🔴LIVE: KISIWANI-SAME MUDA HUU MHE:FREEMAN MBOWE, LEMA,

Ойын-сауық

Пікірлер: 5

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar563215 күн бұрын

    Chadema ni chama kinachohubiri haki, Mungu awabariki sana viongozi wa Chadema na kuwalinda daima,kazi wanayoifanya Mungu uwalipe katika haki wanayoipigania katika Taifa letu Mbowe,Tundulissu, Lema na wengine wengi, Mungu uwalinde.Wananchi amkeni tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, tuikatae ccm uchaguzi huu kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague tena mafisadi wa ccm itakuwa kuleta utumwa katika Taifa ccm wanaiba na kuuza rasilimali za Tanganyika.

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv15 күн бұрын

    Jonas kadeghe mbunge wa same magharibi

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd15 күн бұрын

    MH. MBOWE NI MWAMBA WA SIASA SAFI ZA UPINZANI NCHINI NDIYE PEKEE FEDHA CHAFU YA CCM IMEDUNDA KWAKE LAKINI WENYEVITI WENGI WA VYAMA VYA UPINZANI IMEWAZOA VYAMA VYAO VIKO HOI(VIMEBAKI CCM B) WAMEBAKI WAJINGA KUVIUNGA!!!

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga659116 күн бұрын

    hili jeshi ni hatari sana lakini salama

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha108016 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉

Келесі