Ndio shekhe aambiwi kitu kama vile shk Al baany alivyosema kurudisha mkono kifwani baada ya kurukuu ni bidaa tena dwalaalah lakini bin baaz yeye kwake ni sunnah,sasa swala lipo hapa nyinyi mumewahi kumraddi bin baaz na kumuita mzushi kwa jambo hili?
@abubakarhussein21862 жыл бұрын
Twataka izo aya uzitafsiri kama walivyotafsiri wanawazuoni watfsiri wa quran wanaokubalika sio walio katika mlengo wa kiwahabi alaf mtubainishie wao wametfsiri juuu kwa maaana ya juu mnayomaanisha ninyi???
@abuuzwiin18762 жыл бұрын
Abu kadhaba
@allymahaba34259 ай бұрын
Mawahhabi mnachukia kuitwa Mawahhabi. Mnataka muitwe Ahlu Sunna. Mtabaki kuwa Mawahhabi tu, mtake msitake. Hadith zenu hizo za Nabii Hud mnazitunga wenyewe. Ndio kwanza watu tunazisikia. Wewe utasimama Siku ya Kiama ujitetee uongo wako huo.
@abufatma2750
9 ай бұрын
HEBU TUELEZE MAANA YA UWAHABI? IKIWA MIMI UTANIITA WAHABI NI FARAJA KWANGU KULIKO KUWA KHURAFI NA SUFI KAMA WEWE,,,,
Пікірлер: 17
Jazaaka Llah
❤❤❤❤
Shekhe Allah akulipe kila kheri kuwaweka wazi hawa masufi waovu! Duh kumbe wana ujinga mkubwa sana hawa!!!!
جزاكم الله خيرا و في ميزان حسناتكم جميعا يوم القيامة
Hivi wewe ni huna darsa za kufundisha mungu akuongoze
@yusufsingano6202
10 ай бұрын
Kwako sio darsa ila kwao ni darsa kubwa
Jamani sheikh Abdullah humeid natafuta mume mimi
@bwakiismail126
3 ай бұрын
Upo wapi?
Sheikh wewe pia mrongo Sana tena sana domo mali yako
Wallahi ukimusikiliza huyu kijama unapotea sababu hafundisha ila chuki tu
@user-bp6fb6wo5u
11 ай бұрын
Sema kweli akhy, huyu anaeeka wazi mambo, shida hampendi wakweli.
@tanzaniaonmzamiloon8627
11 ай бұрын
@@user-bp6fb6wo5u ukweli Gani unaokusudia
Ndio shekhe aambiwi kitu kama vile shk Al baany alivyosema kurudisha mkono kifwani baada ya kurukuu ni bidaa tena dwalaalah lakini bin baaz yeye kwake ni sunnah,sasa swala lipo hapa nyinyi mumewahi kumraddi bin baaz na kumuita mzushi kwa jambo hili?
Twataka izo aya uzitafsiri kama walivyotafsiri wanawazuoni watfsiri wa quran wanaokubalika sio walio katika mlengo wa kiwahabi alaf mtubainishie wao wametfsiri juuu kwa maaana ya juu mnayomaanisha ninyi???
Abu kadhaba
Mawahhabi mnachukia kuitwa Mawahhabi. Mnataka muitwe Ahlu Sunna. Mtabaki kuwa Mawahhabi tu, mtake msitake. Hadith zenu hizo za Nabii Hud mnazitunga wenyewe. Ndio kwanza watu tunazisikia. Wewe utasimama Siku ya Kiama ujitetee uongo wako huo.
@abufatma2750
9 ай бұрын
HEBU TUELEZE MAANA YA UWAHABI? IKIWA MIMI UTANIITA WAHABI NI FARAJA KWANGU KULIKO KUWA KHURAFI NA SUFI KAMA WEWE,,,,