USIKAE OFISINI KAIFANYE KARIAKOO IWE MASAA 24 "RAIS SAMIA AMPA MAKAVU WAZIRI JAFO

Пікірлер: 28

  • @user-rq4fq4pw4y
    @user-rq4fq4pw4y3 күн бұрын

    Mama Asante kwa uteuzi wa JAFO, Waziri mzuri sana na atatusaidia sana, TRA ndo shida Tanzania

  • @mswaki_newstz
    @mswaki_newstz3 күн бұрын

    Big up sana Rais wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania 🇹🇿

  • @imamwaki2566
    @imamwaki25663 күн бұрын

    Asante Raisi, sasa unaanza kueleweka

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe3 күн бұрын

    JAFO CHUMA back in business 💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾

  • @allysimu6856
    @allysimu68563 күн бұрын

    Asante Sana mama unazidi kutupa raha watanzania mama chukua mitano Tena kulayangu niyako chukuaa mama chukuaa Tena mama nanikama mama mashaallah

  • @user-yd1pc8uy8x

    @user-yd1pc8uy8x

    3 күн бұрын

    Mama kaenda na wake wameshindwa Sasa jafo ataweza Hongera mama

  • @bugapeasant1827
    @bugapeasant18273 күн бұрын

    Umengea vzuri sana Mheshomiwa Raisi

  • @AbdallahBabu-jl8ld
    @AbdallahBabu-jl8ld3 күн бұрын

    Mama kama kocha wa mpira anajua kupanga timu na anajua mchezaji gani anafaa acheze wapi Nani anafaa akae wapi. Big up mama akili kubwa

  • @imallya6513
    @imallya65133 күн бұрын

    Ni kweli mama!! Lakini swala la wageni kufungua maduka nje ya kariakooo sio sawa

  • @princeisaac2202
    @princeisaac22023 күн бұрын

    Our President is very Calm, relaxed, composed, Not Talkative though She knows Alot, Mungu endelea kumtunza Rais Wetu, Amen.

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS3 күн бұрын

    Mama nipe hiyo kazi mmi kwenye kazi i ni zaidi ya mwanaume

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g3 күн бұрын

    Hapa kwa jafo umeweza. Chalamila yeye anatixhia wafanya biashara. Hongera sana Rais Samia kuwapa makavu hakuna kukaa oficeni tatueni kero za wananchi km Mh Makonda. Chalamila ujumbe huo

  • @RoanCorporation
    @RoanCorporation3 күн бұрын

    Mama iko mzuri Sana

  • @azizimohamed9171
    @azizimohamed91713 күн бұрын

    Kweli mama kaamua

  • @shabanjuma4253
    @shabanjuma42533 күн бұрын

    Mkuu jafo hongera sana kaka

  • @MikaJoseph-h4p
    @MikaJoseph-h4p3 күн бұрын

    Wakwaza leo kariakoo ime karia kooo

  • @user-wf8eb6nm4s
    @user-wf8eb6nm4s3 күн бұрын

    Tupo pamoja mama unaupiga mwingi

  • @mohamedelmi7435
    @mohamedelmi74353 күн бұрын

    The problem has always been TRA, nothing but Rushwa rushwa rushwa

  • @melitajeremia
    @melitajeremia3 күн бұрын

    Perfect kabisa

  • @user-mu1hx7yv9b
    @user-mu1hx7yv9b3 күн бұрын

    Mama mitano Tena unajua kazi mama

  • @zuberiismail2972
    @zuberiismail29723 күн бұрын

    Jamani wamachinga waliosajiliwa tunaomba wasibughudhiwe ila kama sio machinga ni mfanyabiashra kaweka meza nje huyo hafai anawaletea shida wamachinga waliosajiliwa na wanachama chao kizuri sana kinaitwa KAWASO hio organization ipo smart sana sema kuna watu wanaleta siasa kariakoo kichunguzwe waache wafanya biashara na wamachinga wafanye kaz kwa ushirikiano pasiwepo na migogoro

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka61263 күн бұрын

    Jaffo yuko vzr saaaaaana

  • @SAMISAI.
    @SAMISAI.3 күн бұрын

    Hapa Mama kaupiga mwingi

  • @JacksonChokola-u2i
    @JacksonChokola-u2i2 күн бұрын

    Yote Yako saw tuuu

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo90643 күн бұрын

    Milori ni kero mitaani

  • @allymkamba1054
    @allymkamba10543 күн бұрын

    Kama ni Jafo yule yule basi natumai makubwa.

  • @Henricovicent

    @Henricovicent

    3 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @victaboy7273
    @victaboy72733 күн бұрын

    Hakuna jipyaa

Келесі