WAZIRI BASHUNGWA ATINGA NYUMBANI KWA MZEE ALIYEMPA MAGUFULI KUKU "ALISEMA NIKAMUOE MAMA YAKE"

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 202

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba9982 ай бұрын

    Mh bashungwa hongera sana,kwa kumkumbuka huyo mzee , mungu akubariki sana

  • @tyivbra
    @tyivbra2 ай бұрын

    Ety katamiwa mingi lete hapa😂😂😂 very humble na ndo utanzania wety haswa😂

  • @andrewmagwila1602
    @andrewmagwila16022 ай бұрын

    Nitafurahi sana huyu mzee akijengewa nyumba ana moyo wa kipekee sana

  • @anandemungure2500
    @anandemungure25002 ай бұрын

    Mhe. Bashungwa Mungu akubariki sana. I am so overwhelmed indeed. Ukigusa maisha ya wahitaji basi Mungu naye hushughulika na maisha yako pia. Glory to God 🙏

  • @boscokikoti

    @boscokikoti

    Ай бұрын

    Bashungwa anafaa kuwa raisi baada ya mama Samia kumaliza muda wake

  • @gracethomas683

    @gracethomas683

    Ай бұрын

    Na haonekani kama anaigiza yupo real ndo nachompendea hapo…..

  • @user-fk4st8qj2k
    @user-fk4st8qj2k2 ай бұрын

    Mh.Bashungwa Tunza hiyohekima ambayo mwenyezi Mungu kakutunuku. Ubarikiwe sana, na abarikiwe Mh.Dr.Samia Suluhu Hssan kwa kukuteua kuwa waziri.

  • @kinasaba
    @kinasaba2 ай бұрын

    Mh. Bashungwa na Mzee wa Jogoo Hongereni sana. Mnasaidia sana kutuunganisha wananchi na serikali yetu. Mh. Bashungwa Mungu azidi kukulinda, na kukuongezea hekima na busara katika utendaji wako.

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho2 ай бұрын

    Aaaah aaah! Mama adija jiandae 😂😂😂.Huyu Mzee namkubali sana muongeaji na mcheshi. Lakini wafanye mpango wamuwezeshe mzee hata basi wamjengee nyumba nzuri hata ya chumba kimoja maana anajari sana maendeleo ya wengi kuliko ya kwake mwenyewe.Mungu amjalie sana mzee na mtani wangu Waziri Bashungwa 🎉🎉🎉

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim27942 ай бұрын

    Mzeee Mwenyezi Mungu akutunze mno ,japo una cacomedy ndani nimekupenda mama Amina imba kdg hapo

  • @jaffjeff6912

    @jaffjeff6912

    Ай бұрын

    😂mama Khadija jiandae

  • @Ashrey82
    @Ashrey82Ай бұрын

    Alhamdulilah 🙏 Kuna watu Wana roho na wamezaliwa na vizazi vya Mungu na sio vya nyoka! Hongera sana waziri kwa kujali Hali za watu wengine!

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi59852 ай бұрын

    🇹🇿Yeah!kazi nzuri mhe.waziri hongera sana tuendelee kuijenga Tanzania kila kona ipendeze.

  • @patrickndizeye2190
    @patrickndizeye21902 ай бұрын

    Mzee mstalabu sana ❤ muenyezi Mungu akulinde kuakila jambo

  • @user-ye4qx9py6x
    @user-ye4qx9py6xАй бұрын

    Mzee mchesh ady raha me nimependa sana mama adija jiandae

  • @stephanojmafumbira5369
    @stephanojmafumbira5369Ай бұрын

    Mama Khadija jiaandaee😂😂

  • @christfamilychurch-cfctanz4270
    @christfamilychurch-cfctanz4270Ай бұрын

    Tuna watu wazuri sana katika hili Taifa ila wamefungwa mikono!!! May the Living God bless you Hon. Innoocent Bashungwa. Nimebarikiwa sana kwa kuona Makazi ya Mzee wetu!!!

  • @PatrickSaid-zz6gf

    @PatrickSaid-zz6gf

    Ай бұрын

    Indeed

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe75432 ай бұрын

    BABA MAGUFULI TUTAKUKUMBUKA DAIMA MUNGU AKULAZE MAHALA PEMA PEPONI AMINA

  • @rukizatv1421
    @rukizatv14212 ай бұрын

    I real like this minister!

  • @RobartShello-qj4vr
    @RobartShello-qj4vr2 ай бұрын

    Haya yote tunayoyaona ni matunda j.p.m ameliacha Taifa na viongozi wenye upendo,nahuruma, bashungwa, na makonda mungu awalinde sana endeleeni nahuo moyo matunda mutayaona

  • @misanjolivigha2396
    @misanjolivigha23962 ай бұрын

    MHE. BASHUNGWA nakupongeza sana kwa kumtembelea Mzee KIMBWEMBWE a.k.a. Mzee wa Jogoo wa Somanga- Kilwa huko mkoani Lindi.Hakika Mhe. Waziri BASHUNGWA nakuombea kwa MWENYEZI Mungu akubariki sana kwa kujitolea kutaka kumfanyia "JAMBO" la "UJENZI WA NYUMBA YA KUISHI" baba yake "RAIS".

  • @markmushi8940
    @markmushi8940Ай бұрын

    Nimependezwa sana na uyu babu mungu amtimizie ndoto zake

  • @user-fl3yl4or3e
    @user-fl3yl4or3eАй бұрын

    Dah mzee yuko vizuri namkubali na Bashungwa Mwenyezi Mungu akubariki ubadilishe maisha ya huyu mzee hiyo dua sio ndogo imemfikia Mwenyezi Mungu haina unafiki wowote imetoka moyoni haswaaa

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55672 ай бұрын

    Mungu akubaliki sana mzee kwa moyo wako na Waziri safi sana. Kweli na kuku tulimuona ❤❤❤❤👍👍👍👍🙏🙏kwa kumbuka mzee huyu.

  • @athumanmsuya2688
    @athumanmsuya26882 ай бұрын

    Mzee huyu ana upeo mkubwa angekua kijana angekua chawa mzuri sana,Kwa kweli nimependa sana,bashungwa mwambie mama nyumba itajengwa fasta

  • @khadijabuberwa3362

    @khadijabuberwa3362

    Ай бұрын

    😀😀

  • @salhaomar5382
    @salhaomar53822 ай бұрын

    Mjeengeeni nyumba nzuri sasa. Anajitoa kwa upendo wake

  • @francomwalutende7864
    @francomwalutende78642 ай бұрын

    Ni faraja sana kukumbuka wazee hawa, hongera mh, Bashungwa ubarikiwe sana

  • @shaban6644
    @shaban66442 ай бұрын

    Hapo tumepata funzo la Subra Kwa mze wetu. Hakika Allah yupo pamoja na wenye kusubiri.

  • @emmanuelkivenule875

    @emmanuelkivenule875

    2 ай бұрын

    Amen 🙏

  • @shababemnangwambe2137

    @shababemnangwambe2137

    Ай бұрын

    haswa

  • @saranduruma7990
    @saranduruma7990Ай бұрын

    Jmn daah Mungu akupe raha ya milele huko ulko magufuli tunakukumbuka sana

  • @benatusmarwa8360
    @benatusmarwa8360Ай бұрын

    Damu ya Magufuli ina inatembea ndani ya vijana wake hawa. Asante Bashungwa.

  • @soudsoud7330
    @soudsoud7330Ай бұрын

    Mzee wa jongoo yuko vizuri sanaa..eti tuishie hapa hapa tuombe dua sasa😂

  • @user-es7jx9vx4v
    @user-es7jx9vx4v2 ай бұрын

    Hongera sana, mh waziri

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74382 ай бұрын

    Mungu akulaze mahali pema peponi ndugu Magufuli

  • @alfeshhassan4181
    @alfeshhassan41812 ай бұрын

    Masha allah nmeisklza hii video hadi namhisi huyu mzee natamn angepew nyumba nzuri tu apo apo na sio kujengew tu kw sbb utachlewa ujenzi kutokana umri wake...allah amhifadh na amjaalie umri mrefu aamn ya rabbal almn❤

  • @jumakinonono-jj4zy
    @jumakinonono-jj4zyАй бұрын

    Hongera mzee kwamoyo mzr nimefurah sana pale uliposema nilimuomba magufuli ajenge hospital ingawa mm maisha yng sio mazur ila achana nayo

  • @user-ob9nu5dp1s
    @user-ob9nu5dp1sАй бұрын

    Ma shaa Allah Alhamdulillah mwenyezi mungu akuzidishie wepesi Ameen Mzee wangu

  • @frankthadeo1679
    @frankthadeo1679Ай бұрын

    Nafurahi sana kuona vijana wa humri wangu wakiwakilisha vema kama huyu bashungwa Mungu ampe afya njema kwa kuwakumbuka wazee

  • @erastokweka3010
    @erastokweka30102 ай бұрын

    Mzee ana busara sana

  • @henrymruma9260
    @henrymruma92602 ай бұрын

    Huyu mzee ni hazina ya nchi ana madini ya kutosha

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55672 ай бұрын

    ❤❤ Kweli hiyo nyumba sio nyumba.Mungu akujalie waziri.👍👍🙏🙏

  • @mohamedlugongo
    @mohamedlugongoАй бұрын

    Mashallah mheshimiwa bashungwa Allah akuongezee palipo pungua insha-Allah 🙏🙏

  • @EagerBirthdayCake-zh8xb
    @EagerBirthdayCake-zh8xbАй бұрын

    Bashungwa nakupenda sanaa... Mdogo Wangu uko makini mnoo Mungu akuzidishie Inshallah.

  • @grationkato7658
    @grationkato7658Ай бұрын

    Safi sana bashungwa ndio maana nakuelewa kijana wa watu.hauna bayaaaaaa mungu akupe nguvu.

  • @mahendekaramadhan2948
    @mahendekaramadhan29482 ай бұрын

    Mhe Bashungwa mwana(mzee kimbwembwe) kasema siku akitangulia mbele ya haki hakikisha unaenda kumzika , kumbuka umeweka ahadi hutakiwi kuivunja. Kwa kutekeleza ahadi hio utapata baraka zake.

  • @anandemungure2500
    @anandemungure25002 ай бұрын

    Bashungwa kazi nzito mwanao kakupa itunze hiyo imepigwa muhuri tayari

  • @khamisshee803
    @khamisshee8032 ай бұрын

    MashaAllah Muheshimiwa Bashungwa ALLAH akulinde kwa kila Baya Amin Amin Amin AKA BACHUCHU MOMBASA 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g2 ай бұрын

    Makamanda wanatafuta miwa 😅😅😅😅😅💪

  • @sabrinasabrina8395

    @sabrinasabrina8395

    Ай бұрын

    Habari hawana😅

  • @kwisa4899
    @kwisa48992 ай бұрын

    Huyu mzee anaupendo sana

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka54162 ай бұрын

    Waziri Mungu akulinde ktk Wizara hii hudumu

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l2 ай бұрын

    Dah!!! Ninoma mzeee yuko vizuri

  • @JosephatMushi-ne9hn
    @JosephatMushi-ne9hn2 ай бұрын

    Hizo BARAKA ulizozichota hapo Mzee kubwa mno.

  • @fadhilihezekiah3435

    @fadhilihezekiah3435

    2 ай бұрын

    Mno

  • @bryanmuoki6250
    @bryanmuoki6250Ай бұрын

    Watching from Kenya. Asanteni kwa kumheshimu mzee

  • @user-ru6ct4rh3t
    @user-ru6ct4rh3t2 ай бұрын

    Mama Yangu Samia tambua unamajembe Yafuatayo: Jerry Silaha, Bashungwa, Biteko. Hii ni Kwa Mawaziri.Sifamu kama Kuna mawaziri wengine. Ila kama itakupendeza. Dorothy Gwajima arudi afya. Madudu ni mengi mama yangu.

  • @melanialeonard4031

    @melanialeonard4031

    2 ай бұрын

    Bado tunao watu wema na huruma kwa jamii makonda ali hapi jerry silaa biteko majaliwa bashungwa doròthi alikuwa anajali sana MUNGU awainue zaidi katika kulitumikia taifa lenye viongozi wenye ubinafsi

  • @cbegram6161

    @cbegram6161

    2 ай бұрын

    Hata yule mpina na kabudi wako fresh. Sema kabudi hatuoni mkazo wake Madini yake anaishi nayo, lakini huyu biteko namuona kama ni raisi ajaye

  • @JohnSebuge
    @JohnSebugeАй бұрын

    Mama Khadija jiandae.

  • @evaristmakanza8305
    @evaristmakanza8305Ай бұрын

    Hongera sna Mh Mashungwa kwa Moyo wako mzurii

  • @mandomediasolutions7045
    @mandomediasolutions70452 ай бұрын

    Mh Bashungwa Hongera sana

  • @neemareuben311
    @neemareuben3112 ай бұрын

    😢😢😢😢😢😢😢😢nimemiss magu jaman

  • @gracethomas683
    @gracethomas683Ай бұрын

    Kimbwembwe naomba tu alete miwa watu wale jamani mpaka mzee kasema kuna makamanda huku😂😂😂

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gsАй бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 kazi nzuli wazili, fanya kitu kwa uyu mzee itakua falaja kwa watanzania😪😪😪😪

  • @SalumonEustace-cl4mk
    @SalumonEustace-cl4mk2 ай бұрын

    Nimeipenda sana ziara ya namna hiii Mh. Waziri pongezi kwako kwa kumtembeleaa mzee huyu na kumjulia hali nyumban kwakee na kujionea mazingra anavyoishi pamoja na familia yake.., viongozi wengine igeni mfano wa namna hiii msipite barabarani na misafara yenu hiyo haitoshii watembeleeni hata wananchi majumbani mwao mwone maisha halisi

  • @daudpius130
    @daudpius130Ай бұрын

    Hongera sana waziri bashungwa kwa kuwakumbuka hao wazazi wetu

  • @BENALDKILEO
    @BENALDKILEO2 ай бұрын

    We mzee kimbwembwe umegonga palepale nilipokuwa napaona

  • @baloz8974

    @baloz8974

    2 ай бұрын

    Hebu mm sijapona kaka nifahamishe

  • @sonnyr1899
    @sonnyr18992 ай бұрын

    Mze ana roho Nzuri kweli kila anapo kutana na viongozi anaombea jami na hajiombee yeye. Nimependa Mze wangu 😢😢

  • @mariamusaulo4429
    @mariamusaulo44292 ай бұрын

    Babu amechangamka🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ibrahimkasim922
    @ibrahimkasim922Ай бұрын

    Kazi nzuri ❤❤

  • @UjenziTv_
    @UjenziTv_2 ай бұрын

    Kazi Iendelee..

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180Ай бұрын

    Amiin yarabily liallamina Allah takabalin duaa yarabiy Allah awafanyie wepes ujenz wa nyimba yake uishe kwa haraka innshaa'Allah

  • @anethkasase
    @anethkasaseАй бұрын

    Waoo safi kuwagusa wahitaju umenena jambo la kuhusa moyo wa mzee Mungu akuwezeshe mh bashugwa

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55672 ай бұрын

    Tena daraja liwe refu na kubwa. Mama Hadija jiandaae😁😁😁👍👍❤❤

  • @mohammedibakiri5335
    @mohammedibakiri53352 ай бұрын

    Mzee anachangamka huyu manshallah

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo64642 ай бұрын

    Mzee...kibwebwe.....uko na IMANI..... MUNGU amekukumbuka Iwe heri kwako

  • @patrickmuvendi142
    @patrickmuvendi1422 ай бұрын

    Hongera sana wazuri!

  • @muury9723
    @muury9723Ай бұрын

    nmeangalia nmeskia furaha sana asant sana Bashungwa

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh2 ай бұрын

    Huyu mzee anaroho njema sana na anaupendo na watu wake wa karbu maana pindi alipoonana na magu angeliomba ajengewe nyumba ila aliomba hospitali

  • @kispotm787
    @kispotm7872 ай бұрын

    Maamini raisi magufuli na baba wa taifa mwalim Nyerere Bado wopo hai Bado mii

  • @user-ng9ps3lo4u
    @user-ng9ps3lo4uАй бұрын

    Good job waziri

  • @abdullahmhina2207
    @abdullahmhina22072 ай бұрын

    mzee anasema ulijuaje mama adija jiandae 😅😅😅

  • @Veni584
    @Veni5842 ай бұрын

    Mjengeeni nyumba huyo ni historia tayari

  • @salummussa1139

    @salummussa1139

    2 ай бұрын

    Ni kweli

  • @sarahkadugu4367
    @sarahkadugu43672 ай бұрын

    Omukama akwebembele, kumkumbuka huyo Mzee. Mbarikiwe sanaaaa

  • @anselmimarandu2293
    @anselmimarandu22932 ай бұрын

    Amina. Kweli bashungwa una hekima mnoo. Na huyu mzee busara tele. Mungu atangulie kila kona. Amina.

  • @shabanidaruweshi-jw5jy
    @shabanidaruweshi-jw5jyАй бұрын

    Huyu Bashungwa jamaa Mcheshi sana utadhani sio Waziri ajashtuka madaraka mungu aepushie mbali ata kama anakua uraiani anaweza kusavaival safi sana

  • @geofreythomasi2710
    @geofreythomasi27102 ай бұрын

    Swahiba wangu kimbwembwe usinisahau Jamaa yangu

  • @Juliusmganga4734
    @Juliusmganga47342 ай бұрын

    Mheshimiwa Bashungwa ni kiongozi wa aina yake, ana unyenyekevu wa hali ya juu, hana majivuno, haweki cheo mbele. Ubinadamu uko mbele. Mungu amjalie uzima, hekima na uzima.

  • @eliambowe2576
    @eliambowe2576Ай бұрын

    Mama dija jiandae ❤

  • @user-wq8kw7wb1n
    @user-wq8kw7wb1n2 ай бұрын

    Hongera waziri

  • @ISSA-up3zq
    @ISSA-up3zq2 ай бұрын

    Amina

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437Ай бұрын

    Nimeipenda story hii

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga77942 ай бұрын

    Ndio mjue hela mnazoiba muone hayo ndio maisha wanayoishi watanzania. Acheni wizi kuweni waadirifu.

  • @user13375
    @user133752 ай бұрын

    Si vyema ,tukawa tunafurahia uhuru wa inchi hii mbila kukumbuka mikoa na maeneo yaliyo pigania uhuru kama vita vya majimaji maeneo hayo yanahitaji kuboreshwa sana.

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238Ай бұрын

    Wazalendo wanabaki kuwa masikini na wenye dhamana wanatoa ili warudi madarakani waendelee kutawala

  • @user-br7sf6ey9t
    @user-br7sf6ey9tАй бұрын

    Mungu akutunze daima milere mweshimiwa kaka angu bashungwa umetenda vizuri sana

  • @Allyhujjat
    @Allyhujjat2 ай бұрын

    Mungu akuzidishie waziri bushungwa umefanya kitendo cha kiungwana sana na mzee mbwembwe ni mmoja wa wazee wenye busara sana mungu akuweke inshala ntafunga safari kuja kukusalimia kunako na majaaliwa sisemi lini lkn ntakjja inshala

  • @machasofficialsite6221
    @machasofficialsite6221Ай бұрын

    Mzee wangu ni mcheshi mno mzee wa somanga....hongera sana

  • @StelaJohn-nj5yf
    @StelaJohn-nj5yfАй бұрын

    R. I. P Papa Magufuli

  • @nelsabugo3613
    @nelsabugo3613Ай бұрын

    Bashungwa Mungu akubariki

  • @neemareuben311
    @neemareuben3112 ай бұрын

    I love you bashungwaaaa❤❤❤❤

  • @tatutumbi4640
    @tatutumbi4640Ай бұрын

    Mungu akupe mema mengi Mh. Bashungwa.

  • @user-ek8bh6xb2i
    @user-ek8bh6xb2iАй бұрын

    Mungu akujaze kher inshaallah

  • @shahaupunda301
    @shahaupunda301Ай бұрын

    Mzee anajuwa history cna nikweli vita ya majimaji haikuanza songea ilianza kibata tarafa ya kipatimu

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    Ай бұрын

    Mzee Kimbwembwe anafahamu vizuri historia ya hivyo vita kwa sababu ilianza maeneo hayo hayo ya Kilwa wanapoishi na mababu zao ndiyo walioianziaha hiyo vita. Cha kusikitisha wajanja wachache wamebadilisha historia kwa kuandika uongo eti imeanza Songea jambo ambalo sio kweli. Vita iliratibiwa Kibata na chokochoko ya kumuinguza vitani mjerumani waliianzishia Somanga maeneo ya Simu kwa kufyeka mashamba yao ya pilipili na pamba na kuwaua askari wa kijerumani hapo Somanga kwenye boma lao ndipo wajerumani wakakasirika wakatuma jeshi na mapigano yakaanza rasmi na kuenea kusini kote hadi Songea na maeneo ya mkoa wa Pwani na Morogoro.

  • @moristumain8599
    @moristumain8599Ай бұрын

    Huwa napenda sana jinsi huyu Waziri anavyopiga stori na wananchi

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul38622 ай бұрын

    Hapo sawa

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609Ай бұрын

    Kama huyu waziri atakuwa mzalendo daima, Mungu nafasi kubwa sana hapo baadae. Namkubali sana

  • @MwesigePoul-bg4jd
    @MwesigePoul-bg4jd2 ай бұрын

    Bashungwa unafaa kuwaraisi watanzania huu niuzalendo kula chakula naawa wazee nifulaa kwaawa masikini ccm oyeeeee

Келесі