List ya Wakuu wa Wilaya waliotumbuliwa na RAIS Samia

⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA Ngasa Online Tv
⚫️ Email: ngasamedia@gmail.com / WhatsApp 0716909567 / Call 0716909567
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: / playlist
list=PLSzTdjtfFZV4x9eEn8XKjtHMqu5fkevjb
⚫️ BUNGENI DODOMA: / watch
v=0tOC0Qdxizc&list=PLSzTdjtfFZV6DoniR7GGw1_I0dWOzx01B
⚫️ SIASA : • Video
Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kama unahitaji kufanya Matangazo au Habari yoyote ya KIJAMII Tafadhali wasiliana na Sisi Kupitia 0716909567 Tunawapa kipaumbele kwa waliopo Dodoma
ngasamedia@gmail.com
WhatsApp: +255 716909567
Call us : +255 716909567
thank you for watching this video ,please leave a like if you enjoyed the video & Subscribe for more video.
#sensa #jitokezekuhesabiwa #ngasatv

Пікірлер: 87

  • @machoguhamery3731
    @machoguhamery3731 Жыл бұрын

    Mimi nasimama na mheshimiwa Sara Msafiri alipambana sana na mafisadi wa kigamboni ,mtandao wa wezi wa mafuta bandarini.Asante yake akahamishiwa kibaha pwani.Kigamboni pakabaki salaama kwa aliyeletwa maana hatukuwahi kusikia wezi wa mafuta wamekamatwa.!!!! Sasa katumbuliwa hatima yake anaijua Mwenyezi Mungu pekee.

  • @thomastarimo

    @thomastarimo

    Жыл бұрын

    Bora huyu bwana ametolewa kabisa alimtukana mwenyeketi wa arumeru ni laana ya yule mwenyeketi alikua anafanya kazi kwa mwemuko

  • @barakanatus5676
    @barakanatus5676 Жыл бұрын

    Sirien mchembe huyo vzr sana

  • @rehemashizumi7335
    @rehemashizumi7335 Жыл бұрын

    Umemsahau Rahabu Mwangisa wa Manyoni.hKiki taarifa zako

  • @drmsange652
    @drmsange652 Жыл бұрын

    Hii pia ibaki kuwa somo kuwa unapopewa madaraka usijione ww ndio mungu ujuwe yanamwisho..mungu akulipeni stahik zenu siku zote mkiwa madarakani

  • @ramsonhudson4013
    @ramsonhudson4013 Жыл бұрын

    Umesahau Abasi Kayanda alikuwa mkuu wa wilaya ya Moshi

  • @fredyemmanuel4303
    @fredyemmanuel4303 Жыл бұрын

    Hawa wote walio tenguliwa walikuwa hawamsifii mama wa kumpamba ndokilichowaponza

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Жыл бұрын

    Muro akalale

  • @eleutermhumba347
    @eleutermhumba347 Жыл бұрын

    Tubakize maneno,wengine wapi kwenye mkekà wa wakuu wa mkoa

  • @stanslausbukulu278
    @stanslausbukulu278 Жыл бұрын

    Yote ni kushukuru labda atawapangia kazi nyingne ishaalah

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 Жыл бұрын

    Mkiishiwa cha maana mtabaki kupoteza muda na pesa zetu kwa miutez kila leo ah!

  • @edwardmakonge6951
    @edwardmakonge6951 Жыл бұрын

    Wotee hawa walikuwa wateule wa awamu ya tano daa.

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 Жыл бұрын

    Towa mama na wakuu Wa mkowa wote.niwezi sana

  • @richardnganya2311

    @richardnganya2311

    Жыл бұрын

    Usisahau kuna kulindana sana

  • @PeterNMzee

    @PeterNMzee

    Жыл бұрын

    @@richardnganya2311 😁 wezi wote hata huyo unaye mwamini 😄

  • @anthonygabrielgwarisanga740
    @anthonygabrielgwarisanga740 Жыл бұрын

    Duuh! Kweli Dk samia unaupiga mwingii! Yaan unapanga pangua tu kila siku?

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Жыл бұрын

    Anajitaidi kutengeneza safu ya wanaomuabudu

  • @alliyrubea5731

    @alliyrubea5731

    Жыл бұрын

    Kama vile mwendazake alivyofanya?au yy ni haramu?

  • @JJ-fb9jp

    @JJ-fb9jp

    Жыл бұрын

    @@alliyrubea5731 ha ha ha kweli

  • @shinipapaya846

    @shinipapaya846

    Жыл бұрын

    @@alliyrubea5731 hiyo ndio akili ya Mwarabu koko ilipoishia 🤣🤣

  • @alliyrubea5731

    @alliyrubea5731

    Жыл бұрын

    @@shinipapaya846 hata ya mswahili matako ndio zaidi

  • @alliyrubea5731

    @alliyrubea5731

    Жыл бұрын

    @@shinipapaya846 maana mswahili haendi mpaka kwa bakora sasa wacha muchapwe akili zenu ziko ktk tembo na uzinifu tu

  • @newtotalmikumiservicestation
    @newtotalmikumiservicestation Жыл бұрын

    Hamko serious nyie watenguliwa kumi wapya wawe thelethini na kitu kwel

  • @fadhilimoshi5754
    @fadhilimoshi5754 Жыл бұрын

    Hufai kbs kuwa mwandishi wa habari kwani hujui muhistasari kaongeze ujuzi unarudia sana kula hela za watu

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani1993 Жыл бұрын

    Unachanganya, huyu Muro anakuwa mkuu wa mkoa fulani.....subiri kidogo

  • @JJ-fb9jp

    @JJ-fb9jp

    Жыл бұрын

    Haiwezekani nakwambia

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Жыл бұрын

    😷

  • @fredyemmanuel4303
    @fredyemmanuel4303 Жыл бұрын

    Aludi tu kuwa msemaji wa yanga Kama zamani maana cheo ni dhamana

  • @enikosanga6974
    @enikosanga6974 Жыл бұрын

    Jerry akaombe kazi yanga

  • @veronicasamson7121
    @veronicasamson7121 Жыл бұрын

    Siriel mcheme recently alijitahidi kuonekana sana kwenye tv kwenye kazi zake.. kumbe labda nyuma ya pazia mambo hayakua vizur sana

  • @abdibilali4186

    @abdibilali4186

    Жыл бұрын

    Alikua vizuri Sana mm ni wa Handeni sijui shida ni nini

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Жыл бұрын

    hayo.ni ya kawaida tu.hakuna ataekua Kwenye uongozi Maisha yake yote labda mfalme

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Жыл бұрын

    🙄

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee Жыл бұрын

    Huyo mkuu wa wilaya wa Handeni au korogwe ndo yule aliekuwa akiwapigia kelele wakurugenzi kuhusu ucheleweshaji wa ujenzi wa zahanati.... Kumbe alikuwa akikosea

  • @romanamassawe814

    @romanamassawe814

    Жыл бұрын

    Alikuwa anakosea Sana, Kwanza ni mkristo, sisi tunataka muislam mwenzetu

  • @PeterNMzee

    @PeterNMzee

    Жыл бұрын

    @@romanamassawe814 okay... I understand the system!!!

  • @sarafinafranci8481
    @sarafinafranci8481 Жыл бұрын

    Ndo kazi kubwa anayoiweza kupagua na kutegua.

  • @kassidpandu866

    @kassidpandu866

    Жыл бұрын

    Sarafina Wacha zarau Rais ni Mtu Mkubwa sana Nchi hii shauri yako

  • @mandelamandela3150

    @mandelamandela3150

    Жыл бұрын

    @@kassidpandu866 Mpumbavu sana wewe !!!! Rais yupo kufanyia kazi Wananchi, hayupo pale kwa sifa ya ukubwa !!!! Ndio mana Magufuri anasifiwa leo sababu alifanya kazi yake !!!! Mpuuuzi wewe.

  • @shinipapaya846

    @shinipapaya846

    Жыл бұрын

    @@kassidpandu866 jitu likiwa fisadi linakuwa halina kificho kuma we 🤣🤣

  • @philemonsnyanda9450
    @philemonsnyanda9450 Жыл бұрын

    Hawa watu hawatakiwi kabisa kuteuliwa, wanatakiwa wapigiwe kula maana kazi wazifanyazo ni ukada wa chama tyuu

  • @mashindanolivinus
    @mashindanolivinus Жыл бұрын

    Kwa hiyo wametenguliwa 10 wakateuliwa 37.. mko serious!

  • @alisonchelele5052

    @alisonchelele5052

    Жыл бұрын

    Hawako serious hawa

  • @alfredbukuru7121
    @alfredbukuru7121 Жыл бұрын

    mbona aliyekua kilombero hujamtaja?

  • @tembasimba9462
    @tembasimba9462 Жыл бұрын

    mnapata nafasi Hadi ya kurudia wakati wakuu kibao waliotenguliwa hamjawataja. Make a good research.

  • @amosmbangala9079
    @amosmbangala9079 Жыл бұрын

    Aje kwamadasi pia nimatapeli hasa njombe hapafai

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 Жыл бұрын

    How about mtatiro

  • @edwardmakonge6951

    @edwardmakonge6951

    Жыл бұрын

    Mtatiro kabaki Tunduru.

  • @khamisjuma8501

    @khamisjuma8501

    Жыл бұрын

    @@edwardmakonge6951tumesha msahau kisiasa mtatiro Tanzania people

  • @joycentongani388
    @joycentongani388 Жыл бұрын

    Kwa hiyo tuwasaidieje?

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Жыл бұрын

    Kwa sarah mama hapo hatuingilii lakini huyu ndiyo aliegundua wizi wa mafuta kigamboni mhuuuu makubwa haya

  • @kellyngogo3319

    @kellyngogo3319

    Жыл бұрын

    Aliimalizaje hiyo case unaijua? Ndo mana unamtetea

  • @erickzephania1030

    @erickzephania1030

    Жыл бұрын

    Vingine ni kucheza na akili za watu, usiwekeze akili zako kwa wana siasa

  • @edwardmakonge6951

    @edwardmakonge6951

    Жыл бұрын

    Nimeshangaa sana kuachwa kwa Sara,ugunduzi wake bila shaka ulikuwa na maswali lukuki???!!

  • @gozbertrwezaula3309
    @gozbertrwezaula3309 Жыл бұрын

    Kilombero....

  • @alisonchelele5052
    @alisonchelele5052 Жыл бұрын

    Mbona umemsau mkuu wa wilaya wa Moshi mjini ameachwa

  • @UzalendoNaUtu

    @UzalendoNaUtu

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @albertkulwa7521

    @albertkulwa7521

    Жыл бұрын

    kaushaaa

  • @edwardnkyandwale6904
    @edwardnkyandwale6904 Жыл бұрын

    Aliyekufa mkuu wa wilaya wa Kyela Yuko wapi?

  • @ezekieljacob5795

    @ezekieljacob5795

    Жыл бұрын

    Kama kafa basi

  • @simonkipondo1453
    @simonkipondo1453 Жыл бұрын

    Sirieli mchembe katunyanyasa sana huku msomera handeni Bora kaondoka

  • @abdibilali4186

    @abdibilali4186

    Жыл бұрын

    ki vipi

  • @filibertmaronka1487
    @filibertmaronka1487 Жыл бұрын

    Mama tunakuomba umuondoe Dc wa wilaya ya uvinza mkoani kigoma huyu kuchoma makanisa misikiti na watu kupigiwa sana hadi kuna Mama kafariki ajili ya kipgo

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Жыл бұрын

    Aje awe Msemaji Mpya yanga bc Alli kamwe Hana sifa kabisa!

  • @JJ-fb9jp

    @JJ-fb9jp

    Жыл бұрын

    Point

  • @melkiadesmogella6402

    @melkiadesmogella6402

    Жыл бұрын

    Ali Kamwe ni habari nyingine acha kabisa na yule intellectual

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Жыл бұрын

    ukiona ivo wasalit ao

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 Жыл бұрын

    Nampongeza Sana Mama kwa uteuzi huwo, naona majina yote ya walio ondolewa ni wakristo, Asante Sana Mama kwa safu mpya, wakristo hawawezi kuwa viongozi wa nchi

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    Жыл бұрын

    Romana masawe mama anapanga safu yake asubiri 2025 aone cha moto kuanzia serikali za mitaa ndipo atakapojua mbivu na mbichi

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    Жыл бұрын

    Romana kwa kweli kuhusu Sara inaniuma sanaaaa muache arimotiwe jasho litamtoka

  • @rashidipembe4300

    @rashidipembe4300

    Жыл бұрын

    Muro atapata nafasi ingine ni mchapa kazi anastahili. Mungu ampe Baraka zoote. Amen

  • @muharamiesther5908

    @muharamiesther5908

    Жыл бұрын

    Yesu Wangu Mungu ni Wetu Sote 🤔🤲🙏

  • @amanestomihi2599
    @amanestomihi2599 Жыл бұрын

    Safi Sana alijikuta Mungu mtu Sana bwana huyu

  • @JJ-fb9jp

    @JJ-fb9jp

    Жыл бұрын

    Kabisa huyu alikuwa anaona ndo kama rais na dharau kibao

  • @shinipapaya846

    @shinipapaya846

    Жыл бұрын

    Ni nani huyo na vipi au katomba......wako?

  • @estershekika8865
    @estershekika8865 Жыл бұрын

    Kwa upande wa Jeri muro ningekuwa na uwezo wa kumfikia rais leo ningempa zawadi

  • @ezekieljacob5795

    @ezekieljacob5795

    Жыл бұрын

    Uwezo nauli yako tu.

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Жыл бұрын

    Tunahitaji katiba mpya kuondoa haya maigizo...Kimsingi hatuhitaji hiki cheo Cha wakuu wa wilaya... Kinaendeleza ukoloni

  • @aloycebabene6239
    @aloycebabene6239 Жыл бұрын

    Sitaki kufikiri majina yao yamewaponza...ila naamini utendaji wao si mzuri.

Келесі