WAZIRI MKUU MAJALIWA AKASIRIKA - AMTUMBUA INJINIA PAPOHAPO - AAGIZA MKURUGENZI ALIYESTAAFU AITWE...

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKASIRIKA - AMTUMBUA INJINIA PAPOHAPO - AAGIZA MKURUGENZI ALIYESTAAFU AITWE...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambana Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kushindwa kusimamia matumizi ya Fedha ujenzi wa Bwalo shule ya Sekondari ya Wasichana Lugalo ambayo ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa shule hiyo
Ashangazwa kutumika kwa fedha yote ya ujenzi wa Bwalo lakini mpaka sasa halijakamilika.
Bwalo hilo lilipangiwa sh. milioni 774 na wamekwishatumia sh. milioni 341 hadi kufikia hatua ya linta ambayo ni sawa na asilimia 40 ya ujenzi wake.
Aagiza asimamishwe kazi kupisha uchunguzi, yumo pia Mkurugenzi Mstaafu wa Halmashauri aliyestaafu mwezi Aprili mwaka huu, ambapo Mheshimiwa Majaliwa aagiza aitwe na ahojiwe.
Mheshimiwa Majaliwa yupo mkoani Iringa kwa ziara ya kikazi.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 51

  • @globaltv_online
    @globaltv_online15 күн бұрын

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha351115 күн бұрын

    Majariwa waziri wetu mkuu nakukubari Sana Mimi tuombe uzima iko siku utakuwa laisi wetu

  • @hamisimuhunzi7916

    @hamisimuhunzi7916

    14 күн бұрын

    Majaliwa hakuna kitu ubabaishqji mtupu sio kazi ya waziri mkuu kukagua viti!! atakagua viti vingapi nchi nzima!! serikali nzima imejaa wazembe

  • @AllexAnthony
    @AllexAnthony12 күн бұрын

    Safi sana baba majaliwa kwa kazi nzuri wakileta mchezo nikutumbua tuu hao ndio wanaotuharibia ladha ya taifa letu la Tanzania naipenda nchi yangu....tumbua haooooooooooo

  • @BakariMapua-t9u
    @BakariMapua-t9u11 күн бұрын

    One❤ mkuu nakuombea uchukue nchi❤❤❤❤❤❤

  • @roggoyacny
    @roggoyacny14 күн бұрын

    HAO NDOWANAO KWAMISHA NA KUCHAFUA MFUMO MZIMA WA RAIS WETU 🙏,,NAOMBA WAZIR MKUU HAO WACHUKULIWE HATUA KALI SANA 🙏

  • @EmmanueliZani-ur9bi
    @EmmanueliZani-ur9bi14 күн бұрын

    Wawajibishwe na wakuu wa hiyo mikoa, kwa sababu hayo yanapotokea wao wanabweteka tu. Wajifunze kwa mwenzao Makonda Arusha. Asante.

  • @hassanngomela-tu6lw
    @hassanngomela-tu6lw15 күн бұрын

    Hapo serikali yatu inapokesea wekeni sheria kila mtu ajue kwamba nikiwa ktk nafasi flani nikikosea tu au pesa imeibuwa wale wauska wote wafilisiwe mali zao lakini hapo kila siku tutaishia kusema ili watu watuone kwenye mitandao ukiondoka tu moto uleule

  • @abrahammwamlomba8922
    @abrahammwamlomba892215 күн бұрын

    Mungu akupe nguvu w mkuu

  • @user-gr9px4pi2w
    @user-gr9px4pi2w10 күн бұрын

    Mh. Waziri mkuu hawa watendaji ndio wanapopiga sana fedha za serikali .pesa nyingi zinatumwa miradi inakwamishwa na hawa waliopewa dhamana. Endelea kuwa mkali mh...vingine hawa mchwa watu wataifirisi inchi

  • @MahmoudMahdMahmadoueMombaMomba
    @MahmoudMahdMahmadoueMombaMomba11 күн бұрын

    viongozi wote wa serikali waki-chukua hii staili ya Magufuli wananchi tutakua na imani sana na ninyi viongozi wetu, lakini mkikaa tu ofisini bila ya ufuatiliaji mtawapa akina Mbowe na Lissu nafasi ya kuwachafueni jambo ambalo sio zuri kiviiile

  • @bilid4128
    @bilid412815 күн бұрын

    "Bati hakuna stoo usidanganye "😊😊

  • @user-ry8xf1no2s
    @user-ry8xf1no2s14 күн бұрын

    Ongela laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani Kwa kutupa wazili mkuuu bomba ongela sana mueshimiwa wazili

  • @richkaja3317
    @richkaja33179 күн бұрын

    Samahai wakuu naomba kujua wanafukuzwa waondoka kabisa shamba au mnawatafutia kazi nyingine mie naona bora muwafirisi kabisa kasimu unaakili sanaa ndo maana magufuri alikuamini sanaa

  • @user-ch2xi5zm8y
    @user-ch2xi5zm8y4 күн бұрын

    Kwahiyo mnasubiriaga mpaka wakishakula ndio nnajitokeza

  • @jamalnaheka1131
    @jamalnaheka113113 күн бұрын

    😂😂😂 maisha bna wakibanwa wanakuwa wapoleeee kama wali,...ila ukiwakuta kweny 18 zao za upigaji wanajifany wababe atariiii maisha hy nimecheka.

  • @user-ty9yg8fg9g
    @user-ty9yg8fg9g11 күн бұрын

    Wasomi wetu mnakwama wapi mkiaminiwa na serikali kusimamia miradi???????? Wakipewa wachina wazawa kelele nyingiiiiiiiii

  • @7675kio
    @7675kio12 күн бұрын

    Namuona JPM, na Raisi ajaye. Sijui mnanielewa?

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq15 күн бұрын

    Hao wazee wenye vitambi wawe wanakaa mbali na matukio😢

  • @joshuanyaulingo4109

    @joshuanyaulingo4109

    15 күн бұрын

    😂😂😂

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon106415 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry13 күн бұрын

    CCM kwa hali hii mmeshindwa maana siye hatujui kinachoendelea tunapiga makofi tu kwa CCM. Leo mnatutoa imani nanyie kitakachoendelea msitulaumu, msitilaumu.

  • @methodiutou7278
    @methodiutou727815 күн бұрын

    Hawa ndo wanatumia fedha zetu kuharibu mabinti wa vyuo

  • @gwakisamkese6178
    @gwakisamkese617815 күн бұрын

    Waziri kasim majaliwa ikipendeza ugombee urais

  • @kambamazig02024
    @kambamazig0202415 күн бұрын

    Hao wa kuvaa kijani na matumbo makubwa wamekaa kimya tu na hao hao ndio wako kwenye mfumo wa kuzichana pesa za maendeleo. Hawa si wazalendo.

  • @Kabwela776
    @Kabwela77615 күн бұрын

    Wangekuwa wananyonga mbwa hawa piga risasi tu wezi hawa sio wa kuwachekea wanaitia Tanzania umasikini sana

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim766313 күн бұрын

    Amelipwa pesa zote wamegawana😢

  • @EnikoSanga
    @EnikoSanga13 күн бұрын

    Safi mheshimiwa

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu852915 күн бұрын

    Inasikitisha sana. Wataalamu tuliowaamini wanatuangusha. Watu hawana uzalendo kabisa. Wao hawajali kwani watoto wao wanasoma shule za kulipia.

  • @abubakarimussa9131

    @abubakarimussa9131

    15 күн бұрын

    Wewe umeona hao nawalio iba pesa zetu c a g

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim766313 күн бұрын

    Hilo ni tatizo la makandarasi wa ndani wezi tu.

  • @user-kv8sq6qz7g
    @user-kv8sq6qz7g15 күн бұрын

    Viongozi wa serekali hususan kwemye miradi hawana mzalendo wezi alafu wanaenda kanisani na msikitini aibu sana

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim766313 күн бұрын

    Bilioni 3 majengo 44%

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana627015 күн бұрын

    Ubaya wanaapa kwakutumia bibilia na Quran. Wazee wetu walikua wanaapa kwakutumia damu, udongo,... Ukiiba unakufa. Wazungu na warabu wametudanganya baada ya kutukanya. Rudi kwenye mifumo muone kama mtakua mnakimbizana na hao

  • @sidachomela7871
    @sidachomela787113 күн бұрын

    Mnamuonea Injinia

  • @GastoJohn-s1p
    @GastoJohn-s1p15 күн бұрын

    Tunaomba mama ukiisha muda wake, huyu waziri mkuu Majaliwa awe raisi wa Tanzania, maana anastahili kabisa!!

  • @jonijoogabriel3728
    @jonijoogabriel372812 күн бұрын

    Waziri mkuu nyie ndio mnaongoza hii nchi miaka yote toka uhuru na watendaji wanaiba hela za Umma miaka yote naona ni wakati wa kuweka serikali nyingine ya Chama kingine

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b15 күн бұрын

    asante sana kasim majaliwa kwa kutembelea ujenzi jengo lakini tutaona wakati huu mnatudanyanya wezi awapelekwi mahakamani inaishia apo apo kujifanya wakali kutufunga macho ninyi amtutetei atakidogo wewe Samia unataka ETI kuongoza Tanganyika tutafanya utafiti kubaini ata mmoja wenu ata baki mamlakani tunasema tutawatoa mamlakani tunataka katiba mpya nilazima watanganyika waishi kwa kuheshimana kikabila mbona wamasai wa ngorongoro ngombe zao kuuzwa na mahakama ubaguzi mkubwa sana wakidini na viongozi walioko mamlalakani wanatutisha na wasio julikana wako ndani ya nchi yetu msilale Tanzania walio wengi vijana wapewe mashamba wajiajiri kuliko kuajiriwa na waarabu tumekataa kuporwa na wezi wachache mwsho wao umefika wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu

  • @bockerNyarusahi
    @bockerNyarusahi12 күн бұрын

    Wapambe watakunyoosha

  • @edisonpeter3894
    @edisonpeter389415 күн бұрын

    Hizi ndizo degree za TZ

  • @halifajuma545
    @halifajuma54515 күн бұрын

    Piga iboko hao ujinga tu tuna pembelezana sana

  • @user-vp1zu3fb5w
    @user-vp1zu3fb5w14 күн бұрын

    MAJAALI NAKUOMBEA MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU SIKU ZI JAZO UJE UWE RAIS MAKAMU WAKO AWE MAKONDA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI AWE CHALAMILA ILI MAFISADI WAJE WAJUTE KUZALIWA😂

  • @elisantenyange8751
    @elisantenyange875114 күн бұрын

    Wamekula na fundi

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo78015 күн бұрын

    Acheni kuingiza habari tofauti na kichwa Cha habari husika.😊

  • @joshuanyaulingo4109

    @joshuanyaulingo4109

    15 күн бұрын

    😂😂😂

  • @LameckZakaria-qg9vv
    @LameckZakaria-qg9vv15 күн бұрын

    Jembe la magufuri

  • @user-vp1zu3fb5w
    @user-vp1zu3fb5w14 күн бұрын

    HAYA MAJIZI IKIWAPENDEZA YANYONGWE SISI WANYONGE TUNAKAMULIWA KODI HALAFU NYINYI HAMNA HURUMA NAPESA ZA WAVUJA JASHO WANCHI HII KWANZA KABLA HAWAJANYONGWA WATOBOLEWE MACHO😂

  • @AlphaxardMRusweka-jr1wi

    @AlphaxardMRusweka-jr1wi

    14 күн бұрын

    Na wewe unayechukua wake za watu,tukutoe nini

  • @blessingntuli3796
    @blessingntuli379614 күн бұрын

    Wahujumu uchumi ndo ao Tia ndani wote miaka kumikumi

Келесі