimrengi7050
3 ай бұрын
@@hudumayakristo Msaada wa Kwanza ni kutubu, juu ya Misisimuko ambayo inakufanya ukosee, pili, Tafuta maana ya Neno, ' Kanisa' Tatu Tafuta Maana ya John km Mtu, Tahadhali : km Hujui Tofauti ya Fundisho sahihi na Fundisho Potofu, Utazidi kuchemka, Hosea 4: 6 - Watu wanaangamizwa kwa Kukosa Maarifa! Swali la Kujiuliza, Wapi tupate Maarifa sahihi!!??
@hudumayakristo
3 ай бұрын
@@johansenf.mrengimrengi7050 duh..Sasa ndugu yetu badala utupe majibu unatupa tena maswali. Ila tunakutakia baraka na MAONI yako nimeyachukua