LIVE: MPAMBE WA RAIS SAMIA ALIVYOINGIA BUNGENI NA BARUA YENYE JINA LA MAKAMU WA RAIS
#millardayoUPDATES
Жүктеу.....
Пікірлер: 334
@joycekemunto33763 жыл бұрын
I like the way Tanzania Parliament conduct themselves. I salute you Honorables from Nairobi , Kenya
@mariamakanu16903 жыл бұрын
wanawake like zenu penda sana tanzania yetu wanawake oyeeeeeee 😍😍😍😍
@amepotea3 жыл бұрын
Joyful parliament ...to Tanzanias I love your ways...from Kenya🇰🇪
@hamjanikera1234
3 жыл бұрын
Hata mm nimelipenda bunge lao halichoshi...
@magdalenachubwa9388
3 жыл бұрын
Thank you brother
@fatumajumbe7345
3 жыл бұрын
@@hamjanikera1234 wallah si kama huku kwetu ukiingia bungeni roho time yoyote waeza rushiwa ngumi ya jicho
@wallaceguni1926
3 жыл бұрын
@@fatumajumbe7345 😅😅😅😅
@zubedaramandan1692
3 жыл бұрын
Piecafull
@amaxyz1383 жыл бұрын
i am not Tanzania but i love watching everything about Tanzania
@sweetmama6885
3 жыл бұрын
Abass, where are you from?
@waidaamon457
3 жыл бұрын
karibuu
@tatubadi9010
3 жыл бұрын
Karibu Tanzania..
@zubedaramandan1692
3 жыл бұрын
Welcome hm
@jeniphachristian2131
3 жыл бұрын
welcome
@lynelee58463 жыл бұрын
Sijui ntafute uraia wa Tz am falling in love with this Nation day by day.. much love from Kenya ♥️♥️🇰🇪 MUNGU IBARIKI TANZANIA!
@wanderenyeura9011
3 жыл бұрын
Karibu sana eti
@altojaphet3394
3 жыл бұрын
Karibu tanzania
@ahmadmuhammadnguri1770
3 жыл бұрын
Tanzania ni poa sana lkn sheria zao ningumu sana bora kenya
@lynelee5846
3 жыл бұрын
@@ahmadmuhammadnguri1770 hizo sheria ngumu ziko vizuri ndo maana nchi imelainika yani selikari ya Tanzania kweli naongea bila unafiki INAJIELEWA! ❤️
@ladykimnan902
3 жыл бұрын
Welcome tz peace & love🇹🇿
@safiaothman10983 жыл бұрын
Hongera sana Mh. Philip Mpango. Mwenyezi Mungu akujaalie kila la Kheri katika Utekelezaji wa Majukumu yako, Aamiin.
@omarshee11733 жыл бұрын
FIRST LADY AIDY WA RAISI WA KWANZA CONGRATULATIONS
@danielmoses2244
3 жыл бұрын
Haitwi first lady ... huyo aitwa ADC ... First lady ni cheo cha mke wa Rais mfano walivyokuwa Salma Kikwete, Janet Magufuri nk
@mudrickmohamed7941
3 жыл бұрын
Ok
@heraldloshi18643 жыл бұрын
Mwalimu Nyerere must be smiling broadly from the High Heavens.Aliujenga msingi imara sana.
@megyjr87343 жыл бұрын
Kinachonipa furaha ni kwamba historia zinabadilika na kuvunjwa kila kukicha, Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika. sema Amen kama unaitakia mema bara letu.
@gabrielbyaese631
3 жыл бұрын
amn
@lucyjeremia1381
3 жыл бұрын
Ameni
@tatubadi9010
3 жыл бұрын
Ameen
@hidayahassan8014
3 жыл бұрын
Amen
@zubedaramandan1692
3 жыл бұрын
Ameni
@magejuliani52933 жыл бұрын
Hii ndio Tanzania yetu! Mungu anatusimamia kila siku!tumtangulize mbele! Asante Rais wetu Samia Mungu ametupatia Makamu kupitia kwako
@happynessmsele36383 жыл бұрын
I love you Tanzania naipenda sana nchi yangu nafurahi kuzaliwa tanzania😘😘😘❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@Gasimba7853 жыл бұрын
I am not Tanzanian, but you guys you made yr country proud 👏💙❤
@eddkan18283 жыл бұрын
Nina raha sana mambo ya watanzania..ahh..from USA🇰🇪🇱🇷
@zubedaramandan1692
3 жыл бұрын
We are ok
@shangwekamando2599
3 жыл бұрын
Thank you
@helenkulaya51203 жыл бұрын
Hii ndio nchi Mungu aliyoibariki kumbe taratibu machozi yanafutika binafsi Mzee mpango na mkubali hekima zake utulivu pia na utendaji kazi safi Mungu nae aliyekuwa na mpango nae jamani pindi alipougua hakuacha kumtetea nae baada ya kupona alionyesha fadhila kwa Mungu pia kwa waliomhudumia na pengine Mungu alimpa kipimo cha imani ili apite kisha amuinue...hongera mama Samia hongera Mzee mpango na hongera Tanzania Furaha iliweje kuzaliwa Tz...Mungu ibariki Tz.
@ndungugitahi16753 жыл бұрын
Mimi mkenya lakini Tanzania nchi yangu.Mama Samia na afuate nyayo za mzee wetu na nchi hii itakuwa salama na ya kuigwa
@d.m4533 жыл бұрын
Nakupenda Tanzania yangu, najivunia kuwa mtanzania,AMANI NA UPENDO ndio nguzo yetu. Mungu ibariki Tanzania
@wakanda56593 жыл бұрын
Niko Kenya jinsi navyofwatilia matokeo Tanzania. Utadhani Mimi ni mtazania
@fatmann6341
3 жыл бұрын
Tunakushukuru sana 🤝
@bernardoleonard7331
3 жыл бұрын
Upo sahihi
@magiehermess9949
3 жыл бұрын
Kwa sababu huna hila ndani yako. Mimi niko Kenya Ila ni mtz
@Elohim23 жыл бұрын
Wow! Vice President nominated remained calm and humble when his name was called out! Love from Kenya 🇰🇪
@zion3655
3 жыл бұрын
Na wetu ni mdomo tu...vurugu. kenya tutabadulisha siasa lini
@baholabuya68633 жыл бұрын
I love the way Tanzania leaders handle their business. Hongereni watanzania Mungu awabariki sana. Tuna mengi ya kujifunza toka kwenu. Kenya.
@benignajosephwatendewao2065
3 жыл бұрын
Amina🙏🏼
@ivana98373 жыл бұрын
Proud to be a Tanzanian ♥️🇹🇿🔥 Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais kipenzi wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote 😍💪♥️✔✅✔
@shadrackdavid77213 жыл бұрын
Mzee anafaa Sana kuwa MC nimecheka Sana naendelea kucheka proud to be among ov Tanzanian
@romakoko22923 жыл бұрын
Wanawake wamethaminiwa Sana ahamu hii ya mama Samia
@monicamwitula2613 жыл бұрын
Auwi kama nimeamka Usingizini vile... Nakupenda TANZANIA 🇹🇿
@sidratybinkhamis2837
3 жыл бұрын
😂😂
@lydiakanah44783 жыл бұрын
Nimezidisha upendo kwa wa Tanzania. Ahhh mungu abariki wa Tanzania. Love from Mombasa Kenya
@mahersaid258
3 жыл бұрын
Maasha allah krb sana TANZANIA 🇹🇿🇹🇿
@amiryhamza19843 жыл бұрын
mungu ibariki tanzania najivunia kuwa mtanzania nawapongeza viongozi wetu
@amanirugamba59353 жыл бұрын
I love Tanzania and I love people of Tanzania god blessing Tanzania and god blessing all of African Rwanda
@iventvictor4934
3 жыл бұрын
Bob
@norineraymond8098
3 жыл бұрын
Your welcome brother God bless you too
@sabinaonline65753 жыл бұрын
Spika anafaa kuwa MC anafurahisha
@faryhassany4043
3 жыл бұрын
Maana ya spika ni nn?
@benignajosephwatendewao2065
3 жыл бұрын
Hahaha
@petronillamnyambi76073 жыл бұрын
Safi kabisa mama samia Rais wetu
@jonasluck57133 жыл бұрын
UMEINGIA VIZURI, ULIKUWA UMEBEBA BAHASHA ULILUSHA MKONO MMOJA MBELE NA NYUMA, ULIPOKABIDHI BAHASHA ULIKUWA HUNA MZIGO, ILITAKIWA URUSHE MIKONO YOTE MBELE NA NYUMA, SODIER UMEPITIA MAFUNZO WAPI.
@jumannekigori2667
3 жыл бұрын
Ok
@altojaphet33943 жыл бұрын
Umoja na ushirikiano ndio nguzo yetu wa Tanzania nakupenda Sana nchi yangu
@kwzjkwz35323 жыл бұрын
Tanzania ndio nchi inayoongoza africa kwa kutazamwa kwa sasa
@josephemmanuel3175
3 жыл бұрын
Hatariiii
@bernardoleonard7331
3 жыл бұрын
Kabisa
@aishabeka5562
3 жыл бұрын
Sana aisee
@salummuhammed80173 жыл бұрын
Mweshimiwa rais ongera sana
@surujajwie47683 жыл бұрын
Mashaallah I'm very happy 🤗🤗❤🇹🇿🇹🇿
@pendopeter17903 жыл бұрын
Wanawake oyeeeee
@mwanaishapumzikakwaamanish8687
3 жыл бұрын
Oyeeeeeeee
@mrsmburu55403 жыл бұрын
Watanzania mimi mkenya lakini niwapenda sana kila sasa najipata tu nikifuta news zenu.. tafadli naomba kaa munaeza ni host kwenu
@matthewjohn5108
3 жыл бұрын
Karibu sana jirani.
@mrsmburu5540
3 жыл бұрын
@@matthewjohn5108 nimeshukuru sana cku moja ntatembea huko qwenu sababu mumechaa nikaribisha
@CharlesLeoMgaya
3 жыл бұрын
Karib sana, we are born to care foreigners.
@alexlukumay4981
3 жыл бұрын
Karibu sana
@mrsmburu5540
3 жыл бұрын
@@CharlesLeoMgaya Nashukuru na mujue nkiingia huko nasma niwambia hapa hapa tu.. atreast handshake
@faizasaleh58543 жыл бұрын
masha allha allha akulinde na jicho la hasadi
@samwelmaduhu12333 жыл бұрын
Ndo mambo ya kulala maskini na kuamka tajiri ndo hayo sasa
@kaisarimbisso75793 жыл бұрын
I love Tanzania 🇹🇿. Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika
@hansbetwel52563 жыл бұрын
This is so beautiful
@renathawilbard25933 жыл бұрын
Najikuta nafurah tu Mwenyewe Jaman
@pendokessy98363 жыл бұрын
Asa nalia Nini jamanii eti nafrahi adi nalia ongera Sana mze mipango tunaiman utaweka mipango sawa🙏🙏
@christabellageorge6692
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@bennycharles8168
3 жыл бұрын
Hahaha
@harrymo88643 жыл бұрын
Mashaa Allah it's really interesting
@ramadhanyusuph76333 жыл бұрын
😂🤣😂 SIKU ZOTE MPAMBE ANANGUVU KULIKO MWENYEMALI 😂🤣🤣 mpambe anakuwa na machachali balaa
@barakablessing5366
3 жыл бұрын
Sana bro na ni kama kavunjwa mguu😂🤣😂🤣😂
@talhiyaibrahim79513 жыл бұрын
Wanawake tunaweza sana jnm samia nakupenda sana rais Wa Tanzania magufuli mpendwa wetu atuachia rais Jmn
@sarahnyambaka58853 жыл бұрын
ninapenda huyu mama na serikali yake
@djtroy5713 жыл бұрын
mob love just wish i was from tanzania
@abbysamkhan30303 жыл бұрын
Hongera Tanzania,hongera mama Samia Tanzania isonge mbelee
@mangeleopard38723 жыл бұрын
Nasikia tu wana wake wana wake mungu ibaliki Tanzania pamoja name viongozi wetu
@godelivamuswahili29883 жыл бұрын
Hadi raha jamani 🥰😍💪🏾🙌🙇♀️🙏Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@kiplangatvictor92776 ай бұрын
Kenyans we need to be serious like Tanzanians . Very organized no throwing stones and blowing whistles in parliament
@anethmaro81683 жыл бұрын
uyo ndo Nyamburi mashauri Adis wa kwanza mwanamke vivaaa Tanzania
@Thuon_3 жыл бұрын
Wakenya wengi hapa kushinda watizedi wenyewe.
@jofreymanfred65602 жыл бұрын
Hapo sawa na sio mpambe wa raisi aaaaah
@kalumbugideon41592 жыл бұрын
Hii ndiyo Nchi yangu ambayo Mungu Wangu amenipa niishi kwa Amani na Furaha.
@saidhamis89543 жыл бұрын
Mh spika nakupenda sana
@lucyjeremia13813 жыл бұрын
Kina mama mpoooo 😂😂😂😂
@surujajwie4768
3 жыл бұрын
Saaaaaaan 222
@cliffmwenja48533 жыл бұрын
Big love from Kenya. President angemteua ule jamaa wa...(uliskia wapi😆)
@kelvin83243 жыл бұрын
Team mafisi from Kenya 🇰🇪 wameniomba niwaulizie kama ako single 🤗am just a messenger 💌🙌🏿💌
@benmwangi4586
3 жыл бұрын
Hawatambui kama ni bodyguard wa prezo
@georgemassebu2083
3 жыл бұрын
Pisheni mbali
@josephemmanuel3175
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@bernardoleonard7331
3 жыл бұрын
😂😂
@blessingsgeneral93
3 жыл бұрын
🍻🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿🖤❤💚
@jacklinelyimo74073 жыл бұрын
Raha jamani raha sana Tanzania yangu asante Mama Samia tunakupenda raga mpaka bunge
@ashazuber65483 жыл бұрын
Nilitaka kusomea upolice sema nilichelewa kulima milaba hahahahaha ila mungu ana makusudi yake sasa nipo ulaya Asante mungu
@EDIfitnesss335
3 жыл бұрын
Pia huko ulaya waweza kua
@witneskilinda5034
3 жыл бұрын
hahaha hahaha!!! hilo neno kilima milaba limenikumbusha mbali sana!!
@credo7837
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@amour5535
3 жыл бұрын
Umenikumbusha mbali ww
@andrewkilave3532
3 жыл бұрын
Ulivyosema milaba nimekumbuka Iringa daah
@niwemugenimediatrice56403 жыл бұрын
Ninyi ni watu wangu sanaaaa!
@jenyyusuph49733 жыл бұрын
NDUGAI bwana!!!
@alfasaidiofficial58003 жыл бұрын
Barikiwa saaana raha saaana
@nampijjanazifah63583 жыл бұрын
Spika wewe😂😂😂🤣 Hongera sana Philip.
@leonardjanuary44003 жыл бұрын
Mama samiaa eeeh mama samia Suluhuu... Mitano tena..
@shirazmunawar44333 жыл бұрын
That look from Muheshimiwa Lukuvi,though😄😄
@zaynamzimba98153 жыл бұрын
Piga kelele kwakina mama
@emmanuelwankururyoba26353 жыл бұрын
Hongera mama mnaweza Mungu wabariki
@abbaimran41223 жыл бұрын
Tanzania raha tele
@annabihendo69153 жыл бұрын
Mungu tuongoze Tanzania tuwe na ujasiri
@bubulini6455 ай бұрын
Wabunge nawapenda ni kama wanafunzi wa secondary school boarding
@cheiknamouna20583 жыл бұрын
Nani kamsikia spika kaguna mmhh mambo hayo kumekuuuucha bungeni Dodoma
@francisomondi35493 жыл бұрын
This is just super.
@user-zt6re1dr5f23 күн бұрын
Much joyfully for this choice🙏🙏🙏🙏
@kaidrisa27113 жыл бұрын
Wachaaa weeeeh mpambe na upambe wake Nakupenda mie mpmbe wa mwenye kiti wa kijiji cha kitongoji😋🤗
@micamathew25953 жыл бұрын
Haya bana mpaka umeagiza maji ya kunywa hahahaaaa
@saudajuma60633 жыл бұрын
Wanawake wanaweza
@jarnicebenson13233 жыл бұрын
Kina mama oyeeeeeeeee🙏💪
@dayanamajora3327
3 жыл бұрын
Oyeeeeee tunawezaaaa
@sweetmama6885
3 жыл бұрын
Ouuuooooooyeeeeeeeee. Uku nikiwa nimeziba pua ili oye itoke vizuri. 😂😂😂😂🤣🙊
@lucyjeremia1381
3 жыл бұрын
Oyeeeeeeee
@abuukamanda.s.mkenga66873 жыл бұрын
A d c. Tangu nchi imeingia uchumi wa kat🤣🤣🤣🤣🙊🙊🙈🙈
@zubedarichard23113 жыл бұрын
Haya mambo ndio tulkuwa tunatka buana bunge live
@mackjuma86733 жыл бұрын
Mheshimiwa rais kwafanya chaguo sahihi kua mheshimiwa Philip mipango kua makamo wa raise mungu amsimamie aitende kazi yake vyema kwajili ya inch nawanainch wake
@AliMohamed-kd1uc3 жыл бұрын
Big up kanda maalumu kitu kutoka musoma
@rahmaabubakarisaanatu1961
3 жыл бұрын
Umeanza hvy hy ni wa kigomaaaaa.
@deborahmwita9278
3 жыл бұрын
@@rahmaabubakarisaanatu1961 anamaanisha mpambe wa Rais nadhani
@paulinacherement25343 жыл бұрын
Asante mungu
@mwendelejoseph34243 жыл бұрын
Kwaiyo adc amemtoloka raisi au ma adc wapo wawili
@otiliahaule51803 жыл бұрын
Tunakuombea kwa Mungu wambinguni akulinde baba yetu mteule makamu wa Rais Samia Ubarikiwe sana😂
@suzanngachengo97783 жыл бұрын
Chakula cha mgonjwa was stroke
@neemajoseph86743 жыл бұрын
👏👏👏
@tousihhhh67653 жыл бұрын
jaman jaman mbon mwaka huu mutatukoma jeshi wanawake.pig kereeeeereee
@babuumarshall29903 жыл бұрын
Nimependa sana wanawake na maendeleo ongera sana Tanzanian
@swahilitherapytv38463 жыл бұрын
Haya bwana mmeshinda wanawake...!!! Hongereni zamu yenu sasa
@josephjohanes932710 ай бұрын
Ma tony wote wa Tz wapelekwe jeshini plz ntakuja kunishukuru badae
@meryedward813 жыл бұрын
hahahaha wanawake tunaweza
@sarahmarishay69383 жыл бұрын
Waooo Safi sana
@josephemmanuel31753 жыл бұрын
Watu wakajua kabudi kumbe mipango daaaah
@samuelkamochu68083 жыл бұрын
The speaker could also do well as a comedian.
@issaoissa80143 жыл бұрын
Mnapiga madawati wakati sisi wakati tunasoma tunaambiwa tunapiga kerere
@amanmohd94353 жыл бұрын
Nchi ipi iliyopata uhuru?
@kgchippy3 жыл бұрын
Mbona iko wazi?
@clairerudas51313 жыл бұрын
I love what I am watching
@kgchippy3 жыл бұрын
Mna vishindo😀
@jenyyusuph4973
3 жыл бұрын
😂😂😂😂 Wanaume mmezoea wa awake ndio hatujawahi so lazima
@kgchippy
3 жыл бұрын
@@jenyyusuph4973 sawa bana urubani wenu
@jenyyusuph4973
3 жыл бұрын
@@kgchippy 😂😂😂ngoja tujalibu mtu one waume ndio maba alivyo andikwa mungu lkn
Пікірлер: 334
I like the way Tanzania Parliament conduct themselves. I salute you Honorables from Nairobi , Kenya
wanawake like zenu penda sana tanzania yetu wanawake oyeeeeeee 😍😍😍😍
Joyful parliament ...to Tanzanias I love your ways...from Kenya🇰🇪
@hamjanikera1234
3 жыл бұрын
Hata mm nimelipenda bunge lao halichoshi...
@magdalenachubwa9388
3 жыл бұрын
Thank you brother
@fatumajumbe7345
3 жыл бұрын
@@hamjanikera1234 wallah si kama huku kwetu ukiingia bungeni roho time yoyote waeza rushiwa ngumi ya jicho
@wallaceguni1926
3 жыл бұрын
@@fatumajumbe7345 😅😅😅😅
@zubedaramandan1692
3 жыл бұрын
Piecafull
i am not Tanzania but i love watching everything about Tanzania
@sweetmama6885
3 жыл бұрын
Abass, where are you from?
@waidaamon457
3 жыл бұрын
karibuu
@tatubadi9010
3 жыл бұрын
Karibu Tanzania..
@zubedaramandan1692
3 жыл бұрын
Welcome hm
@jeniphachristian2131
3 жыл бұрын
welcome
Sijui ntafute uraia wa Tz am falling in love with this Nation day by day.. much love from Kenya ♥️♥️🇰🇪 MUNGU IBARIKI TANZANIA!
@wanderenyeura9011
3 жыл бұрын
Karibu sana eti
@altojaphet3394
3 жыл бұрын
Karibu tanzania
@ahmadmuhammadnguri1770
3 жыл бұрын
Tanzania ni poa sana lkn sheria zao ningumu sana bora kenya
@lynelee5846
3 жыл бұрын
@@ahmadmuhammadnguri1770 hizo sheria ngumu ziko vizuri ndo maana nchi imelainika yani selikari ya Tanzania kweli naongea bila unafiki INAJIELEWA! ❤️
@ladykimnan902
3 жыл бұрын
Welcome tz peace & love🇹🇿
Hongera sana Mh. Philip Mpango. Mwenyezi Mungu akujaalie kila la Kheri katika Utekelezaji wa Majukumu yako, Aamiin.
FIRST LADY AIDY WA RAISI WA KWANZA CONGRATULATIONS
@danielmoses2244
3 жыл бұрын
Haitwi first lady ... huyo aitwa ADC ... First lady ni cheo cha mke wa Rais mfano walivyokuwa Salma Kikwete, Janet Magufuri nk
@mudrickmohamed7941
3 жыл бұрын
Ok
Mwalimu Nyerere must be smiling broadly from the High Heavens.Aliujenga msingi imara sana.
Kinachonipa furaha ni kwamba historia zinabadilika na kuvunjwa kila kukicha, Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika. sema Amen kama unaitakia mema bara letu.
@gabrielbyaese631
3 жыл бұрын
amn
@lucyjeremia1381
3 жыл бұрын
Ameni
@tatubadi9010
3 жыл бұрын
Ameen
@hidayahassan8014
3 жыл бұрын
Amen
@zubedaramandan1692
3 жыл бұрын
Ameni
Hii ndio Tanzania yetu! Mungu anatusimamia kila siku!tumtangulize mbele! Asante Rais wetu Samia Mungu ametupatia Makamu kupitia kwako
I love you Tanzania naipenda sana nchi yangu nafurahi kuzaliwa tanzania😘😘😘❤️❤️❤️❤️❤️❤️
I am not Tanzanian, but you guys you made yr country proud 👏💙❤
Nina raha sana mambo ya watanzania..ahh..from USA🇰🇪🇱🇷
@zubedaramandan1692
3 жыл бұрын
We are ok
@shangwekamando2599
3 жыл бұрын
Thank you
Hii ndio nchi Mungu aliyoibariki kumbe taratibu machozi yanafutika binafsi Mzee mpango na mkubali hekima zake utulivu pia na utendaji kazi safi Mungu nae aliyekuwa na mpango nae jamani pindi alipougua hakuacha kumtetea nae baada ya kupona alionyesha fadhila kwa Mungu pia kwa waliomhudumia na pengine Mungu alimpa kipimo cha imani ili apite kisha amuinue...hongera mama Samia hongera Mzee mpango na hongera Tanzania Furaha iliweje kuzaliwa Tz...Mungu ibariki Tz.
Mimi mkenya lakini Tanzania nchi yangu.Mama Samia na afuate nyayo za mzee wetu na nchi hii itakuwa salama na ya kuigwa
Nakupenda Tanzania yangu, najivunia kuwa mtanzania,AMANI NA UPENDO ndio nguzo yetu. Mungu ibariki Tanzania
Niko Kenya jinsi navyofwatilia matokeo Tanzania. Utadhani Mimi ni mtazania
@fatmann6341
3 жыл бұрын
Tunakushukuru sana 🤝
@bernardoleonard7331
3 жыл бұрын
Upo sahihi
@magiehermess9949
3 жыл бұрын
Kwa sababu huna hila ndani yako. Mimi niko Kenya Ila ni mtz
Wow! Vice President nominated remained calm and humble when his name was called out! Love from Kenya 🇰🇪
@zion3655
3 жыл бұрын
Na wetu ni mdomo tu...vurugu. kenya tutabadulisha siasa lini
I love the way Tanzania leaders handle their business. Hongereni watanzania Mungu awabariki sana. Tuna mengi ya kujifunza toka kwenu. Kenya.
@benignajosephwatendewao2065
3 жыл бұрын
Amina🙏🏼
Proud to be a Tanzanian ♥️🇹🇿🔥 Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais kipenzi wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote 😍💪♥️✔✅✔
Mzee anafaa Sana kuwa MC nimecheka Sana naendelea kucheka proud to be among ov Tanzanian
Wanawake wamethaminiwa Sana ahamu hii ya mama Samia
Auwi kama nimeamka Usingizini vile... Nakupenda TANZANIA 🇹🇿
@sidratybinkhamis2837
3 жыл бұрын
😂😂
Nimezidisha upendo kwa wa Tanzania. Ahhh mungu abariki wa Tanzania. Love from Mombasa Kenya
@mahersaid258
3 жыл бұрын
Maasha allah krb sana TANZANIA 🇹🇿🇹🇿
mungu ibariki tanzania najivunia kuwa mtanzania nawapongeza viongozi wetu
I love Tanzania and I love people of Tanzania god blessing Tanzania and god blessing all of African Rwanda
@iventvictor4934
3 жыл бұрын
Bob
@norineraymond8098
3 жыл бұрын
Your welcome brother God bless you too
Spika anafaa kuwa MC anafurahisha
@faryhassany4043
3 жыл бұрын
Maana ya spika ni nn?
@benignajosephwatendewao2065
3 жыл бұрын
Hahaha
Safi kabisa mama samia Rais wetu
UMEINGIA VIZURI, ULIKUWA UMEBEBA BAHASHA ULILUSHA MKONO MMOJA MBELE NA NYUMA, ULIPOKABIDHI BAHASHA ULIKUWA HUNA MZIGO, ILITAKIWA URUSHE MIKONO YOTE MBELE NA NYUMA, SODIER UMEPITIA MAFUNZO WAPI.
@jumannekigori2667
3 жыл бұрын
Ok
Umoja na ushirikiano ndio nguzo yetu wa Tanzania nakupenda Sana nchi yangu
Tanzania ndio nchi inayoongoza africa kwa kutazamwa kwa sasa
@josephemmanuel3175
3 жыл бұрын
Hatariiii
@bernardoleonard7331
3 жыл бұрын
Kabisa
@aishabeka5562
3 жыл бұрын
Sana aisee
Mweshimiwa rais ongera sana
Mashaallah I'm very happy 🤗🤗❤🇹🇿🇹🇿
Wanawake oyeeeee
@mwanaishapumzikakwaamanish8687
3 жыл бұрын
Oyeeeeeeee
Watanzania mimi mkenya lakini niwapenda sana kila sasa najipata tu nikifuta news zenu.. tafadli naomba kaa munaeza ni host kwenu
@matthewjohn5108
3 жыл бұрын
Karibu sana jirani.
@mrsmburu5540
3 жыл бұрын
@@matthewjohn5108 nimeshukuru sana cku moja ntatembea huko qwenu sababu mumechaa nikaribisha
@CharlesLeoMgaya
3 жыл бұрын
Karib sana, we are born to care foreigners.
@alexlukumay4981
3 жыл бұрын
Karibu sana
@mrsmburu5540
3 жыл бұрын
@@CharlesLeoMgaya Nashukuru na mujue nkiingia huko nasma niwambia hapa hapa tu.. atreast handshake
masha allha allha akulinde na jicho la hasadi
Ndo mambo ya kulala maskini na kuamka tajiri ndo hayo sasa
I love Tanzania 🇹🇿. Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika
This is so beautiful
Najikuta nafurah tu Mwenyewe Jaman
Asa nalia Nini jamanii eti nafrahi adi nalia ongera Sana mze mipango tunaiman utaweka mipango sawa🙏🙏
@christabellageorge6692
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@bennycharles8168
3 жыл бұрын
Hahaha
Mashaa Allah it's really interesting
😂🤣😂 SIKU ZOTE MPAMBE ANANGUVU KULIKO MWENYEMALI 😂🤣🤣 mpambe anakuwa na machachali balaa
@barakablessing5366
3 жыл бұрын
Sana bro na ni kama kavunjwa mguu😂🤣😂🤣😂
Wanawake tunaweza sana jnm samia nakupenda sana rais Wa Tanzania magufuli mpendwa wetu atuachia rais Jmn
ninapenda huyu mama na serikali yake
mob love just wish i was from tanzania
Hongera Tanzania,hongera mama Samia Tanzania isonge mbelee
Nasikia tu wana wake wana wake mungu ibaliki Tanzania pamoja name viongozi wetu
Hadi raha jamani 🥰😍💪🏾🙌🙇♀️🙏Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kenyans we need to be serious like Tanzanians . Very organized no throwing stones and blowing whistles in parliament
uyo ndo Nyamburi mashauri Adis wa kwanza mwanamke vivaaa Tanzania
Wakenya wengi hapa kushinda watizedi wenyewe.
Hapo sawa na sio mpambe wa raisi aaaaah
Hii ndiyo Nchi yangu ambayo Mungu Wangu amenipa niishi kwa Amani na Furaha.
Mh spika nakupenda sana
Kina mama mpoooo 😂😂😂😂
@surujajwie4768
3 жыл бұрын
Saaaaaaan 222
Big love from Kenya. President angemteua ule jamaa wa...(uliskia wapi😆)
Team mafisi from Kenya 🇰🇪 wameniomba niwaulizie kama ako single 🤗am just a messenger 💌🙌🏿💌
@benmwangi4586
3 жыл бұрын
Hawatambui kama ni bodyguard wa prezo
@georgemassebu2083
3 жыл бұрын
Pisheni mbali
@josephemmanuel3175
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@bernardoleonard7331
3 жыл бұрын
😂😂
@blessingsgeneral93
3 жыл бұрын
🍻🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿🖤❤💚
Raha jamani raha sana Tanzania yangu asante Mama Samia tunakupenda raga mpaka bunge
Nilitaka kusomea upolice sema nilichelewa kulima milaba hahahahaha ila mungu ana makusudi yake sasa nipo ulaya Asante mungu
@EDIfitnesss335
3 жыл бұрын
Pia huko ulaya waweza kua
@witneskilinda5034
3 жыл бұрын
hahaha hahaha!!! hilo neno kilima milaba limenikumbusha mbali sana!!
@credo7837
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@amour5535
3 жыл бұрын
Umenikumbusha mbali ww
@andrewkilave3532
3 жыл бұрын
Ulivyosema milaba nimekumbuka Iringa daah
Ninyi ni watu wangu sanaaaa!
NDUGAI bwana!!!
Barikiwa saaana raha saaana
Spika wewe😂😂😂🤣 Hongera sana Philip.
Mama samiaa eeeh mama samia Suluhuu... Mitano tena..
That look from Muheshimiwa Lukuvi,though😄😄
Piga kelele kwakina mama
Hongera mama mnaweza Mungu wabariki
Tanzania raha tele
Mungu tuongoze Tanzania tuwe na ujasiri
Wabunge nawapenda ni kama wanafunzi wa secondary school boarding
Nani kamsikia spika kaguna mmhh mambo hayo kumekuuuucha bungeni Dodoma
This is just super.
Much joyfully for this choice🙏🙏🙏🙏
Wachaaa weeeeh mpambe na upambe wake Nakupenda mie mpmbe wa mwenye kiti wa kijiji cha kitongoji😋🤗
Haya bana mpaka umeagiza maji ya kunywa hahahaaaa
Wanawake wanaweza
Kina mama oyeeeeeeeee🙏💪
@dayanamajora3327
3 жыл бұрын
Oyeeeeee tunawezaaaa
@sweetmama6885
3 жыл бұрын
Ouuuooooooyeeeeeeeee. Uku nikiwa nimeziba pua ili oye itoke vizuri. 😂😂😂😂🤣🙊
@lucyjeremia1381
3 жыл бұрын
Oyeeeeeeee
A d c. Tangu nchi imeingia uchumi wa kat🤣🤣🤣🤣🙊🙊🙈🙈
Haya mambo ndio tulkuwa tunatka buana bunge live
Mheshimiwa rais kwafanya chaguo sahihi kua mheshimiwa Philip mipango kua makamo wa raise mungu amsimamie aitende kazi yake vyema kwajili ya inch nawanainch wake
Big up kanda maalumu kitu kutoka musoma
@rahmaabubakarisaanatu1961
3 жыл бұрын
Umeanza hvy hy ni wa kigomaaaaa.
@deborahmwita9278
3 жыл бұрын
@@rahmaabubakarisaanatu1961 anamaanisha mpambe wa Rais nadhani
Asante mungu
Kwaiyo adc amemtoloka raisi au ma adc wapo wawili
Tunakuombea kwa Mungu wambinguni akulinde baba yetu mteule makamu wa Rais Samia Ubarikiwe sana😂
Chakula cha mgonjwa was stroke
👏👏👏
jaman jaman mbon mwaka huu mutatukoma jeshi wanawake.pig kereeeeereee
Nimependa sana wanawake na maendeleo ongera sana Tanzanian
Haya bwana mmeshinda wanawake...!!! Hongereni zamu yenu sasa
Ma tony wote wa Tz wapelekwe jeshini plz ntakuja kunishukuru badae
hahahaha wanawake tunaweza
Waooo Safi sana
Watu wakajua kabudi kumbe mipango daaaah
The speaker could also do well as a comedian.
Mnapiga madawati wakati sisi wakati tunasoma tunaambiwa tunapiga kerere
Nchi ipi iliyopata uhuru?
Mbona iko wazi?
I love what I am watching
Mna vishindo😀
@jenyyusuph4973
3 жыл бұрын
😂😂😂😂 Wanaume mmezoea wa awake ndio hatujawahi so lazima
@kgchippy
3 жыл бұрын
@@jenyyusuph4973 sawa bana urubani wenu
@jenyyusuph4973
3 жыл бұрын
@@kgchippy 😂😂😂ngoja tujalibu mtu one waume ndio maba alivyo andikwa mungu lkn