#LIVE

#LIVE: KWA MARA YA KWANZA DUNIA ITASIKIA MANENO YASIYO YAULIMWENGU HUU YATOKAYO KATIKA KITI CHA ENZI
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwaajili ya huduma hii;
M-PESA: +255 760 200 300
TIGO PESA: +255 773 150 150
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI AUGUSTINE BILOMO TENGWA
AU KUPITIA BANK ACCOUNT
CRDB: 015 232 628 6200
NMB: 2461 0015 434
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI AUGUSTINE BILOMO TENGWA
UMOJA WA MAOMBI NA TOBA YA KITAIFA
WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA
+255 769 515 808, +255 629 304 931
#HudumayaUamshoNaMatengenezoYaKanisa #Mwl.Tengwa #MaombinaUshauri #0629304931
RUDI_MWANZONI _ MWL. TENGWA

Пікірлер: 9

  • @josialuvanda
    @josialuvanda17 күн бұрын

    Ee Mungu wa mbinguni uturehemu sawasawa na wingi wa fadhili zako. Hakika haya maneno hatujawahi huyasikia tangu tumeumbwa. Tusaidie kukuelewa ili tuokolewe na hii dunia iliyochanganyikana

  • @medsonoscar6031
    @medsonoscar603117 күн бұрын

    Asante Yesu Kwa ujumbe huu,HUDUMA hii ni kubwa sana,Mungu atupe NINI Tena?

  • @maureenmgeni
    @maureenmgeni16 күн бұрын

    Amina na Amina kwa mafundisho magumu lakini yanayoeleweka kwa msaada wa Roho Mtakatifu.

  • @user-rl1ds4nq4b
    @user-rl1ds4nq4b15 күн бұрын

    Maneno haya yanatoka Mbinguni, hauwezi kuyaelewa kwa kutumia Akili zako ila ni kwa Roho wa Mungu ndie atuwezeshaye kuelewa

  • @WssWss-w3p
    @WssWss-w3p17 күн бұрын

    Amen Amen

  • @samweljohn174

    @samweljohn174

    17 күн бұрын

    mungu utusaidie kugeuza mioyo yetu maaana tumejeruhiwa na mafundisho ya kibinadamu na mapokeo ya mababu zetu no msimu wa mambo mapya tusaidie tusijikwae tenabadili mioyo yetu ikiwezekana kwalazima sio hiari hasa mm sihitaji hiari maana hiari akili zitagoma nahitaji mafuriko ya roho kuingia katika msimu mpya

  • @EdinaOwino
    @EdinaOwino6 күн бұрын

    Kwa Nini unajiita mfalme😢

  • @gloryfidelis102
    @gloryfidelis10212 күн бұрын

    Experience imetufikisha hapa tulipo,mafundisho ya ajabu.

  • @user-rp1tj6rk5u
    @user-rp1tj6rk5u17 күн бұрын

    Mungu ni wa ajabu sana,alianza kwa kusema neno; na tumfanye mtu kwa mfano wetu harafu ghafla akafanya kuwa halisi akatokea Adam kwa uhalisi wake,kumbe asili ya Mungu ni neno na matendo vinaenda pamoja,ndiyo maana akasema ni yule anayefundisha na kutenda au anayesikiliza na kutenda nje na hapo kazi bure, maana mafarisayo walisema yayohayo bila kuenda na vitendo,ndipo akasema wasikilizeni lakini msitende kama wao,imeandikwa akunyang'anyaye kanzu mpe na joho pia; lakini sisi tunasema akunyang'anyaye kanzu; mpe ngumi,malalamiko mengi na mashutumu kana kwamba Mungu hana kanzu nyingine tunajipigania badala ya kumwachia aliyetupigania tunataka kuwafurahisha wanadamu,Mungu haangalii maarifa au ishara na miujiza hayo alisema hata mpinga kristo anayo,kila neno katika kinywa lihakiki kiutendaji maana imeandikwa kwa maneno yako utahesabiwa haki na kwa maneno yako utahukumiwa.watumishi wa Mungu mmbarikiwe sana.