DAMU YA WAFUASI WA CHADEMA YAMLILIA MBOWE, MTOTO WA TEMBO AINGIZWA KANISANI

Ойын-сауық

Пікірлер: 19

  • @judamsaki5609
    @judamsaki560915 күн бұрын

    mhhh una maneno sana wala si ufunuo.....mawazo yako tuu....omba sana Mungu....jazba kibao.....umesomea wapi uchungaji.....duhhhhhhhhh

  • @annaezra2344
    @annaezra23443 ай бұрын

    Mungu akuze huduma Yako mtumishi, sema kweli watu wapone

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82763 ай бұрын

    ASANTE MTUMISHI. Kuna nchi zingine zina manabii ambao Mungu huwapa maono unabii na ukatolewa waziwazi na ukatimia je vipi hapa Tanz yuko mwonaji mwenye karama ya unabii isiyotiliwa shaka na vingozi wetu madarakani au Dini ZOZOTE

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i3 ай бұрын

    Nenda zako yaani hueleweki nikijalibu kukusikiliza nashindwa jipeleleze

  • @EmanuelIsaya-sg8bk
    @EmanuelIsaya-sg8bk3 ай бұрын

    Wengi ni watumishi njaa. Watu waliuawa wengine wamepotea, wamepigwa risasi. Mbona hukutoa unabii Kwa wale waliofanya hivyo?

  • @durangobasics6195

    @durangobasics6195

    3 ай бұрын

    Hivi? Kwani unabii ni yeye ndio anafanya kwa ujuzi wake ama analetewa? Nabii hajui yote. Anajua anachopewa tu. Yupo anayejua yote.

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo71213 ай бұрын

    Ati ana amini askofu na mchungaji na watumishi si MUNGU mm siamini MTU yyt isipokua MUNGU peke yake

  • @ramadhaniathumani1025
    @ramadhaniathumani10253 ай бұрын

    Chadema nusu mkate ndio utawaua kabisa ndio maana hawasikii damu ya ukombozi!!

  • @ramadhaniathumani1025
    @ramadhaniathumani10253 ай бұрын

    Damu ya chadema inasema katiba mpya na tume huru ya uchaguzi,yeye anawaza nusu mkate wa majimbo ya mgao na sio katiba mpya inayohitajika!!

  • @juliuskitomari3057
    @juliuskitomari30573 ай бұрын

    Unabii unaohusu Siasa siyo wa kuamini,hivi kweli Tanzania ina mambo mengi sana ambayo ni ya hatari kwanini hawa manabii hawayatabiri hayo? Wanatabiri vya siasa tuu? Na kwanini manabii wanataka kusema mambo ambayo yapo wazi?kwa sababu mambo mengine yapo wazi hayahitaji unabii.

  • @michaelmwambije3603
    @michaelmwambije36033 ай бұрын

    M ccm pyuwa na jambaz huyu

  • @samoskiyalo6095
    @samoskiyalo60953 ай бұрын

    Uko sahihi wawezesheni walio fiwa wafarijini kwa ziara za mwaliko na wazi wajibu wa viongozi wa Chdema asante nabii ❤

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda3 ай бұрын

    Sawa

  • @ramadhaniathumani1025
    @ramadhaniathumani10253 ай бұрын

    Ulisema tembo ni wanajeshi,kama wanaingiza tembo wao maana yake wanataka kijana wao ashike kitala!!

  • @hudumayakristo

    @hudumayakristo

    3 ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/g218t7aindqcdZc.htmlsi=ciLZgex-ozuqtrMs

  • @hudumayakristo

    @hudumayakristo

    3 ай бұрын

    ☝️☝️☝️Sikiliza hio utaelewa TEMBO ni nani

  • @ramadhaniathumani1025

    @ramadhaniathumani1025

    3 ай бұрын

    Sawa

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel71493 ай бұрын

    VIONGOZI WA CDM MSIPOKEE MAVAZI YA JADI NA KUYAVAA YATAWAHARIBIA,SIKILIZENI WATUMISHI WA MUNGU ACHENI TAMAA YA MAJIMBO SIO JIBU! JIBU LENU NI DAMU ZA WALIOFIA CHAMA SIO WANAFALSAFA! Kama ni Katiba,katiba. Kama ni tume,tume. Uongozi ni baada ya hivyo!

Келесі