VITASA | Undava wa Mfaume Mfaume, Iddy Pialali walipokutana ana kwa ana - 15/03/2023
Спорт
KING OF THE NIGHT: Ni Mfaume Mfaume na Iddy Pialali wakioneshana ‘undava’ na ubabe leo katika viwanja vya Leaders kwenye tukio la kutia saini kwaajili ya ‘kuzichapa’ hapo Septemba 2023.
Ni kuelekea kwenye usiku wa #KingOfTheNight hapo mwezi Septemba mwaka huu.
Пікірлер: 8
Mbwembwe nyingi Mwisho wa Siku Ngumi Mbovu.
Ulingo utaeleza👊
Leo nimeflahi mmependeza sana
🤌🏿
Safari hii kitaeleweka tu Nan ni Nan na Yup ni Zaid
Ila ukweli mie nilifatilia pambano nikiwa Mwanza, huyu Iddy pialali nibondia asikwambie mtu, huyu mfaume anapigana kimuhemko, nanimeshatabil pialali atashinda laud ya 5
Mfaume muimba taarabu ulimpiga kichwa
Mfaume ujui lolote achana na ngumi afu unamtaka mwakinyo atakuvunja