NAMNA 20 AMBAZO MTU ANAWEZA KULOGWA: BISHOP DR JOSEPHAT GWAJIMA: 28.06.2020
Ungana nasi muda huu; Askofu Mkuu Dr Josephat Gwajima anafundisha. Mungu akubariki sana
Жүктеу.....
Пікірлер: 187
@matridalule64774 жыл бұрын
Nisipo msikiliza huyuu baba nais naumwa asante my dady Mungu aendelee kutumia baba
@jamesjosephm63584 жыл бұрын
Amen amen baba yangu kilasiku najifunza mengi ubalikiwe sana mtumishi
@gatoromuchee23674 жыл бұрын
Amen.tume fufuka ukweli.niombee Dr ngwajima nateswa na Marathi na mwanamke WA kisaudi arabia.nimemfanyia kazi miaka Kumi but thank you yake ni kunitumia jini.hope nitaweza kuishi Kwa jina la yesu
@hildpaul7823
3 жыл бұрын
Nyanyuka kwa jina ya yesu
@viddamgeneka88814 жыл бұрын
Hakuna wa kufanana na Mungu baba wa mbinguni.
@newadsong7323
3 жыл бұрын
A men. Bishop. Mungu. Hakubariki. Sana. Kwa Maombi. Uliomba. .nlikuwa na. Mapepo. Yakaondoka. Kupitiae. Kutambika. Nashukuru. Kwa. Maombi. Yako
@newadsong7323
3 жыл бұрын
Bishop. Naomba. Uniombe. Sana nisirudi. Yuma
@eriantawumenya32574 жыл бұрын
Nawapendasan muchungaje kabs wew unaongeaukweli natamani kufika katika kanisa RAUFUFUO nauzima japo mimi ni murundi ningekua nawuwezo ningefeka kwako mimi bado ni kijana mudogo
@DanielKawaya-pe5ox2 ай бұрын
Jamani nipeni namwa ya baba yangu gwajima Nimemupenda kweli uyu baba haishi milele ni le Congo
@lyimorobert17614 жыл бұрын
Like father like son Pastor Komba uko vizuri
@elizabethkasimila97714 жыл бұрын
AMEN AMEN KWA MAMLAKA YA JINA YESU NATOKA NA LAZIMA NISHENDE KWENYE UBUNGE KATIKA JINA LA YESU
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Ameeeen ubunge wa jimbo gani,
@faithkavete29674 жыл бұрын
Mtumishi wa yesu niombee npo Kenya nina umri wa miaka 29.maisha yangu yote sina hamu ya mwanaume hata kidogo. Nafanya masterbation, natamani kuacha lakini nashindwa. Niombee.
@josephkaka6963
4 жыл бұрын
Tuma no yako 0757275885 wsp
@trophainamagogwa7966
4 жыл бұрын
Yesu akufungue kabisa,mastubation kwa mwanamke??kweli shetani amekufunga
@mtuwasaayangu6651
4 жыл бұрын
Pole unaenda kupokea uponyaji wako kwa jina la Yesu hilo ni pepo
@faithkavete2967
4 жыл бұрын
@@mtuwasaayangu6651 amen
@user-me3ee4fu8w
4 жыл бұрын
Chukua namba hapo kwa screen ya Bishop Gwajima
@onesmopaulmwacha5664 жыл бұрын
Wewe ni mtu ambaye Mungu anakutumia kwa kiwango kikubwa mno ..hivyo naomba Baba jamani usiende kwenye siasa ..waombee tu na kuwafundisha wanasiasa inatosha Baba ..Ahsante
@pericykiko6198
3 жыл бұрын
Hayo ni mawazo yako tu dear kiuhalisia Taifa linapendezwa liongozwe na wenye hofu ya Mungu
@estasage5506
3 жыл бұрын
@@pericykiko6198 Ni onyo tuu, kila Mamba na kifugo chake. Siasa ni playground ya ibilisi. Mara meetings nyingi mno, Mara hanasa, na kufwatana na hayo muda wa kufunga na kuomba haipatikane. Mitego nyingi. Najuwa mtumishi wa Mungu Dr Gwajima hawezi ingiya siasa pasipo kuzungumza na kupata maelekezo kutoka kwa Baba Mungu. Kama ikiwa nimtego Bwana atamuepusha nao. Kama mwanadamu, I miss him already. I know Pastor Amos is there but Moses was different from Josh.
@pericykiko6198
3 жыл бұрын
@@estasage5506 oooh inawezekana maana ibilis halali kwa ajili ya kutuwinda mmmmh
@estasage5506
3 жыл бұрын
@@pericykiko6198 True my dear. Myself don't understand why our God chosen bishop Gwajima will join the science. He helps more peoples worldwide as a man of God spiritually (which is important ) than being politician. Kama ni kujulikana, Mwenyezi Mungu amemujulisha dunia nzima, kama ni pesa, Yesu kristo wetu kamubariki. So, I don't understand. He could pray for them but not being a part. Sasa, hapo ndipo amejipeleka mwenyewe kwenye play ground ya muovu. I pray for his protection in Jesus Christ mighty name.
@pericykiko6198
3 жыл бұрын
@@estasage5506 hakuna kazi ngumu km kazi ya Mungu maana unawindwa kila mahali hata ukimuambia mtu achana na maweaving atakuambia kwani wewe Ni Mtakatifu yaani shetani anakuwinda binadamu nao hawashikiki wanapenda kubembelezwa Tena ukiteleza wanakucheka bt tujifunze kujishusha na kuombeana huenda ikawa wapo wengi tumekosea na yy akiwa mmoja wapo Basi Mungu atukumbushe tunapoomba tuwaombee warudi kwenye njia sahihi Amen
@suzanthomas90434 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutumia haijalishi mbweha wanapiga kelele kiasi gani
@carolmuenicarolmueni45003 жыл бұрын
Man of God hiyo ibaada ya siku ya leo imenibariki sana barikiwa sana
@alicensabimana72933 жыл бұрын
Nilogoweni vipawa mumepewa Ajiri yangu mimi nasumbuswa na wacawi Kwa wingi Funguweni ayoyooote Kwa jina la Yesu Mimi nalogwa myaka makumi naaa
@alicensabimana72933 жыл бұрын
Baba Mungu leo iyi nifunguriye fundo zote izi teleeee Kwa jina la Yesu
@godfreynghwasa85624 жыл бұрын
Ameen Baba hakika tumebarikiwa
@munahellensimbiro50674 жыл бұрын
Naomba sana muniombee nakosa raha ndani ya nafsi yangu na pamoja na hasira za karibi zisizo na msingi kitu kidogo nikiambiwa tu hasira ziko juu tafadhali sana niombeeni nibadilike
@hassankombo4475
4 жыл бұрын
Imekwisha kkkwasababu umeishajitambua na mungu akusaidie
@caphaessimukoko9978
3 жыл бұрын
Thank God for the wonderful message. God bless you richly.
@elizabethtarmo7176
3 жыл бұрын
naomba nikusaidie kwa sehemu kwa shida yako tunaweza kuwasiliana kwa namba 0767690260
@nesielias3174 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana
@NancyNaomi-od6ng4 ай бұрын
Namshukuru Mungu Kwa maubiri ya kunivuta karibu sana na Mungu ningependa sana unikumbuke Kwa maombi dhidi vifungo nipangacho hakifaulu naishi maisha kupanguka Kila wakati hivi natamani kuimba nyimbo ambazo niliziandika miaka kumi na Tano zilizo pita Wala Bado nisaidie pliz natokea kenya
@Shalom20184 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, nabarikiwa sana na mafundisho yako.kwa muda wa mwaka mzima natafuta mawasiliano yako sikuwahi kukupata,nimetuma mesej kwenye watsap kama tatu nikiomba nataka niongee na wewe ila haikuwezekana mesej zangu hazijibiwi,pia kwenye messenger.nipo nje ya nchi
@abigaellcharess63704 жыл бұрын
Ubarikiwe mnoo 🙏baba
@josephmutemi74944 жыл бұрын
Nakupenda Mtumishi wa Bwana
@graceufufuo15024 жыл бұрын
Very true Bishop wanaokuzunguuka ndiyo wanaokuroga
@gracenyangusi62303 жыл бұрын
Very true Bishop. Adui wa nyumbani ni mbaya sana
@BabyRas59274 жыл бұрын
Amen ...Asante Mungu Wngu
@MirriamMeshach-j2c3 күн бұрын
Kweli saana
@OmAn-jw4jt3 ай бұрын
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu ni kweli wewe ni zawadi ya Tanzania sifa na utukufu zina Mungu wetu kwa zawadi hii ❤
@estherngaro4894 жыл бұрын
Mmmmh Mungu staki kucheleweshwa kwa jina la Yesu
@frolacharles67884 жыл бұрын
Aminaaaaa Mungu Akubariki sana Mchungaji
@marthaaron73183 жыл бұрын
Amen,najungamanisha na madhabahu katika jina la Yesu
@rosemukuri13273 жыл бұрын
Amen alléluia Amen Napoteya Mubarikiwe
@rechomsuya3524 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Askofu napenda mafundisho yako na vitabu vizuri ulivyo andika mfano kitabu cha maombi ya kushindana
@KiKenya-lu1by
7 ай бұрын
Ameen
@lilyabel23204 жыл бұрын
Mungu akubariki baba mchungaji Gwajima, na barikiwa na mafundisho yako. Yesu kristo aendelee kukutunza.
@raphaelsalimenya5104
4 жыл бұрын
Amen MTU WA MBINGUNI
@doctorzero-dj5xg3 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na nyimbo hii, natamani ningekuwa jirani .
@alicensabimana72934 жыл бұрын
Masikiyo wanatobowa Imebadirishwa Woooga kuzugumuza muwatu wengi yoteeee ni history Nimengi
@wycliffeojijo35604 жыл бұрын
Amen amen and amen bishop I pray to meet you one day.from Saudi Arabia
@esterdonald5497
2 жыл бұрын
Amen, be blessed,
@edwinmalila8603
2 жыл бұрын
Baba Askofu vifundo vimefunga wakristo wengi bila kujifahamu. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@user-mg5hu1dc3i3 жыл бұрын
Thanks lody axntee Baba kwa somo zuri pia nahitaji maombi Zaid nilimfanya mahusiano na mtu kumbe Ni wakala na kaz yke nikitoa kafala ss ana nifuatilie ili anitoe kafala Baba nipo nchi za kiarabu jina Mrs Felix mwakyusa axntee Baba nisaidie Nina familia nimeiacha TANZANIA nisaidie Baba na MUNGU akubariki na ABARIKI neno lakw
@suzanthomas90434 жыл бұрын
Nakupenda baba yangu Dr Josesephat Gwajima
@johnfund1360
3 жыл бұрын
0 l0lllll0ll000
@user-po7ns4dm6w11 ай бұрын
Mtumishi Bwana Yesu Asifiwe nashukuru naomba msaada wa maombi mana hofu imenitawa naumia sana naomba msaada
@jasonchoi14263 жыл бұрын
Blessings Bishop
@janetjanet86693 жыл бұрын
Ameni ameni mtumishi wa mungu niko na shida niombee
@rosemukuri13273 жыл бұрын
Maman ajambo Sikunyingi Alindwe na kubarikiwa Mwana Weee Good sunday
@We2k74 ай бұрын
Nyiyi fundo fundo fundo vyote maali pote pote pote ndani yangu nawa fyatuwa na bombe kutoka kwa Mungu Baba kwa jina la Yesu Christu wa Nazarethi .
@roberthenerico59633 жыл бұрын
God give you strong power bishop gwajima one day I will meet you
@harunisalingo137411 ай бұрын
Amen Baba Askofu,Unanisaidia sana.
@germainndayishimiye86844 жыл бұрын
Mungu akujaze tena nguvu
@evangelistedominique8002 жыл бұрын
Mungu akubariki zaidi ,kwa kadiri unavyo nipa maarifa kila mara .Wewe ni Baraka kwangu sana
@marym20874 жыл бұрын
Jameni ningetaka kuongea namtumishi Amosi
@jackiemaggy24842 жыл бұрын
Ameeeeeen ubarikiwa sana man of God
@reginamukama73334 жыл бұрын
Nimesaiidika kwa Chanel nimefahamu namna ya kuomba. Naona wivu wengine wanenapo kwa lugha. Mungu Roho Mtakatifu anijalie
@raphaelsalimenya5104
4 жыл бұрын
Pokea kunena kwa JINÀ LA YESU
@tinaadongo54474 жыл бұрын
Amen Amen
@tinaadongo54474 жыл бұрын
Because for me I have no problem with them from my cantry from my district and I can not hate them all so what can I do bishop for this case
@alicensabimana72934 жыл бұрын
Ubarikiwe Baba Nakubenda
@pyelesyagamwamengo78114 жыл бұрын
Barikiwa kwa elim kubwa
@vivahofficial90664 жыл бұрын
Ameen man of God
@rithersospeterkati23032 жыл бұрын
Nataaa kwa jina la Yesu. AMEN AMEN Baba
@violetteredateresaviolet94684 жыл бұрын
Hahaha, hallelujah Amen Mtumishi
@violetteredateresaviolet94684 жыл бұрын
Oh my God, na Israel iseme kweli
@lucykanuti61384 жыл бұрын
Tafuta kwa jina la Yesu kristo
@gracemahugi22603 жыл бұрын
Amina Mungu akubariki mtumishi
@user-yl9fb8uw3k6 ай бұрын
Barikiwe sana from ruvuma mbinga
@newadsong73233 жыл бұрын
A. Postoli. Nahitangi. Maombi. Mimi. nimefugwA. Na. Wachawi. Na. Sina. Raha. Inchi. Ya. Saudi Arabia
@faithkioko6894 жыл бұрын
Ameeeeeen God bless you Bishop
@marykombe2189
3 жыл бұрын
Aksante askofu mungu akubariki sana.Aksante kwa mafundisho mazuri.
@marykombe2189
3 жыл бұрын
NAVUNJA KWA JINA LA YESU
@alturaif53672 жыл бұрын
Amen, Amen🙌🙌🙌🙌🙌
@newadsong73233 жыл бұрын
A men. Hata. nimefugwA USO. Wangu. Nahitangi. Maombi
@mariemwaidi61033 жыл бұрын
Amen baba unikupuke ku maombi
@mariammariam15554 жыл бұрын
uliyoyangea yote ninayo mchungaji
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Yafeke katika jina la YESU
@jacksonasiimwe42303 жыл бұрын
Amen amen
@tinaadongo54474 жыл бұрын
My couch may God bless you and live longer in Jesus mighty name
@wisdomasajilepstv.3469
3 жыл бұрын
amen
@user-mg5hu1dc3i3 жыл бұрын
Kwa jina la YESU achia hatua za mafanikio yangu ktk kina la YESU KRISTO MAombolezo Sura 3
@catherinemuoka13228 ай бұрын
Amen apostle watching from kenya
@violetteredateresaviolet94684 жыл бұрын
Amina
@newadsong73233 жыл бұрын
A. Hubarikiwe. Sana
@user-ws2sg7un7z3 жыл бұрын
Amen baba angu 🙏🌹🌹
@nehemiahnzowa357 Жыл бұрын
Nakuelewa Sana mheshimiwa
@tinaadongo54474 жыл бұрын
It's true bishop nowh how can I adept iffy cause this are my home people because me i
@erastosanga1694 Жыл бұрын
WACHAWI WABAYA SANA ,YESU TUKOMBOE TUMEFUNGWA SANA,HATA KUOA HADI LEO HATUJAOA YESU UNATENDA UNAKOMBOA SISI WAJA WAKO TUMEFUNGWA SANA.
Vunja vifungo na leo iyiii vivunjiswe Baba chika caisse iyooo Sifa Kwa Mungu. Ni mengi
@margritkraeuchi87233 жыл бұрын
Bwana aisifiwe
@yusuphsanga44292 жыл бұрын
BABA UKO JUU SANA TUNA KUTEGEMEA KWANZIA MAFUNDISHONI ADI KUTETEA WANA NCH WAKO WOTE,UKO JUU HAD NDAN YA BUNGE NIVEMA UNGEKUWA M MBUNGE WA MIKOA YOTEEE,KWAMAANA WENGINE WAMEKALIA PESA TO BUNGENI.
@eben_ezer88532 жыл бұрын
Kabisa Baba kimya ni dawa 🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌
@amurumtuya6554 жыл бұрын
AMEN
@rashidndelemani6732 жыл бұрын
Namimi naitwa usiku na familia yangu pia naomba msaadawako.
@engzuberir.akilenza17643 жыл бұрын
Hapa kidogo hata Mimi nimekuelewa.
@happynessmsonde83393 жыл бұрын
Kwajina la Yesu natoka navifungo vinakatika.
@MirriamMeshach-j2c3 күн бұрын
Wachawi waokoke ama wakufe
@MirriamMeshach-j2c
3 күн бұрын
Napata ufunuo wa ajabu
@gloryjohn21684 жыл бұрын
Ameeeen
@erastosanga1694 Жыл бұрын
MUNGU WANGU HAKIKA UNATENDA, YESU ANAWEZA, TUOKOE WAJA WAKO TUMEFUNGWA SANA,TUNATESEKA SANA
@sammuelnyongesa14422 жыл бұрын
Napenda hii Sana
@We2k74 ай бұрын
Kwajina la YESUS CHRISTO WA NAZARETHI. Aciya MEMOIRE AKIRI etc.... Rudisha Sifa kwa MUUMBA
@janetchinga56173 жыл бұрын
Apigweeeeeeee shetani
@odhiaodhia98984 жыл бұрын
Baba nina shida kubwa yani na hii shida wakuimaliza ni wewe
Пікірлер: 187
Nisipo msikiliza huyuu baba nais naumwa asante my dady Mungu aendelee kutumia baba
Amen amen baba yangu kilasiku najifunza mengi ubalikiwe sana mtumishi
Amen.tume fufuka ukweli.niombee Dr ngwajima nateswa na Marathi na mwanamke WA kisaudi arabia.nimemfanyia kazi miaka Kumi but thank you yake ni kunitumia jini.hope nitaweza kuishi Kwa jina la yesu
@hildpaul7823
3 жыл бұрын
Nyanyuka kwa jina ya yesu
Hakuna wa kufanana na Mungu baba wa mbinguni.
@newadsong7323
3 жыл бұрын
A men. Bishop. Mungu. Hakubariki. Sana. Kwa Maombi. Uliomba. .nlikuwa na. Mapepo. Yakaondoka. Kupitiae. Kutambika. Nashukuru. Kwa. Maombi. Yako
@newadsong7323
3 жыл бұрын
Bishop. Naomba. Uniombe. Sana nisirudi. Yuma
Nawapendasan muchungaje kabs wew unaongeaukweli natamani kufika katika kanisa RAUFUFUO nauzima japo mimi ni murundi ningekua nawuwezo ningefeka kwako mimi bado ni kijana mudogo
Jamani nipeni namwa ya baba yangu gwajima Nimemupenda kweli uyu baba haishi milele ni le Congo
Like father like son Pastor Komba uko vizuri
AMEN AMEN KWA MAMLAKA YA JINA YESU NATOKA NA LAZIMA NISHENDE KWENYE UBUNGE KATIKA JINA LA YESU
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Ameeeen ubunge wa jimbo gani,
Mtumishi wa yesu niombee npo Kenya nina umri wa miaka 29.maisha yangu yote sina hamu ya mwanaume hata kidogo. Nafanya masterbation, natamani kuacha lakini nashindwa. Niombee.
@josephkaka6963
4 жыл бұрын
Tuma no yako 0757275885 wsp
@trophainamagogwa7966
4 жыл бұрын
Yesu akufungue kabisa,mastubation kwa mwanamke??kweli shetani amekufunga
@mtuwasaayangu6651
4 жыл бұрын
Pole unaenda kupokea uponyaji wako kwa jina la Yesu hilo ni pepo
@faithkavete2967
4 жыл бұрын
@@mtuwasaayangu6651 amen
@user-me3ee4fu8w
4 жыл бұрын
Chukua namba hapo kwa screen ya Bishop Gwajima
Wewe ni mtu ambaye Mungu anakutumia kwa kiwango kikubwa mno ..hivyo naomba Baba jamani usiende kwenye siasa ..waombee tu na kuwafundisha wanasiasa inatosha Baba ..Ahsante
@pericykiko6198
3 жыл бұрын
Hayo ni mawazo yako tu dear kiuhalisia Taifa linapendezwa liongozwe na wenye hofu ya Mungu
@estasage5506
3 жыл бұрын
@@pericykiko6198 Ni onyo tuu, kila Mamba na kifugo chake. Siasa ni playground ya ibilisi. Mara meetings nyingi mno, Mara hanasa, na kufwatana na hayo muda wa kufunga na kuomba haipatikane. Mitego nyingi. Najuwa mtumishi wa Mungu Dr Gwajima hawezi ingiya siasa pasipo kuzungumza na kupata maelekezo kutoka kwa Baba Mungu. Kama ikiwa nimtego Bwana atamuepusha nao. Kama mwanadamu, I miss him already. I know Pastor Amos is there but Moses was different from Josh.
@pericykiko6198
3 жыл бұрын
@@estasage5506 oooh inawezekana maana ibilis halali kwa ajili ya kutuwinda mmmmh
@estasage5506
3 жыл бұрын
@@pericykiko6198 True my dear. Myself don't understand why our God chosen bishop Gwajima will join the science. He helps more peoples worldwide as a man of God spiritually (which is important ) than being politician. Kama ni kujulikana, Mwenyezi Mungu amemujulisha dunia nzima, kama ni pesa, Yesu kristo wetu kamubariki. So, I don't understand. He could pray for them but not being a part. Sasa, hapo ndipo amejipeleka mwenyewe kwenye play ground ya muovu. I pray for his protection in Jesus Christ mighty name.
@pericykiko6198
3 жыл бұрын
@@estasage5506 hakuna kazi ngumu km kazi ya Mungu maana unawindwa kila mahali hata ukimuambia mtu achana na maweaving atakuambia kwani wewe Ni Mtakatifu yaani shetani anakuwinda binadamu nao hawashikiki wanapenda kubembelezwa Tena ukiteleza wanakucheka bt tujifunze kujishusha na kuombeana huenda ikawa wapo wengi tumekosea na yy akiwa mmoja wapo Basi Mungu atukumbushe tunapoomba tuwaombee warudi kwenye njia sahihi Amen
Mungu aendelee kukutumia haijalishi mbweha wanapiga kelele kiasi gani
Man of God hiyo ibaada ya siku ya leo imenibariki sana barikiwa sana
Nilogoweni vipawa mumepewa Ajiri yangu mimi nasumbuswa na wacawi Kwa wingi Funguweni ayoyooote Kwa jina la Yesu Mimi nalogwa myaka makumi naaa
Baba Mungu leo iyi nifunguriye fundo zote izi teleeee Kwa jina la Yesu
Ameen Baba hakika tumebarikiwa
Naomba sana muniombee nakosa raha ndani ya nafsi yangu na pamoja na hasira za karibi zisizo na msingi kitu kidogo nikiambiwa tu hasira ziko juu tafadhali sana niombeeni nibadilike
@hassankombo4475
4 жыл бұрын
Imekwisha kkkwasababu umeishajitambua na mungu akusaidie
@caphaessimukoko9978
3 жыл бұрын
Thank God for the wonderful message. God bless you richly.
@elizabethtarmo7176
3 жыл бұрын
naomba nikusaidie kwa sehemu kwa shida yako tunaweza kuwasiliana kwa namba 0767690260
Mungu akubariki Sana
Namshukuru Mungu Kwa maubiri ya kunivuta karibu sana na Mungu ningependa sana unikumbuke Kwa maombi dhidi vifungo nipangacho hakifaulu naishi maisha kupanguka Kila wakati hivi natamani kuimba nyimbo ambazo niliziandika miaka kumi na Tano zilizo pita Wala Bado nisaidie pliz natokea kenya
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, nabarikiwa sana na mafundisho yako.kwa muda wa mwaka mzima natafuta mawasiliano yako sikuwahi kukupata,nimetuma mesej kwenye watsap kama tatu nikiomba nataka niongee na wewe ila haikuwezekana mesej zangu hazijibiwi,pia kwenye messenger.nipo nje ya nchi
Ubarikiwe mnoo 🙏baba
Nakupenda Mtumishi wa Bwana
Very true Bishop wanaokuzunguuka ndiyo wanaokuroga
Very true Bishop. Adui wa nyumbani ni mbaya sana
Amen ...Asante Mungu Wngu
Kweli saana
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu ni kweli wewe ni zawadi ya Tanzania sifa na utukufu zina Mungu wetu kwa zawadi hii ❤
Mmmmh Mungu staki kucheleweshwa kwa jina la Yesu
Aminaaaaa Mungu Akubariki sana Mchungaji
Amen,najungamanisha na madhabahu katika jina la Yesu
Amen alléluia Amen Napoteya Mubarikiwe
Mungu akubariki sana Askofu napenda mafundisho yako na vitabu vizuri ulivyo andika mfano kitabu cha maombi ya kushindana
@KiKenya-lu1by
7 ай бұрын
Ameen
Mungu akubariki baba mchungaji Gwajima, na barikiwa na mafundisho yako. Yesu kristo aendelee kukutunza.
@raphaelsalimenya5104
4 жыл бұрын
Amen MTU WA MBINGUNI
Nimebarikiwa sana na nyimbo hii, natamani ningekuwa jirani .
Masikiyo wanatobowa Imebadirishwa Woooga kuzugumuza muwatu wengi yoteeee ni history Nimengi
Amen amen and amen bishop I pray to meet you one day.from Saudi Arabia
@esterdonald5497
2 жыл бұрын
Amen, be blessed,
@edwinmalila8603
2 жыл бұрын
Baba Askofu vifundo vimefunga wakristo wengi bila kujifahamu. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Thanks lody axntee Baba kwa somo zuri pia nahitaji maombi Zaid nilimfanya mahusiano na mtu kumbe Ni wakala na kaz yke nikitoa kafala ss ana nifuatilie ili anitoe kafala Baba nipo nchi za kiarabu jina Mrs Felix mwakyusa axntee Baba nisaidie Nina familia nimeiacha TANZANIA nisaidie Baba na MUNGU akubariki na ABARIKI neno lakw
Nakupenda baba yangu Dr Josesephat Gwajima
@johnfund1360
3 жыл бұрын
0 l0lllll0ll000
Mtumishi Bwana Yesu Asifiwe nashukuru naomba msaada wa maombi mana hofu imenitawa naumia sana naomba msaada
Blessings Bishop
Ameni ameni mtumishi wa mungu niko na shida niombee
Maman ajambo Sikunyingi Alindwe na kubarikiwa Mwana Weee Good sunday
Nyiyi fundo fundo fundo vyote maali pote pote pote ndani yangu nawa fyatuwa na bombe kutoka kwa Mungu Baba kwa jina la Yesu Christu wa Nazarethi .
God give you strong power bishop gwajima one day I will meet you
Amen Baba Askofu,Unanisaidia sana.
Mungu akujaze tena nguvu
Mungu akubariki zaidi ,kwa kadiri unavyo nipa maarifa kila mara .Wewe ni Baraka kwangu sana
Jameni ningetaka kuongea namtumishi Amosi
Ameeeeeen ubarikiwa sana man of God
Nimesaiidika kwa Chanel nimefahamu namna ya kuomba. Naona wivu wengine wanenapo kwa lugha. Mungu Roho Mtakatifu anijalie
@raphaelsalimenya5104
4 жыл бұрын
Pokea kunena kwa JINÀ LA YESU
Amen Amen
Because for me I have no problem with them from my cantry from my district and I can not hate them all so what can I do bishop for this case
Ubarikiwe Baba Nakubenda
Barikiwa kwa elim kubwa
Ameen man of God
Nataaa kwa jina la Yesu. AMEN AMEN Baba
Hahaha, hallelujah Amen Mtumishi
Oh my God, na Israel iseme kweli
Tafuta kwa jina la Yesu kristo
Amina Mungu akubariki mtumishi
Barikiwe sana from ruvuma mbinga
A. Postoli. Nahitangi. Maombi. Mimi. nimefugwA. Na. Wachawi. Na. Sina. Raha. Inchi. Ya. Saudi Arabia
Ameeeeeen God bless you Bishop
@marykombe2189
3 жыл бұрын
Aksante askofu mungu akubariki sana.Aksante kwa mafundisho mazuri.
@marykombe2189
3 жыл бұрын
NAVUNJA KWA JINA LA YESU
Amen, Amen🙌🙌🙌🙌🙌
A men. Hata. nimefugwA USO. Wangu. Nahitangi. Maombi
Amen baba unikupuke ku maombi
uliyoyangea yote ninayo mchungaji
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Yafeke katika jina la YESU
Amen amen
My couch may God bless you and live longer in Jesus mighty name
@wisdomasajilepstv.3469
3 жыл бұрын
amen
Kwa jina la YESU achia hatua za mafanikio yangu ktk kina la YESU KRISTO MAombolezo Sura 3
Amen apostle watching from kenya
Amina
A. Hubarikiwe. Sana
Amen baba angu 🙏🌹🌹
Nakuelewa Sana mheshimiwa
It's true bishop nowh how can I adept iffy cause this are my home people because me i
WACHAWI WABAYA SANA ,YESU TUKOMBOE TUMEFUNGWA SANA,HATA KUOA HADI LEO HATUJAOA YESU UNATENDA UNAKOMBOA SISI WAJA WAKO TUMEFUNGWA SANA.
Amen
Bishop UInajua kiukweli Unajua Mungu Akutunze
Mimi. nimefugwA. Hakiri. Zangu. Hata. Ndoa. Yangu. Himefugwa. Na. Wachawi
Amen amen BABA
A. Men. Apostoli. Mungu. Hakubariki. Sana
Vunja vifungo na leo iyiii vivunjiswe Baba chika caisse iyooo Sifa Kwa Mungu. Ni mengi
Bwana aisifiwe
BABA UKO JUU SANA TUNA KUTEGEMEA KWANZIA MAFUNDISHONI ADI KUTETEA WANA NCH WAKO WOTE,UKO JUU HAD NDAN YA BUNGE NIVEMA UNGEKUWA M MBUNGE WA MIKOA YOTEEE,KWAMAANA WENGINE WAMEKALIA PESA TO BUNGENI.
Kabisa Baba kimya ni dawa 🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌
AMEN
Namimi naitwa usiku na familia yangu pia naomba msaadawako.
Hapa kidogo hata Mimi nimekuelewa.
Kwajina la Yesu natoka navifungo vinakatika.
Wachawi waokoke ama wakufe
@MirriamMeshach-j2c
3 күн бұрын
Napata ufunuo wa ajabu
Ameeeen
MUNGU WANGU HAKIKA UNATENDA, YESU ANAWEZA, TUOKOE WAJA WAKO TUMEFUNGWA SANA,TUNATESEKA SANA
Napenda hii Sana
Kwajina la YESUS CHRISTO WA NAZARETHI. Aciya MEMOIRE AKIRI etc.... Rudisha Sifa kwa MUUMBA
Apigweeeeeeee shetani
Baba nina shida kubwa yani na hii shida wakuimaliza ni wewe
Asante Bishop God bless you
Iyi ujumbe ni yangu Leo 2022
Rahasana kusikiliza mambo ya yesu
Naomba msaada wa mawasiliano baba