Wasanii wanasema nini Kuhusu Dizasta Vina (Part 1)
Жүктеу.....
Пікірлер: 71
@edycato10 ай бұрын
mshale umegeuga, inaandikwa historia mpya ya dunia, tulipokuwa tunaita kasikazini kumbe ni kusini,, DIZASTA NEW ERRA, Hip Pop tz iko mikono salama..
@austheticstudios92952 жыл бұрын
Natambua Dizasta vina. “Mbunifu kichwa inazunguka 360 ki-Mbuni. Na anachofanya kwangu tamaduni” big up bro... Love from Kenya. Poetic Mshahiri
@jimmyanthonymwakab74592 жыл бұрын
I’m so sorry to take long to wish you in this special day in ur life....Happy born Day Edgar a.k.a Dizasta Vina
@adammwambile87682 жыл бұрын
machozi ya furaha finally we all acknowledge the (Rap God) Dizasta
@jacksonmadulanga7121
2 жыл бұрын
Daah huyu jamaa ni genius
@janethfrancis8572 жыл бұрын
HIp Hop iz back and still alive.. Heshima Mzee Dizasta💥👊
@msabatozeson90232 жыл бұрын
Mpaka najivunia kuwa product ya dizasta, nafurahi nimejisikia kwenye hii line
@shenamtukufu12242 жыл бұрын
Tumemaliza mzee
@ujenziwanyumbakisasatanzan63432 жыл бұрын
Tangu Iyunga nilivyomsikia Mara ya kwanza wanafanya video MUST I acknowledged this Kidd , A master piece . Nitakuja muuliza Lugombo nikienda Tena MAKANTANI. Safi sana, hii dsm watu wanakusikiliza na wanaujua huu Moto, Hadi watu ambao sikuwategemea, I accidentally played sister afu yule mshua akadakia dizasta vina huyo anaimba mpk unajikuta unamsikiliza.
@benomeya7972 жыл бұрын
This man is really, nice work mungu akupiganie sana man
@HassanHassan-vw2pi2 жыл бұрын
Kaka dizasta nakukubali sana
@officallymbonde92572 жыл бұрын
G.O.T
@andrewcharles9292 жыл бұрын
He's a legend already
@patrickrububura6412 жыл бұрын
Unanidai pesa ya album zako mbili Masta 🔥
@JuliusSanane3 ай бұрын
Brother Dizasta ana Ego kubwa sana In this world nafurahia uwepo wa Dizasta vina katk maixh yang
@AbdulwahidTariq22 күн бұрын
Sio wasanii tu Mim mwenyew nakir ww ni namba moja yangu siku zoteeee kweny hiphp❤
@leonardmhagama5828Ай бұрын
"Nachora beyond normal niite Dubo libala"
@iddimussa0162 жыл бұрын
Uyu ni Genius jamani🙌🙌
@innowatamaduni92482 жыл бұрын
Sawaaaaaaaa lkn wachache ndo tunajua yupi real af yupi real tena...🤣
@stephanovictor83452 жыл бұрын
Kaka uko vizul nakubali na napenda kile unacho fanya
@Paplick92 жыл бұрын
Unaacha legas ambayo wakuindeleza atakusekana
@ZeekeyBoy9 ай бұрын
Mimi nathubutu kusema kuwa bongo hakuna msanii kama dizasta ujue kwa mungu ni zambi kutamani kuwa mtu mwingine lakini mimi natamani ningekuwa dizasta vina afu mwamba halingi wala hajitangazi dar kama angesoma hii text namkubali sana kaka d
@leonardmhagama5828
Ай бұрын
Same here Bro
@leonardmhagama5828Ай бұрын
MC mbovu utakata tamaa ukimsikiliza Dizasta.
@edsonjeremiah59052 жыл бұрын
Bars is back dizaster vina salute
@edwinjabez83522 жыл бұрын
Fundii 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@sevystaronedancer1785 Жыл бұрын
Dizasta vina anatisha sana nyimbo zake zinafundisha sana ✊🏿✊🏿😥😥😥😥😥😥
@joshuacharles43132 жыл бұрын
Respect brooo
@jacksonsanga39802 жыл бұрын
Anajua kinomaa snaa 👊👊👊😎
@official_rayob.83512 жыл бұрын
Under ground ndo tuna mawe
@giftelia5535 Жыл бұрын
Dizasta sio malaika ni Mungu wa rap
@msailomsailo5840 Жыл бұрын
Kila siku ngoma zina zidi kuwa kali 🔥🔥🔥 i always appreciates
@geofreyjohn19842 жыл бұрын
Anajua Sana huyu jamaa, namsikiliza mno
@marikikdd1893 Жыл бұрын
Nakukubali sana d
@edwardhoja2 жыл бұрын
🐐G.O.A.T in the making
@darkrhymes29272 жыл бұрын
Jamaa noma!
@phantyrhymes95362 жыл бұрын
I appreciate him since 2014 with all his smart composition ryrical arrangements and his strory telling...anaphora. Anajua sanaa kiufupi. Sikiliza ngoma kama Nyumba ndogo, Sister kadata, kanisa, Konda and Freedom.
@imanbrettyjohn379
Жыл бұрын
brother brother....umeniinfluence sanaaaa kupitia huyu jamaa
@brisketkidari48562 жыл бұрын
Narejea tena bongo nzima mueke dizasta vina hapa fid nimemaliza
@charlespatrick4859
2 жыл бұрын
Kiukweli kabisa bila uduanzi hapa fid q anakimbizwa kinoma
@nillyjos1203 Жыл бұрын
good unanifundisha meng kwenye gem kaka respect
@youngzubelyzubely2288 Жыл бұрын
Kama hujui hip hop dizstar kumwelewa ngumu hata mm simwerew ila nimetokea kumkubal kinyama kinyamwez
@anordmtebe92932 жыл бұрын
Yeah kwel bro wa 🔥
@olekarai2 жыл бұрын
This guy has travelled to the future am talking about the time traveler
@manjpaul_johnsonmaula1672 жыл бұрын
Dizasta Ni shule.... Dizasta like Pastor.... Msikilize uokoke...
@raynoldyraymix71832 жыл бұрын
Level yake n marehem mangwair
@tysonkaunda8510 Жыл бұрын
Namtambua Sanaa..
@ronaldrichard88252 жыл бұрын
Ngoma zake hazijawahi kuchuja wala huwuzi kuchoka kusikiliza vina vikali vilivyopikwa kweny ubongo usiofungamana na usasa✊
@ke_otic10802 жыл бұрын
Respect👑
@marylubuv8202 Жыл бұрын
Jamaa ni nomaa jaman hainaga kubisha
@ronaldou18padri062 жыл бұрын
Htar sana
@user-mb7tq1lr1e Жыл бұрын
Dizasta hatari,ni mwalimu mkuu wa jamii
@eliahinnocent94192 жыл бұрын
Nafurahia Nachosikia #OnlyOneDizastaVina
@octavian542 жыл бұрын
Disaster ni mtu na Nusu💪💪💪
@directoreydonation99392 жыл бұрын
No ma💥
@maximilianmkusa35206 ай бұрын
🤛🤛🤛🤛
@brisketkidari48562 жыл бұрын
Msii mbovu utakata tamaa ukimsikiliza dizasta wanotaka kuskiliza mziki mzur waje kwa huyu jamaa anamziki wa kusikiliza sio wa kupare
@barretobacca975411 ай бұрын
❤
@neckaphotostudio7282 жыл бұрын
Namuelewa kichizi huyu jamaaaaaaa
@abdulrazack957711 ай бұрын
Genius
@facebookv.i.p58472 жыл бұрын
Jmaaa ninoma
@chipembelesaid2 жыл бұрын
MA men VINA
@abeidsocco6211 Жыл бұрын
Huyu jamaa anatusimulia maisha halisia tunayoishi,,anabalaaaaaa
@cholloswaxstar76 Жыл бұрын
Dizasta bro ni zaidi ya movie la kutisha kumsikiliza
Пікірлер: 71
mshale umegeuga, inaandikwa historia mpya ya dunia, tulipokuwa tunaita kasikazini kumbe ni kusini,, DIZASTA NEW ERRA, Hip Pop tz iko mikono salama..
Natambua Dizasta vina. “Mbunifu kichwa inazunguka 360 ki-Mbuni. Na anachofanya kwangu tamaduni” big up bro... Love from Kenya. Poetic Mshahiri
I’m so sorry to take long to wish you in this special day in ur life....Happy born Day Edgar a.k.a Dizasta Vina
machozi ya furaha finally we all acknowledge the (Rap God) Dizasta
@jacksonmadulanga7121
2 жыл бұрын
Daah huyu jamaa ni genius
HIp Hop iz back and still alive.. Heshima Mzee Dizasta💥👊
Mpaka najivunia kuwa product ya dizasta, nafurahi nimejisikia kwenye hii line
Tumemaliza mzee
Tangu Iyunga nilivyomsikia Mara ya kwanza wanafanya video MUST I acknowledged this Kidd , A master piece . Nitakuja muuliza Lugombo nikienda Tena MAKANTANI. Safi sana, hii dsm watu wanakusikiliza na wanaujua huu Moto, Hadi watu ambao sikuwategemea, I accidentally played sister afu yule mshua akadakia dizasta vina huyo anaimba mpk unajikuta unamsikiliza.
This man is really, nice work mungu akupiganie sana man
Kaka dizasta nakukubali sana
G.O.T
He's a legend already
Unanidai pesa ya album zako mbili Masta 🔥
Brother Dizasta ana Ego kubwa sana In this world nafurahia uwepo wa Dizasta vina katk maixh yang
Sio wasanii tu Mim mwenyew nakir ww ni namba moja yangu siku zoteeee kweny hiphp❤
"Nachora beyond normal niite Dubo libala"
Uyu ni Genius jamani🙌🙌
Sawaaaaaaaa lkn wachache ndo tunajua yupi real af yupi real tena...🤣
Kaka uko vizul nakubali na napenda kile unacho fanya
Unaacha legas ambayo wakuindeleza atakusekana
Mimi nathubutu kusema kuwa bongo hakuna msanii kama dizasta ujue kwa mungu ni zambi kutamani kuwa mtu mwingine lakini mimi natamani ningekuwa dizasta vina afu mwamba halingi wala hajitangazi dar kama angesoma hii text namkubali sana kaka d
@leonardmhagama5828
Ай бұрын
Same here Bro
MC mbovu utakata tamaa ukimsikiliza Dizasta.
Bars is back dizaster vina salute
Fundii 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Dizasta vina anatisha sana nyimbo zake zinafundisha sana ✊🏿✊🏿😥😥😥😥😥😥
Respect brooo
Anajua kinomaa snaa 👊👊👊😎
Under ground ndo tuna mawe
Dizasta sio malaika ni Mungu wa rap
Kila siku ngoma zina zidi kuwa kali 🔥🔥🔥 i always appreciates
Anajua Sana huyu jamaa, namsikiliza mno
Nakukubali sana d
🐐G.O.A.T in the making
Jamaa noma!
I appreciate him since 2014 with all his smart composition ryrical arrangements and his strory telling...anaphora. Anajua sanaa kiufupi. Sikiliza ngoma kama Nyumba ndogo, Sister kadata, kanisa, Konda and Freedom.
@imanbrettyjohn379
Жыл бұрын
brother brother....umeniinfluence sanaaaa kupitia huyu jamaa
Narejea tena bongo nzima mueke dizasta vina hapa fid nimemaliza
@charlespatrick4859
2 жыл бұрын
Kiukweli kabisa bila uduanzi hapa fid q anakimbizwa kinoma
good unanifundisha meng kwenye gem kaka respect
Kama hujui hip hop dizstar kumwelewa ngumu hata mm simwerew ila nimetokea kumkubal kinyama kinyamwez
Yeah kwel bro wa 🔥
This guy has travelled to the future am talking about the time traveler
Dizasta Ni shule.... Dizasta like Pastor.... Msikilize uokoke...
Level yake n marehem mangwair
Namtambua Sanaa..
Ngoma zake hazijawahi kuchuja wala huwuzi kuchoka kusikiliza vina vikali vilivyopikwa kweny ubongo usiofungamana na usasa✊
Respect👑
Jamaa ni nomaa jaman hainaga kubisha
Htar sana
Dizasta hatari,ni mwalimu mkuu wa jamii
Nafurahia Nachosikia #OnlyOneDizastaVina
Disaster ni mtu na Nusu💪💪💪
No ma💥
🤛🤛🤛🤛
Msii mbovu utakata tamaa ukimsikiliza dizasta wanotaka kuskiliza mziki mzur waje kwa huyu jamaa anamziki wa kusikiliza sio wa kupare
❤
Namuelewa kichizi huyu jamaaaaaaa
Genius
Jmaaa ninoma
MA men VINA
Huyu jamaa anatusimulia maisha halisia tunayoishi,,anabalaaaaaa
Dizasta bro ni zaidi ya movie la kutisha kumsikiliza
Sio anakuja yupo huyo jamaa
Bando anaomba picha eti 😂😂😂
Huyu dizasta ninoma
Dizasta genius
dizasta
Dizasta nijembe ukilitumia lazima uvune