WAPEWA UNABII KUHUSU
SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Пікірлер: 251
Nabii GeorDavie unatisha!!!!! Una upendo na huruma ya ajabu. Umetumika kusaidia watu wengi Sana. Nakupenda na kukuheshimu mno. Naomba utamke neno kwa ajili yangu na familia yangu.Ahsante Sana. Mungu akubariki na familia yako
Amen nabii hallelujah asande sana kutuombea wakenya
Baba najiunganisha na ibada na mafundisho,NAMI napokea baraka zote nabarikiwa sana.natamani kufikia Arisha
Najiconekt na kufunguliwa sasa mimi na familia yangu amen
Whaooo nimeskia furaha sana jinsi baba unavyohudumia , asante na tunapokea.
I'm from Kenya I pray to meet this Great Man of GOD 🇰🇪🇰🇪
GOD of this Mighty prophet Geordavie is a great GOD 🙏
Mm mpaka nifike na wadogo zng, nipo Kenya acha nitafute tickets, maana hali katika family nzima ya babangu siyakawaida naisi Kuna watu walitufunga, japo muislam but I will make sure nxt yr inshallah 🙏 nafika hapa nikajue mbivu na mbichi
Mungu akumbuke wakenya asante nabii kwa kutukumbuka sis jirani yenu nanyi mbarikuwe
@user-ng6yt2od7l
3 жыл бұрын
Amen
amen! amen! niko na shida mingi sijui nifanyaje nikutane na nabii.
God blessing you
mungu akubariki kwa kufungua watu
Nisaidiye papa mimi nimefirisika sana nataka nijuwe familiya zangu
Uko big up nabii mkuu wangu
Amina nabii naomba unipe unabii wako nafatilia sana unabii wako adui zangu wote waaibike
Baba nabiiiimkuuu tusaidie wadada haya tunayapitia sana sisi kwamwanaume mungu awasimamie alisha hilopepo baba🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante nimeamini Kenya
Nabii mkuu,Mwenyezi Mungu ni mwema kila wakati.Amen..............................
Amen babangu
Dad 🙏 nimeipenda hii....ishi Sana BIG DADY.....
Amina sana mchungaji yodefi
Namm napokea uponyaji kupitia madhabahu hii roho za kukatariwa nazitowesha kwa jina la yesu
This is very touching I would like to meet this man of God over my sister's issue
@lucyhusein4043
3 жыл бұрын
Nabi naomba inirudishie dhaman yangu sifanikiwi napambana sana baba
Amen Amen 🙌🙋♀️🔥🔥🔥🔥👏👏👏
I receive in Jesus name. Amen
Nabii naomba unipe unabii wa maisha yangu me ni mkenya na nimekua nafuatilia channel yako sana may God bless all your good work you have been doing ,.,.papa pray for me
@annakamasha5705
3 жыл бұрын
Nabii naomba namba pleaz
Amina kubwa
Mzee wetu pia walai mzee abdull ajeakombolewe
@user-ng6yt2od7l
3 жыл бұрын
Umeonae
Mtumishi waMungu uniombeye mungu afunguwe nyumba yangu mimi naikaa kenya
Nabii uko vizuri sana nikijakupata ela ntakuja uko arusha
Asanten kw Film ambayo mnaendeley kutuchezeya
@josephinebahati5599
3 жыл бұрын
Kanisa lipo sehemugani
@joycecollection6876
3 жыл бұрын
Kwa kweeli flam Yao tumeijua
amina wasaidie baba
@vickjohn6830
3 жыл бұрын
Tunaomba Namba tunapata shida kupata Namba zako
Amen.
Naomba kufunguliwa nikiwa kenya magojwa yananisubua pia nafanya biadhara sifanikiei ..
Ameen
Nazidi. Kuomba. Mungu. Siku. 1.nifike.mahari.apa,🇧🇮
Amen
Mungu ni mkubwa nabii una kazi kubwa
Dunia ya leo watu wanakuwa vipofu japo wana macho Watu hawatafuti mungu tena watafuta miujiza,Dahh??
@paulkasamabrama8329
3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@azamtv7410
3 жыл бұрын
True
@robertlyimo5830
3 жыл бұрын
We unayeona elezea unachoona kwa usahihi
@agapejosceline7683
3 жыл бұрын
Watu wa mungu wana potea kukosa maarifaa.hizi siku wakristo wana penda vitu vya rahisi
Duuh! Eh Mungu tupe roho ya ufahamu na utufunguwe macho tupate kuona
Nabii mkuu.❤
Ee mwenyezi mungu naomba unifungue namimi
Namimi naomba unabii maisha hayaendi Kila siku ni struggle here n there
Namba plis
Wakristo nyote nendeni kuombewa huko kanisani kwa hali hio mtakuwa na maisha mazuri nyote duniani hakuna mwenye tabu wala maradhi
@meena-ol6fo
3 жыл бұрын
😁😁😁😁mungu sijui alitutofautisha na wanyama watu waongopewa kaa wanyama
Haki siku hizi watu badala kumuita mungu baba wanapigia binadamu magoti mungu atusamehe.
@myunaniniahmad6463
3 жыл бұрын
Huu mtihani kwakweli. Atapoteza wengi.
@agapejosceline7683
3 жыл бұрын
😢😢jamani dah. Sisi binadamu tumeanza kuji tafutia laana kwa kweli
Tutubu dhambi zetu Messiah anarudi tuishi kwa njia yautakakatifu,tuwachane na hii michezo mingi jameni
Yesu amesema nimwewapa bure nanyi toweni bure,sasahuyu anae toza pesa ili kumuona tu inakuwaje tena Mbona ni kama ajifanya mungu mtu huyu mzee?aisee mungu atuokowe mana kweli ishara ziko wazi kwamba ninyakati za mwisho
@annkim2690
3 жыл бұрын
Watu hawataki kuisoma Bibilia watajionea
@agapejosceline7683
3 жыл бұрын
Wa kristo wa sasa wanapenda vitu rahisi,wamekua wavivu kudoma biblia 😢😢
Namwomba MUNGU siku moja nifike mahali hapo!!! Nimeiona nguvu ya MUNGU kwa NABII MKUU GEOIRDAVIE!!
🙏🙏🙏
Jmn mm Sina laki Tano Nina elf kumi TU kwaiyo sirhusiwi kumuona nisaieni?
Baba naomba nisaidie mimi na Familia yangu na vijana wetu wapate ajira,
nakupenda jamani
amen
Nabi yamungu mambo yako inaniguza sana
Ameni na Mimi pia napokea una bii
Nivizuri sana
Ee mungu apigae ngurumo
Naomba kuconet na nabii
Kazi,iyendelehe,.mdogowake.wamngu.adisula.mnafanana.bwanabwa
Uislamu haya mambo ya unabii hatun mungu atosha
@agapejosceline7683
3 жыл бұрын
Mungu peke ndo wapekee. Wakristo tuamke.
Baba nakuaminia uongezeke
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😘😘😘😘🥰❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Amen Amen Amen awasaidiye Baba
🖐
🤲🙏
Muombeni MUNGU WA MBINGU NA NCHI NA KUTUBU DHAMBI ZENU VINGINEVYO mmmmh tutateseka Sana na hii DUNIA
Nguvu ni ya Mungu sio ya nabii
Nifungue Mie pia nabii mkuu
Wasaidieni baba
I believed
Mmmmh! Umesarender kwa Dervie na siyo kwa Yesu???
Amen 🙏 but wait huyu pastor huwa anahubiri neno mda gani 🤔
@phinerjulius8487
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣 swali la kibabe
Nabii msaidie hiyo kijana maana unayoona ni kweli wanageukaga haswa wanajisahau sana wakishapata hela na kuwa mahandsome
Jamani mtu anielekeza kanisani pake mchungaji mimi mkenya pliz🙏
Inna lillah waina illah rajion
Ok
Kama huwa una tabia ya kwenda kwa waganga Basi nishauri nenda kwa huyu ili Kama ni nguvu zilezile za kiganga Basi umesaidika lakini pia Kama kweli ni nguvu za mungu Basi umepona pia,,lakini Kama umeokoka tulia hapo hapo muombe mungu atakusaidia
Yaani watu wanathubutu kusema wazi wazi kanisani kuwa walikuwa Wana mahusiano ya ki mapenzi na mtu fulani na sasa anaye mwingine,lakini mchungaji hakemei uasherati/uzinzi bsdala yake anabariki na kuombea mafanikio ya ki maisha,kumuona mtumishi hadi uchomeke rupia jamani,hebu tujiulize na tuwe makini
@annkim2690
3 жыл бұрын
Hata inashangaza wana tangaza usinzi
@marykarebeti9410
3 жыл бұрын
🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Kweli kabisa
Yesu yuko wapi Apo jaman...
@adjafamkungilwa1154
3 жыл бұрын
Nimesikia akitamka walahi,je nanyi mesikia ?
@agapejosceline7683
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
Mbona unadanganya wayu ivo
Natamani nifike huku kwa nabii mkuu asaidie family yetu
@hildpaul7823
3 жыл бұрын
Uje nikupeleke
Kiruuu kumbe ni hela kumuona😎😎
@exaudmungure2795
3 жыл бұрын
Shalom Nabii Naomba Tamko La Kaka Aangu Hana Tatizo La Kifamili Yuko Dar Mm Naitwa Exaud E Mungure Kaka Anaitwa Safnati E Mungure Asante Halipona Hile Tumbo Hakufanyiwa Hopreheni Tena Iliisha Kabisa Asante Sana Nabii Was Bwana.
@agapejosceline7683
3 жыл бұрын
Nashangaa. Tena mamilioni.
Msichana mkenya 😂😂😂😂😂rudisha msichana wetu naniiii kwetu tunabiiiii
@mmasymery391
3 жыл бұрын
Kaaa kwakutulia
@hildpaul7823
3 жыл бұрын
Tuliza mawemge wewe kenya😳😳😳😳
@marykarebeti9410
3 жыл бұрын
Amrudishe ili iweje?? Umeona Tz hakuna wa kukaa nae??
Amazing prophecy,,,
@beatricemangula1480
3 жыл бұрын
Ni Yesu anafungua au wewe
@eddyjuniortz2234
3 жыл бұрын
@@beatricemangula1480 Yesu
Huyu nabii kanisa lake liko wapi hapa dar
Aki nabii sinikufikie
Nabii geordavies naomba namba yako ya simu naishi Mkoani Ruvuma
🙏🙏🙏♥️
Hmmmm 😏😏😏😏eti mtu kukuona lazima ulipwe laki 5, Mungu halipiki
@agapejosceline7683
3 жыл бұрын
Hii ni biashara sio tena kanisa. Pia watu wamependa vitu rahisi ndo maana wana tumia hio njia yaku toa hela zao
Iyonjoo majina yangu ya fb
Kiboko haki ya nani
ww baba ww
Kijamaa kinapenda kulelewa hichi hahahaaaa chapenda pesa sana
@agapejosceline7683
3 жыл бұрын
Bwana mungu atu saidie. Dunia ime fika mwisho wake
@marykarebeti9410
3 жыл бұрын
Unataka apende nini sasa?? Uuwiihhh
@happinessshilie4019
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
Ameen nabii mkweli kabisa jamani ntatowa wapi namba yake nisaidiyeni namimi ninusurike
Unapatilishawa unabii na una kubali sasa kama nambi patala usaidie.unawaotoa imani
@estherimbotsi7553
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Daaaaa
Da majibu menginr magumu mujibu. Me naweza rahisisha tu KUWA ntampeleka mahakamani tuu maana no way out
@agapejosceline7683
3 жыл бұрын
😂😂😂😂acha vupofu wabaki huko huko.wanao penda vitu vya rahisi kuliko ku soma biblia
Naomba na mimi nifungue baba
@felisianathadei5403
2 жыл бұрын
Naumwa tangu 1999 mpaka leo
@felisianathadei5403
2 жыл бұрын
Naomba unisadie niponye magonjwa yote
Nabii nakuomba. Niombee. Nauzao wangu
@azamtv7410
3 жыл бұрын
Nimekuombea mwanangu