UTEUZI MPYA USIKU HUU, RAIS SAMIA ATEUA 9 WAPYA IKULU, MKALIMANI NA WENGINE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Bw. Juma Selemani Mkomi kuwa Katibu wa Rais (KR).
Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Machi, 2021.
Wakati huo huo, Mhe. Rais Samia amefanya uteuzi wa Wasaidizi katika Ofisi Binafsi ya Rais (OBR) kama ifuatavyo;
Amemteua Bw. Said Ali Juma kuwa Mnikulu.
Amemteua Mhe. Balozi Dkt. Mussa Julius Lulandala kuwa Msaidizi wa Rais, Nyaraka na Ukalimani (PAP-TD).
Amemteua Mhe. Balozi Ali Bujiku Sakila kuwa Msaidizi wa Rais, Hotuba (PAP-SD).
Amemteua Bi. Maulidah Bwanaheri Hassan kuwa Msaidizi wa Rais, Diplomasia (PAP-DA).
Amemteua Bi. Felister Peter Mdemu kuwa Msaidizi wa Rais, Maendeleo ya Jamii.
Amemteua Bw. Nehemia Ernest Mandia kuwa Msaidizi wa Rais, Sheria (PAP-LA)
Amemteua Dkt. Blandina Kilama kuwa Msaidizi wa Rais, Uchumi (PAP-EA).
Amemteua Dkt. Salim Othman kuwa Msaidizi wa Rais, Siasa (PAP-PA).
Uteuzi wa Wasaidizi wa Rais unaanza leo tarehe 16 Aprili, 2021.
Пікірлер: 366
Asante kwa taarifa.
Hongera kwenu sote mtakaomfanya Rais wetu afanye kazi kwa weledi, furaha na ufanisi mkubwa katika kuirejesha nchi kwenye mstari sahihi.
Hongera muheshmiwa ila ni nakukumbusha Kuna mpambanaji anaitwa Paul Makonda 🙏
Hongara mama naomba upende sana kushauriwa.hakuna mkamilifu ispokua Allah .hv ndo diniyetu inavoongea .wala usiwadhulumu watu kwadini zao au kabila zao.kua muadilifu.uondoke .watu wakiwa salama wote nawenye kupata neema tl.Allah .atakwenda kukuliza uliongoza vp watu wako.hakika hii dunia nimchezo tuu.
@sabraabdilnasir8826
3 жыл бұрын
Zahor salim maneno yako nimazima yapo kwenye msitari asiwadhum watu allah amsimamiye na ajitahidi maisha ni mafupi
Ahsante Sana Mheshimiwa Rais wetu Mama Samia Mungu akutie nguvu sana usimame na Taifa la Tanzania
Kwakwelii WATANZANIA hatuna jema mama mwenyezi mungu akusimamie na akuongozee kwa kila Jambo Hilo tuu linatosha🙏🙏🙏
Hongera Mh. Rais, hongera mlioteuliwa, KAZI IENDELEE.
Congratulations mama,your Excellency my president,Samia s Hassan,we together,
Asante sana Ayo
Asante kwa uteuzi mzuri Mh Rais🙏
safi saaaana weka unaowaamini na wanaokuheshimu
mama fanya unacho fanya ila usije kuisaliti tanzania kwa kutoa bandari ile sisi ni watanzania tunajali mchango wako tafadhali bandari ile tutajenga wenyewe hatuna haraka hivo
@chrismndolwa718
3 жыл бұрын
Hapo kwenye Bandari Mambo siku hizi yako waziwazi hawawezi wakapitisha kitu kibaya Kwa nchi mama Samia kaweka wazi kabisa kuwa kuna ucheleweshwaji wa Malipo ya certificate ya mradi ilikusudi watu kadhaa wanapiga mpunga ktkti kwahiyo kitaeleweka tu
Asante mama
Blesses
Mwenyezi Mungu amuangamize yeyote ane kuwazia kukufanyia mabaya mama yetu. Manake sio kila binadam anapenda mema ya mwingine
Yetu masikio ! Hongera Mama !!
Nisiwe mnafiki kiukweli bado sijamuelewa huyu mama maana anapita njia ile ile ya kikwete huyu mama. Mmmmmhhh tutakuja kushuhudia usaliti mkubwa unafanyika siku zijazo
Hayati Jonh Pombe magufuli alikuwa na watumishi wachache na kazi zilienda kwa kasi, magufuli alipunguza watumishi ili kuokoa HELA zikasaidie sehemu nyingine muhimu. RIP JOHN JOSEPH MAGUFULI
Walioteuliwa, Hongereni sana na majukumu mema,lkn LAZIMA mtetee nafas zetu kwa kuwajibika ipasavyo maana hata sisi tunazitamani nafas hizo Lakini hatuwezi kuupinga usemi wa wahenga kuwa, " aliyepewa kapewa "
@trophywilson7211
3 жыл бұрын
Aliyepewa kapewa apete tuuu
@whatisthetruth.8793
3 жыл бұрын
Sio kwa kuja kuliibia taifa , huko sio kipewa ni wizi , na nani wasiwasi yule itaiba sana maana umeshA muingiza mume wa bimti kwenye unaibu waziri , hicho kinanipa ishara mbaya dhidi ya yule bibi , kamuondoa mpaka Mungu kwenye maisha ya kiserekali , kaja na kusalimia kwa ajabu , ajabu , kusalimia kiaina ya shetani, kama tunaiabudu nchi .au tunajiabudu wenyewe 🤔🤔🤔
@hajihassan5433
3 жыл бұрын
@@whatisthetruth.8793 Vyovyote iwavyo zimwi likujualo ..... Kwani kuna ubaya gani kumteuwa mtu wa karibu mwenye sifa zinazotakiwa? Hizo nafasi ni zetu sote, sio sahihi kwamba usipewe nafasi kwa kuwa anaeteuwa mnajuwana. Kigezo kikuu cha kuteuliwa ni kujulikana. Kuhusu wizi huo ubinafsi wa mtu inawezekana sisi ni wezi kuliko wao lakini hatujapata nafasi. Muhimu waombee wakafanye kazi.
@abdulfatahhussein4087
3 жыл бұрын
@@hajihassan5433 👍
Safi sana mama
Waislam ndo wengi. Kwanza ni mchezo mchafu tu unaochezwa huko ikulu. Hatuna rais term him Mungu tuongoze mwenyewe . RIP JPM
@azizawadh5973
3 жыл бұрын
Ubongo wako umegandisbwa endelea kuganda
@ramadhanimtetu7246
3 жыл бұрын
Mkuu Hapo Kuna na Wa Visiwani Ndio Maana Umeona Na Majina HAYO ULIYOYALALAMIKIA Hii Kwa Kweli Hatukuzoea Maana teuzi Za Watangulizi Wake Ilikuwa tofauti kidogo Ilikuwa kwa Upande wa Znz Ni Aghrabu Kufikiwa na Uteuzi Tena WakTi Mwingine Uteuzi Unaanza na Kuishia Kanda moja tu Hii ilizua Minong'Ono ya Chini chini Huko nyuma # WACHA KAZI NA IENDELEEE
@kakorejrboyz6447
3 жыл бұрын
Jaman DINI haifanyi KAZI ...ACHENI Kutajataja mambo yasio na maana achawatu wale MAISHA na Uteuzi wa mama nao ndio wakati wap jaman kikubwa wapige KAZI tu mambo mengine huko makanisani na misikikitini huku ni kazini na Serekalini utawala ni sheria SIO ...na...🤣😎😎
@majaliwamussa9268
3 жыл бұрын
Wakiteuliwa waislamu udini utasikia mbona takwimu zinaonyesha serikalini wakristo ni wengi zaidi? Acheni uchochezi
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
Wewe ndie mdini!!
Twa kuombea Dua Allah akulinde akuzidishe hekima
Pendeza sana , mungu akulinde mama yetu na mahasidi pamoja na mataga. Atakayekukusudia kwa ubaya afe yeye(aamin)
@geraldleger5793
3 жыл бұрын
Ufe mwenyewe !
@saeedal-awen2190
3 жыл бұрын
Ameen
@saeedal-awen2190
3 жыл бұрын
@@geraldleger5793 wewe ni mataga nn? Mbn umeiogopa dua
Waislamu wote
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
Ndio ujinga wenu ulipo hapo, mnaona nyie tu wakristo ndio wenye hati miliki ya kutawala nchi hii!!
Awamu hii atateuliwa mpaka msafisha choo,Kikwete style on return.
@danielmathias160
3 жыл бұрын
Kabsa huyu ni kikwete kaja kivngne
@ilovejesus9303
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@lucyjeremia1381
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@frankkikambako9281
3 жыл бұрын
Kama kuna kweli hivii...🤣
@wardamzuka3997
3 жыл бұрын
😊😊😊😊😊😊😚😊😊
Ni Mimi Amina mtika,please mama naomba niangalie Kwa jicho la tatu kuna watu tupo huku nyuma ya pazia hatuonekani wala kujulikana lakini uongozi upo kwenye damu.
@ramadhanimtetu7246
3 жыл бұрын
Jamani Ngoja Nikupambanie Mkuu Kwa Kukuombe dua Ili na Wewe Katika Teuzi Zifuatazo Uwepo Inshaallah
@ilovejesus9303
3 жыл бұрын
🤔🤣🤣🤣🤣🤣
@blandinamwarabu5025
3 жыл бұрын
Hahaaaaa 🤣yajayo yanachekesha only 4 years
*MH I DON'T FIND PEACE WITH THIS CURRENT GOVERNMENT LORD HAVE MERCY* 😭🇹🇿😓 *MAGUFULI WHY DID YOU GET AWAY SO SOON?!*
@danielmathias160
3 жыл бұрын
Huyu me simuelewi kabisa
@estermathias8354
3 жыл бұрын
@@danielmathias160 kwnn
@blandinamwarabu5025
3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@viousa
3 жыл бұрын
Acheni kukufuru jamani Kila chenye mwanzo kina mwisho.
@Swahili14
3 жыл бұрын
@@viousa 🙏🇹🇿♥️
Jongela mama
Well done madam president
Mh Rais samia naomba tusikie unafanya ziara zakikazi ktk maeneo mbalimbali ktk tanzania kuangalia miradi yakitaifa inaendaje siyo kukazana kuteua teua watu. Ushauri mambo mazuri aliyofanya Magufuli yafuate. Kuiga mazuri siyo dhambi. Pitia miradi yote siyo kuagiza .binaadam hawahaminiki Mama.
@rosetreffert6727
3 жыл бұрын
Ndo namshangaa wingi wa viongozi bila utendaji haizaidi kula mishahara watu hawana maji, Magufuli tutakulilia Sana 🙏❤️
@rosetreffert6727
3 жыл бұрын
Huyu Mama sijui Ni mdudu gani amemwingia kichwani amekaa kutua tu Magufuli alikuwa na wasaidizi wachache na kazi ilikuwa kubwa Sana tutamkumbuka Daima ❤️🙏
Naona kuna particles za udini,upande fulani ndiyo wengi zaidi,hili liangaliwe.Jamii inaona na hukumu itakuja 2025
@zuhuramuhanga5400
3 жыл бұрын
Acha ujinga serikali haina dini
@jambo3751
3 жыл бұрын
Kwahivyo ulitaka wote wasiwe waislamu ndio kunakuwa hakuna udini au vipi? Na je hayo majina uliyoyasikia wote ni waislam?
@kakorejrboyz6447
3 жыл бұрын
Kwani dini ndio inafanya KAZI? Dini zetu ni huko makanusani na misikikitini hapa ni kazini.Watu kama nyie mtatakiwa m.........💣💣kabla mawazo yenu yakijinga hayajasambaa
@gulamh5077
3 жыл бұрын
kinachoangaliwa ni utendaji na sifa Zao tu, hata kama wote ni wapagani!!! dini na kabila lao ni huko majumbani kwao! hii ni TZ. KAZI ISONGE MBELE.
@neemansasu9761
3 жыл бұрын
Yaani mmmh nimesikiliza hiyo list nimechoka hoi
Me to
Tunaanza kuleta lishe ya Rais,
Paul Makonda 😭😭😭😭
Mimi bado ajanishawishi. Ntabaki kuwa wa Magufuli2,
🤔🤔
leo sio trh 16 bana
Mmmh tunarundi awamu nne maana si Kwa uteunzi huo...Mbona hawakutangazwa waliotoka
@j.c.maxima816
3 жыл бұрын
Sio lazima,,, Tunataka kazi tu, mengine sio suala,,, Tayari tumechelewa,,,
@azizawadh5973
3 жыл бұрын
Atakutangazia kigogo
@neemansasu9761
3 жыл бұрын
Yaaani ni shida
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
Ulitakaje?
@tabumpate9762
3 жыл бұрын
NA WAISILAM TUNA KHAKI VILEVILE YA KUONGOZA MMEANZA ULALAMISHI ULIKUA UKABILA HAPA MLIKAA KIMYA.DU ZILIKUA NYINGIIII
19 March 2021 yaani kumbe wameteuliwa tokea mwezi uliopita? Sio April
Naona hizi ndo ajira 6000 ulizotangaza.Tembelea wananchi achana na Mambo ya kutengua tengua..
Magufuli alikuwa anapunguza watu ikulu wewe unajaza tu watu ikulu hii haipendez kila siku kuteua tu Kaz utafanya lini wanachi wanakusubir uwatembelee utatue shida zao
@abdallahhuseinkabale7534
3 жыл бұрын
Hii ni awamu ingine msimpangie mwacheni nae apange tim yake ..
@blandinamwarabu5025
3 жыл бұрын
🤔
@goodteam7890
3 жыл бұрын
Magufuli saahii anakula marungu yake tu maskini
@j.c.maxima816
3 жыл бұрын
Kuna viongozi katika ngazi za chini za madaraka. Wanaweza tatua kero za Wananchi. Sio lazima Rais kufanya kila kitu,,,
Yaani mnachaguana huko juu. Halafu mwajifanya wema kwetu. Ipo siku mtalia
@kakorejrboyz6447
3 жыл бұрын
Uchaguliwe wewe nan? Network yenye huna weweeeeee...hapanaaaa😎😎😎
Mh,Andika kitabu chako,Tuna Iman na wewe
Niwe muwazi tu huyu mama binafsi naona kabsa hii nafasi haiwezi sema tu ndo katiba tutafanyaje lakn kiukweli huyu bimdashi Kama wamemuoverdoz ok lets wait....
@asmamaarifa2649
3 жыл бұрын
Anayoiweza ni mama yoko ?
@zuhuramuhanga5400
3 жыл бұрын
Kamuweke baba ako naukoo wako mzima wataiweza
@kakorejrboyz6447
3 жыл бұрын
Kama unataka Mtu asiwe utakavyo wewe kuwa yeye....🤣🤣🤣🤣🤣
@estermathias8354
3 жыл бұрын
Hahaaaa ngoja tuone
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
Unaiweza nafasi hiyo ni wewe!!
Dah magu tutakumbuka kweli ila hatuna hofu yupo shujaa anatengenezwa na Bwana atakuja sampuli kama yako.
@ilovejesus9303
3 жыл бұрын
AMINA
Amejaza tu nafasi ya uraisi isibaki wazi. Ushari Wangu naona kunadalili hipo za udini
@abdallahhuseinkabale7534
3 жыл бұрын
Udini kwa waislam ila kwa wengine udini hakuna..acha roho mbaya Tanzania ni nchi yetu sote .
@mustaphahassan589
3 жыл бұрын
Kwanka waislamu wangapi hapo?mbona nyie wizara zote wakristo hamjasema haya ?
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
Ujinga wenu ndio ulipo hapo, mnaona nyie tu wakristo ndio mna hati miliki ya kutawala nchi hii!!
Mama na wakikuzingua tumbua kabla ya masaa 24 kuisha
Naona mama kakazana na kuunda team sijui mechi inaanza lini............
@mashauriitambe9880
3 жыл бұрын
Ni lazima uondoe @kigogo2014 influence ili kusonga mbele ,kwani hawana wema hata kidogo....na akiwaacha yy na waziri mkuu wataondoka kwa mtindo ule ule
@asmamaarifa2649
3 жыл бұрын
Mbona moyo wako m baya hivi
@neemansasu9761
3 жыл бұрын
Ha ha haaaaaaaaaa
@estermathias8354
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
Utaelewa tu!!
Kumbe bado mamboyanaendelea kupamba moto xaxa
@dulayoawazi915
3 жыл бұрын
Mam njoo mkulanga kuna majipu mengi viongozi wako wamela sana
Kwani watafanya nini jamani
Bado hatujampata_joshua_wetu
@estermathias8354
3 жыл бұрын
Hahaaaaa ko tuendelee kusubiri
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
Ndio ishakua hiyo!!
@rosetreffert6727
3 жыл бұрын
Kabisaaaaa! Tuedelee kuomba ILA tunaomba miradi Magufuli ibaki salama Hatumwelewi badala kutembelea miradi amengangania kuteu tu wapishi wengi wataharibu mchuzi
@eng.saalim8646
3 жыл бұрын
Hujamuna joshua kisa hajateua wagalatia wenzio au. Hahaha
Mninkulu ndo mnini?
Mninkulu ndo nn jamani sijaelewa hapo
Jaman mbona mimi siteuliwi...wanateuliwa wengine tu 😲😲
@Ali-nl2du
3 жыл бұрын
CV tafadhali tumsogezee mama.
@alisaid4380
3 жыл бұрын
Una ilimu ngani ww mdangaji
@saidlivingstone9078
3 жыл бұрын
Itafika zamu yako inshaallah
Kudadeki hizo department zote znatoka wapi???🤔🙏🏾🙏🏾
Na mimi nasubiri yangu kumsaidia mama kwenye eneo la elimu
Awali nilikuwa na matumaini lkn kwa sasa yanaanza kuondoka sielewi kinachoendelea ni kazi au uteuzi eee Mungu tusaidie
@ilovejesus9303
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@lucyjeremia1381
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@ramaspain5024
3 жыл бұрын
Kwaninii
Wapishi wa ikulu wanaludi kwa kasi yaani naona kuna ukungu mzito mbeleni
Mhhh,,,,,mtafakariiiii kz iendeleee
Kila ck ni uteuzi tuu hivi nyazifaa zipo kwl au ndiokupigwa huku hapana kwa kwl.
Mama wote mbona rika moja, hii nchi ili iende vizuri changanya iga mfano wa magu.
@ilovejesus9303
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@rosetreffert6727
3 жыл бұрын
Kazi ipo
Nafasi mpya za ajira...
Ninyinyi tu mpende mgane hela zote kwenye mabenki
@estermathias8354
3 жыл бұрын
Ulitaka zimwage Barabaran ebu fanya kaz ndug
Hongora mama kwa kupunguza idadi ya waskuma sirikalini bado wapungeze wamezanga Kila pembe ulichanguwana kiukabila sana
@marthakibandama18
3 жыл бұрын
Mhhhhh!!
@anniesixtus2366
3 жыл бұрын
Pointless
mbona wengi waislammmm..nchi naomba tusiingize udini hata kama unaoamini ni dini
@eng.saalim8646
3 жыл бұрын
Mbona magufuli alivowajaza wakrsto wa kisukuma hukulalamika. Hahaha
Mh
Hogereni mlio teuliwa ila fanyani kama mlivyo kula kiapo fahamu nafasi ulio ipata ametoka mwe nzako kutokana na kosa alilo lifanya au tumikia wananchi Mungu atakulipa katika kaz
Tunajua mama Samia hawezi kuvaa viatu vya JPM. Tumpe nafasi tuone huenda anahitaji wasaidizi ili afanikishe kazi zake. Lakini akitaka kufanikiwa lazima JPM awe kichwani mwake akiwasikiliza kina nape atafeli. Mama huwezi kufanikiwa bila kuwa mkali na kuendeleza maono ya magufuri. Nape amesema CCM ndio kinaaminika kuongoza nchi bila maono ya magufuri. Mama kuhusu lasilimali mikataba mibovu tutaingia barabarani wananchi sio wanasiasa na ndio utakuwa mwisho CCM japo tunawapenda. Mali mlizotuibia mtazikimbia. Mmeiba vya kutosha JPM alisema wizi tushaibiwa sana. Sasa mkituibia historia ya Tanzania itakwisha.
@kakorejrboyz6447
3 жыл бұрын
.....uvae viatu vya Mtu kwani huna vyakako. .? Kila Mtu anaakili yake kama hamjui jueni leo mnayo waza hayapo na itafika kipindi mtayasahau kwani hayaishi..mama usutusahau PIGA KAZI tupo nyuma yako
@husseinmkanga7794
3 жыл бұрын
@@kakorejrboyz6447 atapata upinzani mkubwa kama hato fuata nyayo za JPM. Arab spring itakuwa Tanzania spring anaruhusiwa kufanya zaidi ya JPM na si vinginevyo. JPM ndio alie irudisha CCM na ndio atakae iuwa CCM kama CCM watarudi kwenye chukua chako mapema. Ili CCM iendelee kutawala lazima Samia ajaribu kuvaa viatu vya JPM bila hivyo CCM haiwezi kuendelea kutawala kama huamini utakuja kuona. Tumechoka kuibiwa. JPM ni taasisi na haifi leo. CCM hawafiki milioni 15 Watanzania tupo milioni 60. Na katika milioni 15 nusu au zaidi kwa sasa wamekuwa wapenzi wa JPM na watampigia kura mtu ambaye wanaamini atafuata uongozi wa JPM.
@estermathias8354
3 жыл бұрын
@@kakorejrboyz6447 vyake havitoshi kuwa rais ndo Mana alikua makamo .akagombee aone
@mustaphahassan589
3 жыл бұрын
Huyo magi mwenyewe mwizi tu
@mustaphahassan589
3 жыл бұрын
@@husseinmkanga7794 iendelee kutawala kwani ccm 2020 ilishinda kwa kura za haki au jeshi ?
Kazi za wizi wa Mali ya uma zime anza
@j.c.maxima816
3 жыл бұрын
Haiwezekani! Mama ukimzingua, mtazinguana !
@trophywilson7211
3 жыл бұрын
Kabisaa
@zully756
3 жыл бұрын
Kivipi imeanza?
@ramadhanimtetu7246
3 жыл бұрын
Mnazi Wa kitabu Cha Nabii yuleee Katila Ubora wake Tuliaminishwa Kama Si yy TZ haiwezi kutoboa Kumbe Hii Nchi inajengwa Kwa Michango na Kijitoa Kwao Wanachi Wote kwa Ujumla. Yeye Ana Mchongo wake Mkubwa Na Wengine pia vivyo hivyo
@kakorejrboyz6447
3 жыл бұрын
Acha mawazo mgando kesho na wewe ukipata nafasi ya uma tukisema maneno kama hayo utafurahi ? Acha kabisa KAZI za Serikali ni dhamana tu yeyote anaweza akawa
Tuna taka kaz hayo mengine sio ishu sana kwetu kupeana ulaji tu njoon na vision ya taiga for 30 years to come with strategy and goals hapo tutajua kua tuna raid lkn sasa bado
@salumumakombo9136
3 жыл бұрын
sana kaka nimekusoma
@trophywilson7211
3 жыл бұрын
Mtaona kazi imeisha ile
@whatisthetruth.8793
3 жыл бұрын
Yule bibi form IV , atawezeje kuja na projection blue prints, bottom up for the nation inahitaji mathematics , , na hili ndilo tatizo linalo tudhuru nchi zote za Africa, wazungu wanatucheka , kutudharau , kutubeza , wanasema siku zote viongozi wa Africa, hawana uwezo , wala sifa kuongoza nchi . They can't think out their boxes , they can't think for themselves, we just tell them anything and they believe and do it .they fall and they come agsin and fool theme again, Magufuli alikuwa yeye ni mathematician utAmdanganya nini , na ndio maana alikuwa anawapenda , professors na PHD , washindane kwa mawazo ya kulipeisha taifa , uchumu wa Tanzania ulikuwa ukuwa kila nyAnja , utalii , madini , viwanda , kilimo palipoliwa negative - amegeuza kuwa positive +. Nalia nalia peke yangu lika siku , yule bibi hawa uwezo wala maarifa ya kiongkzi , atole 2025 , Majaliwa aongoze taifa
@j.c.maxima816
3 жыл бұрын
@@whatisthetruth.8793 Utaomboleza mpaka lini, ndugu yangu ?! JPM alikuwa kipenzi chetu sote. Tumemlilia sisi sote Watanzania, na hatutamsahau. Lakini sasa, tusonge mbele. Lazima nchi iendelee. JPM ameondoka. Je, tuondoke na ye? Tumuache Mama atuongoze, tusiwe na mashaka bila sababu. Ni mapema sana kumjudge!!!
Kumbe hizi nafasi zipo,jamani mama na Mimi nifikirie kwenye ukuu wa wilaya naimudu nafasi hiyo.nione Kwa jicho la tatu mama kwani wewe ni mama na ninaamini wanawake tunaweza,japo elimu yangu ni ndogo. Asante
@sylivanussyliacus5064
3 жыл бұрын
Unaelimu gani Madam?
@edwardaugustinemagwe4376
3 жыл бұрын
@@sylivanussyliacus5064 ndogo sana diploma in clinical medicine
@edwardaugustinemagwe4376
3 жыл бұрын
@@sylivanussyliacus5064 lakini ninajijua kabisa kuwa Nina karama ya uongozi na ninaamini kabisa siku nikipewa nafasi /dhamana nitafanya vema kabisa ktk nafasi hiyo.
@sabrikimani3613
3 жыл бұрын
Hahahaahahah
@trophywilson7211
3 жыл бұрын
Unafanya kazi mkoa gani??Fuatilia
Sasa nitaendelea kuchunguza tena ni Nani a anampa Siri za IKULU @kigogo2014 Nasubiri matokeo ya uteuzi huu
@jumamnumbwa9483
3 жыл бұрын
Magu aliwajua aliona hawatamfanya kitu ana yesu,matokeo ikawa eloi eloi la masabakitani huruma imemponza ningekuwa mm nilivoipata tepu tu ningewaosha timu nzima nisingebakiza hata chawa bata na watoto wake wote ningewamaliza
@ramadhanimtetu7246
3 жыл бұрын
Daah Huyu Anaejiita Kigogo @ 2014 Nyoko Zake Kweli Simpendi Mbaya
@whatisthetruth.8793
3 жыл бұрын
@@jumamnumbwa9483 ni kweli kaka , ule mtandao maadhali mzee alikuwa na ushahidi wa kuweka hadharani alikuwa uwaanike tuu wote , halafu mahakaman peleka ,wakajibu mashtaki , waarabu wanasema fitna haimalizi kwa kupeana mikono kwao fitina ikumalize au uimalize , maoni yangu waitwe waatalamu laboratories kutoka Russia na Ireland, zichukuliwe simple, wachunguze kama marehemu aliuliwa kwa sumu,au hapana , unajua trace za sumu zinaka mwilimi wa maiti kwa mamia ya miaka , ufanywe tuu uchunguzi kama ulivyofanyaa kwa Arafat , majibu kutoka laboratories za nchi mbili yaanikwe hadharani na watafiti wenyewe , kama ilivyokuwa kwa Arafat , no toxic substance killed Arafat. Sasa tunasubiri uchunguzi wa aliyekuwa camanda wetu sisi.. tulipigania hili kila kosa ndugu zangu. Kila siku bila hivyo tabia kama hizi zitakuja kujirejea
@ambokileasheengai1140
3 жыл бұрын
@@whatisthetruth.8793 wewe ndie utakaewalipa?Huko Urusi Puttin Nae Anatawala Kwa Mkono Wa Chuma,,,we jiongeze,,,kufa kupo tu uwekewe sumu usiwekewe ulitaka wafe nani....?wasio na vyeo?
@jumamnumbwa9483
3 жыл бұрын
@@whatisthetruth.8793 Kaka magufuli hata huyu lisu hakumgusa yeye ni vile lisu mvivu wa kufikiri huwenda kuna mtu aliingia kati kuwachonganisha na kuipaka matope serikali ya magufuli,kwa kumtandika lisu na wengine kitendo cha kuwaacha hawa makanali na watoto zao inadhihiri magu hakuwa mkatili kabisa na ndio maana aliwaacha hata wafungwa wa kunyongwa ,tumepata hasara kubwa kwa uzembe wetu na uvivu wa kufikiri kwa kuahindwa kumlinda huyu kiumbe ni comrade wa ukweli hakuwa mnafiki hata kidogo na ndio maana bashe alilia ,ukiona mtu anapendwa na bashe angalia sana bashe alikuwa na mapenzi makubwa na magu
Mama piga kazi kuteua teua kila siku utakuta mwaka unaishia kwA kuteua tu
Mh ngoja tuangalie tyu
Wasaidiz hoyee duh hii katiba ibadiliShwe tu
@estermathias8354
3 жыл бұрын
Kwnn
@rosetreffert6727
3 жыл бұрын
Ili nini
Mbona waislamu wengi Huo ubaguz tyr
@eng.saalim8646
3 жыл бұрын
Hahahaha. Naww unataka wakrsto ndo wawe wengi
Sisi wanaharakati ndo tunaumia na tunaoipenda Tanazania kwa dhat,, naipenda nchi hii ila hatutoboi,, Yale madudu yote yatarudi mama kakalia kiti bila vision yoyote yupo tu, ila wanachi watakacho mfanyie baada ya kucho hata weza kuilusha
@taxconsultant5050
3 жыл бұрын
Hayo ni mawazo yako peke yako pole aseee
@rosetreffert6727
3 жыл бұрын
@@taxconsultant5050 sio mawazo yake kila MTU anaona Sisi tunaka kuona kazi na sio kuteuateua TU viongozi wengi kazi Hakuna haionekani wananchi wanateseka
Anateuwa waislamu tu
@adamally8791
3 жыл бұрын
We ulitaka amteue nani
@neemansasu9761
3 жыл бұрын
Umeonaa udini unatawala
@mustaphahassan589
3 жыл бұрын
Waislamu wanne wakristo wanne imekuwaje waislamu tu au mmezoea nyie kuwa wengi
@blandinamwarabu5025
3 жыл бұрын
🤔🤔🤔
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
Ndio ujinga wenu ulipo, mnaona nyie wakristo tu ndio wenye hati miliki ya kutawala nchi hii!
Tunakukukumbuk kipenzi chetu Magufuli 😭😭😭😭Mungu akulaze Mahal pema pepon
@masalakulwa7601
3 жыл бұрын
We naye...tupishe sie
@castrocastro9615
3 жыл бұрын
Watu kama ninyi ndio mnaosumbuliwa na roho za mizimu hadi mapepo yanawasumbua na kuanza kumtafuta mchawi na wakati umejiroga mwenyewe kwa kutamani kuishi na matehemu. Tuachane na wafu. Tujitahidi kutembee na uhalisia uliopo. Mama yuko kazini na kazi iendelee
@kakorejrboyz6447
3 жыл бұрын
".......Asiye kuwepo na lake halipo..." Maneno ya wahengal
@franksofa1670
3 жыл бұрын
Hili pengo halizibiki tusijifariji
@castrocastro9615
3 жыл бұрын
@@franksofa1670 hakuna pengo lisilo zibika mkuu! Hata meno ya dhahabu yapo tena yenye muonekano mzuri kuliko hata jino la awali.
Mama kuwa makini
Kila hatua soma dua ayatu kursiyu ni kinga kubwa jitahidi kumuelekea allah
Mnikulu ndo Cheo gani Jamani!???😅😂😂
@kelvinibrahim1841
3 жыл бұрын
😂😂😂
@j.c.maxima816
3 жыл бұрын
Nauliza pia!!! 😀😀
@hssandogoli8446
3 жыл бұрын
Hicho cheo hukijui? Mbona kipo siku nyingi TU,labda Kama kiliondolewa kipindi fulani
@whatisthetruth.8793
3 жыл бұрын
Wana pachikana tuu wakaibe 🤔🤔 🤔
@estermathias8354
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Waenga walisema kuku ikifa na mayayi yanaoza. Vyeo vyote hivi Jembe alikuwa imevibana kwa maslayi yakujenga inchi. Kuaribu pesa bure
@trophywilson7211
3 жыл бұрын
Mlisema amebana Ajira acha awape Ajira noti ziliwe kwa mtindo huo
@kakorejrboyz6447
3 жыл бұрын
Alivikataa ILI afiche siri zake sisijulikane ni siri zipi yeye ajua hii ni KAZI ya uma na sheria ndio inasema
Mkalimani kaharibu kazi
@j.c.maxima816
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣"darasa la 7"?!!! 🤣🤣🤣
Nchi ya wapigaji hii
@j.c.maxima816
3 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania,,,
@azizawadh5973
3 жыл бұрын
Hama
@whatisthetruth.8793
3 жыл бұрын
Washarudi kama mwanzo, itaSikia vyeo wavipo dunia wapachikwa watu wakapige dili tuu, mimi nilosema mapema yule bibi hana uongozi , kuikongoza sio kuti saiti , na kuongea maneno matamu , ni kujua nini unachokita, na vipi ukipata cha maendeleo ya waifa na watu wako .
@jamiidigitalonline2644
3 жыл бұрын
Wapiga hela hawachukuliwi hatua daaaah!!!!
@azizawadh5973
3 жыл бұрын
@@jamiidigitalonline2644 mliowacbukulia hatua enzi zenu mlishawafunga?
Kwani yule mkarimani mwingine hakufaa jamani?
@asmamaarifa2649
3 жыл бұрын
Wewe una shida na rais
@kakorejrboyz6447
3 жыл бұрын
Mchague unayemwamuni bye...🤣🤣🤣🤣
Mambo ameanza tutaona Mengi aliyakataa Jpm matumizi fedha vibaya jamani tulitegemea watu kupungua
@kakorejrboyz6447
3 жыл бұрын
SASA pesa inatafutwa Iliifanye KAZI kama wewe hupati iba 🤣🤣🤣🤣Asiye kuwepo na lake halipo
Vyeo vipya mkiskia ndo wizi huo hayo ndio mambo Magufuli alikua akiyapiga vita. Wanapeana Vyeo ambayo havina maendeleo yoyote kusukuma kurdumu la maendeleo bali kula hela za bure huu ni upetevu mkubwa wa pesa za serekali ni wizi wa aina mpya. Wacha kuteua Vyeo hewa tuna taka kazi zindelee sio kulata mijitu ambayo haita Leta manufaa. Nishanza kuhisi huyu raisi mpya atairudisha Tanzania nyuma miaka 30.
@j.c.maxima816
3 жыл бұрын
Tanzania haitarudi nyuma,,, Mama ni mchapakazi, muadilifu, na mzalendo. Vinginevyo, asingekuwa Makamu wa Magufuli,,,
@azizawadh5973
3 жыл бұрын
Ulizoea vibaya raisi sio malaika mama anapenda washauri. Nchi haiendi kwa matamko. Urais ni taasisi. Acha ushabiki wa kipumbavu. Umezoea kutawaliwa mama ni kiongozi sio mtawala
@ramadhanimtetu7246
3 жыл бұрын
@@azizawadh5973 Sahihi Kila Kiongozi ana Namna ya Kutimiza Majukumu yake
@mustaphahassan589
3 жыл бұрын
Kamfate baba yako huko kaburini
@j.c.maxima816
3 жыл бұрын
@@mustaphahassan589 Usipomtukana mtu, ungeeleweka vizuri,,, Jiheshimu mwenyewe!!!
ntaongea mbelen kwa ss ngoja niendelee kusoma mchezo unavyotaka kuchezeshwa
Na mkalimani😂
@trophywilson7211
3 жыл бұрын
Sasa akienda asikoelewa inakuwaje??Lazima mkalimani Awe naye
@ilovejesus9303
3 жыл бұрын
@@trophywilson7211 duh asiwe yule aliyechapia lakini 😂😂😂
@Nedjadist
3 жыл бұрын
Hii ukalimani inabidi iwe kitengo kizima, nasi tujuao lugha sita tu... Ukalimani ni sayansi na muhimu mno. Fikiria lau si watu hawa, leo hii elimu, kama ya tiba, ingekuwa kwenye mataifa mawili au matatu pekee duniani! Labda kusingekywepo na Mkristo au Mwislamu Mwafrika! Just think about it! Leo wanapewa wababaishaji!
Uteuzi kila Mara wa nn? Sisi tunataka kuona kazi ikifanywa kama vile Dr jpm alivyo kua akifaya
Naona waislam tu Hapo wameng'raa jamani twendeni tuuuu
@khamispongwa53
3 жыл бұрын
Ushaanza udini?
@adamally8791
3 жыл бұрын
Ukiwa na akili za hivyo ni shida sana kwako, baraza la mawaziri la aliyepita kabla ya huyu ulisema neno gani?
@abdallahhuseinkabale7534
3 жыл бұрын
Balaza la mawaziri na matibu hatukuwahi hata kuhoji.hii nchi ni yetu sote
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
Ndio ujinga wenu ulipo, mnaona nyie tu wakristo ndio wenye hati miliki ya kutawala nchi hii!!
Tutakumic magufuli wetu haki kabsa hapa hizi nafac hivi zipogo kweli au kutiana hasara tu.
@asmamaarifa2649
3 жыл бұрын
Acha ujinga
@sittatwaha805
3 жыл бұрын
Hatuna rais saiv. RIP JPM
@chidyjunior9539
3 жыл бұрын
Acha unafkiiiii huyooooooo nan sasaaaa
@kakorejrboyz6447
3 жыл бұрын
Mama Rais wetu wa leo na kesho TEUA WATU UNAOWAAMINI...ILI KAZI IENDE SIUNAJUA NI MIAKA✊✊✊SASA WAFANYAKAZ WASEREKALI HAWAJA INGEZEWA CHOCHOTE tunakuamini utuvushe hapa
Magufuli tumekukumbka baba yetu
Wasaidiz wa ikulu tu watu kumi? Bado wakuonja mboga nao watateuliwa tusubilie tu.
@salumumakombo9136
3 жыл бұрын
yani balaa kaka yetu macho
@hopekaunda1031
3 жыл бұрын
ile ndio presidency haswaa
@estermathias8354
3 жыл бұрын
Hahaaaa
Ila unge mtengua mkuu wa TCRA
Waisilamu Tupo Juu sasa
@salamarwezaula6280
3 жыл бұрын
@MUHAMMAD RASHAAD BAKASHMAR nikweli raisi ,waziri, katibu mkuu, jaji mkuu n.k
@eng.saalim8646
3 жыл бұрын
Acha unafki. N nyie mlvokuwa juu zamn mbn hukusema. Hahaha
@jeremiahagrrey1147
3 жыл бұрын
Sina maana mbàya jamani nataka muone hili kama funzo tu, kwamba nchi yetu haina dini yaan rais atakavyo penda anafanya maamuzi, maana kipindi cha JPM wengi walisema sasa basi sisi ni ndugu tusiwe na chuki bana yetu 😇
Onyo langu chukua hadhara yusinywe maji ppt wala siombe kaa n'a gilasi Yako nachupa Yako mfukoni popote yunavokwenda mama ubarikiwe epukana namadui popote walipo wandani na wanje yutaimarisha TZ usalama na maendeleo ishallah
Uteuzi mwingine fanyakimyakimya .kama huo wa mwiyimkuu yaani anayeangalia masuala yote ya familia ya rais chakula mavazi na mambo yote ya jikoni. Kwakweli siyo lazima yatangazwe.
NAJITAHIDI NINYAMAZE NIWE MSOMA COMMENT TUU NASHINDWA JMN MAANA NAONA SAFARI YETU KUELEKEA NCHI YA AHADI INAZIDI KUWA NGUMU KILA KUKICHA. ANYWAY ACHA NIENDELEE KUANGALIA NA KUIOMBEA TANZANIA YANGU.
@estermathias8354
3 жыл бұрын
🙄🙄
@ilovejesus9303
3 жыл бұрын
Haswaaa tupo wengi 💘👌👌🤔🤔🤔
@mariumkirungi3699
3 жыл бұрын
Kwakwel
@frankkikambako9281
3 жыл бұрын
Kama anaanza kuzingua hivi ila tusinyamaze..
@gilbertmariwa3830
3 жыл бұрын
@@estermathias8354 usitoe macho dada ester tuiombee tuu nchi ukweli nchi ya ahadi safari inakuwa ngumu.