WAZIRI BASHUNGWA ATINGA NYUMBANI KWA MZEE ALIYEMPA MAGUFULI KUKU "ALISEMA NIKAMUOE MAMA YAKE"
#UhondoTV #Uhondo
Жүктеу.....
Пікірлер: 202
@aloycesamba9982 ай бұрын
Mh bashungwa hongera sana,kwa kumkumbuka huyo mzee , mungu akubariki sana
@tyivbra2 ай бұрын
Ety katamiwa mingi lete hapa😂😂😂 very humble na ndo utanzania wety haswa😂
@andrewmagwila16022 ай бұрын
Nitafurahi sana huyu mzee akijengewa nyumba ana moyo wa kipekee sana
@anandemungure25002 ай бұрын
Mhe. Bashungwa Mungu akubariki sana. I am so overwhelmed indeed. Ukigusa maisha ya wahitaji basi Mungu naye hushughulika na maisha yako pia. Glory to God 🙏
@boscokikoti
Ай бұрын
Bashungwa anafaa kuwa raisi baada ya mama Samia kumaliza muda wake
@gracethomas683
Ай бұрын
Na haonekani kama anaigiza yupo real ndo nachompendea hapo…..
@user-fk4st8qj2k2 ай бұрын
Mh.Bashungwa Tunza hiyohekima ambayo mwenyezi Mungu kakutunuku. Ubarikiwe sana, na abarikiwe Mh.Dr.Samia Suluhu Hssan kwa kukuteua kuwa waziri.
@kinasaba2 ай бұрын
Mh. Bashungwa na Mzee wa Jogoo Hongereni sana. Mnasaidia sana kutuunganisha wananchi na serikali yetu. Mh. Bashungwa Mungu azidi kukulinda, na kukuongezea hekima na busara katika utendaji wako.
@Wami-Sababisho2 ай бұрын
Aaaah aaah! Mama adija jiandae 😂😂😂.Huyu Mzee namkubali sana muongeaji na mcheshi. Lakini wafanye mpango wamuwezeshe mzee hata basi wamjengee nyumba nzuri hata ya chumba kimoja maana anajari sana maendeleo ya wengi kuliko ya kwake mwenyewe.Mungu amjalie sana mzee na mtani wangu Waziri Bashungwa 🎉🎉🎉
@zuwenasalim27942 ай бұрын
Mzeee Mwenyezi Mungu akutunze mno ,japo una cacomedy ndani nimekupenda mama Amina imba kdg hapo
@jaffjeff6912
Ай бұрын
😂mama Khadija jiandae
@Ashrey82Ай бұрын
Alhamdulilah 🙏 Kuna watu Wana roho na wamezaliwa na vizazi vya Mungu na sio vya nyoka! Hongera sana waziri kwa kujali Hali za watu wengine!
@alfinmbilinyi59852 ай бұрын
🇹🇿Yeah!kazi nzuri mhe.waziri hongera sana tuendelee kuijenga Tanzania kila kona ipendeze.
@patrickndizeye21902 ай бұрын
Mzee mstalabu sana ❤ muenyezi Mungu akulinde kuakila jambo
@user-ye4qx9py6xАй бұрын
Mzee mchesh ady raha me nimependa sana mama adija jiandae
@stephanojmafumbira5369Ай бұрын
Mama Khadija jiaandaee😂😂
@christfamilychurch-cfctanz4270Ай бұрын
Tuna watu wazuri sana katika hili Taifa ila wamefungwa mikono!!! May the Living God bless you Hon. Innoocent Bashungwa. Nimebarikiwa sana kwa kuona Makazi ya Mzee wetu!!!
@PatrickSaid-zz6gf
Ай бұрын
Indeed
@anithawidambe75432 ай бұрын
BABA MAGUFULI TUTAKUKUMBUKA DAIMA MUNGU AKULAZE MAHALA PEMA PEPONI AMINA
@rukizatv14212 ай бұрын
I real like this minister!
@RobartShello-qj4vr2 ай бұрын
Haya yote tunayoyaona ni matunda j.p.m ameliacha Taifa na viongozi wenye upendo,nahuruma, bashungwa, na makonda mungu awalinde sana endeleeni nahuo moyo matunda mutayaona
@misanjolivigha23962 ай бұрын
MHE. BASHUNGWA nakupongeza sana kwa kumtembelea Mzee KIMBWEMBWE a.k.a. Mzee wa Jogoo wa Somanga- Kilwa huko mkoani Lindi.Hakika Mhe. Waziri BASHUNGWA nakuombea kwa MWENYEZI Mungu akubariki sana kwa kujitolea kutaka kumfanyia "JAMBO" la "UJENZI WA NYUMBA YA KUISHI" baba yake "RAIS".
@markmushi8940Ай бұрын
Nimependezwa sana na uyu babu mungu amtimizie ndoto zake
@user-fl3yl4or3eАй бұрын
Dah mzee yuko vizuri namkubali na Bashungwa Mwenyezi Mungu akubariki ubadilishe maisha ya huyu mzee hiyo dua sio ndogo imemfikia Mwenyezi Mungu haina unafiki wowote imetoka moyoni haswaaa
@aminaomary55672 ай бұрын
Mungu akubaliki sana mzee kwa moyo wako na Waziri safi sana. Kweli na kuku tulimuona ❤❤❤❤👍👍👍👍🙏🙏kwa kumbuka mzee huyu.
@athumanmsuya26882 ай бұрын
Mzee huyu ana upeo mkubwa angekua kijana angekua chawa mzuri sana,Kwa kweli nimependa sana,bashungwa mwambie mama nyumba itajengwa fasta
@khadijabuberwa3362
Ай бұрын
😀😀
@salhaomar53822 ай бұрын
Mjeengeeni nyumba nzuri sasa. Anajitoa kwa upendo wake
@francomwalutende78642 ай бұрын
Ni faraja sana kukumbuka wazee hawa, hongera mh, Bashungwa ubarikiwe sana
@shaban66442 ай бұрын
Hapo tumepata funzo la Subra Kwa mze wetu. Hakika Allah yupo pamoja na wenye kusubiri.
@emmanuelkivenule875
2 ай бұрын
Amen 🙏
@shababemnangwambe2137
Ай бұрын
haswa
@saranduruma7990Ай бұрын
Jmn daah Mungu akupe raha ya milele huko ulko magufuli tunakukumbuka sana
@benatusmarwa8360Ай бұрын
Damu ya Magufuli ina inatembea ndani ya vijana wake hawa. Asante Bashungwa.
@soudsoud7330Ай бұрын
Mzee wa jongoo yuko vizuri sanaa..eti tuishie hapa hapa tuombe dua sasa😂
@user-es7jx9vx4v2 ай бұрын
Hongera sana, mh waziri
@margarethpolepole74382 ай бұрын
Mungu akulaze mahali pema peponi ndugu Magufuli
@alfeshhassan41812 ай бұрын
Masha allah nmeisklza hii video hadi namhisi huyu mzee natamn angepew nyumba nzuri tu apo apo na sio kujengew tu kw sbb utachlewa ujenzi kutokana umri wake...allah amhifadh na amjaalie umri mrefu aamn ya rabbal almn❤
@jumakinonono-jj4zyАй бұрын
Hongera mzee kwamoyo mzr nimefurah sana pale uliposema nilimuomba magufuli ajenge hospital ingawa mm maisha yng sio mazur ila achana nayo
@user-ob9nu5dp1sАй бұрын
Ma shaa Allah Alhamdulillah mwenyezi mungu akuzidishie wepesi Ameen Mzee wangu
@frankthadeo1679Ай бұрын
Nafurahi sana kuona vijana wa humri wangu wakiwakilisha vema kama huyu bashungwa Mungu ampe afya njema kwa kuwakumbuka wazee
@erastokweka30102 ай бұрын
Mzee ana busara sana
@henrymruma92602 ай бұрын
Huyu mzee ni hazina ya nchi ana madini ya kutosha
@aminaomary55672 ай бұрын
❤❤ Kweli hiyo nyumba sio nyumba.Mungu akujalie waziri.👍👍🙏🙏
@mohamedlugongoАй бұрын
Mashallah mheshimiwa bashungwa Allah akuongezee palipo pungua insha-Allah 🙏🙏
@EagerBirthdayCake-zh8xbАй бұрын
Bashungwa nakupenda sanaa... Mdogo Wangu uko makini mnoo Mungu akuzidishie Inshallah.
@grationkato7658Ай бұрын
Safi sana bashungwa ndio maana nakuelewa kijana wa watu.hauna bayaaaaaa mungu akupe nguvu.
@mahendekaramadhan29482 ай бұрын
Mhe Bashungwa mwana(mzee kimbwembwe) kasema siku akitangulia mbele ya haki hakikisha unaenda kumzika , kumbuka umeweka ahadi hutakiwi kuivunja. Kwa kutekeleza ahadi hio utapata baraka zake.
@anandemungure25002 ай бұрын
Bashungwa kazi nzito mwanao kakupa itunze hiyo imepigwa muhuri tayari
@khamisshee8032 ай бұрын
MashaAllah Muheshimiwa Bashungwa ALLAH akulinde kwa kila Baya Amin Amin Amin AKA BACHUCHU MOMBASA 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-xk7vy4gb6g2 ай бұрын
Makamanda wanatafuta miwa 😅😅😅😅😅💪
@sabrinasabrina8395
Ай бұрын
Habari hawana😅
@kwisa48992 ай бұрын
Huyu mzee anaupendo sana
@frankngoloka54162 ай бұрын
Waziri Mungu akulinde ktk Wizara hii hudumu
@user-ex9sd8wm4l2 ай бұрын
Dah!!! Ninoma mzeee yuko vizuri
@JosephatMushi-ne9hn2 ай бұрын
Hizo BARAKA ulizozichota hapo Mzee kubwa mno.
@fadhilihezekiah3435
2 ай бұрын
Mno
@bryanmuoki6250Ай бұрын
Watching from Kenya. Asanteni kwa kumheshimu mzee
@user-ru6ct4rh3t2 ай бұрын
Mama Yangu Samia tambua unamajembe Yafuatayo: Jerry Silaha, Bashungwa, Biteko. Hii ni Kwa Mawaziri.Sifamu kama Kuna mawaziri wengine. Ila kama itakupendeza. Dorothy Gwajima arudi afya. Madudu ni mengi mama yangu.
@melanialeonard4031
2 ай бұрын
Bado tunao watu wema na huruma kwa jamii makonda ali hapi jerry silaa biteko majaliwa bashungwa doròthi alikuwa anajali sana MUNGU awainue zaidi katika kulitumikia taifa lenye viongozi wenye ubinafsi
@cbegram6161
2 ай бұрын
Hata yule mpina na kabudi wako fresh. Sema kabudi hatuoni mkazo wake Madini yake anaishi nayo, lakini huyu biteko namuona kama ni raisi ajaye
@JohnSebugeАй бұрын
Mama Khadija jiandae.
@evaristmakanza8305Ай бұрын
Hongera sna Mh Mashungwa kwa Moyo wako mzurii
@mandomediasolutions70452 ай бұрын
Mh Bashungwa Hongera sana
@neemareuben3112 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢nimemiss magu jaman
@gracethomas683Ай бұрын
Kimbwembwe naomba tu alete miwa watu wale jamani mpaka mzee kasema kuna makamanda huku😂😂😂
@remidusmwanandenje-yy5gsАй бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 kazi nzuli wazili, fanya kitu kwa uyu mzee itakua falaja kwa watanzania😪😪😪😪
@SalumonEustace-cl4mk2 ай бұрын
Nimeipenda sana ziara ya namna hiii Mh. Waziri pongezi kwako kwa kumtembeleaa mzee huyu na kumjulia hali nyumban kwakee na kujionea mazingra anavyoishi pamoja na familia yake.., viongozi wengine igeni mfano wa namna hiii msipite barabarani na misafara yenu hiyo haitoshii watembeleeni hata wananchi majumbani mwao mwone maisha halisi
@daudpius130Ай бұрын
Hongera sana waziri bashungwa kwa kuwakumbuka hao wazazi wetu
@BENALDKILEO2 ай бұрын
We mzee kimbwembwe umegonga palepale nilipokuwa napaona
@baloz8974
2 ай бұрын
Hebu mm sijapona kaka nifahamishe
@sonnyr18992 ай бұрын
Mze ana roho Nzuri kweli kila anapo kutana na viongozi anaombea jami na hajiombee yeye. Nimependa Mze wangu 😢😢
@mariamusaulo44292 ай бұрын
Babu amechangamka🤣🤣🤣🤣🤣
@ibrahimkasim922Ай бұрын
Kazi nzuri ❤❤
@UjenziTv_2 ай бұрын
Kazi Iendelee..
@ashooraashoora1180Ай бұрын
Amiin yarabily liallamina Allah takabalin duaa yarabiy Allah awafanyie wepes ujenz wa nyimba yake uishe kwa haraka innshaa'Allah
@anethkasaseАй бұрын
Waoo safi kuwagusa wahitaju umenena jambo la kuhusa moyo wa mzee Mungu akuwezeshe mh bashugwa
@aminaomary55672 ай бұрын
Tena daraja liwe refu na kubwa. Mama Hadija jiandaae😁😁😁👍👍❤❤
@mohammedibakiri53352 ай бұрын
Mzee anachangamka huyu manshallah
@johnmalembo64642 ай бұрын
Mzee...kibwebwe.....uko na IMANI..... MUNGU amekukumbuka Iwe heri kwako
@patrickmuvendi1422 ай бұрын
Hongera sana wazuri!
@muury9723Ай бұрын
nmeangalia nmeskia furaha sana asant sana Bashungwa
@abdull_hafidh2 ай бұрын
Huyu mzee anaroho njema sana na anaupendo na watu wake wa karbu maana pindi alipoonana na magu angeliomba ajengewe nyumba ila aliomba hospitali
@kispotm7872 ай бұрын
Maamini raisi magufuli na baba wa taifa mwalim Nyerere Bado wopo hai Bado mii
Amina. Kweli bashungwa una hekima mnoo. Na huyu mzee busara tele. Mungu atangulie kila kona. Amina.
@shabanidaruweshi-jw5jyАй бұрын
Huyu Bashungwa jamaa Mcheshi sana utadhani sio Waziri ajashtuka madaraka mungu aepushie mbali ata kama anakua uraiani anaweza kusavaival safi sana
@geofreythomasi27102 ай бұрын
Swahiba wangu kimbwembwe usinisahau Jamaa yangu
@Juliusmganga47342 ай бұрын
Mheshimiwa Bashungwa ni kiongozi wa aina yake, ana unyenyekevu wa hali ya juu, hana majivuno, haweki cheo mbele. Ubinadamu uko mbele. Mungu amjalie uzima, hekima na uzima.
@eliambowe2576Ай бұрын
Mama dija jiandae ❤
@user-wq8kw7wb1n2 ай бұрын
Hongera waziri
@ISSA-up3zq2 ай бұрын
Amina
@emiryfaida2437Ай бұрын
Nimeipenda story hii
@husseinmkanga77942 ай бұрын
Ndio mjue hela mnazoiba muone hayo ndio maisha wanayoishi watanzania. Acheni wizi kuweni waadirifu.
@user133752 ай бұрын
Si vyema ,tukawa tunafurahia uhuru wa inchi hii mbila kukumbuka mikoa na maeneo yaliyo pigania uhuru kama vita vya majimaji maeneo hayo yanahitaji kuboreshwa sana.
@mbwanarajab7238Ай бұрын
Wazalendo wanabaki kuwa masikini na wenye dhamana wanatoa ili warudi madarakani waendelee kutawala
@user-br7sf6ey9tАй бұрын
Mungu akutunze daima milere mweshimiwa kaka angu bashungwa umetenda vizuri sana
@Allyhujjat2 ай бұрын
Mungu akuzidishie waziri bushungwa umefanya kitendo cha kiungwana sana na mzee mbwembwe ni mmoja wa wazee wenye busara sana mungu akuweke inshala ntafunga safari kuja kukusalimia kunako na majaaliwa sisemi lini lkn ntakjja inshala
@machasofficialsite6221Ай бұрын
Mzee wangu ni mcheshi mno mzee wa somanga....hongera sana
@StelaJohn-nj5yfАй бұрын
R. I. P Papa Magufuli
@nelsabugo3613Ай бұрын
Bashungwa Mungu akubariki
@neemareuben3112 ай бұрын
I love you bashungwaaaa❤❤❤❤
@tatutumbi4640Ай бұрын
Mungu akupe mema mengi Mh. Bashungwa.
@user-ek8bh6xb2iАй бұрын
Mungu akujaze kher inshaallah
@shahaupunda301Ай бұрын
Mzee anajuwa history cna nikweli vita ya majimaji haikuanza songea ilianza kibata tarafa ya kipatimu
@rayisadesigns2646
Ай бұрын
Mzee Kimbwembwe anafahamu vizuri historia ya hivyo vita kwa sababu ilianza maeneo hayo hayo ya Kilwa wanapoishi na mababu zao ndiyo walioianziaha hiyo vita. Cha kusikitisha wajanja wachache wamebadilisha historia kwa kuandika uongo eti imeanza Songea jambo ambalo sio kweli. Vita iliratibiwa Kibata na chokochoko ya kumuinguza vitani mjerumani waliianzishia Somanga maeneo ya Simu kwa kufyeka mashamba yao ya pilipili na pamba na kuwaua askari wa kijerumani hapo Somanga kwenye boma lao ndipo wajerumani wakakasirika wakatuma jeshi na mapigano yakaanza rasmi na kuenea kusini kote hadi Songea na maeneo ya mkoa wa Pwani na Morogoro.
@moristumain8599Ай бұрын
Huwa napenda sana jinsi huyu Waziri anavyopiga stori na wananchi
@paschalpaul38622 ай бұрын
Hapo sawa
@soloartist_ivanvespalusind1609Ай бұрын
Kama huyu waziri atakuwa mzalendo daima, Mungu nafasi kubwa sana hapo baadae. Namkubali sana
@MwesigePoul-bg4jd2 ай бұрын
Bashungwa unafaa kuwaraisi watanzania huu niuzalendo kula chakula naawa wazee nifulaa kwaawa masikini ccm oyeeeee
Пікірлер: 202
Mh bashungwa hongera sana,kwa kumkumbuka huyo mzee , mungu akubariki sana
Ety katamiwa mingi lete hapa😂😂😂 very humble na ndo utanzania wety haswa😂
Nitafurahi sana huyu mzee akijengewa nyumba ana moyo wa kipekee sana
Mhe. Bashungwa Mungu akubariki sana. I am so overwhelmed indeed. Ukigusa maisha ya wahitaji basi Mungu naye hushughulika na maisha yako pia. Glory to God 🙏
@boscokikoti
Ай бұрын
Bashungwa anafaa kuwa raisi baada ya mama Samia kumaliza muda wake
@gracethomas683
Ай бұрын
Na haonekani kama anaigiza yupo real ndo nachompendea hapo…..
Mh.Bashungwa Tunza hiyohekima ambayo mwenyezi Mungu kakutunuku. Ubarikiwe sana, na abarikiwe Mh.Dr.Samia Suluhu Hssan kwa kukuteua kuwa waziri.
Mh. Bashungwa na Mzee wa Jogoo Hongereni sana. Mnasaidia sana kutuunganisha wananchi na serikali yetu. Mh. Bashungwa Mungu azidi kukulinda, na kukuongezea hekima na busara katika utendaji wako.
Aaaah aaah! Mama adija jiandae 😂😂😂.Huyu Mzee namkubali sana muongeaji na mcheshi. Lakini wafanye mpango wamuwezeshe mzee hata basi wamjengee nyumba nzuri hata ya chumba kimoja maana anajari sana maendeleo ya wengi kuliko ya kwake mwenyewe.Mungu amjalie sana mzee na mtani wangu Waziri Bashungwa 🎉🎉🎉
Mzeee Mwenyezi Mungu akutunze mno ,japo una cacomedy ndani nimekupenda mama Amina imba kdg hapo
@jaffjeff6912
Ай бұрын
😂mama Khadija jiandae
Alhamdulilah 🙏 Kuna watu Wana roho na wamezaliwa na vizazi vya Mungu na sio vya nyoka! Hongera sana waziri kwa kujali Hali za watu wengine!
🇹🇿Yeah!kazi nzuri mhe.waziri hongera sana tuendelee kuijenga Tanzania kila kona ipendeze.
Mzee mstalabu sana ❤ muenyezi Mungu akulinde kuakila jambo
Mzee mchesh ady raha me nimependa sana mama adija jiandae
Mama Khadija jiaandaee😂😂
Tuna watu wazuri sana katika hili Taifa ila wamefungwa mikono!!! May the Living God bless you Hon. Innoocent Bashungwa. Nimebarikiwa sana kwa kuona Makazi ya Mzee wetu!!!
@PatrickSaid-zz6gf
Ай бұрын
Indeed
BABA MAGUFULI TUTAKUKUMBUKA DAIMA MUNGU AKULAZE MAHALA PEMA PEPONI AMINA
I real like this minister!
Haya yote tunayoyaona ni matunda j.p.m ameliacha Taifa na viongozi wenye upendo,nahuruma, bashungwa, na makonda mungu awalinde sana endeleeni nahuo moyo matunda mutayaona
MHE. BASHUNGWA nakupongeza sana kwa kumtembelea Mzee KIMBWEMBWE a.k.a. Mzee wa Jogoo wa Somanga- Kilwa huko mkoani Lindi.Hakika Mhe. Waziri BASHUNGWA nakuombea kwa MWENYEZI Mungu akubariki sana kwa kujitolea kutaka kumfanyia "JAMBO" la "UJENZI WA NYUMBA YA KUISHI" baba yake "RAIS".
Nimependezwa sana na uyu babu mungu amtimizie ndoto zake
Dah mzee yuko vizuri namkubali na Bashungwa Mwenyezi Mungu akubariki ubadilishe maisha ya huyu mzee hiyo dua sio ndogo imemfikia Mwenyezi Mungu haina unafiki wowote imetoka moyoni haswaaa
Mungu akubaliki sana mzee kwa moyo wako na Waziri safi sana. Kweli na kuku tulimuona ❤❤❤❤👍👍👍👍🙏🙏kwa kumbuka mzee huyu.
Mzee huyu ana upeo mkubwa angekua kijana angekua chawa mzuri sana,Kwa kweli nimependa sana,bashungwa mwambie mama nyumba itajengwa fasta
@khadijabuberwa3362
Ай бұрын
😀😀
Mjeengeeni nyumba nzuri sasa. Anajitoa kwa upendo wake
Ni faraja sana kukumbuka wazee hawa, hongera mh, Bashungwa ubarikiwe sana
Hapo tumepata funzo la Subra Kwa mze wetu. Hakika Allah yupo pamoja na wenye kusubiri.
@emmanuelkivenule875
2 ай бұрын
Amen 🙏
@shababemnangwambe2137
Ай бұрын
haswa
Jmn daah Mungu akupe raha ya milele huko ulko magufuli tunakukumbuka sana
Damu ya Magufuli ina inatembea ndani ya vijana wake hawa. Asante Bashungwa.
Mzee wa jongoo yuko vizuri sanaa..eti tuishie hapa hapa tuombe dua sasa😂
Hongera sana, mh waziri
Mungu akulaze mahali pema peponi ndugu Magufuli
Masha allah nmeisklza hii video hadi namhisi huyu mzee natamn angepew nyumba nzuri tu apo apo na sio kujengew tu kw sbb utachlewa ujenzi kutokana umri wake...allah amhifadh na amjaalie umri mrefu aamn ya rabbal almn❤
Hongera mzee kwamoyo mzr nimefurah sana pale uliposema nilimuomba magufuli ajenge hospital ingawa mm maisha yng sio mazur ila achana nayo
Ma shaa Allah Alhamdulillah mwenyezi mungu akuzidishie wepesi Ameen Mzee wangu
Nafurahi sana kuona vijana wa humri wangu wakiwakilisha vema kama huyu bashungwa Mungu ampe afya njema kwa kuwakumbuka wazee
Mzee ana busara sana
Huyu mzee ni hazina ya nchi ana madini ya kutosha
❤❤ Kweli hiyo nyumba sio nyumba.Mungu akujalie waziri.👍👍🙏🙏
Mashallah mheshimiwa bashungwa Allah akuongezee palipo pungua insha-Allah 🙏🙏
Bashungwa nakupenda sanaa... Mdogo Wangu uko makini mnoo Mungu akuzidishie Inshallah.
Safi sana bashungwa ndio maana nakuelewa kijana wa watu.hauna bayaaaaaa mungu akupe nguvu.
Mhe Bashungwa mwana(mzee kimbwembwe) kasema siku akitangulia mbele ya haki hakikisha unaenda kumzika , kumbuka umeweka ahadi hutakiwi kuivunja. Kwa kutekeleza ahadi hio utapata baraka zake.
Bashungwa kazi nzito mwanao kakupa itunze hiyo imepigwa muhuri tayari
MashaAllah Muheshimiwa Bashungwa ALLAH akulinde kwa kila Baya Amin Amin Amin AKA BACHUCHU MOMBASA 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Makamanda wanatafuta miwa 😅😅😅😅😅💪
@sabrinasabrina8395
Ай бұрын
Habari hawana😅
Huyu mzee anaupendo sana
Waziri Mungu akulinde ktk Wizara hii hudumu
Dah!!! Ninoma mzeee yuko vizuri
Hizo BARAKA ulizozichota hapo Mzee kubwa mno.
@fadhilihezekiah3435
2 ай бұрын
Mno
Watching from Kenya. Asanteni kwa kumheshimu mzee
Mama Yangu Samia tambua unamajembe Yafuatayo: Jerry Silaha, Bashungwa, Biteko. Hii ni Kwa Mawaziri.Sifamu kama Kuna mawaziri wengine. Ila kama itakupendeza. Dorothy Gwajima arudi afya. Madudu ni mengi mama yangu.
@melanialeonard4031
2 ай бұрын
Bado tunao watu wema na huruma kwa jamii makonda ali hapi jerry silaa biteko majaliwa bashungwa doròthi alikuwa anajali sana MUNGU awainue zaidi katika kulitumikia taifa lenye viongozi wenye ubinafsi
@cbegram6161
2 ай бұрын
Hata yule mpina na kabudi wako fresh. Sema kabudi hatuoni mkazo wake Madini yake anaishi nayo, lakini huyu biteko namuona kama ni raisi ajaye
Mama Khadija jiandae.
Hongera sna Mh Mashungwa kwa Moyo wako mzurii
Mh Bashungwa Hongera sana
😢😢😢😢😢😢😢😢nimemiss magu jaman
Kimbwembwe naomba tu alete miwa watu wale jamani mpaka mzee kasema kuna makamanda huku😂😂😂
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 kazi nzuli wazili, fanya kitu kwa uyu mzee itakua falaja kwa watanzania😪😪😪😪
Nimeipenda sana ziara ya namna hiii Mh. Waziri pongezi kwako kwa kumtembeleaa mzee huyu na kumjulia hali nyumban kwakee na kujionea mazingra anavyoishi pamoja na familia yake.., viongozi wengine igeni mfano wa namna hiii msipite barabarani na misafara yenu hiyo haitoshii watembeleeni hata wananchi majumbani mwao mwone maisha halisi
Hongera sana waziri bashungwa kwa kuwakumbuka hao wazazi wetu
We mzee kimbwembwe umegonga palepale nilipokuwa napaona
@baloz8974
2 ай бұрын
Hebu mm sijapona kaka nifahamishe
Mze ana roho Nzuri kweli kila anapo kutana na viongozi anaombea jami na hajiombee yeye. Nimependa Mze wangu 😢😢
Babu amechangamka🤣🤣🤣🤣🤣
Kazi nzuri ❤❤
Kazi Iendelee..
Amiin yarabily liallamina Allah takabalin duaa yarabiy Allah awafanyie wepes ujenz wa nyimba yake uishe kwa haraka innshaa'Allah
Waoo safi kuwagusa wahitaju umenena jambo la kuhusa moyo wa mzee Mungu akuwezeshe mh bashugwa
Tena daraja liwe refu na kubwa. Mama Hadija jiandaae😁😁😁👍👍❤❤
Mzee anachangamka huyu manshallah
Mzee...kibwebwe.....uko na IMANI..... MUNGU amekukumbuka Iwe heri kwako
Hongera sana wazuri!
nmeangalia nmeskia furaha sana asant sana Bashungwa
Huyu mzee anaroho njema sana na anaupendo na watu wake wa karbu maana pindi alipoonana na magu angeliomba ajengewe nyumba ila aliomba hospitali
Maamini raisi magufuli na baba wa taifa mwalim Nyerere Bado wopo hai Bado mii
Good job waziri
mzee anasema ulijuaje mama adija jiandae 😅😅😅
Mjengeeni nyumba huyo ni historia tayari
@salummussa1139
2 ай бұрын
Ni kweli
Omukama akwebembele, kumkumbuka huyo Mzee. Mbarikiwe sanaaaa
Amina. Kweli bashungwa una hekima mnoo. Na huyu mzee busara tele. Mungu atangulie kila kona. Amina.
Huyu Bashungwa jamaa Mcheshi sana utadhani sio Waziri ajashtuka madaraka mungu aepushie mbali ata kama anakua uraiani anaweza kusavaival safi sana
Swahiba wangu kimbwembwe usinisahau Jamaa yangu
Mheshimiwa Bashungwa ni kiongozi wa aina yake, ana unyenyekevu wa hali ya juu, hana majivuno, haweki cheo mbele. Ubinadamu uko mbele. Mungu amjalie uzima, hekima na uzima.
Mama dija jiandae ❤
Hongera waziri
Amina
Nimeipenda story hii
Ndio mjue hela mnazoiba muone hayo ndio maisha wanayoishi watanzania. Acheni wizi kuweni waadirifu.
Si vyema ,tukawa tunafurahia uhuru wa inchi hii mbila kukumbuka mikoa na maeneo yaliyo pigania uhuru kama vita vya majimaji maeneo hayo yanahitaji kuboreshwa sana.
Wazalendo wanabaki kuwa masikini na wenye dhamana wanatoa ili warudi madarakani waendelee kutawala
Mungu akutunze daima milere mweshimiwa kaka angu bashungwa umetenda vizuri sana
Mungu akuzidishie waziri bushungwa umefanya kitendo cha kiungwana sana na mzee mbwembwe ni mmoja wa wazee wenye busara sana mungu akuweke inshala ntafunga safari kuja kukusalimia kunako na majaaliwa sisemi lini lkn ntakjja inshala
Mzee wangu ni mcheshi mno mzee wa somanga....hongera sana
R. I. P Papa Magufuli
Bashungwa Mungu akubariki
I love you bashungwaaaa❤❤❤❤
Mungu akupe mema mengi Mh. Bashungwa.
Mungu akujaze kher inshaallah
Mzee anajuwa history cna nikweli vita ya majimaji haikuanza songea ilianza kibata tarafa ya kipatimu
@rayisadesigns2646
Ай бұрын
Mzee Kimbwembwe anafahamu vizuri historia ya hivyo vita kwa sababu ilianza maeneo hayo hayo ya Kilwa wanapoishi na mababu zao ndiyo walioianziaha hiyo vita. Cha kusikitisha wajanja wachache wamebadilisha historia kwa kuandika uongo eti imeanza Songea jambo ambalo sio kweli. Vita iliratibiwa Kibata na chokochoko ya kumuinguza vitani mjerumani waliianzishia Somanga maeneo ya Simu kwa kufyeka mashamba yao ya pilipili na pamba na kuwaua askari wa kijerumani hapo Somanga kwenye boma lao ndipo wajerumani wakakasirika wakatuma jeshi na mapigano yakaanza rasmi na kuenea kusini kote hadi Songea na maeneo ya mkoa wa Pwani na Morogoro.
Huwa napenda sana jinsi huyu Waziri anavyopiga stori na wananchi
Hapo sawa
Kama huyu waziri atakuwa mzalendo daima, Mungu nafasi kubwa sana hapo baadae. Namkubali sana
Bashungwa unafaa kuwaraisi watanzania huu niuzalendo kula chakula naawa wazee nifulaa kwaawa masikini ccm oyeeeee