TOFAUTI BAINA YA AHLU-SUNNA NA MASUFI PART 0️⃣3️⃣- SHEIKH ABDALLAH HUMEID حفظه الله تعالي

Пікірлер: 17

  • @ayyamirubba5226
    @ayyamirubba52267 ай бұрын

    Jazaaka Llah

  • @yousufmbarak9745
    @yousufmbarak97455 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @user-bp6fb6wo5u
    @user-bp6fb6wo5u11 ай бұрын

    Shekhe Allah akulipe kila kheri kuwaweka wazi hawa masufi waovu! Duh kumbe wana ujinga mkubwa sana hawa!!!!

  • @ummua5006
    @ummua50062 жыл бұрын

    جزاكم الله خيرا و في ميزان حسناتكم جميعا يوم القيامة

  • @MkindiRama-lp6hy
    @MkindiRama-lp6hy10 ай бұрын

    Hivi wewe ni huna darsa za kufundisha mungu akuongoze

  • @yusufsingano6202

    @yusufsingano6202

    10 ай бұрын

    Kwako sio darsa ila kwao ni darsa kubwa

  • @ubahmohamed2128
    @ubahmohamed212810 ай бұрын

    Jamani sheikh Abdullah humeid natafuta mume mimi

  • @bwakiismail126

    @bwakiismail126

    3 ай бұрын

    Upo wapi?

  • @user-ct2lc2xh5u
    @user-ct2lc2xh5u9 ай бұрын

    Sheikh wewe pia mrongo Sana tena sana domo mali yako

  • @tanzaniaonmzamiloon8627
    @tanzaniaonmzamiloon8627 Жыл бұрын

    Wallahi ukimusikiliza huyu kijama unapotea sababu hafundisha ila chuki tu

  • @user-bp6fb6wo5u

    @user-bp6fb6wo5u

    11 ай бұрын

    Sema kweli akhy, huyu anaeeka wazi mambo, shida hampendi wakweli.

  • @tanzaniaonmzamiloon8627

    @tanzaniaonmzamiloon8627

    11 ай бұрын

    @@user-bp6fb6wo5u ukweli Gani unaokusudia

  • @muhammadmochenje1409
    @muhammadmochenje14092 жыл бұрын

    Ndio shekhe aambiwi kitu kama vile shk Al baany alivyosema kurudisha mkono kifwani baada ya kurukuu ni bidaa tena dwalaalah lakini bin baaz yeye kwake ni sunnah,sasa swala lipo hapa nyinyi mumewahi kumraddi bin baaz na kumuita mzushi kwa jambo hili?

  • @abubakarhussein2186
    @abubakarhussein21862 жыл бұрын

    Twataka izo aya uzitafsiri kama walivyotafsiri wanawazuoni watfsiri wa quran wanaokubalika sio walio katika mlengo wa kiwahabi alaf mtubainishie wao wametfsiri juuu kwa maaana ya juu mnayomaanisha ninyi???

  • @abuuzwiin1876
    @abuuzwiin18762 жыл бұрын

    Abu kadhaba

  • @allymahaba3425
    @allymahaba34259 ай бұрын

    Mawahhabi mnachukia kuitwa Mawahhabi. Mnataka muitwe Ahlu Sunna. Mtabaki kuwa Mawahhabi tu, mtake msitake. Hadith zenu hizo za Nabii Hud mnazitunga wenyewe. Ndio kwanza watu tunazisikia. Wewe utasimama Siku ya Kiama ujitetee uongo wako huo.

  • @abufatma2750

    @abufatma2750

    9 ай бұрын

    HEBU TUELEZE MAANA YA UWAHABI? IKIWA MIMI UTANIITA WAHABI NI FARAJA KWANGU KULIKO KUWA KHURAFI NA SUFI KAMA WEWE,,,,

Келесі