ZANZIBAR KUZALISHA UMEME WAKE

Serikali ya Zanzibar imesema inahitaji uwekezaji mkubwa wa sekta za Maji na Umeme ili kuongeza ufanisi wa huduma za uhakika kwenye sekta hizo. Rais wa Zanzibar Dk Hussein Ali Mwinyi ameyasema hayo alipozungumza na uongozi wa Kampuni ya ‘WAPCOS Limited’ ya India, uliofika Ikulu Zanzibar.

Пікірлер

    Келесі