UPOTOFU WA MASUFI KATIKA JAMBO LA KARAMAAT PART 0️⃣5️⃣ - SHEIKH ABDALLAH HUMEID حفظه الله تعالي

Пікірлер: 47

  • @mwanahamismohamed6347
    @mwanahamismohamed6347 Жыл бұрын

    Allah akupe umri mrefu shekhe wetu umetutoa kwenye kusikiliza mambo ya hovyo mpaka sasa tunaielewa dini yetu mashaallah allah akulipe kheri

  • @issaally7928
    @issaally7928 Жыл бұрын

    Allah akupe nguvu utupe elimu Allah alio kujaalia

  • @amenakenya7993
    @amenakenya79932 жыл бұрын

    BarakAllah fiyk sheikh kweli Allah atuifadhi Allah Amiy hhhhhh

  • @kaddijaramadan3922
    @kaddijaramadan39222 жыл бұрын

    Allah akuhifadhi shekhe wetu hao masufi tushawajua hawatupotezi tena bi idhnillah ta'ala

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    wewe na huyo wendawazimu

  • @KhadijaNurudin
    @KhadijaNurudin7 ай бұрын

    Masufi niwanafiki hakika sheikhe watakuchukia ila ukweli umewafikia shukran Sana kwanasaha Allah akuhifadhi

  • @zuhuramohamed7306
    @zuhuramohamed73069 ай бұрын

    Sunhanallah daaah hii kali inshallah ALLAH awajaalie waijuwe hakki na waifwate....shekh wata na mm nichore msitari nije nikuone ama nipande mpapayu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry52419 ай бұрын

    Misufi inanikera rohoni

  • @Abuu_Asfiya-Salafy

    @Abuu_Asfiya-Salafy

    9 ай бұрын

    hunidshindi mimi.. Allahul musta'anu

  • @user-qm4qd8yk2x
    @user-qm4qd8yk2x6 ай бұрын

    iko klip moja nimeiona kutoka yemen jamaa wengi wako maulidini huku watafuna mairungi

  • @issaally7928
    @issaally7928 Жыл бұрын

    Masufi niwaongo sanaa kwanza kwa mwenye akili akisikiliza ataona uwongo wao wanapotezea watu mda kwa kufata bidaa zao Allah atuepushe

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    acha ujinga

  • @user-bp6fb6wo5u

    @user-bp6fb6wo5u

    8 ай бұрын

    ​@@mafiatv5479 😂😂😂😂😂😂 kaka una bidii maa shaa Allah!! 😂😂😂😂😂 unachomeka sana mukivaliwa makhurafi tena kwa haki!!!

  • @salehothman4723
    @salehothman4723 Жыл бұрын

    Nawewe zako pia kali kweli kweli kwamba wapinga bila ya tafiti .

  • @husseinjuma8005

    @husseinjuma8005

    Жыл бұрын

    Pafanywe utafiti wa nini hapo umeulizwa walii wenu ni bora kuliko mtume? Acheni kupumbaza watu kwa mambo yenu ya kipumbavu km wakwel leten dalili.

  • @SugowFarah-up3db

    @SugowFarah-up3db

    10 ай бұрын

    Wamemueka Mtume wetu Muhammad صلى الله عليه وسلم chini kabisaaa wakawatukuza sana masheikh zao Eti mtu afunzwe Qur'aan na maiti isiyokuwa ya Mtume wala maswahaba wala mataabi'iyn. Je ni nini kama sio kuwatukuza? Hivi hao masheikh zenu wanawafikia mataabi'iyn? Enyi masufi punguzeni bwana! Hii ni kali zaidi jamaaa

  • @user-qm4qd8yk2x

    @user-qm4qd8yk2x

    6 ай бұрын

    siutafiti umefanywa ndio sasa waelezewa kwani wewe haujasikia clip au kuona clip za hao masharifu wenu wakiwadanganya nyinyi

  • @omarally6819
    @omarally6819 Жыл бұрын

    Masufi ni mazuzu mpaka yamewazidi majuha kwa uzuzu

  • @user-qm4qd8yk2x
    @user-qm4qd8yk2x6 ай бұрын

    masufi hawako sirius na dini wao ni biashara joks nyingi uzushi na matusi kumbuka juzi juzi al akhi mohd bachu alipoondoka kwenye kiti chake ghafla bin vu wakamzulia eti amechafua kiti

  • @salehothman4723
    @salehothman4723 Жыл бұрын

    Dah, maana yake ukifata watu wema basi utafufiliwa ktk makundi yao NDO MAANA YAKE. SIO HYO UNAYOTOA. Na kama kisa hko cha mw.maiti unakipinga wewe ulikuwepo ? ushafatilia usahihi wake? Umekwenda sehemu ya tukio ukatafta ukweli wake? MTIHANI HUU.

  • @pavillioncry5241

    @pavillioncry5241

    9 ай бұрын

    We mjinga

  • @mudybeka6698

    @mudybeka6698

    9 ай бұрын

    Daah kweli ujinga umchanganyikana na uzuzu...sasa ww kwa akili yako maiti anaweza akamfundisha mtu kweli...basi angefundisha mtume pale madina nakubainisha tofauti zilizokuwepo ktk umati wake....

  • @salehothman4723
    @salehothman4723 Жыл бұрын

    Yaani mpaka nia zao umezsoma? Kama analia knafiki? Shekhe usione sifa kuita wenzako waongo. Na hiyo alo sema Albeidh sifa hyo mnayo na shekhe wenu Muhammed Abdulwahab ndivo alivyokuwa. Lakini mupo ktk kujisafisha lakini ukimuonyeshea mwenzako kidole kimoja wewe unazaidi ya kimoja.

  • @Lamapacha001

    @Lamapacha001

    Жыл бұрын

    Basi ww pia hutumii akili Allaah alokupa? Mwaambiwa vitu ambavyo haviingi akilini….Daaaah waliii wenu na Mtume Mohammad (sala na salamu ziwe juu yake) nani ndio Walii bora???

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    mawahabi nyote mbwa, km sisi waongo

  • @shabaniissa3464
    @shabaniissa34649 ай бұрын

    Hapa hakuna elimu bali ujinga na chuki tu

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 Жыл бұрын

    Ni tofauti kati ya mawahabi na masufi Sio ahlu sunnat na masufi Mawahabi hawana uhusiano wowote na wasunni Mawahabi ni mayahudi tu acheni fiksi.

  • @mwanzomwisho1217

    @mwanzomwisho1217

    10 ай бұрын

    kwa akili zako wewe unaamini kuwa hiko kisa alichokitoa huyo sheikh wenu AL BAYDHI nI CHA KWELI?

  • @mussaissa6796

    @mussaissa6796

    10 ай бұрын

    @@mwanzomwisho1217 LETE DALILI YA KUTOKUWA SAHIHI KWAKE

  • @user-bp6fb6wo5u

    @user-bp6fb6wo5u

    10 ай бұрын

    ​@@mussaissa6796 wewe mbona mjinga? Wewe unaesema kinawezekana unaleta kisa maskani kisha watuambia sisi waskilizaji tuthibitishe!!! Sie wewe mjinga ulie kileta kisa chako mchwara??? Mbona masufi hamna akili???!!!

  • @user-bp6fb6wo5u

    @user-bp6fb6wo5u

    8 ай бұрын

    ​@@mussaissa6796 😂😂😂😂😂 kweli masufi ni mazuzu!! Sasa ulokuja na kisa ni wewe mjinga kisha waniambia mimi nite dalili!!! Si utoe wewe huo ujinga wako uko sawa!!!

  • @adennurahuka402

    @adennurahuka402

    2 ай бұрын

    Kama ata baada ya audio hii haujaelewa ukhurafi na ujinga WA usufi,, hakika shuhudia ukona uzito WA akili😂😂😂Allah amuhifadhi shekh wetu Abdallah humeid

  • @mafiatv5479
    @mafiatv5479 Жыл бұрын

    sijaona radd il naona vijembe tu, mshenzi muongo wewe mbwa

  • @mwanzomwisho1217

    @mwanzomwisho1217

    10 ай бұрын

    nani muongo kati ya huyo al baydhi na sheikh al humeid

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    10 ай бұрын

    @@mwanzomwisho1217 nyiw mazuka maijihangàiahe huyo al imam sheikh albidh hamumpati hata robo ya ilimu yake, ndo mana hamna cha kuzungumza

  • @user-bp6fb6wo5u

    @user-bp6fb6wo5u

    10 ай бұрын

    ​@@mafiatv5479😂😂😂😂😂😂 haya hatumshindi lakini hatumshindi kwa mavunga!!! Duh muongo kweli kweli!!! Ameshinda kwa upumbavu.

  • @abuuamourmuhamed1934

    @abuuamourmuhamed1934

    9 ай бұрын

    @@user-bp6fb6wo5u 😂😂😂😂

  • @thuwaybahamyd9896
    @thuwaybahamyd9896 Жыл бұрын

    p0le kwa chuki ndugu yangu 😌 punguza chuki sio kila jambo la karama alifanye mtume swala llah alaih wasallam kuna mambo ya karaama kibao hakufanya mtume wetu(s.a.w) we unacho kiongea hapo ni chuki akhy,, p0le kwa kutokua na karama wewe ila watu kiba0 wana karama na p0e sana kwa kuona kua watu wa kisufi ndo wana karma nyingi nyinyi hamna ulio yaongea yote hayana mashiko kabisaaaaaaa

  • @sabraham5308

    @sabraham5308

    Жыл бұрын

    Mnadanganywa mchana,Karama Karama,tatizo ni kutaka kujipa utukufu wa sisi nani,sisi mabaalawi,mahabshi,masharifu,hahaha

  • @adennurahuka402

    @adennurahuka402

    2 ай бұрын

    Khurafi mwingne huyu

  • @mafiatv5479
    @mafiatv5479 Жыл бұрын

    umepofoka wewe babako na mamako usokua na adabu mbwa wewe huyo sheikh muache na wala humfikii, kamfinye babako mshenz wewe,,,

  • @mwanzomwisho1217

    @mwanzomwisho1217

    10 ай бұрын

    MATUSI ndio yenu maana hamuna dalili zaidi ya kutunga ujinga na kuubali, mupo kama wakristo munaburuzwa kama kondoo

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    10 ай бұрын

    @@mwanzomwisho1217 maijihangaishe msimamo wetu ule ule, hamna cha kuongea mbwa

  • @nkambanhindilo3892

    @nkambanhindilo3892

    10 ай бұрын

    Chukuia mbka upasuke lkn masufi ni mazumbukuku

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    10 ай бұрын

    @@nkambanhindilo3892 zumbukuku babako navmamako mbwa

  • @ilyasabdul-malik4571

    @ilyasabdul-malik4571

    3 ай бұрын

    Sikiliza io audio mpka mwisho kisha chukuwa nasakha za sheikh na kazifanyie kazi lillahi, Allah akuongoze, n sisi pia

Келесі