LIVE: MPAMBE WA RAIS SAMIA ALIVYOINGIA BUNGENI NA BARUA YENYE JINA LA MAKAMU WA RAIS

#millardayoUPDATES

Пікірлер: 334

  • @joycekemunto3376
    @joycekemunto33763 жыл бұрын

    I like the way Tanzania Parliament conduct themselves. I salute you Honorables from Nairobi , Kenya

  • @mariamakanu1690
    @mariamakanu16903 жыл бұрын

    wanawake like zenu penda sana tanzania yetu wanawake oyeeeeeee 😍😍😍😍

  • @amepotea
    @amepotea3 жыл бұрын

    Joyful parliament ...to Tanzanias I love your ways...from Kenya🇰🇪

  • @hamjanikera1234

    @hamjanikera1234

    3 жыл бұрын

    Hata mm nimelipenda bunge lao halichoshi...

  • @magdalenachubwa9388

    @magdalenachubwa9388

    3 жыл бұрын

    Thank you brother

  • @fatumajumbe7345

    @fatumajumbe7345

    3 жыл бұрын

    @@hamjanikera1234 wallah si kama huku kwetu ukiingia bungeni roho time yoyote waeza rushiwa ngumi ya jicho

  • @wallaceguni1926

    @wallaceguni1926

    3 жыл бұрын

    @@fatumajumbe7345 😅😅😅😅

  • @zubedaramandan1692

    @zubedaramandan1692

    3 жыл бұрын

    Piecafull

  • @amaxyz138
    @amaxyz1383 жыл бұрын

    i am not Tanzania but i love watching everything about Tanzania

  • @sweetmama6885

    @sweetmama6885

    3 жыл бұрын

    Abass, where are you from?

  • @waidaamon457

    @waidaamon457

    3 жыл бұрын

    karibuu

  • @tatubadi9010

    @tatubadi9010

    3 жыл бұрын

    Karibu Tanzania..

  • @zubedaramandan1692

    @zubedaramandan1692

    3 жыл бұрын

    Welcome hm

  • @jeniphachristian2131

    @jeniphachristian2131

    3 жыл бұрын

    welcome

  • @lynelee5846
    @lynelee58463 жыл бұрын

    Sijui ntafute uraia wa Tz am falling in love with this Nation day by day.. much love from Kenya ♥️♥️🇰🇪 MUNGU IBARIKI TANZANIA!

  • @wanderenyeura9011

    @wanderenyeura9011

    3 жыл бұрын

    Karibu sana eti

  • @altojaphet3394

    @altojaphet3394

    3 жыл бұрын

    Karibu tanzania

  • @ahmadmuhammadnguri1770

    @ahmadmuhammadnguri1770

    3 жыл бұрын

    Tanzania ni poa sana lkn sheria zao ningumu sana bora kenya

  • @lynelee5846

    @lynelee5846

    3 жыл бұрын

    @@ahmadmuhammadnguri1770 hizo sheria ngumu ziko vizuri ndo maana nchi imelainika yani selikari ya Tanzania kweli naongea bila unafiki INAJIELEWA! ❤️

  • @ladykimnan902

    @ladykimnan902

    3 жыл бұрын

    Welcome tz peace & love🇹🇿

  • @safiaothman1098
    @safiaothman10983 жыл бұрын

    Hongera sana Mh. Philip Mpango. Mwenyezi Mungu akujaalie kila la Kheri katika Utekelezaji wa Majukumu yako, Aamiin.

  • @omarshee1173
    @omarshee11733 жыл бұрын

    FIRST LADY AIDY WA RAISI WA KWANZA CONGRATULATIONS

  • @danielmoses2244

    @danielmoses2244

    3 жыл бұрын

    Haitwi first lady ... huyo aitwa ADC ... First lady ni cheo cha mke wa Rais mfano walivyokuwa Salma Kikwete, Janet Magufuri nk

  • @mudrickmohamed7941

    @mudrickmohamed7941

    3 жыл бұрын

    Ok

  • @heraldloshi1864
    @heraldloshi18643 жыл бұрын

    Mwalimu Nyerere must be smiling broadly from the High Heavens.Aliujenga msingi imara sana.

  • @megyjr8734
    @megyjr87343 жыл бұрын

    Kinachonipa furaha ni kwamba historia zinabadilika na kuvunjwa kila kukicha, Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika. sema Amen kama unaitakia mema bara letu.

  • @gabrielbyaese631

    @gabrielbyaese631

    3 жыл бұрын

    amn

  • @lucyjeremia1381

    @lucyjeremia1381

    3 жыл бұрын

    Ameni

  • @tatubadi9010

    @tatubadi9010

    3 жыл бұрын

    Ameen

  • @hidayahassan8014

    @hidayahassan8014

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @zubedaramandan1692

    @zubedaramandan1692

    3 жыл бұрын

    Ameni

  • @magejuliani5293
    @magejuliani52933 жыл бұрын

    Hii ndio Tanzania yetu! Mungu anatusimamia kila siku!tumtangulize mbele! Asante Rais wetu Samia Mungu ametupatia Makamu kupitia kwako

  • @happynessmsele3638
    @happynessmsele36383 жыл бұрын

    I love you Tanzania naipenda sana nchi yangu nafurahi kuzaliwa tanzania😘😘😘❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @Gasimba785
    @Gasimba7853 жыл бұрын

    I am not Tanzanian, but you guys you made yr country proud 👏💙❤

  • @eddkan1828
    @eddkan18283 жыл бұрын

    Nina raha sana mambo ya watanzania..ahh..from USA🇰🇪🇱🇷

  • @zubedaramandan1692

    @zubedaramandan1692

    3 жыл бұрын

    We are ok

  • @shangwekamando2599

    @shangwekamando2599

    3 жыл бұрын

    Thank you

  • @helenkulaya5120
    @helenkulaya51203 жыл бұрын

    Hii ndio nchi Mungu aliyoibariki kumbe taratibu machozi yanafutika binafsi Mzee mpango na mkubali hekima zake utulivu pia na utendaji kazi safi Mungu nae aliyekuwa na mpango nae jamani pindi alipougua hakuacha kumtetea nae baada ya kupona alionyesha fadhila kwa Mungu pia kwa waliomhudumia na pengine Mungu alimpa kipimo cha imani ili apite kisha amuinue...hongera mama Samia hongera Mzee mpango na hongera Tanzania Furaha iliweje kuzaliwa Tz...Mungu ibariki Tz.

  • @ndungugitahi1675
    @ndungugitahi16753 жыл бұрын

    Mimi mkenya lakini Tanzania nchi yangu.Mama Samia na afuate nyayo za mzee wetu na nchi hii itakuwa salama na ya kuigwa

  • @d.m453
    @d.m4533 жыл бұрын

    Nakupenda Tanzania yangu, najivunia kuwa mtanzania,AMANI NA UPENDO ndio nguzo yetu. Mungu ibariki Tanzania

  • @wakanda5659
    @wakanda56593 жыл бұрын

    Niko Kenya jinsi navyofwatilia matokeo Tanzania. Utadhani Mimi ni mtazania

  • @fatmann6341

    @fatmann6341

    3 жыл бұрын

    Tunakushukuru sana 🤝

  • @bernardoleonard7331

    @bernardoleonard7331

    3 жыл бұрын

    Upo sahihi

  • @magiehermess9949

    @magiehermess9949

    3 жыл бұрын

    Kwa sababu huna hila ndani yako. Mimi niko Kenya Ila ni mtz

  • @Elohim2
    @Elohim23 жыл бұрын

    Wow! Vice President nominated remained calm and humble when his name was called out! Love from Kenya 🇰🇪

  • @zion3655

    @zion3655

    3 жыл бұрын

    Na wetu ni mdomo tu...vurugu. kenya tutabadulisha siasa lini

  • @baholabuya6863
    @baholabuya68633 жыл бұрын

    I love the way Tanzania leaders handle their business. Hongereni watanzania Mungu awabariki sana. Tuna mengi ya kujifunza toka kwenu. Kenya.

  • @benignajosephwatendewao2065

    @benignajosephwatendewao2065

    3 жыл бұрын

    Amina🙏🏼

  • @ivana9837
    @ivana98373 жыл бұрын

    Proud to be a Tanzanian ♥️🇹🇿🔥 Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais kipenzi wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote 😍💪♥️✔✅✔

  • @shadrackdavid7721
    @shadrackdavid77213 жыл бұрын

    Mzee anafaa Sana kuwa MC nimecheka Sana naendelea kucheka proud to be among ov Tanzanian

  • @romakoko2292
    @romakoko22923 жыл бұрын

    Wanawake wamethaminiwa Sana ahamu hii ya mama Samia

  • @monicamwitula261
    @monicamwitula2613 жыл бұрын

    Auwi kama nimeamka Usingizini vile... Nakupenda TANZANIA 🇹🇿

  • @sidratybinkhamis2837

    @sidratybinkhamis2837

    3 жыл бұрын

    😂😂

  • @lydiakanah4478
    @lydiakanah44783 жыл бұрын

    Nimezidisha upendo kwa wa Tanzania. Ahhh mungu abariki wa Tanzania. Love from Mombasa Kenya

  • @mahersaid258

    @mahersaid258

    3 жыл бұрын

    Maasha allah krb sana TANZANIA 🇹🇿🇹🇿

  • @amiryhamza1984
    @amiryhamza19843 жыл бұрын

    mungu ibariki tanzania najivunia kuwa mtanzania nawapongeza viongozi wetu

  • @amanirugamba5935
    @amanirugamba59353 жыл бұрын

    I love Tanzania and I love people of Tanzania god blessing Tanzania and god blessing all of African Rwanda

  • @iventvictor4934

    @iventvictor4934

    3 жыл бұрын

    Bob

  • @norineraymond8098

    @norineraymond8098

    3 жыл бұрын

    Your welcome brother God bless you too

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline65753 жыл бұрын

    Spika anafaa kuwa MC anafurahisha

  • @faryhassany4043

    @faryhassany4043

    3 жыл бұрын

    Maana ya spika ni nn?

  • @benignajosephwatendewao2065

    @benignajosephwatendewao2065

    3 жыл бұрын

    Hahaha

  • @petronillamnyambi7607
    @petronillamnyambi76073 жыл бұрын

    Safi kabisa mama samia Rais wetu

  • @jonasluck5713
    @jonasluck57133 жыл бұрын

    UMEINGIA VIZURI, ULIKUWA UMEBEBA BAHASHA ULILUSHA MKONO MMOJA MBELE NA NYUMA, ULIPOKABIDHI BAHASHA ULIKUWA HUNA MZIGO, ILITAKIWA URUSHE MIKONO YOTE MBELE NA NYUMA, SODIER UMEPITIA MAFUNZO WAPI.

  • @jumannekigori2667

    @jumannekigori2667

    3 жыл бұрын

    Ok

  • @altojaphet3394
    @altojaphet33943 жыл бұрын

    Umoja na ushirikiano ndio nguzo yetu wa Tanzania nakupenda Sana nchi yangu

  • @kwzjkwz3532
    @kwzjkwz35323 жыл бұрын

    Tanzania ndio nchi inayoongoza africa kwa kutazamwa kwa sasa

  • @josephemmanuel3175

    @josephemmanuel3175

    3 жыл бұрын

    Hatariiii

  • @bernardoleonard7331

    @bernardoleonard7331

    3 жыл бұрын

    Kabisa

  • @aishabeka5562

    @aishabeka5562

    3 жыл бұрын

    Sana aisee

  • @salummuhammed8017
    @salummuhammed80173 жыл бұрын

    Mweshimiwa rais ongera sana

  • @surujajwie4768
    @surujajwie47683 жыл бұрын

    Mashaallah I'm very happy 🤗🤗❤🇹🇿🇹🇿

  • @pendopeter1790
    @pendopeter17903 жыл бұрын

    Wanawake oyeeeee

  • @mwanaishapumzikakwaamanish8687

    @mwanaishapumzikakwaamanish8687

    3 жыл бұрын

    Oyeeeeeeee

  • @mrsmburu5540
    @mrsmburu55403 жыл бұрын

    Watanzania mimi mkenya lakini niwapenda sana kila sasa najipata tu nikifuta news zenu.. tafadli naomba kaa munaeza ni host kwenu

  • @matthewjohn5108

    @matthewjohn5108

    3 жыл бұрын

    Karibu sana jirani.

  • @mrsmburu5540

    @mrsmburu5540

    3 жыл бұрын

    @@matthewjohn5108 nimeshukuru sana cku moja ntatembea huko qwenu sababu mumechaa nikaribisha

  • @CharlesLeoMgaya

    @CharlesLeoMgaya

    3 жыл бұрын

    Karib sana, we are born to care foreigners.

  • @alexlukumay4981

    @alexlukumay4981

    3 жыл бұрын

    Karibu sana

  • @mrsmburu5540

    @mrsmburu5540

    3 жыл бұрын

    @@CharlesLeoMgaya Nashukuru na mujue nkiingia huko nasma niwambia hapa hapa tu.. atreast handshake

  • @faizasaleh5854
    @faizasaleh58543 жыл бұрын

    masha allha allha akulinde na jicho la hasadi

  • @samwelmaduhu1233
    @samwelmaduhu12333 жыл бұрын

    Ndo mambo ya kulala maskini na kuamka tajiri ndo hayo sasa

  • @kaisarimbisso7579
    @kaisarimbisso75793 жыл бұрын

    I love Tanzania 🇹🇿. Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika

  • @hansbetwel5256
    @hansbetwel52563 жыл бұрын

    This is so beautiful

  • @renathawilbard2593
    @renathawilbard25933 жыл бұрын

    Najikuta nafurah tu Mwenyewe Jaman

  • @pendokessy9836
    @pendokessy98363 жыл бұрын

    Asa nalia Nini jamanii eti nafrahi adi nalia ongera Sana mze mipango tunaiman utaweka mipango sawa🙏🙏

  • @christabellageorge6692

    @christabellageorge6692

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @bennycharles8168

    @bennycharles8168

    3 жыл бұрын

    Hahaha

  • @harrymo8864
    @harrymo88643 жыл бұрын

    Mashaa Allah it's really interesting

  • @ramadhanyusuph7633
    @ramadhanyusuph76333 жыл бұрын

    😂🤣😂 SIKU ZOTE MPAMBE ANANGUVU KULIKO MWENYEMALI 😂🤣🤣 mpambe anakuwa na machachali balaa

  • @barakablessing5366

    @barakablessing5366

    3 жыл бұрын

    Sana bro na ni kama kavunjwa mguu😂🤣😂🤣😂

  • @talhiyaibrahim7951
    @talhiyaibrahim79513 жыл бұрын

    Wanawake tunaweza sana jnm samia nakupenda sana rais Wa Tanzania magufuli mpendwa wetu atuachia rais Jmn

  • @sarahnyambaka5885
    @sarahnyambaka58853 жыл бұрын

    ninapenda huyu mama na serikali yake

  • @djtroy571
    @djtroy5713 жыл бұрын

    mob love just wish i was from tanzania

  • @abbysamkhan3030
    @abbysamkhan30303 жыл бұрын

    Hongera Tanzania,hongera mama Samia Tanzania isonge mbelee

  • @mangeleopard3872
    @mangeleopard38723 жыл бұрын

    Nasikia tu wana wake wana wake mungu ibaliki Tanzania pamoja name viongozi wetu

  • @godelivamuswahili2988
    @godelivamuswahili29883 жыл бұрын

    Hadi raha jamani 🥰😍💪🏾🙌🙇‍♀️🙏Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @kiplangatvictor9277
    @kiplangatvictor92776 ай бұрын

    Kenyans we need to be serious like Tanzanians . Very organized no throwing stones and blowing whistles in parliament

  • @anethmaro8168
    @anethmaro81683 жыл бұрын

    uyo ndo Nyamburi mashauri Adis wa kwanza mwanamke vivaaa Tanzania

  • @Thuon_
    @Thuon_3 жыл бұрын

    Wakenya wengi hapa kushinda watizedi wenyewe.

  • @jofreymanfred6560
    @jofreymanfred65602 жыл бұрын

    Hapo sawa na sio mpambe wa raisi aaaaah

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon41592 жыл бұрын

    Hii ndiyo Nchi yangu ambayo Mungu Wangu amenipa niishi kwa Amani na Furaha.

  • @saidhamis8954
    @saidhamis89543 жыл бұрын

    Mh spika nakupenda sana

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia13813 жыл бұрын

    Kina mama mpoooo 😂😂😂😂

  • @surujajwie4768

    @surujajwie4768

    3 жыл бұрын

    Saaaaaaan 222

  • @cliffmwenja4853
    @cliffmwenja48533 жыл бұрын

    Big love from Kenya. President angemteua ule jamaa wa...(uliskia wapi😆)

  • @kelvin8324
    @kelvin83243 жыл бұрын

    Team mafisi from Kenya 🇰🇪 wameniomba niwaulizie kama ako single 🤗am just a messenger 💌🙌🏿💌

  • @benmwangi4586

    @benmwangi4586

    3 жыл бұрын

    Hawatambui kama ni bodyguard wa prezo

  • @georgemassebu2083

    @georgemassebu2083

    3 жыл бұрын

    Pisheni mbali

  • @josephemmanuel3175

    @josephemmanuel3175

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @bernardoleonard7331

    @bernardoleonard7331

    3 жыл бұрын

    😂😂

  • @blessingsgeneral93

    @blessingsgeneral93

    3 жыл бұрын

    🍻🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿🖤❤💚

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo74073 жыл бұрын

    Raha jamani raha sana Tanzania yangu asante Mama Samia tunakupenda raga mpaka bunge

  • @ashazuber6548
    @ashazuber65483 жыл бұрын

    Nilitaka kusomea upolice sema nilichelewa kulima milaba hahahahaha ila mungu ana makusudi yake sasa nipo ulaya Asante mungu

  • @EDIfitnesss335

    @EDIfitnesss335

    3 жыл бұрын

    Pia huko ulaya waweza kua

  • @witneskilinda5034

    @witneskilinda5034

    3 жыл бұрын

    hahaha hahaha!!! hilo neno kilima milaba limenikumbusha mbali sana!!

  • @credo7837

    @credo7837

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @amour5535

    @amour5535

    3 жыл бұрын

    Umenikumbusha mbali ww

  • @andrewkilave3532

    @andrewkilave3532

    3 жыл бұрын

    Ulivyosema milaba nimekumbuka Iringa daah

  • @niwemugenimediatrice5640
    @niwemugenimediatrice56403 жыл бұрын

    Ninyi ni watu wangu sanaaaa!

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49733 жыл бұрын

    NDUGAI bwana!!!

  • @alfasaidiofficial5800
    @alfasaidiofficial58003 жыл бұрын

    Barikiwa saaana raha saaana

  • @nampijjanazifah6358
    @nampijjanazifah63583 жыл бұрын

    Spika wewe😂😂😂🤣 Hongera sana Philip.

  • @leonardjanuary4400
    @leonardjanuary44003 жыл бұрын

    Mama samiaa eeeh mama samia Suluhuu... Mitano tena..

  • @shirazmunawar4433
    @shirazmunawar44333 жыл бұрын

    That look from Muheshimiwa Lukuvi,though😄😄

  • @zaynamzimba9815
    @zaynamzimba98153 жыл бұрын

    Piga kelele kwakina mama

  • @emmanuelwankururyoba2635
    @emmanuelwankururyoba26353 жыл бұрын

    Hongera mama mnaweza Mungu wabariki

  • @abbaimran4122
    @abbaimran41223 жыл бұрын

    Tanzania raha tele

  • @annabihendo6915
    @annabihendo69153 жыл бұрын

    Mungu tuongoze Tanzania tuwe na ujasiri

  • @bubulini645
    @bubulini6455 ай бұрын

    Wabunge nawapenda ni kama wanafunzi wa secondary school boarding

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna20583 жыл бұрын

    Nani kamsikia spika kaguna mmhh mambo hayo kumekuuuucha bungeni Dodoma

  • @francisomondi3549
    @francisomondi35493 жыл бұрын

    This is just super.

  • @user-zt6re1dr5f
    @user-zt6re1dr5f23 күн бұрын

    Much joyfully for this choice🙏🙏🙏🙏

  • @kaidrisa2711
    @kaidrisa27113 жыл бұрын

    Wachaaa weeeeh mpambe na upambe wake Nakupenda mie mpmbe wa mwenye kiti wa kijiji cha kitongoji😋🤗

  • @micamathew2595
    @micamathew25953 жыл бұрын

    Haya bana mpaka umeagiza maji ya kunywa hahahaaaa

  • @saudajuma6063
    @saudajuma60633 жыл бұрын

    Wanawake wanaweza

  • @jarnicebenson1323
    @jarnicebenson13233 жыл бұрын

    Kina mama oyeeeeeeeee🙏💪

  • @dayanamajora3327

    @dayanamajora3327

    3 жыл бұрын

    Oyeeeeee tunawezaaaa

  • @sweetmama6885

    @sweetmama6885

    3 жыл бұрын

    Ouuuooooooyeeeeeeeee. Uku nikiwa nimeziba pua ili oye itoke vizuri. 😂😂😂😂🤣🙊

  • @lucyjeremia1381

    @lucyjeremia1381

    3 жыл бұрын

    Oyeeeeeeee

  • @abuukamanda.s.mkenga6687
    @abuukamanda.s.mkenga66873 жыл бұрын

    A d c. Tangu nchi imeingia uchumi wa kat🤣🤣🤣🤣🙊🙊🙈🙈

  • @zubedarichard2311
    @zubedarichard23113 жыл бұрын

    Haya mambo ndio tulkuwa tunatka buana bunge live

  • @mackjuma8673
    @mackjuma86733 жыл бұрын

    Mheshimiwa rais kwafanya chaguo sahihi kua mheshimiwa Philip mipango kua makamo wa raise mungu amsimamie aitende kazi yake vyema kwajili ya inch nawanainch wake

  • @AliMohamed-kd1uc
    @AliMohamed-kd1uc3 жыл бұрын

    Big up kanda maalumu kitu kutoka musoma

  • @rahmaabubakarisaanatu1961

    @rahmaabubakarisaanatu1961

    3 жыл бұрын

    Umeanza hvy hy ni wa kigomaaaaa.

  • @deborahmwita9278

    @deborahmwita9278

    3 жыл бұрын

    @@rahmaabubakarisaanatu1961 anamaanisha mpambe wa Rais nadhani

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement25343 жыл бұрын

    Asante mungu

  • @mwendelejoseph3424
    @mwendelejoseph34243 жыл бұрын

    Kwaiyo adc amemtoloka raisi au ma adc wapo wawili

  • @otiliahaule5180
    @otiliahaule51803 жыл бұрын

    Tunakuombea kwa Mungu wambinguni akulinde baba yetu mteule makamu wa Rais Samia Ubarikiwe sana😂

  • @suzanngachengo9778
    @suzanngachengo97783 жыл бұрын

    Chakula cha mgonjwa was stroke

  • @neemajoseph8674
    @neemajoseph86743 жыл бұрын

    👏👏👏

  • @tousihhhh6765
    @tousihhhh67653 жыл бұрын

    jaman jaman mbon mwaka huu mutatukoma jeshi wanawake.pig kereeeeereee

  • @babuumarshall2990
    @babuumarshall29903 жыл бұрын

    Nimependa sana wanawake na maendeleo ongera sana Tanzanian

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv38463 жыл бұрын

    Haya bwana mmeshinda wanawake...!!! Hongereni zamu yenu sasa

  • @josephjohanes9327
    @josephjohanes932710 ай бұрын

    Ma tony wote wa Tz wapelekwe jeshini plz ntakuja kunishukuru badae

  • @meryedward81
    @meryedward813 жыл бұрын

    hahahaha wanawake tunaweza

  • @sarahmarishay6938
    @sarahmarishay69383 жыл бұрын

    Waooo Safi sana

  • @josephemmanuel3175
    @josephemmanuel31753 жыл бұрын

    Watu wakajua kabudi kumbe mipango daaaah

  • @samuelkamochu6808
    @samuelkamochu68083 жыл бұрын

    The speaker could also do well as a comedian.

  • @issaoissa8014
    @issaoissa80143 жыл бұрын

    Mnapiga madawati wakati sisi wakati tunasoma tunaambiwa tunapiga kerere

  • @amanmohd9435
    @amanmohd94353 жыл бұрын

    Nchi ipi iliyopata uhuru?

  • @kgchippy
    @kgchippy3 жыл бұрын

    Mbona iko wazi?

  • @clairerudas5131
    @clairerudas51313 жыл бұрын

    I love what I am watching

  • @kgchippy
    @kgchippy3 жыл бұрын

    Mna vishindo😀

  • @jenyyusuph4973

    @jenyyusuph4973

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂 Wanaume mmezoea wa awake ndio hatujawahi so lazima

  • @kgchippy

    @kgchippy

    3 жыл бұрын

    @@jenyyusuph4973 sawa bana urubani wenu

  • @jenyyusuph4973

    @jenyyusuph4973

    3 жыл бұрын

    @@kgchippy 😂😂😂ngoja tujalibu mtu one waume ndio maba alivyo andikwa mungu lkn

Келесі