WAPEWA UNABII KUHUSU

SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa

Пікірлер: 251

  • @evabikabhai1861
    @evabikabhai18612 жыл бұрын

    Nabii GeorDavie unatisha!!!!! Una upendo na huruma ya ajabu. Umetumika kusaidia watu wengi Sana. Nakupenda na kukuheshimu mno. Naomba utamke neno kwa ajili yangu na familia yangu.Ahsante Sana. Mungu akubariki na familia yako

  • @mercymutabe1306
    @mercymutabe13063 жыл бұрын

    Amen nabii hallelujah asande sana kutuombea wakenya

  • @dorothhokororo5301
    @dorothhokororo5301 Жыл бұрын

    Baba najiunganisha na ibada na mafundisho,NAMI napokea baraka zote nabarikiwa sana.natamani kufikia Arisha

  • @maggieolomi3650
    @maggieolomi3650 Жыл бұрын

    Najiconekt na kufunguliwa sasa mimi na familia yangu amen

  • @estherngogo3385
    @estherngogo33853 жыл бұрын

    Whaooo nimeskia furaha sana jinsi baba unavyohudumia , asante na tunapokea.

  • @rapttortom4826
    @rapttortom4826 Жыл бұрын

    I'm from Kenya I pray to meet this Great Man of GOD 🇰🇪🇰🇪

  • @ndunguedwin4798
    @ndunguedwin47983 жыл бұрын

    GOD of this Mighty prophet Geordavie is a great GOD 🙏

  • @halimaomar2795
    @halimaomar27953 жыл бұрын

    Mm mpaka nifike na wadogo zng, nipo Kenya acha nitafute tickets, maana hali katika family nzima ya babangu siyakawaida naisi Kuna watu walitufunga, japo muislam but I will make sure nxt yr inshallah 🙏 nafika hapa nikajue mbivu na mbichi

  • @estherwambuies1782
    @estherwambuies17823 жыл бұрын

    Mungu akumbuke wakenya asante nabii kwa kutukumbuka sis jirani yenu nanyi mbarikuwe

  • @user-ng6yt2od7l

    @user-ng6yt2od7l

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @nicksonlangatfromnakuru8533
    @nicksonlangatfromnakuru85333 жыл бұрын

    amen! amen! niko na shida mingi sijui nifanyaje nikutane na nabii.

  • @rosinakalunda5969
    @rosinakalunda59693 жыл бұрын

    God blessing you

  • @joycekatana2482
    @joycekatana24823 жыл бұрын

    mungu akubariki kwa kufungua watu

  • @webnty323
    @webnty323 Жыл бұрын

    Nisaidiye papa mimi nimefirisika sana nataka nijuwe familiya zangu

  • @SleepyAlpineVillage-yp2sz
    @SleepyAlpineVillage-yp2sz5 ай бұрын

    Uko big up nabii mkuu wangu

  • @sarahmgaya9853
    @sarahmgaya98533 жыл бұрын

    Amina nabii naomba unipe unabii wako nafatilia sana unabii wako adui zangu wote waaibike

  • @shangazshangaz4222
    @shangazshangaz4222 Жыл бұрын

    Baba nabiiiimkuuu tusaidie wadada haya tunayapitia sana sisi kwamwanaume mungu awasimamie alisha hilopepo baba🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @elizabethmambai2072
    @elizabethmambai20723 жыл бұрын

    Asante nimeamini Kenya

  • @josephakure6743
    @josephakure6743 Жыл бұрын

    Nabii mkuu,Mwenyezi Mungu ni mwema kila wakati.Amen..............................

  • @user-pr4nu4ws9o
    @user-pr4nu4ws9o5 ай бұрын

    Amen babangu

  • @juliethmsengi4188
    @juliethmsengi4188 Жыл бұрын

    Dad 🙏 nimeipenda hii....ishi Sana BIG DADY.....

  • @eliasimakobe9098
    @eliasimakobe90983 жыл бұрын

    Amina sana mchungaji yodefi

  • @tedylaulet8933
    @tedylaulet89333 жыл бұрын

    Namm napokea uponyaji kupitia madhabahu hii roho za kukatariwa nazitowesha kwa jina la yesu

  • @Cuero_mio
    @Cuero_mio3 жыл бұрын

    This is very touching I would like to meet this man of God over my sister's issue

  • @lucyhusein4043

    @lucyhusein4043

    3 жыл бұрын

    Nabi naomba inirudishie dhaman yangu sifanikiwi napambana sana baba

  • @saldakltl7611
    @saldakltl76113 жыл бұрын

    Amen Amen 🙌🙋‍♀️🔥🔥🔥🔥👏👏👏

  • @petermollel1471
    @petermollel14713 жыл бұрын

    I receive in Jesus name. Amen

  • @amselinah7920
    @amselinah79203 жыл бұрын

    Nabii naomba unipe unabii wa maisha yangu me ni mkenya na nimekua nafuatilia channel yako sana may God bless all your good work you have been doing ,.,.papa pray for me

  • @annakamasha5705

    @annakamasha5705

    3 жыл бұрын

    Nabii naomba namba pleaz

  • @atusagileysanga6412
    @atusagileysanga6412 Жыл бұрын

    Amina kubwa

  • @lyzekeyz328
    @lyzekeyz3283 жыл бұрын

    Mzee wetu pia walai mzee abdull ajeakombolewe

  • @user-ng6yt2od7l

    @user-ng6yt2od7l

    3 жыл бұрын

    Umeonae

  • @nabintumiruho5142
    @nabintumiruho51422 жыл бұрын

    Mtumishi waMungu uniombeye mungu afunguwe nyumba yangu mimi naikaa kenya

  • @emimwakalinga4262
    @emimwakalinga42623 жыл бұрын

    Nabii uko vizuri sana nikijakupata ela ntakuja uko arusha

  • @corannotremedecine8368
    @corannotremedecine83683 жыл бұрын

    Asanten kw Film ambayo mnaendeley kutuchezeya

  • @josephinebahati5599

    @josephinebahati5599

    3 жыл бұрын

    Kanisa lipo sehemugani

  • @joycecollection6876

    @joycecollection6876

    3 жыл бұрын

    Kwa kweeli flam Yao tumeijua

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын

    amina wasaidie baba

  • @vickjohn6830

    @vickjohn6830

    3 жыл бұрын

    Tunaomba Namba tunapata shida kupata Namba zako

  • @eliarichard9218
    @eliarichard92183 жыл бұрын

    Amen.

  • @michaelmugambi5223
    @michaelmugambi52233 жыл бұрын

    Naomba kufunguliwa nikiwa kenya magojwa yananisubua pia nafanya biadhara sifanikiei ..

  • @jamessichimata3100
    @jamessichimata31003 жыл бұрын

    Ameen

  • @halimaleila2323
    @halimaleila23233 жыл бұрын

    Nazidi. Kuomba. Mungu. Siku. 1.nifike.mahari.apa,🇧🇮

  • @yolandasira3013
    @yolandasira30133 жыл бұрын

    Amen

  • @mutabazijonathan7278
    @mutabazijonathan72783 жыл бұрын

    Mungu ni mkubwa nabii una kazi kubwa

  • @adjafamkungilwa1154
    @adjafamkungilwa11543 жыл бұрын

    Dunia ya leo watu wanakuwa vipofu japo wana macho Watu hawatafuti mungu tena watafuta miujiza,Dahh??

  • @paulkasamabrama8329

    @paulkasamabrama8329

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @azamtv7410

    @azamtv7410

    3 жыл бұрын

    True

  • @robertlyimo5830

    @robertlyimo5830

    3 жыл бұрын

    We unayeona elezea unachoona kwa usahihi

  • @agapejosceline7683

    @agapejosceline7683

    3 жыл бұрын

    Watu wa mungu wana potea kukosa maarifaa.hizi siku wakristo wana penda vitu vya rahisi

  • @wilsonletiet7852
    @wilsonletiet78523 жыл бұрын

    Duuh! Eh Mungu tupe roho ya ufahamu na utufunguwe macho tupate kuona

  • @alexmatiko373
    @alexmatiko373 Жыл бұрын

    Nabii mkuu.❤

  • @beatriceshauri4497
    @beatriceshauri44972 жыл бұрын

    Ee mwenyezi mungu naomba unifungue namimi

  • @elviramawang6652
    @elviramawang66522 жыл бұрын

    Namimi naomba unabii maisha hayaendi Kila siku ni struggle here n there

  • @espekahambu4437
    @espekahambu44373 жыл бұрын

    Namba plis

  • @nooor1120
    @nooor11203 жыл бұрын

    Wakristo nyote nendeni kuombewa huko kanisani kwa hali hio mtakuwa na maisha mazuri nyote duniani hakuna mwenye tabu wala maradhi

  • @meena-ol6fo

    @meena-ol6fo

    3 жыл бұрын

    😁😁😁😁mungu sijui alitutofautisha na wanyama watu waongopewa kaa wanyama

  • @sharinv8864
    @sharinv88643 жыл бұрын

    Haki siku hizi watu badala kumuita mungu baba wanapigia binadamu magoti mungu atusamehe.

  • @myunaniniahmad6463

    @myunaniniahmad6463

    3 жыл бұрын

    Huu mtihani kwakweli. Atapoteza wengi.

  • @agapejosceline7683

    @agapejosceline7683

    3 жыл бұрын

    😢😢jamani dah. Sisi binadamu tumeanza kuji tafutia laana kwa kweli

  • @brendaaluoch7088
    @brendaaluoch70883 жыл бұрын

    Tutubu dhambi zetu Messiah anarudi tuishi kwa njia yautakakatifu,tuwachane na hii michezo mingi jameni

  • @adjafamkungilwa1154
    @adjafamkungilwa11543 жыл бұрын

    Yesu amesema nimwewapa bure nanyi toweni bure,sasahuyu anae toza pesa ili kumuona tu inakuwaje tena Mbona ni kama ajifanya mungu mtu huyu mzee?aisee mungu atuokowe mana kweli ishara ziko wazi kwamba ninyakati za mwisho

  • @annkim2690

    @annkim2690

    3 жыл бұрын

    Watu hawataki kuisoma Bibilia watajionea

  • @agapejosceline7683

    @agapejosceline7683

    3 жыл бұрын

    Wa kristo wa sasa wanapenda vitu rahisi,wamekua wavivu kudoma biblia 😢😢

  • @luhizomkombozi5763
    @luhizomkombozi5763 Жыл бұрын

    Namwomba MUNGU siku moja nifike mahali hapo!!! Nimeiona nguvu ya MUNGU kwa NABII MKUU GEOIRDAVIE!!

  • @janetnyabitanga9087
    @janetnyabitanga90872 жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @solonyamwita777
    @solonyamwita7772 жыл бұрын

    Jmn mm Sina laki Tano Nina elf kumi TU kwaiyo sirhusiwi kumuona nisaieni?

  • @michaellyeme7397
    @michaellyeme7397 Жыл бұрын

    Baba naomba nisaidie mimi na Familia yangu na vijana wetu wapate ajira,

  • @nenemagadau1954
    @nenemagadau1954 Жыл бұрын

    nakupenda jamani

  • @gladyswandela1565
    @gladyswandela15653 жыл бұрын

    amen

  • @BavaziBamutara-mc5xt
    @BavaziBamutara-mc5xt Жыл бұрын

    Nabi yamungu mambo yako inaniguza sana

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l3 жыл бұрын

    Ameni na Mimi pia napokea una bii

  • @danielshauri4681
    @danielshauri4681 Жыл бұрын

    Nivizuri sana

  • @shabaniezekeeli2216
    @shabaniezekeeli2216 Жыл бұрын

    Ee mungu apigae ngurumo

  • @maureenwanjiku8971
    @maureenwanjiku89713 жыл бұрын

    Naomba kuconet na nabii

  • @severinngloo3772
    @severinngloo3772 Жыл бұрын

    Kazi,iyendelehe,.mdogowake.wamngu.adisula.mnafanana.bwanabwa

  • @victoryustas1847
    @victoryustas18473 жыл бұрын

    Uislamu haya mambo ya unabii hatun mungu atosha

  • @agapejosceline7683

    @agapejosceline7683

    3 жыл бұрын

    Mungu peke ndo wapekee. Wakristo tuamke.

  • @agnessmalyeek9387
    @agnessmalyeek9387 Жыл бұрын

    Baba nakuaminia uongezeke

  • @valentineinnocent6647
    @valentineinnocent66473 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😘😘😘😘🥰❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Amen Amen Amen awasaidiye Baba

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther59083 жыл бұрын

    🖐

  • @abdulrahmanpaskalina7627
    @abdulrahmanpaskalina76273 жыл бұрын

    🤲🙏

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Жыл бұрын

    Muombeni MUNGU WA MBINGU NA NCHI NA KUTUBU DHAMBI ZENU VINGINEVYO mmmmh tutateseka Sana na hii DUNIA

  • @geophreymhagama9560
    @geophreymhagama95603 жыл бұрын

    Nguvu ni ya Mungu sio ya nabii

  • @user-kf6ox4pe5b
    @user-kf6ox4pe5b3 ай бұрын

    Nifungue Mie pia nabii mkuu

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l3 жыл бұрын

    Wasaidieni baba

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l3 жыл бұрын

    I believed

  • @wilsonletiet7852
    @wilsonletiet78523 жыл бұрын

    Mmmmh! Umesarender kwa Dervie na siyo kwa Yesu???

  • @tymlesshodari1010
    @tymlesshodari10103 жыл бұрын

    Amen 🙏 but wait huyu pastor huwa anahubiri neno mda gani 🤔

  • @phinerjulius8487

    @phinerjulius8487

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣 swali la kibabe

  • @rachellaizer941
    @rachellaizer9413 жыл бұрын

    Nabii msaidie hiyo kijana maana unayoona ni kweli wanageukaga haswa wanajisahau sana wakishapata hela na kuwa mahandsome

  • @myra123myra9
    @myra123myra93 жыл бұрын

    Jamani mtu anielekeza kanisani pake mchungaji mimi mkenya pliz🙏

  • @bakarimwakabebe9649
    @bakarimwakabebe96493 жыл бұрын

    Inna lillah waina illah rajion

  • @alamera5986
    @alamera59863 жыл бұрын

    Ok

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 Жыл бұрын

    Kama huwa una tabia ya kwenda kwa waganga Basi nishauri nenda kwa huyu ili Kama ni nguvu zilezile za kiganga Basi umesaidika lakini pia Kama kweli ni nguvu za mungu Basi umepona pia,,lakini Kama umeokoka tulia hapo hapo muombe mungu atakusaidia

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa55663 жыл бұрын

    Yaani watu wanathubutu kusema wazi wazi kanisani kuwa walikuwa Wana mahusiano ya ki mapenzi na mtu fulani na sasa anaye mwingine,lakini mchungaji hakemei uasherati/uzinzi bsdala yake anabariki na kuombea mafanikio ya ki maisha,kumuona mtumishi hadi uchomeke rupia jamani,hebu tujiulize na tuwe makini

  • @annkim2690

    @annkim2690

    3 жыл бұрын

    Hata inashangaza wana tangaza usinzi

  • @marykarebeti9410

    @marykarebeti9410

    3 жыл бұрын

    🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️

  • @webnty323
    @webnty323 Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @evamringo2331
    @evamringo23313 жыл бұрын

    Yesu yuko wapi Apo jaman...

  • @adjafamkungilwa1154

    @adjafamkungilwa1154

    3 жыл бұрын

    Nimesikia akitamka walahi,je nanyi mesikia ?

  • @agapejosceline7683

    @agapejosceline7683

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @tantinemwemendi8790
    @tantinemwemendi87903 жыл бұрын

    Mbona unadanganya wayu ivo

  • @estherwambuies1782
    @estherwambuies17823 жыл бұрын

    Natamani nifike huku kwa nabii mkuu asaidie family yetu

  • @hildpaul7823

    @hildpaul7823

    3 жыл бұрын

    Uje nikupeleke

  • @vailethseth9036
    @vailethseth90363 жыл бұрын

    Kiruuu kumbe ni hela kumuona😎😎

  • @exaudmungure2795

    @exaudmungure2795

    3 жыл бұрын

    Shalom Nabii Naomba Tamko La Kaka Aangu Hana Tatizo La Kifamili Yuko Dar Mm Naitwa Exaud E Mungure Kaka Anaitwa Safnati E Mungure Asante Halipona Hile Tumbo Hakufanyiwa Hopreheni Tena Iliisha Kabisa Asante Sana Nabii Was Bwana.

  • @agapejosceline7683

    @agapejosceline7683

    3 жыл бұрын

    Nashangaa. Tena mamilioni.

  • @ikeedaudi
    @ikeedaudi3 жыл бұрын

    Msichana mkenya 😂😂😂😂😂rudisha msichana wetu naniiii kwetu tunabiiiii

  • @mmasymery391

    @mmasymery391

    3 жыл бұрын

    Kaaa kwakutulia

  • @hildpaul7823

    @hildpaul7823

    3 жыл бұрын

    Tuliza mawemge wewe kenya😳😳😳😳

  • @marykarebeti9410

    @marykarebeti9410

    3 жыл бұрын

    Amrudishe ili iweje?? Umeona Tz hakuna wa kukaa nae??

  • @eddyjuniortz2234
    @eddyjuniortz22343 жыл бұрын

    Amazing prophecy,,,

  • @beatricemangula1480

    @beatricemangula1480

    3 жыл бұрын

    Ni Yesu anafungua au wewe

  • @eddyjuniortz2234

    @eddyjuniortz2234

    3 жыл бұрын

    @@beatricemangula1480 Yesu

  • @chrispinchristopher3914
    @chrispinchristopher39143 жыл бұрын

    Huyu nabii kanisa lake liko wapi hapa dar

  • @estermumbua7329
    @estermumbua73293 жыл бұрын

    Aki nabii sinikufikie

  • @catherinemhagama7505
    @catherinemhagama75053 жыл бұрын

    Nabii geordavies naomba namba yako ya simu naishi Mkoani Ruvuma

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther59083 жыл бұрын

    🙏🙏🙏♥️

  • @shakila3982
    @shakila39823 жыл бұрын

    Hmmmm 😏😏😏😏eti mtu kukuona lazima ulipwe laki 5, Mungu halipiki

  • @agapejosceline7683

    @agapejosceline7683

    3 жыл бұрын

    Hii ni biashara sio tena kanisa. Pia watu wamependa vitu rahisi ndo maana wana tumia hio njia yaku toa hela zao

  • @emmanulefisto8822
    @emmanulefisto88223 жыл бұрын

    Iyonjoo majina yangu ya fb

  • @drallicemugasa3086
    @drallicemugasa30863 жыл бұрын

    Kiboko haki ya nani

  • @nenemagadau1954
    @nenemagadau1954 Жыл бұрын

    ww baba ww

  • @amanimanase5794
    @amanimanase57943 жыл бұрын

    Kijamaa kinapenda kulelewa hichi hahahaaaa chapenda pesa sana

  • @agapejosceline7683

    @agapejosceline7683

    3 жыл бұрын

    Bwana mungu atu saidie. Dunia ime fika mwisho wake

  • @marykarebeti9410

    @marykarebeti9410

    3 жыл бұрын

    Unataka apende nini sasa?? Uuwiihhh

  • @happinessshilie4019

    @happinessshilie4019

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @nahimanamana9532
    @nahimanamana95323 жыл бұрын

    Ameen nabii mkweli kabisa jamani ntatowa wapi namba yake nisaidiyeni namimi ninusurike

  • @alimachitechi2107
    @alimachitechi21073 жыл бұрын

    Unapatilishawa unabii na una kubali sasa kama nambi patala usaidie.unawaotoa imani

  • @estherimbotsi7553

    @estherimbotsi7553

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @aryanamendes8700
    @aryanamendes87003 жыл бұрын

    Daaaaa

  • @mimimwenyew361
    @mimimwenyew3613 жыл бұрын

    Da majibu menginr magumu mujibu. Me naweza rahisisha tu KUWA ntampeleka mahakamani tuu maana no way out

  • @agapejosceline7683

    @agapejosceline7683

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂acha vupofu wabaki huko huko.wanao penda vitu vya rahisi kuliko ku soma biblia

  • @felisianathadei5403
    @felisianathadei54032 жыл бұрын

    Naomba na mimi nifungue baba

  • @felisianathadei5403

    @felisianathadei5403

    2 жыл бұрын

    Naumwa tangu 1999 mpaka leo

  • @felisianathadei5403

    @felisianathadei5403

    2 жыл бұрын

    Naomba unisadie niponye magonjwa yote

  • @queenambakisye5576
    @queenambakisye55763 жыл бұрын

    Nabii nakuomba. Niombee. Nauzao wangu

  • @azamtv7410

    @azamtv7410

    3 жыл бұрын

    Nimekuombea mwanangu

Келесі