BONDIA MWAKINYO AHUTUBIA TAIFA/AMKATAA TWAHA KIDUKU MBELE YA WAZIRI NAPE"SIPIGANI BURE NA MPAKA PIKO
Ойын-сауық
KWA HABARI , SIASA, MICHEZO NA BURUDANI USISAHAU KU SUBSCRIBE KZread CHANNEL YETU YA LOKOMATV HAPA
Follow Us On:
INSTAGRAM: shorturl.at/wFP67/ || shorturl.at/jwQSU
TWITTER: shorturl.at/luzLZ
FACEBOOK: shorturl.at/rCL12
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 Empire Lokoma Limited . 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#yanga #simba #yangasc #simbasc #simbavsyanga #tff #nbcpremeireleague #mwakinyo #samatta #zuchu #wizkid #Davido #nandy #wasafi #diamondplatnumz #alikiba #harmonize #instalive #youtubelive #mboso #lavalava #beyonce #Mariacare #mwijaku #babalevo #hbaba #kondeboy #afrima #notjustok #exclusive #lokomatv #trending #tanzania #marioo #mrpimbi #rickmedia #millardayo #ayotv #simulizinasauti #utamu #mpenjatv #globaltv #bonatv
Пікірлер: 64
Mwakinyo Mungu akujalia kwa namna yeyote🇰🇪
Safi sana bro huyo mpaka piko acha nae pigana kwa malengo
Mwakinyo bondia namba moja
😅😅😅 Nimecheka sana Vigezo na masharti vikibalnce NDOA ITAFUNGWA.
Ww ndo unafanya hii nchi inajulikana ktk ngumi kwaiyo atuna shaka kwa hilo kiufupi ww ndo ster manaunajuwa kujielezea pia one love broo❤❤❤
mwakinyo ngumi unazijua naunajua kujielezea sana
Bondia bora ni yule mwenye utayari wa kupigana na mabondia wakali wa nchi yake kisha na wa mabondia wa nje sio unatilia ugumu mapambano ya ndani alafu unataka usifiwe wengine hatupendi mabondia waoga tunapenda mabondia wenye uwezo wa kutia changamoto kwa mabondia nchi moja ili kuweza kupambana vizuri na mabondia wa kigeni ubondia sio chuki mtu akitaka pigana nawe sio jambo baya
Mwakinyo nakukubali ni mwanabondia
Namkubali sana huyu jamaa ana jitambua sana kiukweli
Mwakinyo yupo sahihi ila waTZ mnataka kuyaleta ya team Diamond na team Kiba hapa ambao hata wao wanaangalia maslahi ya kolabo wanazofanya kuwa vigezo vizangatiwe
Naona umefunga nywele!! Naingiwa na mashaka sana kwakweli ila poa tutajua tu.
@kellybreezytz2491
4 ай бұрын
Mchunguze na baba yako uje utupe majibu
@RamadhaniLukambuzi
4 ай бұрын
@@kellybreezytz2491Sio sawa Kijana wa Kiume kujifananisha na jinsia ya kike,sio kabisa;ustar sio mpaka mtu ajichore matatuu,avae heleni,sio mpaka avae viduku,au avae siketi na kadhalika;Ustar ni ile kazi yako namna unavyoifanya kwa ustadi wa kipekee,watu watakuelewa tu,Mfano Marehemu Mohammad Ally huwa naangalia videos zake za mapigano hakuna nilipoona amevaa vitu vya ajabu kama zipo video mbovu za Mohammad Ally niambie!Hivi inakuaje Mwanaume anasuka nywele na Mwanamke anasuka?Hata mwanamke kujifananisha na wanaume ,kuvaa nguo za kiume,kufanya tabia za kiume hayo yote Mwenyezi Mungu katukataza!
@clausemsemwa297
4 ай бұрын
Hata Mimi HAINIBARIKI naona mashaka
@kellybreezytz2491
4 ай бұрын
@@clausemsemwa297 Fanya wew vikubariki
Tanganyika ndo ilipata Uhuru boya ww
@taurehassan7399
4 ай бұрын
Majungu yako yatafaa Nini?umekuwa km wahahabi kw mtume?mwakinyo yupo nafac yke alowekwa na mungu majungu yko yatafaa Nini?
@mgayagesimba2238
4 ай бұрын
Wewe vp fikiria kabla ya kuongea pia ulisomea wapi? Dunia inatambua Tanzania, habari ya tanganyika ni ya ndani huwezi kuongelea Dunia ukaweka tangayika upo uliyemuita boy itakuwa umejisemea wewe
@mrfundi_og1588
4 ай бұрын
Kuna watu bado vilaza kumbe mpaka leo, kwan iliyopata uhuru ni Tanganyika au Tanzania mbona mnanipa mashaka na uraia wenu nyie
@Dejy_Arto88
3 ай бұрын
Tanganyka si nyumbani kabisa na mwakinyo si ndgu yetu kabisa apewe maua yake 5:06
Nakukubari saana mwamba”
Chapa laba songa mbele ww ndie bondia bora tz sio hawa midomomidomo
Bondia mzuri ila sifa zimed aise kaa
Mwakinyo ni bondia anaejielewa apigane na twaha kiduku kwa maslahi gani tangazeni dau watu waingie uwanjani na mechi ndio itampandisha twaha kiduku Kim kimaisha mapromota wanamnyonya sana twaha wao wanatajirika lakini twaha hana maisha nimeamini mwakinyo atabaki kuwa mwakinyo hana mpizani
Kila cku kauli hiyo hiyo tu ww njoo kiumeni ndo utajua hujui
Champez
Mwenye ngumi zake anaongea. Ngumi bila mwakinyo sawa na film bila kanumba.
Yule mpaka piko ww mfunga nywele mamy
Mwamba tunakukubali
Atutaki umtaje Tena twaha kaa kimya ka ukipotea mtaje mapafu ya mbwa siyo twaha tena
@marhabamarhaba459
4 ай бұрын
Kataja Mpaka Piko hajataja jina la Twaha, itakua umesikia vibaya😂
Wambie champenzi
@BashirJuma-bj8xq
4 ай бұрын
haaa alisema mwenzie kachora piko yeye kasuka kma sarafina dunia ina mambo
Sema mwamba haeleweki
Wachache ndio tumemwelewa mwakinyo mwamba uyo hapo nn mnataka awafanyie
tokaa apo unamugopa mwamba wa uruguru twaha kiduku atakuua wrwr mcheza chakacha na baikoko
@damianmcba9525
4 ай бұрын
Ndo maana mayweather Tajikistan alikuwa apigani kufuŕahisha fan ,,kwanza dau lake lifikiwe mengine baadae
Ila mwamba ni muoga kinyama.anamaelezo maziuri kumbe ndio anaeskep 😅😅😅😅
Na ukijaa tu umekwishaaaa jinga jinga wewe
Tantariraa nyingi sana huyu kijana
Hii tabia ya kufunga nywele kama dm sijapenda sio powa ukizingatia ww ni muislam
Huna jipya tena umebaki na mipasho tuu huyo twaha ulimtaka mwenyewe sasa mipassho ya nin wewe suka tu matungu maji hayoi
@ramsonramadhan4156
4 ай бұрын
Muongo na hufatilii Hassan hajawahi kutak kupigana n Twaha ata mara moja n ndio maana mnasema anamuogopa ila Hasaan ni level kubwa sana kwa twaha...ata ukichukia ndo iko ivo
Mwoga ww
yeyote nwenye akili timam lazima akuelewe wewe ni kichwa
Duuh jamaa muoga huyu tangu makajuzi anajieleza tu wakati ilijambo lingeshaisha siku nyiingi.. Sasa yeye ni kujieleza tu maneno meeengi..hebu Tumia msemo wa kikubwa ( mtoto akililia wembe mpe umkate hatalilia tena inakupa nafasi wewe kuendelea na kazi zako)
mcheza baikoko ktwaha kiduku angeku stafisha ndondi mjinga bondia wa mchongo unalenga wa kupigana nao wewe hata mandonga anakupiga bishoo mla urojo ndio maana tanga unamiriki hoteli mtoto kupika weyee
Kufunga nywel akun uharamu
Ninashaka na uwekaji wako wa nywele wewe kama kijana wa kiislamu Tena kutoka Tanga Mjini
Wakati unaongea Zanzibar kuusu kiduku ulijitekenya acha woga wewe
Kaka unahiitaji historia kubwa kidunia we mpiganaji pigana utakapo hitajika acha kujielezea sana historia ya ngumi inajielezea.pigana n twaha bana
@NuhuMabena-gh1wo
5 ай бұрын
Sifa ya bondia ni majigambo wewe vp wewe
@user-jh9yv1zp1l
5 ай бұрын
Mwakinyo mwamba
@sharcksharckhassan5786
4 ай бұрын
Halafu baada ya kupigana anapata nini?
@eliakimusikawa4254
4 ай бұрын
Ndugu zangu ambao hamjui sifa za huu mchezo kwanini msitafute mchezo mwingine wa kushabikia?? Hyping (kujimwambafai) ni sifa kuu ya huu mchezo koz ni mchezo Hatari ambao bila kujipa moya na kumjaza mpinzani wako, hauwezi au hawezi kupamda ulingoni na mkapata watazamaji na wafuatiliaji wengi. Kiufupi ni mchezo pekee ambao promotions zake hufanywa na mabondia wenyewe kwa kutunishiana misuli. If unaona anachofanya siyo sahihi basi ujue wewe ndo hauko kwene mchezo sahihi.
Muoga tu wewee huna lolote ulijua ukimtaka atanyamanza mbuzi weee
@user-by6fo2yl1u
4 ай бұрын
twaha ndoo kaanza kumtaka mwenzake ww
Na ole wako umtaje Tena twaha kiduku mfuga nywele mshamba wewe kwani kina Mayweather walimsindikiza mtu mechi 55 mpaka Sasa na kapigana mpaka na vibondia vya ajabu ajabu acha uwoga wewe mshamba
Na kiduku aende naye akihutubie Ta if a la Moro
Shida ya huyu kiumbe anaongea zarau Sana kumbuka unae mdharau kaumbwa na Mungu pia so one day utadondoka tu
@jamilmwinge3695
5 ай бұрын
Ni moja ya mbinu za upiganaji kumtia hasira na mihemuko mwenza ili apanic.
@barakashingwa664
5 ай бұрын
Acha kutiatia huruma boxing sio mchezo wa kulialia
@Drbilallyhealthcoach
4 ай бұрын
@@jamilmwinge3695mbinu vipi wakati wakati kiduku kajaa ingepaswa amnyamanzishee mdomo kama kweli yer kidume