mhhh una maneno sana wala si ufunuo.....mawazo yako tuu....omba sana Mungu....jazba kibao.....umesomea wapi uchungaji.....duhhhhhhhhh
@annaezra23443 ай бұрын
Mungu akuze huduma Yako mtumishi, sema kweli watu wapone
@rahabnkya82763 ай бұрын
ASANTE MTUMISHI. Kuna nchi zingine zina manabii ambao Mungu huwapa maono unabii na ukatolewa waziwazi na ukatimia je vipi hapa Tanz yuko mwonaji mwenye karama ya unabii isiyotiliwa shaka na vingozi wetu madarakani au Dini ZOZOTE
@user-nn6zq1ok7i3 ай бұрын
Nenda zako yaani hueleweki nikijalibu kukusikiliza nashindwa jipeleleze
@EmanuelIsaya-sg8bk3 ай бұрын
Wengi ni watumishi njaa. Watu waliuawa wengine wamepotea, wamepigwa risasi. Mbona hukutoa unabii Kwa wale waliofanya hivyo?
@durangobasics6195
3 ай бұрын
Hivi? Kwani unabii ni yeye ndio anafanya kwa ujuzi wake ama analetewa? Nabii hajui yote. Anajua anachopewa tu. Yupo anayejua yote.
@festokivuyo71213 ай бұрын
Ati ana amini askofu na mchungaji na watumishi si MUNGU mm siamini MTU yyt isipokua MUNGU peke yake
@ramadhaniathumani10253 ай бұрын
Chadema nusu mkate ndio utawaua kabisa ndio maana hawasikii damu ya ukombozi!!
@ramadhaniathumani10253 ай бұрын
Damu ya chadema inasema katiba mpya na tume huru ya uchaguzi,yeye anawaza nusu mkate wa majimbo ya mgao na sio katiba mpya inayohitajika!!
@juliuskitomari30573 ай бұрын
Unabii unaohusu Siasa siyo wa kuamini,hivi kweli Tanzania ina mambo mengi sana ambayo ni ya hatari kwanini hawa manabii hawayatabiri hayo? Wanatabiri vya siasa tuu? Na kwanini manabii wanataka kusema mambo ambayo yapo wazi?kwa sababu mambo mengine yapo wazi hayahitaji unabii.
@michaelmwambije36033 ай бұрын
M ccm pyuwa na jambaz huyu
@samoskiyalo60953 ай бұрын
Uko sahihi wawezesheni walio fiwa wafarijini kwa ziara za mwaliko na wazi wajibu wa viongozi wa Chdema asante nabii ❤
@athumanmapunda3 ай бұрын
Sawa
@ramadhaniathumani10253 ай бұрын
Ulisema tembo ni wanajeshi,kama wanaingiza tembo wao maana yake wanataka kijana wao ashike kitala!!
VIONGOZI WA CDM MSIPOKEE MAVAZI YA JADI NA KUYAVAA YATAWAHARIBIA,SIKILIZENI WATUMISHI WA MUNGU ACHENI TAMAA YA MAJIMBO SIO JIBU! JIBU LENU NI DAMU ZA WALIOFIA CHAMA SIO WANAFALSAFA! Kama ni Katiba,katiba. Kama ni tume,tume. Uongozi ni baada ya hivyo!
Пікірлер: 19
mhhh una maneno sana wala si ufunuo.....mawazo yako tuu....omba sana Mungu....jazba kibao.....umesomea wapi uchungaji.....duhhhhhhhhh
Mungu akuze huduma Yako mtumishi, sema kweli watu wapone
ASANTE MTUMISHI. Kuna nchi zingine zina manabii ambao Mungu huwapa maono unabii na ukatolewa waziwazi na ukatimia je vipi hapa Tanz yuko mwonaji mwenye karama ya unabii isiyotiliwa shaka na vingozi wetu madarakani au Dini ZOZOTE
Nenda zako yaani hueleweki nikijalibu kukusikiliza nashindwa jipeleleze
Wengi ni watumishi njaa. Watu waliuawa wengine wamepotea, wamepigwa risasi. Mbona hukutoa unabii Kwa wale waliofanya hivyo?
@durangobasics6195
3 ай бұрын
Hivi? Kwani unabii ni yeye ndio anafanya kwa ujuzi wake ama analetewa? Nabii hajui yote. Anajua anachopewa tu. Yupo anayejua yote.
Ati ana amini askofu na mchungaji na watumishi si MUNGU mm siamini MTU yyt isipokua MUNGU peke yake
Chadema nusu mkate ndio utawaua kabisa ndio maana hawasikii damu ya ukombozi!!
Damu ya chadema inasema katiba mpya na tume huru ya uchaguzi,yeye anawaza nusu mkate wa majimbo ya mgao na sio katiba mpya inayohitajika!!
Unabii unaohusu Siasa siyo wa kuamini,hivi kweli Tanzania ina mambo mengi sana ambayo ni ya hatari kwanini hawa manabii hawayatabiri hayo? Wanatabiri vya siasa tuu? Na kwanini manabii wanataka kusema mambo ambayo yapo wazi?kwa sababu mambo mengine yapo wazi hayahitaji unabii.
M ccm pyuwa na jambaz huyu
Uko sahihi wawezesheni walio fiwa wafarijini kwa ziara za mwaliko na wazi wajibu wa viongozi wa Chdema asante nabii ❤
Sawa
Ulisema tembo ni wanajeshi,kama wanaingiza tembo wao maana yake wanataka kijana wao ashike kitala!!
@hudumayakristo
3 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/g218t7aindqcdZc.htmlsi=ciLZgex-ozuqtrMs
@hudumayakristo
3 ай бұрын
☝️☝️☝️Sikiliza hio utaelewa TEMBO ni nani
@ramadhaniathumani1025
3 ай бұрын
Sawa
VIONGOZI WA CDM MSIPOKEE MAVAZI YA JADI NA KUYAVAA YATAWAHARIBIA,SIKILIZENI WATUMISHI WA MUNGU ACHENI TAMAA YA MAJIMBO SIO JIBU! JIBU LENU NI DAMU ZA WALIOFIA CHAMA SIO WANAFALSAFA! Kama ni Katiba,katiba. Kama ni tume,tume. Uongozi ni baada ya hivyo!