List ya Wakuu wa Wilaya waliotumbuliwa na RAIS Samia
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA Ngasa Online Tv
⚫️ Email: ngasamedia@gmail.com / WhatsApp 0716909567 / Call 0716909567
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: / playlist
list=PLSzTdjtfFZV4x9eEn8XKjtHMqu5fkevjb
⚫️ BUNGENI DODOMA: / watch
v=0tOC0Qdxizc&list=PLSzTdjtfFZV6DoniR7GGw1_I0dWOzx01B
⚫️ SIASA : • Video
Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kama unahitaji kufanya Matangazo au Habari yoyote ya KIJAMII Tafadhali wasiliana na Sisi Kupitia 0716909567 Tunawapa kipaumbele kwa waliopo Dodoma
ngasamedia@gmail.com
WhatsApp: +255 716909567
Call us : +255 716909567
thank you for watching this video ,please leave a like if you enjoyed the video & Subscribe for more video.
#sensa #jitokezekuhesabiwa #ngasatv
Пікірлер: 87
Mimi nasimama na mheshimiwa Sara Msafiri alipambana sana na mafisadi wa kigamboni ,mtandao wa wezi wa mafuta bandarini.Asante yake akahamishiwa kibaha pwani.Kigamboni pakabaki salaama kwa aliyeletwa maana hatukuwahi kusikia wezi wa mafuta wamekamatwa.!!!! Sasa katumbuliwa hatima yake anaijua Mwenyezi Mungu pekee.
@thomastarimo
Жыл бұрын
Bora huyu bwana ametolewa kabisa alimtukana mwenyeketi wa arumeru ni laana ya yule mwenyeketi alikua anafanya kazi kwa mwemuko
Sirien mchembe huyo vzr sana
Umemsahau Rahabu Mwangisa wa Manyoni.hKiki taarifa zako
Hii pia ibaki kuwa somo kuwa unapopewa madaraka usijione ww ndio mungu ujuwe yanamwisho..mungu akulipeni stahik zenu siku zote mkiwa madarakani
Umesahau Abasi Kayanda alikuwa mkuu wa wilaya ya Moshi
Hawa wote walio tenguliwa walikuwa hawamsifii mama wa kumpamba ndokilichowaponza
Muro akalale
Tubakize maneno,wengine wapi kwenye mkekà wa wakuu wa mkoa
Yote ni kushukuru labda atawapangia kazi nyingne ishaalah
Mkiishiwa cha maana mtabaki kupoteza muda na pesa zetu kwa miutez kila leo ah!
Wotee hawa walikuwa wateule wa awamu ya tano daa.
Towa mama na wakuu Wa mkowa wote.niwezi sana
@richardnganya2311
Жыл бұрын
Usisahau kuna kulindana sana
@PeterNMzee
Жыл бұрын
@@richardnganya2311 😁 wezi wote hata huyo unaye mwamini 😄
Duuh! Kweli Dk samia unaupiga mwingii! Yaan unapanga pangua tu kila siku?
Anajitaidi kutengeneza safu ya wanaomuabudu
@alliyrubea5731
Жыл бұрын
Kama vile mwendazake alivyofanya?au yy ni haramu?
@JJ-fb9jp
Жыл бұрын
@@alliyrubea5731 ha ha ha kweli
@shinipapaya846
Жыл бұрын
@@alliyrubea5731 hiyo ndio akili ya Mwarabu koko ilipoishia 🤣🤣
@alliyrubea5731
Жыл бұрын
@@shinipapaya846 hata ya mswahili matako ndio zaidi
@alliyrubea5731
Жыл бұрын
@@shinipapaya846 maana mswahili haendi mpaka kwa bakora sasa wacha muchapwe akili zenu ziko ktk tembo na uzinifu tu
Hamko serious nyie watenguliwa kumi wapya wawe thelethini na kitu kwel
Hufai kbs kuwa mwandishi wa habari kwani hujui muhistasari kaongeze ujuzi unarudia sana kula hela za watu
Unachanganya, huyu Muro anakuwa mkuu wa mkoa fulani.....subiri kidogo
@JJ-fb9jp
Жыл бұрын
Haiwezekani nakwambia
😷
Aludi tu kuwa msemaji wa yanga Kama zamani maana cheo ni dhamana
Jerry akaombe kazi yanga
Siriel mcheme recently alijitahidi kuonekana sana kwenye tv kwenye kazi zake.. kumbe labda nyuma ya pazia mambo hayakua vizur sana
@abdibilali4186
Жыл бұрын
Alikua vizuri Sana mm ni wa Handeni sijui shida ni nini
hayo.ni ya kawaida tu.hakuna ataekua Kwenye uongozi Maisha yake yote labda mfalme
🙄
Huyo mkuu wa wilaya wa Handeni au korogwe ndo yule aliekuwa akiwapigia kelele wakurugenzi kuhusu ucheleweshaji wa ujenzi wa zahanati.... Kumbe alikuwa akikosea
@romanamassawe814
Жыл бұрын
Alikuwa anakosea Sana, Kwanza ni mkristo, sisi tunataka muislam mwenzetu
@PeterNMzee
Жыл бұрын
@@romanamassawe814 okay... I understand the system!!!
Ndo kazi kubwa anayoiweza kupagua na kutegua.
@kassidpandu866
Жыл бұрын
Sarafina Wacha zarau Rais ni Mtu Mkubwa sana Nchi hii shauri yako
@mandelamandela3150
Жыл бұрын
@@kassidpandu866 Mpumbavu sana wewe !!!! Rais yupo kufanyia kazi Wananchi, hayupo pale kwa sifa ya ukubwa !!!! Ndio mana Magufuri anasifiwa leo sababu alifanya kazi yake !!!! Mpuuuzi wewe.
@shinipapaya846
Жыл бұрын
@@kassidpandu866 jitu likiwa fisadi linakuwa halina kificho kuma we 🤣🤣
Hawa watu hawatakiwi kabisa kuteuliwa, wanatakiwa wapigiwe kula maana kazi wazifanyazo ni ukada wa chama tyuu
Kwa hiyo wametenguliwa 10 wakateuliwa 37.. mko serious!
@alisonchelele5052
Жыл бұрын
Hawako serious hawa
mbona aliyekua kilombero hujamtaja?
mnapata nafasi Hadi ya kurudia wakati wakuu kibao waliotenguliwa hamjawataja. Make a good research.
Aje kwamadasi pia nimatapeli hasa njombe hapafai
How about mtatiro
@edwardmakonge6951
Жыл бұрын
Mtatiro kabaki Tunduru.
@khamisjuma8501
Жыл бұрын
@@edwardmakonge6951tumesha msahau kisiasa mtatiro Tanzania people
Kwa hiyo tuwasaidieje?
Kwa sarah mama hapo hatuingilii lakini huyu ndiyo aliegundua wizi wa mafuta kigamboni mhuuuu makubwa haya
@kellyngogo3319
Жыл бұрын
Aliimalizaje hiyo case unaijua? Ndo mana unamtetea
@erickzephania1030
Жыл бұрын
Vingine ni kucheza na akili za watu, usiwekeze akili zako kwa wana siasa
@edwardmakonge6951
Жыл бұрын
Nimeshangaa sana kuachwa kwa Sara,ugunduzi wake bila shaka ulikuwa na maswali lukuki???!!
Kilombero....
Mbona umemsau mkuu wa wilaya wa Moshi mjini ameachwa
@UzalendoNaUtu
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@albertkulwa7521
Жыл бұрын
kaushaaa
Aliyekufa mkuu wa wilaya wa Kyela Yuko wapi?
@ezekieljacob5795
Жыл бұрын
Kama kafa basi
Sirieli mchembe katunyanyasa sana huku msomera handeni Bora kaondoka
@abdibilali4186
Жыл бұрын
ki vipi
Mama tunakuomba umuondoe Dc wa wilaya ya uvinza mkoani kigoma huyu kuchoma makanisa misikiti na watu kupigiwa sana hadi kuna Mama kafariki ajili ya kipgo
Aje awe Msemaji Mpya yanga bc Alli kamwe Hana sifa kabisa!
@JJ-fb9jp
Жыл бұрын
Point
@melkiadesmogella6402
Жыл бұрын
Ali Kamwe ni habari nyingine acha kabisa na yule intellectual
ukiona ivo wasalit ao
Nampongeza Sana Mama kwa uteuzi huwo, naona majina yote ya walio ondolewa ni wakristo, Asante Sana Mama kwa safu mpya, wakristo hawawezi kuwa viongozi wa nchi
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Romana masawe mama anapanga safu yake asubiri 2025 aone cha moto kuanzia serikali za mitaa ndipo atakapojua mbivu na mbichi
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Romana kwa kweli kuhusu Sara inaniuma sanaaaa muache arimotiwe jasho litamtoka
@rashidipembe4300
Жыл бұрын
Muro atapata nafasi ingine ni mchapa kazi anastahili. Mungu ampe Baraka zoote. Amen
@muharamiesther5908
Жыл бұрын
Yesu Wangu Mungu ni Wetu Sote 🤔🤲🙏
Safi Sana alijikuta Mungu mtu Sana bwana huyu
@JJ-fb9jp
Жыл бұрын
Kabisa huyu alikuwa anaona ndo kama rais na dharau kibao
@shinipapaya846
Жыл бұрын
Ni nani huyo na vipi au katomba......wako?
Kwa upande wa Jeri muro ningekuwa na uwezo wa kumfikia rais leo ningempa zawadi
@ezekieljacob5795
Жыл бұрын
Uwezo nauli yako tu.
Tunahitaji katiba mpya kuondoa haya maigizo...Kimsingi hatuhitaji hiki cheo Cha wakuu wa wilaya... Kinaendeleza ukoloni
Sitaki kufikiri majina yao yamewaponza...ila naamini utendaji wao si mzuri.