Leo

Leo #MariaSpaces tunajadili: Mapandikizi kwenye vyama na AZAKI, tunatokaje?
Tumeona chama muhimu kama TLS kimejaa mapandikizi ya Chama mtawala na mfumo dhalimu. Na baadhi ya AZAKI muhimu watendaji hawafichi ukada wao
Wananchi tumejipangaje na tunatokaje kama Taifa?

Пікірлер

    Келесі