Ahmed Ally afunguka mashine tatu watakazotangaza leo
Спорт
Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amefungua ‘code’ za wachezaji watatu ambao watawatangaza leo.
Mmoja ni mashine mtoa roho ambaye ni kiungo mkabaji anayetokea katika nchi iliyopo kati ya Afrika Magharibi na Afrika Kaskazini.
Mwingine ni mashine katili ambaye ni kiungo mchezeshaji atakayetambulishwa saa 12:00 jioni na baadae usiku watatambulisha mwingine.
Ahmed amezungumza na mtangazaji Mahmoud Zubeir kwa njia ya #WhatsAppCall kupitia kipindi cha #SportsAM
#SimbaSC #SportsAM #AhmedAlly
Пікірлер: 92
Mashine za kazi
Hapo safi, namba 6 na 8 🔥
semaji mungu akuweke baba
Mashine ya kuongea
Simba ya mwaka huu ni moto❤
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂 daaaah semaje una Tisha mkuu
Kitu cha maana kingine mlikchofanya ni kutambulisha bench la ufundi mapema sio kocha anakuja wakati ligi imeanza anaishia kujaribisha wachezaj kwenye mechi za ushindani
@mwanangusana
5 күн бұрын
@@bestman8182 kaka wambie kocha apewe muda wa kusuka timu kwanza .... Sio kafumuliwa 3 mnaanza kutukana 🤣🤣🤣
Augustine okajepha huyo mi mashine vbya mnoo
ahamed ally upo sahihi sana
@biwivuai1407
6 күн бұрын
Op😊
Simba kama simba semaji kama semaji 😂😂😂😂😂❤❤❤
Thank you ya jobe lini
Hio ya mwisho ni equitorial guinea nchi pekee inayoongea spanish
Someni Dua Kuwalinda Wachezaji na Benchi la Ufundi mahasidi ni wengi
semaji huna baya
Deborah Mavambo fernandez huyo
❤❤❤❤ semaji km nakuona Simba day
Semaji dua muhm wachezaji muwazindke someni dua
Namuona fei saa moja
Semaji langu la simbaaaaa
Semani la kimataifa hongera unatupa laha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kispanyola kinazungumzwa Equatorial Guinea .....Gine ya Ikweta tu hapa Africa. So, is the guy coming from EG?
Engineer Hersi anawaloga sana wachezaji wetu ni mshenzi sana anaamini ushirikina Ili mambo yake yaende
@mwanangusana
5 күн бұрын
@@thehustlerafrica4368 mnajiroga wenyewe sasa unamuacha top scorer wa club yako anaekupa 10 + Kila msimu Kisha unaenda kumchukua Omar Omar kweli ? Unamleta manzoki 🤣 kwenye mkutano mkuu Kisha uwanjani wakamkuta sawadogo kweli mnarogwa nyie au mnajiroga ? Mna game na alhy Cairo mnaenda kuifadhili interview ya mayele mpo serious kweli nyiee ?? Wenzenu wanasajili nyie mmekazana drama tumemteka namba 6 airport 🤣🤣🤣, nyie ndo mnajiroga ... Unamuacha Baleke Unamleta jobe kweli kabisaaa??? Una muuza Inonga Unamleta lameck kwel 🤣, usajili wa akina Omar Omar ndo mnapata ujasiri wa kupayuka ??? 1. Dube 2.chama 3. Baleke 4. Boka Then unapata ujasiri wa kuropoka huogopiiii 🤣🤣🤣🤣
🦁
Kama mtafunga usajili bila beki wa kushoto tutafungwa sana
Balaaa
Equator Guinea wanaongea Kihispania ndiyo taifa pekee Africa kuongea lugha hiyo
😂😂😂😂 ila semaji
Vyuma kwelikweli
Jamani wana simba hv mbadala wa shomari katangazwa au tuendelee kumuamini dogo mwenda mana msimu uliopita kwa shomar walipita sana
@madukaj.j.6999
5 күн бұрын
Hepa ndo tatizo linaanzia. Sijui hawaoni hili?
Semaji unabaya
Mpanzu pls
Hauna baya semaji tunakutegemea
😂😂😂semaji bwana
Simba ❤❤❤
Kireno hicho
Namibia ni nchi pekee Afrika wanakozungumza Kijerumani. CODE hiyo
@FahadAbubakari
5 күн бұрын
Namibia haiiongei kijerumani
@allyanyigulilemlaghilajumb5829
5 күн бұрын
@@FahadAbubakari labda huijui Namibia. ngoja tusubiri
@FahadAbubakari
5 күн бұрын
@@allyanyigulilemlaghilajumb5829 nmekaa Namibia Windhoek more than 3 yrs so sihitataji kuambiwa kweli walitawaliwa na wajerumani at some points na ushahidi upo , later walichukua makaburu , lugha zinazozungumzwa ni oshiwambo au ovambo iyo ndio ka kiswahili karibu weusi wengi huongea khoekhoe , Afrikaans na herero kwangali na of course English kwa mijini na walosoma Kuna shule zinafundisha kijerumani kama zilivoshule zinafundisha kifaransa tz na Kuna Jamii ya hao wazungu wakijerumani wako idadi kubwa kidogo ila si kwamba kijerumani ni lugha inayozungumzwa pale
Mmeshindwa Kutuletea Feisal??
Usajili ndo ukute tumemaliza😢😢😢😢😢😢😢😢
Nigeria
Ninyi Azam mnazingua sana kuhusu mechi za Euro cup jana kwa nini hamkuonesha mechi ya France na Portugal. Mkaonesha Moja why acheni hizo
EQUATORIAL GUINNEA
Equatorial Guinea ndio anatoka io Mashine ya pili sijui nani uyo
@user-nn6mp8qj9l
5 күн бұрын
Anachez namba gan?
@FrankKashamakula-xb1pc
5 күн бұрын
@@user-nn6mp8qj9l sijajua pia bado tusubiri
NAMIBIA
Mechi za Euro cup onesheni zote acheni ubabaishaji
Mashine ya tatu mpanzu tuuu
Hizi ndo zile clip ambazo akizitizama anacheka mwenyewe
WACHEZAJI WAKIJA WANAUMIYA HAMUWAEKEI KINGA YA ALBADIRI HALAFU WANAROGWA NA AKINA MZEE MPILI SHAURI YENU
@officialdana5114
5 күн бұрын
Tafuta hela kulogwa unalogwa ww tyu
@mwanangusana
5 күн бұрын
Sasa kama viongozi waliwaacha akina Phiri na baleke then unaleta akija jobe na Fred kweli ?? Kwaiyo manzoki mlimlinda kwenye mkutano mkuuu 😂😂😂😂
@salimmalaka256
5 күн бұрын
@@officialdana5114 UNATETEA SABABU BABAKO NDIO MCHAWI ANAEROGA WATU WASHIRIKINA NYIE MACHOGO FC ATAKUFA MWAKA HUU DADEKI ZENU
@salimmalaka256
5 күн бұрын
@@mwanangusana MWAKA HUU MTAKUFA KAMA DAGAA WACHAWI NYIE
@mwanangusana
5 күн бұрын
@@salimmalaka256 uchawiii ni kumleta Manzoki Kisha kwenye usajili unamkuta Sawadogo 🤣😂
Mechi za Euro cup onesheni zote
Azam wasenge sana yani match ya Euro inaonesha 1 afu mnasema buludani Kwa wote nyie vipo nyie ichi kisimbuzi Cha kitoto sana
@emmanuelmayunga1518
6 күн бұрын
Kwel kabisa wanazingua sana
@petro8010
5 күн бұрын
Mimi wananiudhi basi tu
Kiufupi zilaili yani
😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Urenoo na angolaa
@josephjohn2114
5 күн бұрын
Msumbiji pia wanatumia kireno
Mpamzu
Wambiye
Huyu Ahmed Aly bonge moja lamuongeaji kuna comedy flan uki brand sio .ushatoka maisha haya ni babu kubwa anafurahisha sana .Simba kazeni mitakavyo kaza nyie muelekeo hamuna sababu ni moja tu uongozi wacha tuwape chance lakini msimu haumaliziki mutapigana kwa sababu simba wote wanafiki omba omba wa babujiiiii jikomboeni mujimiliki mazumbukuku nyie
@salimmalaka256
6 күн бұрын
NA WEWE NI NGURUWE MLA MIHOGO HAYA KUHUSU MACHOGO FC WASHONA MAGODORO NYIE KENGE WA KIJANI WEWE 😂😂😂😂
@BADAWY575
6 күн бұрын
@@salimmalaka256 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wakufa ni wakufa tu
😅😅😅😅❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wesema mashine alafu utulete utumbo
@salimmalaka256
6 күн бұрын
KWANI YEYE NDIO ANAOWALETA??? YEYE NI MSEMAJI TU
Semaji huna Bayaa....
Uyo mnampa ujinga nyie mana meakajana hakuita watu majina wakina funga funga ukuta wa yeliko mbona Leo hamhoji tumekuzowea we chiz
@OnesmoJulius-fi1qg
6 күн бұрын
Bishana na radio sasa😂😂😂😂😂
@waltermfikwa4361
6 күн бұрын
Chizi wew unataka kubishana na radio.... Na huyo hawahusu nyie hvyo mwache kama alivyo na afanye km anavyotaka coz anatuhusu sisi Wana SSC. Na sio UTOPOLO 😂😂😂
@user-py7ro6cn8e
6 күн бұрын
Hii ni simba we dada sijui ni dada au kaka, utajua mwenyewe, peleka coment yako ya kibano cha kunya kwa utopolo
Mashine ya kuongea
Kama mtafunga usajili bila beki wa kushoto tutafungwa sana
@mwanangusana
5 күн бұрын
@@user-jy1wm8do8w mbona unaanza kuogopa mapema ndugu yanguuu
Mechi za Euro cup onesheni zote