Ahmed Ally afunguka mashine tatu watakazotangaza leo

Спорт

Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amefungua ‘code’ za wachezaji watatu ambao watawatangaza leo.
Mmoja ni mashine mtoa roho ambaye ni kiungo mkabaji anayetokea katika nchi iliyopo kati ya Afrika Magharibi na Afrika Kaskazini.
Mwingine ni mashine katili ambaye ni kiungo mchezeshaji atakayetambulishwa saa 12:00 jioni na baadae usiku watatambulisha mwingine.
Ahmed amezungumza na mtangazaji Mahmoud Zubeir kwa njia ya #WhatsAppCall kupitia kipindi cha #SportsAM
#SimbaSC #SportsAM #AhmedAlly

Пікірлер: 92

  • @mr_kajomba_og5719
    @mr_kajomba_og57196 күн бұрын

    Mashine za kazi

  • @youngsir5809
    @youngsir58096 күн бұрын

    Hapo safi, namba 6 na 8 🔥

  • @mwanaishamasoud
    @mwanaishamasoud6 күн бұрын

    semaji mungu akuweke baba

  • @mwalimulucas3522
    @mwalimulucas35226 күн бұрын

    Mashine ya kuongea

  • @RichardWema
    @RichardWema6 күн бұрын

    Simba ya mwaka huu ni moto❤

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka2566 күн бұрын

    SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @asanterabimunuo5855
    @asanterabimunuo58556 күн бұрын

    😂😂😂 daaaah semaje una Tisha mkuu

  • @bestman8182
    @bestman81826 күн бұрын

    Kitu cha maana kingine mlikchofanya ni kutambulisha bench la ufundi mapema sio kocha anakuja wakati ligi imeanza anaishia kujaribisha wachezaj kwenye mechi za ushindani

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    5 күн бұрын

    @@bestman8182 kaka wambie kocha apewe muda wa kusuka timu kwanza .... Sio kafumuliwa 3 mnaanza kutukana 🤣🤣🤣

  • @alitante4279
    @alitante42796 күн бұрын

    Augustine okajepha huyo mi mashine vbya mnoo

  • @user-oq6to7pf2u
    @user-oq6to7pf2u6 күн бұрын

    ahamed ally upo sahihi sana

  • @biwivuai1407

    @biwivuai1407

    6 күн бұрын

    Op😊

  • @suleimankhamis2771
    @suleimankhamis27716 күн бұрын

    Simba kama simba semaji kama semaji 😂😂😂😂😂❤❤❤

  • @MarryCharles-rc6ei
    @MarryCharles-rc6ei6 күн бұрын

    Thank you ya jobe lini

  • @simonmilinga2070
    @simonmilinga20706 күн бұрын

    Hio ya mwisho ni equitorial guinea nchi pekee inayoongea spanish

  • @billalicool9430
    @billalicool94305 күн бұрын

    Someni Dua Kuwalinda Wachezaji na Benchi la Ufundi mahasidi ni wengi

  • @SurusiPatrick
    @SurusiPatrick6 күн бұрын

    semaji huna baya

  • @victorcharles1732
    @victorcharles17325 күн бұрын

    Deborah Mavambo fernandez huyo

  • @ZakariaSimon-gp1gr
    @ZakariaSimon-gp1gr6 күн бұрын

    ❤❤❤❤ semaji km nakuona Simba day

  • @fatumahassan8425
    @fatumahassan84254 күн бұрын

    Semaji dua muhm wachezaji muwazindke someni dua

  • @JumaBakari-ld5rr
    @JumaBakari-ld5rr6 күн бұрын

    Namuona fei saa moja

  • @lukiaanatory4598
    @lukiaanatory45985 күн бұрын

    Semaji langu la simbaaaaa

  • @MudiMajid
    @MudiMajid6 күн бұрын

    Semani la kimataifa hongera unatupa laha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @bestman8182
    @bestman81826 күн бұрын

    Kispanyola kinazungumzwa Equatorial Guinea .....Gine ya Ikweta tu hapa Africa. So, is the guy coming from EG?

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica43685 күн бұрын

    Engineer Hersi anawaloga sana wachezaji wetu ni mshenzi sana anaamini ushirikina Ili mambo yake yaende

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    5 күн бұрын

    @@thehustlerafrica4368 mnajiroga wenyewe sasa unamuacha top scorer wa club yako anaekupa 10 + Kila msimu Kisha unaenda kumchukua Omar Omar kweli ? Unamleta manzoki 🤣 kwenye mkutano mkuu Kisha uwanjani wakamkuta sawadogo kweli mnarogwa nyie au mnajiroga ? Mna game na alhy Cairo mnaenda kuifadhili interview ya mayele mpo serious kweli nyiee ?? Wenzenu wanasajili nyie mmekazana drama tumemteka namba 6 airport 🤣🤣🤣, nyie ndo mnajiroga ... Unamuacha Baleke Unamleta jobe kweli kabisaaa??? Una muuza Inonga Unamleta lameck kwel 🤣, usajili wa akina Omar Omar ndo mnapata ujasiri wa kupayuka ??? 1. Dube 2.chama 3. Baleke 4. Boka Then unapata ujasiri wa kuropoka huogopiiii 🤣🤣🤣🤣

  • @isackcharles6086
    @isackcharles60866 күн бұрын

    🦁

  • @user-jy1wm8do8w
    @user-jy1wm8do8w6 күн бұрын

    Kama mtafunga usajili bila beki wa kushoto tutafungwa sana

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi86106 күн бұрын

    Balaaa

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee6 күн бұрын

    Equator Guinea wanaongea Kihispania ndiyo taifa pekee Africa kuongea lugha hiyo

  • @tuntumzazi
    @tuntumzazi6 күн бұрын

    😂😂😂😂 ila semaji

  • @Msangoboy
    @Msangoboy6 күн бұрын

    Vyuma kwelikweli

  • @user-vw2ux5sh4x
    @user-vw2ux5sh4x5 күн бұрын

    Jamani wana simba hv mbadala wa shomari katangazwa au tuendelee kumuamini dogo mwenda mana msimu uliopita kwa shomar walipita sana

  • @madukaj.j.6999

    @madukaj.j.6999

    5 күн бұрын

    Hepa ndo tatizo linaanzia. Sijui hawaoni hili?

  • @lukiaanatory4598
    @lukiaanatory45985 күн бұрын

    Semaji unabaya

  • @OnesmoMabena
    @OnesmoMabena6 күн бұрын

    Mpanzu pls

  • @BoniphaceMbapula
    @BoniphaceMbapula5 күн бұрын

    Hauna baya semaji tunakutegemea

  • @zakayomgaya2758
    @zakayomgaya27586 күн бұрын

    😂😂😂semaji bwana

  • @user-vh6hh6ul2h
    @user-vh6hh6ul2h6 күн бұрын

    Simba ❤❤❤

  • @jumamtatiro6358
    @jumamtatiro63586 күн бұрын

    Kireno hicho

  • @allyanyigulilemlaghilajumb5829
    @allyanyigulilemlaghilajumb58296 күн бұрын

    Namibia ni nchi pekee Afrika wanakozungumza Kijerumani. CODE hiyo

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    5 күн бұрын

    Namibia haiiongei kijerumani

  • @allyanyigulilemlaghilajumb5829

    @allyanyigulilemlaghilajumb5829

    5 күн бұрын

    @@FahadAbubakari labda huijui Namibia. ngoja tusubiri

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    5 күн бұрын

    @@allyanyigulilemlaghilajumb5829 nmekaa Namibia Windhoek more than 3 yrs so sihitataji kuambiwa kweli walitawaliwa na wajerumani at some points na ushahidi upo , later walichukua makaburu , lugha zinazozungumzwa ni oshiwambo au ovambo iyo ndio ka kiswahili karibu weusi wengi huongea khoekhoe , Afrikaans na herero kwangali na of course English kwa mijini na walosoma Kuna shule zinafundisha kijerumani kama zilivoshule zinafundisha kifaransa tz na Kuna Jamii ya hao wazungu wakijerumani wako idadi kubwa kidogo ila si kwamba kijerumani ni lugha inayozungumzwa pale

  • @khalifasultan2677
    @khalifasultan26775 күн бұрын

    Mmeshindwa Kutuletea Feisal??

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana80846 күн бұрын

    Usajili ndo ukute tumemaliza😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @georgejulius3315
    @georgejulius33156 күн бұрын

    Nigeria

  • @petro8010
    @petro80105 күн бұрын

    Ninyi Azam mnazingua sana kuhusu mechi za Euro cup jana kwa nini hamkuonesha mechi ya France na Portugal. Mkaonesha Moja why acheni hizo

  • @Khalidniya380
    @Khalidniya3806 күн бұрын

    EQUATORIAL GUINNEA

  • @FrankKashamakula-xb1pc
    @FrankKashamakula-xb1pc5 күн бұрын

    Equatorial Guinea ndio anatoka io Mashine ya pili sijui nani uyo

  • @user-nn6mp8qj9l

    @user-nn6mp8qj9l

    5 күн бұрын

    Anachez namba gan?

  • @FrankKashamakula-xb1pc

    @FrankKashamakula-xb1pc

    5 күн бұрын

    @@user-nn6mp8qj9l sijajua pia bado tusubiri

  • @allyanyigulilemlaghilajumb5829
    @allyanyigulilemlaghilajumb58296 күн бұрын

    NAMIBIA

  • @petro8010
    @petro80105 күн бұрын

    Mechi za Euro cup onesheni zote acheni ubabaishaji

  • @user-lz1lj9qg8e
    @user-lz1lj9qg8e5 күн бұрын

    Mashine ya tatu mpanzu tuuu

  • @mrgujarat8391
    @mrgujarat83916 күн бұрын

    Hizi ndo zile clip ambazo akizitizama anacheka mwenyewe

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka2566 күн бұрын

    WACHEZAJI WAKIJA WANAUMIYA HAMUWAEKEI KINGA YA ALBADIRI HALAFU WANAROGWA NA AKINA MZEE MPILI SHAURI YENU

  • @officialdana5114

    @officialdana5114

    5 күн бұрын

    Tafuta hela kulogwa unalogwa ww tyu

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    5 күн бұрын

    Sasa kama viongozi waliwaacha akina Phiri na baleke then unaleta akija jobe na Fred kweli ?? Kwaiyo manzoki mlimlinda kwenye mkutano mkuuu 😂😂😂😂

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    5 күн бұрын

    @@officialdana5114 UNATETEA SABABU BABAKO NDIO MCHAWI ANAEROGA WATU WASHIRIKINA NYIE MACHOGO FC ATAKUFA MWAKA HUU DADEKI ZENU

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    5 күн бұрын

    @@mwanangusana MWAKA HUU MTAKUFA KAMA DAGAA WACHAWI NYIE

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    5 күн бұрын

    @@salimmalaka256 uchawiii ni kumleta Manzoki Kisha kwenye usajili unamkuta Sawadogo 🤣😂

  • @petro8010
    @petro80105 күн бұрын

    Mechi za Euro cup onesheni zote

  • @ProsperSantos
    @ProsperSantos6 күн бұрын

    Azam wasenge sana yani match ya Euro inaonesha 1 afu mnasema buludani Kwa wote nyie vipo nyie ichi kisimbuzi Cha kitoto sana

  • @emmanuelmayunga1518

    @emmanuelmayunga1518

    6 күн бұрын

    Kwel kabisa wanazingua sana

  • @petro8010

    @petro8010

    5 күн бұрын

    Mimi wananiudhi basi tu

  • @mrgujarat8391
    @mrgujarat83916 күн бұрын

    Kiufupi zilaili yani

  • @HassaniMakidanga
    @HassaniMakidanga6 күн бұрын

    😂😂

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana80846 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @flova7022
    @flova70226 күн бұрын

    Urenoo na angolaa

  • @josephjohn2114

    @josephjohn2114

    5 күн бұрын

    Msumbiji pia wanatumia kireno

  • @Mwanzaboy255
    @Mwanzaboy2556 күн бұрын

    Mpamzu

  • @LeonceFedhanane
    @LeonceFedhanane6 күн бұрын

    Wambiye

  • @BADAWY575
    @BADAWY5756 күн бұрын

    Huyu Ahmed Aly bonge moja lamuongeaji kuna comedy flan uki brand sio .ushatoka maisha haya ni babu kubwa anafurahisha sana .Simba kazeni mitakavyo kaza nyie muelekeo hamuna sababu ni moja tu uongozi wacha tuwape chance lakini msimu haumaliziki mutapigana kwa sababu simba wote wanafiki omba omba wa babujiiiii jikomboeni mujimiliki mazumbukuku nyie

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    6 күн бұрын

    NA WEWE NI NGURUWE MLA MIHOGO HAYA KUHUSU MACHOGO FC WASHONA MAGODORO NYIE KENGE WA KIJANI WEWE 😂😂😂😂

  • @BADAWY575

    @BADAWY575

    6 күн бұрын

    @@salimmalaka256 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wakufa ni wakufa tu

  • @SaidySaidysalum
    @SaidySaidysalum6 күн бұрын

    😅😅😅😅❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-js7lr8vr9i
    @user-js7lr8vr9i6 күн бұрын

    Wesema mashine alafu utulete utumbo

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    6 күн бұрын

    KWANI YEYE NDIO ANAOWALETA??? YEYE NI MSEMAJI TU

  • @HalidiKilale-i8i
    @HalidiKilale-i8i5 күн бұрын

    Semaji huna Bayaa....

  • @BeniYaredy
    @BeniYaredy6 күн бұрын

    Uyo mnampa ujinga nyie mana meakajana hakuita watu majina wakina funga funga ukuta wa yeliko mbona Leo hamhoji tumekuzowea we chiz

  • @OnesmoJulius-fi1qg

    @OnesmoJulius-fi1qg

    6 күн бұрын

    Bishana na radio sasa😂😂😂😂😂

  • @waltermfikwa4361

    @waltermfikwa4361

    6 күн бұрын

    Chizi wew unataka kubishana na radio.... Na huyo hawahusu nyie hvyo mwache kama alivyo na afanye km anavyotaka coz anatuhusu sisi Wana SSC. Na sio UTOPOLO 😂😂😂

  • @user-py7ro6cn8e

    @user-py7ro6cn8e

    6 күн бұрын

    Hii ni simba we dada sijui ni dada au kaka, utajua mwenyewe, peleka coment yako ya kibano cha kunya kwa utopolo

  • @user-ys4zk3hx4f
    @user-ys4zk3hx4f6 күн бұрын

    Mashine ya kuongea

  • @user-jy1wm8do8w
    @user-jy1wm8do8w6 күн бұрын

    Kama mtafunga usajili bila beki wa kushoto tutafungwa sana

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    5 күн бұрын

    @@user-jy1wm8do8w mbona unaanza kuogopa mapema ndugu yanguuu

  • @petro8010
    @petro80105 күн бұрын

    Mechi za Euro cup onesheni zote

Келесі